Professional Documents
Culture Documents
SW 2 08
SW 2 08
com/sw
Fi
qhiya‘
Iba
daye
nyepi
chaz
ili
zoc
hor
wa
Hukumuz
aKi
is
lamuz
ili
zowe
pes
ishwa
https://www.al-feqh.com/sw
Toha
ra Swa
la Funga Za
kat Hi
jj
a
Ta
rja
ma Ma
rej
eo
DrAbda
ll
aKha
ti
b She
ikhSal
imBar
hayan
Ust
adhSai
dAbdu
Ust
adhAhmedYas
inMust
afa
She
ikhSai
dBawazi
r
Mlango wa Swala
8 Nguzo za Swala na
Wajibu wake na Sunna
zake
https://www.al-feqh.com/sw
Ya l i y o m o
Kwanza: Nguzo za
Swala
Nguzo za Swala
Wajibu wa Swala
1. Kutia nia
2. Kusimama katika swala ya faradhi pamoja na
kuweza Atafanya nini mwenye
3. Takbiri ya kufungia Swala kuacha nguzo moja
4. Kusoma Fatiha miongoni mwa nguzo za
5. Kurukuu Swala?
6. Kuitadili kwa kulingana sawa baada ya kurukuu 1. Mwenye kuacha nguzo kwa
7. Kusujudu kwa viungo saba kusudi Swala yake inabatilika
8. Kukaa baina ya sijida mbili na inamlazimu kuirudia.
9. Kukaa kwa Atahiyatu ya mwisho. 2. Mwenye kuacha kwa
10. Kusoma Atahiyatu kusahau, basi ni moja wa hali
11. Kumswalia Mtume ﷺkatika Atahiyatu ya
mbili:
mwisho. a. Asikumbuke kuwa yeye ameiacha nguzo hii
mpaka baada ya kuifika pale mahali pake katika
12. Kutoa salamu
rakaa iliyofuatia. Basi hapa ile rakaa iliyopita
13. Kujituliza katika nguzo zote ambayo aliiacha nguzo hiyo haitahesabiwa,
14. Kutungamanisha baina ya nguzo na ataifanya rakaa hii ndiyo badala ya
rakaa aliyoisahau, kisha atasujudu sijida ya
kusahau118.
Mlango wa Swala