You are on page 1of 1

Kumb.

Na ABL/SGF/007
Tarehe: 07.08.2020

SERIKALI YA MTAA VIJIBWENI


S.L.P
DAR-ES-SALAAM

Kwa yeyote anaye husika


YAH: UTAMBULISHO WA KIKUNDI CHA WHITE

Ndugu, walioambatana na barua hii, ni wanakikundi waliojiunga na benki ya Amana na kupata mikopo
chini ya udhamini wa kikundi.
Ndugu KHANIFA.J.DAFA amekopa mkopo wa shilingi 300,000/= mnamo tarehe 21/02/2020 chini ya
udhamini wao ambao marejesho yake ni kila wiki shilingi 12,500/=. Ndugu huyu halipi marejesho ya
mkopo wake kwa muda mrefu sasa licha ya kupelekewa taarifa mbalimbali za ukumbusho.

Hivyo tunaomba wadhamini wake waliofika katika ofisi yako uwape ushirikiano ili mdaiwa awalipe
pesa taslim shilingi 131,500/= ikiwa sehemu ya deni lililobaki. Vilevile unaombwa kuwapatia
wanakikundi ruhusa na msaada wowote utakaohitajika ikiwemo kukamata mali za mdaiwa ambazo
aliziweka kama dhamana katika kikundi na endapo hazikutosha kulipa deni basi mali nyingine ambazo
hazikuwekwa dhamana zishikiliwe ili deni lote liweze kulipika kama ilivyoanishwa katika mkataba wa
ukopeshaji.

Natanguliza shukrani zangu za dhati na nataraji ushirikiano mkubwa toka kwako.

WAKO,
Amana Bank Limited
……………………………… ………………………

MENEJA WA TAWI AFISA MKOPO

P. O. Box 9771, Ohio Street


Golden Jubilee Tower
Tel: +255 22 212 9007/8 | Fax: +255 22 212 9013
info@amanabank.co.tz
www.amanabank.co.tz

You might also like