Professional Documents
Culture Documents
MFULULIZO WA 1 (DONDOO)
MFULULIZO WA 1
Ukihitaji majibu,
MWALIMU CONSULTANCY
MARUDIO YA BEMBEA YA MAISHA
MARUDIO HALAHALA-MASWALI
1."...anachukua vidonge vyake na kuvimeza kabla ya kuketi kwenye kochi
mpya."
a.Weka dondoo hili katila muktadha wake.(al.4)
b.Tambua aina ya taswira katila dondoo hili.(al.2)
c.Eleza umuhimu Wa mandhari ya dondoo hili.(al.14)
2."Miaka yote hiyo ningali mzima Wa afya yangu mbona sikufanya ajizi?"
a.Weka dondoo hili katika muktadha wake.(al.4)
b.Eleza kinachopelekea msemaji kuyasema maneno haya(al.4)
c.Msemaji Wa maneno haya anakumbwa na madhila.Thibitisha katika tamthilia
nzima.(al.12)
18."...Lakini itokeapo mara Moja likapiga wimbi Kali basi sisi huliona wimbi
Hilo na kusahau mengi mazuri"
29."Nilikupata wapi?"uk51
a.Weka dondoo hili katika muktadha wake.(al.4)
b)Taja mbinu mbili za lugha katika dondoo hili(al.2)
C)Tambua Toni katika dondoo hili (al.2)
d)Onyesha jinsi mrejelewa na wahusika wengine Wa jinsia yake
wamenyanyaswa.(al.12)
Rejelea.
Ukihitaji majibu,
THE END
ENGLISH SETBOOKS
Fathers Of Nations
0746-222-000
Silent Songs And
Other Stories 0746-222-000
A Parliament Of
Owls 0746-222-000
The Samaritan
0746-222-000
Artist Of The
Floating World 0746-222-000
CALL/TEXT/WHATSAPP
mwalimuconsultancy@gmail.com
THIS IS A PRODUCT OF
MWALIMU CONSULTANCY
POWERED BY MR ISABOKE
SUCCESS
REGARDS