Professional Documents
Culture Documents
Wilaya
Kata
NJOMBE
NJOMBE TC
ZOTE
WANGINGOMBE DC
ZOTE
NJOMBE DC
ZOTE
LUDEWA DC
ZOTE
MAKETE
ZOTE
MAKAMBAKO
UTENGULE
Idadi
ya Tarehe Ya Uandikishaji
Vituo
16/03 12/04/2015
12
11-17/03/2015
Waliotimiza umri wa Miaka 18 na kuendelea na wale wote watakaotimiza miaka 18 ifikapo mwezi
Oktoba, 2015.
Waliojiandikisha awali kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura la zamani ili kuhuisha taarifa zao na
kupata kadi mpya za kupigia kura.
Wale wote ambao wanazo sifa za kujiandikisha lakini hawajawahi kujiandikisha kwenye Daftari.
Tume ya Taifa ya Uchaguzi inasisitiza wananchi wote wa Mkoa wa Njombe kujitokeza kwa wingi kuanzia tarehe
16/03/2015 mpaka tarehe 12/04/2015 kujiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura ili kuwawezesha
kupiga Kura ya Maoni na kuchagua Viongozi wao katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu 2015.
Vituo vya kujiandikisha vitafunguliwa kuanzia saa 2:00 Asubuhi na kufungwa saa 12:00 jioni
Kumbuka:- Hutaweza kupiga Kura ya Maoni au Kupiga Kura wakati wa Uchaguzi Mkuu kama utakuwa
hujajiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura. Nenda kajiandikishe sasa.
Tangazo hili limetolewa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi, S.L.P. 10923, Dar es Salaam