Professional Documents
Culture Documents
SHAIRI- KINYOZI
SHAIRI - MJA.
SHAIRI - MAHABA
SHAIRI- KWANINI
SHAIRI - SHILOLE
SHAIRI- ETI
SHAIRI - NIKUHONGE?
SHAIRI :RIDHIKA
SHAIRI- NAKULAMBA
SHAIRI- ACHA
KWANINI
Hatua nilizozipitia,
Kwanini.
Kwanini ile,
Kwanini.
Kwanini lakini.
Nikiuliza kwanini,
Kwanini lakini.
KICHEKESHO
SHAIRI- TABASAMU
MWANAMME
MWANAMKE
MWANAMME
MWANAMKE
MWANAMME
MWANAMKE
MWANAMME
MWANAMKE
SHAIRI- UNANICHOKOZA
MWANAMKE
MWANAMME
MWANAMKE
MWANAMME
MWANAMKE
MWANAMME
MWANAMKE
MWANAMME
MWANAMKE
MWANAMME
SHAIRI- LAITI
SHAIRI- JANADUME
WA AKILI ZA USIKU
Wa akili za usiku,
Wa akili za usiku,
Mbona mwatuwekea sana vikwazo,
Tupo wenye magari ya gharama sana, Mwanamme bila gari we si bwege tu,
Ila mbona mwasema hatuna akili, nyumba si urithi hakuna haja ya kuivunja,
Mitazamo juu ya vitu hivi huku, vina ukakasi tusipigane mangumi usoni
Tutulizane kama mboga ya chukuchuku, hujui huu mchuzi au maji yenye vitunguu ndani.
Kibamia kimeniponza.
Kibamia kimeniponza
Kibamia kimeniponza.
Kibamia kimeniponza.
Kibamia kimeniponza.
Niwavunje na migondo,
SHAIRI : NAKUPENDA
Napambana.
Na makosa sina.
Ua sikuvu ua vumilivu,
Ua limeumizwa na mabavu,
Ua linosumbua wapumbavu.
Ua lachefua matahira,
Mpenzi,
Unajua wazi raha ya upendo upokee na kutoa,
Mapenzi nayo ni kazi ubaya ni hisia kuwa mshahara wako wengine wanaopoa,
Unajua mpenzi,
Kwa miguu miwili maji ya mto huwezi yapima utazama upotee punje isibaki,
Laiti wangejua yani dunia nzima kukosa mahaba nako pia dhiki.
Unajua,
Mpenzi
Wako,
Mpenzi zuhura,
Unalijua uwaridi?
Hatambui,
Mpenzi Zuhura,
Mhalifu na risasi,
Waganga na nuksi,
Dini na wafuasi,
Vita na majasusi,
Dhambi na ibilisi,
Watataka tufarikiane,
Waone walivyochakaa,
Usihuzunike,
Nagongelea,
Ila vinashikamana,
Nakupenda
Mpenzi zuhura
Mpenzi zuhura,
Nakupenda,
Mpenzi zuhura.
SHAIRI- KAMA MAPENZI
Kama mapenzi vuta 'n' kuvute nizame ninate hiyo ndio sunnah.
SHAIRI - NINAKUMBUKA
Nakujuliaaaa.
SHAIRI - WAONGO
Mpenzi,
Nipe tena.
Nipe tena.
Nipe tena.
Nipe tena.
SHAIRI- JIPENDE
MUSA
Umesema vipaji vya roho mbalimbali lakini roho ni mmoja,
Ulisema ,
Yatamlinda yatamuongoza,
Kwanini?.
Huoni yanayomsibu?.
Mimbaye umeiondoa,
Nashangaa!!.
Ulisema,
Sasa ni hivi….,
Baki na ufalme wako,
Utukufu wako,
Ulimwengu wako,
Nishajua umnafiki,
Mbinafsi huridhiki,
Unachosambaza chuki,
MUNGU
Hongera,
Mi bado namjali,
Alisahau mi ni bwana.
Mwambie Pendo,
Hekima ni kutubu hizo dhambi zake kutoa mimba haikuwa mafunzo yangu,
Ajifunze kushukuru kwa kidogo aridhike rizki yangu huwa naitoa kwa mafungu.
Anavyosumbuka na mitaa,
Mwambie sijamsahau,
Alijisahau.
Namkumbusha,
Usichoke,
Ukiacha kuniabudu,
SHAIRI : NINAMPENDA
Maneno ya ukarimu,
Kupinduka,
Hakuniangusha ,
SHAIRI : SOULMATE
Soulmate
Soulmate,
Mi sijali,
Soulmate
Soulmate
Soulmate
Soulmate
SOULMATE.
SHAIRI : MWAMBIE
Mpenzi naja sitaki kukutatiza, mana mapenzi yanaumiza nitelezapo tafadhali nikumbuke
Wa nyadhifa na madaraka,
Ila,
Ila no,
Like hii moment tuiskip tutaspend another time like time ni yetu,
Vile tunasogeza ratiba nyingi mbele au kufanya kwa haraka tukiamini kila kitu ni chetu,
Tunaandaa majibu ya maswali ilhali muda haupo nasi na muda haupo kwetu,
Ukaselelea, ukaudekea,
Muulize asiyenacho,
Wewe ulichonacho,
SHAIRI – HONGERA
Kati ya milioni wa kwanza alitokea,
Hadithi hadithi....
Masikini njiwa kasahau sheria usiingie mtoni pasi kina kwanza kupima.
Kumbuka huwezi walazimisha watu wakupende hicho ni kitu watu moyoni hujiamulia,
Hivi.....,
SHAIRI - KIZUKA
Teeenaaa,
Kizukaaaaaaa....,
SHAIRI - USI
Chunga kauli epuka longolongo si lazima kila mtu habari zako kumwambia.
Usinitukane usinidharau,
Mapenzi ni jela ya kuhutubu, ukitendwa furaha ya penzi kwako takuwa stori nyingine.
Mapenzi kwa wengine kipaji, hili jumba la sinema kwangu bado halijanivutia
Mapenzi si kitu cha kutaraji, “expectations always hurt” usijesema sikuwahi kukwambia.
Kisa mapenzi dada zetu hawashikiki, wanadharau wazazi kwa sababu ya vibwana
Kwenye mitandao pamejaa mapenzi mapenzi ya kiki, drama za usaliti hakuna jambo La maana
Tambua,
Mapenzi ukimpata kinabe, atakujaza madeni unyooshewe vidole kwa huruma na fadhaa.
Mapenzi ni chungu tamu yani sumu tamu, ni kama panya yanang'ata na kupuliza
Mapenzi yamekosa nidhamu, hayana mwalimu wala refa kusema ukizidiwa kipenga atapuliza
Mapenzi ni jehanamu, kuna watu wanaishi ila mioyo yao inavisasi vya kulipiza
Mapenzi ni ubabaifu, utafanya kila kitu sawa ila bado atakuona hufai
SHAIRI : MAMA
Unajua,
SHAIRI- NIKUONAPO
SHAIRI : DHAIFU
SHAIRI : AMKA
SHAIRI : CHANGU
Lazima kujizatiti,
Amali ndio feleti,
Jahanamu si bahati,
Rangiye chanikiwiti.
Nafsie huchakaa.
Wachawi na masalata,
Bali itanyongorota,
Miili itafukuta,
Majasho yatatokota.
Wataipata auni,
Nafasi ya daharani.
Roho yangu jidhibiti,
Uyakwepe mahuluti,
Nimefikia tamati,
Yazidi kunidatisha,
Kichwa ninafikirisha,
Changamoto za maisha.
Kila nikishughulika,
Maishani kujengeka,
Ninanyonywa na tabaka,
Lile lisowajibika,
Nabaki kulalamika.
Nimeshafanya juhudi,
Biashara na miradi,
Mbogamboga na tomato,
Na mnada wa kipeto,
Sivyo nitafumukana,
Kazini hawanitaki,
Wawekwa sostahiki,
Rushwa imetamalaki,
Maisha ni changamoto,
HAWATAKI
Kutwa ni mashambulio.
Nanyamaza chambilecho.
Hawataki badilika.
SHAIRI : NINAWAKUMBUSHA
Kwanini mnihukumu,
Wengine mwanishutumu,
Mwaniona chakaramu,
Nisemayo sifahamu,
Umasikini dawamu,
Viongozi madhalimu,
Hawafanzi majukumu,
Utajiri wa haramu,
Mwawaona maasumu,
Hamuwezi washutumu,
Katiba haihukumu,
Bakaa wanadhulumu,
Mapadri na maimamu,
Ashuhudia kaumu,
Wazazi nawalaumu,
Ninasema mfahamu,
Naziakhiri nudumu,
Kugota yanilazimu,
Ninawakumbusha.
SHAIRI : RAFIKI
Abadani haridhiki,
Daima halifutiki.
Kanitenda mtimani,
Kosale ni ufitini,
Kuficha la fuadini,
Loniumiza moyoni.
Daima limpashani,
Kumuona wa thamani,
Kilonisibu jamani ,
Nilimwomba ushauri,
Nikapata ujasiri.
Sasa ameshanitenda,
Samaha hastahiki.
Wanasema nawakera.
Wanisekua mi duzi.
Mtukufu yu dhambini.
SHAIRI - NAONDOKA
Omari na athumani,
Niwape ya mtimani,
Hapahapa kitandani,
Myaweke akilini.
Naondoka buriani,
Wosia ninawapeni,
Kinojuzu maishani,
Msiache abadani.
Nawausia heshima,
Tabasuri na hekima,
Ya kugwea vischana,
Malaika kashafika,
Roho inapukutika,
Pumzi zinazimika,
Dhima imeshanitoka,
Wosia ninaondoka.
Ukanipata batuli,
Nikakufunza fisuli,
Hukujuta bilikulikuli.
Jua nakusabilia,
Pendo nitakupatia,
Kukukosa tajutia,
Japo sijafikiria.
Dariji nilizopanga,
Tukaishi mkuranga,
Nawajuza machambenga,
Ni juhudi za kisaga.
Kuwajuza walimwengu,
SHAIRI : ULIMI