Professional Documents
Culture Documents
Kwadhanatajwahiyo,ilirushwaiwepoyabidikuwenayafuatayo:-
Mtoaji
Mpokeaji;
Malipo;
Hojayakuvunja/kupindishasheria;na
Maslahibinafsiauyawachache.
Mada hii itaangalia mambo muhimu yanayohusu rushwa katika Mabunge
pamojananamnajitihadazilizofanyikakupambananarushwakatikaMabunge
mbalimbali.
2.0 SABABU ZA KUWEPO RUSHWA BUNGENI
BungekamaChombochaUwakilishiwaWananchikinamajukumumakubwamatatu:-
Kutungasheria;
KuisimamianakuishauriSerikali;
KupitishabajetiyaSerikali.
Kwa muktadha huo, kama mifano kadhaa itakavyojionesha, Bunge linakuwa na fursa adimu na ya
kipekeeyakusimamiamaendeleoyanchi.Lakinipialinakuwahatariyakutumiwanavikundimaslahi
wanaotakakulitumiakupitishayaliyoyaokwamaslahiyao,mfano:-
Aidha,kwaupandemwingine,chaguzizakuwaingizaWabungekatikanafasizao
nizagharamakubwa.Gharamahizozinajumuisha:-
Wabungewanatimuzakampenizinazohitajikulipwa;
Wabungewanahitajivitendeakazikamamagari,PA system,mafuta,
majukwaa,vitin.k.kwatakribansiku60zakampeni;
Wabungehuhitajikawakatimwinginekusafirishawafuasiwao,vikundivya
burudanin.k.;
Wabungehulazimikakulipiagharamazamatangazo,waandishiwahabari,
vipeperushi, t-shirt namengineyo.
YotehusababishakuwepokwarushwakwakuwaWabungehulazimikakuomba
kuungwamkononawatuwenyeuwezo.
Wabunge wamejitambua nguvu zao na hivyo katika baadhi ya mifumo
tutakayoionaWabungewenyewewamekuwachanzocharushwakwakujitokeza
kuomba na kupokea rushwa ili waweze kufanya mambo yatakayowanufaisha
haowalioomba.
3.0 HITIMISHO
IngawanafasiyaBungekatikakupambananarushwainatambuliwadunianikote,
Mabunge mengi hasa katika nchi zinazoendelea hayana uwezo wa kutekeleza
jukumuhiloipasavyo.Hivyo,yanahitajimisaadakutokakatikaTaasisinyingineili
kutengeneza mifumo ambayo itahakikisha ufanisi katika mapambano dhidi ya
rushwa.
Hata hivyo, yako mambo ambayo Mabunge yenyewe yanaweza kusimamia ili
kupambananarushwa.Hapatunatoamapendekezomachache:-
3.1Vyamakuwamakininauteuziwawagombea;
3.2VyamakupitiaCaucuszaokufuatiliakwakaribuWabungewao;
KuzuiaWabungenaviongoziwenginewaummakutumianafasizao
kunufaikabinafsi;
KuzuiaWabungenaviongoziwenginewaummakutumiataarifa
wanazopatakupitiavyeovyaokwamaslahibinafsi;
KuzuiaWabungenaviongoziwenginekupataajirazaSektawaliyokuwapo
baadayakutokakatikaUtumishiwaSektahiyo(miakamiwiliauzaidi);
Kuwekataratibuzaupokeajiwazawadizenyethamanikubwa;
KuwakilishawatejabinafsikatikaSektahiyoanayohusikakiongozi;
Kuwekamisingikushughulikiamigonganoyamaslahiyakifedha;
Kuongozautaratibuwakutoaajirazawatuwakaribu;
Kuongozaajirazawatumishibinafsi;na
Kuongozautaratibuwasafarikwashughulibinafsi.
3.4Kuwanasherianakanunimadhubutikukabiliananamasualahayo;
3.5 KutoamafaonamarupurupuyakutoshakwaWabungekuepusha
vishawishi;na
3.5KutoamafunzoyamarakwamarakwaWabungenawatumishi.
__________________