Professional Documents
Culture Documents
7-Toleo La Saba PDF
7-Toleo La Saba PDF
ii
2.
3.
1.
JIEPUSHE NA KUMUUDHI
MFANYIE IHSANI
a) Kumpa
chakula
unaoupika
katika
mlo
d) Akiumwa
nenda
(ukamjuulie hali)
ukamtizame
Sababu za kipindupindu
i.
Kuongezeka kwa
mapigo ya moyo,
kiwango
cha
Bakteria
anaesababisha
kipindupindu,
kawaida hupatikana katika chakula au maji
yaliyochafuliwa na kinyesi kutoka mtu aliye
na maambukizi. Vyanzo vya kawaida vya
maradhi haya ni pamoja na maji ya miji,
barafu iliyofanywa kutokana maji ya miji,
vyakula na vinywaji viuzwavyo na wachuuzi
wa mitaani, mboga mboga zilizomwagiliwa
ii.
Kupungua
(elasticity),
iii.
iv.
v.
yaliyokuwa
kwa
mkunjuko
ya
maambukizi
ya
Kunywa,
ii.
iii.
Kugandishia barafu,
iv.
v.
vi.
vii.
Hitimisho
ii.
iii.
i.
SUALI
Ninafanya kazi katika kampuni ya Aramco,
ambayo ina program ya kustaafisha watu
ambao wamefikia umri wa miaka khamsini
(50), na hupata matibabu bure mpaka
mwisho wa maisha yao. Jee inafaa
kubadilisha umri wangu kwa kuomba katika
idara ya kumbukumbu bila ya kulipia
chochote au kutaja umri maalum, lakini kwa
lengo la kupata matibabu ya bure, kwa
sababu nikistaafu kabla ya kufikia miaka 50
sitopata matibabu (ya bure)?
JAWABU
Sifa njema ni za Allah.
Haifai mtu kudanganya kuhusu umri wake
ili apate matibabu ya bure yanayotolewa na
kampuni. Hii inakuwa ni kusema uongo na
kuhadaa, na Mtume (swalla Allahu alaihi wa
sallam) amesema: Mwenye kutuhadaa
(kughushi/kudanganya) si katika sisi.
Imepokewa na Muslim, 101.
http://islamqa.info/en/126053
1.
MAJUKUMU
YAKE
JUU
YA
NAFSI
2.
wa kuijua.
Hivyo
nimependa
kuyazungumzia
majukumu ya mwanamke katika ndoa yake
ili kuwazindua wanawake wa Kiislam
walioolewa na ambao hawajaolewa, kwani
huenda kwa tawfiq ya Allah ikawa ni sababu
ya kizirekebisha ndoa zao au kuziendesha
vizuri watakapoziingia.
Yafuatayo ni baadhi ya majukumu ya
mwanamke kwa mumewe:
i.
10
katika
masharti
manne
ambayo
11
Asimuombe talaka
12
v.
13
wana
tareikh
juu
KUSOMA KWAKE
Said bin Jubeyr (Rahimahu Allah) alijua
utukufu wa duniani upo kwenye kusoma, na
utukufu wa Akhera upo kwenye ibada, hivyo
akaamua kushikamana na vitu viwili hivi
mpaka mwisho wa uhai wake, elimu na
ibada. Ikawa haonekani isipokua yuko
katika moja ya hali mbili hizi, ima anasoma
na kusomesha au yuko katika ibada.
Alisoma kwa wengi katika maswahaba
akiwemo Abu-Muusa Al-Ash-ary, AbuHurayra, Abu-Said al-khudry, Abdullah bin
Umar, Bibi Aisha na wengineo katika
maswahaba (radhia Allahu anhum ajmain),
lakini zaidi alishikamana na kujilazimisha na
mwanachuoni wa umma huu na mfasiri wa
Qur-an Abdullah bin Abbaas (Radhia Allahu
anhu), akasoma kwake Qur-an na tafsiri, na
pia hadithi na lugha ya Kiarabu na
mengineyo. Mpaka akawa anamruhusu
kutoa fatwa kwa watu na alipokua akijiwa
na watu kutoka Kufah kutaka fatwa,
anawauliza jee hayupo kwenu Said bin
Jubeyr?
ya
14
15
16
mwa
17
18
watu
ya
kimapenzi
na
19
Jua
ewe
ndugu
yagu
Muislamu,
unapojirikodi video au picha huwa unatoa
siri zako na kuelezea ni yepi unayoyafanya
ndani. Jua makaazi yako ni mabaya siku ya
Qiyama ikiwa hutotubia kwa Allah
(subhanahu wa taala) tawba ya kweli.
Mke au mume anayesambaza video au picha
za haramu na huku anacheka akiona
anawafurahisha wenzake na kujisifia, jee
amesahau kauli ya Allah (subhanahu wa
taala) isemayo: Kwa hakika wale wanao
penda uenee uchafu kwa walio amini,
watapata adhabu chungu katika dunia na
Akhera. Na Mwenyezi Mungu anajua na
nyinyi hamjui. [an-Nnuur (24): 19].
Jee hajiulizi akifa leo watu wataangalia
video ile au picha ile kwa miaka mingapi na
ni wangapi wataangalia? Jee anajua na yeye
anapata
dhambi
kwani
alichangia
kusambaza uchafu? Allah (subhanahu wa
taala) anasema: "Na hapana shaka wataibeba
20
21
(https://www.dropbox.com/s/kc7uyruai1wn7
91/TOLEO%20LA%20KWANZA.pdf?dl=0
).
Kwa hakika mada hii ni refu na ina mifano
mingi sana. Naomba niishie hapa na nitoe
nasaha zifuatazo: Matamanio ya nafsi zetu
yasituhadae hadi tukawa tayari kumuasi
Allah (subhanahu wa taala) na kuvunja ndoa
zetu, na tusipochunga matamanio yetu
yatatupeleka pabaya siku ya Qiyama.
Tumuogopeni Allah (subhanahu wa taala).
Hebu kaa na utafakari ni muda gani
unautupa katika mitandao hii kwa kuchat?
Jee muda huo ungeweka maalum kwa ajili
ya mola wako na mume wako au mke wako
22
23
, , , ,
, ,
, , ,
.
, ,
,
24
25
26
27
28
29