You are on page 1of 8

KUMB: PPR/13 - 9/1

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU BEI KIKOMO ZA MAFUTA AINA YA PETROLI KUANZIA
JUMATANO, TAREHE 4 SEPTEMBA 2013
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) inatangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta ya
petroli hapa nchini. Bei hizi zitaanza kutumika kuanzia Jumatano, Tarehe 4 Septemba 2013. Pamoja na kutambua
bei kikomo za bidhaa mbalimbali za petroli nchi nzima, ni muhimu kuzingatia yafuatayo.

(a)

Bei za jumla na rejareja kwa mafuta ya aina zote zimebadilika ikilinganishwa na toleo lililopita la tarehe
7 Agosti 2013. Katika toleo hili, bei za rejareja kwa mafuta ya Petroli, Dizeli na Mafuta ya Taa
zimeongezeka kama ifuatavyo: Sh 58/lita sawa na asilimia 2.79, Sh23/lita sawa na asilimia 1.13 na Sh
39/lita sawa na asilimia 2.00 sawia. Kwa kulinganisha matoleo haya mawili, bei za jumla zimeongezeka
kama ifuatavyo: Petroli Sh 57.96/lita sawa na asilimia 2.87, Dizeli Sh 23.25/lita sawa na asilimia 1.18
na Mafuta ya Taa Sh 39.28/lita sawa na asilimia 2.08. Mabadiliko haya yametokana na kupanda kwa
bei ya mafuta katika soko la dunia.

(b)

Kwa mujibu wa Sheria ya Mafuta ya mwaka 2008, bei za bidhaa za mafuta ya petroli zitaendelea
kupangwa na soko. EWURA itaendelea kuhamasisha ushindani kwa kutoa taarifa za bei kikomo za
bidhaa za mafuta. Taarifa hizi zina lengo la kuwasaidia wadau kufanya maamuzi stahiki kuhusu
manunuzi ya bidhaa za mafuta.

(c)

Kampuni za mafuta zipo huru kuuza bidhaa za mafuta ya petroli kwa bei ya ushindani ilimradi
bei hizo ziko chini ya bei kikomo (price cap) kama ilivyokokotolewa na fomula mpya iliyopitishwa na
EWURA na ambayo ilichapwa kwenye Gazeti la Serikali Na. 454 la tarehe 23 Desemba 2011.

(d)

Vituo vyote vya mafuta vinatakiwa kuchapisha bei za bidhaa za mafuta katika mabango yanayoonekana
bayana na yakionyesha bei ya mafuta, punguzo, vivutio vya biashara au promosheni zinazotolewa na
kituo husika. Pale ambapo inawezekana kuchagua, wateja wanashauriwa kununua bidhaa za mafuta
kutoka kwenye vituo vinavyouza mafuta kwa bei ndogo zaidi ili kushamirisha ushindani. Ni kosa kuuza
mafuta bila kuweka mabango ya bei inayoonekana vizuri kwa wateja na adhabu itatolewa kwa
kituo husika.

(e)

Wanunuzi wanashauriwa kuhakikisha kuwa wanapata stakabadhi ya malipo inayoonesha jina la kituo,
tarehe, aina ya mafuta yaliyonunuliwa na bei kwa lita. Stakabadhi hiyo ya malipo itatumika kama
kidhibiti cha mnunuzi wa mafuta endapo kutajitokeza malalamiko ya ama kuuziwa mafuta kwa bei ya
juu kuliko bei kikomo; ama endapo utakuwa umeuziwa mafuta yenye kiwango cha ubora kisichofaa.

A: BEI ZA REJAREJA

Mji

Bei Kikomo
Dizeli
(Sh/Lita)

Petroli
(Sh/Lita)

Mafuta ya Taa
(Sh/Lita)

Dar es Salaam

2,154

2,060

2,001

Arusha

2,238

2,144

2,085

Arumeru (Usa West)

2,238

2,144

2,085

Karatu

2,257

2,162

2,103

Monduli

2,244

2,149

2,090

Ngorongoro (Loliondo)

2,295

2,200

2,141

Kibaha

2,159

2,065

2,006

Bagamoyo

2,165

2,071

2,012

Kisarawe

2,162

2,067

2,008

Mkuranga

2,164

2,070

2,011

Rufiji

2,182

2,088

2,029

Dodoma

2,213

2,119

2,060

Bahi

2,220

2,126

2,067

Chemba

2,239

2,145

2,086

Kondoa

2,246

2,151

2,092

Kongwa

2,210

2,116

2,057

Mpwapwa

2,214

2,120

2,061

Iringa

2,218

2,124

2,065

Kilolo

2,223

2,128

2,069

Mufindi (Mafinga)

2,228

2,134

2,075

Njombe

2,246

2,152

2,093

Ludewa

2,284

2,190

2,131

Makete

2,277

2,183

2,124

Wanging'ombe
(Igwachanya)

2,244

2,150

2,091

Bukoba

2,369

2,275

2,216

Biharamulo

2,344

2,249

2,190

Karagwe (Kayanga)

2,386

2,291

2,232

Kyerwa (Ruberwa)

2,391

2,297

2,238

Muleba

2,369

2,275

2,216

Ngara

2,335

2,241

2,181

Misenyi

2,378

2,283

2,224

Geita

2,319

2,225

2,166

Bukombe

2,308

2,214

2,155

Chato

2,340

2,246

2,187

Mbogwe

2,357

2,263

2,204

Nyang'hwale

2,334

2,240

2,181

Kigoma

2,385

2,291

2,232

Uvinza (Lugufu)

2,397

2,303

2,244

Buhigwe

2,374

2,280

2,221

Kakonko

2,342

2,248

2,189

Kasulu

2,371

2,277

2,218

Kibondo

2,350

2,255

2,196

Moshi

2,228

2,134

2,075

Hai (Bomang'ombe)

2,231

2,137

2,078

Mwanga

2,221

2,127

2,068

Rombo (Mkuu)

2,249

2,155

2,095

Same

2,214

2,120

2,061

Siha (Sanya Juu)

2,234

2,140

2,081

Lindi

2,213

2,119

2,060

Kilwa Masoko

2,188

2,094

2,035

Liwale

2,234

2,140

2,081

Nachingwea

2,242

2,148

2,089

Ruangwa

2,240

2,146

2,087

Babati

2,276

2,182

2,123

Hanang (Katesh)

2,287

2,193

2,134

Kiteto (Kibaya)

2,288

2,193

2,134

Mbulu

2,289

2,195

2,136

Simanjiro (Orkasumet)

2,308

2,214

2,155

Musoma

2,332

2,238

2,179

Rorya (Ingirijuu)

2,341

2,247

2,188

Bunda

2,324

2,229

2,170

Butiama

2,329

2,235

2,176

Serengeti (Mugumu)

2,378

2,284

2,225

Tarime

2,344

2,249

2,190

Mbeya

2,261

2,167

2,108

Chunya

2,271

2,176

2,117

Ileje

2,274

2,180

2,121

Kyela

2,277

2,183

2,124

Mbarali (Rujewa)

2,245

2,151

2,092

Mbozi (Vwawa)

2,270

2,176

2,117

Momba (Chitete)

2,279

2,185

2,126

Rungwe (Tukuyu)

2,270

2,176

2,117

Morogoro

2,179

2,085

2,026

Mikumi

2,195

2,101

2,042

Kilombero (Ifakara)

2,217

2,123

2,064

Ulanga (Mahenge)

2,228

2,133

2,074

Kilosa

2,198

2,103

2,044

Mvomero (Wami Sokoine)

2,190

2,095

2,036

Turian

2,204

2,110

2,051

Mtwara

2,227

2,132

2,073

Nanyumbu (Mangaka)

2,275

2,181

2,122

Masasi

2,252

2,158

2,099

Newala

2,259

2,164

2,105

Tandahimba

2,252

2,157

2,098

Mwanza

2,304

2,210

2,151

Kwimba

2,340

2,246

2,187

Magu

2,312

2,218

2,159

Misungwi

2,310

2,215

2,156

Sengerema

2,336

2,242

2,183

Ukerewe

2,363

2,269

2,210

Sumbawanga

2,327

2,233

2,173

Kalambo (Matai)

2,319

2,225

2,166

Nkasi (Namanyele)

2,340

2,246

2,187

Katavi (Mpanda)

2,362

2,268

2,208

Mlele (Inyonga)

2,340

2,246

2,187

Songea

2,277

2,183

2,124

Mbinga

2,311

2,217

2,158

Namtumbo

2,307

2,212

2,153

Nyasa (Mbamba Bay)

2,313

2,219

2,160

Tunduru

2,336

2,242

2,183

Shinyanga

2,283

2,189

2,130

Kahama

2,297

2,202

2,143

Kishapu

2,311

2,217

2,158

Simiyu (Bariadi)

2,324

2,230

2,171

Busega (Nyashimo)

2,317

2,223

2,164

Itilima (Lagangabilili)

2,327

2,233

2,174

Maswa

2,316

2,221

2,162

Meatu (Mwanhuzi)

2,323

2,229

2,169

Singida

2,245

2,151

2,091

Iramba

2,257

2,163

2,104

Manyoni

2,229

2,135

2,076

Ikungi

2,240

2,146

2,087

Mkalama (Nduguti)

2,269

2,175

2,116

Tabora

2,308

2,214

2,155

Igunga

2,262

2,168

2,109

Kaliua

2,326

2,232

2,173

Ulyankulu

2,320

2,226

2,167

Nzega

2,273

2,179

2,119

Sikonge

2,320

2,226

2,167

Urambo

2,321

2,227

2,168

Tanga

2,200

2,106

2,047

Handeni

2,180

2,086

2,026

Kilindi

2,214

2,120

2,061

Korogwe

2,193

2,099

2,040

Lushoto

2,203

2,109

2,050

Mkinga (Maramba)

2,215

2,120

2,061

Muheza

2,200

2,106

2,047

Pangani

2,207

2,113

2,054

B: BEI ZA JUMLA

Bei za Jumla - DSM


Bei Kikomo

Petroli
(Sh/L)

Dizeli (Sh/L)

2,080.39

1,986.09

Haruna Masebu
MKURUGENZI MKUU
EWURA

Mafuta ya Taa
(Sh/L)
1,926.95

CAP PRICES WEF WDNESDAY 4 SEPTEMBER 2013


Weighted Average of Actual Exchange Rates of
the Previous Month (M-1):

Exchange Rate

WT Average Actual Conversion Factors of the Previous Month (M-1):

DESCRIPTION

Plus
Sub
Total

UNIT

1,622.42

0.736

0.833

0.786

Petrol

Diesel

Kerosene

PRICE

PRICE

PRICE

Weighted Average Platt's FOB

Tzs/Ltr

1,194.14

1,221.22

1,206.17

Weighted Average Premium as Per Quotation


(Freight+Insurance+Premium)

Tzs/Ltr

55.97

57.97

71.27

COST CIF DAR

Tzs/Ltr

1,250.11

1,279.20

1,277.45

LOCAL COSTS PAYABLE TO OTHER AUTHORITIES


Wharfage $10/MT + 18% VAT

Tzs/Ltr

14.09

15.95

15.05

Customs Processing Fee (TZS 4.80/Lt)

Tzs/Ltr

4.80

4.80

4.80

Weights & Measures Fee (Tshs. 1.00/Lt)

Tzs/Ltr

1.00

1.00

1.00

TBS Charge

Tzs/Ltr

1.24

1.24

1.24

TIPER Fee + 18% VAT

Tzs/Ltr

0.20

0.20

0.20

Actual Demurrage Cost (USD 1.395/MT)

Tzs/Ltr

1.67

1.89

1.78

Actual Ocean Losses (DAP Terms)

Tzs/Ltr

Surveyors Cost (Actual TENDERED rate: MSP=USD


0.097/MT; AGO=USD 0.052/MT; IK=USD 0.098/MT)

Tzs/Ltr

0.12

0.07

0.01

Financing Cost (1.00% CIF)

Tzs/Ltr

12.50

12.79

12.77

Regulatory Levy

Tzs/Ltr

6.10

6.80

3.50

Evaporation Losses (0.5% MSP, 0.30% GO % IK )CIF

Tzs/Ltr

6.25

3.84

3.83

Petroleum Marking Cost ($3.3/CM + 18% VAT)

Tzs/Ltr

6.32

6.32

6.32

TOTAL LOCAL COSTS (LC)

Tzs/Ltr

54.28

54.90

50.51

Fuel Levy

Tzs/Ltr

263.00

263.00

Excise Duty

Tzs/Ltr

339.00

215.00

425.00

Petroleum Fee

Tzs/Ltr

50.00

50.00

50.00

Sub Total TOTAL GOVERNMENT TAXES

Tzs/Ltr

652.00

528.00

475.00

Plus

Transition Costs Coverage to OMCs

Tzs/Ltr

13.00

13.00

13.00

Plus

OMC's Overheads & Margins

Tzs/Ltr

111.00

111.00

111.00

WHOLESALE PRICE CAP (DSM)

Tzs/Ltr

2,080.39

1,986.09

1,926.95

Plus

Dealers Margin

Tzs/Ltr

57.50

57.50

57.50

Plus

Transport Charges (Local)

Tzs/Ltr

10.00

10.00

10.00

Plus

Transition Costs to Dealers

Tzs/Ltr

6.50

6.50

6.50

Price

PUMP PRICE CAP (DSM)

Tzs/Ltr

2,154

2,060

2,001

2,022.43

1,962.84

1,887.67

GOVERNMENT TAXES

Preceding DSM Cap Wholesale Prices (07.08.2013)

%Change in Cap Wholesale Prices

2.87%

1.18%

2.08%

Preceding DSM Cap Pump Prices (07.08.2013)

2,096

2,037

1,962

2.79%

1.13%

%Change in Cap Pump Prices

2.0%

You might also like