You are on page 1of 16

ISSN 0856 - 3861 Na.

1141 DHULQAAD, IJUMAA , SEPTEMBA 5-11, 2014 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=
Sauti ya Waislamu
www.annuurpapers.co.tz
I S L A M I C
E D U C A T I O N
PANEL imetangaza
matokeo ya mtihani
wa kuhitimu Elimu
ya Msingi wa Elimu
ya Dini ya Kiislamu,
a mba po ka t i ka
ufaulu wa jumla,
mi koa ya Pemba
imeshika nafasi ya
kwanza na ya pili.
Taarifa ya matokeo
KATIBU Mkuu wa Chama
Cha Mapinduzi (CCM),
Mh. Abdur Rahman
Kinana, amesema atakuwa
Kosa letu kudai Zanzibar huru-Sheikh Farid
Tanzania hakuna ugaidi, tusiombe balaa hilo
Ugaidi mwingine unapandikizwa
Amesema kweli Rais Kikwete...
Kinana aahidi msaada
Mtambani, Mivumoni
Na Bakari Mwakangwale
Pemba yaongoza
mtihani wa Dini
Mwanza yashika usukani 10 bora
Idadi ya watahiniwa yafkia 74,192
hayo iliyotolewa jana
i naonyesha kuwa
Mkoa wa Kaskazini
Pemba unaongoza
kwa kuwa na wastani
wa ufaulu wa alama
86.03 ukifuatiwa na
Kusini Pemba wenye
ufaul u wa al ama
69.89.
Zilizofuatia ni Mjini
Magharibi Unguja
Inaendelea Uk. 3
bega kwa bega na viongozi
wa Msikiti wa Mtambani,
kuha ki ki s ha Shul e
iliyoungua Msikitini hapo
inarudi katika hali yake
ya awali.
Mh. Kinana ametamka
hayo al i pofanya zi ara
Msikitini hapo Jumatano
wiki hii kujionea athari
na kutaka kujua aina ya
Inaendelea Uk. 3
RAIS Jakaya Kikwete SHEIKH Farid Hadd
Hijja ni kama Mkutano Mkuu wa waislamu
wote duniani. Allah Anatukusanya sote
katika bonde la Arafa ili tujuane na
Atumiminie Radhi Zake na kuyabariki
maisha yetu. Kila mmoja anatakiwa afke
hapo angalau mara moja katika umri wake
na ajisikie ndani ya moyo wake kuwa yu
miongoni mwa waislamu. Karibuni Ahlu
Sunna wal Jamaa kwa mipango mizuri na
huduma bora. Gharama zote ni Dola 4,500.
Tafadhali wasiliana nasi: Tanzania Bara:
0655/0765/0682/0777 - 462022; Zanzibar: 077
7468018/0685366141/0657606708.
(17) WAPI KAMA ARAFA!
MASHEIKH wa UAMSHO walioongezwa katika orodha ya watuhumiwa wa kesi ya
ugaidi wakiingia katika mahakama ya Kisutu Dar es Salaam juzi.
2
AN-NUUR
DHULQAAD 1435, IJUMAA SEPTEMBA 5-11, 2014
AN-NUUR
S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786
Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.
www.annuurpapers.co.t E-mail: annuurpapers@yahoo.co.uk
Ofsi zetu zipo: Manzese Tip Top
Usangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam
Tahariri/Habari
VYOMBO vya habari
na kat i ka mi t andao
ya kimataifa wiki hii,
kulikuwa na habari juu
ya kile kilichodaiwa
kuwa ni kuongozeka
kwa Muj ahi di na wa
kike ambao wapo tayari
British 'jihadist' mum
Tufanye nini Waislam
Sadly, its not a joke. It is
very much real as increasing
numbers of female Muslim
converts become radicalized.
Inasema taarifa hiyo
i ki si si t i za kuwa i si j e
ikadhaniwa kuwa habari
hizi ni porojo tu, bali ni
for some Christian blood.
Last week, another female
British jihadist known as
Khadijah Dare, who is now
reportedly in Syria, tweeted
that she wanted to be the frst
woman to kill a British or U.S.
terrorist.
Ndi vyo i navyosema
Jumamosi ya wiki iliyopita
katika uwanja wa ndege
akijaribu kutorokea Syria
kujiunga na jihad.
Waziri wa Mambo ya
Ndani wa Ufaransa Bernard
Cazeneuve akanukuliwa
akisema kuwa binti huyo
alikamatiwa katika Uwanja
Ni wazi kuwa taarifa
hizi za British jihadist
mu m t h r e a t e n s t o
behead Christians, ni
usanii mtupu na mambo
ya kuzua, kama zile za
Samantha (White widow)
kuongoza shambulio la
kigaidi Westgate Nairobi.
kuchinja Wakristo.
Increasing Number Of
Female Muslim Converts
Reportedly Joining ISIS To
Wage Jihad. Ilikuwa ni
moja ya vichwa hicho vya
habari.
Chini ya kichwa hicho
cha habari , zi l i tol ewa
habari za Sally Jones,
mwenye umri wa miaka 45-
na mama wa watoto wawili
kutoka Kent, southeast
England.
Ki chwa ki ngi ne cha
habari kikanadi: British
jihadist mum threatens
to behead Chri sti ans:
reports.
Ikadaiwa katika habari
hiyo kuwa Sally amesilimu
baada ya kukutana na
mujahidina mmoja katika
mtandao na kwamba hivi
sasa ametorokea Syria
kujiunga na ISIS.
Now she is reported as
having said she wants to
behead Christians with a
blunt knife and put their
heads on railings.
I nadai t aari f a hi yo
kwamba hivi sasa Sally
amekuwa kama mbwa
mwitu kichaa akitaka
kuwachi nj a Wakr i st o
kwa kisu butu na kisha
kutundika vichwa vyao
katika vyuma.
ukweli katika kipindi hiki
ambapo wanawake wengi
wa Kizungu wanasilimu na
kutiwa wazimu wa siasa
kali (radicalized).
Likiripoti juu ya habari
hizo, Shirika la Habari
la AFP linasema kuwa
Jones, ambaye sasa anaitwa
Saki nah Hus s ai n au
Umm Hussain al-Britani,
alikwenda Syria kukutana
na kuolewa na mujahidina
Junaid Hussain (miaka 20)
baada ya kuwa walikuwa
waki wasi l i ana kat i ka
mtandao wa Twiter.
You Christians all need
beheading with a nice blunt
knife and stuck on the railing
at raqqa Come here Ill do
it for you!
AFP linaandika likidai
k u wa l i me mn u k u u
Sakinah akitoa wito kwa
Wakristo waje kwake ili
apate kutuliza kiu yake ya
kuwakata vichwa.
Kisha habari hiyo inadai
kuwa sio Sally pekee, bali
kuna wanawake wengi
wa Ui ngereza ambao
wanas i l i mu na mar a
wanakuwa na kiu ya damu
ya Wakristo, kisha anatajwa
mwanamke mwi ngi ne
Khadijah Dare.
Sally isnt the only British
Muslim convert who is thirsty
AFP na kuongeza kuwa
the reasons why apparently
normal middle-aged British
women are j oi ni ng t he
barbaric ranks of ISIS are not
immediately obvious.
Kwamba sababu hasa
ya wanawake wengi wa
Kiingereza kujiunga na
kundi la kishenzi la Islamic
State, bado hazijafahamika.
Taarifa hizo za Khadijah
na Sally, zilifuatiwa na
zile zilizodai kuwa katika
Ufaransa amekamatwa
msichana Muslamu wa
miaka 16-Jihadist (France
Arrests Suspected Jihadist
Teen Girl at Airport.)
Ikadaiwa kuwa Jihadist
huyo msichana alikamatwa
wa Ndege wa Kimataifa
Nice, baada ya kutiliwa
shaka kufuatia kitendo cha
raia mmoja wa Chechnya
kutaka kumnunulia binti
huyo tiketi ya kwenda
tu hapo hapo uwanjani
.Akifafanua zaidi akadai
kuwa ilikuwa wafanyakazi
wa Shirika la Ndege la
Uturuki (Turkey. Turkish
Airlines ) waliotoa taarifa
polisi baada ya kumshtukia
mtu huyo na binti aliyetaka
kumnunulia tiketi. Taarifa
zinadai kuwa Mchechen
huyo anatuhumiwa kuwa
ndiye alikuwa akimpa
mafunzo binti huyo ya
kuwa mujahidina (girls
recruiter).
Na muhimu hapa ni
kuona jinsi maadui wa
Uislamu walivyo kazini
kupi ga pr o pa ga nda
kuupaka Uislamu matope
na kuutia doa la ugaidi na
uchinjachinja.
Sasa swali la kujiuliza ni
je, katika mazingira haya,
Muislamu unafanya nini?
Ji bu j epesi ni kuwa
unachotakiwa ni kuchukua
tahadhari usitoe mwanya
wa kupatikana sababu
au ushahi di wa kwel i
(material evidence) wa
kutia uhai usanii wao.
Tuchukue tahadhari
ili tuwaache na hao hao
British jihadist mum wao
wa usanii.
HATI MAYE ke s i
inayomkabili Sheikh
Ponda Issa Ponda,
imekabidhiwa kwa Jaji
Augustino Shangwa
wa Mahakama Kuu.
Kwa kuwa ilikuwa ni
mara ya kwanza kwa
Jaji huyo kusikiliza kesi
hiyo, alianza kupewa
historia ya kesi hiyo,
jinsi ilivyoendeshwa
na Jaji Sylvester Kaduri
aliyekuwa akiisikiliza
awali kabla hajajitoa,
a mb a p o i l i f i k i a
upande wa Jamhuri
kuweka pingamizi la
kusikilizwa rufaa ya
Kesi ya Ponda apewa Jaji Shangwa
Na Abdulkarim
Msengakamba
Sheikh Ponda.
Katika pingamizi
hilo, linadai kwamba
upande wa Shei kh
Ponda ul i vyokat a
rufaa, haukuleta notisi.
Jambo hilo lilimfanya
Jaji Kaduri kukataa
kusikiliza pingamizi
hilo na kudai kuwa Jaji
atakayekuja baada yake
ndiye anayetakiwa
kusikiliza.
Wakili wa upande
wa Shei kh Ponda,
Bw. Juma Nassoro,
a l i p o h o j i wa n a
mwandi shi j uu ya
mwenendo wa kesi
hiyo, alisema kuwa
alichokifanya baada ya
kupatikana jaji wa keshi
hiyo, ni kumweleza
Jaj i Shangwa suala
zima juu ya rufaa yao
na kwamba sio kweli
kwamba upande wa
mashi t aka haul et a
notisi.
Al i s e ma n o t i s i
yao wal i i wasi l i sha
Mei 17, 2013 ndani
ya siku kumi tangu
tarehe ya hukumu na
baada ya kuiwasilisha,
walichukua nakala yao
na nyingine waliiacha
kwa karani.
A l i s e m a
anas hangazwa na
upande wa Jamhuri
k u s e m a k u w a
hawakui ona hi yo
Inaendelea Uk. 3
3
AN-NUUR
DHULQAAD 1435, IJUMAA SEPTEMBA 5-11, 2014
Habari
Kinana aahidi msaada
Inatoka Uk. 1
msaada unaohitajika ili aweze
kutia nguvu yake katika kituo
hicho cha harakati kwa Waislamu.
Awali Mh. Kinana, alifanya
mazungumzo ya kina na viongozi
wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu,
Kinondoni kabla ya kupata swala
ya Al-ASwir, pamoja na Waislamu,
Msikitini hapo kisha kujionea eneo
la Shule iliyoteketea kwa moto.
Akizungumza katika eneo
la Shule lililoungua, alisema
amejitolea kuchukua dhamana ya
kusaidiana na uongozi wa Masjidi
Mtambani pamoja na uongozi wa
Shule ya Mivumoni ili kuhakikisha
vinapatikana vifaa kwa ajili ya
ujenzi wa Shule hiyo.
Mimi nimejitolea kuchukua
dhamana tutakuwa bega kwa bega
katika kusaidiana na Masheikh wa
Masjidi Mtambani, chini ya Imam
wa Msikiti na viongozi wa Shule
ili tuweze kupata vifaa vya ujenzi
na eneo hili lirudi katika hali yake
mapema iwezekanavyo. Alisema
Mh. Kinana.
Mh. Ki nana, akawat aka
Waislamu kuwa na subira na
kujitahidi kadri ya uwezo wao
kuikabili hali hiyo kwa kumuelekea
Mwenyezi Mungu, kwani akasema
kutokana na hali aliyojionea hapo,
bila shaka wanafunzi wanabanana
zaidi katika sehemu wanazosomea
kwa dharura.
Alisema, pamoja na kutolewa
kwa misaada na ahadi, akawataka
wazazi na Wai s l amu kwa
ujumla kuchangia kwa kiwango
watakacho jaaliwa japo kidogo
ili Shule iweze kurudi katika hali
yake ya awali.
Na sisi tutawasaidia kwa
kiwango kikubwa zaidi, kwa
sababu ninahakika, Waislamu
mmoja mmoja uwezo wao utakuwa
ni mdogo sana na utachelewesha
shughuli ya kuhakikisha vijana
wanarudi katika madarasa yao na
kusoma kwa nafasi kama awali.
Alisema Mh. Kinana.
Awali, Mh. Kinana alisema
amefka Msikitini hapo kujionea
mat okeo ya aj al i ya mot o
iliyowapata Waislamu na Waumini
wa Msikiti huo na kuteketeza eneo
lote la Shule, kwa hali ilivyo,
akasema i naonyesha kuwa
gharama za kurudisha hali kama
ilivyokuwa zamani ni kubwa mno.
Kwa maana hiyo akasema,
kuwatembelea na kuona ajali ya
moto peke yake haifai, bali kwa
upande wao ni lazima waweke
mikakati ya kuona namna muafaka
ya kuwasaidia ili kurudisha hali
ya zamani ya Shule hiyo.
Ni me o na g ha r a ma ya
kurudisha hali ya awali ni kubwa
mno mtu mmoj a au kikundi
kimoja au makundi mawili au
hata kumi hayataweza peke yao,
kwa hiyo nawaomba muandae
orodha ya vifaa, vya ujenzi ikiwa
milango, madirisha, mabati, mbao,
na vinginevyo.
Ili tuweze kushirikiana sote
kwa pamoja na wale walio tayari
kusaidia pia tuwatafute ili kila
mmoja aweze kuona atachangia
kifaa kipi kuhakikisha kituo hiki
(Mtambani) na Shule hii vinarudi
katika hali yake. Alisema Mh.
Kinana.
Katibu huyo wa CCM, Taifa
anaongeza idadi ya viongozi wa
Kisiasa waliokwisha fka Msikitini
hapo na kutembelea eneo la Shule
ya Mivumoni, iliyoathirika na kila
mmoja amekuwa akitoa ahadi au
msaada kwa ajili ya kuihuisha
Shule hiyo inayosimamiwa na
Msikiti wa Mtambani.
Pemba yaongoza mtihani wa Dini
Inatoka Uk. 1
(67.57) na Dar es Salaam
(53.12)
Akitangaza matokeo ya
mtihani huo uliofanyika
Agosti 13, 2014, msemaji
wa Islamic Education Panel
Shafii Hussein alisema
kuwa jumla ya shule 2,559
katika mikoa 26 na wilaya
115 za Tanzania bara na
visiwani zilishiriki kufanya
mtihani huo.
Aidha alisema kuwa jumla
ya watahiniwa waliofanya
mtihani huo kwa mwaka
2014 ni wanafunzi 74,192
ambapo wameongezeka
ikilinganishwa na 68,096
wa mwaka jana 2013.
Pamoja na kuongezeka
i dadi ya wat ahi ni wa,
kumekuwa pia na ongezeko
la kiwango cha ufaulu
kutoka wastani wa asilimia
38. 04 (38. 04%) mwaka
2013 hadi asilimia 46.45
mwaka 2014, sambamba na
kuongezeka kwa shule na
wilaya zilizoshiriki.
I kael ezwa kuwa hi i
ni kutokana na kuzidi
kuimarika kwa uratibu wa
ufundishaji wa somo la
Elimu ya Dini ya Kiislamu
na usambazaji wa vitabu
vya kiada kote nchini.
Kuendel ea kupanda
kwa ufaulu wa wanafunzi
kila mwaka, kwa miaka
mitatu mfululizo (2011-
2013) kumewahamasisha
wanafunzi wengi zaidi
kujifunza somo hili na
hati maye kuj i saj i l i na
kuf anya mt i hani huu
kitaifa.
Kwa upande mwingine
imeelezwa kuwa shule ya
Jabal Hira iliyopo wilya ya
Ilemela, mkoani Mwanza
imeshika nafasi ya kwanza
katika shule 10 bora kinchi.
Shule hiyo ina wastani
wa alama 94.96, ikifuatiwa
na Al Hudhaifah Islamic
iliyopo Bukoba Vij ini,
Kagera iliyo na alama 91.59.
Shule nyingine katika
orodha ya kumi bora ni
Ilole, Kilombero, Answar
Ki nondoni , Mumbara
Uvi nza, I bun J azaar
Mkuranga na Kirinjiko
Same.
Nyingine ni Muzdalifah
Korogwe, Wete Islamic na
Kalemane Same.
Kuhusu wanafunzi bora,
wametajwa wanafunzi 19
ambao wote wamepata
al ama 98 huku shul e
ya Jabal Hirah, Ilemela
ikivunja rekodi kwa kuwa
na wanafunzi 15 katika hao
19 waliopata alama 98.
Wa n a f un z i wa n n e
waliosalia wametoka Wete
(3) na mmoja kutoka Al
Hudhaifah, Bukoba.
Wanafunzi kutoka Jbal
Hirah waliopata alama
98 ni ABDALLAH . O.
ABDALLAH, ABDUL
RAHMANI . M. ALLY,
ALMAS . S. ABDUL,
ARQAM .S. SULEIMAN,
HASSAN .S. YAHAYA,
KASSANA .J. RASHID na
MALIKI .M. MHOGO.
Wengine ni MAULID .S.
MILANZI, MOHAMED
.I. MOHAMED, NASRA
. M. AHMED, OMARI
. N . M O H A M E D ,
R A M A D H A N . A .
MAKUWA, RASHID .J.
MASOUD, REHEMA .H.
IBRAHIM na MALIKI .M.
MHOGO.
Wa l e wa We t e n i
LUBNA KHAMIS JUMA,
MARYAM HAS S AN
OMAR na OMAR KHAMIS
OMAR, ambapo yule wa Al
Hudhaifah ni MOHAMED
K MOHAMED.
Kesi ya Ponda apewa Jaji Shangwa
Inatoka Uk. 2
notisi.
Jukumu la anayekata
rufaa ni kuwasilisha notisi
kwa karani wa mahakama,
sasa kama karani amepoteza
au kutoiingiza kwenye file
hilo haliwezi kuwa mzigo
au lawama ya aliyekata
rufaa, kwani yeye wajibu
wake alishautimiza na hana
uwezo wa kuhakikisha kama
imeingizwa au la. Alisema.
Hata hivyo, Jaji Shangwa
alipendekeza rufaa hiyo
iwasilishwe kwa nj ia ya
maandishi na sio mabishano.
Wakat i huo huo, J aj i
Aug us t i n o S h a n g wa ,
amewataka wahusika wa
Mahakama Kuu kutowazuia
waumini wa Kiislamu kuingia
ndani ya mahakama kwani ni
haki yao kusikiliza kesi ya
kiongozi wao inavyoendelea.
U k i w a z u i a
utawapandisha mori na
kitakachotokea hawatakiwi
kul aumi wa, kama mna
was i was i nao, hi l o ni
j ukumu l a mahakama
kuweka mitambo maalum
ya kuwakagua wakat i
wanaingia ndani lakini sio
kuwazuia, hapo mtakuwa
hamuwatendei haki kwani
Sheikhe Ponda ana wafuasi
wengi sana,alisema Jaji
Shangwa.
A l i o n g e z a k u w a
hashangazwi na hiyo nakala
kutokuwepo kwenye file
kwasababu waliomba nakala
ya hukumu ili wakate rufaa,
suala hilo lilichukua miezi
mitano kuitoa nakala hiyo
badala ya siku ya 45.
Alisema kwa miezi sita
ma ha ka ma ya Ki s ut u
ilishindwa kupeleka faili
Mahakama Kuu ili rufaa
isikilizwe.
Kesi hiyo itatajwa tena
Septemba 8 mwaka huu.
4
AN-NUUR
DHULQAAD 1435, IJUMAA SEPTEMBA 5-11, 2014
Habari
MAISHA ya Mwandishi wa habari
Mwingereza, Bw. David Haines,
yapo hatarini baada ya kuchinjwa
mwenzake wa Marekani Steven
Sotlof, Jumatatu wiki hii.
Bw. David Haines, anaonekana
pembeni kabi s a mwa vi deo
iliyoonyesha namna mpganaji wa
ISIS anavyomchinjwa Steven Sotlof
mapema wiki hii.
I t akumbukwa kuwa mwezi
uliopita, Sotlof alionekana mwishoni
katika picha za video zilizoonyesha
mwandishi mwingine wa Marekani,
James Foley, akichinjwa.
Steven Sotlof, ambaye amechinjwa
wiki hii, alionekana pembeni kabisa
mwa picha ya video ya mauaji hayo.
Tayar i I SI S wameshat i shi a
kumwua Haines baada ya kumuua
Sotlof.
Mapema wiki hii wapiganaji
wa ISIS walisambaza picha za
video katika mitandao kwa lengo
la kuonyesha jinsi alivyochinjwa
mwandishi wa habari raia Marekani,
Steven Sotloff, ambaye ni mmoja
wa mateka wanaoshikiliwa na
wapiganaji hao.
Mwandishi Sotlof, mwenye umri
wa miaka 31 alitekwa na wapiganaji
hao tangu August mwaka jana.
Awal i baada ya mauaj i ya
mwandishi wa awali Foley, mama
mzazi wa mwandiashi Sotlof, alitoa
ombi maalumu kwa kiongozi wa
wanajeshi hao, Abu Bakr al-Baghdadi
kutomuua mwanae.
Msemaj i wa Ikulu ya White
House, Josh Earnest, amesema kuwa
maofsa wa Marekani wanaendelea
na uchunguzi wa ripoti hiyo.
Hivi karibuni Marekani ilifanya
mashambulizi ya anga dhidi ya
ISIS nchini Iraq, jambo ambalo
linatafsiriwa kwamba kuuliwa kwa
Sotlof, ni kama kulipa kisasi kwa
marekani.
Wapiganaj i wa kundi la ISIS
Jumatatu wiki hii walisambaza
video katika mtandao wa internet
inayoonesha mwandishi wa habari wa
Marekani Bw. Steven Sotlof, ambaye
ni mmoja wa mateka wanaoshikiliwa
na wapiganaji hao akichinjwa. Ikulu
ya Marekani imesema uhalisi wa
video hiyo utachunguzwa.
Inafahamika kuwa hadi sasa
wapiganaji wa ISIS wanawashikilia
mateka wasiopungua wawili wa
Marekani.
Habari zinasema Rais Barack
Obama wa Marekani ameshaamuru
kutuma wafanyakazi 350 wa mambo
ya kijeshi nchini Iraq, ili kulinda
vifaa na wafanyakazi wa ubalozi wa
Marekani mjini Baghdad.
Naye Rais Francois Hollande
wa Ufaransa amezungumza na
mwenzake wa Iraq Muhammad Fuad,
kwa njia ya simu kuhusu pendekezo
la kuitisha mapema mkutano wa
kimataifa kuhusu usalama wa Iraq.
Katika video hiyo, kabla ya
kutekeleza mauaji hayo mchinjaji
alisikika akisema, Maisha ya raia
huyu wa Marekani, yanategemea
uamuzi wako ujao Obama.
Katika ripoti za mwisho, Sotlof
alikuwa akishikiliwa huko Raqqa,
Syria.
Familia yake ilikuwa ikifahamu
kuwa alikuwa mateka lakini wakati
wakitafuta ushauri, hawakutaka
kuweka hadharani jitihada zao.
Steven Sotloff, alikamatwa na
Baada ya Steven Sotloff ISIS kuchinja mwandishi mwingine
ISIS, na alionekana pembeni katika
picha ya video iliyokuwa ikionyesha
kuchinjwa mwandishi mwingine
James Foley.
Wapiganaji wa ISIS waliahidi
kuwa iwapo Marekani itaendela na
kampeni yake ya mashambulizi ya
mabomu dhidi yao, basi watamuua
na Sotlof.
Sotloff ni mwandishi aliyekuwa
aki fahami ka nchi ni Marekani ,
ambaye alikuwa akifanya kazi katika
jarida la TIME. Pia alifanya kazi
katika vituo vya televisheni vya CNN
na Fox News.
Sotlof ambaye ni kazi wa Miami,
alipotea na kuaminika kuwa alitekwa
na ISIS tangu Agosti 4 huko Aleppo,
Syria.
Sotlof, alituma ujumbe wake wa
mwisho katika mtandao wa tweeter
Agosti 3,2013. Na ujumbe wenyewe
ulizungumzia zaidi juu ya mizozo ya
kidini huko Syria.
Usal ama wa Tai fa Marekani
(National Security Council), ilikuja
juu baada ya kuona kwenye video
tukio la kuchinjwa raia wake James
Foley na ikadai kuwa, baada ya
kuona tukio hilo, inafanya kazi
haraka iwezekanavyo kujua ukweli
wenyewe.
Mwandi s hi mwenzake wa
kimarekani James Foley, ambaye
alichinjwa hivi karibuni, alikamatwa
mateka na wapiganaji hao tangu
mwaka 2012. Tangu wakati huo
hakuonekana hadi katika tukio la
kuuliwa kwenye picha ya YouTube
iliyotolewa na wapiganaji wa ISIS.
Mwandishi David Cawthorne
Haines, mfungwa wa Kiingereza
anayeshikiliwa na ISIS, maisha yake
yapo mashakani.
Anaonekana mwishoni katika
picha ya video ya tukio la kuchinjwa
Steven Sotlof. (heavy.com)
JUMUIYA na Taasisi za Kiislamu
(T) imemwomba Jaji Mkuu wa
Tanzania, Mhe. Mohammed
Chande, kuingilia kati suala la
madai ya watuhumiwa wa ugaidi
kuteswa wakiwa mikononi mwa
vyombo vya dola.
Ombi hilo limetolewa katika
kikao cha Jumuiya za Kiislamu
zipatazo 24, zilizokutana kujadili
madai na tuhuma zilizotolewa
katika Mahakama ya Hakimu
Mkazi Kisutu, mbele ya Hakimu
Mkazi, Hellen Riwa, kakati
kesi dhidi ya watuhumiwa wa
Ugaidi.
Jumuiya hizo zimeeleza
jinsi Kiongozi wa Jumuiya
za Uamsho na Mihadhara ya
Kiislamu Zanzibar, Sheikh
Farid Hadi, alivyoielezea
Mahakama j i nsi wal i vyo
dhalilishwa wakiwa mikononi
mwa vyombo vya dola.
Akiwa Mahakamani hapo,
mbele ya Hakimu Riwa, Sheikh
Farid, alidai walipigwa wakati
waki hoj i wa na kusabi sha
baadhi yao kukojoa damu,
sambamba na kuchukuliwa
maelezo wakiwa uchi wa
mnyama na baadhi yao
kulawitiwa.
J umui ya na Taas i s i za
Kiislamu, inakuomba kwa mujibu
wa Katiba uliyoapishwa kuilinda,
kuwafikisha katika vyombo
vya Sheria wote waliohusika ili
Jaji Mkuu aombwa kuingilia kati utesaji wa watuhumiwa
Na Bakari Mwakangwale
kuendelea kulinda na kudumisha
amani iliyopo hapa nchini na vile
vile kuona hatua zinachukuliwa
pi ndi haki mu anapopati wa
malalamiko. Imesema barua
hiyo yenye Kumbukumbu namba
JUTKT/JMK/29/08/14.
Barua hiyo ambayo nakala yake
imetumwa kwa Rais wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania,
imesema kuwa watuhumiwa hao
waliiomba Mahakama haki yao ya
kikatiba ya kwenda kutibiwa,
lakini badala yake Mahakama
iliamuru watuhumiwa kwenda
kuchukuliwa maelezo zaidi,
kitendo ambacho Jumuiya hizo
zimekieleza kuwa ni uvunjaji
wa katiba ya nchi na ukiukaji
wa haki za binaadamu na
upotezaji wa ushahidi.
Barua hiyo imedai kwamba
Katiba inakataza watuhumiwa
kuf anyi wa vi t endo vya
kinyama hata kama watakuwa
wamepatikana na hatia, na
kuwa matendo waliyofanyiwa
watuhumiwa ni zaidi ya ukatili
dhidi ya binaadamu.
Ajabu, Mahakama licha
ya kupokea malalamiko hayo
ikashindwa kuchukua hatua
yeyote na kuleta tafsiri kuwa
Mahakama ama iliyapuuza
mal al ami ko au i meri dhi a
watuhumiwa kufanyiwa ukatili
huo wa kutisha.
I me s e ma b a r ua hi y o
iliyosainiwa na Naibu Katibu
Mkuu wake, Sheikh Rajabu
Katimba, kwa niaba ya Jumuiya
hizo.
Barua hiyo imenukuu Katiba,
Ibara ya 13 K/f 3, inayoelezea
Haki za Raia kwamba inaeleza
wajibu na maslahi ya kila mtu na
jumuiya ya watu kuwa yatalindwa
na kuamuliwa na Mahakama na
vyombo vingine vya Mahakama
ya Nchi vilivyowekwa na Sheria
au kwa mujibu wa Sheria.
Pia ikaeleza kwamba katika
Ibara ya 13 K/f 4. Katiba inasema
Ni marufuku kwa mtu yeyote
kubaguliwa na mtu au mamlaka
yeyote inayotekeleza madaraka
yake chini ya Sheria yeyote au
katika utekelezaji wa kazi au
shughuli yeyote ya Mamlaka
na Nchi.
Wakati huo huo, Jumuiya
hizo zimeomba kukutana
na Waziri wa Nchi Ofisi ya
Rais (Mahusiano na Uratibu),
Mhe. Stephen Wasira (MB) ili
kuzungumzia dosari katika
kudumisha na kulinda amani
ya nchi.
Naibu Katibu Mkuu wa
Jumuiya hiyo, Sheikh Rajabu
Katimba, amesema, tayari
wameshamwandikia barua Mh.
Wasira, kuomba kuonana naye,
kwani alisema kutokana na hali
ilivyo sasa, jamii ya Kiislamu
inahitaji kushirikishwa katika
mustakabali wa kudumisha
amani na Utulivu ya Nchi.
Jumuiya na Taasisi za Kiislamu
Tanzania ni Jumuisho la Taasisi
mbalimbali za Dini ya Kiislamu
zilizopata usajili wa kudumu hapa
nchini.
Picha ya video iliyoonyesha Mwandishi Steven Sotlof akichinjwa.
5
AN-NUUR
DHULQAAD 1435, IJUMAA SEPTEMBA 5-11, 2014
Habari
JESHI la Jamhuri ya Kiislamu ya
Iran wiki iliyopita, lilionyesha
kombora la masafa marefu
linalojumuisha mfumo wa kirada
la Bovar 373, ambalo litaziba
pengo la mfumo wa kujihami wa
kombora la S. 300.
Hii ni mara ya kwanza kwa
jeshi la Iran kuonyesha mfumo
wa kombora hilo la masafa marefu
unaoshabihiana na kombora la S.
300 la Urusi, suala ambalo linatoa
ujumbe kwa ulimwengu juu ya
kujitosheleza na uwezo mkubwa
wa kijeshi Jamhuri ya Kiislamu
ya Iran.
Katika siku za nyuma, Moscow
ilikuwa imegoma kuiuzia Tehran
mfumo huo wa makombora,
ambapo bila ya kuwategemea
wageni, wataalamu wa masuala
ya kijeshi nchini humo wameweza
kuunda mfumo huo ambao
unaelezwa kuwa ni sawa na ule
ule wa Urusi.
Awali Jamhuri ya Kiislamu ya
Iran iliwekeana makubaliano ya
ununuzi na kukabidhiwa Iran
mfumo huo wa makombora wa S.
300 na Moscow mwaka 2007, lakini
dola za Magharibi ziliishinikiza
Urusi kutotekeleza makubaliano
hayo, ambapo hadi sasa Wizara
ya Ulinzi ya Iran bado inafuatilia
kadhia hiyo kimataifa.
Taar i f a zi nas e ma kuwa
tangu wakati huo, wataalamu
wa masuala ya kijeshi katika
Wizara ya Ulinzi ya Iran, walianza
kutekeleza ujenzi wa mfumo huo
Iran yaunda kombora la kuziba la S. 300
wa kujihami kwa kushirikiana na
baadhi ya taasisi za kielimu na
kijamii nchini humo na hatimaye
kufanikisha suala hilo.
Mfumo wa kombora la S. 300
unahesabika kuwa bora zaidi
duni ani kat i ka masual a ya
anga, achilia mbali uwezo wake
mkubwa wa kushambulia kwa
makombora ya balistiki huku
ukiwa umeundwa kwa mfumo
kamili wa rada.
I r an pi a i met ambul i s ha
makombora yake mapya ya anga
(new surface-to-air ) na rada
mifumo miwili ya rada (two
radar systems). Makombora hayo
yanaitwa Talash-3 (Endeavor-3).
M a k o m b o r a h a y o
yameelezwakuwa yana uwezo
wa kudungua chombo cha adui
kwa umbali mrefu.
Hivi karibuni Mkuu wa Ulinzi
wa Anga Nchini Brig. Gen. Farzad
Esmaili, alisema katika hafa ya
kubainisha makombora ya mfumo
wa ulinzi kwamba kombora la
Talash-3 lilifanyiwa majaribio hivi
karibuni. Hata hivyo hakusema
linakwenda umbali gani.
Jenerali Esmaili pia alibainisha
mifumo miwili ya rada - Arash-2,
ambayo ina uwezo wa kutambua
ndege ndogo isiyo na rubani
(drone) kwa umbali wa kilometa
150 (93 miles), na pia Kayhan
imedaiwakuwa na uwezo wa
kutambua kombora (missile) na
Drone. (irib.ir)
BARAZA la Haki za Binadamu
la Umoja wa Mataifa limepitisha
kwa kauli moja uamuzi wa
kutuma timu ya wachunguzi
kufuatilia jinai za kundi la Daesh
Kaskazini mwa Iraq.
Baraza hilo limefikia uamuzi
huo baada ya kusikiliza ushahidi
wa jinai za kundi hilo linalojiita
Dola la Kiislamu.
Waziri wa Haki za Binadamu wa
UN kuchunguza jinai za Daesh Iraq
Iraq, Mohammed Shia al-Sudani,
ameliambia baraza hilo kwamba,
kundi la Daesh limetekeleza
unyama wa kupindukia dhidi
ya raia wasio na hatia, ikiwa ni
pamoja na ubakaji, mauaji ya
kikatili pamoja na kupora mali
za watu.
Al-Sudani alisema yaliyofanywa
na kundi hilo hadi sasa, yanaweza
kufananishwa na mauaj i ya
kimbari na hapana shaka kwamba
uhalifu huo umefkia kiwango cha
kuitwa jinai dhidi ya binadamu
kwa mujibu wa sheria za kimataifa.
Baraza hilo la UN pia limepitisha
azimio linalolaani jinai za Daesh
na ripoti ya wachunguzi huenda
ikatumika kama ushahidi dhidi ya
wapiganaji wa kundi hilo kwenye
vyombo vya sheria vya kimataifa
katika siku za usoni. (irib.ir)
Kombora la masafa marefu linalojumuisha mfumo wa kirada la Bovar
373 lililoundwa na Iran.
RAIS Uhuru Kenyata wa Kenya
Jumatatu ya wiki hii alizindua
zoezi la kung'amua wafanyakazi
hewa katika sekta ya utumishi wa
umma, lakini akisisitiza kuwa
zoezi hilo halilengi kumfuta kazi
yeyote.
Rais Kenyata alizindua zoezi
hilo Ikulu ya Mombasa na kusema
kuwa lengo kuu ni kuhakikisha
Wakenya wanapata huduma bora
wanazohitaji.
Zoezi linaanza kwa kunakili
maelezo ya watumishi wote wa
umma kupitia kwa kusajili majina
ya wafanyakazi wote wa umma
kwa njia ya kielektroniki.
Alisema kwa kupitia usajili
wa kielektroniki wa wafanyakazi
wote wa umma, kuna matumaini
kuwa katika muda mfupi serikali
i tafani ki wa kumal i za sual a
la wafanyakazi bandia katika
sekta ya utumishi wa umma na
kuhakikisha usimamizi bora wa
rasilimali za taifa.
Wafanyakazi watahitajika
kuwasilisha vitambulisho vyao,
fomu zenye takwimu zote za
kieletroniki na vyeti halisi vya
kumalizia masomo. Pia watapaswa
kuwasilisha barua za uteuzi wao
wa awali na wa sasa, nakala
ya malipo ya mshahara ya hivi
karibuni, na cheti cha kuzaliwa,
alisema Waziri wa Ugatuzi na
Mipango, Anne Waiguru, kwa
mujibu wa gazeti la Daily Nation
la Kenya.
Rais Kenyatta alisema kuwa
suala la wafanyakazi bandia
limekuwa tatizo kwa serikali
na amewataka watumishi wote
kushiriki kikamilifu katika usajili
ili kulikamilisha kwa haraka zoezi
hilo.
Shughuli hiyo ya kusajili majina
ya wafanyakazi wa umma kwa
njia ya elektroniki itaendeshwa
katika Wizara zote 18 na Idara za
serikali kote nchini humo. Serikali
kuu inatarajiwa kukamilisha
hisabu hiyo kufikia tarehe 13
Septemba, na serikali za kaunti
kufkia tarehe 23 Septemba.
Kenya hupoteza kiasi cha
shilingi bilioni 1.8 (dola milioni
20.3) kwa mwaka kutokana na
mishahara ya wafanyakazi hewa.
(Sabahionline)
Kenya yazindua
mpango kunasa
wafanyakazi hewa
MAHAKAMA Kuu ya Kenya
iliamuru kucheleweshwa
marejeo ya uandikishaji kazi
ya upolisi yaliyopangwa
kuanza Septemba1, kungojea
kesi inayopinga kufanyika
kwa zoezi hilo kwenye vituo
36 nchini kote, limeripoti
gazeti la The Standard la
Kenya mwishoni mwa wiki.
"Mafunzo yaliyopangwa
Septemba 1 sasa yanasitishwa
hadi nisikilize na niamue juu
ya maombi haya yanayongoja
uamuzi mahakamani," alisema
Jaji Isaac Lenaola katika uamuzi
wake.
Awali Jaji Lenaola, aliiagiza
Kamisheni ya Huduma za Polisi
(NPSC), ambayo iliamuru
mafunzo ya ngazi za chini
na Mamlaka ya Usimamizi
wa Polisi (IPOA), ambayo
ilitaka kufutwa kwa mchakato
mzima wa mafunzo, kufikia
makubaliano nje ya mahakama
jambo ambalo walishindwa
kulifanya.
Hi vi kari bi ni uaj i ri wa
maafsa wapya 10,000 wa polisi
uliingia dosari kutokana na
kuwepo tuhuma za ufisadi
katika zoezi la usaili.
Baada ya kutokea dosari
hiyo, NPSC ilisema kuwa
kwa kupitia uchunguzi wake
ulioufanywa kupitia kamati
inayojumuisha vyombo kadhaa
vya usalama, kulikuwa na
vituo 36 tu ambavyo vinastahili
usaili wake kurejewa upya.
Hata hivyo kutokana na dosari
hiyo, IPOA iliona kwamba
zoezi zima lilichafuliwa na
kwamba, uchunguzi wa NPSC
unawakilisha mgongano wa
kimaslahi. (sabahionline)
Mahakama Kenya
yachelewesha
uandikishaji polisi
6
AN-NUUR
DHULQAAD 1435, IJUMAA SEPTEMBA 5-11, 2014
Habari
GAZETI la Independent la
nchini Uingereza limefchua
mpango unaoandaliwa na
Saudi Arabia wa kubomoa
kaburi la Mtume Muhammad
(s.a.w) lililoko Masjid al-
Nabawi mjini Madina.
Kwa muj i bu wa ri pot i
iliyochapishwa na gazeti hilo
ni kwamba, msomi wa Saudi
Arabia ametoa pendekezo la
kubomolewa kaburi la Mtume
na mabaki yake kuzikwa upya
kwa siri katika makaburi ya
al-Baqi.
Ripoti hiyo pia inafichua
kwamba, msomi huyo wa
amependekeza kuharibiwa
v y u mb a v i l i v y o k u wa
vi ki t umi wa na wat u wa
nyumba ya Mtume (s.a.w)
yaani Ahl ul Bayt ( a. s ) ,
sambamba na kuvunjwa Kuba
ya Kijani ambayo ndiyo nembo
ya Msikiti wa Mtume (s.a.w).
Kwa sasa duru za karibu na
Ufalme wa Saudia zinaarifu
kuwa, pendekezo la msomi
huyo linajadiliwa na kwamba
kuna uwezekano mkubwa
likawasilishwa kwa Mfalme
Abdullah kwa ajili ya maamuzi
ya mwisho.
I wa p o mp a n g o h u o
ut af anyi ka, i nat ar aj i wa
kuamsha hasira za Waislamu
duniani kote, kwani waumini
wengi huenda mara kwa mara
kufanya ziara kwenye kaburi
la Mtume Mtukufu pamoja na
kufanya ibada katika Masjid al-
Nabawi; eneo ambalo ni la pili
kwa utukufu baada ya Masjid
al-Haram mjini Makka.
Mt u me Mu h a mma d ,
ambaye alizaliwa mwaka 570
AD, anaaminiwa na Waislamu
kuwa ndiye Mtume wa mwisho
kutumwa na Mwenyezi Mungu
kwa watu na kuwaletea ujumbe
wa mwisho wa dini.
Kaburi lake lililopo katika
mji wa Madina, Saudi Arabia,
limekuwa likitembelewa na
mamilioni ya Waislamu kila
mwaka na linaonekana kuwa
ni eneo muhimu kwa utukufu
baada ya Kaaba ya Makka.
Hata hivyo imeshangaza
kusikia wiki hii kwamba
msomi wa Saudia ametoa
mipango ya kutaka kaburi la
Mtume (saw) katika Msikiti
wa Madina kuhamishwa, kwa
sababu ya kile walichokiita
wasomi hao kuwa ni hofu yao
kuwa eneo hilo linasababisha
imani za shiriki.
Kwa mujibu wa gazeti la
Saudia kubomoa kaburi la Mtume Muhammad (s.a.w)?
Na Richard Spillet, MailOnline
MSIKITI wa Mtume Madina
Independent, Uk. wa 61, waraka
t ayari umeshasambazwa
miongoni mwa wasimamizi wa
eneo hilo tukufu, ukipendekeza
kuwa kaburi na mabaki ya
mwili wa Mtume yanatakiwa
kuhamishiwa katika eneo la
jirani la makaburi ya al-Baqi,
ambako watu wataingia kwa
masharti.
Wa na t a ka kuwa z ui a
Mahujaji kufika na kuabudu
ma k a b u r i k wa s a b a b u
wanaamini kuwa kufanya
hivyo ni shirk. Alilieleza Dk.
Irfan al-Alawi, Mkurugenzi
wa Islamic Heritage Research
Foundation, katika gazeti hilo.
Lakini njia pekee ya kuzuia
watu kumzuru Mtume (saw)
ni kuondoa kaburi lake pale
na kulihamisha katika eneo la
makaburi.aliongeza.
Katika Uislamu, Shirk ni
kuabudu kitu au watukufu,
jambo ambalo limekatazwa
katika imani hiyo.
Bado hakuna mael ezo
kama Mf al me wa Saudi
Arabia, Abdullah, ambaye
ndiye msimamizi wa maeneo
mat ukuf u, wal a hakuna
mlinzi wa al-Masjid al-Nabawi
ambako ndiko lilipo kaburi la
Mtume, kama wamekubaliana
na pendekezo hilo la wasomi
wa Saudia.
Hata hivyo siku za hivi
karibuni, Serikali ya Saudia
ilisisitiza kuwa inashughulikia
ma e nde l e o ya ma e ne o
mat ukuf u kwa umaki ni
mkubwa.
Inahofwa kwamba mpango
wowote wa kuhamisha kaburi
la Mtume unaweza kuibua
hasira kubwa ya Waislamu
katika Mashariki ya Kati na
dunia kwa ujumla.
Aidha kuna hofu kwamba
kuj i t okeza kwa mi pango
hi yo ambayo i nadhani wa
kuwa inaletwa na wanaoitwa
wanaharakati wa mabadiliko,
kunaweza kuwagawa zaidi
Waislamu wa madhehebu yote.
Dk . Al a wi a l i l i e l e z a
Independent: 'Kaburi la Mtume
Muhammad l i nat ukuzwa
zaidi na Waislamu Sunni,
ambao hawatapata nafasi ya
kufanya hivyo tena. Ni sawa
tu na kama ilivyo muhimu kwa
kwa Waislamu Shia, ambao
wanamtukuza zaidi Fatima,
binti wa Mtume (saw).
'Nina hakika kutakuwa na
mshtuko kwa Waislamu wote
duniani kuhusu jambo hili
kama litatekelezwa. Linaweza
kusababisha vurugu.
Vurugu za Iraq na kuibuka
kwa kundi la ISIS, au Islamic
St at e, kundo hi l o t ayari
limesababisha mvutano kati
ya Suni na Shia katika ukanda
huo.
Kaburi la Mtume Muhammad
(saw) limeonekana kama eneo
la pili kwa umuhimu zaidi kwa
Waislamu baada ya Kaaba jijini
Makka, Saudi Arabia.
Kaaba ambayo inaelezwa
kuwa imejengwa na Nabii
Ibrahim, ipo katikati ya Masjid
al-Haram ambako ndio uelekeo
wa Waislamu wanaposwali.
Ni wajibu wa dini kwa wale
wanaofuata imani kuzuru
Kaaba angalao mara moja kwa
mwaka kwa kipindi chote cha
maisha ya muumini.
Mami l i oni ya mahuj aj i
hukusanyi ka kuzunguka
msikiti wa Makka wakati wa
Hija.
Shura ya Maimamu Tanzania inawatangazia
Waislamu wote kuhudhuria katika Itkaf kubwa
itakayofanyika Jumapili tarehe 7/09/2014 katika
Masjid Tungi, Temeke Jijini Dar es Salaam.
Ewe Muislamu njoo tujikurubishe kwa Allah
(s.w) na tarehe 8/9/2014 itakuwa kesi ya
Jemedari Sheikh Issa Ponda katika Mahakama
Kuu Dar es Salaam.
Tujitokeze kwa wingi
AMIR
ITKAF
Itkaf kubwa Tungi
7
AN-NUUR
DHULQAAD 1435, IJUMAA SEPTEMBA 5-11, 2014 Makala
SHUKRANI zote anastahiki
mwenyezi Mungu, Mola wa
ulimwengu na mwisho mwema
ni kwa wamchao mwenyezi
Mungu na hapana apasaye
kuabudiwa kwa haki isipokuwa
mwenyezi Mungu, Mola wa
ulimwengu na ninashuhudia
kuwa Nabii Muhammad ni
mja wa mwenyezi Mungu na
ni Mtume wake na rehema na
amani zimfkie yeye na jamaa
zake na Sahaba zake. Ama
baada ya utangulizi huu mfupi,
Haki ka ya mwanamke
katika kivuli cha Uislamu,
kimemuweka katika sehemu
nzuri na daraja la juu na akawa
ana haki za kudumu. Hawezi
hata mtu mmoja kupunguza
chochote kati yake. Uislamu
ulipokuja, umempa mwanamke
haki nyingi ambazo hajapata
kuzipata mwanamke yeyote
kabla ya Uislamu kwa sehemu
yeyote ulimwenguni. Na hii
imefahamika baada ya kuwa
akinyanyasika wakati wa ujahili.
Tangu hapo ikawa zikawa
zinatanuka kitabia katika jamii
na kimaisha bila ya kuzizuia
na kuzidhibiti kwa misingi ya
imani ya Uislamu.
Uislamu umedhamini kwa
mwanamke haki ya kuishi na
umekataza juu ya kumfanyia
fujo ambazo alikuwa akifanyiwa
wakati wa ujahili. Na zote ni
zile za kuwafukia watoto wa
kike wakiwa hai na Uislamu
ukampa mwanamke haki
zilizomuinua daraja na mambo
yake na ukamfanya ni ngome ya
mwanaume. Akafaradhishwa
yaleyale aliyofaradhishwa
mwanamume na akawekewe
malipo na thawabu juu ya
matendo yake, mfano wa
mwanamke.
Kwa haki ka ni uwazi
usiopingika katika Qurani
tukufu na katika hadithi sharifu
za Mtume [saw] ni ule usawa
uliotimia kati ya mwanaume na
Haki za mwanamke na uharamu wa kuwapora wanawake na kuwaoa kwa nguvu
mwanamke katika yanayohusu
ibada na wajibu mbalimbali wa
dini.
Akaf aradhi shwa i bada
kama al i vyof aradhi shwa
mwanamume, swala ni zile zile,
zaka ni kiwango kile kile, hija
ni ile ile mara moja katika umri
na funga ni ile ile, isipokuwa
katika wakati wa hedhi na
nifasi. Naye atapata malipo
yale yale na thawabu ni zile
zile. Imekuja katika aya tukufu
(na watakaofanya vitendo
vizuri wakiwa wanaume au
wanawake hali wao ni waumini,
basi hao wataingia peponi wala
hawatadhulimiwa hata tunda
ya kokwa ya tende) Nisaa aya
ya 124.
Haki ya kuchagua mume.
Miongoni mwa uzuri wa
sheria ya dini hii iliyonyooka
ni kule kumtukuza mwanamke
na kumuhami na kumfanyia
ihsani, tofauti na ilivyokuwa
zama za ujinga wa mwanzoni
wa kufukia watoto wa kike
wakiwa hai na kumnyima
mi r a t hi mwa na mke na
kumuo na ka ma mz i go
uliopotea. Ikaja dini hii yenye
hukumu na maslahi yake.
Amesema mwenyezi Mungu
mtukufu (wanawake wanayo
haki kisharia kufanyiwa na
waume zao kama ile haki iliyo
juu yao kuwafanyia waume
zao) Sehemu ya aya ya (228)
Surat albaqarat.
Na hakuna ujanja juu ya
hilo kwani mwanamke huyu
ndiye msingi wa jamii, pale
anapokuwa yeye ni mama
aliye mpole na mke mwema
na dada bora na kutokana na
kuwa yeye ni shule ya uhakika,
ambayo wanafaulu mashujaa
mbalimbali, kulea kizazi hadi
kizazi, hivyo yeye ni kiungo
cha uhakika ambacho chenye
uwezo wa kuitengeneza jamii
au kuharibu.
U i s l a m u u m e m p a
mwanamke haki ya kuchagua
mume na ndoa haitakubalika
kama litakosekana hilo na
kukubali kwakwe. Pia Uislamu
umefanya kukubali mwanamke
ni sharti katika kukubalika
n d o a , n a u me wa z u i a
ki nababa kuwal azi mi sha
mabinti zao juu ya kuolewa
na watu wasiowapenda, na
umewawaj ibisha Uislamu
wazazi kuheshimu maoni
ya wanawake na kuwasaidia
kat i ka kuchagua mume
anayefaa.
Basi kwa baba kutokana
na uzoefu wake, anaweza
kutazama masl ahi kati ka
kuchagua mume na s i o
amuathiri juu ya kuridhia
kwake pale aliposema Mtume
[saw] kwa yale yaliyopokelewa
na Imamu Bukhari na Muslim
na Abuu Huraira (Haolewi
mwanamke mkubwa hadi
ihiyarishwe, na mwanamke
mdogo (bikra) hadi ashauriwe),
wakasema ewe Mtume, ruhusa
yake ni vipi? Akasema ni kule
kunyamaza) . Amei pokea
Buhari
Na amepokea Mus l i m
toka kwa bin Abbas [r. a]
amesema: Amesema Mtume
[saw] (mwanamke mkubwa
anajimiliki mwenyewe badala
ya baba yake na mwanamke
modogo (bikra) hutakiwa
idhini yake yeye mwenyewe
na ruhusa yake ni kunyamaza).
Toka kwa ibnu Abbas huyo
huyo kuwa kuna binti mdogo
(bikra) alikuja kwa Mtume
[saw] akasema: Kwa hakika
baba yangu ameniozesha mtu
nisiyempenda (yaani kwa
nguvu). Hivyo akaivunja ndoa
hiyo Mtume [saw]. Ameipokea
Tirmidhi na ibnu Majah na
ameisahihisha Aliban.
Na kwa kupitia dalili hizi
za Qurani tukufu na hadithi
tukufu za Mtume inabainika
kwa kila mwenye akili kwa
kumlazimisha mwanamke juu
ya ndoa kwa mtu asiye mtaka,
yaani asiyempenda au kumteka
na kumlazimisha kumuoa bila
ya kuchunga haki yake ya
msingi. Hii huchukuliwa ni
kosa la jinai na kumdhalilisha
kijinsia na kimaumbile pia.
Na ni kuvunj a rai yake
ambayo Uislamu umempa na
kuizingatia kuwa ni sehemu
ya kumjali na kumtunza baada
ya kudhalilishwa kwa muda
mrefu wa kijahilia na hata hizi
zama zetu pia.
Hapana shaka kupuuza
jambo hili huleta athari kubwa
ya uvunjika nyumba (ndoa)
ya Mui sl amu na kuacha
kuendelea na maisha ya mke na
mume na mno mno hupelekea
kushindikana kuishi mume na
mke kwa mapenzi ya huruma
na kusaidiana kwa upole na
kuzoeana. Mwenyezi Mungu
mtukufu ameyataja hayo katika
aya zake zinazojulisha juu
ya umoja wake wa Uungu,
ukamilifu wa utukufu na
ukubwa wake, na kuyafanya
anayotaka na ukuu wa uwezo
wake na uzuri wa uumbaji
wake, na ajabu ya viumbe wake
na miujiza na mambo yake
yasiyo ya kawaida na upana
wa rehema zake na ihsani zake.
A m e t a j a k w a m b a
amewaumbi a waj a wake
wake wanaokubal i ana
na maumbile mbalimbali,
wanaovutia kwa mapenzi ili
ipatikane starehe na ladha
(utamu) na manufaa na utulivu.
Amesema mwenyezi Mungu
mtukufu (na katika ishara zake
za kuonyesha ihsani zake juu
yenu ni kuwa amekuumbieni
wake zenu katika jinsi yenu
ili mpate utulivu kwao, naye
amejaalia mapenzi na huruma
baina yenu, bila shaka katika
haya zimo ishara kwa watu
wanaofkiri) Surat Rrum, aya
ya (21).
Mwi s ho wa dua zet u
ni kusema kila sifa nj ema
anastahiki mwenyezi Mungu,
Mola wa ulimwengu na rehema
na amani zi mf i ki e Nabi i
Muhamad na Sahaba zake na
jamaa zake wote.
Makala hii imeandikwa na
Dk. Akili Mohamed Akili.
Dk. Akili Mohamed Akili.
8
AN-NUUR
DHULQAAD 1435, IJUMAA SEPTEMBA 5-11, 2014
Makala
MAPEMA wiki hii msomaji
mmoja alinitumia ujumbe mfupi
wa maneno kupitia simu ya
mkononi akisema:
Rear admiral wa j eshi la
Marekani amesema kwamba
wamefanya mashambulizi makali
dhidi ya al Shabab nchini Somalia.
Pambano ni kali kati ya ushirika
wa Amerika, Ethiopia, Kenya,
Burundi, Uganda, Senegal, Hizbu
Islam, Ahlu Sunnal na TFG (yaani
j eshi la serikali-Transi ti onal
Federal Government) wote kwa
pamoja wanapambana vikali na
al Shabab.
Anayosema hapa ni kutokana
na taarifa iliyotolewa na msemaji
wa Wizara ya Ulinzi ya Marekani
(U.S. Department of Defense-
Pentagon), Rear Admiral John
Kirby.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo,
j eshi l a Marekani l i l i f anya
mashambulizi dhidi ya al Shabab
siku ya Jumatatu na kwamba bado
Pentagon ilikuwa ikitathmini
matokeo ya mashambulizi hayo.
Likisherehesha taarifa hizo,
Shirika la Habari la Reuters,
likasema kuwa al Shabab ni
magaidi wa Kiislamu wenye
kuhusiana na al Qaida. Pigia
mstari neno magaidi.
Sifahamu kwa nini msomaji
huyu alinitumia ujumbe huu,
lakini unaweza kuhisi kuwa
pengine ni kutaka kuonyesha
ushabab, ujasiri na ushujaa
wa al Shabab kiasi kwamba
wanaweza kukabiliana na alioita
ushirika wa Amerika, Ethiopia,
Kenya, Burundi, Uganda, Senegal,
Mkutano wa Marais
Nairobi uwe wa kheri
Tumwone adui sio boya al Shabab
Vijana maadhura wanahitaji nasaha
Operation Condor iwe mawaidha tosha
Na Omar Msangi
MARIA Claudia Falcone.
Hizbu Islam, Ahlu Sunnal na TFG,
wote kwa pamoja wanapambana
vikali na (Mujahidina) al Shabab.
Ni mesema pi gi a msi t ar i
maneno, wanapambana na
magaidi. Mei 2001 akiwa safarini
Paris, Ufaransa, aliyekuwa Waziri
wa Mambo ya Nje Marekani, Henry
Kissinger, alijikuta akikabidhiwa
hati ya kuitwa mbele ya vyombo
vya sheria- Palais de Justice, Paris
ili kujibu tuhuma za kuhusika
kwake katika utesaji, mauwaji
na uharamia mwingi uliofanyika
katika Operation Condor. Asubuhi
yake Kissinger alikuwa katika
ndege akirejea Marekani. Ilibidi
akatize safari.
Maria Claudia Falcone, wakati
huo akiwa na umri wa miaka 16,
alikuwa mmoja wa wanafunzi
10 wa sekondari waliotekwa
wakafichwa, wakateswa, na
baadhi yao kuuliwa. Ilikuwa ni
tarehe 17 Septemba 1976 ambapo
watu waliofunika nyuso zao
walivamia nyumba kadhaa katika
mji wa La Plata karibu na jiji
la Buenos Aires, na kuwateka
wanafunzi hao na kuwapeleka
katika kambi za mateso (clandestine
detention centres). Sita kati yao,
hawakuonekana tena. Maria
Claudia Falcone, ni katika wale
wanne ambao wapo hai.
"We were taken to a clandestine
detention centre called Arana, in La
Plata, where we were made to sufer
the worst conditions a human being
can bear. They tortured us with
profound sadism. I remember being
naked. I was just a fragile small girl of
about 1.5m and weighed about 47kg,
and I was beaten senseless by what I
judged was a huge man"
Hayo ni maelezo ya msichana
Maria Claudia Falcone akielezea
Inaendelea Uk. 9
Inaendelea Uk. 9
AKI ZUNGUMZA ka t i ka
mkutano wa wakuu wa nchi za
Baraza la Amani na Usalama
la Umoja wa Afrika (AU),
uliofanyika Nairobi, Kenya,
Mheshimiwa Rais Jakaya Mrisho
Kikwete alisema kuwa moja ya
mambo yanayolea ugaidi ni sera
za kidhalimu.
Akifafanua alisema kuwa iwapo
kutakuwa na sera za kiuchumi
zinazowabagua na kuwadhulumu
wengi, hapana shaka kabisa watu
hao watatumia fujo kudai haki
zao na hivyo kuzaa vitendo vya
kigaidi.
Katika jitihada za kukabiliana
na tatizo hili (la ugaidi), ni lazima
tutafute kiini hasaMataifa ni
lazima yabuni na kutunga sera
zenye masilahi kwa watu, sera
ambazo hazimbagui yeyote kwa
sababu ya kabila lake, dini yake,
wilaya au mkoa atokako (na kwa
maana hiyo hiyo nchi atokako).
Amenukuliwa Mheshimiwa
Kikwete akisema na kuongeza
akisema kuwa:
Ni lazima tuwe na sera ambazo
kila mwananchi ana haki ya
kupata huduma za msingi za
kijamii na kiuchumi na kupata
mgawo wao wa haki katika keki
ya Taifa.
Laki ni Mheshi mi wa Rai s
Kikwete akasema pia kuwa
wakati mwingine, ugaidi unaweza
Amesema kweli Rais Kikwete
huenda ugaidi unapandikizwa
Kosa letu kudai Zanzibar huru-Sheikh Farid
Tanzania hakuna ugaidi, tusiombe balaa hilo
RAIS Jakaya Mrisho Kikwete.
SHEIKH Farid Hadd
usitokane na mazingira ya ndani
ya nchi, bali wa kuingizwa kutoka
nje.
Pr of esa Noam Chomsky
a me a ndi ka ki t a bu c ha ke
alichokipa jina, Hegemony or
Survival: Americas Quest for Global
Dominance (Novemba 2004). Ndani
ya kitabu hicho kuna maelezo na
uchambuzi juu ya kile mwandishi
alichokiita: Us Imperial Grand
Strategy. Humo utakutana na
mipango na harakati za Marekani
za kut aka kuki t a makucha
yake katika nchi mbalimbali,
kuzidhibiti ili kupata fursa ya
kupora mali. Humo utakutana
na zile Operation Northwoodsna
Operation Mongoose.
Uk i s o ma k wa ma k i n i
yaliyokuwa yakifanyika chini ya
operasheni hizo, utakubaliana
na Mheshimiwa Rais Jakaya
Mrisho Kikwete kwamba, kwanza
dhulma huzaa ugaidi na pili
(wakati mwingine) ugaidi ni wa
kupandikizwa. Mbili hizo, ni
operesheni ambazo zilifanyika
kat i ka nchi za Ameri ka ya
Kusini, ambapo ulipandikizwa
ugaidi na ulifanyika ugaidi
wa kupanga, kama mbinu za
kusambaza makucha ya mabeberu
kuwadhi bi t i wananchi wa
nchi hizo na hasa makundi ya
wapigania haki za wazalendo,
Jorge Rafael Videla
9
AN-NUUR
DHULQAAD 1435, IJUMAA SEPTEMBA 5-11, 2014
Makala
Inatoka Uk. 8
walivyokuwa wakiteswa mateso
ambayo anas e ma hakuna
binadamu anayeweza kuyahimili.
Tukio hili la kutekwa na kuuliwa
vijana wa shule, ni tone tu katika
matukio mengi yaliyopelekea
kupotea au kuuliwa zaidi ya
watu 30,000 katika Agentina
yakifanywa na vyombo vya dola
kwa anuwani ya kupambana na
magaidi.
Kwa muj ibu wa taarifa ya
Tume ya Uchunguzi ya mwaka
1984 (Commission Against the
Disappearance of Persons (Conadep),
watu waliopotea au kuteswa na
vyombo vya dola walikuwepo
mpaka watoto wa miaka 13.
Katika ujumla wake hii ilikuwa
ni kutekeleza kile kilichojulikana
kama Operation Condor , ambayo
ilifanya kazi katika nchi za
Argent i na, Bol i vi a, Brazi l ,
Chile, Uruguay na Paraguay,
toka miaka ya 1970s hadi 1980s.
Inakisiwa kuwa zaidi ya watu
80,000 waliangamizwa, baadhi
wakijulikana wazi kuuliwa na maiti
zao kupatikana wakati wengine
walipotea na hawajulikani mpaka
leo walikozamishwa.
Kazi hii ya kuangamiza watu
zaidi ya 80,000 kwa kisingizio
cha kupambana na magaidi ndio
iliyopelekea Hendry Kissinger
kumsifu dikiteta Jorge Rafael
Videlawa Agentina kuwa alifanya
kazi nzuri sana kuwafuta magaidi
Mkutano wa Marais
Nairobi uwe wa kheri
(State Department cable, 1978. )
Uki soma: Di rty War, hi ki
anachosi f i wa J orge Raf ael
Videla, ni uvunjaji wa haki za
bi nadamu ul i oambatana na
mauwaji na kupotea wanafunzi
na wapiganaji walio kuwa na
itikadi za kikomunisti, kwa ufupi
wakipinga siasa za kibeberu za
Marekani katika nchi yao, kama
alivyokuwa Fidel Castro na watu
wake.
Kwa muj ibu wa taarifa za
makundi ya haki za binadamu,
zaidi ya watu 30,000 walipotea
wakiwa mikononi mwa Polisi
na hai kuj ul i kana wal i ul i wa
na kutupwa wapi . Na hi yo
yote ilidaiwa kuwa ni katika
kupambana na magaidi ambayo
ndi yo hi yo i nayosi f i wa na
Washington kuwa Jorge Rafael
Videla, alifanikiwa sana. Alifanya
kazi nzuri!
Katika kitabu Disposicin Final
kilichoandikwa na Ceferino Reato,
inaelezwa na kutolewa ushahidi
kuwa kati ya mwaka 1976 na 1983,
vyombo vya dola vya Argentina,
viliuwa maelfu ya watu na maiti
zao kuharibiwa au kufchwa ili
kuepuka hasira za wananchi
au kulaumiwa na jumuiya ya
kimataifa lau maelfu ya maiti
zingeonekana hadharani.
"I accept the responsibility as the
highest military authority during
the internal war. My subordinates
followed my orders."
Alinukuliwa Videla akiiambia
mahakama mnamo Julai 5, 2010
akiieleza mahakama alivyohusika
na mauwaji ya raia kwa maelfu
katika Dirty war. Vita dhidi ya
wananchi waliopinga ubeberu
ambao walibatizwa na kuitwa
magaidi. Kazi hiyo ya kuuwa raia
wasio na hatia, ambayo ndio hiyo
leo Jorge Rafael Videla, anakiri
na kuomba msamaha mbele
ya mahakama kuwa alifanya
ugaidi dhidi ya wananchi wake,
Kissinger anamsifa kuwa alifanya
kazi nzuri!
Laki ni kwani ni Ki ssi nger
anasema serikali ya Argentina
Amesema kweli Rais Kikwete
huenda ugaidi unapandikizwa
Inatoka Uk. 8
ili kupora mali. Katika moja ya
mikakati hiyo michafu, inaelezwa
iliwahi kupangwa ilipuliwe ndege
ya abiria iliyodaiwa kubeba
wanaf unzi wa Ki marekani
wakienda mapumziko, halafu
idaiwe kuwa waliofanya hivyo
ni magaidi wa Cuba. Lakini
pia watu wengi wasio na hatia
waliuliwa, magari, meli na ofsi
kulipuliwa huku ikisingiziwa
kuwa waliofanya hivyo ni magaidi
ili ipatikane sababu ya kuwafanyia
ugaidi wazalendo waufyate
wabaki wakitizama rasilimali zao
zikiporwa.
Ukisoma taarifa hizi za Profesa
Noam Chomsky pamoja na zile za
John Perkins katika kitabu chake
Confessions of an Economic Hit
Man (2004), utakubaliana na kauli
ya Mheshimiwa Jakaya Mrisho
Kikwete kwamba pasipo kuwa
na haki, ikawa sera ni kwa baadhi
ya watu kujitwalia keki ya watu
wengine na neema walizopewa
na Mola wao, ni lazima, kutatokea
vitendo vya kigaidi.
Katika nchi za Amerika ya
Kusini katika miaka ya 1960s
hadi 1990s, ugaidi uliibuka na
kuchukua ushuru wa roho nyingi
za raia wasio na hatia kwa namna
mbili. Moja, wazalendo wa nchi
hi zo wal i okuwa waki f anya
harakati kupinga dhulma chini
ya sera za kidhalimu za kibeberu
walionekana kuwa ni magaidi
wakawa wanateswa na kuuliwa
na vyombo vya dola vilivyokuwa
vikidhaminiwa na mabeberu.
Kwa upande wa pili, mabeberu
wal i anzi s ha vi kundi vya
kigaidi kupambana na vikundi
vya wazalendo na wananchi
kwa ujumla, ili kupandikiza
machafuko katika nchi hizo na
hivyo kujenga hitajio la utawala
wa kimabavu na uingiliaji wa
nje; mazingira ambayo husaidia
ubeberu kushamiri. Njia hii ya
pili ya kupandikiza ugaidi ilifanya
kazi sana El Salvador na ikapewa
jina maalum Salvador Option
ilipochukuliwa kutumika Iraq na
Pakistan.
Katika Iraq pamoja na kudaiwa
kuwa Saddam aliitawala nchi
hiyo kidikiteta, lakini hapakuwa
na vi t a ya wenyewe kwa
wenyewe, hapakuwa na chuki
na mashambulizi ya kigaidi
kati ya Sunni na Shia. Lakini
mara Marekani ilipoingia, ili
kuwagawa wananchi wa nchi
hiyo na kupandikiza machafuko
ya kudumu, ikaja na ule mkakati
wa Salvador Option. Hivi sasa
matukio ya kigaidi baina ya
Washia na Wasuni, yanaangamiza
mamia kwa maelfu ya wananchi
kila mwaka.
Nchini mwetu hatukuwahi
kuwa na historia ya kuwa na
chuki baina ya Waislamu na
Wakristo. Lakini kwa miaka
ya hi vi kari buni zi mekuwa
zi ki pandi ki zwa fi kra kuwa
Waislamu ni maadui wa Wakristo
walio tayari kuwakata makoo.
Propaganda za kupandikiza
kitisho hicho, zikafkia mahali pa
kuchukua sura mpya ambapo,
ziliandamana na yaliyodaiwa
matukio ya uchomaji makanisa
na kushambulia viongozi wa
Kikristo. Kilele kikiwa shambulio
la kigaidi kule Arusha na kuuliwa
Padiri kule Zanzibar.
Lakini pia kuna hii hali ya
kuibuka vij ana wanaodaiwa
kufanya harakati na mikakati
ya kujiandaa kwenda kupigana
Somalia/Syria kama Mujahidina.
Kwa hakika inakuwa vigumu sana
kujua fkra hizi zinaibuka kutoka
wapi na hasa unapokuta kwa
mfano mtu akishabikia vitendo
kama vile vya Boko Haram na
ISIS ambavyo ni kinyume kabisa
na Uislamu.
Nadhani tukiyatizama haya
Inaendelea Uk. 11
Inaendelea Uk. 11
Profesa Noam Chomsky
JOHN Perkins.
10
AN-NUUR
DHULQAAD 1435, IJUMAA SEPTEMBA 5-11, 2014
Makala
KILA sifa njema zinamstahiki
Mwenyezi Mungu s wal a
na amani zimfikiye Mtume
Muhammad (s.a.w.) na Jamaa
zake.
Bwana T. Still katika kitabu
chake Ne w Wor l d Or de r
anaelezea kuwa katika miaka ya
1972 na 1973 kulikuwa na mpango
wa siri kumfanya Rais Richard
Nixon aendelee kuwa Rais kwa
kipindi cha tatu, wakati Katiba
ya Marekani Kf. 22 kinasema
muda wa mtu kuwa Rais ni
vipindi viwili tu. Lakini kwa vile
makundi hayo ya siri yalikuwa
na maslahi binafsi kutokana na
Utawala wa Nixon, ukaandaliwa
mpango wa siri kufanikisha lengo
hilo. Mpango huo uliwahusisha
baadhi ya askari; maofisa wa
serikali na vyombo vya habari.
Mpango wenyewe ulikuwa
kwamba ingeandaliwa fursa
katika hadhara ya Republican
Conversion huko San Diego
a mb a k o k u n g e k u wa n a
maandamano dhidi ya vita.
Laki ni waandamanaj i hao
wangeruhusiwa wavamie jukwaa
wakati Makamu wa Rais Bw.
Agnew anahutubia. Wakati Vagi
kati ya polisi na waandamanaji
likitokea, Makamu wa Rais
angepigwa risasi huku televisheni
ikionyesha nchi nzima ili kutoa
mstuko na athari kubwa. Tukio
hilo lingefuatiwa na milipuko ya
mabomu sehemu mbalimbali.
Kwa hiyo Rais Richard Nixon
angelazimika kutangaza hali
ya hatari: State of National
Emergency na kusimamisha
haki ya ki kat i ba. Baadaye
Desemba 1982 katika mahojiano
na Televisheni ya ABC Tvs After
hours Bwana Dean, aligusia juu
ya kuwepo kwa mpango huo wa
mauaji. Hata hivyo hakuweza
kujulikana nini ilkuwa nafasi ya
Nixon katika mpango huo.
Mara baada ya Vita Kuu ya Pili
ya Dunia; Muungano wa Jamhuri
ya Kisoshalisti ya Kisovieti
ya Urusi (USSR), uliendesha
kampeni kali kuzitisha Ujerumani
na nchi nyingine za Magharibi.
Wal i s ambaza nyar aka za
kughushi zinazoonyesha kuwa
kuna jeshi kubwa lenye nguvu
lililoitwa Red Army linalotishia
usalama wa nchi hizo na lengo
lake lilikuwa kuitisha Ulaya
Magharibi ili inyewee na isiweze
kusimama kidete kusimamia
maslahi yake.
Lakini mbinu hiyo iliwageukia
Warusi, na kwa kutishwa huko
watu Ulaya Magharibi badala
ya kuufyata mkia wakajifungia
nda ni ; wa ka z i unga ni s ha
nguvu zao wakaunda Umoja
wa Kujihami wa Nchi za Ulaya
Magharibi (NATO). Na Ulaya
ikasimama madhubuti na hadi
USSR imeporomoka na NATO
ipo pale pale.
Na mwaka 1956 Urusi ilipanga
mpango wa wa kuipaka matope
Ujerumani Magharibi ambayo
haikuwa katika kambi yake,
hivyo Shirika la Ujasusi la Urusi
(KGB). l i kawa l i nasambaza
nyaraka za kughushi huko
Ufaransa, Uingereza na Marekani
kuonyesha kuwa kuna genge
la hatari la wanazi Mamboleo
( NEO- NAZI ) l i nal opi gani a
Jahazi letu linatobolewa!
Ugaidi huu wa kubuni au kweli?
Na Abu Saumu, Kombo Hassani
Kidumbu
ADOLF Hitler
uhuru wa Ujerumani (KAMPF
VERDAND FII UNABAHANGI
GES DEUTSCLAND). Yaani kundi
linalopigania uhuru wa Ujerumani.
Vyombo vya habari vikafanya kazi
(Propaganda) na Ulaya ikaaminishwa
kuwa bado yapo masalia ya Manazi
wa Adolf Hitler.
Hilo lilipofanikiwa wakapanga
mpango wa kulipua majengo kisha
wasingizie kuwa ni kazi ya manazi.
Mwaka 1957 makachero wa STB,
Mi l osl av Kouba, Robert Ther,
Milan Kopecky na Stamislav Tomes
wakaenda Paris. Miloslav Kouba
alikuwa bingwa wa kutengeneza
mabomu, walitengeneza bomu
ambalo liliwekwa kwenye ganda
la boksi la Cigar likatumwa kwa
Post a, kwa Andre Mari e; Tre
Measud ambaye angekuwa na tafrija
huko Strasbora jioni ya Mei 17,
1957 ambapo wabunge wangekuwa
wageni waalikwa.
Ilitarajiwa boksi hilo la Cigar
lingemfkia asubuhi ya tarehe hiyo
angelifungua wakati wa hafla ili
awape wageni wake Cigar wavute.
Mlipuko ungeliua wabunge wengi na
vyombo vya habari vinavyolipwa na
KGB vingetangaza kuwa walilipua ni
genge la manazi (ambalo alikuwepo).
Hata hivyo mambo hayakuenda
kama KGB walivyopanga. Mke wa
Andre Marie alilifungua boksi hilo
likamlipukia na akafa. Pamoja na
hayo redio na magazeti yakatangaza
mauaji yaliyofanywa KGB, kuwa
yamefanywa na masalia wa watu wa
Hitler.
Kama vile ambavyo ulimwengu
uliaminishwa juu ya kitisho cha
Neo-Nazi, na ndiyo ambavyo hivi
sasa ulimwengu umeaminishwa
juu ya kitisho cha ugaidi, kwani
ulimwengu unapita katika mapito
yale yale kama yalivyofanywa na
mashirika ya kijasusi zama hizo.
Kina Mislovan Kouba wa zama zetu
wamejipenyeza kwenye safu zetu na
kuwa Brain Wash Waislamu kiasi
ambacho WATAHEMKWA na
kutumika kuangamiza imani, mali
na nafsi wa ndugu zao katika imani
kwa dhana ya kwamba ni kuipigania
dini. Au wakati mwingine kina Kouba
hutumia fursa ya kuleta (ugomvi)
baina ya Waislamu kwa kupandikiza
ftna kwa kufanya tukio la hujuma
(ugaidi) dhidi ya kundi moja, na
kuenezwa propanganda kwamba
hujuma hiyo imefanywa na kundi
jingine la Kiislamu. Hivyo kundi
hilo litaanza kushughulikiwa kwa
kubamizwa viongozi na harakati
zake.
Matendo ya kigaidi ni mambo
mabaya ambayo at har i zake
hazichagui mtu, dini, dhehebu,
taasisi au chama fulani, kwani athari
ni za jamii nzima kwa waliokuwemo
na wasio kuwemo. Na kwa msingi
huo, ugaidi na magaidi wanastahiki
kupingwa vita.
Hivyo mtu akitaka kukuangamiza
hukutengenezea tuhuma za ugaidi
kwa kukuundia mazingira ambayo
yataweza kuiaminisha jamii kwamba
wewe ni gai di na kushi ndwa
kujidadavua na tuhuma hizo.
Mathalani, aliyekuwa Waziri wa
Mambo ya Ndani wakati huo Bw. Ali
Ameir, alisema:
Serikali ina taarifa ya kuwepo kwa
kundi la vijana wanaopewa mafunzo
rasmi ya kuendeleza fujo nchini kwa
kisingizio cha dini.
Maneno hayo aliyatoa wakati
wa kadhia ya mauaji ya Waislamu
Mwembechai 1998. Tazama
Nipashe la Februari 19, 1998.
Naye aliyekuwa Waziri Mkuu
wa Tanzania (2001) Bw. Frederick
Sumaye aliwahi kusema:
Serikali ina taarifa kuwa
kuna kundi la vijana wa CUF
lililokuwa nje kujifunza vitendo
vya ugaidi..kuna hata mipango
kuwadhuru viongozi, kuilipua
taasisi (muhimu) na miundo
mbinu na majengo. (Nipashe
Januari 26, 2001.)
Rais Mstaafu Mzee Benjamin
William Mkapa kwenye hotuba
yake kwa taifa aliyoitoa Februari
3, 2001, alisema:
Hatuigopi CUF kwenye ulingo
wa siasa wala hatuogopi ugaidi
wao.
Rais wa Serikali ya Mapinduzi
ya Zanzibar Dr. Ali Mohamed
Shein amesema:
Mei 26 (2012) hapa Zanzibar
kulitokea vitendo vya kuvunja
a ma n i . Tu me s h u h u d i a
maandamano yenye sura na
jumbe za kisiasa. Mahubiri hayo
ndio yaliyokuwa chachu ya yote
haya yaliyotokea.
Al i sema kwa kuongozea:
Jumuiya hizi hazikubali sheria
wala utamaduni wa Mzanzibari.
Badala yake wakachoma moto
majengo, mali na makanisa.
(Mwananchi toleo la Juni 1, 2012.)
Na Waziri wa Nchi, katika Ofsi
ya Makamu wa Rais, Bw. Abood
Mohammed Abood, amesema:
Kitendo cha Serikali kukaa
ki mya na kuacha vi ongozi
kuhubiri siasa kwenye majukwaa
ya dini (kikiri) ni kosa kubwa
ambalo hivi sasa haliwezi kupewa
nafasi. (Majira toleo la Mei 30,
2012.)
Kwa msi ngi huu, nahi si
kwamba kuna baadhi ya shutuma
ambazo ni za kupangwa. Hivyo
nahisi kwamba baadhi ya tuhuma
zinazowakabili Masheikh na
Waislamu wengine juu ya ugaidi
huenda ikawa ni katika mlolongo
wa propaganda chafu.
Amesema Allah (Subhaanahu
wa Taala): Na jikingeni na Fitna
ambayo hai t owasi bu wal i o
dhulumu peke yao kati yenu. Na
jueni kuwa Mwenyezi Mungu ni
Mkali wa kuadhibu. (Suurat Al
Anfaal 8:25)
Kwa hakika wale wanaopenda
uenee uchafu kwa walio amini,
watapata adhabu chungu katika
dunia na Akhera. Na Mwenyezi
Mungu anajua na nyinyi hamjui.
(24: 19).
Na wale wanao waudhi
Waumini wanaume na wanawake
pasina wao kufanya kosa lolote,
bila ya shaka wamebeba dhulma
kubwa na dhambi zilio dhaahiri.
(33:58)
Kutoka kwa Nuumaan bin
Bashiry (Radhiya Allaahu anhu)
akisema: Mtume (Swalla Allaahu
alayhi wa sallam) amesema:
Mfano wa yule aliesimama
katika mipaka ya Allah na yule
alievuka mipaka yake ni mfano
wa watu walioingia kwenye
Safna kwa kupiga kura wakawa
miongoni mwao juu ya ile Safna
na wengine chini ikawa wale
waliokuwa chini, wakitaka maji
kuyafuata kwa kupitia kwa
wale wa juu, wakasema (Kwa
kushauriana): kama tungetoboa
hukuhuku chini tungeyapata maji
bila ya kuwaudhi wenzetu walio
juu, kama wataachwa na matakwa
yao hayo wataangamia wote na
kama wakizuiwa wataokoka wote.
(Bukhari).
Na pia amesema Mtume (Swalla
Allaahu alayhi wa sallam):
Lau watu watapewa kwa kila
wanachokidai (Bila Ushahidi),
basi mali za watu zitapotea, damu
zitamwagika sana, heshima zitapotea,
hivyo basi kila anayedai na alete
ushahidi, na anaye kanusha alete
Kiapo. (Muslim na Ahmad).
Katika tareikh ya dunia hakuna
utawala wowote ambao umetumia
mkono wa chuma kuwaziba
mdomo raia zake isipokuwa baada
ya muda mchache Allah (s.w.)
aliuwaadhibu kwa kuuangamiza.
Na adhabu hiyo hukumba jamii
yote kwa wenye kufanya dhuluma
na wengineo.
Hivyo uwezo/nasaha zangu
kwa watawala muwafanyie uadili
watuhumiwa wa ugaidi nk.
Kwani baadhi yao, inawezekana
si wakosa. Sasa mkiwaadhibu
na kuwat esa waki wa bado
watuhumiwa, ikithibiti kuwa si
wakosa, mtawalipa vipi dhulma
hiyo?
RAIS wa SMZ, Dk. Ali Mohamed Shein
11
AN-NUUR
DHULQAAD 1435, IJUMAA SEPTEMBA 5-11, 2014
Makala
Mkutano wa Marais
Nairobi uwe wa kheri
Inatoka Uk. 9
had done an outstanding job in
wiping out terrorist forces."?
Sababu yake ni kuwa "War on
Terrorism" katika eneo hilo la
Amerika ya Kusini wakati huo
ilikuwa ni vita ya kupambana na
kila aliyekuwa akipinga sera za
serikali za kufungua milango kwa
makampuni ya Marekani kuingia
kupora mali. Mwandishi Belen
Fernandez ameandika makala yake
iliyotolewa katika mtandao wa Al
Jazeera (Sat, Aug 30, 2014) akiipa
jina Reappearing the disappeared
of Operation Condor. Katika moja
ya aya (para) za makala yake
anamnukuu mwandishi Rania
Khalek akisema kuwa:
"Violent tyranny was the only way
the US could implement austerity,
privatisation, deregulation and the
lifting of trade barriers, policies that
plunged the masses into poverty
and created skyrocketing wealth
inequality that can still be seen today.
The only winners were the elite few
and, surprise , US corporations."
Kwamba namna pekee ya
kuwafanya watu wa Amerika ya
Kusini (Agentina, Chile, Ecuador,
El Salvador na wengine) wakubali
sera za ubinafsishaji na kufungua
milango kwa makampuni ya
ki beberu kuchota mal i kwa
bei wanayotaka, ilikuwa ya
kupandikiza udikiteta. Na kila
aliyeleta uzalendo wa kupinga
neoliberalism alionekana adui
na gaidi.
Akifafanua zaidi akasema kuwa
hii neoliberalism haikumaanisha
uhuru kwa watu, bali uhuru kwa
mabeberu kuchuma kwa bei
wanayotaka huku wazalendo
wakitoweka na waliobakia hai
wakibaki masikini wa kutupwa.
Na kama alivyosema mwandishi
mmoja wa Uruguay, Eduardo
Galeano, "People were in prison so
that prices could be free."
Kwamba ilibidi watu wawekwe
ndani ili bei ziwe huru (kwa
mabeberu).
Tunaposikia vita dhidi ya
ugaidi hivi leo huku kwetu,
tunachotakiwa kufahamu ni kuwa
ni zile zile Operation Condor
zi l i zofanya kazi Argenti na,
Bolivia, Brazil, Chile, Paraguay, na
Uruguay kwa yeyote anayejaribu
kuhatarisha masilahi ya mabeberu.
Na kwa bahati mbaya serikali za
nchi hizo na vyombo vyake vya
dola vikatumika kuangamiza
maelfu ya raia zao ambao kwa
hakika walikuwa wazalendo
wakipinga ubeberu kwa masilahi
ya nchi zao na watu wao.
Al Shabah na mkutano
wa Mombasa na Nairobi
Wiki iliyopita nilieleza kuwa
japo al Shabab walianza kama
wapigania haki ya Wasomali
kujitawala baada ya kuvamiwa
na Ethiopia, hivi sasa al Shabab
kupitia propaganda imegeuzwa
kuwa kundi la kigaidi katika
kanda ya Pembe ya Afrika na
Afrika Mashariki na Kati.
Kuna mambo mawi l i ya
kutizama hapa. Moja ni kuwa
kama walivyokwisha chambua
na kuandi ka wachambuzi
mbalimbali wa siasa za Marekani
na hii inayoitwa vita dhidi ya
ugaidi, vita hii dhidi ya al Shabab
kwa sasa inalenga kuchochea
na kupandi ki za ghasi a na
machafuko katika nchi hizi na
hiyo kuwa mlango wa kuingia
Africom kufanya harakati zake
za kulinda masilahi ya Marekani
katika eneo hili. Jambo la pili la
kutizama hapa ni kuwa, kama
ilivyokuwa Iraq/Pakistan, ambako
kulikuwa hakuna mashambulizi
ya kigaidi na uhasama kati ya
Sunni na Shia, lakini yakafanywa
kupandikizwa; hapa kwetu napo
al Shabab na ugaidi wake unafanya
kupandikizwa ikiwa ni pamoja na
vijana wanaodaiwa kuhusika na
kusafrisha au kuandaa watu wa
kwenda kupigana Jihad Somalia.
Tukijua hilo, itatuongoza hata
namna ya kuwashughul i ki a
hawa vijana unaoweza kusema
ni maadhura tu, wasiojitambua
wanaotumiwa kijinga. Ila kama
hatutamtizama adui halisi, aliye
adui yetu na adui wa hao vijana;
tukawaangalia kama magaidi
halisi, kwa dhamira yao wenyewe
na kwa kupanga wao wenyewe,
kwamba wao ni hat ari na
maadui wa nchi zetu, badala ya
kuwaona kama watu maadhura
wasiojitambua, hapana shaka
hiyo itatupelekea kuchukua hatua
kama zile za wale waliotumiwa
katika Operation Condor. Na
kwa maana hiyo, sisi tutakuwa
wabaya zaidi na hatari zaidi kwa
amani ya nchi hii kuliko hata
hao vijana wanaotumiwa bila ya
kujitambua, ambao kwa hakika
wanahitaji nasaha zaidi (Guidance
and Counseling).
Kwa nini nimesema yote haya.
Mwandishi Remi Brulin akielezea
hatari ya hii inayoitwa vita dhidi
ya ugaidi ameandika makala
aliyoipa jina: Setting precedent
from one 'war on terrorism' to the
next
Hapo akaeleza jinsi dikiteta
Augustino Pinochet na vyombo
vya dola vya nchi za Latin Amerika
vi li vyotumia kisi ngi zi o cha
kupambana na magaidi kufanya
mauwaji ya na mateso ya kutisha
kwa wananchi wasio na hatia.
Lakini akaeleza jinsi nchi hizo
zilivyoshirikiana katika kufanya
uhalifu huo dhidi ya rai wao.
The security forces of several
states are "coordinating intelligence
activities closely", "operating in the
territory of one another's countries"
and have established a program "to
find and kill terrorists" anywhere
around the world as part of a "war"
against "terrorism."
Anasema mwandishi huyo
aki mal i zi a kwa kunukuu
mawasiliano ya FBI (FBI cable)
ya Septemba 1976 yaliyofafanua
namna Oper at i on Condor
ilivyofanya kazi kwa kusema:
The security of the Southern cone:
now coordinate intelligence activities
closely. Operate in the territory of
one anothers countries in pursuit
of subversives. Have established
Operation Condone to find and
kill terrorists of the revolutionary
coordinating committee in their
own countries and in Europe. Brazil
is cooperating short of murder
operations.
Wiki iliyopita umemalizika
mkutano uliokuwa ukifanyika
Mombasa Kenya wa wakuu wa
vyombo vya usalama kwa nchi
za kanda hii ya Afrika. Na lengo
kuu ni kuwa na ushirikiano katika
kupambana na ugaidi na uhalifu
mwingine (joint operations) ikiwa
ni pamoja na kubadilishana taarifa
za kiintelijensia. Mkutano huo
ukafuatiwa na wa wiki hii wa
Marais wa nchi kadhaa za Kiafrika
uliofanyika Nairobi, agenda
ikiwa hiyo hiyo. Ushirikiano
katika kukabiliana na kitisho cha
magaidi, al Shabab wakiwemo.
Dua na matarajio yetu ni kuwa
ushirikiano huu uwe wa heri kwa
ajili ya amani na utengamano
wa nchi zetu. Usije ukawa sawa
na ule wa operation condor
uliozizamisha nchi za Amerika
ya Kusini katika kutafuna raia
zao wenyewe kwa manufaa ya
mabeberu.
Na labda tusij e tukasahau
kuwa tupo katika zama za USA
PATRIOT inayosimama kwa:
Uni ti ng and Strengtheni ng
America by Providing Appropriate
Tools Required to Intercept and
Obstruct Terrorism Act of 2001 na
matawi yake huku kwetu.
Chi ni ya Sheri a hi yo ya
kuzuiya ugaidi, askari anaweza
kufanya unyama hata zaidi ya ule
uliofanywa na akina Jorge Rafael
Videla na akawa ndani ya sheria.
Ilimuradi tu katika taarifa yake
aonyeshe kuwa aliuwa au kumtia
mtuhumiwa majiti sehemu za
siri katika kumshughulikia mtu
aliyeonyesha dalili kuwa anaweza
kufanya vitendo vya kigaidi hapo
baadae!
Mwaka 1978 Jorge Rafael
Videla alisifwa na akina Kissinger
kuwa alikuwa akifanya kazi
nzuri ya kuangamiza magaidi.
Mwaka 2010 Jorge Rafael Videla
anasimama mahakamani na kukiri
kuwa kwa kisingizio cha ugaidi
aliwafanyia ugaidi wananchi
wake. Anaomba kusamehewa au
sheria imuhukumu itakavyoona.
Alihukumiwa kifungo.
Katika Uislamu tunaambiwa
kuwa mauti yatosha kuwa ni
mawaidha. Basi na historia hii, iwe
mawaidha kwetu.
Amesema kweli Rais Kikwete
huenda ugaidi unapandikizwa
Inatoka Uk. 9
katika jicho la kile alichokisema
Noam Chomsky na kat i ka
jicho la Salvador Option au yale
yal i yokwi sha kuel ezwa na
wachambuzi mbalimbali juu ya
nani mwanzilishi na mfadhili
wa akina Abu Baghdadi na
tukirejea ule mpango uliogharimu
mamilioni ya dola wa kufanya
ut af i t i kat i ka Chuo Ki kuu
cha Nevada juu ya namna ya
kutengeneza Mujahidina Feki
wa kupigana Proxy War ya
mabeberu; hapana shaka kwamba
tutakuwa makini zaidi katika
kushughulikia kitisho cha ugaidi
katika nchi zetu.
Na kwa maana hiyo, tutachukua
ha t ua a mb a z o z i t a k uwa
kwa masilahi ya nchi na sio
zitakazotuangamzia.
L a b d a n i ma l i z i e k wa
kusema kuwa ipo pia haja ya
hoj a zilizotolewa na baadhi
ya wat uhumi wa wa ugai di
kusikilizwa na kupewa uzito.
Hoja hizo ni pamoja na madai
yaliyotolewa na Sheikh Farid Hadi
mahakamani alipodai kuwa wao
wanashikiliwa sio kwa kuwa kuna
sababu za msingi kuwatuhumu
ugaidi, ila ni kwa msimamo wao
wa kutaka Zanzibar huru ndani ya
Jamhuri ya Muungano Tanzania.
Niliuliza hapa mahakamani
Zanzibar ni nchi? Yule rais ni rais
wa timu ya mpira?...Tanzania
hakuna ugaidi hapa, tusiombe
balaa hilo, sisi kosa letu ni kudai
mamlaka ya nchi yetu.
Al i d a i S h e i k h F a r i d
mahakamani na akaendelea kudai
kuwa kumekuwa na mateso kwa
watuhumiwa na akamwomba
Mheshi mi wa Rai s Ki kwet e
iundwe Tume huru kuchunguza
madai hayo.
Tunahitaji iundwe Tume Huru
ya Uchunguzi, tunaomba Rais
Kikwete aunde tume yenye haki,
tume ndiyo itatoa ukweli, hiki
ndicho kilio chetu.
Japo jambo hili lipo mahakamani,
lakini maadhali yametolewa
madai ya watu kuteswa wakiwa
mikononi mwa vyombo vya dola,
kuna kila sababu ya jambo hili
kupewa uzito.
12
AN-NUUR
DHULQAAD 1435, IJUMAA SEPTEMBA 5-11, 2014
12
Barua/Mashairi
Unyama wa mazayuni, dhidi ya PALESTINA,
Unyama wa mazayuni, si usiku si mchana,
Unyama wa mazayuni, bila shaka mwauona,
Unyama wa mazayuni, walimwengu kila kona,
Tupinge uhayawani, wao japo kwa kunena.
Unyama wa mazayuni, umekithirika sana,
Unyama wa mazayuni, kiasi si kunga tena,
Unyama wa mazayuni, kwa insi kutouona,
Unyama wa mazayuni, na madharaye bayana,
Tupinge uhayawani, wao japo kwa kunena.
Unyama wa mazayuni, wahilikisha insana,
Unyama wa mazayuni, MADHULUMU kwa khiyana,
Unyama wa mazayuni, japo hatia hawana,
Unyama wa mazayuni, kwa ya kivita mazana,
Tupinge uhayawani, wao japo kwa kunena.
Unyama wa mazayuni, pamwe na yao mazana,
Unyama wa mazayuni, waogopa kupambana,
Unyama wa mazayuni, na wa JESHI wale WANA,
Unyama wa mazayuni, wa HAMAS tena sana,
Tupinge uhayawani, wao japo kwa kunena.
Unyama wa mazayuni, badalaye wakazana,
Unyama wa mazayuni, kuua WAKE na WANA,
Unyama wa mazayuni, na RAIA waso zana,
Unyama wa mazayuni, japo hatia hawana,
Tupinge uhayawani, wao japo kwa kunena.
Unyama wa mazayuni, siriye moja kunena,
Unyama wa mazayuni, leo aula naona,
Unyama wa mazayuni, ipate tambulikana,
Unyama wa mazayuni, kwa walimwengu bayana,
Tupinge uhayawani, wao japo kwa kunena.
Unyama wa mazayuni, unyuma wa yule bwana,
Unyama wa mazayuni, ajifanyaye mungwana,
Unyama wa mazayuni, na mwenye huruma sana,
Unyama wa mazayuni, kila kona kupambana!
Tupinge uhayawani, wao japo kwa kunena.
Unyama wa mazayuni, ni kweli hajauona?
Unyama wa mazayuni, hapana hilo nakana!
Unyama wa mazayuni, kwanini yashindikana?,
Unyama wa mazayuni, u nyumaye huyo bwana,
Tupinge uhayawani, wao japo kwa kunena.
Unyama wa mazayuni, si sawa kuunongona,
Unyama wa mazayuni, tuutongoe bayana,
Unyama wa mazayuni, waumanye hata WANA,
Unyama wa mazayuni, kwa mawanda na kwa kina,
Tupinge uhayawani, wao japo kwa kunena.

ABUU NYAMKOMOGI-SAFARINI KAGERA.
UNYAMA WA MAZAYUNI!
Uhalifu wa polisi, dhidi ya watuhumiwa,
Uhalifu wa polisi, wa dini waheshimiwa,
Uhalifu wa polisi, ni huzuni na makiwa,
Uhalifu wa polisi, wafaa kutongolewa,
Si haki ni uhalifu, waloutenda polisi !
Uhalifu wa polisi, jinai ya kulaniwa,
Uhalifu wa polisi, wa insi kunajisiwa,
Uhalifu wa polisi, si wa macho kufumbiwa,
Uhalifu wa polisi, bali wa kufchuliwa,
Si haki ni uhalifu, waloutenda polisi !
Uhalifu wa polisi, wazi ushatongolewa,
Uhalifu wa polisi, na wake waathiriwa,
Uhalifu wa polisi, mahabusu walotiwa,
Uhalifu wa polisi, na kisha kuhujumiwa,
Si haki ni uhalifu, waloutenda polisi !
Uhalifu wa polisi, wazi waliudondowa,
Uhalifu wa polisi, wa wao kudakhiliwa,
Uhalifu wa polisi, kinyume na majaliwa,
Uhalifu wa polisi, mbele ya hakimu Riwa.
Si haki ni uhalifu, waloutenda polisi !
Uhalifu wa polisi, wa kupata kuhojiwa,
Uhalifu wa polisi, tupu walivyozaliwa,
Uhalifu wa polisi, wazi ulitongolewa,
Uhalifu wa polisi, na Amiri mwaminiwa,
Si haki ni uhalifu, waloutenda polisi !
Uhalifu wa polisi, kotini 'loibuliwa,
Uhalifu wa polisi, pasipo kutarajiwa,
Uhalifu wa polisi, si sawa kubeuliwa,
Uhalifu wa polisi, aula kujasusiwa,
Si haki ni uhalifu, waloutenda polisi !
Uhalifu wa polisi, katu si wa kuenziwa,
Uhalifu wa polisi, daima wa kulaniwa,
Uhalifu wa polisi, kwa hatua 'chukuliwa,
Uhalifu wa POLISI, dhidi ya WATUHUMIWA,
Si haki ni uhalifu, ulotendwa na polisi !
ABUU NYAMKOMOGI
SAFARINI KAGERA.
UHALIFU WA POLISI !
Ndugu Mhariri,
Naomba nafasi ili niweze
kutoa maoni yangu kwa
Umma wa Kiislamu. Leo
hii Waislamu tumepotea
sana, lakini bahati mbaya
sana hatujitambui kama
tumepotea. Ukiangalia
sasa hi vi t upo bi ze
kuzungumzia maovu
wanayoyafanya makafri,
l aki ni t unayas ahau
maovu tunayoyafanya
s i s i we nye we kwa
mi kono yet u, yaani
tunashugulika na nafsi
za mkafiri zaidi badala
ya kushughulika na nafsi
zetu. Na hali ya kuwa
Quran inasema:-
Hao (Makafri) ni watu
waliokwishapita. (Hapana
faida kujitapa kwa ajili
yao) . Wao wat apat a
waliyoyachuma, na nyinyi
mtapata mliyoyachuma,
wala nyinyi hamtaulizwa
waliyokuwa wakiyafanya
wa o ; ( wa l a wa o
hawataulizwa kwa yale
mnayoyafanya nyinyi.
Kila mtu atalipwa kwa
lake alilolifanya). (Qurani
2:141).
Na k a t i k a S u r a
nyi ngi ne Mwenyezi
Mungu anasema, Enyi
ml i oami ni ! l i l i l o l a
lazima juu yenu ni nafsi
zenu. Hawakudhuruni
wa l i o po t o k a i k i wa
nyi nyi mmeongoka.
Marejeo yenu nyote ni
kwa Mwenyezi Mungu;
basi atakwambieni yale
mliyokuwa mkiyatenda.
(Qurani 5:105)
S a s a b a d a l a y a
kushughulika na nafsi
zetu, tunashugulika na
nafsi za makafiri, yaani
t unayas ahau maovu
tunayoyafanya sisi bali
tunayakumbuka maovu
wanayoyafanya wengine.
Na ukiangalia sasa hivi
Waislamu wengi utakuta
hawauj ui UI SLAMU
wa o wa n a e n d a t u
hivyo hivyo, na kuna
wengine wameshafikia
uzee lakini hawajui hata
kuswali, kutawadha na
mengineyo. Lakini yote
hayo hat ushughul i ki
nayo.
Wa i s l a m u w a
s a s a h a w a p e n d i
kusemwa makosa yao
wanayoyaf anya wao
wa na t a ka uwa s e me
wasiokuwa Waislamu.
Na hali ya kuwa Allah
(S.W.) ameshasema kama
nilivyonukuu katika aya
hapo juu.
Na ndiyo maana kwenye
mihadhara ya QURANI
Tujihesabu kwanza
na BIBLIA Wai sl amu
wanajaa kwa sababu pale
hawakosolewi Waislamu
wanaokosolewa ni wale
wasiokuwa Waislamu
yaani Waislamu pale wao
wanabashiriwa Pepo kuwa
wapo katika haki lakini
wasiokuwa Waislamu
wanapewa habari mbaya
ya moto kwamba wao
hawapo katika haki.
L a k i n i , i k i t o k e a
umesimama ama Msikitini
au katika mkusanyiko
ukawa unatoa mawaidha
ya kuwakosoa Waislamu
moja kwa moja kwamba
Mu n g u t u n a mu a s i
kwa kuf anya kadha
wa kadha, basi hakuna
a t a k a y e k u s i k i l i z a
wot e wat anyanyuka,
wat aondoka ut abaki
wewe peke yako.
I l i wa k u s i k i l i e
na uwe nao mpaka
mwi s ho wa na t a ka
utakayo yazungumza
yawe ni mawaidha ya
kuwabas hi r i a pepo,
yasiwe ya kuwakosoa
na kuwaonyesha wapi
wanapotoka.
Na uki angal i a kwa
makini sasa hivi utaona
kuwa wanaouangamiza
UISLAMU duniani ni
Wai sl amu wenyewe,
k w a n i u t a k u t a
wa n a o o n g o z a k wa
kufanya yanayomuudhi
Mwenyezi Mungu ni
Waislamu, lakini hausikii
k us e mwa k wa o a u
kukosolewa. Kwa mfano
waf adhi l i wakubwa
wa mambo ya upuuzi
(laghu) duniani kama
mipira, miziki, taarabu
na ma s hi nda no ya
kuwatafuta warembo
utakuta ni Wai sl amu
wenyewe.
Mwenyezi Mungu
nasema katika Qur an
kuwa:- Je, mnawaamrisha
watu kutenda mema na
mnajisahau nafsi zenu,
hal i mnasoma ki tabu
(cha Mwenyezi Mungu)
bas i j e, hamf ahamu
(kuwa kufanya hivyo ni
vibaya)? (2:44).
Enyi mlioamini! ni
kwa ni ni mna s e ma
msiyoyatenda? Ni chukizo
kubwa mbele ya
Uk i a n g a l i a h a p o
ut akut a hayo maovu
yote hatuyazungumzii
tunabaki tunalalamika
tu makafiri wabaya,
Amerika mbaya Amerika
adui wa Uislamu, mungu
amlaani
Allah (S.W.) anasema:-
N a m i s i b a
inayokupateni inatokana
na vitendo vya mikono
yenu (wenyewe), na (juu
ya hivi mwenyezi mungu)
anas amehe mengi .
(Qurani 42:30)
Hivi unafikiri kuna
Pepo ya l el e mama?
Unafkiri hao maswahaba
wa Mtume walishindwa
kusoma dua hi zo t u
wa ka i ngi a pe poni ?
Unaf i ki r i wal i kuwa
wanapenda kuumi a
na kupat a mat at i zo?
Hujiulizi wale Waislamu
waliokimbia vita, kwa nini
Allah (S.W.) aliwabashiria
mot o, unadhani wao
wal i kuwa hawavut i
dhikri.
Je, watu wanadhani
wataachwa (wasi ti we
kat i ka mi s ukos uko)
kwa kuwa wanasema
tumeamini? basi ndio
wasijaribiwe (wasipate
mitihani)?
Na ndi o hao hao
wanakwambia wanataka
Seri kal i ya Ki i sl amu.
Seri kal i ya Ki i sl amu
haipatikani hivi hivi kama
unaenda kununua nyanya
sokoni , bal i i nat aka
maandalizi ya hali ya juu.
Kwanza kabisa, uanze
kuiongoza na kuishindilia
nafsi yako mwenyewe
kumuelekea Allah (S.W.)
kwa kufanya mema na
kuacha mabaya. Ndiyo
maana Al l ah ( S. W. )
kuonyesha kuwa dola
ya Kiislamu haipatikani
kirahisi rahisi tu, bali
kwanza inaanzia katika
nafsi yako.
Mwenyezi mungu
a me wa a h i d i wa l e
wal i oami ni mi ongoni
mwe nu na kuf anya
vi tendo vi zuri , kuwa
atawafanya makhalifa
ka t i ka a r dhi ka ma
alivyowafanya makhalifa
wa l e wa l i o k uwe po
kabla yao, na kwa yakini
atawasimamishia dini
yao aliyowapendelea, na
atawabadilishia amani
baada ya hof u yao.
Wawe wanani abudu,
h a wa n i s h i r i k i s h i
n a c h o c h o t e . Na
watakaokufuru baada
ya hayo; basi hao ndio
wavunj ao amri zetu.
(24:55)
Ndugu yenu kat i ka
Uislamu
Dar es Salaam
13
AN-NUUR
DHULQAAD 1435, IJUMAA SEPTEMBA 5-11, 2014
MAKALA
TUJ UMUI SHE: Obama
alipandisha utambi katika
kumkosoa Maliki katika
wiki chache zilizotangulia.
Obama alimlaumu Maliki
kwa 'wimbi la hivi sasa la uasi
wa Kiislamu' ambao ulilelewa
na mashirika ya kijasusi ya
Marekani ambao walitoa
silaha, mafunzo na fedha kwa
makundi ya vichaa Wahhabi
ndipo wakaingia Irak. Obama
anasema Marekani haitasaidia
kuushi nda uvami zi wa
ki - j i hadi kama Mal i ki
hatabadilishwa. Wakati huo
huo, "maofisa wa Marekani
walikanusha madai kuwa
Marekani ilikuwa inataka
mabadi l i ko ya ut awal a,
wakisisitiza kuwa Marekani
inaunga tu mkono mkondo
wa kawaida wa kikatiba."
Ni mzaha! Kama inatembea
kama upinduaji na kupiga
chafya kama upinduaji, basi ni
upinduaji. Hakuna umuhimu
wowote Obama anasema nini.
Hakuna umuhimu vyombo
vya habari vinasema nini.
Ni sual a l i ko wazi ki asi
cha kuumiza macho kuwa
Marekani inahusika. Zaidi
ya hayo, tuna ushuhuda huu
kutoka gazeti la New York
Times:
" Ma o f i s a we n g i n e
waandamizi wa utawala wa
Obama walisema wawakilishi
wa Marekani nchini Irak
wamekuwa wakihusika zaidi
na zaidi katika majadiliano
jijini Baghdad katika siku kumi
zilizotangulia kufkia muafaka
wa nani achukue nafasi ya
Bw. Maliki. ("Wairaki wamtaja
mbadili wa Maliki, mtafaruku
wazuka - NYT).
Hapo si tayari wanakiri
ha t i a ? Ka ma " ma of i s a
waandami zi wa ut awal a
wa Obama" wamekuwa
wanazunguka kwa siku kumi
kufikia uamuzi wa mtu wa
kuchukua nafasi ya Waziri
Mkuu aliyeko madarakani,
hiyo inatofautiana vipi na
Victoria Nuland kupanga
kuondol ewa kwa Wazi ri
Mkuu wa Ukraine, Viktor
Yanukovich kwa kibaraka wa
Marekani, "Yats"? Ni jambo
hilo hilo, siyo?
Hapa kuna ki bwagi zo
kutoka NYT ambacho kinafaa
kutafakari:
" Ni kat i ka wi ki moj a
iliyopita ambako Bw. Abadi
amekuwa akitajwa kumrithi
Kuvuruga mipango ya Marekani:
Sababu Obama kutaka Maliki aondolewe-3
Na Mark Whitney
RAIS Barak Obama wa Marekani (kulia) akiwa na Rais Goodluck Jonathan wa Nigeria.
Bw. Maliki, Amekuwa mshirika
wake wakati fulani, na kwa
sababu Bw. Abadi anatoka
chama hicho hicho kuteuliwa
wake kukapendeza, kwani ni
kutambua uhalali wa ushindi
wa kundi la Bw. Maliki katika
uchaguzi mkuu wa mwezi
Aprili.
Hii ndiyo iliyowapa moyo
kufanya mapinduzi dhidi ya
Maliki, alisema mmoja wa
washiriki maj adiliano wa
ki-Shia, aliyetaka asitajwe
jina kwani alikuwa akijadili
masuala ya ndani ya kundi hilo.
U n a w e z a k u a m i n i
wanachosema? Hivyo, haikuwa
naf asi ya Abadi kuhusu
masuala hayo au kuhusu
udini ambayo ilimfanya awe
mteuliwa tarajiwa hata kidogo.
Alichaguliwa kwa sababu
pekee ya kuwa uteuliwa wake
ulikuwa na nafasi zaidi ya
kushinda. Ni hilo. Hii siyo
demokrasia, ni kampeni ya
'mtupe Maliki kwa gharama
yoyote' iliyoandaliwa na wasanii
wa kundi Obama. Ndiyo watu
hawa wanavyohangaika.
Lakini labda Obama yuko
sahi hi saf ari hi i ; ndi vyo
una vy o f i k i r i , ms o ma j i
mpendwa? Tangu hapo, Maliki
Ni mbabe, mkandamizaji wa
shoka ambaye amechochea
mi gongano ya makundi
ya kidini na migawanyiko.
Labda ingekuwa bora kama
angeondoka. Labda Obama ana
dhamira njema kutaka (kama
gazeti la New York Times
linavyosema) "kulinda umoja
wa Irak na kusaidia kuzuia
lengo la ISIS la muunda dola
ya Kiislamu ambayo inapuuza
mipaka ya kitaifa."
Kama ndiyo unavyofkiria,
umekosea,, Kumbadilisha mtu
aliye pale juu hakubadilishi
mfumo. Na Marekani haitaki
kubadili mfumo. Marekani
inataka mtawala dhalimu asiye
na chembe ya ubinadamu.
( Hi vi umei angal i a Mi sri
hivi karibuni?) Wanataka
atakayefuata amri, basi. Maliki
alitoka katika uzio huo, na
sasa amepata ki-memo cha
kufukuzwa kazi. Hakuna zaidi
ya hapo.
Suala la Abadi kuunganisha
Irak ni kichekesho. Ugawanyaji
wa Irak tayari umeshafanyika.
Hautabadilishwa. Kwa kweli,
hilo ndilo wengi katika uwanja
wa siasa Marekani walilotaka
kuanzia siku ya kwanza. Dola
tofauti ya wa-Kurdi ambayo
itauza mafuta ya bei poa kwa
Israel na kukataa kutoa mapato
kutokana na mafuta kwa
serikali ya kutaifa, tayari hali
hiyo ipo, kama ambayo eneo
lisilo na mpaka la wa-Sunni
(ambalo litachukua umbo
kamili katika miaka michache
ijayo) pia ni hali halisi.
Abdai hatabadili hali hii
iliyojijenga, Irak inagawanywa
kutokana na nguvu kubwa
ambazo yeye hawezi kuzizuia
au kuzidhibiti. Kazi yake ni
kutia saini tu katika mstari wa
nukta na kuruhusu Marekani
ifungue upya makambi yake,
iweke tena askari wake na
kuendelea na ujenzi wa himaya.
Marekani haitaki Irak yenye
nguvu, iliyo huru. Marekani
inataka mafuta. Marekani
inataka kutawala. Marekani
i nat aka Waar abu waue
Waarabu. Marekani inataka
kuzi ma ut ambul i sho wa
Uarabu, utamaduni, ari, fasihi,
sayansi, sanaa, n.k., chochote
ambacho kinaweza kuinua upya
uzalendo wa Kiarabu, chochote
kinachoweza kuelekeza katika
taifa huru, linalojitegemea,
chochote kinachoweza kuzuia
kuporwa kwa nchi za Kiarabu.
Ndiyo himaya zinavyofanya
kazi. Maliki aliingilia njia ya
Marekani, hivyo Maliki sasa
atapotea. Mwisho wa habari.
Kama alikuwa 'mdini sana'
au hapana, hilo halibadilishi
chochote. Hatma yake ilifkiwa
pale alipokataa kutia saini
makubaliano ya kubakiza
maj eshi ya Marekani bila
kuwepo suala la kushitakiwa
kati ka mahakama yoyote
nchini Irak.
(Mark Whitney anaishi jimbo
la Washington. Anapatikana
ka t i ka f e r gi e whi t ne y@
ms n. c o m. ht t p: / / www.
counterpunch.org)
14
AN-NUUR
DHULQAAD 1435, IJUMAA SEPTEMBA 5-11, 2014
MAKALA
KILA sifa njema zinamstahiki
Mwenye Mungu, swala na amani
zimfikiye Mtume Muhammad
(Saw) na Jamaa zake.
Matatizo, hasa ya maradhi ya
kinamama kwenye jamii yetu ni
jambo ambalo linawasababishia
we ngi wao kuf ar i ki kwa
sababu ya kukosa huduma za
matibabu stahiki. Na ni hali
ambayo imetokana na upungufu
mkubwa wa madaktari, vifaa
vya matibabu, dawa, hospitali
chache, upungufu wa madaktari,
kushindwa kumudu gharama za
matibabu nk.
Haya yote yametokana kwa
uj uml a wake umaski ni wa
kutupwa uliyoipiga jamii yetu
hasa ya Waislamu.
Mbali ya hivyo mama, dada,
wake na ndugu zetu wanapopata
fursa ya kufanyiwa matibabu
wanapata idhilali, fedheha na
kubwa.
Mat hal ani , Dakt ar i wa
Hospitali ya Marie Stoppers
iliyopo Mwenge, jijini Dar es
Salaam, Paul Andrew, ametiwa
mbaroni kwa tuhuma za kumbaka
mgonjwa aliyefika hospitalini
hapo kupatiwa matibabu.
Taarifa zilizothibitishwa na
Kamanda wa Polisi Mkoa wa
Kinondoni, Elias Kalinga, zilisema
kuwa mgonj wa huyo alifika
hospitalini hapo kwa ajili ya
kufanyiwa uchunguzi wa tumbo
ndipo Dk. Andrew alimwandikia
kipimo cha Utra Sound
(Source: Tanzania Daima
(Februari 1, 2010 )
Idhilali hizi zinazowapata
mama zetu wengi, hasa wa
jamii ya Kiislamu kutokana na
makosa makubwa ya kutokuwa
na mipango yakini ya kuiondoa
ftna hii.
Mwe nye z i Mungu kwa
kuwafahamu maadui wa Uislamu
na Waislamu, ndiyo akatadharisha
kwenye Quran akawat aka
katika mambo yao yote, lazima
wachukuwe tahadhari na kuwa
makini sana iwe ni kwenye tasnia
ya siasa, uchumi, afya zao na
ustawi wa jamii nk. dhidi ya shari
na hasada za maadui zao. Kwani
wanayodhihirisha ni madogo
kuliko shari kubwa ilikuwa
kwenye nafsi zao.
Amesema Allah (Sw)
71. Enyi mlio amini! Chukueni
hadhari yenu! Na mtoke kwa
vikosi au tokeni nyote pamoja!
(Surat An-Nisaai 4:71)
102. Na unapo kuwa pamoja
nao, ukawasalisha, basi kundi
moja miongoni mwao wasimame
pamoja nawe na wachukue silaha
zao. Na watakapo maliza sijida
zao, basi nawende nyuma yenu,
na lije kundi jingine ambalo
halijasali, lisali pamoja nawe. Nao
wachukue hadhari yao na silaha
Hospitali ya maadili ya Kiislamu
Na Abu Saumu, Kombo
Hassani Kidumbu
zao. Walio kufuru wanapenda
mghafilike na silaha zenu na
vifaa vyenu ili wakuvamieni
mvamio wa mara moja. Wala
si vibaya kwenu ikiwa mnaona
udhia kwa sababu ya mvua au
mkawa wagonjwa, mkaziweka
silaha zenu. Na chukueni hadhari
yenu. Hakika Mwenyezi Mungu
amewaandalia makafri adhabu
ya kudhalilisha. (Surat An-Nisaai
4:102)
118. Enyi ml i o ami ni !
Msiwafanye wasiri wenu watu
wasi o kuwa kat i ka nyi nyi .
Hawataacha kukufanyieni ubaya.
Wanayapenda yanayo kudhuruni.
Imekwisha fichuka chuki yao
katika midomo yao. Na yanayo
ficha vifua vyao ni makubwa
zaidi. Tumekwisha kubainishieni
Ishara ikiwa nyinyi mtayatia
akilini. (Suurat Al 'Imran 3:118)
USULI WA TATIZO
Tanzania imewekwa katika
nafasi ya tano katika nchi za
Afrika zilizo Kusini mwa Jangwa
la Sahara kama mahali pabaya
zaidi kwa wanawake kujifungua,
nyuma ya Sierra Leone, Niger,
Malawi na Angola, kulingana
na viashiria vya maendeleo vya
Benki ya Dunia.
Kwa ki l a wat ot o 100, 000
wanaozaliwa hai mwaka 2,000,
Tanzania ilishuhudia wastani
wa wanawake 1,500 wakifariki
dunia wakati wa ujauzito, wakati
wa uchungu au mara tu baada ya
kujifungua, takwimu za Benki ya
Dunia zinaonyesha.
Mwaka huo karibu wanawake
21,000 walikufa baada ya kupata
matatizo yaliyotokana na mimba.
Hali imezidi kuwa mbaya zaidi
ikilinganishwa na miaka kumi
ya nyuma ambapo wanawake
770 walifariki kwa kila watoto
100,000 waliozaliwa wakiwa hai
na wanawake wapatao 8,700
walifariki dunia kutokana na
matatizo wakati wa ujauzito wao.
Utafiti wa mwaka 2005 wa
kampeni ya nyumba kwa nyumba,
unaweka vifo vya wajawazito
578 kwa kila watoto 100,000
wanaozal i wa waki wa hai ,
ongezeko kutoka 529 mwaka 1996.
Takwimu za mwaka 2,010
zi nonye s ha kwamba vi f o
vitokanavyo na uzazi ni 454 kwa
kila vizazi hai 100,000, ikiwa
vimepungua kutoka vifo 578 kwa
kila vizazi hai 100,000 mwaka
2004/2005. Lengo ni kufka vifo
193 kwa kila vizazi hai 100,000
ifikapo mwaka 2015. Kutokana
na ukweli huu, nchi yetu haiko
kwenye nafasi nzuri kulifikia
lengo tulilojiwekea.
(Chanzo: Hotuba ya Waziri
wa afya na ustawi wa jamii Mhe.
Dk. Hussein Ali Mwinyi (mb),
katika hafa ya kupokea magari ya
kubebea wagonjwa, yaliyotolewa
na mashirika ya umoja wa mataifa
(WHO na UNFPA), tarehe 03-12-
2013, katika viwanja vya Wizara
ya Afya na Ustawi wa Jamii,
Dar es salaam, siku ya Jumanne,
Desemba 3, 2013.)
Ni masi ki t i ko makubwa
takwimu hizi waathirika wakubwa
zaidi ni jamii ya Kiislamu, ambayo
ndiyo wenye watu wengi, hasa
kwenye maeneo ya Pwani ya
Tanzania kwani hawana Hospital
ya Rufaa bali kama vipo ni
vituo vya afya na Zahanati za
kuhesabika kwa vidole, ambavyo
huendeshwa hasa kibiashara na
kisanii-sanii na sio kidaawah
zaidi.
Mathalani, inapotokea matatizo
ya kiafya kwa mmoja ya Masheikh,
Maustadhi na wanaharakati wa
kupigania maslahi ya Uislamu na
Waislamu nchini, hukimbizwa
kupel ekwa kwa wal e wal e
ambao tuna matatizo nao. Katika
mfano halisi Sheikh wa taasisi/
Madrasa moja kongwe (Mwenyezi
Mungu Amughufriye madhambi
yake) Aliyekuwa Mudir wake,
alipopatwa na maradhi mazito
ambayo yalimpekea kufariki,
wakati alipozidiwa kuugua kabla
kufariki, alikimbizwa katika
Hospitali moja kubwa ya Rufaa
iliyopo Kaskazini ya Tanzania
ambayo ni ya taasisi dini isiyokuwa
ya Uislamu. (Uliza wanafunzi
wake jinsi alivyoshughulikiwa).
Na Mwanaharakati wa Kiislamu
hapa nchini, Sheikh Ponda Isa
Ponda, alipopatwa na mtihani wa
kupigwa na risasi, na ikadaiwa
shambulio hilo limefanywa na
askari wa chombo cha dola,
alikimbizwa katika Hospitali hizo
hizo za dola. Sasa hizi harakati
zisizotizama namna ya kuwa na
huduma muhimu kama hizi za
kiafya na kijamii, harakati gani?
Jihadi gani tunaitia watu wakati
hata zahanati ya kutibia majeruhi
hatuna? Unahamasisha watu
waende Jihad Somalia/Syria,
zahanati ya kumtibia majeruhi
huna!!! Hii akili kweli. Ni akili
yetu au akili ya kupewa?
Ni makosa mkubwa sana
kujifariji kwa mlango wa dharura
katika jamii ya Waislamu walio
wengi, pale wanapokosa au
kutokuwa na mipango yakini ya
kujiweka sawa pamoja na kutumia
fursa ya nguvu waliyonayo
ya raslimali watu, kwa ajili ya
kujenga mahospitali, mashule na
vyuo kwa ajili ya kuandaa nguvu
kazi ya kuendesha vitu hivyo.
Lakini ni masikitiko makubwa
sana pale baadhi ya ndugu zetu
Waislamu wanapofanya juhudi za
makusudi kwa kuwaunganisha
watu kwa kufanya mchakato
wa kuj enga mashule, vyuo,
mahospitali nk. Yenye maadili
ya Uislamu, baadhi ndugu zetu
wengine wa Kiislamu wenye
dhamana ya kuongoza kwenye
taasisi, madrasa, Misikiti nk.
Kwenye jukwaa (kiriri) hutoa
shutuma za kipropaganda kwa
watu wanaofanya juhudi hizo za
makusudi kutaka kuinusuru jamii
ya Kiislamu kuwa eti hawana
elimu ya dini nk.
Watu wenye kufanya kazi ya
kuziunganisha nguvu kazi za
raslimali watu kwa ajili ya kupata
nusura ya kidini kwenye tasnia ya
afya nk, ni kwamba wanafanya
miongoni mwa kazi ya kidaawah,
kwa hivyo mtu anapotoa tuhumu
za uwongo dhidi yao ili kuwapaka
matope/kuwachafua kwa ajili
kuwafanya ni watu ambao hawafai
kusilizwa, kusaidiwa, kuungwa
mkono na kustahili kupigwa vita.
Kujenga hospitali yenye maadili
ya Kiislamu ni suala nyeti mno,
ambalo linagusa uhai wa kidini
na afya za Waislamu, kwa hiyo hii
ni turufu na fursa ya kidaawah ya
kuweza kuwaunganisha pamoja
Waislamu wenye itikadi, Misikiti,
taasisi na madrasa tofauti na
kuwafanya kuweza kuacha tofauti
zao na kuwa kitu kimoja kufanya
jambo lenye manufaa.
Markaz Arrahman Islamic Centre pamoja na Ibn Kathir
Masjid Irshard Mtaa wa Morogoro na Pangani DSM.
Inawatangazia Waislamu kuwa itaanza kutoa masomo ya
Dini kwa wanafunzi wenye upeo wa kusoma na kuandika
lugha ya Kiarabu, kufka kujiendeleza kimasomo kwa
mujibu wa Quran na Sunnah.
Markaz itachukua wanafunzi wa kutwa na kulala.
Usaili utaanza tarehe 30-30 Agosti, 2014 na tarehe 6-7,
Septemba, 2014 saa 2 asubuhi.
Kwa mawasiliano zaidi piga:
0715 526053
MUDIR
MASOMO YA DINI
15
AN-NUUR
DHULQAAD 1435, IJUMAA SEPTEMBA 5-11, 2014
Makala/Habari
RAMALLAH, (WAFA) - Prime
Minister Rami Hamdallah met
on Sunday with representatives
of several international and
humanitarian organizations
and discussed the government's
urgent intervention plan to relief
and reconstruct the Gaza Strip.
Hamdallah confrmed, during a
meeting in his ofce in Ramallah,
that the government will fully
cooperate with international
humani tari an organi zati ons
to reconstruct what the Israeli
bombardment destroyed in the
Gaza strips. He noted that the
government will reconstruct
Hamdallah: Government Working on Reconstruction of War-Battered Gaza
houses t hat were part i al l y
damaged and it will rent houses
for families whose homes were
destroyed completely as well as
temporary securing houses and
tents for displaced people.
T h e P M b r i e f e d t h e
r e p r e s e n t a t i v e s o n t h e
government ' s pri ori t i es t o
repairing the internal electricity
network and increasing its capacity
besides securing water pumps and
reestablishing destroyed water
wells and networks.
Furthermore, the consensus
gover nment wi l l i ncr eas e
supplying hospitals with the
medical aid and repairing its
damaged units, in addition to
immediately rehabilitating schools
to start the academic year.
The prime minister asserted
that the crew of the Ministry of
Public Works' is fully prepared
to immediately work on the
reconstruction of the Gaza Strip
as they are currently cooperating
with the UN teams in rebuilding
Gazas infrastructure.
The meeting was atended by
the deputy Prime Minister and
Minister of National Economy
Mohammed Mustafa.
Palestinian offcials slam Israeli
land confscation in West Bank
Donia Al-Watan
Chief Palestinian negotiator
Saeb Erakat called for diplomatic
action against Israel in response
to its move to annex 4,000 dunams
(1,000 acres) of Palestinian land
south of Bethlehem in the West
Bank on Sunday.
"The Israeli government is
commiting various crimes against
the Palestinian people and their
occupied land," Erekat told AFP.
"The international community
should hold Israel accountable as
soon as possible for its crimes and
raids against our people in Gaza
and the ongoing Israeli setlement
activity in the West Bank and East
Jerusalem."
Pri me Mi ni st er Benj ami n
Netanyahu's policy of constant
setlement expansion on land the
Palestinians claim for a future
state is deemed illegal by the
European Union and an "obstacle
to peace" by the United States and
opposed by both.
"Today's announcement clearly
represents Israel' s deliberate
intent to wipe out any Palestinian
presence on the land and to
willfully impose a de facto one-
state solution," senior PLO ofcial
Hanan Ashrawi said.
Some 550, 000 Israelis live
among 2.4 million Palestinians in
the West Bank and occupied East
Jerusalem, territory that Israel
captured in the 1967 Six-Day War
and later annexed in a move never
recognized by the international
community.
One-state solution
"As far as we know, thi s
declaration is unprecedented in
its scope since the 1980s and can
dramatically change the reality in
the Gush Etion and the Bethlehem
areas," Peace Now said.
" Peac e Now vi ews t hi s
declaration as proof that Prime
Minister Netanyahu does not
aspire for a new 'Diplomatic
Horizon,' but rather he continues
to put obstacles to the two-state
vision and promote a one-state
solution.
"By declaring another 4,000
dunams as state land, the Israeli
government stabs (Palestinian
president Mahmoud Abbas)
and the moderate Palestinian
forces in the back, proving again
that violence delivers Israeli
concessions while nonviolence
results in setlement expansion,"
it said.
Peace Now ofcial Hagit Ofran
told AFP that the legal basis for
such land confscation goes back
to an 1858 ruling by the region's
Otoman rulers.
"We are afraid that Netanyahu
will carry out a lot of expansion
because of the pressure he fells
from his right wing and the feeling
that the (Gaza) war did not end
up with many successes," he said.
Si nc e mi d- J une , I s r ae l i
authorities have announced
more than 1,472 new setlement
homes, slated to house around
6,000 Jewish setlers, across the
West Bank, including around
Bethlehem.
Israeli setlements are generally
built on the hills in and around
Palestinian towns and villages, and
critics charge they are strategically
located so as to encircle them and
make a contiguous Palestinian
state impossible.
Japan: Parties of Israeli-Palestinian Confict Should
Discuss Concrete Steps without Pre-Conditions
RAMALLAH, (WAFA) - The
Government of Japan stressed
that all parties concerned
in the Israeli-Palestinian
confict should discuss their
concrete steps without any
pre-conditions, adding that
ceasefire should lead to the
resumption of the Middle
East peace talks and the
stabilization of the entire
Middle East, Sunday said a
press release issued by the
representative ofce of Japan.
It welcomed the ceasefire
agreement between Israel and
the Palestinian Militants as
well as expressed respect for
meditation eforts by Egypt.
Japan stressed that the
lasting ceasefire should be
achi eved on the basi s of
relevant past agreements;
Ceasefre agreement proposed
by Egypt in 2012, Palestinian
Nat i onal Reconci l i at i on
Agreement proposed by Egypt
in 2009, Chapter 2 of the Israeli-
Palestinian Interim Agreement
on the West Bank and the Gaza
Strip in 1995.
The release stressed that
the international community
should render its support to
the stabilization of Gaza and its
people after a lasting ceasefre
is achieved.
The Government of Japan will
continue to play an active role
based on the above-mentioned
proposal in accordance with the
view that, for the stabilization
of the Gaza Strip and the entire
Middle East, our support
should not only be confned to
temporary aid but should also
reach out to long-standing,
seamless eforts ranging from
emergency humanitarian aid
to reconstruction, concluded
the release.
16
AN-NUUR
DHULQAAD 1435, IJUMAA SEPTEMBA 5-11, 2014
16
MAKALA
Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na POA Printing Works Limited, S.L.P. 4605 Dar es Salaam.

AN-NUUR
16
DHULQAAD 1435, IJUMAA SEPTEMBA 5-11, 2014
Tanzania Muslim Hajj Trust. Uandikishaji
unaendelea, gharama za Safari ni $ 4400
Tarehe za safari ni 22 na 24 Septemba na Kurudi
16 na 19 Oktoba, 2014.Tunasafri na Shirika la
Ndege
Umoja wa Falme za Kiarabu EMIRATES.
Wahi kujiandikisha sasa.
Kwa Mawasiliano:
+255222181577 +255222182370
0786 383820 0717 000065
info@hajjtrusttz.org or Website: wwwhajjtrusttz.org
Safari ya Hijja Hijiria 1435/2014
SHULE ya Msingi ya
Wi ngwi Mt emani ,
Wilaya ya Micheweni
Mkoa wa Kaskazini
Pemba, imepongezwa
na kuzawadiwa kwa
kufanya vizuri katika
mtihani wa darasa la
saba ikiwa ni awamu yao
ya kwanza.
Tukio la kuwazawadia
Wazazi , Wal i mu na
Wanafunzi wa shul e
hiyo limefanyika katika
haf l a i l i yoandal i wa
na kudhami ni wa na
Mwalimu wa Kiswahili
kut oka Chuo Ki kuu
cha London, SOAS na
Cambridge Bwana Yussuf
Shoka katika viwanj a
vya shule hiyo siku ya
Jumamosi ya tarehe 30
Agosti, 2014.
H a f l a h i y o
i l i y o s i ma mi wa n a
k u wa k i l i s h wa n a
mgeni mualikwa, Afisa
wa El i mu Mkoa wa
Kaskazini Pemba Bwana
Muhammed Nas s or
Salim ilihudhuriwa pia
na Wazazi, Wanafunzi na
Wanakijiji wa Shehia ya
Mtemani ambapo Afisa
huyo alimpongeza Bwana
Yussuf Shoka kwa moyo
wake wa kizalendo na wa
kujitolea kwa hali na mali
hususan katika nyanja ya
Elimu hapa nchini.
Kat i ka haf l a hi yo,
Mwalimu Yussuf Shoka
al i washaur i wal i mu
kusimamia suala zima la
maadili na nidhamu kwa
wanafunzi shuleni. Aidha,
Bwana Shoka aliwataka
wanafunzi kusoma kwa
bidii wakiamini kwamba
Elimu ndio mkombozi wa
maisha yao na kwamba
El i mu ni chachu ya
maendeleo ya taifa.
Wakati huo huo Bwana
Shoka ame wazadi a
wa n a f u n z i n a n e
wal i of aul u mchepuo
darasa la saba mwaka
2013, kwa kuwapa vifaa
mbali mbali vya kusomea
na f edha t asl i mu za
kujikimu.
Mwalimu huyo pia
Skuli ya Msingi Wingwi
Mtemani yapongezwa
Ali Othman Ali ametoa fedha taslimu kwa
walimu wote wa shule
ya Wingwi Mtemani na
kamati nzima ya shule
ya Msingi Mtemani ili
kuwapa motisha kwa kazi
nzuri wanayoifanya katika
kuendeleza maendeleo ya
Elimu na ustawi wa shule
hiyo na Taifa kwa ujumla.
Akizungumza katika
hafa hiyo, Bwana Shoka
aliahidi kuipatia ofisi
ya Mwa l i mu Mkuu
kompyuta moja, printer
na mashine ndogo ya
fotokopi kama zawadi
kwa ajili ya shule hiyo.
Pia aliahidi kuanzisha
maktaba ya kisasa katika
shule hiyo ili kujenga na
kuendeleza utamaduni
wa kusoma na kaundika
ili kunyanyua kiwango
cha El i mu na ufaul u
shuleni hapo.
Akihitimisha hutuba
yake kwa walengwa wa
hafa hiyo, Bwana Shoka
ameahi di kuendel eza
u t a m a d u n i w a
kuwazawadia wanafunzi
wote watakaofaulu katika
ngazi ya mchepuo kutoka
katika shule zote nne za
msingi za Wingwi kuanzia
mwaka 2015.
Aidha, Bwana Shoka
a l i ba i ni s ha s a ba bu
zilizompelekea kuandaa
hafla hiyo kwa kusema;
Mimi si mwanasiasa,
nabakia kuwa Mwalimu.
Naomba nieleweke kuwa
sitoi kwa ajili ya kujijenga
kisiasa na wala sitoi kwa
sababu nina fedha nyingi.
Natoa kwa ajili ya Mungu,
na kwa ajili ya ndugu
zangu kwa kiasi ya uwezo
nilioj aaliwa nikiamini
kwamba kutoa ni moyo
na wala si utajiri.
Wakati huo huo, Mgeni
rasmi katika hafla hiyo
Bwa na Muha mme d
N a s s o r a l i wa a s a
wanafunzi kujiepusha
na matumizi mabaya ya
teknolojia ya kisasa ya
internet na Kompyuta
kwa kuwataka wanafunzi
wa shule hiyo kuitumia
teknolojia hiyo kwa ajili ya
kujiendeleza na kujiletea
maendeleo yao na taifa
kwa ujumla.
MWANAFUNZI Abubakar Mohammed Bakar akipokea zawadi.
MWALIMU Mkuu Shule ya Msingi Mtemani Bi Wahida Saleh Hamad akipongezwa
na mdhamini wa hafa Bwana Yussuf Shoka.

You might also like