Professional Documents
Culture Documents
Zanaki Street Plot No. 2285/7, Opp. CCM Office Mtendeni Branch
P.O.Box 75206 Dar es Salaam, Tanzania
Tel: +255 22 123236 Mob: +255 715 339090, +255 713 488269
2.2
2.3
Kimsingi uamuzi wa Mh. Nnauye unaonekana hauna nia njema ndani yake kwani
Kifungu cha 28 cha Sheria ya Mamlaka ya Mawasiliano nchini (TCRA) alichotumia
kutoa adhabu hiyo, hakimlazimishi kufungia Vituo vya Radio kama alivyofanya.
Kosa la vituo hivyo kwa mujibu wa Waziri ni Uchochezi, lakini hakuweka bayana
maudhui ya vipindi au habari ambazo zilivifanya vituo hivyo kutiwa hatiani na
2.4
baadaye kufungwa kwake kwa muda usiojulikana. Kwa sababu hiyo si rahisi kwa
waandishi wengine wa habari kujifunza kwa makosa ya wenzao kwa kuwa mchakato
uliotumika kushughulikia suala hilo umebaki kuwa siri ya waziri.
2.5
Tunapinga uamuzi wa serikali kuvifungia vituo hivyo sababu na tunatoa mwito kwa
Waziri Nape kutafakari upya suala hili na kuachana kabisa na dhamira hiyo isiyokuwa
na tija kwa nchi yetu.
NEVILLE MEENA
KATIBU WA JUKWAA LA WAHARIRI TANZANIA (TEF)
DAR ES SALAAM, AGOSTI 30,2016