You are on page 1of 13

WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO

MATOKEO YA UTEKELEZAJI WA
SERIKALI YA AWAMU YA TANO
(2015-2020) KATIKA SEKTA
MBALIMBALI
1. HALI YA UMASIKINI 1991-2020

A. KIWANGO CHA UMASIKINI KATIKA SERIKALI ZA AWAMU MBALIMBALI

Na Kiashiria Awamu ya Kwanza Awamu Pili Awamu ya Tatu Awamu ya Nne Awamu ya Tano
(1964-1985) (1985-1995) (1995- 2005) (2005- 2015) (2015- 2020)

01 Umasikini wa
mahitaji ya msingi Hakuna
taarifa
39 36 28 26.4
(Asilimia)

B. HALI YA UMASIKINI WA KIPATO KWA BAADHI YA NCHI ZA AFRIKA, 2015-2018


(MAKADIRIO YA BENKI YA DUNIA)

Na Nchi Tanzania Kenya Rwanda Afrika Kusini Zambia Zimbabwe

01 Kiwango cha
26.4 36.8 38.2 55.5 54.4 72.3
Umasikini

01
2. MABORESHO KWENYE SEKTA YA AFYA
Na. Shughuli Hali ilivyokuwa Hali ilivyo Ongezeko Ongezeko (%)
mpaka 2015 sasa 2020

1 Idadi ya Hospitali za Rufaa 22 28 6 27.3%

2 Idadi ya Hospitali za Halmashauri 77 178 101 131.2%

3 Idadi ya Vituo vya Afya 718 1,205 487 67.8%

4 Idadi za Zahanati 6,044 7,242 1,198 19.8%

5 Bajeti ya dawa kwa mwaka 31 270 239 771.0%


(Bilioni)

6 Idadi ya safari za Wagonjwa 683 64 -619 -90.6%


kwenda nje kwa mwaka

7 Asilimia ya Upatikanaji dawa 53% 94.5% 42% 41.5%

8 Asilimia cha Upatikanaji wa 79% 97.0% 18% 18.0%


damu salama (%)

9 Idadi ya watumishi wa afya 86,152 100,631 14,479 16.8%


walioajiriwa

Tangu mwaka 2015 hadi 2020 Serikali imetumia zaidi ya bilioni 232.1 kununua vifaa tiba
katika vituo vya ngazi mbalimbali kuanzia afya ya msingi hadi taifa

Kupungua kwa idadi ya wagonjwa wanaokwenda kutibiwa nje ya nchi kwa kipindi cha
mwaka 2015 - 2019 kumeiwezesha Serikali kuokoa jumla ya shilingi bilioni 329
02
3. MABORESHO KWENYE SEKTA YA ELIMU

Na. Eneo Hali ilivyokuwa Hali ilivyo Ongezeko Ongezeko (%)


mpaka 2015 sasa 2020

1 Idadi ya wanafunzi wa elimu ya 1,069,823 1,377,182 307,359 29%


awali walioandikishwa

2 Idadi ya wanafunzi wa elimu ya 8,298,282 10,925,896 2,627,614 32%


msingi walioandikishwa

3 Idadi ya madarasa katika shule 115,665 136,292 20,627 18%


za Msingi

4 Idadi ya Shule za Msingi 16,899 18,152 1,253 7%

5 Asilimia ya wanafunzi wanaomaliza 67% 81% 14% 14%


shule za msingi

6 Asilimia ya Ufaulu wa wanafunzi 68% 82% 14% 14%


wanaomaliza shule za msingi

7 Asilimia ya wanafunzi wanajiunga


na Kidato cha kwanza kutoka 56% 77.30% 21% 21%
Shule ya Msingi

03
Na. Eneo Hali ilivyokuwa Hali ilivyo Ongezeko Ongezeko
mpaka 2015 sasa 2020 (%)

8 Idadi ya wanafunzi katika shule za 1,648,359 2,322,259 673,900 41%


sekondari(Kidato I - IV)

9 Idadi ya shule za sekondari 4,708 5,143 435 9%

10 Asilimia ya ufaulu wa mtihani wa 68% 81% 13% 13%


kidato cha nne

11 Idadi ya Udahili katika Vyuo vya 96,694 151,379 54,685 57%


Ufundi

12 Mafunzo ya Ufundi Stadi (VET) 196,091 320,143 124,052 63%

13 Idadi ya Wanafunzi wanaonufaika 125,126 132,119 6,993 6%


na mikopo ya elimu ya juu

14 Fedha zilizokusanywa kwenye 28 183 155 550%


mikopo iliyotolewa kwa wanafunzi
wa elimu ya juu (bilioni)

15 Kiasi cha fedha za elimu bila


malipo kilichopelekewa kwa shule 15.7 20.8 5.1 32%
za msingi na sekondari kila mwezi

16 Jumla ya fedha zilizotolewa kwa


ajili ya elimu bila malipo kwa shule
za msingi na sekondari katika 1,009.3
kipindi cha awamu ya tano
(2015-2020) (bilioni)

17 Jumla ya fedha zilizotolewa kama


mikopo kwa wanafunzi wa elimu 2,261
ya juu katika kipindi cha awamu ya
tano (2015-2020) (bilioni)

Maboresho mengine yali yofanyika ni pamoja na:


Uboreshaji wa shule za sekondari kongwe 82 kati ya 89 kwa shilingi bilioni 94.1, ukarabati wa shule za sekondari za Bukoba na Nyakato ujenzi mpya
wa shule ya sekondari Ihungo na shule ya watu wenye mahitaji maalum ya Patandi

Ununuzi wa kompyuta 1550 kwa vyuo vya ualimu 35

Ukarabati wa mabweni, mabwalo na vyumba vya madarasa katika vyuo vya ualimu 18 kati ya vyuo 35 vya Serikali kwa shilingi bilioni 24.1,

Ujenzi wa jengo katika taasisi ya DIT lenye maabara 6, madarasa 9 na kumbi za mihadhara mbili (2) kwa shilingi bilioni 9.07

Ujenzi wa mabweni mapya 26 katika vyuo vikuu kama ifuatavyo: Mzumbe (4 yenye uwezo wa wanafunzi 1,024 kwa shilingi bilioni 6.5) UDSM
(mabweni 20 yenye uwezo wa wanafunzi 3,840 kwa takribani bilioni 10 na ukarabati wa mabweni Na. 2 na Na. 5 yenye uwezo wa wanafunzi
788 kwa shilingi 4.9; ARU (bweni moja lenye uwezo wa wanafunzi 372); na Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere bweni lenye uwezo
wa kuchukua wanafunzi 716 kwa shilingi bilioni 3.44. Vilevile, ujenzi wa kafteria yenye thamani ya Shilingi Milioni 700 kwenye mabweni mapya
04
ya Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo
4. MABORESHO KATIKA SEKTA YA MAJI

Hali ilivyokuwa Hali ilivyo Fedha


Na. Shughuli Eneo Ongezeko
mpaka 2015 sasa 2020 zilizotumika
(Tshs)

1 Asilimia ya Upatikanaji Mijini 72 84 12


wa huduma ya majisafi Vijijini 48 70 22

2 Idadi ya Miradi ya Maji Mijini na 1,545,880,441,900


iliyokamilika Vijijini 1,068 2,211 1,143

3 Idadi ya vyombo vya Vijijini 1,236 3,236 2,000


watumia maji vilivyoundwa

05
5. MABORESHO KATIKA SEKTA YA NISHATI

Na. Huduma Hali ilivyokuwa Hali ilivyo Ongezeko Ongezeko (%)


mpaka 2015 sasa 2020

1 Uzalishaji Umeme (Megawati) 1,308.24 1,602.32 294.08 22.48%

2 Hali ya Upatikanaji wa Huduma ya 36.50 99.60 63.10 172.88%


Umeme Mjini (Asilimia)

3 Hali ya Upatikanaji wa Huduma ya


Umeme Vijijini (Asilimia) 21.00 69.80 48.80 232.38%

06
6. MABORESHO KWENYE SEKTA YA MAWASILIANO

Na. Shughuli

1 Ujenzi wa Mkongo wa Taifa umepunguza gharama za kupiga simu za mkononi kutoka shilingi 349 kwa
dakika mwaka 2010 hadi shilingi 70 kwa dakika mwaka 2020;

2 Matumizi ya mifumo mipya ya mawasiliano kama vile Mfumo wa Pamoja wa Ukusanyaji Kodi na Maduhuli
ya Serikali (Government Electronic Payment Gateway-GePG), TTMS (Teletraffic Monitoring System)
imewezesha kuongeza mapato ya Serikali kwa zaidi ya shilingi bilioni 100 hadi Januari 2020;

3 Ujenzi wa minara 704 kwa gharama ya shilingi bilioni 151.97 kumewezesha huduma za mawasiliano
kufikia wananchi kwa asilimia 94.

07
7. UJENZI WA BARABARA NA MADARAJA

Na. Eneo Hali ilivyokuwa Hali ilivyo Ongezeko Ongezeko (%)


mpaka 2015 sasa 2020

1 Barabara kuu za lami (Km) 6,390.00 9,112.00 2,722.00 42.6%

2 Barabara za mikoa za lami (Km) 1,012.00 1,827.00 815.00 80.5%

3 Jumla ya barabara za lami 7,402.00 10,939.00 3,537.00 47.8%

4 Madaraja Makubwa 8 18 10.00 125.0%

08
8. MABORESHO KATIKA SEKTA YA MADINI
Na. Eneo Hali ilivyokuwa Hali ilivyo Ongezeko Ongezeko (%)
mpaka 2015 sasa 2020

1 Makusanyo ya maduhuli kwenye 168.0 528.0 360.0 214.3%


Sekta ya Madini kwa mwaka

Thamani ya mauzo ya dhahabu nje


2 1.5 2.7 1.2 80.0%
ya nchi (Trilioni za Kimarekani)

Asilimia ya Ukuaji wa Sekta ya


3 Madini kwa mwaka 4.3% 17.7% 13.4% 13.4%

Asilimia ya mchango wa Sekta ya


4 Madini kwenye Pato la Taifa kwa 3.4% 5.2% 1.8% 1.8%
mwaka

Ongezeko katika makusanyo ya maduhuli limechangiwa na uamuzi wa Serikali kujenga masoko ya


madini ambapo masoko 37 na vituo 39 vya kuuzia madeni vimejenga. Vile vile ujenzi wa ukuta wa
Mirerani umechangia katika kuongezeka kwa makusanyo.

Ongezeko la thamani ya mauzo ya dhahabu nje ya nchi limefanya madini hayo kuwa chanzo kikubwa
09 cha dola za kigeni
9. MASLAHI YA WATUMISHI

Kada ya Idadi ya Kiasi kilicholipwa


Na. Eneo
Watumishi waliolipwa (Billioni)

1 Malipo ya malimbikizo ya Mshahara Watumishi wote 83,667 153.80


kwa ujumla

Watumishi walimu 45,723 52.50

Watumishi wasio 37,944.00 101.3


walimu

2 Upandishaji wa vyeo Watumishi wote 248,883.00 61.4


kwa ujumla

Watumishi walimu 163,469.00 33.85

Watumishi wasio 92,414 27.55


walimu

3 Nyongeza ya mwaka ya mshahara Watumishi wote 505,985 72.8


kwa ujumla

Watumishi walimu 270,878 37.2

Watumishi wasio 235,107 36


walimu

4 Madai mengine yasiyo ya mshahara 358.12

10
10. MWENENDO WA ULIPAJI MADENI 2015-2020

Na. Huduma Kiasi kilicholipwa (Bilioni)

1 Watumishi 267

2 Wazabuni 519

3 Huduma 188

4 Wakandarasi 1,997

5 Mengineyo 172

Jumla 3,143

11
Wizara ya Fedha na Mipango
Mji wa Serikali - Mtumba
Mtaa wa Hazina
S.L.P 2802, 40468 Dodoma
Tanzania

You might also like