Professional Documents
Culture Documents
Mchanganuo Wa Gharama Ya Kulima Ekari Moja Ya Mahindi - JamiiForums
Mchanganuo Wa Gharama Ya Kulima Ekari Moja Ya Mahindi - JamiiForums
1 2 3 4 Next
Molembe
M JF-Expert Member
Dec 25, 2012 9,791 11,393
Huu hapa ni mchanganuo wa kulima ekari moja ya mahindi kwa sasa hivi
1. Kukodi shamba ekari 1 - 70,000/-
2. Kulima shamba mara 2 - 60,000/-
3. Mbegu pakiti 6 sawa kg 12 - 72,000/-
4. Kupanda mahindi - 30,000/-
5. Mbolea 2 - 140,000/-
6. Palizi 2 - 60,000/-
7. Kuweka mbolea - 30,000/-
8. Kuvuna/kupukuchua/mifuko - 100,0000/-
https://www.jamiiforums.com/threads/mchanganuo-wa-gharama-ya-kulima-ekari-moja-ya-mahindi.2123769/ 1/14
10/27/23, 5:07 PM Mchanganuo wa gharama ya kulima ekari moja ya mahindi | JamiiForums
Mavuno
Mara nyingi mavuno hutegemea ubora wa ardhi na matunzo ya mazuri ya mazao,
lakini mara nyingi ekari moja ya mahindi hutoa gunia 15 ~ 25, sasa ukipata kiwango cha
chini gunia 15 ukauza kwa bei ya sasa 80,000/- unapata Tsh 1,200,000/- faida ya Tsh
600,000 kwa ekari.
Molembe said:
Huu hapa ni mchanganuo wa kulima ekari moja ya mahindi kwa sasa hivi
1.kukodi shamba ekari 1=70,000/-
2.Kulima shamba mara 2=60,000/-
3. Mbegu pakiti 6 sawa kg 12=72,000/-
4.kupanda mahindi =30,000/-
5. Mbolea 2 = 140,000/-
6. Palizi 2 = 60,000/- Click to expand...
7 k k b l 30 000/
https://www.jamiiforums.com/threads/mchanganuo-wa-gharama-ya-kulima-ekari-moja-ya-mahindi.2123769/ 2/14
10/27/23, 5:07 PM Mchanganuo wa gharama ya kulima ekari moja ya mahindi | JamiiForums
Mzee we umefanya?
https://www.jamiiforums.com/threads/mchanganuo-wa-gharama-ya-kulima-ekari-moja-ya-mahindi.2123769/ 3/14
10/27/23, 5:07 PM Mchanganuo wa gharama ya kulima ekari moja ya mahindi | JamiiForums
Sports &
General Forums Sinoni May 16, 2011 5,159 8,053
Entertainment
JF-Expert Member
https://www.jamiiforums.com/threads/mchanganuo-wa-gharama-ya-kulima-ekari-moja-ya-mahindi.2123769/ 4/14
10/27/23, 5:07 PM Mchanganuo wa gharama ya kulima ekari moja ya mahindi | JamiiForums
25000×3= 75000
Mbegu 30 Kg kila kg 10 ni 70000 jumla 210,000/
Kuvuna kila ekari ni 15000 mara 3 45000
80000+65000+75000+210000+45000+630000
Total 115000, naongeza laki dharura. So 1,205,000.
Molembe said:
https://www.jamiiforums.com/threads/mchanganuo-wa-gharama-ya-kulima-ekari-moja-ya-mahindi.2123769/ 5/14
10/27/23, 5:07 PM Mchanganuo wa gharama ya kulima ekari moja ya mahindi | JamiiForums
Equation x
Molembe said:
Huu hapa ni mchanganuo wa kulima ekari moja ya mahindi kwa sasa hivi
1.kukodi shamba ekari 1=70,000/-
2.Kulima shamba mara 2=60,000/-
3. Mbegu pakiti 6 sawa kg 12=72,000/-
https://www.jamiiforums.com/threads/mchanganuo-wa-gharama-ya-kulima-ekari-moja-ya-mahindi.2123769/ 6/14
10/27/23, 5:07 PM Mchanganuo wa gharama ya kulima ekari moja ya mahindi | JamiiForums
Ekari moja huhitaji mbegu ya mahindi kiasi gani? Ni umbali gani kutoka mche hadi
mche?
Equation x
Narudi apa
Equation x
Rumi96 said:
https://www.jamiiforums.com/threads/mchanganuo-wa-gharama-ya-kulima-ekari-moja-ya-mahindi.2123769/ 7/14
10/27/23, 5:07 PM Mchanganuo wa gharama ya kulima ekari moja ya mahindi | JamiiForums
25000×3= 75000
Mbegu 30 Kg kila kg 10 ni 70000 jumla 210,000/
Click to expand...
Molembe said:
Huu hapa ni mchanganuo wa kulima ekari moja ya mahindi kwa sasa hivi
1.kukodi shamba ekari 1=70,000/-
2.Kulima shamba mara 2=60,000/-
3. Mbegu pakiti 6 sawa kg 12=72,000/-
4.kupanda mahindi =30,000/-
5. Mbolea 2 = 140,000/-
6. Palizi 2 = 60,000/- Click to expand...
/
https://www.jamiiforums.com/threads/mchanganuo-wa-gharama-ya-kulima-ekari-moja-ya-mahindi.2123769/ 8/14
10/27/23, 5:07 PM Mchanganuo wa gharama ya kulima ekari moja ya mahindi | JamiiForums
Kwangu mm ukilima chini ya ekari 10 bas faida na muda utakaotumia kupata iyo faida
ni sawa na bure
wangatala
Molembe said:
Huu hapa ni mchanganuo wa kulima ekari moja ya mahindi kwa sasa hivi
1.kukodi shamba ekari 1=70,000/-
2.Kulima shamba mara 2=60,000/-
3. Mbegu pakiti 6 sawa kg 12=72,000/-
4.kupanda mahindi =30,000/-
5. Mbolea 2 = 140,000/-
6. Palizi 2 = 60,000/- Click to expand...
7 k k b l 30 000/
Samahani ndugu ni mkoa gani huu naweza kupata nami eneo la kukodi ata kama ni
ekari mbili huu ni mkoa gani ndugu yetu naomba nipe muongozo ndugu yangu!!
wangatala
https://www.jamiiforums.com/threads/mchanganuo-wa-gharama-ya-kulima-ekari-moja-ya-mahindi.2123769/ 9/14
10/27/23, 5:07 PM Mchanganuo wa gharama ya kulima ekari moja ya mahindi | JamiiForums
Ni.mkoa ganu huu ndugu yangu nahitaji hii kitu taifadhari kama hutojali share na mi
zaidi maana nami nahitaji kulima ndugu yangu
https://www.jamiiforums.com/threads/mchanganuo-wa-gharama-ya-kulima-ekari-moja-ya-mahindi.2123769/ 10/14
10/27/23, 5:07 PM Mchanganuo wa gharama ya kulima ekari moja ya mahindi | JamiiForums
Rumi96 said:
25000×3= 75000
Mbegu 30 Kg kila kg 10 ni 70000 jumla 210,000/
Click to expand...
Mkuu hii ni mkoa gani ambapo na mimi naweza kupata na mimi eneo la kulima!!
wangatala
W JF-Expert Member
Apr 4, 2022 2,391 4,963
Unasemeje said:
https://www.jamiiforums.com/threads/mchanganuo-wa-gharama-ya-kulima-ekari-moja-ya-mahindi.2123769/ 11/14
10/27/23, 5:07 PM Mchanganuo wa gharama ya kulima ekari moja ya mahindi | JamiiForums
Unasemeje
Unasemeje said:
Ilikuwaje mkuu?
EmmanueldTz
ERoni said:
Ilikuwaje mkuu?
https://www.jamiiforums.com/threads/mchanganuo-wa-gharama-ya-kulima-ekari-moja-ya-mahindi.2123769/ 12/14
10/27/23, 5:07 PM Mchanganuo wa gharama ya kulima ekari moja ya mahindi | JamiiForums
Mvua
Equation x
Similar Discussions
https://www.jamiiforums.com/threads/mchanganuo-wa-gharama-ya-kulima-ekari-moja-ya-mahindi.2123769/ 13/14
10/27/23, 5:07 PM Mchanganuo wa gharama ya kulima ekari moja ya mahindi | JamiiForums
Share:
Forums General Forums Kilimo, Ufugaji na Uvuvi Contact us | Terms | Privacy Policy | Help
https://www.jamiiforums.com/threads/mchanganuo-wa-gharama-ya-kulima-ekari-moja-ya-mahindi.2123769/ 14/14