Professional Documents
Culture Documents
NET
ZANZIBAR
Zanzibar
1.0. UTANGULIZI
Makala hii lengo lake hasa ni kuzungumzia umuhimu wa kura ya maoni kwa mustakabali
Ulaya kura ya maoni ni mara chache sana kutumika Afrika. Matumaini yangu utaratibu
huu wa kutoa maamuzi kwa kupiga kura ya maoni utaendelea kukua kwa kuwa ni
sehemu ya kutanuka kwa demokrasia iliyoanza kukua tokea mwanzo wa miaka ya tisiini
barani Afrika lakini pia hapa Zanzibar. Makala haina lengo la kushawishi mtu yeyote
1
Kopi zinaptikana MZALENDO.NET
kupiga kura ya ndio au hapana kwenye hoja ya kura ya maoni ya Serikali ya Umoja
yamegawiwa katika mtiririko wa kuchambuwa dhana moja moja kama vile kura ya
maoni, mifano mbali mbali ya dunia inayohusiana na kura ya maoni, kilicholetea kura ya
maoni wakati huu hapa nchini Zanzibar, usimamiaji wake, nini hasa umuhimu wa kura ya
Kwa kuilezea kiutaalamu, Kura ya Maoni (Referendum) humaanisha upigaji kura katika
nchi nzima juu ya jambo maalumu (mara nyingi lenye mvutano baina ya pande mbili au
zaidi) ambalo kupitishwa kwake humaanisha au hupelekea kutatuwa tatizo hilo la kisiasa
ndani ya nchi. Katika ulimwengu wa leo, kura ya maoni ni moja ya njia zinazokubalika
wanatueleza kuwa ziko aina mbili ya “Kura za maoni” ambazo kwa lugha ya Kiingereza
huzitafautisha kwa maneno tafauti. Kwanza ni ile inayoitwa kwa lugha ya Kiingereza
katika kuanzisha hoja ya kura ya maoni. Hii hutafsirika kama ni kura ya maoni
wananchi kadhaa kusaini aridhilhali na kupeleka lalamiko lao kwenye Bunge au Baraza
la Wawakilishi, na baadae kudai upigwaji kura ya maoni. Aina ya pili ya Kura ya Maoni
kwa lugha ya Kiingereza inaitwa “Plebiscite”. Hii inamaanisha kuomba kura ya maoni
ifanyike kwa ajili ya kutatuwa suala maalumu la kisiasa linalotanza. Ukweli hasa badala
2
Kopi zinaptikana MZALENDO.NET
ya kuziita hizi kuwa ni aina mbili ya Kura za maoni, inawezekana kabisa kuziita
daraja/hatua mbili tu za kura ya maoni. Kwani “initiative” ni pale ambapo kura ya maoni
hupigwa hata kabla hapajatokea uvunjwaji wa Sheria au mzozo na hivyo ndio maana
ikaitwa hilo jina la “initiative” (kwa kuwa inanzisha tu wazo au hoja) na hii ya pili ya
“Prebiscite” huitishwa baada ya mzozo kwisha tokea (hasa wa kisiasa) na lengo lake ni
kuutatua huo mzozo uliopo. Na hii ya pili ndio inalingana na hii Kura ya Maoni
Upigaji kura kwenye uchaguzi mkuu na kura ya maoni ni kuwa katika uchaguzi mkuu
muungano na kuyafahamu, na si hayo tu, bali, pia pamoja kumfahamu mgombea kabla ya
mpiga kura huyo kufanya uamuzi wa kutia kura yake. Tafauti yao, ni kwamba Kura ya
maoni hutowa nafasi ya moja kwa moja kwa wananchi kulipigia kura jambo maalumu
MBALI ULIMWENGUNI.
Kura ya maoni kwa uhakika si jambo geni na zimeshafanywa nyingi sana katika nchi
mbali mbali duniani. Kwahiyo hakuna ukosefu wa mifano duniani ya kuonyesha jinsi
Marekani (USA) kuna jumla ya States 16 (yaani nchi kuminasita) zinazotumia Kura ya
3
Kopi zinaptikana MZALENDO.NET
maoni kuamua masuala mbali mbali makuu ya kisiasa katika nchi zao. Pia kwa Bara la
Ulaya, nchi zote ziliomo katika Jumuiya ya Ulaya (European Union) zimefanya kura ya
maoni katika kuamua aidha wakubali kutumia sarafu na noti ya aina Euro. Na zoezi hilo
kwa kweli limedhihirisha wazi wazi duniani nguvu za wananchi kufanya maamuzi
waliyoyapendelea viongozi wa nchi. Inafaa kuangalia mifano zaidi ili kufahamu hoja
• Nchi ya Spain mwaka 1976 walipiga kura ya maoni kubadilisha mfumo wao wa
kisiasa baada ya kifo cha Mtawala dikteta wa nchi hiyo Raisi Franco, na mwaka
• Denmark pamoja na kuwa ni nchi iliyomo katika Jumuia ya Ulaya, lakini kwa kura ya
maoni kupitia wananchi wao waliamua kujitoa katika suala la kuwa na sarafu ya
pamoja ya Euro.
• Nchi ya Venezuela chini ya Serikali ya Hugo Chavez tokea mwaka 1999 imejiwekea
mtu aliyechaguliwa kwa kura katika uchaguzi mkuu. Na nafasi hiyo ya kikatiba
madarakani.
4
Kopi zinaptikana MZALENDO.NET
• Nchi ya Puerto Rico ambayo sasa hivi bado ipo chini ya kukaliwa na Marekani,
iliwahi kufanya kura za maoni mara tatu (katika mwaka 1967,1993 na 1998) ili
WaPuerto Rico waamuwe wenyewe kama wanataka wawe nchi huru au wanataka
ya nchi hizo mbili za Marekani Puerto Rico ni kuwa Puerto Rico ni nchi
inayojiendesha wenyewe ikiwa chini ya taifa la Marekani). Katika mara zote hizo tatu
matokeo ya kura wananchi waliamuwa hapana, kwa kumaanisha wananchi hao walio
wengi bado wanataka kuwa chini ya Marekani, na hivyo wanakataa kuwa nchi huru
• Pia, katika jimbo la Quebec huko nchini Canada, kura ya maoni ilipigwa kwenye
mwaka wa 1995 kwenye hoja ya kuamua aidha jimbo la Quebec lijitenge na Canada
au kubaki bado kuwa sehemu ya Canada. Matokeo ya kura hiyo ni kuwa watu wengi
utaratibu huu wa kura ya maoni, nchi hizo zilipiga kura kuamua aidha wabaki sehemu
Matokeo yake ni kuwa wananchi wan chi hizo zote wamepiga kura za kuwa huru na
zimekuwa huru.
• Mfano wa karibu yetu hapa Afrika Mashariki ni kura ya maoni iliyopigwa huko
Kenya mwaka 2005 kwa ajili ya kuamua ama kufanya mabadiliko ya Kikatiba au
5
Kopi zinaptikana MZALENDO.NET
viongozi wa Zanzibar wanafaa kuangalia kwa makini na bila woga vipi wanaweza
kutanuwa utumizi wa kura ya maoni ikiwa ni sehemu ya kukuza demokrasia ili kutatua
matatizo makuu ya kisiasa, jambo ambalo sio tu litasaidia kutatuwa matatizo ya kisiasa
bali pia litasaidia ufanisi na uwajibikaji katika sekta mbali mbali za kimaendeleo.
Zanzibar ya leo na siku za usoni, ili iweze kuwa imara na mustakabali mzuri basi ni
lazima iendelee kukuza demokrasia na kusaka maendeleo kwa nguvu, hasa tukizingatia
ya nchi. Labda nifunge maelezo yangu ya kifungu hichi kwa kusisitiza kuwa, pamoja na
mifano mbali mbali ya kura za maoni niliyoitaja hapo juu, kura ya maoni inayotakikana
kufanyika Zanzibar ni mfano wa aina yake. Kura hii ya maoni imeletwa kwa ajili
vingine vyote vitakavyoshiriki na kushinda asilimia kubwa ya viti katika uchaguzi. Bila
shaka yeyote ile, kwa anayefuatilia siasa za Zanzibar ni rahisi kufahamu, ikiwa
vyenye ushindani nchini Zanzibar, basi washiriki wakuu wa serikali hii ya Umoja pindipo
6
Kopi zinaptikana MZALENDO.NET
Kuanzia mwanzo wa miaka ya tisiini katika karne iliyopita (Karne ya ishirini), karibu
sababu mbali mbali za kisiasa, uchumi na jamii za ndani ya nchi zao na pia msukumo
wan chi za nje na jumuiya na mashirika ya kimataifa. Zanzibar pia ilikuwa katika
mkumbo wan chi hizo na kuanzisha demokrasia ambapo ukuwaji wake tunaona kwa vile
vinavyotawala, bali huwa ni changa moto wa mijadala inayoweza kuleta mabadiliko juu
kuona kwa uwazi kabisa bila hata ya uchunguzi wa kina kwa yeyote yule anayefuatilia
siasa za Zanzibar, kuwa, Wazanzibar wa marika yote ni wana demokrasia halisi wenye
kudai mabadiliko ndani ya vyama vyao na nje ya vyama vyao, katika utendaji wa serikali
za Zanzibar na Muungano.
Zanzibar imepitia vipindi vigumu vya kisiasa kabla ya uhuru na baada ya uhuru, na pia
kabla ya demokrasia ya vyama vingi iliyoanza 1992. Kila uchaguzi kuanzia ule wa 1995
7
Kopi zinaptikana MZALENDO.NET
wenyewe nchini.
Ni dhahiri, miafaka kadhaa baina ya vyama vya CCM na CUF na jitihada mbali mbali za
wapatanishi kutoka nje ya nchi na ndani na hata mwisho wake Raisi wa Jamhuri ya
KiZanzibari imeendelea kugawika katikati hasa katika kipindi cha miaka ya hivi karibuni
kwa msingi wa vyama vya CUF na CCM, na hii ni alau kwa kuutaja mmoja tu ya
wananchi hata katika masuala ya jamii, kibinaadamu na mlahaka. Kuna taarifa kuwa
mlahaka mzuri hapo awali. Haya yote na mengine zaidi yote yamechangia kuzoroteka
Professa Issa Shivji katika barua yake ya wazi kwa Mheshimiwa Rais Dk. Amani A.
Karume na Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad aliweka wazi maoni yake
kama aonavyo kwamba sababu kuu ya jitihada zilizokuwa zikifanywa kuleta upatanishi
mfupi mbele ya maslahi ya taifa/jamii (Mzalendo.net, jan 2010). Ni wazi kabisa, katika
8
Kopi zinaptikana MZALENDO.NET
hii n’ngwe ya mwisho ya Uraisi wake, Mheshimiwa Amani Karume, uamuzi waliofikia
yeye Raisi Amani Karume (ambaye pia ni kiongozi wa CCM) na, Maalim Seif Sharif
Hamad (Katibu Mkuu wa CUF) kwamba wazungumze na wazizike tafauti zao za kisiasa
kwa maslahi ya taifa la Zanzibar kwa kiasi kikubwa kumechangia kuleta hisia mpya
wa Professa Shivji basi tendo la Mheshimiwa Amani Karume na Maalim Seif Sharif
wametanabahi kuwa maslahi ya taifa wameyapa nafasi yake ya juu yanayostahiki kuliko
Makubaliano hayo ndio yaliyokuwa chachu iliyopelekea hata kufika hatua ya kupitisha
kwenye safari refu ya demokrasia ya kweli, safari ambayo itaweza kulinda mustakabali
nafasi kwa wananchi wenyewe kuamua kwa kura ya maoni. Hiyo ni njia moja ya
maamuzi katika suala hilo. Utafiti na maoni mbali mbali yameonyesha kuwa hadi sasa
wanasema hii ni nafasi adimu isiyofaa kuachwa ikapotea. Hao, ndio katika wanaotaka
mabadiliko haya yaje na yalete Serikali ya Umoja. Na kura nyingi za ndio katika Baraza
ikubalike, katika kuleta mabadiliko yoyote makubwa ya kisiasa ni wazi kuna wale
9
Kopi zinaptikana MZALENDO.NET
mbadala au hata ikiwa hawana au wanapenda tu hali iliyopo iendelee. Pindipo hoja
ulikuwa na mashaka na hoja hiyo kuwa sio wazalendo au wana walakini, ni lazima
pale hoja inapokubaliwa au kukataliwa. Pia lazima kuwaheshimu wale walioikataa hoja,
ijapokuwa kukataa kwao hakutokuwa kumeweza kuletea kuzuia mabadiliko. Kizazi kipya
zinarudisha nyuma maendeleo na badala yake kuimarisha umoja wa kitaifa. Ili kufikia
hatua hiyo, ni lazima taifa na vyama kutowa kipaumbele kwenye suala la mafunzo juu ya
uvumilivu wa kisiasa na ushindani wa vyama vya siasa. Pindipo hilo litachukuliwa uzito
kama ambavyo umoja wa kitaifa unavyotakiwa upewe uzito, hiyo itakuwa ni dawa ya
Wazo la kupiga kura ya maoni lilitolewa Januari mwaka huu wa elfu mbili na kumi na
Katiba ya Zanzibar iweze ruhusu kuwepo kwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa. Mswada
ukapitishwa na wawakilishi hao wote kwa asilimia mia. Ulipitishwa kwa sharti ya
10
Kopi zinaptikana MZALENDO.NET
kwamba wapewe nafasi Wazanzibari kwa kutumia kura ya maoni ili waweze kuamua
Wakati akiwasilisha mswada huo, Mhe. Abubakar Khamis Bakari aliilezewa kwa uwazi
na ufasaha kabisa sababu ya kuleta hoja hii ya Serikali ya Umoja ni kwamba hii anaiona
(Daily News, March 30,2010). Lakini, tukiangalia dunia nzima, suala la Serikali ya
Umoja nalo sio geni na limeshatumika nchi kadhaa duniani katika nia hiyohiyo ya
kutatuwa mizozo. Serikali za Mseto au Umoja wa Kitaifa mara nyingi huanzishwa pale
mfano, Kenya au Zimbabwe ni mfano mzuri wa nchi zilizo Barani Afrika kama ilivyo
katika historia yake kabla ya uchaguzi huru na haki ulioshirikisha raia wao wote wa
mwaka 1994. Ili kuepusha nchi yao kuendelea kukumbwa na mifarakano mikubwa nchini
mwao, Chama cha African National Congress (ANC) kilichoshinda uchaguzi na kutwaa
madaraka ya Serikali chini ya Uongozi wa Mandela (mmarufu huko kwa kwa jina la
nyengine kubwa sana ya sifa Raisi Mandela lakini uongozi mzima wa chama chao na
nchi yao kuheshimiwa na nchi nyengine duniani. Mfano wa Afrika ya Kusini ni mzuri
11
Kopi zinaptikana MZALENDO.NET
zaidi kuigwa kuliko hata ule wa Zimbabwe au Kenya ambao Serikali zao za Umoja
zimeletwa baada ya damu nyingi kumwagika na mali nyingi kupotea na hata heshima ya
taifa lao. Afrika ya Kusini walichukua tahadhari kabla ya athari haijawa kubwa. Inaingia
akilini kabisa, ikiwa njia hii ni tabibu kwa mizozo ya kisiasa, na Zanzibar inao mzozo wa
kisiasa kila uchaguzi, basi ni busara kabisa kukubali kutumia dawa hii iwe tabibu wa
gonjwa la kisiasa hapa Zanzibar. Tukiachilia mbali Serikali ya Umoja wa kitaifa, hata
mbinu ya uundwaji Serikali za Mseto hutumika sana nchi za ulaya ili kuondoa mivutano
upo kwa nchi nyingi kama vile Israel, Ujarumani, Italy na hata Australia ambazo zote hizi
Kwa kuendelea kukaa juu ya mstari katika mada hii inayohusu ufuatiliaji wa upigaji kura
ni kuwa kifungu hiki ni muhimu sana kwa demokrasia inayoambatana na upigaji kura ya
maoni kwani imeweka “precedence” (kigezo cha msingi kisheria) ambacho kinaweza
kufuatwa kwa suala lolote jengine la kisiasa ikihitajika upigaji kura wa maoni.
imepitishwa kuweza kuiruhusu iweze kusimamia upigaji kura huo”. ikiwa ni pamoja na
12
Kopi zinaptikana MZALENDO.NET
la Wapiga kura tu, ndio watakaopiga kura ya kuulizwa ama kujibu ndio au hapana na
majimbo yale yale yaliyopangwa kwa ajili ya uchaguzi mkuu na vituo vile vile katika
kama kutatokea shaka katika matokeo hayo, haitatiliwa maanani. Pia, kama ikitokea
matokeo hayo yakafungana (yaani yamekuwa sare), Tume itatangaza tarehe nyingine
katika kipindi cha mwezi mmoja baada ya matokeo hayo, kwa ajili ya upigaji kura
mwingine. Itakuwa ni kosa kwa mtu au taasisi kutangaza matokeo ya kura hizo kabla ya
ZEC na unapendekeza faini ya kati ya Sh milioni moja hadi 10 au kifungo cha miaka
mitatu jela au adhabu zote kwa pamoja. Kwa maelezo ya Mwenyekiti Khatib
maoni halikuelezwa katika sheria ya kura ya maoni au ipo khitilafu katika vifungu vyake,
basi sheria ya Uchaguzi ya mwaka 1984 (ambayo imefanyiwa marekebisho mara kadhaa
Kura ya maoni inatarajiwa tarehe 31 Julai 2010, na hivi sasa ZEC kupitia msaada ya
maendeleo ya elimu ya wapiga kura kupitia vikundi na jumuia mbali mbali za katika
mitaa na vijiji. Hizi jumuia ndio zinasaidia hata kusambaza taarifa na karatasi matangazo
13
Kopi zinaptikana MZALENDO.NET
Katika jumla ya haki za mpiga kura hiyo ya maoni ni kwamba, Mzanzibari aliyepiga kura
Rufani, Lakini kabla ya mtu kukata rufaa dhidi ya matokeo ya upigaji kura huo, atatakiwa
kwanza kuwa na wapiga kura 10 kutoka kila mkoa visiwani hapa, wanaomuunga mkono
na kulipa Sh milioni tano kwa ajili ya kufungulia kesi siku 30 baada ya matokeo
kutangazwa. Shindikizo langu katika mada hii ni kuwa kuwaelimisha wananchi sio tu
namna ya kupiga kura yenyewe bali pia kuwaeleza ina umuhimu wa Kura hiyo ya maoni
kwa maslahi ya taifa zima la Zanzibar kwa kipindi cha muda mfupi na baadae. Katika
demokrasia yoyote ni wajibu sio tu kuwafanya wapige kura bali wajadili kwa kina na
kuelewa ili wajue faida na hasara za kuwa na muundo huo mpya na faida na hasara za
muundo uliopo. Hili ni muhimu kwani maamuzi ya hao wananchi ikiwa ni kura ya Ndio,
uamuzi huo utawafanya waishi na huo muundo mpya kwa miaka ifuatayo, na
kuishi na mfumo uliopo. Kura ya maoni kwenye nchi mbali mbali huelimisha na
huchangamsha jamii kwa ngoma, nyimbo, mashairi, vifijo, alama na vichekesho kila mtu
kutia kampeni.
mwaka huu pindipo wananchi watasema ndio au hapana, basi la kwanza kabisa
14
Kopi zinaptikana MZALENDO.NET
kura ya maoni kwenye masuala muhimu ya kisiasa, uchumi, kero za muungano au hata
uongozi.
kisiasa katika nchi: Pindipo masuala mengi makubwa ya kinchi ambayo hatima yake
Na hakuna njia bora ya kuwashirikisha wananchi katika maamuzi inayoizidi hii ya Kura
ya maoni.
chanzo cha fujo na ghasia na ambavyo vingeweza kutumiwa hata na maadui wa Tanzania
kuhatarisha usalama wa nchi na badala yake kuleta hali ya amani na usalama ambayo
inavifanya hata vyombo vya ulinzi na usalama kufanya kazi zao katika hali ya utulivu na
pamoja wananchi wote ili kwa pamoja tushiriki katika ujenzi wa Zanzibar mpya(Seif
15
Kopi zinaptikana MZALENDO.NET
vyama tofauti vya siasa na kuwafanya wapendane na washirikiane katika shughuli zote za
kijamii wakijua kuwa wote ni wananchi wa nchi moja (Seif Sharif hamad, 2010). Katika
dunia ya leo, Serikali pekee hazikidhi mahitaji yote ya jamii kwenye huduma za elimu,
ndani na nje ya nchi katika ujenzi wa taifa utaweza kusaidia hasa maeneo ya huduma za
Katika mkutano wake na waandishi wa habari wakati akigombea nafasi ya uraisi kwa
tiketi ya Chama cha mapinduzi, Bw. Muhammad Yussuf Mshamba alieleza kuwa
kuimarisha Muungano haina maana hata kidogo ya kuingiza kila kitu katika orodha
utaimarika zaidi ikiwa hatua za makusudi zitachukuliwa kuyaondoa yale mambo yote
unaamini kuwa kuendelea kubakia kwake hakuleti faida wala maslahi mazuri kwake
na hivyo kuna muelekeo wa kuuathiri vibaya upande wake. Hili halina mjadala ikiwa
kikweli kweli katika misingi ya usawa, uhuru na upendo tokea hapo awali.
16
Kopi zinaptikana MZALENDO.NET
uhuru na upendo utaimarishwa Zanzibar basi ni wazi misingi hiyo ionekane katika
muungano. Kwani hayo ndio yatakuwa maadili ya Wazanzibari. . Kwa mfano tu,
f) Haja ya kusimamia imara rasilmali za nchi : Mwananchi mpenda nchi ni yule aliye
imara kulinda mali za nchi. Mwananchi mpenda nchi huwa si mla rushwa na mwenye
mpenda nchi ni yule anayetaka haki, na mali binafsi za raia mwenzake zilindwe
kama atakavyo zake zilindwe. Nchi yenye raia wasio na hisia na nchi yao huwa
kubwa kuzijenga hisia hizi. Masuala kadhaa nyeti yamejitokeza kwa jina la kero za
7.0. HITIMISHO:
17
Kopi zinaptikana MZALENDO.NET
Mwisho, waraka huu unahitimisha kwa maoni ya kwamba kura ya maoni ni muhimu kwa
vile inaruhusu msimamo wa walio wengi kukubalika kama ndio ridhaa ya wananchi na
katika vyombo vya dola. Kwa maana hii basi kura ya maoni inawakilisha matakwa ya
jamii au nchi. Kura ya maoni inastahiki na ina faida sana pale ambapo kuna masuala
nyeti ya kitaifa kwa ajili ya taifa. Kuna misemo mitatu ya wasia iliyousiwa na Mpigania
Haki za binaadamu maarufu huko Marekani (Martin Luther King) na Maraisi wawili
duniani ambayo ni mizuri kufungia makala hii. Wa kwanza ni wa Martin Luther King
hate corrodes the personality and eats away its vital unity. Hate destroys a man's sense of
values and his objectivity. It causes him to describe the beautiful as ugly and the ugly as
beautiful, and to confuse the true with the false and the false with the true” Kwa tafsiri ni
kuwa, Chui ni kama maradhi ya Saratani yasiyotibiwa, humuharibia mtu utu wake na
huharibu umoja. Chuki humfanya mwanadamu akaliita baya ni zuri na zuri ni baya, na
ukweli. Hili inabidi tulizingatie ili kuondokana na siasa za chuki. Wasia wa pili, ni wa
Raisi Abraham Lincoln usemao ‘A house divided against itself cannot stand’ yaani
na migawiko ndani ya nchi. Wa tatu ni ule maarufu sana wa Rais Kennedy usemao “ Ask
not what your country can do for you--ask what you can do for your country” yaani
18
Kopi zinaptikana MZALENDO.NET
“Usiulize nchi ukifanyie nini, uliza nini kinahitajika uifanyie uifanyie nchi yako”.
Marejeo (References)
1. Mark N. Franklin, Cees van der Eijk and Michael Marsh, (1995) Referendum
outcomes and trust in government: Public support for Europe in the wake of
case of Ghana, African Journal of History and Culture (AJHC) Vol. 1 (1), pp.
6. Gay, Oonagh and Wood Edward, (2000) House of Commons, 2000, The Political
1999-2000
19
Kopi zinaptikana MZALENDO.NET
8. Shivji, Issa, 2010, Barua ya wazi kwa Mheshimiwa Rais Karume na Maalim Seif
- http://hakinaumma.wordpress.com/2010/01/
23,2010-http://hakinaumma.wordpress.com/2010/01/23/maridhiano-na-
mustakbali-wa-zanzibar/)
10. http://www.thefreedictionary.com/referendum
2010.
20