You are on page 1of 8

HABARI

HABARIZA
ZA
NISHATI
NISHATI&MADINI
&MADINI

NewsBulletin
http://www.mem.go.tz

Toleo
Toleo No.
No. 51
72

LimesambazwaLimesambazwa
kwa Taasisi nakwa
Idara
zotenaMEM
Taasisi
Idara zote MEM Tarehe

- 23-29 Januari , 2015
Juni 19-25, 2015

Wabunge

WAZIRI WA NISHATI NA MADINI AZINDUA RASMI BODI YA TANESCO -Uk2

TIPER KUJENGWA UPYA


Ni kutokana na umuhimu wake kiuchumi

Waimwagia sifa MEM, TANESCO, REA

Somahabari Uk.2

Meneja wa Kampuni ya TIPER, Daniel Bilali (aliyesimama)


akiongea jambo wakati Waziri wa Nishati na Madini, George
Simbachawene na ujumbe wake walipowasili katika
kampuni hiyo. Wanaomsikiliza kutoka kulia ni Waziri wa
Nishati na Madini, George Simbachawene, anayefuata ni
Mwenyekiti wa Bodi ya TIPER Profesa Abdulkarim Mruma na
Kaimu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi
Ngosi Mwihava.

Meneja wa Kampuni ya TIPER, Daniel Bilali ( Wa kwanza kulia) akimwongoza


Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene (kushoto) na ujumbe wake
walipofika katika kampuni hiyo kuzungumza na wafanyakazi.

Waziri wa Nishati
na Madini, Profesa
Sospeter Muhongo

Naibu Waziri wa Nishati na


Madini, anayeshughulikia
Madini Stephen Masele

Soma habari Uk. 3

Naibu Waziri wa Nishati na


Madini anayeshughulikia
Nishati, Charles Kitwanga

Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO,


Mhandisi Felchesmi
Mramba

Mwenyekiti wa Bodi ya TIPER,


Profesa Abdulkarim Mruma
akiongea jambo wakati wa kikao
kati ya wafanyakazi wa kampuni
ya TIPER na Waziri wa Nishati na
Madini, George Simbachawene.
Mkurugenzi Mkuu wa
REA, Dk. Lutengano
Mwakahesya

Island yaonesha nia kuwekeza Jotoardhi-Uk8

JWTZ wapongezwa kunusuru mtambo wa Msimbati-Uk4


Ofisi ya M awasiliano Serik alini inapokea habari za matukio mbalimbali
kwa ajili ya News Bullettin hii na Jarida la Wizar a ya Nishati na Madini
Ofisi ya Mawasiliano Serik alini inapokea habari za matukio mbalimbali
Wasiliana
Kitengo
Mawasiliano
kwa
Namba
22 2110490
Fax 2110389
Mob: +255 732 999263
kwa
ajilinasi
ya
News cha
Bullettin
hii
nasimu
Jarida
la+255
Wizar
a ya Nishati
na Madini
au Fika Ofisi ya Mawasiliano Ghorofa ya Tano (MEM) Barua pepe: badra77@yahoo.com
Wasiliana nasi Kitengo cha Mawasiliano kwa simu Namba +255 22 2110490 Fax 2110389 Mob: +255 732 999263
au Fika Ofisi ya Mawasiliano Ghorofa ya Tano (MEM) Barua pepe: badra77@yahoo.com

HABARI ZA NISHATI/MADINI

NewsBulletin
http://www.mem.go.tz

UKUSANYAJI MAONI RASIMU YA MKAKATI WA MAWASILIANO SEKTA NDOGO YA MAFUTA NA GESI


MIKOA YA LINDI MTWARA NA DAR ES SALAAM

Msemaji wa Wizara, Badra Masoud (wa tatu kulia) akizungumza na wadau wa maendeleo wakiwemo Umoja wa
Ulaya (EU), Ubalozi wa Canada nchini, Benki ya Dunia (WB), Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) na
Shirika la Maendeleo la Ujerumani (GIZ). Kikao hicho kilikuwa mahususi kwa ajili ya kupata maoni ya wadau hao
kwenye rasimu ya Mkakati wa Mawasiliano kwenye Sekta ya Mafuta na Gesi.

Baadhi ya Wahariri wa Vyombo vya Habari nchini wakimsikiliza mmoja wa


watoa mada katika kikao kilicholenga kukusanya maoni ya wadau hao ili
kuweza kuboresha rasimu ya mkakati wa mawasiliano wa sekta ndogo ya
mafuta na Gesi nchini.

Baadhi ya washiriki waliohudhuria mkutano ulioshirikisha wanajamii wa


mikoa ya Lindi na Mtwara ambao ulilenga kujadili Rasimu ya Mkakati wa
Mawasiliano wa kitaifa katika sekta ndogo ya Mafuta na Gesi, wakiwa
katika makundi yaliyokuwa yakijadili rasimu hiyo kabla ya kuwasilisha
mapendekezo yao yatakayosaidia kuboresha mkakati huo.Mkutano huo
ulifanyika mjini Mtwara hivi karibuni.

Msemaji wa Wizara, Badra Masoud akizungumza na wadau


kutoka vyombo mbalimbali vya habari nchini ambao ni
wahariri na waandishi wa habari (hawapo pichani) katika
mkutano uliolenga kukusanya maoni ya vyombo vya
habari yatakayosaidia kuboresha rasimu ya mkakati
wa mawasiliano kwenye Sekta ndogo ya Mafuta
na Gesi kilichofanyika jijini Dar es Salaam.

Afisa Habari kutoka Shirika la Maendeleo ya Petroli nchini (TPDC), Francis


Lupokela akitoa mada kuhusu Gesi asilia na Matumizi yake nchini katika
kikao na wadau kutoka vyombo mbalimbali vya habari nchini kilicholenga
kukusanya maoni ya wadau hao ili kuboresha Rasimu ya mkakati wa
mawasiliano kwenye sekta ndogo ya mafuta na gesi kilichofanyika jijini Dar
es Salaam.

Mhariri Mtendaji wa Magazeti ya Mwananchi, The Citizen, na


Mwanaspoti, Bakari Machumu akitoa maoni yake katika kikao
kilicholenga katika kukusanya maoni ya wadau ili kuweza kuboresha
rasimu ya Mkakati wa Mawasiliano kwenye Sekta ndogo ya mafuta
na Gesi asilia.

Mjiolojia kutoka Wizara ya Nishati na Madini, Godfrey Mchele akizungumza


na wahariri wa vyombo vya habari kuhusu Sera ya Gesi Asilia ya mwaka
2013 katika kikao kilicholenga katika kukusanya maoni ya wadau hao
ili kuweza kuboresha rasimu ya mkakati wa mawasiliano kwenye sekta
ndogo ya mafuta na gesi asilia.

Katibu Mtendaji wa Baraza la Habari Tanzania (MCT), Mukajubi


Mukajanga akitoa mada kuhusu Mwelekeo wa Vyombo vya habari
katika sekta ndogo ya mafuta na gesi nchini katika kikao kilicholenga
kukusanya maoni ya wadau katika sekta ndogo ya mafuta na gesi.

Baadhi ya watendaji kutoka makampuni yanayofanya shughuli za utafiti na uchimbaji


wa gesi na mafuta nchini wakiwa kwenye kikao kilichoandaliwa na Wizara ya Nishati
na Madini kwa kushirikiana na GIZ kilicholenga katika kukusanya maoni ya wadau hao
ili kuboresha Rasimu ya Mkakati wa Mawasiliano katika Sekta ndogo ya Gesi na Mafuta
nchini. Wa kwanza kushoto ni Msemaji wa Wizara, Badra Masoud.

Sehemu ya wanajamii
wa mikoa ya Lindi na
Mtwara walioshiriki
mkutano ambao
ulilenga kujadili
Rasimu ya Mkakati
wa Mawasiliano
kitaifa katika sekta
ndogo ya Mafuta na
Gesi uliofanyika mjini
Mtwara hivi karibuni

NewsBulletin

HABARI ZA NISHATI/MADINI

http://www.mem.go.tz

TIPER kujengwa upya


MEM

Tahariri
Na Badra Masoud

Waziri umenena
mabadiliko
TIPER

apema wiki hii Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene alifanya ziara katika kampuni ya kuhifadhi mafuta ya
TIPPER ambayo serikali ni mbia kwa asil-

imia 50.
Katika ziara hiyo, Waziri Simbachawene aliambatana
na Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Mhandisi Ngosi Mwihava, Kaimu Kamishna wa Nishati na Maendeleo ya Petroli, James Andilile na Mwenyekiti wa Bodi ya TIPER, Profesa Abdukarim Mruma
Lengo la ziara hiyo lilikuwa ni kujionea maendeleo ya
kampuni hiyo, kuzungumza na uongozi na wafanyakazi
wa kampuni hiyo ili kubaini changamoto wanazokabiliana nazo katika utendaji wa majukumu yao na kuzitatua.
Akizungumza na wafanyakazi wa kampuni hiyo,
Simbachawene alisema serikali iko katika hatua za kujenga upya mifumo ya kiutendaji ya kampuni hiyo ili
kuongeza ufanisi ambao utawezesha kampuni hiyo kuchangia zaidi katika ukuaji wa uchumi wa nchi.
Alisema TIPER ina umuhimu mkubwa katika sekta
ya mafuta nchini, hivyo mabadiliko ni lazima kwa kuwa
hivi sasa serikali inahitaji kampuni hiyo kuliko wakati
mwingine wowote.
Mabadiliko makubwa ambayo yanatakiwa kufanywa
ikiwemo kuweka mikakati zaidi ili kuhakikisha kwamba
kampuni hiyo inazidi kulinufaisha taifa.
Serikali imeweka mikakati bora na mawazo mazuri
hususan katika kupitia upya mikataba ya kampuni hiyo
hali itakayopelekea mabadiliko makubwa na kuboresha
huduma zake.
Tunapongeza juhudi zinazofanywa na Serikali kuwataka wadau mbalimbali kuunga mkono juhudi za Serikali katika uboreshaji wa kampuni ya TIPER

Kaimu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini,


Ngosi Mwihava akiongea jambo na wafanyakazi wa
kampuni ya TIPER, wakati wa kikao chao na Waziri
wa Nishati na Madini, George Simbachawene.

Na Asteria Muhozya,
Dar es Salaam

aziri wa Nishati na Madini,


George
Simbachawene
amesema kuwa, serikali
iko katika hatua za kujenga
upya mifumo ya kiutendaji
ya kampuni ya kuhifadhi
mafuta ya TIPER ambayo
serikali ni mbia kwa asilimia
50, ili kuongeza ufanisi ambao utawezesha shirika hilo
kuchangia zaidi katika ukuaji
wa uchumi wa nchi.
Simbachawene alisema
kuwa TIPER ina umuhimu
mkubwa katika sekta ya
mafuta nchini hivyo, mabadiliko ni lazima kwa kuwa
hivi sasa serikali inahitaji
kampuni hiyo kuliko wakati
mwingine wowote.
Waziri
Simbachawene

aliyasema hayo wakati akiongea na wafanyakazi wa


Kampuni hiyo alipowatembelea hivi karibuni jijini Dar
es Salaam ili kuzungumza
na kufahamu changamoto
mbalimbali wanazokabiliana
nazo wakati wa utekelezaji
wa majukumu yao.
Aliongeza kuwa, yapo
mabadiliko makubwa ambayo yanatakiwa kufanywa
ikiwemo kuweka mikakati
zaidi ili kuhakikisha kwamba
kampuni hiyo inazidi kulinufaisha taifa.
Tukiimarisha
TIPER
na kujumlisha uwezo wa
kampuni ya PUMA, tutafika
mahali ambapo tunahitaji
kuwa. Mabadiliko ni lazima.
Najua matatizo yapo lakini
tutayarekebisha, nchi hii ina
wazalendo,alisisitiza Simbachawene.
Aidha, alieleza kuwa, serikali imeweka mikakati bora

KWA HABARI PIGA SIMU


KITENGO CHA MAWASILIANO

TEL-2110490
FAX-2110389
MOB-0732999263
BODI YA UHARIRI
MHARIRI MKUU: Badra Masoud
MSANIFU: Essy Ogunde
WAANDISHI: Veronica Simba, Asteria Muhozya, Greyson
Mwase Teresia Mhagama, Mohamed Saif, Rhoda James
na Nuru Mwasampeta

na mawazo mazuri hususan


katika kupitia upya mikataba
ya kampuni hiyo na kuongeza
kuwa mbadiliko katika kampuni hiyo ni lazima yakafanywa.
Vilevile, aliongeza kuwa,
serikali inahitaji kuifanya
kampuni hiyo kuwa ya kipekee kutokana na umuhimu
wake ikiwemo uhifadhi mafuta ya akiba ya serikali, kuzalisha ajira kwa watanzania,
ikiwemo biashara ya mafuta.
Tunataka Tipper iwe imara
zaidi, aliongeza.
Katika ziara hiyo, Waziri
Simbachawene aliambatana
na Kaimu Katibu Mkuu wa
Wizara ya Nishati na Madini,
Mhandisi Ngosi Mwihava,
Kaimu Kamishna wa Nishati na Maendeleo ya Petroli
James Andilile na Mwenyekiti wa Bodi ya TIPER, Profesa
Abdulkarim Mruma.

FIVE
PILLARS OF
REFORMS
INCREASE EFFICIENCY
QUALITY DELIVERY
OF GOODS/SERVICE
SATISFACTION OF
THE CLIENT
SATISFACTION OF
BUSINESS PARTNERS
SATISFACTION OF
SHAREHOLDERS

HABARI ZA NISHATI/MADINI

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Madini la Taifa (STAMICO), Mhandisi Edwin Ngonyani
akisaini kitabu cha wageni katika banda la Wizara ya Nishati na Madini katika maonesho
ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayoendelea katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es
Salaam.

Baadhi wa wananchi wakipata maelezo katika Banda la Wakala wa Ukaguzi wa Madini Tanzania
(TMAA) katika maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayoendelea katika viwanja vya
Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.

Mmoja wa wananchi akipata maelezo kutoka kwa wataalam wa Wizara ya Nishati na


Madini mara alipotembelea banda hilo katika maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma
yanayoendelea katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.

NewsBulletin
http://www.mem.go.tz

Baadhi ya washiriki wa Maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma kutoka Wizara ya Nishati na


Madini na Taasisi zake wakiwa katika picha ya pamoja mbele ya banda la Wizara katika viwanja
vya Mnazi Mmoja, jijini Dar es Salaam

Mtaalam kutoka Wizara ya Nishati na Madini Mhandisi Rayson Nkya ( wa pili kutoka kulia) akitoa
maelezo kwa mwananchi aliyetembelea banda la Wizara katika Maonesho ya Wiki ya Utumishi
wa Umma yanayoendelea katika viwanja vya Mnazi Mmoja, jijini Dar es Salaam.

Mtaalam kutoka Kitengo cha Mazingira, Wizara ya Nishati na Madini Mhandisi Ephraim Mushi
(kushoto) akielezea namna wizara inavyoshiriki katika shughuli za utunzaji wa mazingira
kwenye migodi kwa mwananchi aliyetembelea banda la Wizara katika Maonesho ya Wiki ya
Utumishi wa Umma yanayoendelea katika viwanja vya Mnazi Mmoja, jijini Dar es Salaam.

NewsBulletin
http://www.mem.go.tz

Nishati na Madini
yangara Wiki ya
Utumishi wa Umma
Naye John Peter ambaye ni mkazi
wa Tegeta Salasala alisema kuwa kutokana na elimu aliyoipata katika
banda la Wizara, aliweza kufahamu
kwa kina jinsi shughuli mbalimbali za
utafutaji wa gesi zinavyofanyika na kuwataka wadau wengine kufika katika
banda hilo kujifunza.

Na Rhoda James- Dar es Salaam.

atika Maonesho ya Wiki ya Utumishi wa


Umma kwa mwaka 2015 yanayoendelea katika
viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam,
banda la Wizara ya Nishati na Madini pamoja
na taasisi zake, limekuwa kivutio kikubwa kwa
wananchi wanaotembelea katika maonesho hayo.
Maonesho hayo yaliyoanza mwanzoni mwa wiki hii yalifunguliwa na Kaimu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, HAB Mkwizu kwa niaba ya
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais - Menejimenti ya Utumishi wa
Umma, Celina Kombani.
Wakitoa maoni yao, wadau mbalimbali waliotembelea
banda la Wizara na taasisi zake walisema kuwa wamefurahishwa na huduma zinazotolewa na Wizara ya Nishati na
Madini hususani katika utoaji elimu kuhusu sekta za nishati
na madini.
Musa Abdalah, mkazi wa Mbezi Beach jijini Dar es Salaam alisema kuwa kupitia maonesho haya walijifunza taratibu sahihi za kufuata wakati wa uombaji wa leseni za madini.
Alisema kutokana na Wizara kuboresha huduma zake
za leseni kwa njia ya mtandao, wachimbaji wadogo wa madini hususan waishio mkoani wataweza kutuma maombi
yao moja kwa moja kwenye ofisi za madini na kupunguza
urasimu, nchini suala ambalo litawafanya wafanye kazi zao
kwa kufuata taratibu na kanuni zilizowekwa.
Aliongeza kuwa kupitia vipeperushi, na elimu waliyoipata
katika banda la Wizara, wameweza kufahamu mambo mengi
hususan sekta ya gesi ambayo ni mpya.
Naye John Peter ambaye ni mkazi wa Tegeta Salasala
alisema kuwa kutokana na elimu aliyoipata katika banda la
Wizara, aliweza kufahamu kwa kina jinsi shughuli mbalimbali za utafutaji wa gesi zinavyofanyika na kuwataka wadau
wengine kufika katika banda hilo kujifunza.
Alisisitiza kuwa wananchi wengi wamekuwa na mtizamo
hasi juu ya sekta ya madini na kuwa na matarajio makubwa
katika sekta mpya ya gesi, suala ambalo linahitaji elimu zaidi
ili kukidhi matarajio ya wananchi.
Maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma hufanyika kila
mwaka kuanzia tarehe 16 hadi 23 Juni, lengo likiwa ni
kutambua mchango wa watumishi wa umma na kuwakutanisha na wananchi kwa ajili ya kuboresha huduma.

Kaimu Mkurugenzi wa Shirika la Madini la Taifa (STAMICO), Mhandisi Edwin


Ngonyani akiangalia baadhi ya vipeperushi kwenye Banda la Wizara
ya Nishati na Madini katika maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma
yanayoendelea katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.

HABARI ZA NISHATI/MADINI

u
Banda la Wizara ya
Nishati na Madini katika
monesho ya Wiki ya
Utumishi wa Umma
yanayoendelea katika
viwanja vya Mnazi
Mmoja jijini Dar es
Salaam. Maonesho
hayo yaliyoanza Juni
16, 2015 yanatarajiwa
kumalizika tarehe 23
Juni, 2015.

Banda la Wizara ya
Nishati na Madini
katika monesho ya
Wiki ya Utumishi
wa Umma
yanayoendelea
katika viwanja vya
Mnazi Mmoja jijini
Dar es Salaam.
Maonesho hayo
yaliyoanza Juni 16,
2015 yanatarajiwa
kumalizika tarehe 23
Juni, 2015.

u
Kaimu Katibu
Mkuu Ofisi ya RaisMenejimenti ya
Utumishi wa Umma,
HAB Mkwizu akisaini
kitabu cha wageni
katika banda la Wizara
ya Nishati na Madini
katika maonesho ya
Wiki ya Utumishi wa
Umma yanayoendelea
katika viwanja vya
Mnazi Mmoja jijini Dar
es Salaam.

u
Mtaalam kutoka
Wizara ya Nishati
na Madini Mhandisi
Rayson Nkya ( wapili
kutoka kulia) akitoa
maelezo kwa Kaimu
Katibu Mkuu Ofisi ya
Rais -Menejimenti ya
Utumishi wa Umma,
HAB Mkwizu mara
Kaimu Katibu Mkuu
huyo alipotembelea
banda la Wizara katika
maonesho ya Wiki ya
Utumishi wa Umma
yanayoendelea katika
viwanja vya Mnazi
Mmoja jijini Dar es
Salaam.

HABARI ZA NISHATI/MADINI

NewsBulletin
http://www.mem.go.tz

Waziri wa Nishati na Madini ,


George Simbachawene katika
picha ya pamoja na baadhi ya
Watendaji wa Wakuu wa Wizara
na wawakilishi wa kampuni ya
Reykjavik Geothermal (RG) ya
Island, baada ya kikao ambacho
wawakilishi hao walifika
kujitambulisha, kueleza uzoefu
wao wa masuala ya jotoardhi na
nia ya kufanya kazi na Tanzania
katika eneo hilo. Wa kwanza
kushoto kwa waziri ni Kaimu
Katibu Mkuu Wizara ya Nishati
na Madini, Mhandisi Ngosi
Mwihava, Mkurugenzi Mkuu
wa Kampuni ya Uendelezaji
Jotoardhi Tanzania Geothermal
Development Company (TGDC),
na Kaimu Kamishna wa Nishati
na Maendeleo ya Petroli, James
Andilile.

Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya


Uendelezaji Jotoardhi Tanzania
Geothermal Development Company
(TGDC), ambayo ni kampuni Tanzu ya
Shirika la Umeme Nchini (TANESCO),
Mhandisi Boniface Njombe (wanne kutoka
kulia) akieleza jambo wakati wa kikao
baina ya Wizara ya Nishati na Madini na
kampuni ya Reykjavik Geothermal (RG) ya
Island,ambayo imeonesha nia ya kufanya
kazi na TGDC katika uendelezaji wa nishati
ya jotoardhi nchini.

Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene


akiongoza kikao baina yake na wafanyakazi wa
kampuni ya TIPER, kilichofanyika hivi karibuni.

Watalaam wa
Wakala wa
Jiolojia Tanzania
(GST) wakifanya
utafiti wa Jiolojia
katika ukanda
wa Dhahabu wa
Lupa(Lupa Gold
Field), wilayani
Chunya mkoani wa
Mbeya

NewsBulletin

HABARI ZA NISHATI/MADINI

http://www.mem.go.tz

http://www.mem.go.tz

STAMICO KUWEZESHA
WANAWAKE KUTOA
HUDUMA BORA KWA UMMA
Na Bibiana Ndumbaro,
Dar es Salaam

aimu Mkurugenzi Mtendaji


wa Shirika la Madini la Taifa
(STAMICO), Mhandisi Edwin Ngonyani ameeleza kuwa
STAMICO imeamua kuwawezesha wanawake kutoa huduma kwa umma kwa
kuwa, wanawake wenye sifa wakipatiwa
majukumu ya kiutawala wanafanya vizuri kutokana na kuwa na uaminifu, uvumilivu na bidii katika utendaji kazi jambo
ambalo linaleta matokeo makubwa yenye
tija kwa shirika.
Ngonyani aliyasema hayo alipotembelea banda la STAMICO katika maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayoendelea kwenye viwanja vya Mnazi
mmoja Jijini Dar es salaam.
Mhandisi Ngonyani amesema amefurahishwa sana na maonesho hayo yaliyobeba dhana ya kuwainua wanawake
kwani ni moja ya mambo muhimu ambayo STAMICO inayapa kipaumbele ili
kuimarisha usawa wa kijinsia katika utoaji
wa huduma kwa Umma.
Akielezea namna Shirika linavyoitambua na kuthamini nafasi ya wanawake

amesema, STAMICO inajitahidi kutoa nafasi za uongozi kwa wanawake wenye sifa
stahili, kuhakikisha usawa na
kuandaa mazingira wezeshi
na rafiki katika utendaji kazi
kwani watumishi wamekuwa
wakipewa mafunzo dhidi ya
vihatarishi katika mazingira
ya kazi.
Aidha, amesema Shirika
limepanua wigo katika kutoa huduma kwa Umma katika kuwasaidia wachimbaji
wadogo wanawake ambao
wameonesha uwezo wa kuendesha miradi. Shirika limekwisha watambua wachimbaji wanawake wasiopungua
saba katika mikoa ya Singida, Arusha na Geita ambao watapewa kipaumbele
katika upataji wa Ruzuku na
msaada wa kiteknolojia.
Kwa upande wa maonesho, amesema maonesho ya
mwaka huu yanazidi kuimarika na ameelezea utofauti
mkubwa kwani sasa washiriki wameongezeka pia mas-

wali ya wananchi yanaonesha ni jinsi gani wameanza


kuwa na imani na watumishi
wa umma na pia imejengea
wananchi kujua kinachoendela katika serikali yao.
Sambamba na hayo
amesema STAMICO imeweza kuanzisha miradi
mipya tangu liliporudishiwa
majukumu yake licha ya
changamoto zilizopo.
Miradi ambayo imeanzishwa ni Mradi wa Dhahabu
Biharamulo unaosimamiwa
na kampuni STAMIGOLD,
Mradi wa Ununuzi Madini
ghafi ya Bati wa Kyerwa na
shughuli za kuwaendeleza
na kuwasaidia wachimbaji
wadogo.
Kwa mujibu wa Mhandisi Ngonyani, Shirika linakusudia kuanzisha miradi
mingine ikiwemo Mradi wa
Kuwasaidia Wachimbaji Wadogo na Kuongeza Thamani
ya Dhahabu kwa kuhawilisha Carbon.
Mradi mwingine utaka-

Kaimu Mkurugenzi wa STAMICO Mhandisi Edwin


Ngonyani

oanzishwa ni Kyerwa Awamu ya Pili utakaosaidia kujenga Mtambo wa kuchenjulia madini ya Bati na pia kushirikisha wataalamu
katika mradi wa Rwamgasa ili kuwasaidia wachimbaji wadogo
kitaalamu.
Mhandisi Ngonyani alitumia nafasi hiyo kumshukuru Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete
kwa kuiwezesha STAMICO kurudi katika nafasi kama ilivyokuwa
awali na kueleza kuwa, anayo imani na Rais ajaye kuwa ataendeleza yaliyoachwa na mtangulizi wake kwa kuhakikisha ushiriki wa
sekta binafsi na taasisi za umma katika uzalishaji mali ili kuyafanya
maeneo yote nchini kuwa ya uzalishaji na hatimaye kuongeza pato
la Taifa.

u
Kaimu Mkurugenzi wa
STAMICO Mhandisi Edwin
Ngonyani (kulia) akijibu
maswali ya mwananchi
katika maonesho ya Wiki
wa Utumishi wa Umma.

Kutoka kulia ni Meneja wa


Masoko na Uhusiano Kwa
Umma Koleta Njelekela,
Denis Silas Mjiofizikia na
Ibrahim Dauda Mhandisi
Migodi Mwandamizi

HABARI ZA NISHATI/MADINI

NewsBulletin
http://www.mem.go.tz

Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene (katikati) akisalimiana na wawakilishi wa


Kampuni ya Jotoardhi ya Reykjavik Geothermal (RG) ya Island, waliofika kujitambulisha kwa Waziri
na kueleza uzoefu wao katika masuala ya nishati ya Jotoardhi.
Mwakilishi wa Reykjavik
Geothermal (RG), Tanzania,
Joseph Kahama (wa kwanza
kushoto) akiongea jambo
wakati wa kikao kati ya kampuni
hiyo na Wizara ya Nishati
na Madini. Kampuni hiyo
imeeleza uzoefu na utaalamu
katika masuala ya uendelezaji
wa nishati ya Jotoardhi ikiwa
ni pamoja na kuonesha nia
ya kufanya kazi pamoja na
kampuni ya Uendelezaji wa
Jotoardhi, Tanzania Geothermal
Development Company (TGDC)

Meneja Mkuu wa Kampuni ya


Maurel et Prom tawi la Tanzania
na Namibia, inayozalisha umeme
unaotokana na gesi asilia ya
Mnazi Bay, unatumika katika
mikoa ya Lindi na Mtwara,
Christopher Maitre, akisoma
ramani inayoonyesha maeneo
yenye gesi asilia. Katikati ni Kaimu
Meneja wa Mipango kutoka
Shirika la Maendeleo ya Petroli
Tanzania (TPDC), George Kibakaya,
anayeshuhudia kushoto ni Mjiolojia
kutoka Idara ya Nishati, Fadhili
Kilewo.

Island yaonesha nia kuwekeza Jotoardhi


Na Asteria
Muhozya, Dar es
Salaam

Wachimbaji wa madini ya Jasi wa kijiji cha Itigi, wilayani Manyoni,


anzo
vingine
maji,(Madini),
makaa
wakimsikiliza
Naibu
Waziri wavikiwemo
Nishati na Madini
Charles Ikiwa mko tayari, taratibu zetu Tanzania. Tunataka kuonesha furya mawe
na alipotembelea
gesi na kuongeza,
Kitwanga (hayupo
katika picha)
kijijini hapo kwa ziko wazi na zinaeleweka. Tunataka sa zilizopo katika sekta hii, lakini
tumekuwa
tukitumia navyanzo
lengo la kukagua
shughuli zinazofanywa
wachimbajihivi
hao na kufanikiwa na kuendelea katika eneo wakati huo huo, kila upande unulakini
tunahitajizinazowakabili.
kuendeleza hili, lakini
zaidi
tunataka
matumizi
faike kupitia
nishati hiiakizungumza
rahisi na ya
kuzungumza
nao ili bado
kubaini changamoto
Naibu
Waziri
wa Nishati
na Madini (Madini),
Charles Kitwanga
jotoardhi kutokana na mahitaji ya ya teknolojia
za
juu
,
sahihi
na
bora,
uhakika,aliongeza
Andren.
na wananchi wa kijiji cha Sambaru wilayani Ikungi, mkoani Singida (hawapo
Kaimu
Katibu kwa
Mkuu
wa
kijijini hapo
hivi karibuni
lengo
meelezwa kuwa, uwepo wa nishati ya umeme nchini, hivyo bado alisema.pichani) wakati alipofanya ziara ya kikazi Naye
tunahitaji
wawekezaji
katika
eneo
Kwa
upande
wake,
mmoja
wa
Nishati
na
Madini,
Mhandisi
Ngosi
la
kukagua
shughuli
za
uchimbaji
wa
madini.
Kulia
kwake
ni
Mkuu
wa
Wilaya
Kampuni ya Uendelezaji wa
ya Manyoni,
Fatmah Toufiq.
wawakilishi
wa kampuni
ya Rey- Mwihava aliongeza kuwa, tulikuwa
Jotoardhi, Tanzania Geother- hili, alisema Simbachawene.

mal Development Company


(TGDC), ambayo ni kampuni
Tanzu ya Shirika la Umeme Nchini
(TANESCO), kutachangia katika
ukuaji na uendelezaji wa nishati hiyo
katika kuzalisha umeme .
Hayo yalielezwa na Waziri wa
Nishati na Madini, George Simbachawene hivi karibuni wakati
wa kikao chake na wawakilishi wa
Kampuni ya Jotoardhi ya Reykjavik
Geothermal (RG) ya Island, waliofika wizarani kujitambulisha na kueleza nia yao katika uendelezaji wa
nishati ya jotoardhi nchini.
Simbachawene aliongeza kuwa,
jotoardhi ni chanzo kipya cha nishati
nchini ambacho bado kilikuwa hakipewi nafasi kutokana na kuwepo vy-

Aliongeza kuwa, uwepo wa


kampuni ya TGDC ni kichocheo
muhimu katika uendelezaji wa nishati hiyo na kueleza kuwa, serikali
inahakikisha kuwa, Tanzania inakuwa miongoni mwa nchi zinazofanya
vizuri katika eneo hilo kama zilivyo
nchi nyingine zilizoendelea kupitia chanzo cha nishati hiyo. Tuna
kampuni, tunahitaji wawekezaji ili
nasi tufanye vizuri katika eneo hili,
alisisitiza.
Aidha, Waziri aliihakikishia
kampuni hiyo, kuwa endapo ipo
tayari kufanya kazi na Tanzania,
taratibu ziko wazi na hivyo kuwataka kutumia teknolojia na vifaa bora
na vya kisasa katika shughuli za uendelezaji nishati hiyo.

kjavik Geothermal (RG), Mikael nyuma katika nishati hii lakini sasa
Andren alieleza uzoefu wa kampuni tunataka kuwa mbele na kuhakikihiyo katika masuala ya Jotoardhi sha kuwa nishati hii inakuwa moja
huku akieleza namna nchi ya Island ya vyazo vikubwa vya kutupatia
iliyopiga hatua na uzoefu wake ka- umeme.
tika nishati hiyo.
Kwa upande wake, Mkurugenzi
Si tu Island imeendelea kupi- Mtendaji wa Kampuni ya TGDC,
tia nishati hii, lakini pia wengi wa- Mhandisi Boniface Njombe alieleza
nafika kujifunza na kuona namna kuwa, kampuni hiyo imekubaliana
tunavyofanya kazi katika sekta hii. kukutana na wawekezaji hao kuzunTumeonesha mafanikio ya jotoar- gumza na kuona namna gani wadhi katika nchi ya Ethiopia, tuna naweza kufanya kazi pamoja.
uwezo, wataalamu katika masuala
Aidha, Mhandisi Njombe
ya Jiofizikia na Jiosayansi ikiwemo alieleza hatua kadhaa ambazo tayari
teknolojia ya juu, tunapenda kufanya zimekwisha kufanywa na kampuni
kazi pamoja na TGC kwa manufaa hiyo katika uendelezaji wa chanzo
ya Tanzania,
hicho Naibu
kipya Waziri
cha wa
nishati
Wananchialisema
wa kijijiAndren.
cha Sambaru wakimsikiliza
Nishatiikiwemo
na
Tunataka
jotoardhi
kuwa
chan- (hayupo
tafiti pichani)
mbalimbali
kubaini
maeneo
Madini (Madini),
Charles
Kitwanga
wakatiiliwa
ziara yake
ya
ukaguzikikubwa
wa shughuli
za uchimbaji
kijijini
hapo. vya jotoardhi nchini.
zo kingine
cha
umeme madini
yenye
viashiria

Kwa wadau wa sekta za Nishati na Madini, tembelea kurasa mpya za Wizara kwenye Mitandao
ya Kijamii ya Twitter na Facebook kwa anuani ya Nishati na Madini Karibu tuhabarishane na
tujadili kuhusu sekta za Nishati na Madini kwa maendeleo ya Watanzania wote.
Imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini

You might also like