1.0 Tume ya Utumishi wa Mahakamani chombo kilichoundwa kwa mujibu wa kifungu Na. 112 (1) cha Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Aidha, kwa mujibu wa Sheria ya Uendeshaji wa Mahakama Na. 4 ya mwaka 2011, Tume ya Utumishi wa Mahakama pamoja na kuwa na majukumu mengine inalo jukumu la kuajiri watumishi wa Mahakama wa kada mbalimbali.
1.1 Hivyo,Wananchi wafuatao walioomba nafasi za ajira katika Tume ya Utumishi wa Mahakama wanatakiwa kuhudhuria usaili utakaofanyika katika kumbi zilizoko kwenye uwanja mpya wa Taifa (National Stadium) unaotazamana na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Temeke kupitia lango kuu.
1.2 Usaili utafanyika siku ya Ijumaa tarehe 29.8.2014 kuanzia saa1.30 Asubuhi.
KUNDI A
KUNDI B
SN AFISA TAWALA II
SN AFISA UTUMISHI II
1 Ahimidiwe Rodrick Munuo 22 Grace IsayaKapama 2 Andrew Timothy Mosha 23 Grace Nelson Mliga 3 CastoryDanfanNgogo 24 HashimShaibuMgandilwa 4 Clement ValleryKessy 25 Hilary Daniel Ngowi 5 Fatuma Mohamed Msuya 26 Innocent Nicholas Nyagano 6 George Sabianus Mathew 27 Jamal MajutoMbuguyu 7 HamisiRajabuMbaya 28 JaphetBoniphaceNyambele 8 HanifuMussaMdidi 29 John Christopher Nyaonge 9 JacklineYoramMwankupili 30 Juni Leonard Mdede 10 Jestina Emmanuel Kayuki 31 Leonard Martin Sarao 11 Lucy MorandTirukaizile 32 Luciana Charles Kapama 12 MushobusiJosiaNsangila 33 Mariam George Kisusi 13 Mussa Hamza Iddi 34 Masanja Jiday Magese 14 Namnyaki Lazaro Mollel 35 Michael Barnabas Bazil 15 OdiliaDitrickMapunda 36 Mpoki Jaily Mwakipake 16 Rashid Mohamed Luambano 37 Mwajuma Hussein Suru 17 Wambi Ibrahim Mwasene 38 Neema Lawi Kahwili 18 Stephano Elias Goroi 39 Nyangaliga Stephen Makumbati
KUNDI A 40 Omary Mbaraka Mnenga AFISA UTUMISHI II 41 Pendo Aroni Mishomari 1 Ahmada Mohamed Nimwobaruga 42 Peter Peter Madukwa 2 Amina Juma Mlanda 43 Petro Elouterius Kivike 3 Ashura Miraji Mdee 44 Renatha Alex Tibiita 4 Beatrice Silidoin Dominic 45 Reston Alon Mtafya 5 Beatrice Valerian Njau 46 Salmon Peter Isaiah 6 Catherine John Haule 47 Sarah Robinson Mdegela 7 Cecilia MorrsObwana 48 Sekela Dickson Mwakibete 9 Charles Ernest Kapondo 49 Sharifa Mbaraka Ahmad 10 Condrad Martin Mbonde 50 Simon Simon Kasapira
Wasailiwa Wote Wazingatie Yafuatayo: 1. Kuja na Vyeti Halisi (Original Certificates) za kuanzia kidato cha nne, Sita, Stashahada, Stashahada ya Juu, Shahada na kuendelea kutegemeana na kazi aliyoomba, 2. Testimonials Provisional Results, Statement of Results pamoja na hati nyingine za matokeo kwa ngazi zote HAVITAKUBALIWA, 3. Kila msailiwa aje na cheti halisi cha kuzaliwa (Original Birth Certificate), 4. Kila msailiwa aje na picha 2 Passport size, 5. Kila msailiwa atajigharamia kwa chakula, usafiri na malazi, 6. Waombaji ambao majina yao hayakuorodheshwa hapa juu wafahamu kwamba hawakuchaguliwa.
Katibu, Tume ya Utumishi wa Mahakama, S.L.P 9183, DAR ES SALAAM.