Professional Documents
Culture Documents
NET
ZANZIBAR
Zanzibar
1.0. UTANGULIZI
Waraka huu lengo lake hasa ni kuzungumzia umuhimu wa kura ya maoni kwa
Canada au Ulaya kura ya maoni ni mara chache sana kutumika Afrika. Matumaini yangu
utaratibu huu wa kutoa maamuzi kwa kupiga kura ya maoni utaendelea kukua kwa kuwa
tisiini barani Afrika lakini pia hapa Zanzibar. Waraka huu sio lengo lake kushawishi
yeyote kupiga kura ya ndio au hapana kwenye hoja ya kura ya maoni ya Serikali ya
1
Kopi zinapatikana MZALENDO.NET
kuchambuwa dhana moja moja kama vile kura ya maoni, mifano mbali mbali ya dunia
inayohusiana na kura maoni, kilicholetea kura ya maoni wakati huu Zanzibar, usimamiaji
Kwa kuilezea kiutaalamu, Kura ya Maoni (Referendum) humaanisha upigaji kura katika
nchi nzima juu ya jambo maalumu (mara nyingi lenye mvutano baina ya pande mbili au
kisiasa ndani ya nchi. Katika ulimwengu wa leo, kura ya maoni ni moja ya njia
Siasa wanatueleza kuwa ziko aina mbili ya “Kura za maoni” ambazo kwa lugha ya
Kiingereza huzitafautisha kwa maneno tafauti. Kwanza ni ile inayoitwa kwa lugha ya
kundi la watu katika kuanzisha hoja ya kura ya maoni. Hii hutafsirika kama ni kura ya
baada ya wananchi kadhaa kusaini aridhilhali na kupeleka lalamiko lao kwenye Bunge au
Baraza la Wawakilishi, na baadae kudai upigwaji kura ya maoni. Aina ya pili ya Kura ya
Maoni kwa lugha ya Kiingereza inaitwa “Plebiscite”. Hii inamaanisha kuomba kura ya
maoni ifanyike kwa ajili ya kutatuwa suala maalumu la kisiasa linalotanza. Ukweli hasa
badala ya kuziita hizi nia aina mbili ya Kura za maoni, inawezekana kabisa kuziita daraja
mbili tu za kura za maoni. Kwani initiative ni pale ambapo kura ya maoni hupigwa hata
2
Kopi zinapatikana MZALENDO.NET
kabla hapajatokea uvunjwaji wa Sheria au mzozo na hivyo ndio maana ikaitwa hilo jina
huitishwa baada ya mzozo kwisha tokea (hasa wa kisiasa) na lengo lake ni kuutatua huo
mzozo uliopo. Na hii ya pili ndio inalingana na hii Kura ya Maoni inayotayarishwa
Upigaji kura kwenye uchaguzi mkuu na kura ya maoni ni kuwa katika uchaguzi mkuu
mpiga kura huyo kufanya uamuzi wa kutia kura yake. Tafauti ni kwamba, Kura ya maoni
hutowa nafasi ya moja kwa moja kwa wananchi kulipigia kura jambo maalumu
MBALI ULIMWENGUNI.
Kura ya maoni kwa uhakika si jambo geni na zimeshafanywa nyingi sana katika nchi
mbali mbali duniani. Kwahiyo hakuna ukosefu wa mifano duniani ya kuonyesha jinsi
Marekani (USA) kuna jumla ya States 16 (yaani nchi kuminasita) zinazotumia Kura ya
maoni kuamua masuala mbali mbali makuu ya kisiasa katika nchi zao. Pia kwa Bara la
Ulaya, nchi zote ziliomo katika Jumuiya ya Ulaya (European Union) zimefanya kura ya
3
Kopi zinapatikana MZALENDO.NET
maoni katika kuamua aidha wakubali kutumia sarafu na noti ya aina Euro. Na zoezi hilo
kwa kweli limedhihirisha wazi wazi duniani nguvu za wananchi kufanya maamuzi
waliyoyapendelea viongozi wa nchi. Inafaa kuangalia mifano zaidi ili kufahamu hoja
• Nchi ya Spain mwaka 1976 walipiga kura ya maoni kubadilisha mfumo wao wa
kisiasa baada ya kifo cha Mtawala dikteta wa nchi hiyo Raisi Franco, na mwaka
• Denmark pamoja na kuwa ni nchi iliyomo katika Jumuia ya Ulaya, lakini kwa kura ya
maoni kupitia wananchi wao waliamua kujitoa katika suala la kuwa na sarafu ya
pamoja ya Euro.
• Nchi ya Venezuela chini ya Serikali ya Hugo Chavez tokea mwaka 1999 imejiwekea
mtu aliyechaguliwa kwa kura katika uchaguzi mkuu. Na nafasi hiyo ya kikatiba
madarakani.
4
Kopi zinapatikana MZALENDO.NET
• Nchi ya Puerto Rico ambayo sasa hivi bado ipo chini ya kukaliwa na Marekani,
iliwahi kuendesha kura za maoni mara tatu (katika mwaka 1967,1993 na 1998) ili
WaPuerto Rico waamuwa wenyewe kama wanataka wawe nchi huru au wanataka
wakaukataa. Katika jimbo la Quebec huko nchini Canada pia kura ya maoni ilipigwa
1995 ili watu wa Quebec wajitenge na Canada, lakini matokeo ya watu wa Quebec
Yugoslavia) na Eritrea (ilikuwa sehemu ya Ethiopia) kwa kura za maoni katika nchi
• Kwa mfano wa karibu yetu hapa Afrika Mashariki ni kura ya maoni ilipigwa Kenya
mwaka 2005 kwa ajili ya kuamua ama kufanya mabadiliko ya Kikatiba au kuiwacha
mabadiliko ya Katiba.
kura na Wazanzibari na viongozi wanafaa kuangalia kwa makini na bila woga vipi
demokrasia ili kutatua matatizo makuu ya kisiasa lakini pia itasaidia ufanisi na
uwajibikaji katika sekta mbali mbali za kimaendeleo. Zanzibar ya leo na siku za usoni, ili
iweze kuwa imara na mustakabali mzuri basi ni lazima iendelee kukuza demokrasia na
kusaka maendeleo kwa nguvu, hasa tukizingatia katika dunia ya leo iliyojaa ushindani
5
Kopi zinapatikana MZALENDO.NET
kidemokrasia, utulivu na umoja ndani ya nchi. Labda nifunge maelezo yangu katika
kifungu hiki kwa kusisitizia kuwa, pamoja na mifano mbali mbali ya kura za maoni
niliyoitaja hapo juu, kura ya maoni inayotakikana kufanyika Zanzibar ni mfano wa aina
yake. Kura hii ya maoni imeletwa kwa ajili umuhimu na ulazima ambao Baraza la
kushinda asilimia kubwa ya viti katika uchaguzi kiasi cha kuleta mchuano. Bila shaka,
ya kuteteresha moja ya vyama viwili vikubwa vyenye ushindani nchini Zanzibar basi
KURA YA MAONI:
Kuanzia miaka ya tisini, karibu nchi zote za Afrika zililazimika kuanzisha demokrasia ya
vyama vingi. Zanzibar pia ilikuwa katika mkumbo huo na kuanza ukuwaji wake wa
vinavyotawala bali huowa changa moto wa mijadala inayoweza kuleta mabadiliko juu ya
masuala mbali mbali makuu ya kisiasa, ama miundo ya Serikali na mifumo ya utawala,
6
Kopi zinapatikana MZALENDO.NET
yeyote yule anayefuatilia siasa za Zanzibar, ataweza kuona kuwa Wazanzibar wa marika
yote ni wana demokrasia halisi wenye kudai mabadiliko ndani ya vyama vyao na nje.
Zanzibar imepitia vipindi vigumu vya kisiasa kabla ya uhuru na baada ya uhuru, na pia
kabla ya demokrasia ya vyama vingi iliyoanza 1992. Kila uchaguzi kuanzia ule wa 1995
wenyewe nchini.
Ni dhahiri, miafaka kadhaa baina ya vyama vya CCM na CUF na jitihada mbali mbali za
wapatanishi kutoka nje ya nchi na ndani na hata mwisho wake Raisi wa Jamhuri ya
KiZanzibari imeendelea kugawika katikati zaidi kwa kipindi cha karibuni kwa msingi wa
Chama cha CUF na CCM kwa kutaja alau moja ya mgawiko mmoja mkubwa wa kisiasa,
chuki zikaendelea kumea baina ya wananchi hata katika masuala ya jamii, kibinaadamu
umoja na ushirikiano.
7
Kopi zinapatikana MZALENDO.NET
Professa Issa Shivji katika barua yake ya wazi kwa Mheshimiwa Rais Dk. Amani A.
Karume na Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad aliweka wazi maoni yake
kama aonavyo kwamba sababu kuu ya jitihada zilizokuwa zikifanywa kuleta upatanishi
mfupi mbele ya maslahi ya taifa/jamii (Mzalendo.net, jan 2010). Ni wazi kabisa, katika
hii n’ngwe ya mwisho ya Uraisi wake, Mheshimiwa Amani Karume, uamuzi waliofikia
yeye Raisi Amani Karume (ambaye pia ni kiongozi wa CCM) na, Maalim Seif Sharif
Hamad (Katibu Mkuu wa CUF) kwamba wazungumze na wazizike tafauti zao za kisiasa
kwa maslahi ya taifa la Zanzibar kwa kiasi kikubwa kumechangia kuleta hisia mpya
wa Professa Shivji basi tendo la Mheshimiwa Amani Karume na Maalim Seif Sharif
wametanabahi kuwa maslahi ya taifa wameyapa nafasi yake ya juu yanayostahiki kuliko
Makubaliano hayo ndio yaliyokuwa chachu iliyopelekea hata kufika hatua ya kupitisha
kwenye safari refu ya demokrasia ya kweli, safari ambayo itaweza kulinda mustakabali
wa nchi ya Zanzibar. Katika nchi kadhaa zenye demokrasia duniani, baadhi ya masuala
makubwa ya kisiasa yanapotokezea, si ajabu kabisa kwa viongozi hutoa nafasi kwa
wananchi wenyewe kuamua kwa kura ya maoni. Hiyo ni njia moja ya utanuwaji wa
uga/uwanja wa demokrasia ambao humpa nafasi kila mwananchi kutoa maamuzi katika
suala hilo. Utafiti na maoni mbali mbali yameonyesha kuwa hadi sasa kuna waliotuliza
8
Kopi zinapatikana MZALENDO.NET
vichwa vyao na kutoendekeza ushabiki, woga au uchama wao, na wanasema hii ni nafasi
adimu isiyofaa kuachwa ikapotea. Hao ndio wanaotaka mabadiliko haya yaje. Na kura
mawazo yao. Lakini lazima ikubalike, katika kuleta mabadiliko yoyote makubwa ya
kisiasa ni wazi kuna wale ambao hawatokubaliana na njia hiyo ya kuleta mabadiliko,
aidha wakiwa na njia mbadala au hata ikiwa hawana au wanapenda tu hali iliyopo
iendelee. Pindipo hoja inakubalika na wengi haina maana wale walioikataa au moyo wao
ulikuwa na mashaka na hoja hiyo ya kura kuwa sio wazalendo au ana walakini, ni lazima
kukataliwa. Pia lazima kuwaheshimu wale walioikataa hoja, ijapokuwa kukataa kwao
maendeleo na badala yake kuimarisha umoja wa kitaifa. Ili kufikia hatua hiyo, ni lazima
taifa na vyama kutowa kipaumbele kwenye suala la mafunzo juu ya uvumilivu wa kisiasa
na ushindani wa vyama vya siasa. Pindipo hilo litachukuliwa uzito kama ambavyo umoja
Wazo la kupiga kura ya maoni lilitolewa Januari mwaka huu wa elfu mbili na kumi na
9
Kopi zinapatikana MZALENDO.NET
Katiba ya Zanzibar iweze ruhusu kuwepo kwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa. Mswada
ukapitishwa na wawakilishi hao wote kwa asilimia mia. Ulipitishwa kwa sharti ya
kwamba wapewe nafasi Wazanzibari kwa kutumia kura ya maoni ili waweze kuamua
Wakati akiwasilisha mswada huo, Mhe. Abubakar Kh. Bakari aliilezewa kwa uwazi na
ufasaha kabisa sababu ya kuleta hoja hii ya Serikali ya Umoja ni kwamba hii anaiona ni
News, March 30,2010). Lakini tukiangalia dunia nzima, suala la Serikali ya Umoja nalo
sio geni duniani na lishatumika nchi kadhaa kutatuwa mizozo. Serikali za mseto au umoja
wa kitaifa mara nyingi huanzishwa pale inapojitokeza nchi inakuwa na mvutano mkubwa
hata damu kumwagika. Kwa mfano Kenya au Zimbabwe ni mfano wa nchi damu
kuepusha mifarakano hiyo kuwa mkubwa nchini baada ya African National Congress
wanaimarisha maslahi ya taifa lao kwanza kuliko ya binafsi na uchama waliunda Serikali
ya Umoja wa Kitaifa. Hili liliendelea kumuwekea nyongeza nyengine kubwa sana ya sifa
10
Kopi zinapatikana MZALENDO.NET
kuchukua tahadhari kabla ya athari haijawa kubwa. Inaingia akilini kabisa, ikiwa njia hii
ni tabibu kwa mizozo ya kisiasa, na Zanzibar inao mzozo wa kisiasa kila uchaguzi, basi
inaingilia akilini kabisa kukubali kutumia dawa hii ili kuingalia kama itaitibu Zanzibar.
Tukiachilia mbali Serikali ya umoja wa kitaifa, hata mbinu ya uundwaji serikali za mseto
hutumika sana nchi za ulaya ili kuondoa mivutano na kufanya nchi ziendelee kutawalika,
serikali iliyopo madarakani ya mseto. Mfano huu upo kwa nchi nyingi kama vile Israel,
Ujarumani, Italy na hata Australia ambazo zote hizi huwa na serikali za mseto.
Kwa kuendelea kukaa juu ya mstari katika mada hii inayohusu ufuatiliaji wa upigaji kura
ni kuwa kifungu hiki ni muhimu sana kwa demokrasia inayoambatana na upigaji kura ya
maoni kwani imeweka “precedence” (kigezo cha msingi kisheria) ambacho kinaweza
kufuatwa kwa suala lolote jengine la kisiasa ikihitajika upigaji kura wa maoni.
imepitishwa kuweza kuiruhusu iweze kusimamia upigaji kura huo”. ikiwa ni pamoja na
la Wapiga kura tu, ndio watakaopiga kura ya kuulizwa ama kujibu ndio au hapana na
11
Kopi zinapatikana MZALENDO.NET
majimbo yale yale yaliyopangwa kwa ajili ya uchaguzi mkuu na vituo vile vile katika
kama kutatokea shaka katika matokeo hayo, haitatiliwa maanani na kama ikitokea
matokeo hayo yakafungana (yaani yamekuwa sare), Tume itatangaza tarehe nyingine
katika kipindi cha mwezi mmoja baada ya matokeo hayo, kwa ajili ya upigaji kura
mwingine. Itakuwa ni kosa kwa mtu au taasisi kutangaza matokeo ya kura hizo kabla ya
ZEC na unapendekeza faini ya kati ya Sh milioni moja hadi 10 au kifungo cha miaka
mitatu jela au adhabu zote kwa pamoja. Kwa maelezo ya Mwenyekiti Mwinchande
halikuelezwa katika sheria ya kura ya maoni basi sheria ya Uchaguzi ya mwaka 1984
Kura ya maoni inatarajiwa tarehe 31 Julai 2010, na hivi sasa ZEC kupitia msaada ya
maendeleo ya elimu ya wapiga kura kupitia vikundi na jumuia mbali mbali za katika
mitaa na vijiji. Hizi jumuia ndio zinasaidia hata kusambaza taarifa na karatasi matangazo
Katika jumla ya haki za mpiga kura hiyo ya maoni ni kwamba, Mzanzibari aliyepiga kura
Rufani, Lakini kabla ya mtu kukata rufaa dhidi ya matokeo ya upigaji kura huo, atatakiwa
12
Kopi zinapatikana MZALENDO.NET
kwanza kuwa na wapiga kura 10 kutoka kila mkoa visiwani hapa, wanaomuunga mkono
na kulipa Sh milioni tano kwa ajili ya kufungulia kesi siku 30 baada ya matokeo
kutangazwa. Shindikizo langu katika mada hii ni kuwa kuwaelimisha wananchi sio tu
namna ya kupiga kura yenyewe bali pia kuwaeleza ina umuhimu wa Kura hiyo ya maoni
kwa maslahi ya taifa zima la Zanzibar kwa kipindi cha muda mfupi na baadae. Katika
demokrasia yoyote ni wajibu sio tu kuwafanya wapige kura bali wajadili kwa kina na
kuelewa ili wajue faida na hasara za kuwa na muundo huo mpya na faida na hasara za
muundo uliopo. Hili ni muhimu kwani maamuzi ya hao wananchi ikiwa ni kura ya Ndio,
uamuzi huo utawafanya waishi na huo muundo mpya kwa miaka ifuatayo, na
kuishi na mfumo uliopo. Kura ya maoni kwenye nchi mbali mbali huelimisha na
huchangamsha jamii kwa ngoma , nyimbo vifijo kila mtu anapojitahidi kueleza au
mwaka huu pindipo wananchi watasema ndio au hapana, basi la kwanza kabisa
kura ya maoni kwenye masuala muhimu ya kisiasa, uchumi, kero za muungano au hata
uongozi.
kisiasa katika nchi: Pindipo masuala mengi makubwa ya kinchi ambayo hatima yake
13
Kopi zinapatikana MZALENDO.NET
Na hakuna njia bora ya kuwashirikisha wananchi katika maamuzi inayoizidi hii ya Kura
ya maoni.
chanzo cha fujo na ghasia na ambavyo vingeweza kutumiwa hata na maadui wa Tanzania
kuhatarisha usalama wa nchi na badala yake kuleta hali ya amani na usalama ambayo
inavifanya hata vyombo vya ulinzi na usalama kufanya kazi zao katika hali ya utulivu na
pamoja wananchi wote ili kwa pamoja tushiriki katika ujenzi wa Zanzibar mpya(Seif
vyama tofauti vya siasa na kuwafanya wapendane na washirikiane katika shughuli zote za
kijamii wakijua kuwa wote ni wananchi wa nchi moja (Seif Sharif hamad, 2010). Katika
dunia ya leo, Serikali pekee hazikidhi mahitaji yote ya jamii kwenye huduma za elimu,
14
Kopi zinapatikana MZALENDO.NET
ndani na nje ya nchi katika ujenzi wa taifa utaweza kusaidia hasa maeneo ya huduma za
Katika mkutano wake na waandishi wa habari wakati akigombea nafasi ya uraisi kwa
tiketi ya Chama cha mapinduzi, Bw. Muhammad Yussuf Mshamba alieleza kuwa
kuimarisha Muungano haina maana hata kidogo ya kuingiza kila kitu katika orodha
utaimarika zaidi ikiwa hatua za makusudi zitachukuliwa kuyaondoa yale mambo yote
unaamini kuwa kuendelea kubakia kwake hakuleti faida wala maslahi mazuri kwake
na hivyo kuna muelekeo wa kuuathiri vibaya upande wake. Hili halina mjadala ikiwa
kikweli kweli katika misingi ya usawa, uhuru na upendo tokea hapo awali.
uhuru na upendo utaimarishwa Zanzibar basi ni wazi misingi hiyo ionekane katika
muungano. Kwani hayo ndio yatakuwa maadili ya Wazanzibari. . Kwa mfano tu,
15
Kopi zinapatikana MZALENDO.NET
f) Haja ya kusimamia imara rasilmali za nchi : Mwananchi mpenda nchi ni yule aliye
imara kulinda mali za nchi. Mwananchi mpenda nchi huwa si mla rushwa na mwenye
mpenda nchi ni yule anayetaka haki, na mali binafsi za raia mwenzake zilindwe
kama atakavyo zake zilindwe. Nchi yenye raia wasio na hisia na nchi yao huwa
kubwa kuzijenga hisia hizi. Masuala kadhaa nyeti yamejitokeza kwa jina la kero za
yapatikanayo.
7.0. HITIMISHO:
Mwisho, waraka huu unahitimisha kwa maoni ya kwamba kura ya maoni ni muhimu kwa
vile inaruhusu msimamo wa walio wengi kukubalika kama ndio ridhaa ya wananchi na
katika vyombo vya dola. Kwa maana hii basi kura ya maoni inawakilisha matakwa ya
16
Kopi zinapatikana MZALENDO.NET
jamii au nchi. Kura ya maoni inastahiki na ina faida sana pale ambapo kuna masuala
Marejeo (References)
1. Mark N. Franklin, Cees van der Eijk and Michael Marsh, (1995) Referendum
outcomes and trust in government: Public support for Europe in the wake of
case of Ghana, African Journal of History and Culture (AJHC) Vol. 1 (1), pp.
6. Gay, Oonagh and Wood Edward, (2000) House of Commons, 2000, The Political
1999-2000
17
Kopi zinapatikana MZALENDO.NET
8. Shivji, Issa, 2010, Barua ya wazi kwa Mheshimiwa Rais Karume na Maalim Seif
- http://hakinaumma.wordpress.com/2010/01/
23,2010-http://hakinaumma.wordpress.com/2010/01/23/maridhiano-na-
mustakbali-wa-zanzibar/)
10. http://www.thefreedictionary.com/referendum
2010.
18