Professional Documents
Culture Documents
Tunapanga pia Kuweka MATAA Kwa barabara nyingi za lami Ndio tupunguze
ajali na uhalifu.
Nilipokuwa safarini Tokyo, Japan, nilimpata mwekezaji , investor was kuweka
stima wa solar Machakos.
Haya yote kwa sababu
INAWEZEKANA NA MAENDELEO CHAP CHAP
8. MAJI MAJI MAJI - water is life and it is a right, not a privilege for every
Kenyan.
In Machakos, we have used out eight drilling rigs, numerous graders, excavators
and bull dozers to dig 205 boreholes and 166 dams.
Mpango wetu nikuleta MAJI karibu na Kuweka mferenyeji wa MAJI kwenye kila
nyumba. Tunataka wakati Mama anawapikia watoto ugali, Akiona ni mgumu,
anafungua mfereji, NYWEE na kuendelea na kazi. Nunataka Wazee, vijana,
Warembo na watoto wa Machakos county wawe wakiamka na kuoga na MAJI ya
shower.
Tayari tumepeana matangi ya maji ya LITA ELFU KUMI (10,000 liters) Kwa kila
shule ya Serikali ya msimgi shule 896 hapa Machakos county.
Mpango wetu ni kuchimba borehole 1,000, Dams - mabwawa 600 Na River dams,
mabwawa Madogo ya mito - Ngome - 500.
Aibu ya kubebana Na mitungi ya maji LAZIMA tumalize
Kwa sababu
INAWEZEKANA NA MAENDELEO CHAP CHAP
9. Machawood tumeanza, sasa sarakasi, uimbaji Na Sinema Kama za ngamb'o
tunaanza Kutengeza. MACHAWOOD is becoming the premier entertainment,
music and film centre in Kenya and will provide youth with opportunities and
money.
I listened to these leaders, as I have listened to our president Uhuru and as a young
person, I know that this is our time to rise up and ensure we have real change speedy and quality development - Maendeleo Chap Chap.
WANANCHI NEED TO KEEP A SCORE, A FORM OF PERFOMANCE
CONTRACTING SCORE WHERE EVERY LEADER SHOWS WHAT HE OR
SHE HAS DONE.
SOME OF THE LEADERS MAKING THE MOST NOISE AND MOST VOCAL,
HAVE NOTHING TO SHOW. THEY KNOW HOW TO TALK, DANCE AND
CONIVE AS THEY SPEW HATE SPECH AND TRIBAL HATRED BUT IN
TERMS OF DEVELOPMENT THEY HAVE DONE BASICALLY NOTHING
FOR MWANANCHI.
WAKATI UMEFIKA WA KUMMULIZA KIONGOZI WAKO, WEWE
UMEFANYA NINI CHA MAENDELEO TUNACHOWEZA KUKIONA?
Ladies and gentlemen,
You know, there are some people who get sick when they hear of what I have
achieved with Maendeleo chap chap.
Kuna viongozi wanaoaribikiwa Na Tumbo wakisikia nikiongea kuhusu kupigana
Na umaskini Na Maendeleo Chap kwa sababu wamezoea siasa bila vitendo.
Wamezoea matusi Na siasa duni.
Ni toboe nisitoboe?
Kuna njama zemepangwa Na wanasiasa za Kuleta ghasia Machakos, kufanya
maandamano katika kila ENEO BUNGE Na MIJI yetu, Na kuendeleza matusi
Na fitina kwenye magazeti Na Hata makinisani.
Tunajua ya kwamba Shilingi millions 56.5 million zimepangwa zitafute Njia za
kumuondoa Alfred Mutua kwa Ofisi yake kwa sababu anaaraibu hewa za siasa
za Ukambani Na Kenya kwa Kuleta Maendeleo ya kuwasaidia Wananchi.
Tunayo ratiba ya mipango yao. Hata wiki hii - tarehe nne au tano, wamepanga kuja
Machakos hospital kuweka fitina.
Hawa watu, wana siasa Na watumishi wao, nawasikilia huruma Kwa sababu
hawaelewi Kenya imebadilika Na Wakenya sasa ni werevu.