You are on page 1of 1

UPLANDS FM RADIO

Email: Info@Uplandsfm.co.tz
Mobile: +255 (0) 629 066 002, +255(0) 767 387 277

Safari ya Malezi Team


S.l.p 610
Njombe.
20/1/2023
Mkurugenzi Mtendaji
UPLANDS RADIO
S.L.P 610
YAH: MAOMBI YA TSH:70,000/=
Kichwa cha Habari Chaeleza,
Mimi BINASI LUGONO Mfanyakazi wako katika idara ya vipindi na msimamizi wa
kipindi cha safari ya malezi, naomba fedha tajwa hapo juu kwaajili ya maandalizi
ya kipindi cha safari ya malezi kama ilivyo utaratibu wetu wa kila wiki.
Natumaini ombi langu litafanikiwa.
Wako katika ujenzi wa uplands fm
………………………………………………..
BINASI LUGONO

Web:www.uplandsfm.co.tz

You might also like