Professional Documents
Culture Documents
Press Release - WAMJW - 18 Januari 2016 - Final
Press Release - WAMJW - 18 Januari 2016 - Final
Halmashauri ya
Arusha (19).
Ndugu Waandishi wa Habari,
Napenda kuikumbusha jamii kuwa kipindupindu ni ugonjwa unaoambukizwa
kwa kula chakula au kinywaji chenye vimelea ambavyo hupatikana kwenye
kinyesi na matapishi ya mgonjwa wa kipindupindu au kwenye kitu chochote
kilichochafuliwa na kinyesi au matapishi ya mgonjwa. Aidha dalili kuu za
ugonjwa huu ni kuanza ghafla kuharisha mfululizo kinyesi cha majimaji meupe
kama maji yaliyooshea mchele na kinaweza kuambatana na kutapika,
kulegea, kusikia kiu, midomo kukauka, na kuishiwa nguvu. Mgonjwa anaweza
kupoteza maisha endapo hatapata huduma yoyote ya tiba katika muda mfupi
na hasa kutokana na kuishiwa maji. Vilevile, jamii ina fursa ya kujifunza zaidi
kuhusu ugonjwa wa kipindupindu kupitia njia ya simu kwa kupiga namba 117
na kusikiliza ujumbe wa sauti au kuandika neno kipindupindu/cholera
kwenda namba 15774 ili kupata habari zaidi. Hakuna malipo kwa mtumiaji wa
huduma hii.
Ndugu Waandishi wa Habari,
Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, inaendelea
kusisitiza kwa jamii kuzingatia yafuatayo:
- kunywa maji yaliyo safi na salama
- kuepuka kula chakula kilichoandaliwa katika mazingira yasiyo safi na
salama
2
wa
viongozi
ngazi
mbali
mbali,
hasa
ngazi
za
Hitimisho
Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, inatoa rai kwa
jamii, wataalamu na viongozi katika ngazi zote kila mmoja kutimiza wajibu
wake katika harakati za kuudhibiti ugonjwa huu. Aidha napenda kusisitiza
umuhimu wa Mikoa kutuma taarifa sahihi zinazohusu mlipuko wa ugonjwa wa
Kipindupindu na kuwachukulia hatua kali watumishi watakao zembea au
kujaribu kuficha taarifa hizo.
Napenda
kumalizia
kwa
kuahidi
kwamba
Wizara
yangu
itaendelea