You are on page 1of 16

www.annuurpapers.co.

tz

Sauti ya Waislamu

Kesi ya Imam Hamza yaanza kusikilizwa


Uk. 12

Vyombo vya habari vinaitisha Tanzania


Sio Al Qaida wala Al Shabab Kwa nini? Kwa masilahi ya nani?

ISSN 0856 - 3861 Na. 1092 DHULQADAH 1434, IJUMAA , SEPT. 27 - OKT. 3, 2013 BEI TShs 500/=, Kshs

Ukumbusho ni Dawa
Dr. Shein akumbushwa ahadi zake Mbatia, Mbowe wasema, YES Zanzibar Ni Fitna tu inayowahujumu Masheikh

Walioshambulia Kenya ni Kenya wachukue Mujahidina au al Shabab? tahadhari kubwa


Uchochezi wote huu kwa lengo gani? Kasema kweli Waziri wetu Nchimbi Tuwe makini, watu wengine nuksi Wachunguze kwa kituo, kuhoji sana Tanzania tusiparamie habari, tujifunze Mwenzako akinyolewa, kichwa chako

Picha kulia/kushoto, moja ya harakati za kuokoa mateka katika shambulio la kigaidi Nairobi, Kenya.

2
AN-NUUR

Tahariri/Makala/Tangazo

S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786 Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM. www.annuurpapers.co.tz E-mail: annuurpapers@yahoo.co.uk Ofisi zetu zipo: Manzese Tip Top Usangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

Serikali yatakiwa kuchukua tahadhari


Na Bakari Mwakangwale

DHULQADAH 1434, IJUMAA SEPT. 27 - OKT. 3, 2013

AN-NUUR

Poleni wana Kenya


Watanzania bado wanafanya mzaha
TUNACHUKUA fursa hii kuwapa pole jirani zetu Kenya kwa mkasa m zi t o ul i owapata wa kushambuliwa katika duka kubwa (Shopping Mall) la Westgate mapema wiki hii. Aidha tunawapa pole wale wote waliopoteza ndugu zao katika tukio hilo na kuwatakia kila la kheri wote waliojeruhiwa katika mkasa huo na Mwenyezi Mungu awawezeshe wapone haraka na kurejea katika hali ya afya njema. Wakati Kenya ikikumbwa na tukio hili la utekaji na mauaji ya wa t u wa s i o n a h a t i a , mataifa mengine yana cha kujifunza kupitia mkasa huu, hususan hapa kwetu Tanzania. Kwa muda mrefu vyombo vyetu vya usalama vimekuwa vikifanya mzaha na matukio ya kigaidi kwa kuhusisha vitendo vya uhalifu uchwara na ugaidi, huku uhalifu wenyewe ukichagizwa na kukuzwa na porojo za baadhi ya vyombo vya habari. Wa k a t i m w i n g i n e vyombo vyetu vya habari huzusha tuhuma za kigaidi nchini kwa sababu tu ya chuki za kiimani au kwa lengo la kuuza nakala nyingi. Ni jambo lililo wazi kuwa mara nyingi habari za ugaidi nchini huwa zinaripotiwa kwa kunasibisha na Uislamu au jamii ya Waislamu. Lugha ugaidi, Al Qaeda, Mujahidina, Siasa kali, Al Shabaab n.k. imekuwa ikitumiwa na baadhi ya vyombo vya habari na vyombo vya dola kama silaha muhimu ya kuituhumu na kuichafua jamii ya Waislamu hapa nchini, hata kwa matukio yasiyofanana kabisa na vitendo halisi vya kigaidi. Mfano mzuri ni uzushi u l i o f a n y wa d h i d i ya Chuo cha Kiislamu cha Aljaazira kule visiwani Ukerewe Mwanza, ambapo zilizushwa na k u t e n g e n e z wa h a b a r i katika gazei moja la kila siku kwamba chuo hicho cha Kiislamu, kinatoa mafunzo ya Ugaidi. Aidha gazeti hilo liliongeza kuwa nyakati za usiku huwa wanaingia wageni wasiofahamika chuoni hapo kwa mitumwi wakiingiza silaha! Mizaha ya mana hii imekuwa ikifanywa mara nyingi na vyombo vya habari nchini, na haishangazi kuona vyombo vyetu vya dola, navyo bila hata kuhoji kwa kina wachocheza wa habari hizi za kizushi na kuthibitisha habari zao, navyo huingia katika mkumbo huo huo wa propaganda na wakati mwingine kuwaingiza wasiokuwa na hatia matatani. Pe n g i n e h i i m i z a h a ya ugaidi imekithiri hapa kwetu kwa kuwa hatujaonja hasa ladha halisi ya ugaidi unaozungumzwa duniani zaidi ya kusikia tu kwa wenzetu. Tu k i o l a We s t g a t e n i f u n z o m u r u a k wa yeyote mwenye akili na anayejifunza. Kama tutakuwa tumejifunza kupitia We s t g a t e , h a t u d h a n i k wa m b a m c h e z o h u u tuliouzoea wa kuzua habari za kupika juu ugaidi hapa nchini, utaendelea. Na kama bado wapo wenye agenda zao kupitia lugha za ugaidi, Al Qaeda, Al Shaabab hapa nchini, hatuwezi kusema, wana hiari ya kuendelea na agenda zao (maana sikio la kufa huwa halisikii dawa). Hatuwezi kusema hivyo kwa sababu kila mchuma janga hula na wakwao. Janga likija litatuangamiza sote. Kwa hiyo, tutaendelea kufichua na kuzisemea propaganda za namna hii ili kuinusuru nchi yetu na balaa la kupandikiziwa kitisho bandia cha ugaidi. Hatma ya kitisho bandia, ni kuletewa ugaidi halisi. Kamwe hatutachoka kutekeleza wajibu huu wa kufichua propaganda hizi chafu.

SERIKALI imetakiwa kuacha kuwasakama Masheikh huku ikiwaacha Wachungaji wakiingia na kufanya watakavyo nchini, jambo ambalo ni hatari kwa mustakabali wa Taifa. Wito huo umetolewa na viongozi wa dini ya Kiislamu kwa nyakati tofauti katikati ya wiki hii, kufuatia malalamiko ya Wakristo dhidi ya Wachungaji wao kutoka nchi za nje wa n a o j i s h u g h u l i s h a na mambo ambayo ni kinyume na sheria za nchi ikiwemo biashara haramu ya dawa za kulevya. Akizungumzia suala hilo, Maalim Ally Baswaleh, aliitaka Serikali iwe makini juu ya madai ya waumini dhidi ya Wachungaji ( Wa h u b i r i ) wa o wanaotoka nchi za nje na kuingia katika Makanisa kwa kigezo cha kuhubiri. Maalim Bassaleh, alisema amesoma katika gazeti la Habari Leo, la Septemba 22,

2013, ambalo limeeleza kwamba hata viongozi wahusika katika idara za Serikali zinazohusika na masuala ya Mambo ya Ndani ya nchi na U h a m i a j i wa m e k i r i kupokea malalamiko ya Wakristo hao. Wa m e n u k u l i w a wakilalamika kwamba kuna baadhi ya Wa c h u n g a j i a m b a o wanatoka nje ya nchi kisha wanasababisha m i g o g o r o n d a n i ya Makanisa. Zaidi Wa c h u n g a j i h a o k u t o k a n j e ya n c h i hujishughulisha pia na biashara ya dawa za kulevya. Alisema Maalim Basaleh. Mbaya zaidi Maalim, alisema kwa mujibu wa malalamiko ya Wa k r i s t o h a o n i kwamba, Wachungaji hao wanapata vibali v ya k u we p o n c h i n i na kujishughulisha na shuhughuli za kihubiri pengine mpaka miaka miwili jambo ambalo ni hatari kwa maslahi ya Taifa. Alisema, wachungaji hao wa Kikristo wa n a p o i n g i a n c h i n i wamelalamikiwa kuwa

hupewa vibali na mamlaka husika, akadia h a l i n i t o f a u t i k wa upande wa Masheikh kutoka nchi za Kiarabu. Kuna Masheikh wetu kutoka nchi za Pakistani, India, Arabuni hufika humu nchini kwa minajili hiyo hiyo ya kuhubiri dini, lakini wanapoingia hupata misukosuko sana kutoka katika idara hizo

za Serikalini tofauti na hao Wahubiri wa Kikristo. Alisema Maalim Bassaleh. Alisema, kitendo hiki cha kuwasakama Waislamu waliopo ndani ya nchi au hata wale wanaoingia kwa lengo la kuja kufundisha dini, na kuwanasibisha na masuala ya kigaidi yana lengo la kuwapaka matope kuliko uhalisia wake.

Alitolea mfano tukio la mlipuko wa bomu Kanisani katika mji wa Arusha, hivi karibuni kwamba baada ya vyombo vya usalama kuwakamata raia wa Kiarabu kabla ya uchunguzi wa k a n a s i b i s h wa n a ugaidi. Kwa mujibu wa gazeti hilo la Habari Leo, limemnukuu msemaji wa Idara ya Uhamiaji nchini,

Ubungo Islamic high School


MAANDALIZI YA KUJIUNGA KIDATO CHA I, 2014 (PRE- FORM ONE ORIENTATION COURSE)

P.o. Box 55105 Tel: 2450069, 0712 974428, fax: 2450822 Dar es salaam. E-mail: ipcubungoislamic@gmail.com

UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOOL inatangaza program maalum ya maandalizi ya kujiunga na kidato cha kwanza 2014. Program hii itaanza tarehe 16/09/2013 hadi tarehe 16/12/2013. Jumatatu hadi ijumaa kuanzia saa 2:00 kamili asubuhi hadi saa 9:00 Alasir. Masomo yatakayofundishwa ni:Elimu ya dini ya Kiislamu, English language, Lugha ya kiarabu, basic Mathematics na Computer. ADA: Ni Tshs 60,000/= (Elfu sitini) tu. Inalipwa yote kabla ya kuanza programu. Fomu za Kujiunga zinapatikana shuleni BURE baada ya kulipa ada. Mlete mwanao apate Elimu yenye tija itakayomweze kujiunga na kidato cha kwanza. Kwa mawasiliano zaidi piga simu namba: 0714 888 557/0712 974428 Wabllah tawfiq MKUU WA SHULE

3
Na Omar Msangi
TA A R I FA z i l i z o t a wa l a b a a d h i ya v y o m b o v ya habari jana, zilikuwa zile za kitisho cha A-Qaida na Al Shabab. Kwamba Tanzania inakabiliwa na kitisho cha Al Qaida. A l - Q a i d a y a t i s h a Ta n z a n i a : Wa t a n z a n i a wapewa mafunzo ya ugaidi nje. Ndivyo lilivyoripoti gazeti la Mtanzania. Hofu Afrika Mashariki: Mtandao wa kigaidi wazidi kujitanua, kutawanya sumu. Lilidai gazeti la Rai na kuongeza kuwa Uhusiano wa Uamsho na Mombasa Republican unatia shaka. Wakati wananchi wa Afrika Mashariki wakijawa na hofu ya mashambulio yanayopangwa kufanywa na vikundi vya ugaidi vya Al Qaida na Al Shabab, imebainika kuna Watanzania wa l i o p e wa m a f u n z o ya ugaidi wanaojiandaa kufanya maovu. Limesema gazeti la Mtanzania jana. Pengine kabla ya kuchambua habari hizo tuseme yafuatayo. Aprili 5, 1986 watu watatu waliuliwa na wengine 230 kujeruhiwa vibaya katika shambulio la bomu lililofanyika katika u k u m b i wa s t a r e h e , L a Belle discothque Berlin, Ujerumani Magharibi. Haraka haraka ililaumiwa Libya na Rais Ronald Reagan akaamuru Tripoli na Benghazi ipigwe kama namna ya kulipiza kisasi. Katika shambulio hilo, watu 30 waliuliwa wakiwemo wa familia ya Muammar Gadhafi. Masaa mawili mara baada ya shambaulio hilo, Rais Ronald Reagan katika hotuba yake kwa taifa kupitia televisheni alisema kuwa aliamuru shambulio hilo kwa sababu alikuwa na ushahidi wa uhakika ("direct, precise and irrefutable" proof ), kwamba Libya ilihusika na bomu lililolipuliwa La Belle discothque. Hata hivyo, mwaka 1998 televisheni moja ya Ujerumani, Zweites Deutsches Fernsehen (ZDF television), ilitoa documentary, iliyofichua nani hasa alihusika na tukio hilo lililofanywa kisingizio cha kuipiga Libya. Documentary hiyo iliyorushwa hewani na televisheni (German public television) Agosti 25, 1998, ilifichua mambo ambayo, haikuwahi kufikirika, na wakati mwingine kuwa vigumu kuaminika kama sio kwa ushahidi madhubuti uliotolewa katika documentary hiyo (msomaji anaweza kuirejea au kusoma yaliyoripotiwa katika jarida, Frontal,. kuona kilichokuwepo). Lakini la muhimu zaidi kwetu ni kuwa documentary hiyo ilitolewa wiki tatu mara baada ya shambulio la kigaidi Tanzania na Kenya tukio ambalo, lilikuwa moja ya visingizio vya Rais Bill Clinton kuipiga Afghanistan na Sudan. Ilidaiwa katika shabulio lile kuwa wakati Afghanistan ilikuwa ikitoa mafunzo kwa magaidi walioshambulia balozi za Marekani Dar es Salaam na Nairobi, Sudan ilikuwa na kiwanda cha silaha za sumu.

Vyombo vya habari vinaitisha Tanzania

Habari

DHULQADAH 1434, IJUMAA SEPT. 27 - OKT. 3, 2013


kushambulia Nairobi ameingia Tanzania tayari kwa kufanya mashambulizi. Watu wakatakiwa kuepuka maeneo yenye mikusanyiko mikubwa ya watu kama sokoni Kariakoo. Polisi nao wakatamba wakisema kuwa wamemzingira gaidi huyo hatari kwa kusiriba mipaka, hana mahali pa kutokea. Mpaka leo polisi wala vyombo vya habari havijatufahamisha, hadisi ya Fazul imeishia wapi. Aliwezaje kupenya na kuondoka nchini bila kukamatwa? Ni katika kipindi hicho hicho baadhi ya magazeti yaliripoti juu ya magaidi wanaohusiana na Fazul, wenye asili ya Kiburushi walivyoingia nchini kuwinda wanyama katika mbuga zetu kwa ajili ya kuwapelekea kitoweo magaidi wa Al Qaida waliopo mafunzoni katika m a p a n g o ya K a n d a h a r . Hakuna hata mtu mmoja aliyekamatwa kuhusiana na habari hizo za kuwatisha wananchi, wala haikuelezwa imekuwaje magaidi hao waliweza kuwakwepa maofisa wa uhamiaji, polisi, wana-usalama na askari wa wanyama pori, wakawinda na kuondoka na kitoweo bila ya kukamatwa! Leo tena magazeti yanatuambia kuwa Al-Qaida yaitisha Tanzania na kwamba Wa t a n z a n i a w a p e w a mafunzo ya ugaidi nje. Na Mkuu wa Interpol Tawi la Tanzania, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP), Gustav Babile akanukuliwa akisema kuwa Polisi inajua kuwa wapo Watanzania wanaopewa dozi ya ugaidi na kwamba Polisi wapo macho kukabiliana nao. Gazeti la Mtanzani ambalo limeipigia ngoma sana habari hii ya kitisho cha Al Qaida Tanzania, ndio hilo hilo ambalo hivi karibuni liliandika habari ndefu kuhusu Chuo cha kutoa mafunzo kwa magaidi kilichopo katika moja ya visiwa vya Ziwa Victoria kule Mwanza. Katika kutoa picha jinsi wakufunzi wa ugaidi katika chuo hicho walivyo kuwa watu hatari, Mtanzania lilitoa michoro kuonyesha jinsi magaidi hao walivyochagua mahali pa kuweka chuo chao mahali ambapo si rahisi kufikwa na watu (hata Polisi/Usalama wa Taifa) akisahau kuwa Chuo hicho kimesajiliwa na baadhi ya watumishi wa Serikali hufika hapo mara kwa mara kwa shuguli za kiofisi. Labda kabla ya kuendeleza k i t i s h o h i k i k i p ya c h a ugadi, gazeti la Mtanzania lingetufahamisha kwanza kile chuo cha magaidi, Aljazeera Islamic Centre, kinaendeleaje na ile kesi iliyofunguliwa na wahusika wa Chuo hicho imefikia wapi. Gazeti la Mtanzania katika toleo lake la 13 Februari, 2013 na 20 Februari, 2013, lilichapisha habari likidai kuwa chuo hicho kinafadhiliwa na magaidi wa Al Shabab na kwamba

AN-NUUR

MAJERUHI akiokolewa kutoka duka la Westgate, Nairobi, Kenya. P a m o j a n a m a e n g i Retrieved 26 December 2012. close links between the US an y a l i y o f i c h u l i w a , Jump up ^ "Iraq 'behind US al-Qaeda? kuchambuliwa na kuelezwa anthrax outbreaks'", David Rose Kwamba kunahitajika na Jarida, Frontal, muhimu ni and Ed Vulliamy, The Guardian, kusemwa nini zaidi kuonyesha kuwa huenda waliotuhumiwa October 14, 2001 (4) Jump up ^ uhusiano uliokuwepo kati ya na kufikishwa mahakamani "The Anthrax Source". The Wall Al Qaida na Marekani? walikuwa watu wasio husika, Street Journal. October 15, 2001. Desemba 2008 mwandishi lakini waliotumika tu kuficha Retrieved 10 October 2011.Jump Gregory F. Fegel aliandika ukweli na kwamba wahusika up ^ One Month After 9/11, makala akihoji, nani Al Qaida hasa ni watu wanaozitumikia McCain Said Anthrax 'May (What is Al Qaeda?). taasisi kubwa kubwa za Have Come From Iraq,' Warned F e g e l a n a s e m a h a wa kikachero za nchi fulani. Iraq Is 'The Second Phase'", wanoitwa Al Qaida leo, ni L a k i n i p i a i n a e l e z wa thinkprogress.org, August 1, wapiganaji na Mujahidina kuwa, maadhali Reagan 2008. (6) Jump up ^ "Bentonite". a m b a o wa l i p i g a n a v i t a alisema kuwa alikuwa na CBS News. August 2, 2008. Afghanistan kuingoa Urusi ya ushahidi madhubuti, wakati Retrieved 29 March 2011.Jump wakati huo, USSR, ilipovamia haukuwepo, inatiwa wasiwasi up ^ "Mylroie: Evidence Shows nchi hiyo. Kulingana na siasa pia kuwa hata kinachoitwa ni Saddam Is Behind Anthrax za wakati ule za mataifa magaidi waliopo Afghanistan Attacks", Jarret Wollstein, ) makubwa mawili duniani waliodaiwa kushambulia au Newsmax.com, November 9, (super powers) yaliyokuwa kutoa mafunzo kwa watu 2001) yakishindana na kukamiana, wa l i o s h a m b u l i a D a r n a Hizo zikawa ndio habari Marekani ilisimama upande Nairobi, inaweza kufuata mashuhuri katika vyombo wa mujahidina kuwasaidia mkondo huo huo wa kutafuta vya habari ambazo zilidakwa kumpiga Mrusi, ikiwa ni mtu wa kumbebesha lawama. pia na huku kwetu. Sasa rejea pampoja na kutoa mafunzo, K a m a a n a v y o a r i f u katika taarifa ya FBI kuhusiana silaha na fedha. Nchi za Saudi ripota kutoka Ujerumani na uchunguzi waliokuja Arabia na Pakistan zilitumika akichambua taarifa ya Frontal kufanya (FBI: Famous Cases sana katika zoezi hili. ni kuwa alisubiri sana kwa & Criminals, Amerithrax or Hata hivyo kwa upande hamu kuona kuwa vyombo Anthrax Investigation.) uone mwingine, Marekani ilikuwa vikubwa vya habari kama ukweli ulivyokuwa. na tatizo moja, kuwa hawa CBS, NBC, ABC, CNN au M w a n d i s h i Wa s e e m watu wanaopewa mafunzo na magazeti yao, yatagusia Shehzad akiandika kuhoji, ni kupigana Jihad ya kumpiga habari hiyo muhimu ya nani Al Qaida anasema kuwa Mrusi, wanaweza kuwa hatari Zweites Deutsches Fernsehen kinachoshangaza ni kuwa hapo baadae kwa masilahi ya (ZDF television), lakini vyote hawa wanaoitwa Al Qaida, Marekani. Kwa hiyo ikawa ni vilipiga kimya! baadhi yao ndio waliotumiwa lazima kuweka kumbukumbu Katika lile shambulio la na Marekani katika kumngoa za kuwafuatilia watu hawa kimeta, magazeti yalipiga madarakani kiongozi wa (data-base). Al-Qaida ni neno sana zumari yakidai kuwa Libya Muammar Gadhafi na la Kiarabu lenye maana, The wahusika ni Al-Qaida. Gazeti sasa wanatumika tena Syria. base. Kwa hiyo lilitoholewa la The Guardian likaripoti Akinukuu taarifa ya taasisi kutoka ile data-base ya likidai kunukuu taarifa za mashuhuri ya Kimarekani, wapiganaji waliotumiwa wanasayansi wa Kimarekani ambayo ni moja ya taasisi kumpiga Mrusi. Na hao ndio wa k i s e m a k u wa k i m e t a muhimu zinazofanya kazi wanaodaiwa kuwa Al Qaida hicho kimetoka Iraq. Jarida kama think-tank, The Council ambao hivi leo wanaonekana la Wall St. Journal, nalo on Foreign Relations, anasema wakitumiwa kule Libya, likatoa tahariri ndefu likisema kuwa isingekuwa kuingia Syria na hata kuhusika katika k u wa wa n a o i s h a m b u l i a na kutumia al-Qaeda katika m a t u k i o ya n a y o i t wa ya Marekani kwa kimeta ni Al- uasi Syria, waasi (The Syrian kigaidi, iwe kwa mmoja wao Qaida na kwamba kimeta rebels) wanaotaka kumngoa kuhusika kupiga au kupigwa hicho kimetoka Iraq. Hiyo Bashar al-Asad, yaani, Free na watu wengine, halafu ikafuatiwa na maelezo ya Syrian Army (FSA) would ikadaiwa kuwa ni Al-Qaida. m m o j a wa wa b u n g e n a be immeasurably weaker Ni katika mazingira kama m wa n a s i a s a m a s h u h u r i today without al-Qaeda in haya mwandishi anasema wa Marekani, John McCain their ranks. kuwa, Al Qaeda is nothing more akizungumza katika kipindi Ufupi wa maneno, Council than a bogey man, an invented cha televisheni (Late Show on Foreign Relations (ya ghost to frighten children and w i t h D a v i d L e t t e r m a n ) Marekani) inasema kuwa the ignorant. Al Qaeda is the akisisitiza madai ya kuitia waasi wa Syria wanahitaji invisible and nonexistent enemy hatiani Al Qaida na Iraq. msaada wa Al Qaida. FSA that the US government has (Tazama: Jump up to: "A needs al-Qaeda now. manufactured to provide an Nation Challenged: The Inquiry; Na ndio maana unaona excuse for its never-ending 'War Experts See F.B.I. Missteps kuwa Al Qaida hao wanapewa on Terrorism', which is in reality Hampering Anthrax Inquiry". kila msaada na Marekani ili tu a war of US aggression for US The New York Times. October kutimiza lengo la kumngoa domination of the world and its 9, 2001. Retrieved 4 October Bashar al-Asad. resources. 2011.Jump up ^ "FBI was told to Ni katika mazingira na Huko nyuma vyombo vya blame Anthrax scare on Al Qaeda hali kama hiyo, mwandishi habari viliwahi kusambaza by White House officials". New Waseem Shehzad anahoji, habari za kutisha kuwa York Daily News. 2 August 2008. Need one say more about the g a i d i F a z u l a l i ye d a i wa

Inaendelea Uk. 4

4
Na Waandishi wetu, Zanzibar
WA K AT I z o e z i l a uandikishaji wa Daftari la Kudumu la Wapigakura likikumbwa na baadhi ya mazonge, Viongozi wa Chama cha Wananchi (CUF), wameibuka na kukumbusha ahadi ya Rais wa Zanzibar, Dokta Ali Mohamed Shein. Ahadi hiyo ni ile ambayo Raisi huyo wa Awamu ya Saba ya Uongozi wa Serikali ya Zanzibar, aliitoa mara tu alipotangazwa na Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) kuwa mshindi wa Kiti cha Urais, kupitia Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010. Ahadi hiyo aliitoa kwa umma wa wananchi, Mabalozi wa Nchi za Kigeni, Waangalizi na Wafuatiliaji wa Uchaguzi wa Kitaifa na Kimataifa, Viongozi wa kisiasa ambao ni pamoja na mpinzani wake mkuu wa wakati huo, na sasa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad. Moja kwa moja pia akinakiliwa na vyombo vya habari, Rais Dokta Shein aliahidi kurekebisha kasoro zote ndani ya Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) inayoratibu harakati za chaguzi, ambazo mara kadhaa zimezua sintofahamu hapa nchini. M a t a r a j i o k wa a h a d i hiyo ya Rais ni pamoja na kuirekebisha kama siyo kuivunja kabisa Sekretariati ya ZEC ambayo wapinzani wanaichukulia kuwa mwiba mchungu na pia hawana imani nayo. Mbele ya vyombo vya habari, na pia katika Mikutano ya Hadhara iliyofanyika Viwanja vya Kibandamaiti, Mjini Unguja hivi karibuni, Viongozi wa CUF, walisema hawajaona Mhe Rais akitekeleza ahadi yake, na hivyo wanakosa imani na mwelekeo wa maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015,

Makala

DHULQADAH 1434, IJUMAA SEPT. 27 - OKT. 3, 2013


wao wa hivi karibuni unatudhihirishia wananchi namna watu hawa walivyokosa azma njema hata ya hiyo Katiba Mpya ye n ye we t u n a y o i t a r a j i a ingeliweza kuleta nafuu na kuepusha migogoro ya mara kwa mara hata dhidi ya huo M u u n g a n o we n ye we . Mnaonaje waheshimiwa, alisema na kuhoji Bw. Mbowe. Kwa pamoja Viongozi hao walisikika wakiishia na kibwagizo kuwa yote hayo yanakuja kuidhoofisha Zanzibar na kutaka kuiruka ile haja isiyoweza kuepukika ya kidemokrasia kwa Wazanzibar na Wengi wa Watanzania wapenda haki wa kuipatia Dola ya Zanzibar mamlaka yake kamili. Kama hiyo haitoshi, Wakuu hao wa harakati za Siasa Nchini, kila mmoja kwa upande wake waligusia hujuma zinazotekelezwa mfululizo katika kipindi cha hivi karibuni Zanzibar, kwamba huenda ni kwa azma ya kuwatoa wananchi wa Visiwa vya Unguja na Pemba, kutoka katika mstari wa mshikamano wa kudai mamlaka kamili ya Nchi yao iliyofifilizwa na Muungano wa sasa tangu asili na zama. Aidha katika hali iliyoibua hisia za aina yake za umati uliofurika hapo, ni pale Viongozi hao walipohoji kwanini hadi sasa Masheikh na Viongozi wa Jumuiya za Kiislamu wanaendelea kushikiliwa na kuteseka jela, pasi na mantiki wala kosa lolote la msingi walilotenda kinyume na sheria, isipokuwa n i f i t n a t u i l i y o u n d wa kuwatisha na kuwadhoofisha wananchi kwa ujumla. Hivi ni uhalifu gani kwa mwananchi yeyote akiwa Sheikh au Padre kudai haki na muundo wa muungano autakao kama tulivyoona na yakawasibu Masheikh hawa, walihoji Viongozi hao.

AN-NUUR

Vyombo vya habari vinaitisha Tanzania


Inatoka Uk. 3
ugaidi?. Kama hawajafanya hivyo, kwa nini hawajakemea au kuchukua hatua dhidi ya waliotoa taarifa hizo? Je, kunyamazia taarifa kama hizo, Watanzania waelewe vipi? Kwamba polisi nao ni washirika katika propaganda za kupandikiza kitisho cha ugaidi nchini? Hii ni kwa faida ya nani? Agosti 13, 1998, mwandishi McLaughlin aliandika makala aliyoipa jina Questions mount in Kenya, Tanzania bombings. Ndani ya makala hiyo alieleza mambo mengi juu ya tukio la kinyama na la kigaidi la ulipuaji balozi za Marekani Dar es Salaam na Nairobi. Hata hivyo yapo mambo alihoji yanayohitaji akili kutafakari kwa kina. Alisema: according to several of the reports, bin Laden was associated with the CIA-backed mujahedin guerrillas during their war against the Soviet military occupation of Afghanistan in the 1980s. Among these were the CIA-trained terrorists who later were convicted in the bombing of the World Trade Center in New York City. The attitude of American officials to the investigations by Kenyan and Tanzanian police is also curious. After Tanzanian officials arrested several dozen people in Dar es-Salaam, the State Department belittled the action as little more than a roundup of "the usual suspects." The announcement by Kenyan President Daniel arap Moi that an unspecified number of suspects had been arrested in Nairobi was also dismissed as unlikely to represent an advance in the investigation. Kutokana na uchambuzi huo, yawezekana kuwa ni kweli kuna watu wamepewa mafunzo ya ki-Al Qaida kama polisi wanavyodai. Na inawezekana pia wakawepo vijana ambao wanaweza kuwa wanafanya darsa nchini hapa wakichambua itikadi na mbinu za ki-Al Qaida na Al Shabab. Kama ni kweli wapo, basi hao yawezekana wakawa sawa na wale akina Mahmoud Abu Jaber, Yasser Chroid na Musbah

ambayo ni pamoja hatua ya hivi karibuni iliyokamilishwa katika takriban Wilaya zote 10 za Unguja na Pemba, yaani uendelezaji wa Daftari la Kudumu la Wapigakura. Tu n a m u o m b a R a i s atekeleze ahadi yake aliyoitoa pale Bwawani hii ni muhimu na tunamkumbusha Muungwana ni kitendo na ukumbusho ni dawa, alisema na kukariri usemi huo mashuhuri wa Waswahili, Mkurugenzi wa Oganaizesheni wa CUF, Bw. Omar Ali Shehe. Ukumbusho huo ulikaririwa pia na Naibu K a t i b u M k u u wa C U F , Zanzibar, Maalim Hamad Massoud Hamad, akihutubia Mkutano wa hadhara hivi karibuni, katika Viwanja vya Demokrasia Kibandamaiti, Mjini hapa. Pamoja na ukumbusho huo, Ujumbe wa Viongozi hao wakiambatana na Maafisa wa CUF, pamoja na Mkurugenzi wa Haki za Binaadamu, Habari, Uenezi, na Mahusiano na Umma wa CUF, Bw. Salim Bimani, waliamua kwenda katika Ofisi za ZEC, Maisara Mjini hapa, kuonana uso kwa uso na Watendaji wa Tume hiyo, ili kuwakilisha kilio chao. Miongoni mwa shaka waliyonayo Viongozi wa CUF, pamoja na baadhi ya wananchi ni kuwepo pia kwa watu wanaothibitika kuwa ni mamluki (wasiostahiki kuandikishwa kwa sababu mbali mbali za kisheria) ndani ya Daftari la Kudumu la Wapigakura la Zanzibar. Chama cha CUF kimewahi kuyasoma hadharani majina ya mamluki hao ambao idadi yao inafikia mia kadhaa, huku wakishinikiza uhakiki wa wazi na wa haki wa daftari hilo. Tulipouambia Uongozi wa Z E C u m e j i b u k u wa

Ukumbusho ni Dawa
uhakiki wa daftari ni jambo dogo kabisa la mara moja linalowezekana sasa tunawangojea, alisema Naibu Katibu Mkuu wa CUF, Zanzibar. Pamoja na hitilafu hizo, CUF wamelalamikia uzorotaji wa zoezi hilo la uandikishaji ambapo hadi linafikia ukingoni kwa awamu ya karibuni, nia Asilimia 21 tu ya matarajio. Nasema kama Mwenyekiti wa Kamati ya Ukaguzi wa Mali za Serikali, huu ni ufisadi na ubadhirifu wa fedha za wananchi na ufujaji wa fedha za wafadhili, alisema Mkurugenzi huyo ambaye pia ni Mjumbe wa Baraza la Wawakilishi la Zanzibar Jimbo la Chake Chake, Pemba. Aidha CUF wamehoji hatua za kukataliwa kwa mamia ya wananchi wenye sifa za kuwa wapigakura huku watu wasiokuwa na sifa wakiendelea kupeta ndani ya Daftari hilo. Ahadi ya CUF ni kuendelea kupaza sauti kwa umma na kuhakikisha kwamba uchaguzi mkuu ujao Inshaallah unakuwa huru na wa haki kwa hali na mali. Wakati huo huo, Viongozi Wa k u u wa V ya m a v ya Upinzani wamesema hakuna sababu ya kuwabania na kuwaadhibu Wazanzibari kwa hoja yao ya kudai mamlaka kamili ya Zanzibar. Kauli ya Viongozi hao ilikuja kupitia mkutano maalum wa hadhara, Jumatano ya wiki hii, katika Viwanja vya Demokrasia, Kibandamaiti mjini Unguja, uliohudhuriwa na maelfu ya wananchi kutoka kila pembe ya Zanzibar. Vi o n g o z i h a o a m b a o walihutubia kwa zamu mbele ya halaiki ya umati mkubwa wa watu waliojitokeza katika hadhara hiyo, ni pamoja

na James Mbatia (NCCRMageuzi), Profesa Ibrahim Lipumba (Chama cha Wananchi, CUF), na Freeman Mbowe (CHADEMA). Kwa kauli moja, huku wakishangiliwa kwa shangwe kubwa ikiongozwa na wimbo maarufu wa twataka nchi yetu sasa tumechoka, Viongozi hao walisema Mabadiliko ya Katiba ya Muungano yamekuja ili kuwapa fursa wananchi waamue mfumo wautakao wa utawala wa nchi wala si vinginevyo. Hapa ndugu zangu lengo halikuwa kuonyesha ubabe na ukiritimba wa kisiasa wa chama, bali maamuzi ya wananchi juu ya katiba waitakayo, alisema Profesa Lipumba ambaye ni Mwenyekiti wa CUF, Taifa. Kwa msisitizo kila mmoja wa Viongozi hao alipopanda jukwaani alilani kwa nguvu zote, walichodai kuwa ni kitendo cha buruza-buruza ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mpaka hatua ya kuupitisha kwa ghilba Mswada wa Kisheria wa hivi karibuni, mjini Dodoma. Tunasema mswada ule ni batilihaukupata ridhaa ya wananchi kupitia Wabunge wao hivyo ni haramu haukubaliki, alisema Bw. James Mbatia ambaye ni Mwenyekiti wa Taifa wa NCCR-Mageuzi. Kwa upande wake Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ambaye pia ni Mwenyekiti wa CHADEMA, Taifa, Bw. Freeman Mbowe, a l i s e m a u k i r i t i m b a wa Chama cha Mapinduzi (CCM), kuyateka Mabadiliko ya Katiba, ni kudhihirisha ukosefu wa nia njema ya kuuongoza umma. Hilo pamoja na uhuni

kilikuwa kikitoa mafunzo ya kigaidi huku wakufunzi wa ugaidi wakiingia Kisiwani Ukerewe kwa mitumbwi na kuingiza makontena ya silaha. K w a u p a n d e mwingine, kabla Polisi hawajatufahamisha walivyojipanga kukabiliana na kitisho hiki kipya cha AlQaida kama kilivyoripotiwa na Mtanzania, labda, wangetufahamisha wamechukua hatua gani dhidi ya kile chuo kilichodaiwa kutoa mafunzo kwa magaidi kule Ukerewe? Silaha ngapi wamekamata na wamewatia m b a r o n i wa k u f u n z i n a wa n a c h u o wa n g a p i wa

Eter waliohusishwa katika tukio la La Belle discothque Bombing. Na hao hapana shaka watakuwa katika wale, ama waliokwisha andaliwa au wanaoandaliwa, kwa kujua au kutokujua, na kuingizwa katika database za wenyewe wenye vita yao ya ugadi duniani. N a k wa m a a n a h i y o , kupambana nao wala haisaidii kitu. Kukubali kuwepo watu hao na kupambana nao ni kutekeleza tu mkakati wa mpango wenyewe mkubwa ambo ni kuziingiza nchi mbalimbali duniani katika machafuko na kurahisisha uingiliaji wa kijeshi na kikachero, na hivyo, nchi hizo kutiwa katika makucha na kudhibitiwa na mabeberu.

5
Na Sudi Jafar Shaban

Habari za Kimataifa/ Tangazo

DHULQADAH 1434, IJUMAA SEPT. 27 - OKT. 3, 2013

AN-NUUR

Kashfa za uzinifu, ufisadi Kanisa Katoliki zamchanganya Papa Francis


Suala la kufichuliwa ufisadi wa fedha huko Vatican, ubakaji, ndoa za jinsia moja katika Kanisa Katoliki, ni kadhia zilitawala sana vichwa vya habari katika miaka ya hivi karibuni. Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis wa Kwanza, ameonya kuwa ikiwa Kanisa hilo halitapigwa msasa, basi kuna uwezekano likasambaratika kabisa. Kwa mujibu wa kiongozi huyo, ili kupunguza matatizo yanayolikumba Kanisa, lazima iwekwe mikakati madhubuti ya kukabiliana na muundo wa urasimu uliojikita katika Kanisa hilo. Papa Francis wa Kwanza amesisitiza kuwa, ameazimia kulikarabati Kanisa ambalo kwa mujibu wake, linakabiliwa na matatizo chungu nzima likiwemo suala la ndoa za watu wa jinsia moja na mengine mengi. Aidha kiongozi huyo amewataka pia Makasisi wa Kanisa hilo kutumia muda mwingi katika kutatua matatizo ya watu wa kawaida. Katika hotuba yake, Papa Francis alionya kuwa, Kanisa Katoliki litaharibiwa mithili ya nyumba ya makaratasi, isipokuwa tu kama litaweza kuyafanyia kazi maamrisho na makatazo ya Injili na kupunguza urasimu uliokita mizizi katika Kanisa hilo. Awali Papa Francis wa Kwanza, sambamba na kukiri kuwepo ufisadi n a k u f u n g wa k i j a n j a ndoa za watu wa jinsia moja huko Vatican, lakini pia amekosoa vikali mwenendo huo. Kiongozi huyo alikiri kuwepo udhaifu mkubwa sana katika kukabiliana na vitendo hivyo vichafu na kufafanua kuwa, katika miongo ya hivi karibuni, Va t i c a n i m e k u m b w a na mgogoro mkubwa wa utumiaji mbaya wa fedha, maadili maovu na hasa unyanyasaji wa kijinsia dhidi ya watoto wanaofundishwa katika shule zilizo chini ya Kanisa hilo, kwenye nchi tofauti duniani hususan Ulaya na Marekani. Kiongozi huyo amesema k u wa , h a t a n d a n i ya Vatican kwenyewe, kuna mtandao wa ufisadi na makundi yenye nguvu ya watu wa ndoa za jinsia m o j a . A m e k i r i k u wa ameshindwa kukabiliana vilivyo na vitendo hivyo na kuibebesha jukumu hilo kamati ya Makadinali watiifu kwa Kanisa. Kukiri kwa Papa juu ya k u w e p o m t a n d a o huo ndani ya Vatican, kunaashiria kuwepo ufisadi mkubwa mno katika kituo hicho kikuu na muhimu cha Wakristo duniani. Katika miaka ya hivi karibuni, zimekuwepo tuhuma nyingi za kimaadili na ubadhirifu wa fedha dhidi ya Kanisa Katoliki na kwamba hadi sasa, mafaili yanayohusiana na ubakaji na kunajisiwa watoto wadogo kulikofanywa na viongozi wa Kanisa Katoliki yameshalitia hasara kubwa Kanisa hilo katika nchi za Magharibi, hususan Marekani huku b a a d h i ya M a a s k o f u

WAISLAMU nchini Ufaransa wamefanya maandamano ya kupinga hatua ya kubatilishwa ruhusa ujenzi wa Msikiti katika mji wa Shell nchini humo.

Waislamu Ufaransa waandamana kudai Msikiti


Maandamano ya Waislamu wa mji huo, yamejiri baada ya kuenea habari zinazodai kufutwa kibali cha ujenzi wa msikiti na kuwalazimu kufanya maandamano mbele ya ofisi ya Baraza la Mji kutaka kufanyika uchunguzi kuhusiana na madai hayo. Wa j u m b e wa B a r a z a h i l o l a m j i wa l i o k u wa wamekutana katika ofisi hiyo kwa ajili ya kuchunguza kadhia mbalimbali za mji huo, walikabiliana na maandamano ya Waislamu waliokuwa wamekusanyika mbele za ofisi. Katika kujaribu kutuliza hali ya mambo, wajumbe hao waliwataka wajumbe Waislamu katika baraza hilo la mji, kuwasilisha mapendekezo yao katika kikao kijacho. Katika kikao hicho, Meya wa mji wa Shell alitangaza kuahirishwa mjadala wa

Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis wa Kwanza. nchini humo wakilazimika Kanisa hilo. Sambamba kustaafu kutokana na na kuashiria kuwepo kashfa hizo. Makasisi watenda dhambi Mwishoni mwa mwaka katika Kanisa hilo, Papa 2012 kiongozi wa zamani Benedict wa 16 aliwataka wa Kanisa Katoliki, Papa Wakatoliki duniani kuacha Benedict wa 16, alielezea dhambi na kushikamana uwepo wa viongozi wenye na misingi ya dini hiyo. kutenda ufisadi katika (Irib.ir)

Waislam wa mtaa wa Mongo, Kata ya Karakata Uwanja wa Ndege jijini Dar es salaam, wanaomba msaada wa kununuliwa eneo la kujenga Madrasa. Kwa juhudi za Waislamu wa eneo hilo, wamepata eneo ambalo linauzwa shilingi milioni saba. (7,000,000). Mpaka sasa waumini wenyewe wamechangishana na kupatikana shilingi milioni mbili (2,000,000/= bado shilingi milioni tano (5,000,000). Unaweza kutoa chochote ulichojaaliwa na Allah (sw) kwa namba zifuatazo 0659-626 372.
WAISLAMU nchini Ufaransa wamefanya maandamano nchini Ufarasa.

Msaada

kupatiwa Waislamu ardhi kwa ajili ya ujenzi wa msikiti hadi miezi miwili ijayo na kwamba, Baraza la Mji halina lengo la kufuta kikamilifu kibali cha ujenzi wa vituo vya ibada vya Waislamu. K a t i k a m i e z i ya h i v i karibuni, Waislamu nchini Ufaransa wamekuwa wakikabiliwa na wimbi la ubaguzi wa serikali dhidi yao, hususan kuzuia vazi la stara la hijab katika asasi za elimu za umma.

Msimamizi wa Madrasa Ust. Jafari.

6
Na Omar Msangi
HUWEZI kutuzuiya. Tuna kimeta (anthrax). Unakufa sasa. Je, unaogopa? Ifilie kwa mbali Amerika. Iangamie Israel. Allahu Akbar (Mungu ni Mkubwa). Huo ndio ujumbe uliokuwa katika barua ambazo zilileta kizaazaa Marekani ambacho kilijulikana kama Anthrax terror attacks. Ilikuwa mara tu baada ya shambulio la kigaidi Septemba 11, 2001, Marekani ilikumbwa na mkasa mwingine ambapo barua zilizosadikiwa kuwa na vimelea vya k i m e t a , z i l i t u m wa k wa watu mbalimbali kupitia barua. Katika tukio hilo, watu watano waliuliwa na wengine 17 kuambukizwa na kuwahi kutibiwa. Mara tu baada ya tukio hilo, Ikulu ya Marekani ilidai kuwa hilo lilikuwa shambulio la al Qaida na kwamba al Qaida hao ni washirika wa Saddam Hussein. Badala ya kuacha vyombo vya usalama na ukachero kufanya kazi yake, ilikuwa kana kwamba a l i ye k u wa M k u r u g e n z i wa FBI, Robert Mueller analaumiwa kwa kutokuwahi kutoa taarifa na ushahidi wa haraka kuthibitisha kuwa Osama Bin Laden anahusika. Vyombo vya habari kwa upande wao vikawa vinatoa habari vikilaumu moja kwa moja al Qaida na Saddam Hussein kuwa ndio waliofanya shambulio hilo na kujenga hoja kuwa Saddam ana silaha za maangamizi. Katika kukoleza habari hizo kuwa wahusika ni al Qaida na kwa upande mwingine, ni Waarabu/ Waislamu, magazeti ya Marekani yakachapicha uliodaiwa kuwa ujumbe uliokuwa ndani ya barua zilizokuwa na kimeta hicho. Ujumbe ulikuwa wa namna mbili. Mmoja ulisema: 09-11-01 THIS IS NEXT TAKE PENACILIN NOW DEATH TO AMERICA DEATH TO ISRAEL ALLAH IS GREAT Ujumbe unaonyesha kuwa waliotuma barua ni watu wanaoichukia Marekani na Israel. Ukiunganisha na neno: Allahu Akbar, inakuwa wepesi kuamini kuwa waliotuma ni Waislamu. Ujumbe wa pili ambao ulitumwa kwa Maseneta Daschle na Leahy ulifanana na huo ila kwa tofauti ndogo tu. Ulisema: 09-11-01 YOU CAN NOT STOP US. WE HAVE THIS ANTHRAX. YOU DIE NOW. ARE YOU AFRAID? DEATH TO AMERICA. DEATH TO ISRAEL. ALLAH IS GREAT.

Makala

DHULQADAH 1434, IJUMAA SEPT. 27 - OKT. 3, 2013

AN-NUUR

Kenya wachukue tahadhari kubwa

Wachunguze kwa kituo, kuhoji sana Tanzania tusiparamie habari, tujifunze Mwenzako akinyolewa, kichwa chako

HABARI zilizochapishwa na baadhi ya vyombo vya habari vya kimataifa juzi zimefahamisha kuwa raia wa Kenya wa kabila la Kisomali, wapo katika wasiwasi mkubwa wakihofia kushambuliwa kama namna ya ulipizaji kisasi. Wasiwasi huo umewakumba pia Waislamu, hasa wale wanaoishi maeneo yenye Wakristo wengi. Wasiwasi huu unakuja kutokana na propaganda kubwa na habari za kichochezi ambazo zimekuwa zikichapishwa katika magazeti toka mwanzo wa tukio la kuvamiwa na kutekwa watu ndani ya jengo la kibiashara Nairobi. Wakati ikidaiwa kuwa

Walioshambulia Kenya ni Mujahidina au al Shabab?


huenda waliohusika katika shambulio hilo ni kundi la al Shabab kama namna ya kulipiza kisasi kutokana na askari wa Kenya kuwa vitani ndani ya Somalia; baadhi yan vyombo vya habari vimegeuza tukio hilo kuwa ni mapambano ya kidini, walengwa wakiwa ni Wakristo. Pamoja na kuwa mchezo huo ulianzishwa n a m a g a z e t i ya K e n ya , inavyoonekana ni kuwa umepata wachezaji mahiri kwa hapa Tanzania kuliko hata Kenya kwenyewe. Gazeti la HABARILEO la Jumatano likiendelea kuripoti juu ya tukio hilo, katika moja ya vifungu vya habari yake iliyobebwa na kichwa cha habari, Simulizi za kutisha Westgate Nairobi, liliarifu kuwa washambuliaji na wauwaji hao walikuwa Mujahidina. Kuna idadi isiyohesabika ya miili iliyotapakaa ndani ya duka na Mujahidina wanadhibiti eneo lao Westgate. Na mahali pengine HABARILEO likasema: M a t e k a a m b a o wanashikiliwa na Mujahidina ndani ya duka wako hai, wamechanganyikiwa sana lakini wako halimateka wote wamevishwa mabomu yanayoweza kulipuliwa kwa rimoti. Kabla ya kueleza kuwa watu hawa ni Mujahidina, HABARILEO lilisema k u wa , wa u wa j i h a o

Baadhi ya majeruhi wa tukio la shambulio lililotokea eneo la Maduka la Westgate nchini Kenya hivi karibuni.

Hapana shaka kila aliyesoma ujumbe huo, haikuwa tabu kwake kuamini kuwa wahusika n i a l Q a i d a ( Wa a r a b u / Waislamu), nazo taarifa za magazeti, televisheni na kauli za wanasiasa, zikawa zinasherehesha tu. Hata hivyo, taarifa zinazopatikana katika ukurasa wa FBI katika mtandao, pale wanapozungumzia kesi/ uhalifu, uliowapa tabu sana katika historia ya ufanyaji kazi zao; hii ya ugaidi wa kimeta (Amerithrax Investigation), ni namba moja. Katika uchunguzi wa FBI (Amerithrax or Anthrax Investigation), waligundua kuwa kimeta kilichodaiwa kimetoka kwa al Qaida/ Osama Bin Laden, kilitokea ndani ya Marekani kwenyewe na mtuhumiwa namba moja akawa Dr. Bruce Ivins. (Tazama: FBI, Famous Cases & Criminals, Ame r i t h r a x or An t h r ax Investigation.) Dr. Bruce Edwards Ivins, aliyezaliwa Aprili 22, 1946, alikuwa mtafiti na kiongozi katika maabara za kijeshi Marekani (microbiologist, vaccinologist, senior biodefense researcher at the United States Army Medical Research Institute of Infectious Diseases (USAMRIID) in Fort Detrick, Maryland.) Mara tu baada ya habari kuwa ndiye aliyehusika na shambulio la kimeta na FBI kuanza uchunguzi, ilidaiwa kuwa Dr. Ivins alijiuwa siku ya Jumanne Julai 29, 2008 kwa kubugia sumu kali iliyotajwa kwa jina la Tylenol. Hapo ikawa ndio mwisho wa juhudi za FBI kumpata mshambuliaji wa shambulio

Inaendelea Uk. 7

walisikika wakiamuru Waislamu kuondoka, kabla ya k u wa u l i z a m a s wa l i kibabe, kuona kama mateka hao wanaweza kukariri vifungu vya Korani na kutaja jina la Mama wa Mtume Muhammad. Mahali pengine HABARILEO linasema kuwa, magaidi hao walificha sura zao kwa skafu zenye maandishi ya Korani. Habari kama hizi zinahamisha mgogoro kuwa ni kati ya al Shabab na Kenya iliyopeleka jeshi Kenya na kuwa mgogoro k a t i y a Wa i s l a m u n a Wakristo, na kwa maana hiyo, hautakuwa wa Kenya Inaendelea Uk. 8

7
la kigaidi la kimeta (anthrax terror attack). Baada ya kuyasema hayo, napenda niungane na wananchi wa Kenya kulaani kwa nguvu zote kitendo cha kikatili na kigaidi kilichofanywa cha kuwashambulia watu wasio n a h a t i a n a k u wa u wa . Katika shambulio hilo inadaiwa kuwa watu zaidi ya 60 waliuliwa na wengi kujeruhiwa. Taarifa zinasema kuwa washambuliaji hao walivamia jengo maarufu, Westgate, jijini Nairobi, linalomilikiwa na mwekezaji kutoka Israel ambalo lina maduka, migahawa, casino na harakati mbalimbali za kibiashara na kiofisi. Eneo hilo linaelezwa kuwa ni maarufu kwa watu wa kipato cha juu. Wa k a t i t u n a l a a n i shambulio hili la kikatili, tunamwomba Mwenyezi Mungu awalaze mahali pema, wale waliodhulumiwa uhai wao na kuwapa tawfiiq ya kupona haraka wale waliojeruhiwa. Kwa upande mwingine, ni imani yetu kwamba Serikali ya Kenya itafanya kila jitihada kuhakikisha kuwa wahusika wanapatikana na hatua stahiki kuchukuliwa. Hata hivyo, katika kufanya uchunguzi huu, umakini na uangalifu mkubwa unatakiwa kwa sababu katika matukio kama haya, inaweza kuwa sababu ya kuleta maafa makubwa zaidi katika nchi. Maafa yenyewe ni yale ya kuwagawa wananchi na kujenga chuki miongoni mwao jambo ambalo laweza kuleta ulipizaji wa kisasi na kuzua balaa zaidi. Katika shambulio la kimeta, taarifa za awali na propaganda za vyombo vya habarii na hata wanasiasa, zilidai kuwa wahusika ni al Qaida na Saddam Hussein. Hata hivyo, uchunguzi wa FBI ukagundua kuwa kimeta hicho kilitoka katika maabara z a n d a n i ya M a r e k a n i kwenyewe na wahusika ni watu wazito katika taasisi nyeti za Kimarekani. Katika kukoleza propaganda ya kuwapachika uhalifu huo al Qaida, vyombo vya habari vilichapisha habari zikidai kuwa ujumbe ulio katika barua ulikuwa ukizungumzia chuki dhidi ya Marekani/Israel, huku u k i s i n d i k i z wa n a n e n o Allahu Akbar. Bila shaka waandishi, kuna ujumbe walikuwa wakitaka kufikisha bila ya kusema moja kwa moja. Hali kama hiyo inajitokeza katika tukio hili la Kenya. Ukitizama vyombo vya

Makala

DHULQADAH 1434, IJUMAA SEPT. 27 - OKT. 3, 2013


AK-47, na sio moja, nyingi, mtu anaweza kuwa na akili pamoja na muda wa kuanza kusikiliza na kutambua kitu kama Kiarabu au Kisomali, kikizungumzwa au anakimbia kusalimisha roho yake? Katika mkanganyiko kama huu, ndio hapo ninaposema kuwa kuna haja kwa Serikali ya Kenya, vyombo vyake vya usalama na wananchi kwa ujumla kuchukua hadhari kubwa. Taarifa kama hizi za gazeti la Nation, sio tu zinasema kuwa wahusika ni Waislamu, lakini linachochea chuki, uhasama na ulipizaji kisasi. Swali ni je, kwa nini pawe na mkazo huu kuwa Waislamu waliachiwa ila Wakristo wakapigwa risasi?

AN-NUUR

Inatoka Uk. 6

habari, unachojifunza ni kuwa, kabla hata uchunguzi haujafanyika, wanataka kuwaaminisha watu kuwa waliohusika ni Waislamu na walilenga kuwauwa Wakristo wa Kenya. Nitafafanua. Gazeti la Sunday Nation September 22, 2013 katika habari yake inayoongoza, katika aya ya pili ya habari hiyo linasema: Only those who identified themselves as Muslims and were able to recite Muslim prayers, were spared. Likimaanisha kuwa wale waliojitambulisha kuwa ni Waislamu na wakaweza kutamka sala ya Kiislamu, waliachwa. Hawakuuliwa na magaidi hayo. Who were able to recite Muslim prayers. Mtu unajiuliza, ni ipi hiyo Muslim prayers? Mwandishi anataka wasomaji wake kuamini kuwa, kabla ya kushambulia, wauwaji walifanya kwanza zoezi la kuwatambua Wa i s l a m u . L i k a w e k w a gwaride la utambuzi, Waislamu wakajitambulisha. Lakini ili kuwa na uhakika kwamba ni Muislamu kweli, unatakiwa kusema Muslim prayers! Mara tu baada ya maelezo hayo kuwa Wa i s l a m u w a l i w e k w a kando, mwandishi anasema: Children were among those shot in cold blood by the attackers. Akiwa na maana kuwa, washambuliaji hawakuwa na huruma hata kidogo kwa vile waliwapiga risasi hata watoto wadogo. Katika habari hiyo hiyo, mwandishi Lucas Barasa anasema kuwa mshambuliaji alikuwa akiuliza nani Muislamu, huku akisema Allahu Akbar! (They chanted

Kenya wachukue tahadhari kubwa


Allahu Akbar, as they entered the building.) Mwandishi hakuishia hapo. Katika sehemu tofauti tofauti SUNDAY NATION likaandika: Some of the witnesses claimed that the hooded men asked them to read a message in Arabic. Those who could not read the message were allegedly killed on the spot. Kwamba eti mashuhuda wa tukio waliona magaidi hao, wakiwaamuru watu kusoma ujumbe wa Kiarabu. Wa l i o s h i n d wa k u s o m a Kiarabu, ndio waliuliwa hapo hapo. Inavyoonekana magaidi hawa hawakuwa na woga ndio maana walichukua muda mrefu, kufanya gwaride la utambulisho k u w a j u a Wa i s l a m u n a Wakristo. Hata hivyo, wakati huo huo gazeti linasema kuwa walificha nyuso zao wasitambulike na kwamba walikuwa wakirusha risasi ovyo bila mpango. Hebu soma tena kauli hizi za Sunday Nation: anybody who is Christian will be executed. People who were coming from inside were ordered to speak Somali and those who failed were shot. They were armed with AK47. They walked through the parking lot chanting Allahu Akbar. They shot people indiscriminately but Muslims were allowed to leave. Labda tusimame hapa tujiulize swali, mtu anayepiga watu risasi indiscriminately, risasi inachagua vipi Muislamu na kumuacha? Likiendelea gazeti linasema, They were telling the Muslims to leave but only those in full dress or buibui were allowed to go. Non-Muslims were shot. The three had with AK47 and Grenades. They were speaking Swahili. Kwamba washambuliaji wa l i k u wa wa k i wa a c h i a Wa i s l a m u k u o n d o k a , waliovaa hijabu kamili au buibui. Wasio Waislamu walipigwa risasi. Tofauti na sehemu nyingine iliposemwa kuwa walikuwa wakiwatambua Waislamu kwa kuwaambia kusoma ujumbe wa Kiarabu au Kisomali, hapa gazeti linasema kuwa washambuliaji walikuwa wakizungumza Kiswahili! Kwa bahati mbaya sana b a a d h i ya m a g a z e t i ya Tanzania, yameiga mtindo huu huu wa kujenga chuki, uhasama na uchochezi wa kulipiza kisasi baina ya Waislamu na Wakristo. Sehemu moja katika gazeti la THE CITIZEN la Jumatatu, Septemba 23, 2013 katika habari yake iliyopewa kichwa cha habari Israel steps in as Nairobi death toll hits 59, inasema: They spoke something that seemed like Arabic or like Somali. I saw people being executed after being asked to say something. Something that seemed like Arabic, ni kitu gani? Maneno kama haya ni yale yale ya Nation yanayodai kuwa watu walitakiwa kusali sala ya Kiislamu, walioshindwa ndio wakauliwa. Nalo gazeti la NIPASHE la Jumatatu likiripoti habari hizo likasema kuwa: Walioshuhudia walisema wavamizi hao walizungumza kitu kama Kiarabu au Kisomali. Kitu kama Kiarabu au Kisomali, ni kitu gani? Hivi katika hali ya mtafaruku ya risasi kupigwa ovyo kutoka katika silaha nzito

BAADHI ya majeruhi wa tukio la shambulio lililotokea eneo la Maduka la Westgate nchini Kenya hivi karibuni.

Haya maneno kuwa watu walitakiwa kusali swala ya Kiislamu na kusoma ujumbe wa Kiarabu, walioshindwa wakauliwa, yanalenga nini? Katika tukio la kimeta, ili kujenga hoja kuwa wahusika ni Waislamu, maneno Allahu Akbar, yalitumika. Na mara moja Rais Bush na Makamo wake Cheney, wakataka

utafutwe ushahidi haraka kuihusisha al Qaida. Hata hivyo, wakati huo vyombo vya kikachero vya Marekani vilikuwa vikiamini kuwa vimelea vya kimeta kama vile visingeweza kuzalishwa mapangoni alikojificha Osama Bin Laden, bali ilihitajika maabara ya kisasa ambayo Al Qaeda hawana. ( Ta z a m a : A N a t i o n Challenged: The Inquiry; Experts See F.B.I. Missteps Hampering Anthrax Inquiry.

T h e N e w Yo r k T i m e s . October 9, 2001. Retrieved 4 October 2011. (2) Jump up ^ FBI was told to blame Anthrax scare on Al Qaeda by White House officials. New York Daily News. 2 August 2008. Retrieved 26 December 2012.) Katika uchunguzi wake, FBI ikaibua mambo mazito kiasi cha kuliweka tukio la kimeta kuwa ni katika uhalifu tata na mgumu uliowapa changamoto kubwa makachero hao katika historia ya kuwepo kwake. Katika shambulio hili la kikatili la Kenya, napo haraka haraka tunaambiwa k uwa wahusika walikuwa

wakitamka Allahu Akbar n a k u f a n ya g wa r i d e l a utambulisho ili kuwatenga Waislamu kando na Wakristo. Wasiwasi ni kuwa isije ikawa ni yale yale ya anthrax terror attacks na al Qaida. Sura ya wazi inayojitokeza Inaendelea Uk. 10

8
Inatoka Uk. 6 pekee kwani hata Mkristo wa Tanzania akisikia kuwa kuna Mujahidina aliyevaa kofia iliyoandikiwa Korani ameuwa kinyama Wakristo wa Kenya, atashikwa na hasira na kuwachukia Waislamu wanaomzunguka. Swali hapa ni je, waliofanya shambulio na kuuwa watu ni Mujahidina au watu wanaodhaniwa kuwa ni al Shabab? Je, ni kweli kuwa kabla ya kufanya mauwaji ya kinyama, Mujahidina (al Shabab) hao, walifanya kwanza gwaride la utambulisho kuwatambua walio Waislamu ili wasiuliwe? Je, ni kweli kwamba kabla ya mauwaji kulikuwa na quiz, ama test (mtihani) i l i y o k u wa n a m a s wa l i mawili: Kwanza kusoma aya ya Quran na pili kutaja jina la Mama wa Mtume Muhammad? Mwandishi anaweza kudai kuwa hiyo ni kwa m u j i b u wa m a s h u h u d a wa tukio au habari katika mtandao, lakini mwandishi/ Mhariri wa HABARILEO atakumbuka kuwa Jumatao ya tarehe 19 Mei, 2010 gazeti lake lilichapisha habari juu ya mtoto wa shule ya msingi aliyevamia ubalozi wa M a r e k a n i a k i wa n a kigeleni cha mafuta ya taa akitaka kulipua ubalozi huo. Kwa mujibu wa taarifa za HABARILEO mtoto huyo alivamia ubalozi huo usiku kupitia lango (gate) namba 3 akafanikiwa kukwepa kamera na mitambo ya ulinzi pamoja na FFU na askari lukuki wanaolinda ubalozi huo kila kona. Baadae ikaarifiwa kuwa mtoto huyo alijifunza mbinu hizo za kikomandoo kupitia kanda za mawaidha za baadhi ya Masheikh wa Msikiti wa Mtambani. Japo HABARILEO lilidai kuwa taarifa hizo ni kwa mujibu wa chanzo cha habari ndani ya ubalozi wa Marekani, lakini baadae Wamarekani wenyewe walikanusha baada ya kudhihiri usanii na kiroja kilichopo katika habari hizo. Habari nyingine ambazo zimepambwa sana na magazeti mengi nchini katikati ya wiki ni zile zinazodai kuwa kachero mmoja wa kikosi maalum cha anga cha Uingereza (SAS) aliibuka shujaa. Ikapambwa kuwa askari huyo ambaye alikuwa akipata kahawa katika moja ya migahawa iliyopo katika jengo lililovamiwa, alifanya kazi kubwa ya uokozi akidaiwa kuokoa zaidi ya watu 100. Mwanajeshi huyo siku hiyo alikuwa akipata kahawa katika moja ya migahawa ya Westgate wakati magaidi walipovamia. Shujaa huyo anadaiwa kurudi dukani humo mara 12, kuokoa watu licha ya mashambulizi ya bunduki yaliyokuwa yakiendelea. Likiendela kumsifu

Makala/ Tangazo
HABARILEO likasema kuwa shuhuda mmoja alisema: A l i c h o k i f a n ya ( a s k a r i huyo wa Uingereza) ni cha kishujaa. Alikuwa akinywa kahawa na marafiki zake wakati tukio hilo linatokea. Alirudi ndani mara 12 na kuokoa watu 100. Fikiria kurudi ndani huku ukijua kilichokuwa kikiendelea humo. Gazeti la Mwananchi la Jumatano likiarifu habari hizo lilisema kuwa Askari wa Kikosi Maalum cha Anga (SAS) cha Uingereza, ameonekana shujaa katika tukio la uvamizi lililotokea katika jengo la maduka l a We s t g a t e b a a d a ya kufanikiwa kuokoa watu 100 waliokuwa ndani ya jengo. Likasema, wakati anafanya kitendo hicho cha kishujaa, askari wengine (wa Kenya?) walikuwa wakimshangaa kwa ujasiri wake. Gazeti linasema kuwa shuhuda mmoja aliyeshuhudia askari huyo a k i f a n ya k i t e n do h i ch o cha kishujaa alisema: A l i c h o k i f a n ya ( a s k a r i huyo wa Uingereza) ni cha kishujaa. Alikuwa akinywa kahawa na marafiki zake wakati tukio hilo linatokea. Alirudi ndani mara 12 na kuokoa watu 100. Tu n a a m b i w a k u w a magaidi walikuwa wakishambulia ovyo (indiscriminately). Katika hali ya mtafaruku Kama hiyo, ambapo kila mmoja hukimbiza roho yake, shuhuda gani huyo alikaa mahali kazi yake ikawa kumtizama askari huyo akiingia na kutoka hadi mara 12? Yeye hakimbii! Kasimama huku risasi zinarindima. Kazi yake kumtizama askari huyo wa SAS akiingia na kutoka na mateka! Akahesabu mpaka akaona kafikisha safari 12 na kaokoa watu 100? Baada ya hapo! Ndio naye akakimbia kuokoa maisha yake au alibaki kumpongeza SAS! Shuhuda gani huyo? Pe n g i n e m c h e z o h u u ungenoga kama tungeambiwa kuwa SAS huyo alivaa kanzu na baraghashia maana kwa taarifa za magazeti haya haya, aliyevaa kanzu na kujua kusema Kiarabu hauwawi! Taarifa zinasema kuwa SAS huyo alikuwa akinywa kahawa kabla ya shambulio kutokea na hakuwa amevaa mavazi ya kijeshi. Nani huyo alikuwa akimfuatilia, kumpiga picha na kutambua kuwa ni askari wa SAS halafu baada ya shambulio akawa anamfuatilia anavyofanya kazi ya uokozi? Shambulipo limetokea Nairobi, sio London, askari huyo alikuwa anafanya nini Nairobi? Magazeti yanasema kuwa kikosi hicho kipo Kenya na katika Afrika ya Mashariki kwa ujumla kwa lengo la kupambana na Waislamu wenye msimamo mkali. Je, hii kupigia tarumbeta kuwa washambuliaji wa l i k u wa wa k i wa l e n g a Wakristo na kuwaachia huru Waislamu, ni katika k u h a l a l i s h a u we p o wa askari hao? Kusema kuwa askari wa Kenya walikuwa wamesimama wakimshangaa askari huyu wa Uingereza akifanya ukomandoo bila kuogopa risasi za wauwaji ndani ya jengo, je ni katika kujenga hoja kuwa Afrika Mashariki hatujiwezi kujilinda ila tupate msaada wa Uingereza, Marekani na Israel? Kama yale tuliyoambiwa ni kweli, kuwa washambuliaji walikuwa wakiuwa watu kikatili bila mpango, na zaidi wakilenga wanaoonekana kuwa sio Waislamu, basi itabidi tuelezwe, nini uhusiano wa washambuliaji hao na SAS huyu hata awe na ujasiri wa kuingia ndani mara 12 bila kuogopa huku askari wa Kenya wakimshangaa. Mapema wiki hii Waziri wa Mambo ya Ndani Mheshimiwa Emanuel Nchimbi alinukuliwa na vyombo vya habari akiwataka Watanzania kuwa makini katika masuala yanayohusu usalama wa nchi. Alisema: Watanzania lazima tuwe makini hasa nyakati hizi ambazo usalama wa dunia upo shakani. Waziri Nchimbi alisema kuwa Serikali kwa upande wake imekuwa ikijitahidi kuweka nchi katika hali ya usalama ikiwa ni pamoja na kuendesha operesheni za kuwasaka wahamiaji haramu. Ni kweli kama alivyosema Waziri Nchimbi, usalama wa dunia hivi sasa upo shakani. Ukirejea yaliyojiri Septemba 11, uvamizi Iraq, Afghanistan, Libya, Misri, Somalia na mgogoro unaoendelea Syria na haya ya Somalia; utaona kuwa si shwari tena. Libya ya Gadhafi haipo, imesambaratishwa na majeshi ya NATO. Sasa majeshi hayo yanapiga kwata yakitaka kuingia tena Syria baada ya kupatikana watu ndani ya Syria wa kuanzisha chokochoko wakaungwa mkono na wapiganaji wanaodaiwa kwa upande mwingine kuwa ni magaidi. Magaidi hayo kwa vile hivi sasa wanatumika kumngoa mtu asiyetakiwa na Marekani, wanaonekana watu muhimu sana wanapewa kila msaada. Sasa katika hali kama hii, kama hatutakuwa makini, tukawa watu wa kushabikia habari za kuchochea chuki, uhasama na visasi kati ya Waislamu na Wakristo, tujue tumeumia. Profesa Mahmood Mamdani ameandika makala yake akifanya tathmini ya

DHULQADAH 1434, IJUMAA SEPT. 27 - OKT. 3, 2013


hao wakapewa jina zuri la Alliance for the Restoration of Peace and Counter-Terrorism (ARPCT). Hata hivyo, kutokana na nguvu za Serikali na kutokana na Serikali kuungwa mkono na Wasomali takriban wote m p a k a wa l i o k o n j e ya nchi, wababe hao wa kivita hawakuweza kufurukuta. Walishindwa. Hapo ndipo kupitia Ethiopia, mkakati ukawa kuivamia Somalia kijeshi. When this alliance was defeated following a series of skirmishes with the Islamic Courts Union, the US looked for another proxy. The second phase of indirect US involvement in Somalia began as Ethiopian forces moved into Somalia and easily toppled the Union of Islamic Courts with full US political and military backing. Anasema Prof. Mamdani akimaanisha kuwa mkakati wa kutumia wababe wa kivita ulipofeli, likatumika jeshi la Ethiopia. Kilichofuatia ni kuangushwa Serikali ya Mahakama za Kiislamu na badae kuibuka al Shabab. Katika ushauri na maoni yake Prof. Mamdani anasema kuwa historia hiyo ni lazima i z i n g a t i we n a k wa m b a isifikiriwe tu ufumbuzi wa kijeshi-kutuma jeshi la Ethiopia, Kenya, Uganda, Burundi na wengine. Kama Wasomali waliwahi kukaa wenyewe wakapata ufumbuzi, basi kuna haja ya kutizama ufumbuzi wa kisiasa utakaoleta suluhu ya kudumu Somalia kama Rais Museveni wa Uganda Inaendelea Uk. 10

AN-NUUR

Walioshambulia Kenya ni Mujahidina au al Shabab?

ugaidi uliofanyika Nairobi na waliodaiwa kuwa ni al Shabab. Katika maelezo yake baada ya kulani ;ugaidi na mauwaji hayo anarejea historia ya mgogoro wa Somalia ulioibua al Shabab. Anasema kuwa baada ya Marekani kukimbia nchi hiyo na kile kilichoitwa kikosi cha Umoja wa Mataifa, Wasomali wenyewe chini ya Umoja wa Mahakama za Kiislamu (Union of Islamic Courts), walifanikiwa kuleta amani katika nchi yao. Hata hivyo anasema, Marekani haikupenda hali hiyo. Anasema, Marekani haikujali kuwa, Shariah au Sheria za Kiislamu, ndio jambo pekee linalowaunganisha Wasomali wote na ndilo lililoweza kuwaleta pamoja wale waliokuwa wababe wa kivita na wazee wa Koo mbalimbali. Blind to its local resonance, the US saw the Union of Islamic Courts as nothing but an Al Qaeda conspiracy, a threat to international peace. In the years that followed, it put together and backed a coalition of warlords, aptly titled Alliance for the Restoration of Peace a n d C o u n t e r - Te r r o r i s m (ARPCT). Kwamba Marekani iliipa tafsiri potofu Serikali ya Mahakama ya Kiislamu kwamba ni ugaidi wa AL Qaida na ili kupambana nayo, ikawakusanya na kuwapa misaada wababe wa kivita (magaidi) ili wapambane na serikali hiyo. Magaidi

Imetengenezwa kwa vitu vya asili kama parachichi na mwarobaini Ogea na kupaka povu lake katika sehemu iliyoathirika. Sabuni hii ina povu laini na zuri ambalo huweza kuhimili hata maji ya chumvi. Huondoa chunusi, harara, mabaka ya usoni, mapunye, fangasi na muwasho mwilini, huondoa mabaka mwilini yanayosababishwa na unene, huondoa mipasuko midogo midogo katika nyayo, hufanya ngozi kungaa, kuwa laini na nyororo. Pia ni nzuri kwa watoto wadogo na wanaosumbuliwa na magonjwa sugu ya ngozi. Sasa inapatikana katika maduka mbalimbali jiji la Dar es Salaam. Kariakoo-maduka ya vipodozi ya Mchikichini na Sabasaba, maduka ya dawa za asili Mkunguni, Msikiti wa Idrisa na Mtoro, Kiomboi Kisiriri phamarcy Buguruni n.k. Kwa watu wa mikoani watakaohitaji watatumiwa. Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kupitia namba: 0717 098892/0756 392 440/0719 541 012/0774 065652 au fika katika ofisi zetu zilizopo Tabata-shule.

SABUNI YA ASILI

AZA

Makala

DHULQADAH 1434, IJUMAA SEPT. 27 - OKT. 3, 2013

AN-NUUR

Kituo cha Habari cha Palestina (Tanzania)


MAKUBALIANO ya l i y o f i k i wa m j i n i Oslo baina ya Israel na chama cha ukombozi cha Palestina (PLO) hivi majuzi yametimiza miaka ishirini, lakini hakuna mafanikio yaliyopatikana katika maeneo ya Mashariki ya Kati. Wa p a l e s t i n a wa n a e n d e l e a k u d a i Uhuru wa taifa lao wakati Israel ikiendelea kukalia kimabavu na kijeshi ardhi ya Palestina. Hakuna kilichobadilika tangu makubaliano h a y o ya t i w e s a i n i . Wapalestina wanendelea kugandamizwa wakati ardhi yao ikivamiwa na kukaliwa na wakoloni wa Israel. Kilichofanyika ni kuwa ulimwengu umezidi kulaani ukoloni huu na kuunga mkono harakati za Wapalestina. Israel nayo inajifanya kuwa eti inakabiliwa na tishio la usalama na uhai wake. Eti usalama wao uko hatarini wakati Israel imerundika silaha za maangamizi na nzito kushinda nchi zote za Kiarabu, wakati Israel ni nchi pekee yake yenye silaha za nyuklia katika Mashariki ya Kati. Kwa muda wa miaka ishirini Israel imekuwa ikitumia kila mbinu ili kuzuia uundwaji wa taifa la Palestina. Imekuwa ikivamia ardhi ya Palestina na kupanua makazi yake haramu. Wakati huo huo imekuwa ikifanya mbinu za kuzuia juhudi za Palestina kujiunga na kutambuliwa kama taifa kamili katika Umoja wa Mataifa na asasi zake N i d h a h i r i k u wa mbinu za Israel za uvamizi wa ardhi ya Palestina unaungwa mkono kikamilifu na Marekani. Siyo tu Marekani inaunga mkono utawala dhalimu wa Israel bali pia na ugandamizaji na utesaji wa Wa p a l e s t i n a . S i ajabu kwa hiyo Israel imekuwa na kiburi cha kupuuza makubaliano ya Oslo yaliyoridhiwa na kutiwa saini Matokeo yake Israel wamekuwa wakiona kuwa ardhi ya Palestina siyo tena ardhi iliyovamiwa na kukaliwa kijeshi bali eti ni ardhi inayogombaniwa na pande mbili. Na ndio maana hata wakati wanapofanya mazungumzo ya amani huwa wanaendelea kupanua makazi yao haramu Kama hayo yote hayatoshi, basi Israel sasa inataka itambuliwe kama taifa la Wayahudi Wa k a t i h u o h u o wa n a e n d e l e a k u d a i kuwa taifa la Palestina litakaloundwa lisiwe na majeshi yake ya ulinzi, lisiwe na ulinzi wa mipaka katika bonde la Jordan, lisiwe linalinda vyanzo vyake vya maji na anga yake. Tukizingatia madai haya ya Israel na vitendo vyake, ni dhahiri kuwa hawana nia ya k u i a c h i l i a a r d h i ya Palestina. Mbinu yao ni kuwapa Wapalestina utawala bandia usio n a m a s h i k o . Ya a n i utawala wenye uwezo

MIAKA ISHIRINI YA OSLO


wa kuwadhibiti raia wao tu, bila ya kuwa na mipaka inayotambulika, katika ardhi iliyojaa vikwazo vya kijeshi vinavyoendeshwa na Israel Pia tukizingatia madhila na mateso yanayofanywa na Israel dhidi ya Wapalestina, tunaona kuwa lengo la Israel ni kuzuia uwezekano wa Palestina kuiburuza Israel katika mahakama za kimataifa ili kujibu mashitaka ya jinai na uharamia dhidi ya mwanadamu Israel inaota ndoto kuwa watawala wa k e wa t a p o n y o k a kutoka mahakama za kimataifa, inategemea k u w a Wa p a l e s t i n a watawasamehe. Wa k a t i y o t e h a ya yakitokea, Waisraeli hupenda sana kuwalaumu Wajerumani na Wazungu kutokana na mauaji ya Wayahudi ya l i y o f a n y i k a h u k o Ulaya zaidi ya miaka sabini iliyopita. Kuna mradi mkubwa uliobuniwa kueneza na kuendeleza propaganda hizi za mauaji ya Wayahudi (Holocaust) yaliyofanywa na kikundi cha Nazi huko Ujerumani. Lengo ni kudumisha lawama kwa Wakristo na Wazungu kwa ujumla Miaka ishirini baada ya kusainiwa makubaliano ya Oslo, wachambuzi wa kisiasa wanatofautiana kuhusu mustakabal wake. Kitu kisichokatalika ni kwamba kuna tofauti kubwa baina ya Israel yenye maguvu ya

kijeshi na Wapalestina walio dhaifu. Hivyo, makubaliano ya aina hii hayawezi kuwa imara na ya haki. Hata hivyo, ni lazima tukubali kuwa makubaliano haya angalao yameondoa zile fikra za mshindi na mshindwa, mawazo ya vita baina ya pande mbili. Kwa mara ya kwanza hakuna upande ambao unaweza kudai kuwa umeshinda. Badala yake yamekuja mawazo ya maridhiano, makubaliano na amani baina ya pande mbili Hata hivyo, ni jambo la kusikitisha mawazo haya hayajaendelezwa kwa muda mrefu na badala yake yametawala mawazo ya utumiaji wa nguvu na ubabe, mawazo ya imani kali za kidini. Ndipo tunaona baada ya muda mfupi wa matumaini, mazungumzo ya amani yamedidimia baada ya kuuawa kwa kiongozi wake mmoja, Bwana Yitzhak Rabin aliyekuwa waziri mkuu wa Israel Takriban miaka kumi baada ya hapo akauawa kiongozi mwengine wa mazungumzo ya Oslo, Bw Yassir Arafat mkuu wa PLO. Inasemekana a l i l i s h wa s u m u ya P o l o n i u m n a wa t u wale wale wasiopenda mazungumzo ya amani yaendelee katika Mashariki ya Kati. Inasikitisha kuwa m a wa z o h a ya h a ya yanaendelea leo katika siasa za Israel. Ni watu wa aina hii ndio wanaosukuma Israel kuelekea kwenye

msimamo mkali, uvamizi na ukandamizaji wa Wapalestina. Watu hawa ndio walioleta masikitiko na kuzika nyuso za furaha miongoni mwa watoto wa Palestina na Israel K w a h i y o , haistaajabishi kuona kuwa haya mazungumzo yanayoendelea hivi sasa hayana uwezekano wa kufanikiwa. Ni kwa sababu mazungumzo haya yanatumiwa na Israel kama mwanya wa kupanua makazi yao haramu na kuchelewesha uwanachama wa Palestina katika Umoja wa Mataifa na asasi zake Ndio maana katika vikao vinane vilivyofanyika hivi karibuni kilichofanyika ni kuzungumzia ajenda tu, bila ya kuelekea kwenye mambo muhimu na ya kimsingi Baada ya miaka 20 ya Oslo na mpango wa amani, sasa Wapalestina wa n a h a k i k a k u wa Marekani peke yake haina uwezo wa kuhuisha na kusimamia mazungumzo ya amani. Kama kuna mabadiliko basi ni lazima yaanzie Israel kwenyewe kwa kubadili msimamo wao Lakini mabadiliko haya ni kama ndoto. Inahitaji muujiza, sawa na muujiza ule uliomfanya Nabii Issa kutembea juu ya maji katika Bahari ya Galileo __________________ ____________________ Wasiliana nasi: P.O Box 20307, 612 UN Road Upanga West, Dar es Salaam Tel: 2152813, 2150643 Fax: 2153257 Email: pict@pal-tz.org Website: www.pal-tz. org

Walioshambulia Kenya
Inatoka Uk. 8
alivyofanya baada ya kutoka msituni na NRA (M) yake. Kwa kuzingatia maoni hayo ya Profesa Mamdani, tutizame, ni nchi gani iliyopata amani kwa kupewa usaidizi wa kijeshi katika kinachodaiwa kupambana na ugaidi? Afghanistan, Iraq, Yemen, Libya, kote huko ni balaa tupu. Hivi leo Iraq, watu wanauwana kwa kiwango cha kutisha. Kabla hawajavamiwa na Marekani kwa kisingizio cha kuwakomboa kutokana na udikiteta wa Saddam, hapakuwa na mauwaji ya aina hii. Japo kwa upande wa Serikali Waziri Nchimbi anasema kuwa Serikali inajitahidi kupambana na wahamiaji haramu, l a k i n i k wa u p a n d e mwingine hatari ya wa h a m i a j i h a r a m u inaweza kuwa n d o g o k u l i k o wa l e tunaowakaribisha au wakati mwingine wanaojikaribisha wenyewe na wakawa wageni na washirika wa Serikali. Serikali ya Yemen ilikaribisha wageni, wakidai wageni hao kuwa wanaisaidia

10

Makala/Matangazo

DHULQADAH 1434, IJUMAA SEPT. 27 - OKT. 3, 2013

AN-NUUR

Kenya wachukue tahadhari kubwa


Inatoka Uk. 7 ni kuwa taarifa za

Serikali ya nchi hiyo kupambana na ugaidi. Ili kitisho cha ugaidi kikolee, wageni hao wakawa wanauwa watu ovyo, halafu serikali inadai kuwa ndiyo iliyouwa ikipambana na magaidi! Na hayo yalikuwa makubaliano rasmi kati ya wageni hao viranja wa kupambana na ugaidi na aliyekuwa Rais wa Yemen Ali Saleh. Yemeni ikoje leo! Kila uchao droni zinauwa watu wasio na hatia. Pakistani nako ni hivyo hivyo. Droni zinauwa, h u k u Wa p a k i s t a n nao wakiuwana wenyewe kwa wenyewe katika kisasi kilichopandikizwa baina ya Mashia na Wasuni. Sasa wakati tukiwataka wananchi watekeleze wajibu wao wasikaribishe wageni kiholela wasio raia, lakini tuwe makini p i a n a h a wa S A S wanaojidai kutusaidia kupambana na magaidi. Usalama wa nchi yetu hautaletwa na wageni, hasa hawa waliojitangaza kuwa mabingwa wa kupambana na ugaidi duniani. Hawa kila walipoingia, imekuwa balaa tupu.

vyombo vya habari zinalenga kuitisha hasira za kisasi baada ya kujenga chuki na uhasama miongoni m w a Wa k r i s t o . Kama huo ndio u t a k u wa m p a n g o wenyewe, ndio hapo i n a b i d i Wa k e n ya kuwa makini sana. Linaweza kuibuka shambulio jingine, safari hii likaelekezwa Msi ki t i ni au k wa Waislamu. Taarifa kama hizi za Nation, zikageuzwa. I k a a m b i wa k u wa i l i k u wa Wa k r i s t o wakiachiwa ila Waislamu huuliwa. Na kama ni Msikitini, taarifa zikasambazwa kuwa washambuliaji walisema kuwa wanalipiza kisasi. Ikifika hapo, Kenya wajue wameumia. W a t a k u w a wamefikishwa kwa Washia na Wasuni wa

Iraq/Pakistan. Matarajio yangu ni kuwa wananchi wa Kenya na viongozi wao, wataisoma picha hii na kujua njia sahihi ya kupita ili kuepusha balaa. Na maadhali imeelezwa kuwa FBI nao wapo wanasaidia katika uchunguzi, bila shaka Wakenya watajifunza mengi kutoka kwao kutokana na zile propaganda za George W Bush na mwenzake Dick Cheney, katika anthrax terror attacks na yaliyokuja kujiri baada ya v i j a n a wa R o b e r t M u e l l e r k u f a n ya kazi na kumuibua Dr. Bruce Edwards I v i n s wa U n i t e d States Army Medical Research Institute of Infectious Diseases (USAMRIID), Fort Detrick, Maryland.

ISLAMIC PROPAGATION CENTRE


NAFASI ZA KUJIUNGA NA KOZI FUPI YA UALIMU KATIKA VYUO VYA UBUNGO NA KIRINJIKO-2014
Sifa na masharti ya kujiunga Muombaji atimize sifa na masharti yafuatayo: (i) Awe Muislamu aliye tayari kuishi Kiislamu (ii) Awe anajua kusoma Quran kwa ufasaha. (iii) Awe amemaliza juzuu ya 1 na 2 ya Maarifa ya Uislamu, Darasa la Watu Wazima kabla ya kujiunga. (iv) Awe na uwezo wa kusoma na kuandika lugha ya Kiswahili kwa ufasaha. (v) Awe amehitimu angalau darasa la saba na awe anafundisha madrasa au kipindi cha dini katika shule za Msingi au Sekondari. Maelekezo muhimu (i) Patakuwa na usaili na mtihani siku ya tarehe 30/11/2013 saa 2:00 asubuhi katika chuo cha Ubungo na Kirinjiko na katika vituo mbalimbali vya mitihani kote nchini. (ii) Mwisho wa kuchukua fomu ni tarehe 29/11/2013. (iii) Fomu italipiwa shilingi 5,000/- tu. Fomu zinapatikana katika vituo vilivyoorodheshwa ukurasa wa 11 MKURUGENZI

Bismillahir Rahmanir Rahiim

11

Tangazo
Bismillahir Rahmanir Rahiim

DHULQADAH 1434, IJUMAA SEPT. 27 - OKT. 3, 2013

AN-NUUR

ISLAMIC PROPAGATION CENTRE


NAFASI ZA KIDATO CHA KWANZA 2014
Waislamu kote nchini mnatangaziwa nafasi za kidato cha Kwanza kwa shule zifuatazo: Mkuzo Islamic High School - Bweni tu - SONGEA Kirinjiko Islamic Sec. School - Bweni tu SAME - KILIMANJARO Nyasaka Islamic Sec.School - Bweni tu - MWANZA Ubungo Islamic High School - Kutwa na Bweni DAR ES SALAAM

1. Shule hizi ni za Kiislamu, zenye lengo la kuwapa watoto elimu bora na kuwalea kwa malezi mazuri ya Kiislamu. 2. Masomo yanayofundishwa ni haya yafuatayo: Usomaji Quran na mafunzo yake, Elimu ya Dini ya Kiislamu ,Lugha ya Kiarabu, Kiswahili, English, Basic Mathematics, Physics, Chemistry, Biology, Geography, History, Civics, Book Keeping , Commerce na computer. 3. Patakuwa na mtihani tarehe 30/11/2013 saa2:00asubuhi katika vituo mbali mbali kote nchini. Muombaji anaweza kufanyia mtihani katika kituo chochote. 4. Mwisho wa kuchukua fomu ni tarehe 29/11/2013 5. Fomu za Maombi zinapatikana kwa gharama ya shilingi 10,000/= katika vituo vilivyoorodheshwa hapa chini. Pia, fomu zinapatikana kwenye Tovuti: www.ipctz.org. Ikumbukwe kuwa atakayepata fomu kupitia tovuti (download) atatakiwa kulipia wakati wa kurejesha siku ya mtihani. Arusha Kilimanjaro Tanga Mwanza Musoma Kagera - - - - - - - - - - - - - Ofisi ya Islamic Education Panel Jambo Plastic Ghorofa ya 2 mkabala na msikiti Mkuu Bondeni - 0763 282 371/ 0784 406 610 Moshi: Msikiti wa Riadha 0654 723 418 Same: Kirinjiko Islamic Secondry School: 0784 296424/0655 697 075 Twalut Islamic Centre Mabovu Darajani 0715 894111/0789 410914 Uongofu Bookshop: - 0784 982525/ Korogwe: SHEMEA SHOP 0754 690007 Mandia Shop - Lushoto: 0782257533 Nyasaka Islamic Secondary School 0717 417685/0786 417685 Ofisi ya Islamic Education Panel Mtaa wa Rufiji mkabala na Msikiti Al-Amin 0785 086 770 Ofisi ya Islamic Ed Panel -Mtaa wa Karume,Nyumba Na. 05, -0784721015/0765024623 Bukoba: Alhuda Caf Kwa mzee Kinobe karibu na ofisi za TRA. - 0688 479 667 Masele com: Ofisi za NSSF Shinyanga Mjini mkabala na bank ya CRDB - 0752180426 Kahama ofisi ya AN NUUR Karibu na msikiti wa Ibadhi: 0753 993930 Ubungo Islamic High School 0754 260 241/0712033556 Ofisi ya Islamic Ed. Panel Temeke -Msikiti wa Nurul Yakin 0655144474 Wasiliana na Ramadhani Chale :0715704380 Hijra Islamic Primary School : 0716 544757/0712 325086 Ofisi ya Islamic Ed. Panel karibu na Nuru snack Hotel 0714285465/0784 928039 Babati: Shule ya Msingi Hangoni: 0784 667575 Ofisi ya Islamic Ed. Panel Masjid Rahma: 0764 469870/0789 174902 Msikiti wa Mwanga Kigoma: 0753 355224 Kibondo Islamic Nursery School: 0784 442860 Kasulu: Murubona Isl.SS. 0714710802 Wapemba Store: 0784 974041/0786 959663 Amana Islamic S.S 0786 729 973 Kwa Kawanga Karibu na Msikiti wa NURU 0715 681701/0716791113 Mkuzo Islamic High School. 0716 791113 Duka la vifaa vya Kiislamu nje ya Msikiti wa Uyole 0713 200209 Rexona Video mkabala na Mbeya RETICO: 0713 200209 Sumbawanga: Masjid TAQWA 0717082 073 Kituo cha Kiislamu Isevya: 0784 944566 Madrastun Najah: 0714 522 122 Wete: Wete Islamic Education Center: 0777 432331

Shinyanga

Dar es Salaam - - Morogoro Dodoma Singida Manyara Kigoma Lindi Mtwara Songea Mbeya Rukwa Tabora Iringa Pemba Unguja Mafia - - - - - - - - - - - - - - - - -

- Madrasatul Fallah: 0777125074- - Ofisi ya ust. Yusufu Ally jirani na msikiti mkuu 0653705627 USIKOSE NAFASI HII ADHIMU WAHI KUCHUKUA FOMU SASA! MKURUGENZI WABILLAH TAWFIIQ

12

AN-NUUR
MAKALA

12

DHULQADAH 1434, IJUMAA SEPT. 27 - OKT. 3, 2013

Tunawatakia kila la kheri mahujaji wetu katika kutimiza ibada ya Hijja

DHULQADAH 1434, IJUMAA SEPT. 27 - OKT. 3, 2013

AN-NUUR

Na Bakari Mwakangwale

Kesi ya Imam Hamza yaanza kusikilizwa


kufanya kosa la mauaji. Upande wa mashitaka ukiongozwa na mwendesha m a s h i t a k a wa s e r i k a l i , Bi Fielegete, ulieleza mahakamani hapo kuwa tayari una mashahidi watatu ambao wote ni askari polisi, akiwamo Afisa Upelelezi wa wilaya ya Nyamagana. Hata hivyo Imam Hamza, alikana makosa anayotuhumiwa nayo na kuieleza mahakama hiyo kuwa madai kuwa CD inayodaiwa kuwa ni ya uchochezi, si yake na kwamba, yeye hana kamera wa l a h a n a t a a l u m a ya kurekodi na kuhariri CD. Alisema shughuli zake ni kutoa mawaidha (kuhadhiri) mahali popote, hivyo mtu yoyote hata wao Polisi, anaweza kurekodi na kutengeneza CD zao kupitia mawaidha yake. Katika maelezo yake, aliwataka Polisi kumtafuta mwenye CD hiyo. Hata upande wa mashitaka ulipoeleza mahakamni hapo kuwa mshitakiwa anamjua aliyeiandaa, Imam Hamza alijibu kuwa wakaulizwe kule walipoipata CD hiyo. Hata hivyo katika hali ya kushangaza na kutia shaka, wakati kesi ya Imam Hamza ikianza kusililizwa Mahakamani hapo, imesemekana kwamba Mchungaji Mpemba, ambaye naye Polisi wa ndani ya nchi na wale wa kimataifa (Interpol), walitangaza kumtafuta, Mchungaji huyo hivi sasa anasikika akiendesha vipidi katika Radio yake ya Kwaneema, iliyopo Jijini Mwanza. Ilielezwa kwamba amri ya Polisi ilikuwa ni ya kutafutwa Imam Hamza na Mchungaji Mpemba wa Radio Kwa Neema Mwanza. Kamanda wa Polisi wa M k o a wa M wa n z a alinukuliwa na vyombo vya habari akisema kuwa, wanamtafuta Bw. Mpemba kwa udi na uvumba kwa kusaidiana na polisi wa kimataifa. Tangazo hilo liliambatana na ahadi ya zawadi ya pesa kiasi cha shilingi milioni 2 kwa yoyote atakayempata Mchungaji Mpemba. Hata hivyo imeelezwa kwamba baada ya kufunguliwa kufungiwa Radio Kwa Neema tangu O k t o b a 2 6 , 2 0 1 3 , wa t u walitaraji kwamba hatosikika kwa sababu anatafutwa na polisi, lakini amekuwa akiendesha vipindi katika Radio yake kama kawaida na hakuna taarifa za kukamatwa . Wa k a t i M c h u n g a j i

KESI inayomkabili Imam Hamza Shabani, imeanza kusikilizwa katika mahakama ya mkoa wa Mwanza juzi Jumatano, ambapo amesomewa mashitaka mawili mahakamani hapo. Shitaka la kwanza linalomkabili Imam Hamza ni la uchochezi, kuhamasisha kutenda kosa, ikidaiwa kuwa ni maneno yaliyomo ndani ya CD anayohusishwa nayo yanayosema kwamba, tunakoelekea ni pazuri, tutakuja kuchinjana na Makafiri, kauli ambayo imedaiwa kuwa inaweza kuhamasisha jamii nyingine

Al-Qadiriyya kuongeza shule


Na Mwandishi Wetu UONGOZI wa shule ya msingi ya Al-Qadiriyya, Temeke Jijini Dar es Salaam, umewaomba wadau wa elimu kuisaidia shule hiyo ili iweze kutimiza malengo yake ya kuielimisha jamii ya Kiislamu. Wito huo umetolewa na uongozi wa shule hiyo kwa Waislamu pamoja na wazazi wa wanafunzi wanaomaliza darasa la saba mwaka huu, katika mahafali ya kuwaaga wanafunzi hao mwishoni mwa wiki iliyopita shuleni hapo. Uongozi huo umebainisha kwamba tayari umefanikiwa kupata eneo la kutosha la kuweza kujenga shule ya msingi na sekondari, lakini tatizo limekuwa ni uwezo mdogo wa kujenga hivyo kuhitaji nguvu ya ziada kutoka kwa Waislamu nchini. Mwenyekiti wa Bodi ya Shule ya Al-qadiriyya, alisema kuwa, shule hiyo inaongozwa zaidi na matendo kuliko maneno na ndio maana imekuwa na mwenendo mzuri kitaaluma. Alisema Al-Qadiriyya, ilikuwa na malengo ya muda mfupi na malengo ya muda mrefu, ambapo katika malengo ya muda mrefu walidhamiria kuwa na shule ya msingi pamoja na sekondari. Mwenyekiti huyo ambaye pia ni mlezi wa shule hiyo, alisema kwamba miongoni mwa malengo hayo, wanatarajia kuwaendeleza vijana wa Kiislamu shuleni hapo, pindi wanapomaliza elimu ya msingi, badala ya kuwaachia kwenda katika shule zingine ambazo si za Kiislamu. Kuna mashaka katika kuwalea watoto katika

misingi ya Kiislamu baada ya miaka saba, huenda wanapokwenda huko wakaharibika kimaadili kutokana na mazingira wanayokutana nayo. Alisema mlezi huyo. Aliongeza kuwa wakati wa kutegemea wafadhili kwa sasa haupo, hivyo ni wao wenyewe wanatakiwa kujitahidi kujipanga na kukusanya kidogo walicho nacho, ili kuweza kufanikisha malengo yao. Aliwataka wazazi wa Kiislamu na Waislamu kwa ujumla, kutozinyanyapaa shule zilizopo Misikitini, kama ilivyo shule hiyo kwani wasomi wengi wa zamani walipatia taaluma zao Misikitini. Akiwasihi wanafunzi wa darasa la saba wanaohitimu elimu yao ya msingi mwaka huu shuleni hapo, alisema wanafunzi hao wasidhani kwamba elimu ina mwisho bali watie nia ya kupenda kusoma zaidi kwani elimu haina mwisho. Tunataka mkajiendeleze pasi ya kubagua elimu, kwani tunataraji miongoni mwenu kupatikana wanataaluma wa fani mbalimbali wa kuweza kuusaidia Uislamu na jamii kwa ujumla. Alisema. Shule ya Al-qadiriyya ilianzishwa mwaka 2000, ikiwa na jumla ya wanafunzi 210. Hivi sasa kuna wanafunzi wapatao 321, wavulana 155 na wasichana 166, ambapo mwaka 2004, shule ilipata usajili wake namba DS 03/7/015. Kwa mujibu wa uongozi wa shule hiyo, mwenendo wa ufaulu kwa wanafunzi wanaomaliza shuleni hapo ni mzuri na wa kuridhisha kutokana na ongezeko la ufaulu mwaka hadi mwaka.

Mpemba akivinjari mitaani akiwa huru bila wasiwasi wowote bila kukamatwa na vyombo vya dola wala kufunguliwa kesi yeyote hadi sasa, Imam Hamza alikamatwa Februari, 26, 2013 na kuwekwa rumande hadi Juni 2013. Mchungaji Mpemba kwa kutumia radio yake ya Kwa Neema ya jijini Mwanza, alituhumiwa kutumia radio hiyo kuchochea na k u h a m a s i s h a Wa k r i s t o kudai haki ya kuchinja na kuitaka serikali kuanzisha machinjio rasmi ya Wakristo nchini, jambo ambalo lilizua tafrani kubwa huko mkoani Geita, ambapo mtu mmoja alipoteza maisha na makumi ya raia wengine kujeruhiwa na wengine wakikamatwa na kuswekwa rumande na polisi. Kesi inayomkabili Imam Hamza imeahirishwa hadi Oktoba, 24, 2013.

P.O. BOX 80059, TEL: 022-2860694, 0754/ 0655-462777, 0754-377897 _____________________DAR ES SALAAM (TZ)_______________________ QURAN, TAALUMA , MAADILI.

DAARUL ARQAM SCHOOLS


USAILI KWA NAFASI ZA MASOMO 2014

SHULE YA MSINGI DARASA LA 1 HADI LA 7, SHULE YA SEKONDARI KIDATO CHA 1 HADI CHA 4 UTAFANYIKA SIKU YA JUMAMOSI TAREHE 5, OCTOBA 2013 SAA MBILI ASUBUHI SHULENI KIGAMBONI AMANI GOMVU DAR ES SALAAM. FOMU ZINAPATIKANA KWA TSHS 10,000/= KATIKA SEHEMU ZIFUATAZO: 1. OFISI ZA WAKUU WA SHULE. 2. KATIKA DUKA LA B.G.S. MTAA WA GOGO KARIAKOO DAR ES SALAAM. 3. DUKANI KWA SHARIFU KIGAMBONI (FERI) 4. MWANZA SIMU NO. 0653 349 777 AU 0754 030 614 UTAKUWEPO USAFIRI KUTOKA ILALA D.A.S. - NURSERY (MALAPA) KWENDA AMANI GOMVU NA KURUDI KWA TSHS 15,000/-. FIKA SAA KUMI NA MBILI ASUBUHI SIKU HIYO YA TAR. 5 OCTOBA. SHULE ZA DAARUL ARQAM NI MAARUFU KWA: KUONGOZA KITAALUMA KATIKA MITIHANI, KUHIFADHISHA QURAN NA MAADILI MEMA YA KIISLAM, LISHE NA MALEZI BORA KWA WATOTO, UMAHIRI KATIKA LUGHA ZA KIINGEREZA NA KIARABU, NA HUDUMA NYINGINEZO NYINGI. KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA SHULE KWA: TOVUTI YA SHULE: WWW.das.ac.tz AU Mwl. MKUU PRIMARY, 0654 204 781 AU 0773 204 798 Mwl. HASHIM SAIBOKO (H / MASTER) 0659 190 208 AU 0653 19 00 79

Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na Business Printers Limited, S.L.P. 78495 Dar es Salaam.

13

DHULQADAH 1434, IJUMAA SEPT. 27 - OKT. 3, 2013

AN-NUUR

14

DHULQADAH 1434, IJUMAA SEPT. 27 - OKT. 3, 2013

AN-NUUR

15

DHULQADAH 1434, IJUMAA SEPT. 27 - OKT. 3, 2013

AN-NUUR

16

DHULQADAH 1434, IJUMAA SEPT. 27 - OKT. 3, 2013

AN-NUUR

You might also like