You are on page 1of 2

WIZARA YA KAZI NA AJIRA

TAARIFA KWA UMMA


TAMKO LA SERIKALI KUHUSU UENDESHAJI WA WAKALA BINAFSI WA HUDUMA
ZA AJIRA NCHINI
1. Tarehe 27/1/2014, Wazii !a Kazi "a A#ia, Bi$i %a&'(")ia Ka$a*a alitoa
Tamko la Serikali kuhusu uendeshaji wa Wakala Binafsi wa Huduma za Ajira
nchini. Hii ilitokana na Wizara kupokea malalamiko toka kwa Wadau mbali mbali
kuhusu utaratibu wa udalali wa kukodisha Wafanakazi katka !akampuni
unaofanwa na baadhi a Wakala Binafsi wa huduma za Ajira nchini.
". Aidha,Wizara ilielekeza Wa*a+a !a H&'&,a za A#ia nchini watapaswa
kuwasilisha katika kipindi cha !wezi mmoja barua za maombi a #sajili wa
#wakala kwa KAMISHNA WA KAZI kwa mujibu wa sheria a H&'&,a za A#ia
Na-. /a ,!a*a 1...01&a 242 *a,a i+i3/4(#(!a ,!a*a20025 ili waweze
kufana shu$huli za #wakala wa Huduma za Ajira kisheria.
%. Tarehe 2/04/2014 Wizara ilion$eza muda wa usajili kwa ,i(zi 2 kuanzia tarehe
26/02/2014,hii ilitokana na maombi a !awakala wa Ajira kuomba kuon$ezewa
muda ili kukamilisha taratibu za usajili.
&. 'atika kushu$hulikia suala hili la #sajili,Wizara imeandaa kanuni chini a S7(ia
/a U*&za#i !a 7&'&,a za A#ia Na-. /a ,!a*a 1... na kutan$azwa kupitia
tan$azo la $azeti la Serikali Na-222 la tarehe 11J&+ai 2014.
'wa mujibu wa kanuni hizi 'ampuni au Wakala zinazoomba #sajili zinapaswa
kuleta taarifa zifuatazo(
'atiba a uendeshaji na usimamizi wa shu$huli za kampuni au Wakala
)M(,4a"'&,8A)i9+(1 4: A1149i)i4"*.
Hati a usajili wa kampuni )C()i:i9a)( 4: i"94;4a)i4"*.
+eseni a Biashara)B&1i"(11 Li9("1(*.
,amba a usajili wa mlipa kodi )Ta< i'(")i:i9a)i4" N&,$(*.
Wasifu wa 'ampuni au Wakala pamoja na ujuzi na uzoefu wa
wataalamu au watumishi katika uendeshaji wa huduma za
ajira)C4,;a"/ ;4:i+(5=
#thibitisho wa 'ampuni au Wakala kama analipa kodi kwa mujibu wa
taratibu)T7( 9&(") )a< 9+(aa"9( +())( :4, D4,(1)i9
(3("&(/+a>( )a< ;a/(1 '(;a),(")*
Anuani kamili a makazi)?(,a"(") ;7/1i9a+ 94,;a"/ a''(11* n.k.
Wizaa ilizitumia taarifa hizi katika upekuzi,ufuatiliaji,uka$uzi na utoaji uamuzi
sahihi juu a utoaji -ibali -a uendeshaji wa huduma za ajira nchini.
1
.. Hadi kufikia tarehe 20/06/2014 maombi a #sajili apatao 67 aliwasilishwa kwa
KAMISHNA WA KAZI. !akampuni apatao @1 amekidhi -i$ezo na amepatiwa
#sajili kwa kipindi cha mwaka mmoja)O4'7a /a Ma*a,;&"i
i,(a,$a)a"i17!a5= !akampuni aliosalia 2A haajapata #sajili kutokana na
sababu mbalimbali ikiwemo kutokidhi -i$ezo na kukosa naraka muhimu.
'ampuni au Wakala oote ambae hajapata #sajili hatoruhusiwa kufana kazi a
#wakala binafsi wa huduma za Ajira.
/. Wizara a 'azi na Ajira inasisitiza kwamba(
i. 0Wakala Binafsi wa Huduma za Ajira1 inajumuisha !tu binafsi,
'ampuni,Taasisi au chombo chochote kinachotoa huduma a kuun$anisha
watafuta kazi na waajiri pasipo wakala wa huduma za ajira kuwa sehemu
a mahusiano a kiajira anaoweza kujitokeza baina a watafuta kazi na
Waajiri. 2ia, inajumuisha utoaji wa huduma zin$ine zinazohusiana na
utafutaji kazi kama -ile kutoa ushauri nasaha wa ajira, kutoa taarifa za
soko la ajira kwa watafuta kazi na waajiri.
ii. 'wamba, ukodishaji wa huduma )4&)14&9i"> 4: 1(3i9(15 haujapi$wa
marufuku bali kilichopi$wa marufuku ni ukodishwaji wa watu )4&)14&9i">
4: ;(14"1*. Hi-o ni marufuku kwa Wakala wa huduma za Ajira kuajiri na
kukodisha wafanakazi, au kuajiri kwa niaba a kampuni nin$ine na
wakala hao kuwa sehemu a mahusiano a ajira anaoweza kujitokeza
baina a watafuta kazi na Waajiri.
3. Aidha, !tu eote anaetaka kufana shu$huli za huduma za ajira hana budi
kuzin$atia taratibu na kanuni chini a S7(ia /a K&*&za H&'&,a za A#ia Na= .
/a 1...=
IMETOLEWA
RIDHIWAN=M=WEMA=
MSEMAJI=
WIZARA YA KAZI NA AJIRA=
06/0./2014
2

You might also like