You are on page 1of 4

Posta House (TEHE] cell: +255 766 898 722 Cell:

Ohio/Ghana Avenue +255 762 042 483 Email:


REG.
llala NO.
District REG. NO. 000535
tehetrusttz@gmail.com
P.O. BOX 8525
Ref.No.TEHE/corr/003/2024
Dar es Salaam
OO Date: 13th February,, 2024

NASIB ABDUL JUMA ISSACK,


CEO WASAFI,
BUTEBO ST. OYSTERBAY,
DAR ES SALAAM,

“ASSALAAM ALEYKUM”

YAH : MAOMBI YA KUCHANGIA UPIMAJI WA AFYA KWA WANYONGE.

TANZANIA EDUCATION HEALTH AND ECONOMIC ORGANIZATION (TEHE), ni


asasi isiyo ya kiserikali (NGO), yenye namba ya usajiri NO.000535. Kazi yetu kubwa ni kubaini
changamoto zilizo kwenye jamii na kizitafutIa njia ya kuzitatua kwa kushirikiana na taasisi
mbalimbali za ndani na nje ya nchi. Changamoto kwa wananchi ni nyingi sana, lakini kubwa
ni changamoto ya afya. Wananchi wengi wanataka kujua afya zao lakini kwa bahati mbaya
gharama ya kupima ni kubwa kuliko uwezo wa mwananchi wa kawaida asiyekuwa na bima
ya afya.

Kwa kuliona hili, TEHE tumeamua katika Mwezi huu Mtukufu wa Ramadhan kushirikiana na
Eternal International Ltd. kampuni ya China inayotoa huduma ya afya hapa nchini kupima
afya kwa watu wote. Eternal International wamekubali kutoa huduma hiyo kwa gharama ya shs.
20,000/= tu. kwa magonjwa yote yasiyo ambukizwa kama:- Presha, Sukari, Gauti, Magonjwa
ya kizazi, Tezi dume, Figo, Ini n.k.
Ili ndugu zetu wasikose hela ya kununulia futari, TEHE imeona iombe ushirikiano wa taasisi na
makampuni ya hapa nchini, katika mwezi huu Mtukufu wa Ramadhani, kusaidia kupima
wananchi (angalau 3,000 tu) BURE KAMA SADAKA YETU KWA MWENYEZI MUNGU
KATIKA MWEZI HUU MTUKUFU .

Ili lengo letu la kutoa huduma hii bure, liweze kutekelezeka tunakuomba kama mdau wa
maendeleo kutuunga mkono kwa kutufadhili kifedha kadri “ALLAH” alivyo kujalia.

Bajeti yetu ni:-

KIASI
S/No SHUGHULI WAHUSIKA KIASI SIKU KIASI(TZS) (USD)
@
Usafiri gari 1
1. Maandalizi Petrol 20 Lts 2,400 3 144,000 57.6
toka mwanzo hadi Simu; Email,
kutoa ripoti Watu 2 3,000 3 18,000 7.2
Kujikimu 48
waandaaji 2 20,000 3 120,000

2 Pesa ya kujikimu: Daktari 3 30,000 3 270,000 108


Madaktari na
Wasaidizi Msaidizi 3 20,000 3 180,000 72

Kupima walengwa Walengwa 20,000 60,000,000 240,000


3 (EternalI 3,000
International)

JUMLA 60,732,000 240,292.8

Kwa barua hii tunakuomba kwa kadri utakavyo jaliwa na Mwenyezi Mungu, uwasilishe
swadaka yako kupitia kwenye akaunti ya Asasi yetu.
Maelezo ya benki yetu ni kama ifuatavyo:-
Jina la benki: CRDB BANK PLC
Tawi la benki: AZIKIWE BRANCH
Jina la akaunti: TEHE TRUST
Namba ya akaunti TZS: 0150266295700
Namba ya akaunti USD 025026629570
Swift code: CORRUTZTZ

Kumbuka: Swadaka yako itagusa watu wengi ambao wameshindwa kupima afya zao kwa
kutokuwa na uwezo wa kipato.

Tunatanguliza shukrani zetu za dhati na kukutakia Mfungo Mwema wa Mwezi Mtukufu wa


Ramadhani .

Tumeambatanisha hati ya Asasi yetu na hati na leseni ya Eternal International kwa uhakiki
wako.

”RAMADHAN KAREEM”

Wako,

BASIL M. BINTAMANYIRE
0766 898 722
KATIBU MKUU.

-Sadaka ni mlango katika pepo

2-Sadaka ni moja ya Amali bora sana na sadaka bora ni kulisha chakula


3-Sadaka itamuwekea mtu kivuli siku ya Qiyama
4-Sadaka hupoza ghadhabu za Allah kwa mja wake na huziwia joto la kaburi

You might also like