You are on page 1of 1

CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM

CHUO KISHIRIKI CHA ELIMU MKWAWA

MKUTANO WA 88 WA BODI YA USIMAMIZI WA CHUO


Randama Na. 88.2

YATOKANAYO NA KUMBUKUMBU ZA MKUTANO WA 87 WA KAWAIDA WA BODI YA USIMAMIZI WA


CHUO ULIOFANYIKA TAREHE 15 MEI, 2023 KWENYE JENGO LA UKUMBI WA MIHADHARA WA CDF
KATIKA CHUMBA CHA SEMINA NA. 2 KUANZIA SAA 2:00 ASUBUHI

NA. KUMB. UK. SUALA MHUSIKA TAARIFA YA UTEKELEZAJI HATUA ZA


NA. KUCHUKUL
IWA
15 854.2 6 Mwongozo wa Uendeshaji Naibu Rasi Agizo limezingatiwa. Kuzingatia
wa Ukaguzi wa Ndani na Mipango,
Mpango Mkakati wa Fedha na Ukaguzi wa ndani pamoja na
Ukaguzi wa Ndani Utawala taarifa zake utazingazia
mwongozo huu.
Bodi ya Usimamizi Mpango wa ukaguzi wa ndani
ILISISITIZA kwamba ripoti utazingatia idadi ya watumishi
zijazo ziandaliwe kwa waliopo kwenye Kitengo, hata
kuzingatia maudhui ya hivyo Kitengo cha Ukaguzi wa
mwongozo huo ili kuepuka Ndani kitatumia wataalam
hoja ya ukaguzi. Vilevile, kutoka nje ya Chuo katika
ILISHAURIWA kwamba kukagua maeneo ambayo
Mpango wa Ukaguzi uzingatie yanahitaji utaalamu.
idadi ya watumishi waliopo
kwenye kitengo cha Ukaguzi.

You might also like