Professional Documents
Culture Documents
a) Maelekezo ya mtihani hayakuwa sahihi, kwani yalikinzana kutoka sehemu moja hadi
nyingine
b) Mtihani haukuwa na kipengele cha ufupisho katika sehemu ya kwanza kwenye swali la
UFAHAMU.
c) Vilevile mtihani huu haukutoa muda wa kutosha kwa wanafunzi wa maandalizi hivyo ni
changamoto kwa wanafunzi.
d) Mtihani huu haukutoa mwongozo wa usahihishaji hivyo ilileta ugumu sana katika
kuandaa mwongozo huo pamoja na usahihishaji.
e) Mtihani huu pia haukuandaa posho kwa wasimamizi, wasahihishaji hivyo kupelekea
kushindwa kukamilisha zoezi hilo kwa wakati uliotolewa.
a) Muda au wakati wa kufanyika mtihani huu uzingatiwe ili kuwapa wanafunzi muda
mwingi wa kujiandaa.
b) Mtihani huu lazima uhakikiwe vizuri ili kuepuka mkanganyiko wa maswali yaliotolewa
kwa kufuata maelekezo.
c) Vilevile mwongozo wa usahihishaji lazima utolewe ili kurahihisisha zoezi la usahihishaji
kwa muda uliotolewa.
d) Waandaji wa mtihani huu waakikishe wanawapa vipaumbele wanaohusika na shughuli
zote za usimamizi na usahihishaji ili kuwapa moyo katika kufanya kazi kwa juhudi.
IMEANDALIWA NA:
_______________________
PASKAL A. KALINGA
MWALIMU WA SOMO