Professional Documents
Culture Documents
Jarida La Nchi Yetu
Jarida La Nchi Yetu
NCHI YETU
TANZANIA
Toleo la 228
KA
55
MIA
RU
U
UH
Desemba, 2016
www.tanzania.go.tz
Bodi ya Uhariri
Mwenyekiti
Hassan Abbas
Wajumbe
Zamaradi Kawawa
Tiganya Vicent
John Lukuwi
Jonas Kamaleki
Casmir Ndambalilo
Patrick Kipangula
Elias Malima
Wasanifu Jarida
Benedict Liwenga
Hassan Silayo
Huduma tunazotoa
Tunauza picha za Viongozi wa Taifa na matukio
muhimu ya Serikali,
Tunasajili Magazeti na Majarida,
Ukumbi kwa ajili ya Mikutano na
Waandishi wa habari,
Rejea ya Magazeti na picha za zamani,
Tunapokea kero mbalimbali za Wananchi
Jarida hili hutolewa na:
ii
TUONAVYO SISI
Hongera Rais Magufuli kwa kusaini Sheria ya Huduma za Habari ya mwaka 2016
Hivi karibuni RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli
alisaini Sheria ya Huduma za Habari ya Mwaka 2016 iliyopitishwa na Bunge la 11 la Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania katika Mkutano wake wa tano Mjini Dodoma.
Hatua hiyo ya Rais Magufuli ilitokana na kazi nzuri ya Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania baada ya kuujadili Muswada huo kifungu kwa kifungu na kuunga mkono.
Mara baada ya kusaini Muswada huo na kuwa Sheria, Rais Magufuli aliwapongeza wadau
mbalimbali waliofanikisha shughuli hiyo na kusema kuwa anamini kuwa Sheria hiyo itasaidia
kuboresha sekta ya habari kwa manufaa ya wanataaluma wenyewe na Taifa.
Mnamo Novemba 04, mwaka huu, wakati Rais Magufuli akizungumza na Wahariri wa vyombo
vya habari, aliahidi kuusaini Muswada huo mara moja utakapomfikia huku akiusifia kuwa ni Sheria
nzuri inayolenga kulinda maslahi ya Waandishi wa habari na kuweka heshima katika tasnia hiyo.
Awali akiongea na Waandishi wa habari mara baada ya kupitishwa kwa Muswada huo, Waziri wa
Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Nape Nnauye aliwashukuru wadau wote walioshiriki
katika kutoa maoni juu ya Muswada huo kwani ndiyo yamepelekea kukamilisha mchakato mzima
wa Muswada huo.
Kwa niaba ya Serikali napenda kuwashukuru wadau wote walioshiriki kwa namna moja au
nyingine katika kuhakikisha tunatimiza malengo ya takribani miaka 20 iliyopita ya kuifanya
taaluma hii ya habari kuheshimika kama zilivyo taaluma zingine, alisema Waziri Nape.
Waziri Nape aliongeza kuwa, kwa sasa Muswada huo umeshapitishwa hivyo kilichobaki ni
utungaji wa Kanuni ambapo aliomba wadau wa tasnia ya habari kujitokeza kwa wingi kwa ajili ya
kutoa maoni yatakayopelekea kuwa na Kanuni zenye tija kwa wanahabari na Taifa kwa ujumla.
Aidha, Mhe. Nape aliwaasa wadau wa habari kuunganisha nguvu kwa pamoja hasa katika kipindi
hiki ambacho Muswada huo umepitishwa na kuwataka wadau hao kutoruhusu mgawanyiko
utokee kati yao, bali washirikiane na Serikali katika kutekeleza wajibu wao wa kihabari kwa jamii.
Kwa upande wake Mwanasheria Mkuu wa Serikali George Masaju alisema kuwa, Muswada
wa Sheria ya Huduma za Habari wa mwaka 2016 ni mwanzo mpya wa tasnia ya habari nchini
ambapo aliwaasa wadau wa habari wakiwemo Waandishi wa habari kutambua kuwa haki mara
zote huendana na wajibu, hivyo hakuna haki isiyo na wajibu.
Baadhi ya mambo muhimu yaliyomo kwenye Sheria ya Huduma za Habari ya mwaka 2016
ambayo imefuta rasmi Sheria ya Magazeti ya Mwaka 1976 ni pamoja na kuanzishwa kwa Bodi
ya Ithibati itakayoainisha viwango vya taaluma kwa wanahabari na kutoa vitambulisho vya
wanahabari, Baraza Huru la Habari ambalo pamoja na majukumu mengine litasaidia kutatua
migogoro na kuandaa Kanuni za Maadili kwa wanahabari.
Jambo jingine ni kuwepo kwa kipengele cha kuwakatia Bima Waandishi wa habari kufanya kazi
katika mazingira hatarishi na kuanzishwa kwa Mfuko wa Mafunzo kwa Waandishi wa habari
ambao utakuwa unatoa mafunzo ya muda mfupi ya kitaaluma.
Sheria ya Huduma za Habari ya Mwaka 2016 iliyosainiwa na Mhe. Rais Magufuli itasaidia kujenga
upya taaluma ya Uandishi wa habari iliyokuwa imevamiwa na baadhi ya watu mbalimbali kama
vile Makanjanja na hivyo kuhatarisha usalama wa jamii kwa kuandika matukio yasiyozingatia
maadili na yaliyojaa uchochezi.
TAHARIRI
iv
Uk. 1
Uk. 3
Uk. 5
Uk. 7
Uk. 8
Uk. 10
Uk. 17
Uk. 21
Uk. 27
Na Hassan Abbas-MAELEZO
kwa
sababu
hii
basi
leo
ningeweza
kufanya
uchambuzi
kuhusu mengi ya uhuru na mengi
yaliyofanywa na viongozi wetu.
Ningeweza pia kufanya uchambuzi wa
nini kifanyike pale penye changamoto
kama alivyopata kutuasa Baba wa
Taifa, Mwalimu Julius Nyerere
kuwa: kujikosoa ni kujisahihisha.
Lakini jambo moja, huenda la sadfa tu,
ni kuwa maadhimisho ya miaka 55 ya
mwaka huu yamekuja wakati ambapo
tupo katika mwaka mmoja wa Serikali ya
Awamu ya Tano, Serikali yenye jukumu
muhimu la kutufikisha katika matarajio
ya Dira ya Taifa ya Maendeleo ya 2025.
Ni kwa sababu hii basi nimeona leo
nifanye tafakuri; wenzangu humu
wameangalia masuala kama ya
Inatoka Uk. 1
3
Inatoka Uk. 2
Na May Simba-MAELEZO
Inatoka Uk. 3
Rais wa Jamhuri
ya Muungano wa
Tanzania, Mhe,
Dkt. John Pombe
Magufuli akipokea
maelezo kutoka
kwa Wafanyakazi
wa Kiwanda cha
Matunda cha Azam
kilichopo Mkoani
Pwani wakati wa
Uzinduzi wa Kiwanda
hicho.
Inaendelea Uk. 6
Jarida
ya Habari
Jarida la
laWizara
Nchi Yetu
2016
Inatoka Uk. 5
iinayofanyika
Uwanja
wa
Taifa.
Jarida
la Tume
ya Taifa
Uchaguzi
Jarida
la Nchi
Yetu ya
2016
8
Inatoka Uk. 7
Hamasa
kutoka
kwa
viongozi
imeendelea kuchochea hata taasisi
nazo kuanza kukienzi Kiswahili kwa
karibu zaidi. Kwa mfano, Chuo Kikuu
Aidha
magazeti
na
majarida
yameongezeka
kutoka
manne
(4) yaliyokuwepo mwaka 1961
hadi kufikia 477 mwaka huu
2016. Kati ya hayo magazeti 12
yanatoka kila siku na 30 kila wiki.
Uhuru wa habari pia unaweza
kupimwa kwa namna Serikali
ilivyoweka sera, sharia na mifumo ya
kitaasisi ili kuhakikisha kuwa vyombo
vya habari vinatekeleza haki yao
lakini pia vikitimiza wajibu husika.
Kwa mfano, mwaka 1970 Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania, Baba wa Taifa Mwalimu
Julius Nyerere alitoa sera mpya ya
vyombo vya habari kupitia gazeti la
The Standard ambalo lilibadilishwa
jina na kuitwa The Daily News.
Sera hiyo iliyokuwa ikiongozwa
na mfumo wa siasa ya Ujamaa na
kujitegemea ilivitaka vyombo vya
Inaendelea Uk. 9
Inatoka Uk. 8
10
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) Bw. Alphayo Kidata (kushoto) akiongea na Waandishi wa
habari Jijini Dar es Salaam kuhusu Mamlaka hiyo kuvuka lengo kwa kukusanya zaidi ya Shilingi
Trilioni moja kila mwezi.
Na Jovina Bujulu-MAELEZO
11
Inatoka Uk. 10
Mafanikio
hayo
yatamuwezesha,
Rais Magufuli kutimiza ahadi
zake alizozitoa wakati wa kampeni
zikiwemo kuboresha afya, upatikanaji
wa maji, umeme, kutoa elimu bure,
ujenzi wa miundombinu kama vile
viwanja vya ndege, reli na barabara.
Aidha makusanyo hayo yatawezesha
uwekezaji katika ujenzi wa viwanda
ambavyo vitatoa ajira kwa wananchi
na Serikali kuweza kujitegemea
na hivyo kupunguza utegemezi
wa misaada kutoka kwa wafadhili.
Bw. Kayombo anataja kiini cha ongezeko
la kukusanya kodi kuwa ni matumizi
ya mashine za kielectroniki (EFD)
ambazo zinatumika zaidi badala ya
stakabadhi zinazoandikwa kwa mkono.
Matumizi
ya
stakabadhi
zinazoandikwa
kwa
mkono
hayajakuwa na ubora mzuri wa
kukusanya na kuongeza mapato
na
kutunza
kumbukumbu
sahihi ambayo yaliifanya serikali
ipoteze mapato mengi aliongeza.
Katika hatua nyingine TRA ilitoa
mashine za EFDs 130 bure kwa
makatibu wakuu wa Wizara mbai
mbali kwa ajili ya taasisi za Serikali
ambazo
zinakusanya
maduhuli
ya Serikali kwa nia ya kudhibiti
upotevu wa mapato ya Serikali.
12
Miaka 55 ya Uhuru,
Tanzania Kuanza Kutumia
Anwani za Makazi
Na Beatrice Lyimo-MAELEZO
Jarida
Nchi
Yetu
2016
Jarida
la la
Nchi
Yetu
2016
13
Inatoka Uk. 12
Postikodi
utawezesha
kufikiwa
kwa lengo la Serikali la kuwa na
anwani mahususi za kitaifa kwa ajili
ya kufikisha huduma mbalimbali
za uchumi, jamii na biashara kwa
walengwa, alisisitiza Prof. Mbarawa.
Kwa upande wake Balozi wa Anwani za
Makazi Duniani Prof. Anna Tibaijuka
alisema kuwa anajivunia mradi huo
kutekelezwa nchini ambao utasaidia
kuonesha watu mahali wanapoishi
ambapo Tanzania imefanikiwa kuwa
na anwani za makazi nchi nzima
licha ya changamoto ya kuwa na
miji mingi ambayo haijapangwa.
Na Daudi Manongi-MAELEZO
14
Inatoka Uk. 13
15
Na Tiganya Vincent-MAELEZO
16
Inatoka Uk. 15
17
Miaka 55 ya Ujenzi wa
Rais wa Awamu ya Kwanza, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere akimsikiliza Mtaalam wa mitambo
katika moja ya ziara za kukagua uzalishaji viwandani wakati wa uongozi wake.
Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili, Mhe. Ali Hassan Mwinyi akipata ufafanuzi juu ya namna ya uzalishaji
picha toka kwa aliyekuwa Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Bw. Raphael Hokororo
(kulia) wakati alipotembelea Idara hiyo wakati wa utawala wake.
18
Tanzania Tunayoitaka
Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu, Mhe. Benjamin William Mkapa (kulia) akiongea na Waandishi wa
habari wakati wa utawala wake.
Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete (kulia) akiwasikiliza mapacha
walioungana wakati wa ziara yake Mkoani Iringa.
19
Miaka 55 ya Ujenzi wa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akishiriki zoezi la usafi
eneo la Kivukoni karibu na Ikulu Jijini Dar es Salaam wakati wa Maadhimisho ya Sherehe za Miaka 54
ya Uhuru wa Tanzania Bara.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan (katikati)
akikata utepe kuashiria uzinduzi wa kitabu cha Pastoralism and Climate Change
Jijini Dar es Salaam.
20
Tanzania Tunayoitaka
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa (kushoto) akiongea na
baadhi ya Watendaji wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) Jijini Dar es Salaam wakati wa ziara yake
ya kushtukiza mapema mwaka huu.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiongozana na Waziri
wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhe. Prof. Makame Mbarawa pamoja na Watendaji wa Bandari
alipotembelea Bandari ya Dar es Salaam Septemba 26, 2016.
21
Na Eliphace Marwa-MAELEZO
22
Inatoka Uk. 21
sana
rushwa
na
ufisadi,
na
wamechoshwa na vitendo hivyo na hata
yeye pia anachukia rushwa na ufisadi
na wala hafurahishwi kabisa na vitendo
vya rushwa na ufisadi vinavyoendelea
hapa nchini kwani vitendo hivyo
vinawanyima haki wananchi na kuitia
hasara serikali kwa mamilioni ya fedha
ambazo zingeweza kutumika kwa
ajili ya kujenga miradi ya maendeleo.
Rais Magufuli aliongeza kuwa chama
chake, CCM, kimejengwa katika
misingi ya kukataa rushwa na ufisadi
na ndiyo maana moja ya imani kuu za
CCM ni ile isemayo, Rushwa ni adui
wa haki, sitatoa wala kupokea rushwa
na hivyo Mtanzania mwaminifu kwa
imani yake hatakuwa na kigugumizi
katika kuwa mstari wa mbele katika
kupambana na rushwa na ufisadi.
Rais Magufuli alimnukuu Baba wa Taifa,
Mwalimu Julius Kambarage Nyerere,
kuwa aliwahi kuifananisha rushwa na
ufisadi Kama Adui Mkubwa wa Watu.
Akiongea Bungeni Mei 1960, Mwalimu
Nyerere alisema yafuatayo kuhusu
rushwa, Rushwa [na ufisadi] havina
budi kushughulikiwa bila huruma
kwa sababu naamini wakati wa amani
rushwa na ufisadi ni adui mkubwa
kwa ustawi wa watu kuliko vita.
Haya ni maneno makali ya mtu na
kiongozi aliyeichukia na kuikemea
rushwa katika maisha yake yote ya
uongozi. Ni maneno yanayotukumbusha
tu nini kinaweza kikatutokea kama
taifa endapo tutaendekeza rushwa
na ufisadi. Chuki za wananchi dhidi
ya rushwa na ufisadi ni dhahiri.
Akidhamiria vikali kuendeleza ahadi
ya Mwalimu na kuendeleza pale
walipoishia watangulizi wake, Rais
Magufuli aliliambia Bunge katika
hotuba yake ya ufunguzi akisisitiza:
Nimewaahidi wananchi, na nataka
niirejee ahadi yangu kwao mbele
ya Bunge lako tukufu, kwamba
nitapambana na rushwa na ufisadi bila
kigugumizi na bila haya yoyote na dawa
alisisitiza umuhimu
wa mahakama hiyo
ifanye kazi ndani
kuu kama zilivyo
Ardhi na Biashara.
Hatimaye
ahadi
hii
imekuwa
kweli, tamko la kuanza kazi kwa
Mahakama hiyo lilitolewa bungeni
na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa,
wakati akiwasilisha makadirio ya
mapato na matumizi ya Ofisi yake.
Kuhusu
ahadi
ya
kuanzisha
Mahakama Maalum ya Ufisadi napenda
kuliarifu Bunge lako kwamba, Serikali
imeanzisha Divisheni ya Mahakama ya
Rushwa na Ufisadi katika Mahakama
Kuu itakayoanza kufanya kazi
mwezi Julai 2016, alisema Majaliwa.
Aidha,
Waziri
Mkuu
alisema
pia Serikali itaimarisha Ofisi ya
Mkurugenzi wa Mashtaka na Ofisi
ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali ili
kwa pamoja ziweze kuharakisha utoaji
wa haki kwa kesi zitakazofikishwa
kwenye
mahakama
hiyo.
23
Inatoka Uk. 22
Muonekano wa sehemu ya jengo la Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi.
Najua kutumbua
jipu kuna maumivu
lakini bahati mbaya
halina dawa nyingine,
hivyo ninaomba
Waheshimiwa
Wabunge na
Watanzania wote
mniombee na
mniunge mkono
wakati natumbua
majipu haya.
-JPM-
24
Wanafunzi wa Shule ya Msingi Buhigwe katika Halmashauri ya Buhigwe Kigoma wakipalilia shamba la Kahawa
katika kutekeleza elimu ya kujitegemea.
akati
Watanzania
wakiadhimisha
miaka
55
ya Uhuru, Rais wa Awamu ya
Tano, Dkt. John Pombe Magufuli
ameweka juhudi katika Kuinua
ubora na usawa wa elimu Tanzania.
Kwa mujibu wa Waziri Mkuu wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mhe Kassim Majaliwa katika kutekeleza
Sera za Kuinua Elimu na kutambua
jukumu la kuhakikisha kila raia wa
Tanzania anapata elimu ambayo ni
haki ya kikatiba Serikali imetenga
bilioni 137 kama ruzuku kwa shule
za Serikali za Msingi na Sekondari.
kutumika
kuanzia
Januari
2016.
25
Inatoka Uk. 24
26
Na Eliphace Marwa-MAELEZO
ili
wakitoka
wakautumie
kwa
manufaa yao na Taifa kwa ujumla.
Kwa kuwatumia Wataalamu wake
ambao ni askari walioajiriwa wakiwa
na ujuzi katika fani mbalimbali,
Shirika la Magereza limeweza kupata
mafanikio makubwa sio tu katika
kuwafundisha wafungwa ujuzi huo
bali pia limekuwa likifanya kazi
mbalimbali za mikataba za wateja wake.
Katika kuunga mkono dhamira ya
Serikali ya Awamu ya Tano ya kuifanya
nchi ya viwanda, Jeshi la Magereza
kupitia Shirika lake limeingia Mkataba
wa Uwekezaji na Mfuko wa Pensheni
wa Mashirika ya Umma (PPF) katika
Mradi wa kiwanda cha viatu cha
Gereza la Karanga mkoani Kilimanjaro.
Akizungumza na Maafisa Waandamizi
wa Jeshi la Magereza pamoja na
Wanahabari,
Kamishna
Jenerali
John Minja amesema Mkataba huo
utaliwezesha Jeshi la Magerezeza
kuimarika zaidi kiutendaji wa shughuli
za kibiashara sio tu na PPf bali pia na
Taasisi nyingine za Serikali, Umma na
watu binafsi. Vile vile, hiyo ni nafasi pekee
kwa Jeshi hilo kuweza kuchangamkia
fursa mbalimbali za kibiashara.
Jarida la Nchi Yetu 2016
27
na takwimu) ya Taarifa za
Kiutumishi za watumishi
kwa wakati kushindwa
kuwaondoa
kwenye
mfumo watumishi ambao
utumishi wao umekoma;
kubadilisha
akaunti
za
Benki za watumishi ambao
utumishi wao umekoma na
kuelekeza mishahara hiyo
iende kwenye akaunti za
Maafisa
Utumishi/Tawala
ambao wanatumia mfumo.
Mambo mengine ni baadhi
ya waajiri kuelekeza Benki
kusimamisha mishahara ya
watumishi ambao utumishi
wao
umekoma
badala
ya
kuwaondoa
kwenye
mfumo na mtumishi kuwa na zaidi
ya cheki namba moja kutokana na
kudanganya majina yake au tarehe za
kuzaliwa au kwa watumishi wawili
kutumia cheti kimoja na hatimaye
kupewa
cheki
namba
tofauti.
Wakati huo huo Katibu Mkuu, Ofisi
ya Rais-Menejimenti ya Utumishi
wa Umma Dkt. Laurean Ndumbaro
alisema toka Serikali ilipoelekeza
kuondoa watumishi wasiostahili katika
orodha ya malipo mweiz Machi, 2016
zimekuwepo hatua mbalimbali za
kuhakiki Watumishi wa Umma kwa
madhumuni ya kubaini watumishi hewa
na kuimarisha usimamizi na wajibikaji.
Dkt. Ndumbaro alisema lengo la
Serikali kufanya zoezi hilo ni kupata
idadi ya Watumishi ambao wanalipwa
mshahara ili kutoa huduma kwa
wananchi, kukuza uwajibikaji katika
eneo la usimamizi wa malipo ya
mshahara,
kuwaondoa
kwenye
Mfumo wa Malipo ya Mshahara
watumishi wasiostahili na kukusanya
28
Inatoka Uk. 27
wa
HCMIS
unatumika
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli (katikati), Makamu wa Rais, Mhe. Samia
Suluhu Hassan (kushoto), Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa pamoja na Viongozi wengine wa Serikali wakiwa
katika sherehe za Mei Mosi Kitaifa Mkoani Dodoma mwaka 2016.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli pamoja na mgeni wake Waziri
Mkuu wa India Mhe. Narendra Modi wakipiga ngoma wakati wa ukaribisho Ikulu Jijini Dar es Salaam.
@TZ_MsemajiMkuu
www.tanzania.go.tz