You are on page 1of 8

KUMB: PPR/13 - 7/1

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU BEI KIKOMO ZA MAFUTA AINA YA PETROLI KUANZIA
JUMATATU, TAREHE 1 JULAI 2013
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) inatangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta ya
petroli hapa nchini. Bei hizi zitaanza kutumika kuanzia Jumatatu, Tarehe 1 Julai 2013. Pamoja na kutambua bei
kikomo za bidhaa mbalimbali za petroli nchi nzima, ni muhimu kuzingatia yafuatayo.

(a)

Bei za jumla na rejareja kwa mafuta ya aina zote zimebadilika ikilinganishwa na toleo lililopita la tarehe
05 Juni 2013. Katika toleo hili, bei za rejareja kwa mafuta ya Petroli, Dizeli na Mafuta ya Taa
zimeongezeka kama ifuatavyo: Sh 26/lita sawa na asilimia 1.28, Sh101/lita sawa na asilimia 5.36 na Sh
3/lita sawa na asilimia 0.20 sawia. Kwa kulinganisha matoleo haya mawili, bei za jumla zimebadilika
kama ifuatavyo: Bei za Petroli, Dizeli na Mafuta ya Taa zimeongezeka kwa Sh 25.94/lita sawa na
asilimia 1.31, Sh 101.21/lita sawa na asilimia 5.57 na Sh 2.67/lita sawa na asilimia 0.14 sawia.
Mabadiliko haya ya bei yametokana na mabadiliko ya bei za mafuta katika soko la dunia na mabadiliko
ya viwango vya fuel levy na uanzishwaji wa petroleum levy kwenye bidhaa za mafuta ya petroli.

(b)

Kwa mujibu wa Sheria ya Mafuta ya mwaka 2008, bei za bidhaa za mafuta ya petroli zitaendelea
kupangwa na soko. EWURA itaendelea kuhamasisha ushindani kwa kutoa taarifa za bei kikomo za
bidhaa za mafuta. Taarifa hizi zina lengo la kuwasaidia wadau kufanya maamuzi stahiki kuhusu
manunuzi ya bidhaa za mafuta.

(c)

Kampuni za mafuta zipo huru kuuza bidhaa za mafuta ya petroli kwa bei ya ushindani ilimradi
bei hizo ziko chini ya bei kikomo (price cap) kama ilivyokokotolewa na fomula mpya iliyopitishwa na
EWURA na ambayo ilichapwa kwenye Gazeti la Serikali Na. 454 la tarehe 23 Desemba 2011.

(d)

Vituo vyote vya mafuta vinatakiwa kuchapisha bei za bidhaa za mafuta katika mabango yanayoonekana
bayana na yakionyesha bei ya mafuta, punguzo, vivutio vya biashara au promosheni zinazotolewa na
kituo husika. Pale ambapo inawezekana kuchagua, wateja wanashauriwa kununua bidhaa za mafuta
kutoka kwenye vituo vinavyouza mafuta kwa bei ndogo zaidi ili kushamirisha ushindani. Ni kosa kuuza
mafuta bila kuweka mabango ya bei inayoonekana vizuri kwa wateja na adhabu itatolewa kwa
kituo husika.

(e)

Wanunuzi wanashauriwa kuhakikisha kuwa wanapata stakabadhi ya malipo inayoonesha jina la kituo,
tarehe, aina ya mafuta yaliyonunuliwa na bei kwa lita. Stakabadhi hiyo ya malipo itatumika kama
kidhibiti cha mnunuzi wa mafuta endapo kutajitokeza malalamiko ya ama kuuziwa mafuta kwa bei ya
juu kuliko bei kikomo; ama endapo utakuwa umeuziwa mafuta yenye kiwango cha ubora kisichofaa.

A: BEI ZA REJAREJA

Mji

Bei Kikomo
Dizeli
(Tsh/Lt)

Petroli
(Tsh/Lt)

Mafuta ya Taa
(Tsh/Lt)

Dar es Salaam

2,083

1,993

1,954

Arusha

2,167

2,077

2,038

Arumeru (Usa West)

2,167

2,077

2,038

Karatu

2,185

2,096

2,056

Monduli

2,173

2,083

2,043

Ngorongoro (Loliondo)

2,224

2,134

2,094

Kibaha

2,088

1,998

1,959

Bagamoyo

2,094

2,004

1,965

Kisarawe

2,090

2,001

1,961

Mkuranga

2,093

2,003

1,964

Rufiji

2,111

2,021

1,982

Dodoma

2,142

2,052

2,013

Bahi

2,149

2,059

2,020

Chemba

2,168

2,078

2,039

Kondoa

2,175

2,085

2,045

Kongwa

2,139

2,049

2,010

Mpwapwa

2,143

2,053

2,014

Iringa

2,147

2,057

2,018

Kilolo

2,152

2,062

2,022

Mufindi (Mafinga)

2,157

2,067

2,028

Njombe

2,175

2,085

2,046

Ludewa

2,213

2,123

2,084

Makete

2,206

2,116

2,077

Wanging'ombe
(Igwachanya)

2,173

2,083

2,044

Bukoba

2,298

2,208

2,169

Biharamulo

2,273

2,183

2,143

Karagwe (Kayanga)

2,315

2,225

2,185

Kyerwa (Ruberwa)

2,320

2,230

2,191

Muleba

2,298

2,208

2,169

Ngara

2,264

2,174

2,134

Misenyi

2,307

2,217

2,177

Geita

2,248

2,158

2,119

Bukombe

2,237

2,147

2,108

Chato

2,269

2,179

2,140

Mbogwe

2,286

2,196

2,157

Nyang'hwale

2,263

2,173

2,134

Kigoma

2,314

2,224

2,185

Uvinza (Lugufu)

2,326

2,236

2,197

Buhigwe

2,303

2,213

2,174

Kakonko

2,271

2,181

2,142

Kasulu

2,300

2,210

2,171

Kibondo

2,278

2,189

2,149

Moshi

2,157

2,067

2,028

Hai (Bomang'ombe)

2,160

2,070

2,031

Mwanga

2,150

2,060

2,021

Rombo (Mkuu)

2,178

2,088

2,048

Same

2,143

2,053

2,014

Siha (Sanya Juu)

2,163

2,074

2,034

Lindi

2,142

2,052

2,013

Kilwa Masoko

2,117

2,027

1,988

Liwale

2,163

2,073

2,034

Nachingwea

2,171

2,081

2,042

Ruangwa

2,169

2,079

2,040

Babati

2,205

2,116

2,076

Hanang (Katesh)

2,216

2,126

2,087

Kiteto (Kibaya)

2,216

2,127

2,087

Mbulu

2,218

2,128

2,089

Simanjiro (Orkasumet)

2,237

2,147

2,108

Musoma

2,261

2,172

2,132

Rorya (Ingirijuu)

2,270

2,180

2,141

Bunda

2,253

2,163

2,123

Butiama

2,258

2,168

2,129

Serengeti (Mugumu)

2,307

2,217

2,178

Tarime

2,272

2,183

2,143

Mbeya

2,190

2,100

2,061

Chunya

2,200

2,110

2,070

Ileje

2,203

2,113

2,074

Kyela

2,206

2,116

2,077

Mbarali (Rujewa)

2,174

2,084

2,045

Mbozi (Vwawa)

2,199

2,110

2,070

Momba (Chitete)

2,208

2,118

2,079

Rungwe (Tukuyu)

2,199

2,109

2,070

Morogoro

2,108

2,018

1,979

Mikumi

2,124

2,034

1,995

Kilombero (Ifakara)

2,146

2,056

2,017

Ulanga (Mahenge)

2,157

2,067

2,027

Kilosa

2,127

2,037

1,997

Mvomero (Wami Sokoine)

2,119

2,029

1,989

Mtwara

2,156

2,066

2,026

Nanyumbu (Mangaka)

2,204

2,114

2,075

Masasi

2,181

2,091

2,052

Newala

2,187

2,098

2,058

Tandahimba

2,181

2,091

2,051

Mwanza

2,233

2,143

2,104

Kwimba

2,269

2,179

2,140

Magu

2,241

2,151

2,112

Misungwi

2,239

2,149

2,109

Sengerema

2,265

2,176

2,136

Ukerewe

2,292

2,203

2,163

Sumbawanga

2,256

2,166

2,126

Kalambo (Matai)

2,248

2,158

2,119

Nkasi (Namanyele)

2,269

2,179

2,140

Katavi (Mpanda)

2,291

2,201

2,161

Mlele (Inyonga)

2,269

2,179

2,140

Songea

2,206

2,117

2,077

Mbinga

2,240

2,150

2,111

Namtumbo

2,236

2,146

2,106

Nyasa (Mbamba Bay)

2,242

2,152

2,113

Tunduru

2,265

2,175

2,136

Shinyanga

2,212

2,122

2,083

Kahama

2,225

2,136

2,096

Kishapu

2,240

2,150

2,111

Simiyu (Bariadi)

2,253

2,163

2,124

Busega (Nyashimo)

2,246

2,156

2,117

Itilima (Lagangabilili)

2,256

2,166

2,127

Maswa

2,245

2,155

2,115

Meatu (Mwanhuzi)

2,252

2,162

2,122

Singida

2,174

2,084

2,044

Iramba

2,186

2,096

2,057

Manyoni

2,158

2,068

2,029

Ikungi

2,169

2,079

2,040

Mkalama (Nduguti)

2,198

2,108

2,069

Tabora

2,237

2,147

2,108

Igunga

2,191

2,101

2,062

Kaliua

2,255

2,165

2,126

Ulyankulu

2,249

2,159

2,120

Nzega

2,202

2,112

2,072

Sikonge

2,249

2,159

2,120

Urambo

2,250

2,160

2,121

Tanga

2,129

2,039

2,000

Handeni

2,109

2,019

1,979

Kilindi

2,143

2,053

2,014

Korogwe

2,122

2,032

1,993

Lushoto

2,132

2,042

2,003

Mkinga (Maramba)

2,144

2,054

2,014

Muheza

2,129

2,039

2,000

Pangani

2,136

2,046

2,007

B: BEI ZA JUMLA

Bei za Jumla - DSM


Bei Kikomo

Petroli
(Sh/L)

Dizeli (Sh/L)

2,009.24

1,919.45

Haruna Masebu
MKURUGENZI MKUU
EWURA

Mafuta ya Taa
(Sh/L)
1,879.96

CAP PRICES WEF MONDAY 1 JULY 2013


Weighted Average of Actual Exchange Rates of
the Previous Month (M-1):

Exchange Rate

WT Average Actual Conversion Factors of the Previous Month (M-1):

DESCRIPTION

Plus
Sub
Total

UNIT

1,626.20

0.736

0.833

0.786

Petrol

Diesel

Kerosene

PRICE

PRICE

PRICE

Weighted Average Platt's FOB

Tzs/Ltr

1,129.59

1,145.04

1,146.99

Weighted Average Premium as Per Quotation


(Freight+Insurance+Premium)

Tzs/Ltr

48.68

66.38

82.05

COST CIF DAR

Tzs/Ltr

1,178.27

1,211.41

1,229.04

LOCAL COSTS PAYABLE TO OTHER AUTHORITIES


Wharfage $10/MT + 18% VAT

Tzs/Ltr

14.12

15.99

15.09

Customs Processing Fee (TZS 4.80/Lt)

Tzs/Ltr

4.80

4.80

4.80

Weights & Measures Fee (Tshs. 1.00/Lt)

Tzs/Ltr

1.00

1.00

1.00

TBS Charge

Tzs/Ltr

1.24

1.24

1.24

TIPER Fee + 18% VAT

Tzs/Ltr

0.20

0.20

0.20

Actual Demurrage Cost (USD 2.87/MT)

Tzs/Ltr

3.43

3.89

3.67

Actual Ocean Losses (DAP Terms)

Tzs/Ltr

Surveyors Cost (Actual TENDERED rate: MSP=USD


0.114/MT; AGO=USD 0.048/MT; IK=USD 0.187/MT)

Tzs/Ltr

0.07

0.03

0.12

Financing Cost (1.00% CIF)

Tzs/Ltr

11.78

12.11

12.29

Regulatory Levy

Tzs/Ltr

6.10

6.80

3.50

Evaporation Losses (0.5% MSP, 0.30% GO % IK )CIF

Tzs/Ltr

5.89

3.63

3.69

Petroleum Marking Cost ($3.3/CM + 18% VAT)

Tzs/Ltr

6.33

6.33

6.33

TOTAL LOCAL COSTS (LC)

Tzs/Ltr

54.97

56.03

51.92

Fuel Levy

Tzs/Ltr

263.00

263.00

Excise Duty

Tzs/Ltr

339.00

215.00

425.00

Petroleum Levy

Tzs/Ltr

50.00

50.00

50.00

Sub Total TOTAL GOVERNMENT TAXES

Tzs/Ltr

652.00

528.00

475.00

Plus

Transition Costs Coverage to OMCs

Tzs/Ltr

13.00

13.00

13.00

Plus

OMC's Overheads & Margins

Tzs/Ltr

111.00

111.00

111.00

WHOLESALE PRICE CAP (DSM)

Tzs/Ltr

2,009.24

1,919.45

1,879.96

Plus

Dealers Margin

Tzs/Ltr

57.50

57.50

57.50

Plus

Transport Charges (Local)

Tzs/Ltr

10.00

10.00

10.00

Plus

Transition Costs to Dealers

Tzs/Ltr

6.50

6.50

6.50

Price

PUMP PRICE CAP (DSM)

Tzs/Ltr

2,083

1,993

1,954

1,983.30

1,818.24

1,877.29

GOVERNMENT TAXES

Preceding DSM Cap Wholesale prices (05.06.2013)

%Change in Cap Wholesale Prices

1.31%

5.57%

0.14%

Preceding DSM Cap Pump Prices (05.06.2013)

2,057

1,892

1,951

1.28%

5.36%

%Change in Cap Pump Prices

0.2%

You might also like