Professional Documents
Culture Documents
HABARIZA
ZA
NISHATI
NISHATI&MADINI
&MADINI
NewsBulletin
http://www.mem.go.tz
Toleo
ToleoNo.
No.5167
Limesambazwa
kwa Taasisi
na Idara
Limesambazwa
kwa Taasisi
nazote
IdaraMEM
zote MEM
Tarehe - 23-29
Januari
, 2015
Tarehe
- 15-21
Mei, 2015
Mkataba
nge
WabuUuzaji
Somahabari Uk.2
ya Bati
wasainiwa
Kaimu Mkurugenzi
Mtendaji wa Shirika la
Madini la Taifa STAMICO
Mhandisi Edwin
Ngonyani
Waziri wa Nishati
na Madini, Profesa
Sospeter Muhongo
Wachimbaji
wadogo Kyerwa
kunufaika
Wanunuzi
haramu
waonywa
Soma habari Uk. 2
Mkurugenzi Mkuu wa
REA, Dk. Lutengano
Mwakahesya
HABARI ZA NISHATI/MADINI
NewsBulletin
Bulle
http://www.mem.go.tz
Alisema moja ya
makubaliano waliyofikia
ni kuwa, uuzwaji wa madini hayo utakuwa unazingatia bei ya soko la dunia
jambo ambalo linaondoa
mjadala wa kujadili bei ya
kuuzia.
Vijiji, Halmashauri
washauriwa
kuomba leseni
madini
ya ujenzi
Na Greyson Mwase,
Dodoma
George Simbachawene
NewsBulletin
Bulle
HABARI ZA NISHATI/MADINI
http://www.mem.go.tz
MEM
Tahariri
Na Badra Masoud
Kupatikana kwa
soko la madini ya
Bati, fursa muhimu
kwa wachimbaji
wadogo
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Mwijage (wa sita kutoka kushoto, mstari wa mbele)
akiwa katika picha ya pamoja na Mameneja Tanesco wa mikoa na wilaya katika Nyanda za Juu
Kusini Magharibi pamoja na wakandarasi wanaotekeleza miradi ya REA ya usambazaji umeme
vijijini, Awamu ya pili katika kanda hiyo, mara baada ya kumaliza kikao kilicholenga kujadili
utekelezaji wa miradi husika. Kulia kwa Naibu Waziri ni Meneja Mwandamizi wa Tanesco Kanda
ya Nyanda za Juu Kusini Magharibi, Salome Nkondola na kushoto kwa Naibu Waziri ni Kaimu
Meneja wa Tanesco katika mkoa wa Mbeya, Magwila Mbalamwezi.
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Mwijage (wa pili kushoto) akiangalia nguzo
zinazotumika kusambaza umeme vijijini katika wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya kabla ya
kuzindua mradi wa umeme ambao umewezesha vijiji sita katika kata hiyo kuunganishwa na
huduma ya umeme. Vijiji hivyo ni Kapyo, Ilongo, Ilaji, Igalako, Mchongole na Igalako. Wengine
katika picha ni Kaimu Meneja wa Tanesco katika mkoa wa Mbeya, Magwila Mbalamwezi (kulia
kwa Naibu Waziri) na Afisa Miradi kutoka Wakala wa Nishati Vijijini (REA), Emmanuel Yesaya
(kushoto kwa Naibu Waziri).
KWA HABARI PIGA SIMU
KITENGO CHA MAWASILIANO
TEL-2110490
FAX-2110389
MOB-0732999263
BODI YA UHARIRI
MHARIRI MKUU: Badra Masoud
MSANIFU: Essy Ogunde
WAANDISHI: Veronica Simba, Asteria Muhozya, Greyson
Mwase Teresia Mhagama, Mohamed Saif, Rhoda James
na Nuru Mwasampeta
FIVE
PILLARS OF
REFORMS
INCREASE EFFICIENCY
QUALITY DELIVERY
OF GOODS/SERVICE
SATISFACTION OF
THE CLIENT
SATISFACTION OF
BUSINESS PARTNERS
SATISFACTION OF
SHAREHOLDERS
HABARI ZA NISHATI/MADINI
NewsBulletin
Bulle
http://www.mem.go.tz
Tanzania
Kushirikiana na Japan Sekta ya Nishati
Na Veronica Simba, Dar es Salaam
izara ya Nishati
na Madini inapanga kushirikiana na Kampuni
ya Mitsubishi
Hitachi Power System ya Japan
katika kuendeleza Sekta ya Nishati
nchini.
Kamishna Msaidizi wa Umeme
wa Wizara, Mhandisi Innocent
Luoga aliyasema hayo hivi karibuni baada ya kukutana na uongozi
wa juu wa kampuni hiyo, Makao
01
03
1
2
02
NewsBulletin
Bulle
http://www.mem.go.tz
HABARI ZA NISHATI/MADINI
HABARI ZA NISHATI/MADINI
Tanesco yaagizwa
kutoa vibali kwa
mafundi umeme
Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene (kushoto) akitoa maelekezo kwa Afisa Uhusiano - Huduma kwa
Wateja wa Shirika la Umeme Nchini (Tanesco) mkoa wa Dodoma, Innocent Lupenza (kulia) mara baada ya kuwasili
katika wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma kwa ajili ya kukagua miradi ya umeme vijijini. Waziri Simbachawene
aliyekuwa mkoani Dodoma kwa ajili ya kukagua miradi ya umeme inayotekelezwa na Wakala wa Nishati Vijijini (REA)
Awamu ya Pili na Tanesco pamoja na kuzungumza na wananchi. Katikati ni Katibu wa Waziri Simbachawene Mhandisi
Joseph Kumburu.
NewsBulletin
Bulle
Wananchi epukeni
matapeli wa madini
http://www.mem.go.tz
Aliendelea kusema kuwa mbali na kuwapunguzia wananchi gharama na muda wa ufuatiliaji wa kufungiwa mifumo ya umeme katika nyumba zao, mpango huo utaleta
ushindani wa gharama kati ya makampuni na mafundi
binafsi wenye leseni zinazotambuliwa na Tanesco.
Akielezea hali ya uunganishaji wa umeme nchini
Simbachawene alisema mwaka 2005 wakati Serikali ya
Awamu ya Nne inaingia madarakani, ni asilimia 10 tu ya
wananchi walikuwa na umeme lakini hadi kufikia mwaka
2015, asilimia 36 ya wananchi wana umeme na kusisitiza
kuwa mara baada ya miaka mitano asilimia ya wananchi
wenye umeme itakuwa ni 45 na kuifanya Tanzania kuwa
nchi inayoongoza Kusini mwa Jangwa la Sahara kwa kuwaunganishia umeme wananchi waishio vijijini.
Hii ni hatua kubwa ambayo tumepiga kama Serikali
na bado tutaendelea kuhakikisha kuwa wananchi wote
hasa waishio vijijini wanapata umeme wa uhakika ingawa tutafanya kwa awamu tofauti tofauti, alisema Simbachawene.
Simbachawene alifafanua kuwa ingawa sio rahisi kuweka umeme katika vijiji vyote kwa pamoja nchi nzima,
miradi ya REA itatekelezwa kwa awamu tofauti tofauti.
Simbachawene aliwataka wananchi kushirikiana na
Tanesco pamoja na REA katika utekelezaji wa miradi ya
ujenzi wa miundombinu ya umeme kwa kutoa sehemu
ndogo ya mashamba yao ili ziweze kuwekwa nguzo za
umeme ili waanze kunufaika na umeme huo mara moja.
Wakati huo huo Afisa Uhusiano - Huduma kwa Wateja wa Tanesco mkoa wa Dodoma Innocent Lupenza alisema kuwa kwa wananchi wenye nyumba zenye vyumba
viwili hawatahitaji kufungiwa mifumo ya umeme, badala
yake watawekewa kifaa maalumu kujulikanacho kwa jina
la UMETA yaani Umeme Tayari.
Akielezea kifaa hicho, Lupenza alisema kuwa kifaa hicho kitamwezesha mtumiaji kuwasha taa mbili pamoja na
matumizi mengine madogo kama pasi na kuongeza kuwa
kifaa hicho kitauzwa kwa shilingi 42, 480
Akielezea taratibu za kufungiwa umeme kwenye nyumba Lupenza alisema wananchi waliopo umbali wa
mita 30 toka ilipo miundombinu ya umeme watalipia
shilingi 27,000.
Alisema katika hatua za awali wananchi watatakiwa
kulipia fomu kwa shilingi 5900 na baada ya hapo mkandarasi atafanya ukaguzi wa mifumo ya umeme iliyowekwa katika nyumba husika kabla ya kuiunganisha nyumba hiyo
na miundombinu ya umeme.
NewsBulletin
Bulle
HABARI ZA NISHATI/MADINI
http://www.mem.go.tz
http://www.mem.go.tz
ZIARA YA MWIJAGE
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Mwijage (wa tatu kutoka kushoto)
akiangalia nyaya zinazotumika kusambaza umeme mkubwa wa 33/11KV na
umeme mdogo wa 400/230V katika wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya kabla ya
kuzindua mradi wa umeme ambao umewezesha vijiji sita vya Kapyo, Ilongo, Ilaji,
Igalako, Mchongole na Igalako kuunganishwa na huduma ya umeme.
HABARI ZA NISHATI/MADINI
NewsBulletin
Bulle
http://www.mem.go.tz
TANESCO
Sogezeni huduma vijijini Simbachawene
Na Greyson Mwase, Dodoma
aziri wa Nishati na
Madini, George Simbachawene amelitaka
Shirika la Umeme
Nchini (TANESCO) kusogeza
huduma ya kuwaunganishia
umeme wananchi vijijini badala
ya wananchi kufunga safari mjini kwa ajili ya kufuata huduma ya
kuunganishiwa umeme kwenye
nyumba zao.
Simbachawene alitoa agizo
hilo akiwa Kibakwe mkoani Dodoma alipokuwa katika ziara ya
ukaguzi wa miradi ya umeme vijijini inayotekelezwa na Wakala
wa Nishati Vijijini (REA) Awamu
ya Pili kwa kushirikiana na Shirika la Umeme Nchini (TANESCO)
pamoja na kuzungumza na wa-
Kwa wadau wa sekta za Nishati na Madini, tembelea kurasa mpya za Wizara kwenye Mitandao
ya Kijamii ya Twitter na Facebook kwa anuani ya Nishati na Madini Karibu tuhabarishane na
tujadili kuhusu sekta za Nishati na Madini kwa maendeleo ya Watanzania wote.
Imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini