Professional Documents
Culture Documents
BismiLLaah
MAANA YAKE:
KIARABU;
سم ِ الله
ْ ِب
Ash-hadu alla Ilaaha illa Allaah wahdahu laa shariyka Lahu Wa ash-hadu anna Muhammadan 'abduhu wa
Rasuuluhu, Allahumma-j-'alniy minat Tawwabiyn waj'alniy minal-mutatwahiriyn
MAANA YAKE:
Nakiri kwa moyo na kwa kauli kwamba hapana Mola apasae kuabudiwa kwa haki ila ni Allaah peke Yake,
wala Hana mshirika wake, na ninakiri kwamba Muhammad صلى هللا عليه وسلمni mja wake na ni Mtume
wake” “Ee Allaah nijaalie niwe miongoni mwa wale wanaoomba msamaha, na nijaalie miongoni mwa
wale waliosafi" isipokuwa atafunguliwa milango minane ya pepo aingie wowote autakao
KIARABU;
َأ ْشهَ ُد َأ ْن ال ِإلَـهَ ِإالّ هللاُ َوحْ َدهُ ال َشريـكَ لَـهُ َوَأ ْشهَ ُد َأ َّن ُم َح ّمـداً َعبْـ ُدهُ َو َرسـولُـه
ِ اللّهُـ َّم اجْ َعلنـِي ِمنَ التَّـوّابينَ َواجْ َع ْـلني ِمنَ المتَطَه
َّـرين