You are on page 1of 15

English Swahili Example (English, then Swahili)

The surgeon has ordered the nurse to Daktari mpasuaji ameagiza


clean the patient's abdomen before the muuguzi kusafisha tumbo ya
Abdomen Tumbo surgery. mgonjwa kabla ya upasuaji.
Mgonjwa ambaye daktari alilaza
The patient whom the doctor admitted hospitalini aliumia kwenye njia
Airway Njia ya kupitisha hewa. had an injured airway. ya kupitisha hewa.
The patient who was diagnosed with Mgonjwa aliyepatikana na
AIDS (Acquired Immune Ukimwi. Ukosefu wa AIDS has been given instructions on ukimwi alipewa maagizo kuhusu
Deficiency Syndrome). kinga mwilini. her nutrition. lishe.
Daktari alimwagiza mgonjwa
Upungufu wa damu The doctor instructed the patient who ambaye ana upungufu wa damu
Anemia mwilini has anemia to eat healthy foods. kula lishe bora.
The anesthesiologist made sure that Mtaalamu wa unusukaputi
Hali ya kutokuwa na hisia the patient's nerves were not active aliakikisha kuwa mgonjwa hana
Anesthesia (nusu kaputi) before the surgery. hisia kabla ya upasuaji.
Daktari alimshauri mgonjwa
The doctor advised the patient with ambaye ana ugonjwa wa baridi
arthritis not to walk for long periods in yabisi asitembee kwa mda mrefu
Arthritis Ugonjwa wa baridi yabisi. order to reduce the pain in her legs. ili kupuguza maumivu ya miguu.
Mgonjwa ambaye alibainika
The patient who was diagnosed with kuwa na ugonjwa wa pumu
asthma had difficulty in breathing and alikuwa na shida ya kupumua na
the doctor advised him to avoid cold daktari akamuagiza aepuke hali
Asthma Pumu environments. ya hewa baridi.
Daktari alibaini kwamba ugonjwa
The doctor established that the patient's aliokuwa nao mgonjwa
Bacteria Bakteria disease was caused by bacteria. ulisababishwa na bakteria.
Daktari alimuagiza muuguzi
The doctor ordered the nurse to apply a amfunge mgonjwa aliyekuwa na
bandage to the deep cut on the jeraha kubwa kwenye mkono
Bandage Bendeji patient's hand. wake bendeji.
The doctor suggested that a band-aid Daktari amependekeza kitambaa
be applied on the painful hand before kifungwe kwa mkono unaouma
Band-Aid kitambaa an X-ray was done. kabla ya eksirei kufanywa.
Daktari aliagiza kuigizwa kwa
Kuingiza kemikali kwenye The doctor ordered a barium enema for kemikali kwenye utumbo wa
utumbo kabla haujapigwa the patient before the X-ray was done mgonjwa kabla ya kufanyiwa
Barium enema eksirei. on her abdomen. eksirei kwenye tumbo.
Daktari alimweleza mgonjwa
ambaye alikuwa na shida ya
The doctor told the patient who had mmeng'enyo wa chakula kuwa
digestion problems that her bile duct mshipa wa nyongo yake ulikuwa
Bile Nyongo had a problem. na shida.
Daktari alimshauri mgonjwa
The doctor advised the patient to get kupokea cheti cha kuzaliwa
the birth certificate from government kutoka kwa wahudumu wa
Birth certificate Cheti cha kuzaliwa agencies. serikali
Daktari aliwashauri wamama
The doctor advised lactating mothers wenye kunyonyesha kuhusu njia
Birth control Udhibiti wa uzazi. on birth control methods. za udhibiti wa uzazi.
Lengelenge (uvimbe ulio The patient has sustained a severe Mgonjwa amepatwa na
na maji unaotokea juu ya blister after being burned with hot lengelenge baada ya kuchomwa
Blister ngozi ). water. na maji moto.
The doctor ordered a blood transfusion Daktari aliagiza mgonjwa
for the patient who had lost a lot of aliyepoteza damu kwenye ajali
Blood Damu blood in the accident. aongezwe damu.
Kiwango cha chembe nyeupe za
The white cell count has confirmed that damu kimedhihirisha kuwa
the patient is suffering from a severe mgonjwa anaugua ugonjwa wa
Blood count/blood cell count chembe ya damu. bacterial infection. bakteria mingi mwilini.
The doctor advised the patient who had Daktari alimshauri mgonjwa
blood discharge to undergo a cancer aliyetokwa na damu apimwe
Blood discharge kutokwa na damu. test. dhidi ya ugonjwa wa saratani.
Kwa sababu mgonjwa ameenda
Because the patient has had bowel haja kubwa, mtaalam wa shida
kunyamba; pitisha haja movements, the gastroenterologist za tumbo amependekeza
BM (Bowel movement) kubwa. suggested he be discharged. anaweza futiwa.
Daktari alimshauri mgonjwa
The physician advised the patient not to kuwa asishike uowevu wa mwili
come into contact with bodily fluids from kutoka kwa mtu mwingine ili
another person in order to avoid kuzuia kuenezwa kwa
Bodily fluids uowevu wa mwili. disease transmission. magonjwa.
Mtaalam wa mifupa ameamuru
The orthopedist has ordered an X-ray eksirei ifanywe kwenye mguu wa
on the patient's leg to rule out a mgonjwa ili kubaini iwapo mfupa
Bone Mfupa. fracture. wake umevunjika.
Kwa sababu daktari ameona
Because the physician has confirmed damu yako kuwa chini mda
chembe ya mfupa: Punje that your blood level has been low for a mrefu amependekeza punje
ndogondogo zilizo ndani long time, he has suggested a bone ndogondogo zilizo ndani ya
Bone marrow ya mfupa. marrow aspirate be done. mfupa zipimwe.
The doctor has ordered brain surgery Daktari ameamuru upasuaji wa
Brain Ubongo. on the patient. ubongo ufanyiwe mgonjwa.
The oncologist told the patient that the Daktari alimwambia mgonjwa
test needed to be done on her breast to kwamba atapimwa kwenye titi
Breast Titi, Ziwa. see whether she has breast cancer. kubaini kuwa ana saratani ya titi.
Mtaalam wa kutibu mifupa
The orthopedic surgeon has instructed amemwagiza mgonjwa kulala
Mfupa wa kidari (mfupa the patient to always lie on her back Kwa mgongo kwa maana ana
Breastbone wa matiti) due to the pain in her breastbone. maumivu ya mfupa wa kidari.
Mama aliyekuwa na mimba ya
uzazi wa kutanguliza The mother who had breech uzazi kutanguliza matako
matako (makalio,sehemu presentation pregnancy underwent a alifanyiwa upasuaji wa kumzaa
Breech baby ya nyuma ya mwili). successful operation. mtoto kikamilifu.
Daktari alimshauri mgonjwa
The doctor advised the patient suffering aliyeugua mkamba aache kufuta
Bronchitis Mkamba. from bronchitis not to smoke. sigara.
Because the patient has severe burn Kwa sababu mgonjwa
wounds, he will be admitted to the anavidonda vibaya vya
Burn choma, mchomo hospital. kuchomeka, atalazwa hospitalini.
Daktari alimshauri mgonjwa
The doctor advised the patient who had aliyekuwa na maumivu kwenye
Matako; makalio, sehemu sores on his buttocks not to sit on hard matako asikae mahali pana
Buttocks ya nyuma ya mwili. surfaces. ugumu.
Mtaalam wa saratani alibaini
After the test, the oncologist established kuwa mgonjwa aliugua saratani
Cancer kansa (saratani) that the patient had lung cancer. ya mapafu baada ya kupimwa.
The physician advised the patient to eat Daktari alimshauri mgonjwa ale
Kabohaidreti (vyakula vya foods rich in carbohydrates so that he vyakula vya wanga ili awe na
Carbohydrate wanga) may be strong. nguvu.
The athlete who was brought to the Mkimbiaji aliyeletwa hospitalini
hospital after fainting had baada ya kuzirai alifanyiwa
cardiopulmonary resuscitation and was jaribio la kufufua moyo na
Cardiopulmonary Jaribio la kufufua moyo observed before being discharged from mapafu kIsha akaangaliwa kabla
resuscitation na mapafu. the hospital. ya kutoka hospitalini.
Baada ya mgonjwa kupasuka
mfupa wa sehemu unganishi ya
mkono, alipatwa na shida ya
Ugonjwa wa kufa ganzi After a wrist fracture, the patient kufa ganzi neva ya kati ya
Carpal tunnel syndrome neva ya kati ya mkono. complained of carpal tunnel syndrome. mkono.
Wakati picha ya eksirei ilifanywa,
When the X-ray was performed, the Mtaalam wa eksirei alibaini kuwa
radiologist concluded that the patient's mgonjwa alikuwa amepasuka
Cartilage gegedu/tishu. knee had torn cartilage. gegedu la goti.
Wataalam wa mifupa hutumia
Orthopedic specialists use plaster casts ganda la plasta kufungia kwenye
to apply to broken bones in the hands mifupa ya mikono na miguu
Cast Ganda la plasta and legs. iliyovunjika.
Baada ya picha changanufu ya
picha changanufu (ya After a CAT Scan was done, the mwili kufanywa, ubainifu wa
CAT Scan kuchunguza) ya mwili. patient's final diagnosis was attained. mwisho wa ugonjwa uliafikiwa.
Daktari aliagiza muuguzi
kutayarisha katheta ili
Katheta (neli ya kuingiza The doctor ordered the nurse to kumhudumia mgonjwa
uowevu katika mishipa prepare the catheter so as to attend to aliyekuwa na shida ya uti wa
Catheter mwilini). the spinal patient. mgongo.
The midwife gave the mother who was Mkunga alimpa dawa mama
in labor some medicine to assist in aliyekuwa na uchungu wa uzazi
opening her cervix for the baby to pass ili kufungua mlango wake wa
Cervix mlango wa kizazi. during childbirth. kizazi ili mtoto apite.
Daktari alimshauri mgonjwa wa
The doctor advised the cancer patient saratani afanyiwe tibakemikali ili
to go for chemotherapy to reduce the kupunguza makali ya kansa
Chemotherapy Tibakemikali. cancer effects on his body. kwenye mwili wake.
Mgonjwa ambaye daktari
alimlaza hospitalini alikuwa na
The patient whom the doctor admitted kiwango cha juu cha joto kwa
Tete kuwanga; ugonjwa to the hospital had a fever due to sababu ya ugonjwa wa
Chicken pox wa ngozi. chickenpox. tetekuwanga.
The expectant mother was advised by Mama mjamzito alishauriwa na
the doctor not to do heavy work before daktari asifanye kazi zito kabla
Childbirth Kuzaa/kujifungua. childbirth. ya wakati wake wa kujifungua.
Daktari alimchunguza mgonjwa
The doctor examined the patient whose aliyekuwa na uvimbe kwenye
Chin Kidevu. chin was swollen. kidevu.
Daktari alimpa maagizo ya
The doctor prescribed medicine to the matumizi ya dawa mgonjwa
patient who was diagnosed with chronic aliyekuwa na mafindifindo ya
Chronic tonsillitis Mafindofindo ya kudumu. tonsillitis. kudumu.
Kromosomu (nyuzinyuzi Kromosomu za wanaume ni XY,
katika kiini cha seli zenye Male chromosomes are XY, and female na Kromosomu za wanawake ni
Chromosomes jeni). chromosomes are XX. XX.
Daktari aliagiza upasuaji mdogo
kaakaa mlililopasuka (paa The doctor ordered minor surgery on ufanyiwe mgonjwa aliyekuwa na
Cleft palate la kinywa lililopasuka) the patient who had a cleft palate. kaakaa lililopasuka.
Daktari alimuagiza muuguzi
The doctor ordered the nurse to apply kutia dawa kwenye kidonda cha
some medicine to the patient's cut so mgonjwa ili kusaidia mgonjwa
Clot Donge la damu. as to help stop bleeding. asipoteze damu.
The physician advised the nurse to Daktari alimwagiza muuguzi
isolate the patient in his own ward, kumtenga mgonjwa kwenye
since he suffered a communicable wadi yake pekee kwani aliugua
Communicable disease Maradhi ya kuambukiza. disease. maradhi ya kuambukiza.
Daktari alimshauri mgonjwa
Jeraha la bongo The doctor advised the patient to go for kufanyiwa eksirei ili kubaini
linalotokana na an X-ray to know whether he had a iwapo alipatwa na jeraha la
Concussion kupigwa/kugongwa. concussion after the accident. ubongo baada ya ajali.
The cardiologist requested that the Mtaalam wa roho alimwagiza
nurse keep the congestive heart failure muuguzi kukiweka kitanda cha
patient's bed elevated near the head mgonjwa wa roho kufeli sababu
Roho kufeli kwa sababu and chest region to reduce difficulty in ya kujawa damu kimeinuka kwa
Congestive heart failure ya kujawa damu. breathing. semu ya kichwa na kifuani.
Mgonjwa aliyekuwa na hali ya
kufunga choo ametibiwa na
Hali ya kufunga choo The patient who had constipation has dawa za kufanya choo kuwa
Constipation (kutopata choo barabara). been treated with stool softener drugs. chepesi.
Vipimo vya maabara
vimedhihirisha ya kwamba
Laboratory tests have confirmed that mgonjwa anaugua kutokana na
kuambukiza; kuenea the patient is suffering from a highly virusi vya ugonjwa unaoenea
Contagious upesi. contagious viral disease. upesi.
The reason the patient could not see Sababu ya mgonjwa kutoona ni
was because his bilateral cornea was kwa kuwa konea zake mbili
Cornea Konea. inflamed. zilikuwa na uvimbe mchungu.
Mgonjwa anayeugua ugonjwa
wa mkamba aliulizwa kukooa
The patient suffering from bronchitis kuondoa kooni koozi wakati wa
was requested to cough up sputum uchunguzi wa kimatibabu wa
Cough up Ondoa kooni kwa kukooa. during her routine medical examination. mara.
Mgonjwa aliyetambuliwa na
sababisha mkakamao The patient diagnosed of dysmenorrhea maumivu ya hedhi kwanza
(uchungu kama mvuto) presented with severe abdominal alilalamikia mkakamao misuli wa
Cramps misuli. cramps. tumbo.
Baada ya plasta (kikandiko)
After the plaster was applied, the kuwekwa, Mgonjwa aliyeugua
patient suffering a fractured leg was kuvunjika mguu alitolewa
discharged from the hospital on hospitalini kwa gongo la
Crutches Gongo la kutembea. crutches. kutembea.
The child who sustained a cut wound Mtoto aliyepata kidonda cha
Cut kata has been stitched up. mkato ameshonwa
Jinakologia ameonelea kwamba
The gynecologist suggested that the mgonjwa anayeugua uvimbe
patient suffering from an ovarian cyst uliojaa maji kwa ovari afanyiwe
Cyst Uvimbe uliojaa maji. be operated on. upasuaji.
Kapilari. Mishipa midogo Mgonjwa aliyekuwa na kapilari
ya damu inayoenea The patient who had bleeding from the zenye kuvuja damu aliongezewa
Capillary mwilini. capillaries was transfused. damu
Mgonjwa aliyeletwa hospitalini
The patient who was brought to the akiwa ameumia kiungo cha
Kiungo cha kiganja na hospital with a fractured carpal has kiganja na mkono alifanyiwa
Carpus mkono. been operated on. upasuaji.
Mgonjwa aliyekuwa amepasuka
kwenye gegendu la goti
Gegendu, tishu. Aina ya ameruhusiwa kwenda nyumbani
mfupa ambao huzunguka Tishu Muunganiko wa seli
viungo vya mnyama pale The patient who had knee cartilage mbalimbali za aina moja zenye
Cartilage kwenye viungio. damage has been discharged. kazi maalum mwilini.
Mgonjwa aliyekuwa na maumivu
makali ya tumbo alipatikana
The patient who had severe abdominal kuwa na ugonjwa kwenye
Colon Utumbo mpana. pain was found to have colon disease. utumbo mpana.
Sababisho la kutoweza kusikia
The patient's cause of deafness was kwa mgonjwa ni uvimbe
persistent otitis media that affected the mchungu wa tundu la sikio
Deafness Ziwi; sioweza kusikia. eardrum. uliokaa mda mrefu.
Kutanua na kukwanguliwa
A D&C was done on the gynecological kulifanyiwa mgonjwa wa
D&C (Dilatation and Kutanua na kukwangulia patient who had an incomplete septic jinakologia aliyeugua kutoavya
curettage) (kuchunia) abortion. mimba yote kulikooza.
Mtoto aliyeishiwa maji aliogezwa
The dehydrated baby was only maji tu kupitia kwa mishipa na
kuishiwa maji/kukausha rehydrated on intravenous fluids and kufutiwa kwa madawa kwenda
Dehydration maji. discharged to go home on medicines. nyumbani.
Ni shauri kwa kila mgonjwa
anayeugua ugonjwa wa kisukari
kupimwa kiwango cha sukari
It is advisable for every diabetes patient kwenye damu cha asubuhi kabla
to monitor fasting blood sugars often in ya kula mara kwa mara hili
Diabetes Kisukari order to prevent complications. kuepuka utatanishi.
Mgonjwa aliyeugua nasuri ya
The patient who had vesicovaginal kibofu na uke nadra angeweza
Diaper nepi fistula could hardly be without diapers. kuishi bila nepi.
Ugonjwa wa kupooza ni ugonjwa
Polio is an immunizable disease that wenye chanjo unaoweza
Disability Ulemavu can cause permanent disability. sababisha ulemavu wa kudumu
Mgonjwa aliyelalamikia mtoto
kuwa wake kwa kesi ya
The patient who claimed that the baby kihospitali ya uzazi aliamrishwa
was hers in a maternity case was kufanyiwa uridhi muhimu wa
ordered to do a DNA test to prove the kimwili hili kubaini ukweli wa
DNA (Deoxyribonucleic Acid) muhimu wa kimwili. truth of the matter. mambo.
Kupiga bomba ya kusafisha kwa
uke kunaweza sababisha
Ladies' frequent vaginal douching can uvimbe mchungu wa uke wa
Douche Piga bomba ya kusafisha. lead to recurrent vaginitis. mara.
Baada ya mama kuona
kuchelewa kukua kimaumbile
kwa mtoto wake, alimpeleka kwa
daktari wa watoto ambaye
Ugonjwa wa kuwepo After the mother noted physical growth alisema kwamba alikuwa na
kromosomu ya tatu kwa delays in her child, she took him to a tabia za kuwepo kromosomu ya
kromosomu ya ishirini na pediatrician, who said the baby had tatu kwa kromosomu ya ishirini
Down Syndrome moja. characteristics of Down Syndrome. na moja.
The patient who had a painful purulent Mgonjwa aliyekuwa na uvimbe
ukausaji; unyonyaji; abscess had an incision and drainage uliojawa usaha alifanyiwa mkato
Drainage ufifishaji. performed today. na ukaushaji leo.
Baada ya kuweka kifaa
kinachoingia kwenye mshipa,
After placing the intravenous infusion, daktari aliona damu ikitona
the doctor could observe the blood (ikidondoka) kidogo kidogo
Dripping tona; Dondoka. dripping slowly down. kwenye tyubu.
Baada ya vipimo, mgonjwa
alipatikana akiwa na
After the laboratory test, the boy was maambukizo ya bakteria ya sikio
diagnosed with an ear infection. That is ndio maana kuna usaha kwenye
Ear infection Maambukizo ya sikio. why there was pus in his ear. sikio lake.
Mgonjwa alipelekwa chumba
The patient was taken to the cha dharura ili atolewe ujauzito
emergency room for the removal of the uliokuwa nje ya mji wa mimba
Ujauzito ulio nje ya mji wa ectopic pregnancy that endangered her yenye ilikuwa imehatarisha
Ectopic pregnancy mimba. life. maisha yake.
Taaluma (kitendo) ya
kurekodi mwendo Daktari ali rikodi mwendo wa
sehemu za mwili kama The doctor recorded the EKG of the moyo wa mgonjwa aliyepatikana
ECG vile moyo. patient who had a heart attack. na mshituko wa moyo
The patient, who had fractured enamel Mgonjwa aliyevunja gamba la
from the accident, needs a tooth jino kutokana na ajali anahitatiji
Enamel Gamba ya jino. extraction. kubadilishwa jino.
Vipimo vilionyesha kuwa kijana
aliyedumaa (hakukua vizuri)
Kutoa aina za kemikali The laboratory tests showed the alikuwa na ukosefu wa kutoa
katika mwili Kama vile stunted boy had an endocrine growth kemikali za mwili (homoni) za
Endocrine gland homoni. hormone deficiency. kukua.
Mtaalam wa ubongo alimpata
mgonjwa aliyekuwa na maumivu
ya kichwa na Kizunguzungu, na
The patient, who had a headache and donge kwenye mshipa ulio juu
Juu ya utando (kifuniko) dizziness, was diagnosed with an ya utando (kifuniko) wa nje wa
Epidural wa nje wa ubongo. epidural hematoma by the neurologist. ubongo.
Ugonjwa wa kifafa –
Kupoteza fahamu kwa
mda huku akipigapiga He was diagnosed with high-grade Alipatikana na kifafa cha
mikono na miguu na epilepsy and was hospitalized for three kiwango cha juu na akalazwa
Epilepsy kutoa pofu mdomoni. weeks. kwa muda wa wiki tatu.
Mtaalam wa macho alimpata na
The ophthalmologist diagnosed him maambukizo ya bakteria ya jicho
with a bacterial eye infection and na akamwagiza dawa ya tone la
prescribed him eye drops to be used jicho iwekwe mara mbili kwa
Eye drop Tone la jicho twice daily. siku.
Wakati wa ajali, mgonjwa
During the accident, the patient was ameumiya kwenye kigubiko cha
Eyelid Kigubiko cha jicho. injured on her eyelid. jicho lake.
uti wa mgongo Spinal Kuvuja damu kwenye uti wa
cord – Utando wa uti wa Epidural bleeding can lead to sudden mgongo kwaweza sababisha
Epidural mgongo. death. kifo cha dharura.
Wakati wa mimba
/ujauzito unaokuwa Mama mjamzito aliharakishwa
wakati sehemu ya kijusi kwa chumba cha kuzaa kwa
(mimba changa) The pregnant woman was rushed into sababu kichwa cha kijusi (mimba
ishashuka kwa the delivery room because there was changa) kilikuwa kishashuka
Engagement fupanyonga ya mamake. engagement of the fetal head. kwenye fupanyonga ya mamake.
The patient fainted due to exposure to Mgonjwa alizirai Kwa sababu ya
Faint Ziraai (poteza fahamu). high temperatures. kujiachilia kwa joto nyingi
Mshipa wa damaris
Mshipa unaoshikanisha unaoshikanisha mbegu za
mbegu za wazazi na mji wazazi na mji wa mimba
Fallopian tube wa mimba. Damaris has a blocked fallopian tube. umefungana.
Daktari wangu anagojea majibu
kutoka kwenye mahabari ili
My doctor is waiting for laboratory kujua ugonjwa wangu. Muuguzi
feedback to diagnose my condition. The amejulisha daktari mtaalamu wa
nurse informed the obstetrician that the kutibu wamama wajawazito ya
patient is not having bowel movements, kwamba mgonjwa hawezi
Majibu ya utekelezaji wa and the nurse is waiting for the kunyamba,na muuguzi anangoja
Feedback mambo Fulani (maazimio) obstetrician's feedback. majibu ya utekelezaji ya daktari.
Daktari mtaalamu wa uzazi
The gynecologist reported that ninety aliripoti kwamba asilimia tisini ya
Kijusi (Mimba ya miezi percent of fetuses develop into full-term mimba ya miezi mine(vijusi)
Fetus mine). babies. hukua watoto waliofikisha mda.
Muuguzi amelalamikia joto la
A nurse complained of a fever after homa baada ya kuhudumia
Fever Joto la homa. attending to an ebola patient. mgonjwa wa ebola.
Wanawake ambao wako na
uvimbe mwepesi wa musuli wa
mji wa mimba hupoteza damu
Uvimbe nyepesi wa Women who have uterine fibroids lose nyingi na huwa na upungufu wa
Fibroids musuli. a lot of blood and develop anemia. damu.
Daktari mtaalam wa mfumo wa
mkojo amependekeza
The urologist has recommended a matembezi ya kufuatilia kwa
weekly follow-up visit for two old men wanaume wawili wazee walio na
Follow-up visit Tembelea kufuatilia. with renal failure. dosari la figo.
The wound, which resisted treatment, Kidonda kilichokataa matibabu
necessitated amputation of his kililazimisha kukatwa kwa kidole
Forefinger Kidole cha shahada. forefinger. chake cha shahada.
Wahusika wawili wa ajali
Two accident victims have fractures in barabarani wako na mvunjiko wa
Fracture Mvunjiko. their legs. miguu yao.
Kibofu nyongo – Mfuko
wenye umbo la pia, Mgonjwa aliyemeza dawa
iliyoko chini ya kulia ya The patient who had taken expired iliyokwisha fika mwisho wake
ini, ambapo nyongo drugs later got cholecystitis baadaye alipatikana na uvimbe
Gallbladder huifadhiwa. (inflammation of the gallbladder). wa kibofu nyongo.
Madawa mengi ya jenasi huwa
Generic Jenasi. Most generic drugs are inexpensive. bei rahisi.
Daktari alimwambia mwanamke
mjamzito kuwa alikuwavkatika
The doctor told the pregnant woman wiki ya thelathini na saba ya
Kipindi cha kuchukua she was 36 weeks into her gestation kipindi chake cha kuchukua
Gestation mimba/Ujauzito. period. mimba.
Kisonono – Ugonjwa wa
Gonorrhea zinaa wa kuambukiza. He was diagnosed with gonorrhea. Alipatikana na kisonono.
Kipandikizi/Kipande cha
ngozi au mfupa cha mtu
ama mnyama kilichotiwa
mwilini mwa mtu Mgonjwa aliyekuwa na shida ya
mwingine au katika The patient, who suffered from renal figo alipata kipandikizi cha figo
sehemu nyingine ya mwili problems, got a kidney graft from a kutoka kwa mtu wa ukoo wa
Graft uleule. close relative. karibu.
Kinena (Eneo la mwili
iliyojuu ya sehemu za siri He had swelling in the groin, which Alikuwa na tezi kwa kinena
Groin kabla ya tumbu). turned out to be cancer. yenye ilibadili kuwa Saratani.
Ufizi wa meno - Mtaalam wa meno aaling'oa
,sine(sehemu inayoota The dentist easily extracted his teeth meno yake kwa urahisi kwa
meno kinywani mwa because his gums had a bacterial sababu alikuwa na maambukizo
Gums mwanadamu). infection. ya bakteria ya ffizi zake.
Matumbo/utumbo –
Kiungo au sehemu ya Baada ya mpigo wa bunduki kwa
ndani ya mwili ambayo tumbo, daktari alifanya
hupokea chakula na kitendo/taaluma ya kufungua
vinywaji na kuvisaga After the gunshot to the abdomen, the tumbo (upasuaji) ili
baada ya kumeng’enywa doctor did a laparotomy on the patient kutengeneza/kurekebisha
Gut kwenye mdomo. to repair the gut. matumbo.
Hitilafu ya macho
inayosababishwa na
mwanga kutofika kwenye Mgonjwa aliyekuwa na mtoto wa
retina (sehemu jicho alilamikia hitilafu ya macho
inayopokea nuru ndani ya The patient who had a cataract inayosababishwa na mwangaza
Glare jicho). complained of glare vision. kutofika retina.
Ugonjwa wa kuzaliwa na
mwanya kwa mdomo
A harelip is a condition that is corrected hurekebisha kwa upasuaji
Ugonjwa wa kuzaliwa wa by surgical fusion of the lips by a kuunganisha sehemu ya mdomo
Harelip (cleft lip) mwanga kwa mdomo. surgeon. na daktari mpasuaji.
The patient who was diagnosed with Mgonjwa aliyepimwa na kikohozi
Kikohozi (Mafua Hay fever was instructed to avoid cold amaagizwa kuambukana na
Hay fever yaletwayo na vumbi) weather. baridi
Wauguzi hutupa vifaa vyenye
Nurses dispose of hazardous hatari kwa katoni salama kuzuia
equipment in safe cartons to prevent magonjwa yanayopatwa kwa
Hazardous Yenye hatari. hospital-acquired infections. hospitalini.
Mgonjwa aliomba kisaidizi cha
kusikia kwa sababu hangeweza
The patient requested a hearing aid kumsikia daktari kutokana na
because she could not hear the doctor uvimbe unaootea kwenye
Hearing aid Kisaidizi cha kusikia. due to a tumor growth in her ears. masikio yake.
Babu wake alikufa kutokana na
shtuko la moyo alipopokea
Her grandfather died of a heart attack habari kwamba mjukuu wake
upon receiving the news that she had alifariki kwenye meza ya
Heart attack Shtuko la moyo died on the operating table. upasuaji.
Kila mpasuaji wa moyo hupima
Every cardiovascular surgeon checks kwa makini mvumo wa moyoni
Mvumo wa moyo (Moyo for heart murmurs in patients with heart kwa wagonjwa walio na ugonjwa
kutoa sauti kama ya conditions in order to assist in making a wa moyo ili kusaidia kujua aina
Heart murmur mnyama au hewa) diagnosis. ya ugonjwa.
Baada ya vipimo kwenye
mahabari, daktari alipata
Hali ya kuhisi kuchoma After a laboratory test, the doctor found kwamba mwanamke
kwenye umio na njia ya out that the lady who had complained of aliyelalamikia kiungulia alikuwa
Heartburn chakula juu ya tumbo. heartburn had cancer of the esophagus. na saratani ya umio.
Pediatricians monitor the height of Daktari wa watoto hufuatilia
children to evaluate their growth and urefu wa watoto ili kutathmini
Height Kimo/urefu nutritional status. ukuzi na hali ya lishe yao.
Wengi wa wagonjwa wa
Most patients with sexually transmitted magonjwa ya zinaa husita
infections hesitate to share their kuzungumzia shida zao pamoja
Hesitate Sita problems with doctors. na madaktari
Ma daktari husisitiza kila mtu
kujikinga vilivyo ili kuzuia
Homa ya manjano Doctors insists on proper personal kupatwa na virusi vya homa ya
inayoshiriwa na ini protection to prevent contact with manjano inayoashiriwa na ini
Hepatitis kuvimba. hepatitis B. kuvimba.
Muuguzi aliandika shinikizo la
The nurse recorded the blood pressure damu la wagonjwa wote
of all patients who were receiving waliokuwa wakitibiwa kutokana
High blood pressure Shinikizo la juu la damu. treatment for high blood pressure. na shinikizo la juu la damu.
Daktari alipendekeza upasuaji
wa kutoa kijusi kwa kuchinja mji
Upasuaji wa kutoa kijusi The doctor recommended a wa mimba baada ya kugundua
kwa kuchinja mji wa hysterectomy after discovering that the kwamba kijusi kilikuwa kimekufa
Hysterectomy mimba. fetus in the patient's womb was dead. .
Mgonjwa alikuwa amezidiwa na
The patient was very sick. That is why ugonjwa ndio maana daktari
Kitengo cha wagonjwa the doctor recommended he be taken to alipendekeza apelekwe kwenye
ICU maututi. the ICU. kitengo cha wagonjwa maututi.
Daktari alimshauri mama
mjamzito asinywe dawa zozote
The doctor advised the expectant kabla ya mashauri ya daktari
mother not to take medicine without a kwa sababu zinaweza
prescription because it may be imperil kuhatarisha maisha ya mtoto
Imperil Hatarisha. to the life of the unborn child. ambeye ajazaliwa.
Daktari alimshauri mama
The doctor advised the mother to take ampeleke mtoto wake kwa
her child for an immunization against chanjo dhidi ya ugonjwa wa
Immunization Chanjo tetanus. pepopunda.
Daktari alimshauri muuguzi
The doctor advised the nurse to dress afunge kidole cha shahada cha
Kidole cha ngumba the patient's index finger because it had mgonjwa kwa sababu kilikuwa
Index Finger (kikubwa). a cut. na jeraha
The nurse was instructed by the doctor Muuguzi aliagizwa amhudumie
to attend to a patient who had severe mgonjwa aliyekuwa na homa kali
Influenza Homa ya mafua. influenza. ya mafua.
After the laboratory test, the doctor Baada ya kumchunguza
established that he had a problem with mgonjwa daktari alibaini kuwa
Intestine Matumbo. his intestine. na shida ya matumbo.
Daktari alimwambia mgonjwa
ambaye alikuwa na mwasho
The doctor told the patient, who had an kwenye mkono kuwa ana
Mwasho (Hisia ya kutaka itchy hand, that he had a fungal maambukizo ya ukungu na
kujikuna mwili infection and needed to apply some kwamba alihitaji kupaka dawa
Itch unapowasha. medicine to the hand. kwenye mkono wake.
Daktari alipendekeza mgonjwa
Kitanzi, kidude cha kuzuia awekwe kidude cha kuzuia
mimba. The doctor recommended an IUD mimba kwani tembe(vidonge)
Kidude (kitu insertion since the pills had negative vilikuwa na madhara mabaya
IUD (Intrauterine device) kisichojulikana jina yake) effects on her. kwake.
After the laboratory test, the doctor Baada ya vipimo daktari
recommended an intravenous injection alipendekeza kuwekwa dawa
because the tablets had posed side kupitia mishipa ya mgonjwa
IV (Intravenous) Katika mishipa. effects for him. kwani tembe zilimdhuru.
Homa ya nyongo ya
manjano.manjano (rangi
inayofanana na gandu la
limau lililoiva).
Ugonjwa unaosababisha
ngozi au macho kuwa na
rangi ya manjano kwa
sababu nyongo
imetengenezwa kwenye
ini zaidi ya inavyotumika).
Nyongo –majimaji Daktari alimchunguza mgonjwa
machungu ambaye alikuwa na rangi ya
yanayotengenezwa na ini The doctor examined the patient, who manjano kwenye macho na
kwa ajili ya kusaga had yellowing in his eyes, and kubaini alikuwa na homa ya
Jaundice chakula tumboni. established that he had jaundice. nyongo ya manjano.
The trachea and the two bronchus are Koo na vikoromeo viwili
joined at a junction around the middle of vimeungana kandokando ya kati
Junction Muungano. the breastbone. ya mfupa wa matiti.
The doctor recommended a blood test Daktari alipendekeza kipimo cha
Viungo. Viungo –mahali to the patient, who complained of damu kwa mgonjwa
katika mwili wa kiumbe painful joints, in order to establish aliyelalamika kuwa viungo vyake
ambapo sehemu mbili au whether he was suffering from malaria vinauma, kubaini iwapo alikuwa
Joints zaidi vimeungana. or not. na ugonjwa wa malaria au la.
Daktari alimshauri mgonjwa
aliyekuwa na ugonjwa wa figo
aende kufanyiwa dialisisi
The doctor advised the patient who had (usafishaji damu kwa mashine
Kidney figo, nso, buki. kidney disease to go for dialysis. ya figo).
Goti la mgonjwa lilikuwa
limeumia vibaya kiasi ya
goti. Kiungo cha miguu kwamba hageweza kukunjua
kilicho na umbo la duara The patient's knee was so badly injured mguu wake na ndio sababu
ndani kinachounganisha that he could not unfold his leg, and so daktari alipendekeza kwamba
Knee paja na maundi. the doctor recommended that he rest. apumzike.
Pia ya goti/kifuu cha
goti/kibandiko cha goti. Pia ya goti la mgonjwa
pia – Kitu kilicho na umbo The patient's kneecap could not move halingeweza kusonga ndio
la duara upande wa juu and the doctor advised him to go for a sababu daktari alimushauri
Kneecap na ncha upande wa chini. surgery. kufanyiwa upasuwaji.
.Kijana alipelekwa kwenye
konzi, goti, kogore. The boy was taken to the emergency chumba cha dharura kwa
Konzi –kidole au vidole room because he had inflammation on sababu alikuwa na uvimbe
vya kiganja vilivyofumbwa his knuckle after hitting the wall kwenye konzi nyuma ya kupiga
ili kumpigia mtu au because he was under the influence of ukuta kwa sababu alikuwa
Knuckle kubishia hodi. drugs. ametumiya madawa ya kulevya.
Mgonjwa hangeweza kuona
The patient could not see well because vyema kwa sababu mboni ya
Iris Mboni ya jicho. his iris was damaged. jicho lake ilikuwa imeharibika.
Tezi za mdomoni (tezi
ndogo ndogo za mdomoni
zinazohusika na kutoa Saratani ya koo inaweza usisha
Labial glands mate. Throat cancer can affect labial glands. tezi za mdomoni.
Mkunga alimhudumia mama
aliyekuwa na uchungu wa uzazi
Uchungu wa uzazi na The midwife attended to the mother in na kuakikisha kuwa amejifungua
Labor and delivery kujifungua/ kuzaa. labor and ensured safe delivery for her. salama.
Daktari alipendekeza
kuongezwa kwa damu kwa
Saratani ya seli nyeupe The doctor recommended a blood mgonjwa aliyekuwa na saratani
Leukemia za damu. transfusion to the leukemia patient. ya seli nyeupe za damu.
Kano – Nyuzi zenye The doctor advised the patient to eat Daktari alimshauri mgonjwa ale
nguvu zilizo katika minofu health food in order to strengthen his vyakula vya kuleta nguvu mwilini
Ligament ya mwili. ligament. ili kano zake zipate nguvu.
Chechemea – Chopea,
mwendo wa chopi.
Chopea – Enda kwa Mguu wa mgonjwa uliumia sana
kuchechemea/ Upande The patient's leg was badly injured, ndio sababu alitembea kwa
Limb upande kama mlemavu. leading to limp movement. kuchechemea.
Daktari alihakikisha yakwamba
The doctor confirmed that the patient mugonjwa ana shida ya kitemba
Sema kitemba/piga had a lisp and advised him to see a ndio mana alimwagiza kuonana
Lisp kitemba. speech therapist. na mtalamu wa maongez
Daktari alimwonya mgonjwa
Ini. – Kiungo kilichoko dhidi ya unywaji wa pombe
mwilini ambacho hutoa The doctor warned the patient against kupita kiasi kwani waweza
nyongo na pia husafisha excess intake of alcohol, as this may kufanya ini kutoweza kufanya
Liver damu. bring about liver dysfunction. kazi yake.
Daktari alipendekeza mgonjwa
The doctor recommended a cancer test aliyekuwa na uvimbe kwenye titi
for the woman who had a lump in her lake apimwe dhidi ya ugonjwa
Lump Uvimbe mwilini. breast. wa saratani.
Tezi ya ziwa – Daktari alimshauri mama azidi
Tezi – sehemu ya mwili The doctor advised the mother to kumnyonyesha mtoto ili
inayotengeneza kemikali continue breastfeeding her baby so as kuhakikisha kuwa tezi zake za
ambazo huleta to ensure that her mammary glands ziwa zinaendelea kutengeneza
Mammary glands mabadiliko mwilini. continue to produce milk. maziwa.
Surua, Ukambi, Firangi,
Ukamba. Ugonjwa wa Daktari alipendekeza mtoto
kuambukiza wa ngozi The doctor recommended the child be apate chanjo dhidi ya ugonjwa
Measles haswa kwa watoto. immunized against measles. wa surua.
The nurse will check the medical chart Mwuguzi ataangaliya ramani ya
Medical chart Ramani ya matibabu. of the patient. matibabu ya mgonjwa.
Madaktari huweka taarifa
Taarifa iliyoandikwa ya Doctors keep medical records for all the iliyoandikwa ya wagonjwa wote
Medical records matibabu. patients they attend to. wanaowahudumia.
Daktari alisema kuwa mgonjwa
aliyeletwa hospitalini akiwa na
The doctor said that the patient who maumivu makali ya kichwa
Uvimbe wa tando za uti was brought to the hospital with a alihitaji kupimwa dhidi ya
wa mgongo na ubongo/ severe headache needed to undergo a ugonjwa wa homa ya uti wa
Meningitis Homa ya uti wa mgongo. meningitis test. mgongo.
Mkunga aliyemhudumia mama
The midwife, who was attending to the mwenye uchunu wa uzazi
mother in labor, said that she had alisema kuwa alikuwa na shida
Mkunga. Mtu mwenye difficulty giving birth and needed a ya uzazi na alihitaji kuzaa kwa
Midwife ujuzi wa kuzalisha. cesarean delivery. njia ya upasuaji.
Mgonjwa aliyekuwa na
The patient who had a migraine kipandauso alitibiwa. Daktari
headache was treated. The doctor alimshauri mgonjwa aliyeletwa
Kipandauso. Maradhi ya advised the patient suffering from a hospitalini akiwa na ugonjwa wa
kuumwa sana na paji la migraine to get a lot of rest so as to get kipandauso apumzike ya
Migraine uso. well. kutosha ili aweze kupona.
Mama ambaye alikuja hospitalini
baada ya kupitia mfululizo wa
The woman, who came to hospital kuharibikiwa na mimba aliagizwa
having gone through a series of afanyiwe eksirei ili kubaini
miscarriages, was ordered to have an sababu ya kuharibikiwa na
Miscarriage Kuaribika mimba X-ray to establish the cause. mimba zake.
Mgonjwa ambaye aliyeletwa
Utando telezi. The patient, who was brought to the hospitalini akilalamika kuwa na
Utando – Chocchote hospital complaining of abdominal pain, maumivu ya tumbo, alikuwa na
kinachofunika kitu was found to have a ruptured utando telezi umeharibika
kingine. abdominal mucous membrane, hence ambao ulisababisha bakteria
Mucous membrane Telezi – enye kuteleza. leading to a bacterial infection. kuingia kwenye Tumbo Lake.
Daktari alimwambia
Musuli – tafu. mwanariadha asinywe dawa bila
Musuli – mukusanyiko wa The doctor advised the athlete not to maagizo kwani zaweza
nyuzi za kano mwilini take unprescribed medicine, as it may kusababisha ukusefu wa nguvu
Muscle unaowezesha kutembea. weaken his muscles. kwenye misuli.
Matumbwi – Tumbi.
Ugonjwa wa kuambukiza The doctor said that the boy who was Daktari alisema ya kuwa kijana
wa kuvimba mashafi hasa brought to the hospital was suffering aliyeletwa hospitalini alikuwa na
Mumps kwa watoto. from mumps. ugonjwa wa matumbwitumbwi.
Muuguzi alipenyeza dawa
The nurse injected the patient with a kwenye mwili wa mgonjwa kwa
Needle Sindano needle. kutumia sindano.
chuchu. The doctor examined the patient, who Daktari alimchunguza mgonjwa
Chuchu – ncha/ Mwisho was brought to the hospital with aliyetokwa na uchafu kwenye
Nipple wa ziwa/titi. discharge from her nipple. chuchu lake.
Daktari alibaini kuwa mgonjwa
Enye ganzi, Tia ganzi. The doctor established that the patient, aliyeletwa hospitalini akiwa na
Ganzi – Hali inayofanya who was brought to the hospital with a ganzi alikuwa na shida ya neva
Numb mishipa ya hisi ikose hisi. numb hand, had a nerve problem. kukosa kufanya kazi.
The mother, who had a gynecological Mama aliyekuwa na ugonjwa wa
disease, gave birth to a mature kiuke alijifungua mtoto
Offspring Mtoto offspring. mkomavu.
Mtoto aliyetupwa (telekezwa) na
Makao/ Nyumba ya The abandoned baby was taken to an mama yake alipelekwa kwenye
Orphanage yatima. orphanage. makao ya yatima.
Daktari aliwaonya wagonjwa
The doctor warned all the patients he wote aliowahudumia dhidi ya
attended against the outbreak of swine kuzuka kwa ugonjwa wa homa
Outbreak kuzuka, kutokea. flu. ya ngurue.
Daktari alimwagiza muuguzi
Hali ya kutolazwa The doctor ordered the nurse to attend kuhudumia wagonjwa wan je
Outpatient hospitalini. to all the outpatients first. kwanza.
Mgonjwa aliyeletwa hospitalini
The patient, who was brought to the baada ya kuzirai daktari
hospital after fainting, was confirmed by alidhibitisha kuwa hakuwa
the doctor not to have gotten enough amepata hewa safi ya kutosha
oxygen and, therefore, was kept in an na akawekwa mahali palio hewa
Oxygen Oksijeni (hewa Safi). open area. safi.
The doctor advised the woman, who Daktari alimshauri mwanamke
Ovari – Sehemu ya complained to have experienced a aliyelalamikia kukawia kupata
kiungo cha uzazi cha delay in becoming pregnant, to undergo ujauzito apimwe ili kubaini iwapo
mwanamke a test to prove whether her ovaries are ovari zake zinaweza kuzalisha
Ovary yanapozalishwa mayai. able to produce ova. mayai.
Daktari alimwagizia mgonjwa
The doctor prescribed medicine to the dawa na akamwonya dhidi ya
Kuzindisha kiasi cha patient and warned her against an kuzindisha kiasi cha dawa
Overdose dawa kinachohitajika overdose. kinachohitajika.
Daktari alimweka mgonjwa
aliyekuwa na shida ya mapigo
The doctor put the patient, who had an ya moyo kwenye kifaa cha
Kifaa cha kurekebisha uneven heartbeat, on a pacemaker so kurekebisha mapigo ya moyo ili
Pacemaker mapigo ya moyo as to correct his heart rate. urekebisha hali yake
Mpira kwa Wakati mtoto alikuwa analiya,
mtoto/titibandia Whenever the baby was crying, his mama yake alikuwa anaweka
Pacifier (unaofanana na titi) mother put a pacifier in his mouth. mpira kwa mudomo wake.
Daktari alimpa mgonjwa
The doctor gave the patient, who had a aliyekuwa na jipu kwenye mguu
Maumivu, uchungu boil on his leg, some painkillers to dawa za kumaliza maumivu ili
Pain (burning) (unaochoma) reduce it. kuyapunguza.
Mgonjwa alieuuguaugua
ugonjwa wa mlango wa kizazi
alifanyiwa uchunguzi kwa
sampuli ya ubwawa katika
The patient, who had recurrent mlango wa kizazi kuangalia
Sampuli ya ubwawa cervicitis, had a pap smear done to rule iwapo alikuwa na saratani ya
Pap smear katika mlango wa kizazi. out cervical cancer. mlango wa kizazi.
Daktari wa watoto alimshauri
The pediatrician advised the mother to mama amnyonyeshe mtoto
breastfeed her baby enough so as to wake ya kutosha ili kuzuia mtoto
ensure that her baby does not fall sick kupatwa na magonjwa kwa
Pediatrician Daktari wa watoto. often. mfululizo
Daktari alimchunguza mgonjwa
aliyelalamika kuwa na uchungu
Uume, mboro, dhakari, kwenye uumme wake kubaini
firaka, zubu, jengelele The doctor examined the patient, who iwapo alikuwa na magonjwa ya
UUME – Uchi wa complained of pain in his penis, to see zinaa.(magonjwa
mwanamme (sehemu whether he had any sexually yanayoambukizwa kupitia
Penis nyeti za mwanamme). transmitted diseases. ngono).
Ugonjwa wa malengelenge ya
Herpes zoster is a condition in which neva kwa ngozi ni hali ambayo
the patient presents with a pinched mgonjwa uwa na neva iliyo na
Pinched nerve Neva iliyo na mchuno. nerve. mchuno.
Majibu yaliyofanywa baada ya
kuaga yalidhihirisha kwamba
marehemu aliugua ugonjwa wa
Chembe chembe The postmortem results confirmed that chembechembe zigandishazo
Platelet zigandishazo damu. the deceased had a platelet disorder. damu.
Baada ya kujifungua Mama aliyekuwa akivuja damu
(mwezi mmoja baada ya The mother, who had postpartum a baada ya kujifungua aliongezwa
Post partum kujifungua). hemorrhage, was transfused. damu.
Daktari alimshauri mama
The doctor advised the pregnant mjamzito kwamba ilikuwa vyema
woman that it was good to go to a kwake na kwa afya ya mtoto
Utunzi wa mtoto/ mimba clinical for prenatal care for her and for kwenda kliniki.kliniki (mahali pa
Prenatal care kabla ya kuzaliwa. her baby's health. ushauri wa matibabu).
The doctor gave the medicine to the Daktari alimpa mgonjwa dawa
patient after confirming the disease he baada ya kubaini maradhi aliyi-
was suffering from and advised him to okuwa nayo na kumshauri
take it according to the doctor's anywe kulingana na agizo la
Prescription Maagizo, agizo la daktari. prescription. daktari.
usaha –ute wa rangi ya Muuguzi alikiosha na kikifunga
manjano iliyopauka The nurse washed and dressed the kidonda cha mgonjwa
unaotoka kwenye vidonda patient's wound, which had a lot of pus kilichokuwa kikitoka usaha
Pus na majipu. coming out. mwingi.
The doctor referred the patient to a Daktari alimtuma mgonjwa kwa
radiologist for an X-ray to establish mtaalamu wa eksirei kubaini
Mtaalamu wa eksirei whether he was suffering from iwapo alikuwa na ugonjwa wa
Radiologist (miale ya X). tuberculosis. kifua kikuu.
Vipele, Ukurutu. Vipele –
vituruturu vilivyozagaa The doctor said that measles is Daktari alisema kuwa ugonjwa
katika mwili, huwasha na characterized by rashes all over the wa ukambi hudhihirishwa na
Rash kutunga usaha. body. vipele kwenye mwili wote.
Mgonjwa aliyekuwa na joto
The patient with a persistent fever had iliyokataa kushuka alikadiriwa
Kukadiria tena a reassessment done to ascertain the tena kujua aswa
Reassessment (kuchunguzwa tena). cause. kilichoisababisha.
Chumba cha wagonjwa
waliozimia (ambao Daktari alimuamuru muuguzi
hawana fahamu) The doctor ordered the nurse to take ampeleke mgonjwa kwenye
wanapowekwa ili kupata the patient to the recovery room so that chumba cha wagonjwa wasio na
Recovery room fahamu. he could regain consciousness. fahamu ili kupata ufahamu.
The patient, who had worsened despite Mgonjwa aliyeugua zaidi hata
treatment, has been referred to another baada ya matibabu ametumwa
Referral Kutuma pengine. hospital. hospitali ingine.
Mashauri ya daktari ni ya
The doctor's advice is highly reliable, kutegemewa sana hasa kuhusu
Kutegemewa, especially in the outbreak of a disease, kuenea kwa maradhi Fulani ili
Reliable Kutumainiwa. so as to avoid transmission. kuzuia kuenea zaidi.
Utafiti wa madaktari unaonyesha
kuwa vifo vingi vya watoto
The doctor's research shows that most wachanga husababishwa na
deaths in infants are caused by kusongwa/ kukabwa roho/
Research Utafiti, uchunguzi. suffocation. kunyongwa.
Daktari alisema kuwa mama
The doctor said that the pregnant mjamzito alikuwa amepasuka
mother's placenta had ruptured. kondo/ fuko analokaa mtoto
Therefore, she needed quick tumboni na kwamba alihitaji
Rupture Pasua, Pasuka, Pasuliwa. assistance. huduma ya dharura.
Daktari alimshauri mgonjwa
apelike kielelezo cha darizi cha
The doctor advised the patient to take a damu kwenye mahabara
Jaribu, kielelezo cha blood sample to the laboratory to be ikapimwe iwapo alikuwa na
Sample (blood, urine, etc) darizi. tested, whether he had malaria or not. malaria au la.
The patient who was suffering from Mgonjwa aliyeugua homa ya
Homa ya vipele scarlet fever was treated and sent vipele vyekundu alitibiwa na
Scarlet fever vyekundu. home. kutumwa nyumbani.
Daktari aliwaambia/ aliwaagiza
The doctor advised those carrying the wabeba machela wampeleke
stretcher to take the patient to the mgonjwa kwenye chumba cha
Shtuko la moyo, kifafa, emergency room after realizing that he dharura baada ya kugundua
Seizure kukwama, Kugoma. had had a seizure. kwamba alikuwa na kifafa.
Wakati daktari alimweleza
When the doctor told the patient that he mgonjwa kuwa alikuwa na
was suffering from prostate cancer, the saratani ya korodani,kujistahi
kujistahi, kujitukuza, patient's self-esteem declined so much kwake kulienda chini kiasi ya
Self-esteem Kujiona, kiburi. that he could not see a reason for living. kwamba hakuona aja ya kuishi.
Daktari alimshauri mgonjwa
The doctor advised his patient not to wake kwamba asishiriki ngono
Ngono, kuingiliana, have sexual intercourse with a person na mtu aliye na virusi vya
Sexual intercourse kulalana,Kujamiiana. infected with the AIDS virus. ukimwi.
Daktari alimwelezea mgonjwa
Sindano ya dawa, give The doctor explained to the patient that kuwa atamdunga sindano kwa
somebody a sho,Piga mtu he was going to give her a shot in her makalio badala ya dawa za
Shot sindano. back instead of oral medication. kumeza.
Daktari alimshauri muuguzi
The doctor advised the nurse to give amdunge mgonjwa sindano
Athari – Matokeo/ alama the patient an injection, because the kwan tembe zilikuwa na athari
Side effects ya muda. tablets had side effects on her. kwake.
Daktari alimweleza mgonjwa
Ngozi. Sehemu ya juu The doctor explained to the patient, ambaye alikuwa na mwasho wa
inayofunika mwili wa whose skin was itching, that it was a ngozi kuwa alikuwa na ugonjwa
Skin kiumbe. result of skin disease. wa ngozi.
Ndui. Ndui – Ugonjwa wa
kuambukiza unaofanya Daktari alimshauri mgonjwa
mtu kuwa na upele The doctor advised the patient, who ambaye alilalamika kuwa na
mwingi wenye complained of having smallpox, that the ugonjwa ndui kwani ugonjwa
usaha.ulikomeshwa kote disease was terminated and that it was huo ulikuwa umekomeshwa kote
Smallpox duniani mwaka 1980. not possible to get it. duniani.
Daktari alimtuma mgonjwa kwa
The doctor referred the patient to waudumu wa serikali ili
Nambari ya ruzuku ya government agencies to confirm his kuthibitisha nambari yake ya
Social security number serikali kwa wasiojiweza. social security number. ruzuku.
wengu, bandama.
Wengu – Kiungo cha
ndani ya mwili
kinachogandamana na Malaria ya kudumu
tumbo kwa upande wa Chronic malaria can cause massive yawezasababisha wengu kuwa
Spleen kushoto. splenomegaly. kubwa sana.
Daktari alimshauri muuguzi
kuwa vidonda vingi
Kidonda kinachotokana vinavyotokana na kuchomwa
na kuchomwa kwa kisu, The doctor advised the nurse that most kwa vitu vyenye makali kama
upanga, mkuki au kitu of the stab wounds need thorough kisu, upanga huitaji kuoshwa
Stab wound chenye makali. cleaning before dressing. vyema kabla ya kuvifunga.
Ni vyema kutumia kinga wakati
We should use protection when having wa kufanya mapenzi ili kuepuka
Magonjwa ya sex with people whose status we do not kuambukizwa magonjwa ya
STD kuambukizwa kwa ngono. know, in order to prevent STDs. zinaa.
Daktari alishona mgonjwa
The doctor stitched the deep cut aliyekuwa na mkato wa kina
Stitches Nyuzi, shone. wound. sana.
Daktari alimtuma mgonjwa
The doctor sent the patient to the kwenye mahabara kupimwa
laboratory for a stool sample test to choo chake kubaini iwapo
establish whether he had bacteria in his alikuwa na bakteria kwenye
Stool choo, mavi, Kinyesi. stomach. Tumbo Lake.
Daktari aliwashauri wabeba
machela waharakishe kumtoa
The doctor advised those carrying the mgonjwa kwenye gari la
stretcher to hurry up and bring the wagonjwa maututi kwani alikuwa
Kitanda cha mgonjwa/ patient from the ambulance, because mgonjwa sana kiasi hangeweza
Stretcher machela. he was so sick that he could not walk. kutembea.
Sirinji, Tia kwa sirinji.
Sirinji – Njia ndogo kama
mrija la kutilia/ kuweka Daktari alimwamuru muuguzi
dawa kwa ajili ya The doctor ordered the nurse to put aweke dawa kwenye sirinji ili
kudungia sindano au medicine in the syringe so that they waweze kumdunga mgonjwa
Syringe kutolea damu. could give the patient an injection. sindano.
Kano – Nyuzi zenye Daktari alimshauri mkimbiaj/
nguvu mwilini zilizo katika Manariadha ale vyakula vya
minofu ya mwili ( The doctor advised the athlete to take kuongeza nguvu mwilini ili
hushikanisha mfupa na plenty of energy-giving foods to assist kusaidia kano zake kupata
Tendon misuli (muscle). in strengthening his tendons. nguvu.
Daktari alimchunguza mgonjwa
The doctor examined the patient, who aliyekuja hospitali akilalamika
came to the hospital complaining of a kuwa koo lake lilikuwa na
painful throat, to see whether he had uchungu kuona iwapo alikuwa
Throat Koo tonsillitis or not. na mafindofindo au la.
Daktari alimshauri mgonjwa
aliyekuja hospitalini akiwa na
The doctor advised the patient with a korodani iliyovura apimwe dhidi
swollen testicle to go for a cancer test ya kansa kubaini iwapo alikuwa
Testicle pumbu, korodani. to see whether he had prostate cancer. na saratani ya korodani.
Kupwita, kugonga. Mtoaji huduma ya kwanza
Kupwita – Kutoa pumzi alimhudumia mkimbiaji
kwa nguvu, kutweta, The paramedic attended to the athlete, aliyekuwa akihema baada ya
Throbbing kuhema. who had throbbing pain after the race. kumaliza mbio.
Daktari alimchunguza mgonjwa
The doctor examined the patient, who aliyekuwa amevura tezi zake za
had swollen thyroid glands, and said kikoromeo na kusema kuwa
Thyroid Koromeo, dundumio. that he needed to undergo further tests. alihitaji kupimwa zaidi.
The doctor ordered the nurse to attend Daktari alimwamuru muuguzi
to the patient, whose toenails had been amhudumie mgonjwa aliyeumia
Ukucha wa kidole cha injured, to dress them and give him an vidole vyake vya mguu,
Toenail mguu. injection. kuvipunja na kumpa sindano.
Daktari aliwasiliana na mgonjwa
The doctor communicated with the aliyeletwa hospitalini akiwa na
patient, who was brought to the hospital ulimi uliovura kwa kutumia
with a swollen tongue, using hand ishara kwani hangeweza
Tongue Ulimi signals, as she could not talk. kuongea.
The dentist extracted the patient's Mtaalam wa meno alimng'oa
Tooth decay Oza meno decayed teeth. mgonjwa meno iliyooza
Tukwa, findo.Tukwa – The doctor told the patient that one of Daktari alimwambia mgonjwa
Mojawapo ya tezi mbili his tonsils was swollen and that is why kuwa mojawapo ya findo zake
zilizoko shingoni chini ya he was experiencing pain while lilikuwa limevura na ndio sababu
Tonsil taya. swallowing food. alihisi uchungu akimeza chakula.
Daktari alimwambia mgonjwa
The doctor told the patient that the kuwa matokeo ya eksirei
results for the X-ray showed that he yalionyesha kuwa alikuwa na
Tuberculosis Kifua kikuu. was suffering from tuberculosis. ugonjwa wa kifua kikuu.
Ugonjwa wa pakinisoni
Mshtuko wa musuli, Parkinson's disease presents with ujidhihirisha kwa mtetemo wa
Twitch Mtetemo wa uso. twitching of the body parts. viungo vya mwili.
Daktari alimwambia mgonjwa
The doctor told the patient to bring in a alete kiwango kidogo cha choo
stool sample to see whether he had chake kipimwe iwapo alikuwa na
Ulcer Donda/ Kidonda. stomach ulcers. vidonda vya tumbo.
Picha ya kipimo cha idadi ya
Kipimo cha idadi ya marudio ya mawimbi ya sauti
marudio ya mawimbi ya The ultrasound scan performed has imedhihirisha kilichosababisha
Ultrasound sauti. confirmed the cause of the stillbirth. mtoto kuzaliwa mfu.
Daktari alimwambia mama
The doctor told the pregnant woman mjamzito kuwa hali yake ilikuwa
that her case was an emergency, since ya dharura kwani kiunga mwana
the umbilical cord was blocked and the kilikuwa kimefungika na mtoto
child in the womb could not get enough kwenye tumbo hangeweza
food and air from the mother. And kupata chakula na hewa ya
therefore, she needed to have a quick kutosha kwa hivyo alihitaji
Umbilical cord Kiunga mwana. operation. upasuaji wa dharura.
Mkunga alimtuliza mama
aliyekuwa na uchungu wa uzazi
The midwife calmed the mother in aliyelia na kulalamika kuwa
labor, who was shouting that the pain uchungu aliohisi ulikuwa
Unbearable Isiyovumilika. she was undergoing was unbearable. hauwezi vumilika.
Daktari alimwamuru muuguzi
The doctor ordered the nurse to attend amhudumie mgonjwa aliyeletwa
to the unconscious patient, who was hospitalini akiwa amekosa
brought to the hospital after drinking a fahamu baada ya kunywa
Unconscious Bila fahamu, bila kujijua. poisonous drink. kinywaji chenye sumu.
Pindua, pinduka, tibua, Daktari alimtuma mgonjwa
Fadhaisha, vuruga – The doctor sent the patient, who aliyelalamikia kuvurugwa na
ondoa katika mpango complained of stomach upset, to the tumbo kwenye mahabara ili
Upset wake. laboratory for a test. apimwe.
Daktari alimwambia mgonjwa
The doctor told the patient that she kuwa alihitajika kuleta kiwango
needed to bring in a sample of her urine kidogo cha mkojo wake ili
Urine Mkojo. in order to do a pregnancy test. apimwe iwapo alikuwa mjamzito.
The doctor said that the patient needed Daktari alisema kuwa mgonjwa
to undergo tests before she could alihitaji vipimo kabla ya kupata
become pregnant, since the doctor mimba kwani daktari alishuku
Uterus Uterasi, Mji wa mimba. suspected a uterine problem. shida kwenye uterasi yake.
The doctor advised the nurse to Daktari alimshauri muuguzi
prepare the vaccines early because aweke dawa za chanjo tayari
they were expecting to attend to many kwa wingi kwani walitarajia
Vaccine dawa ya chanjo. patients. kuwahudumia wagonjwa wengi.
Daktari alimwamuru muuguzi
Uke, kuma, sehemu The doctor ordered the nurse to amchunguze mgonjwa
nyeti/za siri za examine the patient, who had a sore on aliyekuwa na uvimbe kwenye
Vagina mwanamke. her vagina. uke wake.
Mama mjamzito ambaye hakuwa
amefikia wakati wake wa
The pregnant mother, who had not kujifungua alilalamikia kuwa na
sio dhahiri, Ilio na reached the delivery period, complained uchungu usio dhahiri wa
Vague mashaka, sio wazi. of vague labor pains. kujifungua.
Daktari aliwashauri wawili
The doctor advised the couple that it kwenye ndoa kuwa ilikuwa
was better for the man to undergo a vyema kwa mwanamme kuhasi
Kuhasi, oparesheni vasectomy, since all of the family kwani njia zote za upangaji uzazi
ndogo ya kumhasi planning methods had side effects on zilikuwa na madhara kwa
Vasectomy mwanamme. his wife. mkewe.
The patient requested that the doctor Mgonjwa alimsihi daktari
Tapika, foka, bubujisha, not prescribe oral medicine for him, asiluagize dawa za kumeza
Vomit Matapiko. because it makes him vomit. kwani humsababisha atapike.
Virusi, Viumbe hai ambao
kimaumbile hawajafikia
ngazi ya seli.
Seli – Chembe ndogo Baada ya kipimo daktari
kabisa ya kiumbe na After the test, the doctor confirmed to alimthimbitishia mgonjwa kuwa
Virus yenye uhai. the patient that he had the HIV virus. alikuwa na virusi vya ukimwi.
Daktari alimshauri mgonjwa
ambaye alihusika kwenye ajali
The doctor advised the patient to use a atumie kiti cha magurudumu
wheelchair until the bones in his leg mpaka mifupa ya miguu yake
Wheelchair Kiti cha magurudumu. heal. ipone.
Daktari wa meno alimshauri
The dentist advised the patient to get mgonjwa akubali jino lake la
Gego la mwisho, Jino la his wisdom tooth removed because it mwiso litolewe kwa sababu
Wisdom tooth mwisho. had a cavity. lilikuwa na kijishimo.

You might also like