Professional Documents
Culture Documents
Jarida La Wizara Ya Nishati
Jarida La Wizara Ya Nishati
HABARIZA
ZA
NISHATI
NISHATI&MADINI
&MADINI
NewsBulletin
http://www.mem.go.tz
ToleoNo.
No.5165
Toleo
Tarehe
1- 7 May
, 2015
Tarehe
- 23-29
Januari
, 2015
Wabunge
MWIJAGE
KUKAGUA
UMEME
KUSINI--Uk2
Uk 2
WAZIRI
WA NISHATI
NA MADINIMIRADI
AZINDUAYA
RASMI
BODI YA TANESCO
KERO YA UMEME
DAR SASA BASI
Ni baada ya kukamilika kwa vituo vikubwa vinne na vidogo 22 vya kupoza umeme
Kuwa jiji lenye miundombinu bora ya umeme Barani Afrika
ariarU
i Ukk..2
SomSoamhaahbab
Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene akizungumza na waandishi wa habari kabla ya kuanza kwa ziara yake kwenye vituo vya
umeme vilivyopo jijini Dar es salaam. Lengo la ziara yake lilikuwa ni kujionea maendeleo ya ujenzi wa vituo hivyo pamoja na kuzungumza na
Mkurugenzi MtendMkurugenzi Mkuu wa
Waziri
wa Nishati
watendaji.
Naibu Waziri wa Nishati na
Naibu Waziri wa Nishati na
aji wa TANESCO,
REA, Dk. Lutengano
na Madini, Profesa
Madini, anayeshughulikia
Madini anayeshughulikia
Mhandisi Felchesmi
Mwakahesya
Sospeter Muhongo
Madini Stephen Masele
Nishati, Charles Kitwanga
Mramba
HABARI ZA NISHATI/MADINI
NewsBulletin
http://www.mem.go.tz
KERO YA UMEME
DAR SASA BASI
Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene (kushoto) akitoa maelekezo kwa watendaji wa kituo cha umeme cha
Mbagala mara baada ya kufanya ziara katika kituo hicho. Kulia ni Mkurugenzi wa Shirika la Umeme Nchini (TANESCO) Mhandisi
Felchesmi Mramba.
Na Greyson Mwase
MWIJAGE KUKAGUA
MIRADI YA UMEME
KUSINI
Na Teresia Mhagama
Mbagala, Kinyerezi, Gongo la Mboto, Kipawa na City Centre ili kujionea maendeleo
ya ujenzi wa vituo hivyo pamoja na kuzungumza na wasimamizi wa vituo hivyo.
Akizungumzia mahitaji ya nishati ya
umeme katika jiji la Dar es Salaam, Simbachawene alisema kuwa, mahitaji yamekuwa makubwa kutokana na kasi ya ujenzi
wa maghorofa marefu yanayohitaji nishati
kubwa ya umeme hali iliyopelekea Serikali
kubuni miradi kwa ajili ya kuendeleza miundombinu ya umeme.
Kwa mfano Jengo la Mfuko wa Pensheni
kwa Watumishi wa Umma (PSPF)linatumia
umeme wenye kiwango cha megawati saba
Na Mohamed Saif
Ni lazima sote
kwa pamoja tuwe
wazalendo ili tuliwezeshe Taifa letu
kuondokana na
umaskini,
NewsBulletin
HABARI ZA NISHATI/MADINI
http://www.mem.go.tz
Simbachawene aagiza
Selcom kufungiwa
MEM
Tahariri
Na Badra Masoud
Hongera kwa
kupatikana kwa
mwarobaini wa
kukatika umeme
Dar es Salaam
Na Greyson Mwase
Umeme Nchini (TANESCO) kuifungia mara moja kampuni ya kuuza umeme wa LUKU ya Selcom ikiwa ni pamoja na kuichukulia hatua kali za kisheria
kutokana na kutoa huduma zisizokidhi viwango.
Simbachawene aliyasema hayo katika ziara
yake aliyoifanya kwenye vituo vya kupoza umeme
vilivyopo jijini Dar es salaam kwa lengo la kujionea
maendeleo ya vituo hivyo pamoja na kuzungumza
na wasimamizi wake.
Alisema kuwa awali baada ya kufanyika kwa
Waziri wa
Nishati na
Madini, George
Simbachawene
akizungumza na
waandishi wa
habari (hawapo
pichani)
TEL-2110490
FAX-2110389
MOB-0732999263
BODI YA UHARIRI
MHARIRI MKUU: Badra Masoud
MSANIFU: Essy Ogunde
WAANDISHI: Veronica Simba, Asteria Muhozya,
Greyson Mwase, Teresia Mhagama, Mohamed Saif,
Rhoda James, Zuena Msuya na Nuru Mwasampeta
FIVE
PILLARS OF
REFORMS
INCREASE EFFICIENCY
QUALITY DELIVERY
OF GOODS/SERVICE
SATISFACTION OF
THE CLIENT
SATISFACTION OF
BUSINESS PARTNERS
SATISFACTION OF
SHAREHOLDERS
HABARI ZA NISHATI/MADINI
NewsBulletin
http://www.mem.go.tz
Waziri wa Nishati
na Madini, George
Simbachawene akiwa
na mkurugenzi wa
kibo mining Louis
Coetzee na ujumbe
wake pamoja na
watendaji wengine wa
wizara ya nishati na
madini wakiwa katika
mazungumzo kuhusu
shughuli zinazofanywa
na kibo mining.
Meneja Miradi Mikubwa ya Umeme kutoka Shirika la Umeme Nchini (TANESCO) Mhandisi Emmanuel
Manirabona (kushoto) akimweleza jambo Afisa wa Ubalozi wa Finland Nchini anayeshughulikia
masuala ya ukuaji wa uchumi Oscar Kass (kulia) katika kituo cha umeme cha Mbagala.
NewsBulletin
http://www.mem.go.tz
HABARI ZA NISHATI/MADINI
Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene akimwonesha Mkurugenzi wa Kibo Mining, Louis
Coetzee pamoja na watendaji wengine wa Wizara ya Nishati na Madini wakiangalia ramani inayoonesha
maeneo ya uchimbaji.
Meneja Miradi Mikubwa ya Umeme kutoka Shirika la Umeme Nchini (TANESCO) Mhandisi Emmanuel
Manirabona (kushoto) akimwonesha Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene ( wa pili kutoka
kushoto) mpango wa ujenzi wa kituo cha umeme cha Mbagala mara Waziri alipofanya ziara katika kituo
hicho. Katikati ni Kamishna Msaidizi wa Umeme Mhandisi Innocent Luoga. Kulia ni Mkurugenzi wa Shirika
la Umeme Nchini (TANESCO) Mhandisi Felchesmi Mramba.
HABARI ZA NISHATI/MADINI
NewsBulletin
http://www.mem.go.tz
Na Mohamed Saif
ya Ziwa.
Kwa mujibu wa taarifa
iliyotolewa na Ofisi ya Naibu
Waziri Kitwanga, kiongozi
huyo atatembelea Mgodi wa
Dhahabu wa North Mara na
kukagua shughuli za uchimbaji wa dhahabu zinazofanywa
na mgodi huo ikiwa ni pamoja
na kuzungumza na Uongozi
wa Mgodi.
Aidha, pamoja na kutembelea mgodi huo, taarifa imeeleza kwamba Kitwanga
atatembelea maeneo mbalimbali yenye uchimbaji mdogo
ili kujionea shughuli za uchimbaji madini zinazofanywa na
wachimbaji wadogo wa mae-
Wanafunzi na
watumishi wa
Kituo cha Jimolojia
Tanzania (TGC)
wakiwa katika hafla
ya uzinduzi wa Kituo
hicho ulioambatana
na mahafali ya
wanafunzi 15 katika
fani ya uongezaji
thamani madini.
Sehemu ya
umati wa watu
waliohudhuria
uzinduzi wa Kituo
cha Jimolojia
Tanzania (TGC).
Kituo hicho
kilizinduliwa na
Waziri wa Nishati
na Madini, George
Simbachawene.
Sehemu ya
umati wa watu
waliohudhuria
uzinduzi wa Kituo
cha Jimolojia
Tanzania (TGC).
Kituo hicho
kilizinduliwa na
Waziri wa Nishati
na Madini, George
Simbachawene.
Wahitimu TGC
waomba kuongezwa
muda wa masomo
Na Veronica Simba
Aliyekuwa Arusha
ahitimu wa kwanza
wa Kozi ya Uongezaji
thamani madini katika
Kituo cha Jimolojia
Tanzania (TGC), wameiomba Serikali kuongeza muda wa masomo
hayo kutoka miezi sita hadi kufikia
mwaka mmoja.
Akisoma risala kwa niaba ya wahitimu wenzake, katika mahafali yaliyofanyika katika viwanja vya Kituo
hicho kilichopo jijini Arusha, hivi karibuni Beatrice Mpeta alisema kuwa
miezi sita ya mafunzo iliyopangwa
ni michache kulingana na mafunzo
husika.
Tunapendekeza
kuongezwa
kwa muda wa kujifunza angalau kufika mwaka mmoja. Tunayo matumaini kwamba maombi yetu umeyasikia na utayafanyia kazi ukiwa ni
Waziri wa Wizara ya Nishati na Madini ambayo inasimamia Kituo hiki,
alisema.
Pamoja na ushauri huo, Wahitimu waliishukuru Serikali kupitia
Wizara ya Nishati na Madini kwa
kuanzisha Kituo hicho na kuwapatia mafunzo ambayo walisema
wanaamini yatawasaidia kuendesha
maisha yao.
NewsBulletin
HABARI ZA NISHATI/MADINI
http://www.mem.go.tz
http://www.mem.go.tz
Nishati na Madini.
Kwa upande wake Waziri wa Nishati na Madini,
George
Simbachawene
alisema amefurahishwa na
mpango huo na kuwaomba kuendelea kutoa mafunzo hayo ikiwezekana kuendeleza mpango huo kwa
mafunzo ya muda mrefu
kufikia ngazi ya uzamivu.
Aidha, Simbachawene
alisema Tanzania inatarajia kujiunga na masuala
ya Energy Charter ambapo
mkutano unao husu masuala hayo utafanyika tarehe
21 Mei mwaka huu nchini
Uholanzi.
Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene (Katikati) na Maafisa wa Wizara ya Nishati na Madini
(kulia), katika kikao na Balozi wa Uholanzi nchini, Jaap Frederiks (wapili kushoto). Balozi huyo aliambatana
na Mratibu wa Nishati Ukanda wa Tanzania na Msumbiji, Marijn Noordam (kushoto).
WAFANYABIASHARA
MADINI VITO
WAPONGEZWA
Wachanga zaidi ya milioni 100
kusomesha wanawake
Na Veronica Simba
Aliyekuwa Arusha
afanyabiashara
na
Wachimbaji wa Madini
ya Vito nchini
wamepongezwa kwa kuanzisha Mfuko wa kuchangia
mafunzo ya Uongezaji thama-
ya Maonesho ya Kimataifa ya
Vito ya Arusha (AGF) yaliyofanyika Aprili 21 hadi 23, 2015
jijini humo.
Hii ni mara ya nne kwa
wafanyabiashara hao wa madini vito kuchangia Mfuko wa
kusomesha watoto wa kike katika uongezaji thamani madini.
Utaratibu huo wa kuchangia
hufanyika kila mwaka wakati
wa Maonyesho ya Kimataifa
ya Vito ya Arusha.
Mpaka sasa, wanawake
15 wanaofadhiliwa na Mfuko
huo wamehitimu mafunzo ya
uongezaji thamani madini katika Kituo cha TGC, Arusha.
HABARI ZA NISHATI/MADINI
NewsBulletin
http://www.mem.go.tz
Megawati 10,000
kuzalishwa ifikapo
mwaka 2025
Na Greyson Mwase,
Dar es Salaam.
Kwa wadau wa sekta za Nishati na Madini, tembelea kurasa mpya za Wizara kwenye Mitandao
ya Kijamii ya Twitter na Facebook kwa anuani ya Nishati na Madini Karibu tuhabarishane na
tujadili kuhusu sekta za Nishati na Madini kwa maendeleo ya Watanzania wote.
Imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini