Professional Documents
Culture Documents
Ndugu wanahabari,
Serikali kupitia Wizara yangu imeweka na utaratibu wa kutoa taarifa ya
mwenendo wa magonjwa ya mlipuko yanayoikumba nchi yetu kwa
wakati
husika
ili
kutoa
elimu
na
kuifahamisha
jamiii
hatua
wiki iliyotangulia ya Juni 20 hadi 26, 2016. Mkoa ambao bado umeendelea
1
na utunzaji wa
wagonjwa
wachache,
natoa
agizo
kwamba
wagonjwa
wote
sampuli hizo za
Hitimisho
Wizara inaendelea kuwapongeza na kuwashukuru wadau wote kwa
jitihada za dhati zinazoendelea kutekelezwa katika kusimamia kikamilifu
miongozo inayotolewa na Wizara ili kutokomeza magonjwa ya milipuko,
ikiwa ni pamoja na wataalamu wa sekta mbalimbali, Mashirika ya
Kimataifa, Watumishi, Mikoa na Halmashauri pamoja na waandishi wa
habari na wananchi kwa ujumla.
Asanteni kwa kunisikiliza