Professional Documents
Culture Documents
Ili
kufanikisha
hili tumeunda Kamati
ya
Maalum
inayojumuisha wajumbe kutoka vyombo mbalimbali vya
habari.
Lengo la kamati hii, ni kuchangisha fedha kwa ajili ya
madhumuni hayo. Kabla ya kampeni hii tumekuwa
tukiwasaidia kwa michango mbali mbali, lakini misaada yetu
imekuwa ikipungua siku hadi siku, hivyo tumeona tuujulishe
umma ili nao watuchangie.
Kamati imeandaa harambee ya kuchangisha fedha kwa
mtindo wa kuosha magari katika viwanja vya Leaders Club,
siku ya Jumamosi Julai 4, 2015.
Fedha zitazopatikana zitagawanywa miongoni mwa wenzetu
hawa.
Aidha, kiasi kingine kitatumika kuwasaidia wanahabari
wengine hususani wasioajiriwa ambao wangependa kujiunga
na mifuko ya Bima ya afya nchini.
Tunaomba Wadhamini mbali mbali wajitokeze kutuunga
mkono katika kampeni hii.
Akaunti ya Michango inapokelewa na kamati hii kupitia
namba
MEDIA CAR WASH FOR CANCER CAMPAIGN
AC No. 111-00000356
TANZANIA POSTAL BANK (TPB)
AU HUDUMA ZA FEDHA KUPITIA
Tigo Pesa:0653 155808
M Pesa :0766 970240
Imetolewa na
Benjamin A.Thompson Kasenyenda
Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi