Professional Documents
Culture Documents
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU BEI KIKOMO ZA MAFUTA AINA YA PETROLI KUANZIA
JUMATANO, TAREHE 4 SEPTEMBA 2013
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) inatangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta ya
petroli hapa nchini. Bei hizi zitaanza kutumika kuanzia Jumatano, Tarehe 4 Septemba 2013. Pamoja na kutambua
bei kikomo za bidhaa mbalimbali za petroli nchi nzima, ni muhimu kuzingatia yafuatayo.
(a)
Bei za jumla na rejareja kwa mafuta ya aina zote zimebadilika ikilinganishwa na toleo lililopita la tarehe
7 Agosti 2013. Katika toleo hili, bei za rejareja kwa mafuta ya Petroli, Dizeli na Mafuta ya Taa
zimeongezeka kama ifuatavyo: Sh 58/lita sawa na asilimia 2.79, Sh23/lita sawa na asilimia 1.13 na Sh
39/lita sawa na asilimia 2.00 sawia. Kwa kulinganisha matoleo haya mawili, bei za jumla zimeongezeka
kama ifuatavyo: Petroli Sh 57.96/lita sawa na asilimia 2.87, Dizeli Sh 23.25/lita sawa na asilimia 1.18
na Mafuta ya Taa Sh 39.28/lita sawa na asilimia 2.08. Mabadiliko haya yametokana na kupanda kwa
bei ya mafuta katika soko la dunia.
(b)
Kwa mujibu wa Sheria ya Mafuta ya mwaka 2008, bei za bidhaa za mafuta ya petroli zitaendelea
kupangwa na soko. EWURA itaendelea kuhamasisha ushindani kwa kutoa taarifa za bei kikomo za
bidhaa za mafuta. Taarifa hizi zina lengo la kuwasaidia wadau kufanya maamuzi stahiki kuhusu
manunuzi ya bidhaa za mafuta.
(c)
Kampuni za mafuta zipo huru kuuza bidhaa za mafuta ya petroli kwa bei ya ushindani ilimradi
bei hizo ziko chini ya bei kikomo (price cap) kama ilivyokokotolewa na fomula mpya iliyopitishwa na
EWURA na ambayo ilichapwa kwenye Gazeti la Serikali Na. 454 la tarehe 23 Desemba 2011.
(d)
Vituo vyote vya mafuta vinatakiwa kuchapisha bei za bidhaa za mafuta katika mabango yanayoonekana
bayana na yakionyesha bei ya mafuta, punguzo, vivutio vya biashara au promosheni zinazotolewa na
kituo husika. Pale ambapo inawezekana kuchagua, wateja wanashauriwa kununua bidhaa za mafuta
kutoka kwenye vituo vinavyouza mafuta kwa bei ndogo zaidi ili kushamirisha ushindani. Ni kosa kuuza
mafuta bila kuweka mabango ya bei inayoonekana vizuri kwa wateja na adhabu itatolewa kwa
kituo husika.
(e)
Wanunuzi wanashauriwa kuhakikisha kuwa wanapata stakabadhi ya malipo inayoonesha jina la kituo,
tarehe, aina ya mafuta yaliyonunuliwa na bei kwa lita. Stakabadhi hiyo ya malipo itatumika kama
kidhibiti cha mnunuzi wa mafuta endapo kutajitokeza malalamiko ya ama kuuziwa mafuta kwa bei ya
juu kuliko bei kikomo; ama endapo utakuwa umeuziwa mafuta yenye kiwango cha ubora kisichofaa.
A: BEI ZA REJAREJA
Mji
Bei Kikomo
Dizeli
(Sh/Lita)
Petroli
(Sh/Lita)
Mafuta ya Taa
(Sh/Lita)
Dar es Salaam
2,154
2,060
2,001
Arusha
2,238
2,144
2,085
2,238
2,144
2,085
Karatu
2,257
2,162
2,103
Monduli
2,244
2,149
2,090
Ngorongoro (Loliondo)
2,295
2,200
2,141
Kibaha
2,159
2,065
2,006
Bagamoyo
2,165
2,071
2,012
Kisarawe
2,162
2,067
2,008
Mkuranga
2,164
2,070
2,011
Rufiji
2,182
2,088
2,029
Dodoma
2,213
2,119
2,060
Bahi
2,220
2,126
2,067
Chemba
2,239
2,145
2,086
Kondoa
2,246
2,151
2,092
Kongwa
2,210
2,116
2,057
Mpwapwa
2,214
2,120
2,061
Iringa
2,218
2,124
2,065
Kilolo
2,223
2,128
2,069
Mufindi (Mafinga)
2,228
2,134
2,075
Njombe
2,246
2,152
2,093
Ludewa
2,284
2,190
2,131
Makete
2,277
2,183
2,124
Wanging'ombe
(Igwachanya)
2,244
2,150
2,091
Bukoba
2,369
2,275
2,216
Biharamulo
2,344
2,249
2,190
Karagwe (Kayanga)
2,386
2,291
2,232
Kyerwa (Ruberwa)
2,391
2,297
2,238
Muleba
2,369
2,275
2,216
Ngara
2,335
2,241
2,181
Misenyi
2,378
2,283
2,224
Geita
2,319
2,225
2,166
Bukombe
2,308
2,214
2,155
Chato
2,340
2,246
2,187
Mbogwe
2,357
2,263
2,204
Nyang'hwale
2,334
2,240
2,181
Kigoma
2,385
2,291
2,232
Uvinza (Lugufu)
2,397
2,303
2,244
Buhigwe
2,374
2,280
2,221
Kakonko
2,342
2,248
2,189
Kasulu
2,371
2,277
2,218
Kibondo
2,350
2,255
2,196
Moshi
2,228
2,134
2,075
Hai (Bomang'ombe)
2,231
2,137
2,078
Mwanga
2,221
2,127
2,068
Rombo (Mkuu)
2,249
2,155
2,095
Same
2,214
2,120
2,061
2,234
2,140
2,081
Lindi
2,213
2,119
2,060
Kilwa Masoko
2,188
2,094
2,035
Liwale
2,234
2,140
2,081
Nachingwea
2,242
2,148
2,089
Ruangwa
2,240
2,146
2,087
Babati
2,276
2,182
2,123
Hanang (Katesh)
2,287
2,193
2,134
Kiteto (Kibaya)
2,288
2,193
2,134
Mbulu
2,289
2,195
2,136
Simanjiro (Orkasumet)
2,308
2,214
2,155
Musoma
2,332
2,238
2,179
Rorya (Ingirijuu)
2,341
2,247
2,188
Bunda
2,324
2,229
2,170
Butiama
2,329
2,235
2,176
Serengeti (Mugumu)
2,378
2,284
2,225
Tarime
2,344
2,249
2,190
Mbeya
2,261
2,167
2,108
Chunya
2,271
2,176
2,117
Ileje
2,274
2,180
2,121
Kyela
2,277
2,183
2,124
Mbarali (Rujewa)
2,245
2,151
2,092
Mbozi (Vwawa)
2,270
2,176
2,117
Momba (Chitete)
2,279
2,185
2,126
Rungwe (Tukuyu)
2,270
2,176
2,117
Morogoro
2,179
2,085
2,026
Mikumi
2,195
2,101
2,042
Kilombero (Ifakara)
2,217
2,123
2,064
Ulanga (Mahenge)
2,228
2,133
2,074
Kilosa
2,198
2,103
2,044
2,190
2,095
2,036
Turian
2,204
2,110
2,051
Mtwara
2,227
2,132
2,073
Nanyumbu (Mangaka)
2,275
2,181
2,122
Masasi
2,252
2,158
2,099
Newala
2,259
2,164
2,105
Tandahimba
2,252
2,157
2,098
Mwanza
2,304
2,210
2,151
Kwimba
2,340
2,246
2,187
Magu
2,312
2,218
2,159
Misungwi
2,310
2,215
2,156
Sengerema
2,336
2,242
2,183
Ukerewe
2,363
2,269
2,210
Sumbawanga
2,327
2,233
2,173
Kalambo (Matai)
2,319
2,225
2,166
Nkasi (Namanyele)
2,340
2,246
2,187
Katavi (Mpanda)
2,362
2,268
2,208
Mlele (Inyonga)
2,340
2,246
2,187
Songea
2,277
2,183
2,124
Mbinga
2,311
2,217
2,158
Namtumbo
2,307
2,212
2,153
2,313
2,219
2,160
Tunduru
2,336
2,242
2,183
Shinyanga
2,283
2,189
2,130
Kahama
2,297
2,202
2,143
Kishapu
2,311
2,217
2,158
Simiyu (Bariadi)
2,324
2,230
2,171
Busega (Nyashimo)
2,317
2,223
2,164
Itilima (Lagangabilili)
2,327
2,233
2,174
Maswa
2,316
2,221
2,162
Meatu (Mwanhuzi)
2,323
2,229
2,169
Singida
2,245
2,151
2,091
Iramba
2,257
2,163
2,104
Manyoni
2,229
2,135
2,076
Ikungi
2,240
2,146
2,087
Mkalama (Nduguti)
2,269
2,175
2,116
Tabora
2,308
2,214
2,155
Igunga
2,262
2,168
2,109
Kaliua
2,326
2,232
2,173
Ulyankulu
2,320
2,226
2,167
Nzega
2,273
2,179
2,119
Sikonge
2,320
2,226
2,167
Urambo
2,321
2,227
2,168
Tanga
2,200
2,106
2,047
Handeni
2,180
2,086
2,026
Kilindi
2,214
2,120
2,061
Korogwe
2,193
2,099
2,040
Lushoto
2,203
2,109
2,050
Mkinga (Maramba)
2,215
2,120
2,061
Muheza
2,200
2,106
2,047
Pangani
2,207
2,113
2,054
B: BEI ZA JUMLA
Petroli
(Sh/L)
Dizeli (Sh/L)
2,080.39
1,986.09
Haruna Masebu
MKURUGENZI MKUU
EWURA
Mafuta ya Taa
(Sh/L)
1,926.95
Exchange Rate
DESCRIPTION
Plus
Sub
Total
UNIT
1,622.42
0.736
0.833
0.786
Petrol
Diesel
Kerosene
PRICE
PRICE
PRICE
Tzs/Ltr
1,194.14
1,221.22
1,206.17
Tzs/Ltr
55.97
57.97
71.27
Tzs/Ltr
1,250.11
1,279.20
1,277.45
Tzs/Ltr
14.09
15.95
15.05
Tzs/Ltr
4.80
4.80
4.80
Tzs/Ltr
1.00
1.00
1.00
TBS Charge
Tzs/Ltr
1.24
1.24
1.24
Tzs/Ltr
0.20
0.20
0.20
Tzs/Ltr
1.67
1.89
1.78
Tzs/Ltr
Tzs/Ltr
0.12
0.07
0.01
Tzs/Ltr
12.50
12.79
12.77
Regulatory Levy
Tzs/Ltr
6.10
6.80
3.50
Tzs/Ltr
6.25
3.84
3.83
Tzs/Ltr
6.32
6.32
6.32
Tzs/Ltr
54.28
54.90
50.51
Fuel Levy
Tzs/Ltr
263.00
263.00
Excise Duty
Tzs/Ltr
339.00
215.00
425.00
Petroleum Fee
Tzs/Ltr
50.00
50.00
50.00
Tzs/Ltr
652.00
528.00
475.00
Plus
Tzs/Ltr
13.00
13.00
13.00
Plus
Tzs/Ltr
111.00
111.00
111.00
Tzs/Ltr
2,080.39
1,986.09
1,926.95
Plus
Dealers Margin
Tzs/Ltr
57.50
57.50
57.50
Plus
Tzs/Ltr
10.00
10.00
10.00
Plus
Tzs/Ltr
6.50
6.50
6.50
Price
Tzs/Ltr
2,154
2,060
2,001
2,022.43
1,962.84
1,887.67
GOVERNMENT TAXES
2.87%
1.18%
2.08%
2,096
2,037
1,962
2.79%
1.13%
2.0%