You are on page 1of 1

Bwana ni mwenye huruma na mpole

Zaburi 102 Siku ya Mungu ya 7 na 24 Mwaka A

 1.  2. 
Mus : Ir Steven BHAKE@

    = 80 
Ecrit par Daniel MCD

                   
A         

S


R/Bwa na ni mwe nye hu ru ma na mpo le mpo le

                   
T    
 
                     
B     
 
Bwa na

6   
               
             
         
   

1. Umsifu Bwana ee roho yangu,


na yote yalio ndani yangu, jina lake takatifu.
Umsifu bwana ee roho yangu,
wala usisahau mema yake yote.
2. Yeye anasamehe zambi zako zote,
anaponya magonjwa yako yote.
Yeye anakomboa uzima wako katika kaburi,
anakuzungusha kwa wema na rehema.
3. Bwana ni mwenye huruma na mpole,
mvumilivu na mwingi wa wema.
Hatutendi kwa kadiri ya zambi zetu,
wala hatupatilizi kwa kadiri ya makosa yetu.

PC CARACCIOLO PNDA/GOMA

You might also like