Professional Documents
Culture Documents
18 Aprili, 2018
1
Dar es Salaam, Pwani, kaskazini mwa Mkoa wa Morogoro, Visiwa vya Unguja na
Pemba.
Mvua za wastani katika maeneo ya kusini mwa Ziwa Victoria, kaskazini mwa
mkoa wa Kigoma na Nyanda za juu kaskazini mashariki na mvua za chini ya
wastani zinatarajiwa katika maeneo ya kaskazini mwa mkoa wa Tanga.
2
Amesema pamoja na athari hizo, mvua hizo zimekuwa na manufaa kwa shughuli
mbalimbali za kiuchumi na kijamii na hivyo ameshauri wataalamu kuzitumia
katika uzalishaji mali.
IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU,
2 MTAA WA RELINI,
S. L. P. 980,
40480 - DODOMA.
JUMATANO, APRILI 18, 2018