DAMU NYEUSI NA wakiwa pamoja na mvulana ni kuchukulia wanawake
kama vyombo visivyoweza kujidhibiti. Heshima na utiifu HADITHI Aziza hana heshima kwa mumewe kwani Anamkashifu, anamuumbua na kumzungumzia kwa NYINGINE ujeuri, kejeli na hata akiwa ametoa macho. Anasema ni upuzi kukaa, kuchana nywele na kutembea. Msimulizi anamweshimu mkewe kwani licha ya 1. Mke Wangu kejeli na ukaidi wake, anamjibu kwa upole na Anwani inaweka msisitizo katika sifa ambazo kumruhusu aseme. Anaona kuwa kumwamrisha msimulizi angetaka mke wake awe nazo na tabia za mkewe lazima kungemshinda-busara. mke aliyemuoa. Kazi na athari za kuikosa Mkewe ana pingana naye hatimaye anaomba talaka. Msimulizi anadharau kazi za mikono kwa kusema Maudhui angeonekana wazimu akichoma mihogo. Migogoro Kazi ni muhimu kwa kila binadamu hata awe wa Msimulizi hafanyi kazi na anawategemea wazazi. tabaka gani. Aziza haoni mtu asiyefanya kazi kama mume wake. Kukosa kazi kunamwathiri msimulizi kwa Kuhusu kutumia mswaki na burashi, viatu na kumkosesha mkewe ambaye amchukulii kama msimulizi kutotaka muuza madafu aingie ndani. mumewe kwa kuwa hafanyi kazi bali anaishi kwa Ushamba na ujiji jasho la wengine-wazazi na mtumishi mapanya. Aziza kutovaa viatu, kutotumia burashi na dawa ya Utabaka meno na badala yake mswaki na unga. Kuna matajiri/makabaila (wenye nacho) kama vile Utamaaduni msimulizi na wazazi wake na maskini/makabwela Wazazi wa msimulizi japo ni matajiri wanashikilia (wasionacho) kama vile wazazi wa aziza, mapanya utamaaduni wa kuwachagulia watoto wachumba au na muuza madafu. wake. Matajiri wanaishi kwa jasho la maskini wanaofanya Msimulizi hataki kumwoa Salma Fadhil kwa kazi ngumu. utamaaduni wake wa kuificha sura yake kwa Watu wa daraja la juu wanaishi mijini na wa daraja kuiremba marangi ya mAshavu na midomo. la chini shambani. Utamaaduni wa mume kufanya kazi aweze kukimu Watu wa tabaka la juu wameelimika ilhali wale wa familia. tabaka la chini hawajaelimika kama vile Aziza. Utamaaduni wa mavazi/vifaa-viatu, mswaki, unga. Watu wa tabaka la juu wanafanya kazi za ofisi na wa Msimulizi na hata Fedhele wameacha mila na la chini kazi za mikono kama vile ukulima, kuchoma kugeukia uzungu. Fedhele anavaa kanzu inayomfika mihogo na kuuza, kukwea minazi na kuuza madafu. mapajani. Ustaarabu Uigaji wa utamaaduni wa kigeni huweza kuwaathiri Watu wa mjini wanachukuliwa wamestaarabika na wanawake kwa kuwakosesha waume wa kuwaoa wa shambani hawajastaarabika. Kinaya ni kwamba kama Fedhele. yanayodaiwa ni ustaarabu ni kupuuza utamaaduni asili na kuiga ule wa kigeni. Kuoa watu wenye uhusiano wa damu nao-wazee wa Ndoa Seluwa mtoto wa shangazi walitarajia msimulizi amuoe. Ndoa ya msimulizi inavunjika kwa kukosa kazi. Ukandamizaji wa wanawake/taasubi ya kiume Za wengine wa mijini zinavunjika kwa wanaume Msimulizi kusema ‘Huyu ni mwanamke na kutaka kuwadhibiti wake au kuwatoa mambo ya wanawake ni kama watoto wadogo, hawaachi kilimwengu. kisebusebu. Ndoa huathirika ikiwa watu hawana mtazamo na Msimulizi anataka kumwoa mwanamke mwelekeo mmoja. mshamba amstaarabishe kuonyesha anachukulia Ndoa za matabaka tofauti zaweza kuingia doa na mwanamke ndiye anahitaji maongozi ya mwanamme kuvunjika. Unaweza kumtoa mtu shambani ilhali ilhali ni kinyume. huwezi kutoa ushamba ndani yake. Elimu
Damu Nyeusi) 10 Kutojithamini kwa mfano Fikirini ameacha vyuo Ni upi mji mkuu wa Afrika. nchini mwao na Bob na Fiona wanaishi katika Mtu anaugua ukimwi malaria na polio na utapia mlo mazingira machafu. huko Afrika? Kushindwa kupambana na magonjwa. Mbona hamwachi kupigana nchini kwenu? Uchawi/ushirikina. Nani anataka kuuona uchi wako? Umaskini You, wataka kumbaka dadangu kwa nini? Watu wa Afrika kupigania mkono kufika kinywani Nini kinawatoa Afrika kuja kutusumbua hapa na hivyo hawana wakati wa kufikiria kuhusu rangi. marekani?-Bob-kasumba Kuna kitongoji duni cha mathare huko Nairobi na Fala kabisa twawezaje sisi kuwa ndugu na tumbiri Kibuye huko kampala. kama nyie-Bob-kasumba. Kasumba Mbona hambaki kwenu huko kwenye uchawi na Wamarekani weusi kukataa uAfrika. ushirikina wenu?-Bob-kasumba Waafrika wakiwa uzunguni hawasalimu Waafrika Balagha zaidi wenzao. Mambo ya aibu kama haya unaweza kuwaelezea Fikirini kutozwa faini kubwa na jaji mweusi. ndugu zako nyumbani?-kisa cha kutofunga zipu. Fikirini kuzungumza kama mmarekani mweusi ‘ Sasa polisi gani angejua kiingereza kuliko Whets up men?’ mwanafunzi wa uzamifu katika somo la kiingereza Waafrika kuwaabudu watu weupe.-Fikirini kusema katika chuo kikuu? anAshangaa vile kwao wanavyowaabudu watu hao Chuku wasiowajali. Huu weusi wenu unaozidi kiza unatokana na Ukahaba kuangukiwa na lami au kupigwa na mionzi ya jua? Fiona ni kahaba na anamuuliza Fikirini ‘Do you Mtu sharti avae safu ya maguo pamoja na viatu, want a good time, hapa ukumbini patatufaa. viatu vizito kama vya wanajeshi wan chi kavu.- Unyag’anyi/utapeli/ujambazi wingi wa baridi. Fiona na Bob walimtapeli Fikirini dola 300. Hakuhisi mzizimo wa theluji iliyokuwa inaanguka Uongo kama matone ya mvua ya mawe.-anapoambiwa Fiona kusema Bob ni nduguye. atoke kwa kina Fiona na Bob. Haja ni kunusuru Fiona kudai Fikirini anataka kumbaka. maisha yake. Fiona kusema ana gari-‘Gari langu ni lile pale’. Jibaba la miraba mine-Bob. Waingie nyumbani achukue ufunguo. Jimama lililofungAsha si haba-Fiona. Unafiki Kila kitu cheupe katika nchi hii,mtu mweusi apate Fiona kumhakikishia Fikirini usalama wake. wapi sauti na satua-kutilia mkazo ubaguzi wa Kumwambia ajihisi yuko kwake au kwao. Waafrika. Kumwambia ‘You guys are our brothers’ anaposikia Alikuwa pandikizi la jimama-Fiona atoka Afrika. Hata akilewa gongo,waragi au chang’aa kiasi cha Ndoa bahari ya hindi hawezi sema kisa cha zipu kwa aibu. Wamarekani hawajui kutunza ndoa. Huu weusi wenu unaozidi kiza unatokana na Heshima kuangukiwa na lami au kuchomwa na mionzi ya Fikirini kupita bila kumgusa Fiona akiingia kwake. jua? Upyaro Kijasho chembamba kikaanza kumtoka kipajini na Bob kusema Waafrika ni wajinga na wenye kwapani-kusisitiza uoga Fikirini anapogusa mlango ushirikina. kwa Fiona na kukuta umekomelewa. Kumwita Fikirini fala. Akaumimina mkojo kwenye sakafu ya ukumbi kejeli kutokana na hofu-kwa kuonyeshwa mtutu wa Je, kule kwenu watu huvaa nguo au hutembea bunduki na Bob. rabana? Takriri Je mwaishi mitini kama tumbiri? Mtu sharti avae safu ya maguo pamoja na viatu, Mbona hambaki kwenu huko kwenye uchawi na viatu vizito kama vya wanajeshi wan chi kavu.- ushirikina-Bob. kusisitiza jinsi baridi ilivyo nyingi. Huu weusi wenu unaozidi kiza unatokana na Alijotosa nje tuputupu kama alivyozaliwa-bila nguo kuangukiwa na lami au kupigwa na mionzi ya jua? akitoka kwa Fiona.
Damu Nyeusi) 22 Ndoa za mapema na haramu Masazu kudanganya Sela kuwa ni mgonjwa-kichwa Umuhimu wa kujitunza mtu akiwa kijana kinamuwanga. Kufukuzwa shuleni. Kumwarifu Sela kuwa alihisi kichefuchefu- Migogoro baina ya wazazi-mama kulaumiwa. wanapotoka katika ofosi ya sista. Hofu-maisha yangechukua mkondo gani. Barua walizoandikiana ziliwasilisha ahadi za kweli Uavyaji mimba. na za uongo. Kusumbua wazazi wanapoitwa shuleni. Ukiona cha mwenzio chanyolewa chako tia maji- Kupoteza muda wa masomo wakiandikiana au tunaweza kupatwa na yanayopata wengine-mzee kusoma barua. Butali hakuwahi kufikiria hali kama ile ingetokea Kukosa utulivu. nyumbani mwake. Majuto-mzo wa majuto ulimwandama. Ujinga Kuathirika na kutoweza kutunza makini shuleni- Ulimbukeni katika mapenzi kusabaisha wasichana Masazu. wengi kupata mimba wakiwa shuleni. Mila na desturi Kufanya mapenzi bila kinga ilhali Kuzuia Masazu na Sela kuoana. wangeambukizana magonjwa ya zinaa. Wanaamua kuiba mtoto kwa Masazu kushindwa Kukutana na mtu usiyemjua na kuishia kufanya kumudu utaratibu wa kawaida wa kwenda kwa mapenzi naye bila kujali maisha yake ya awali. wazazi wa Sela. Udhabiti wa msimamo Kina mama kulaumiwa binti wakipoteza mwelekeo. Mzee Butali hakulegeza msimamo waondoke Nafasi ya mwanamke nyumbani licha ya Sela na mamake kulia. Huruma Amepewa jukumu la ulezi-mamake Sela kualaumiwa. Huruma kumwingia na aliwarudisha jamaa zake nyumbani kwa majuto makuu. Kumlea mjukuu wake. Ushauri Wanaowajibika-mwalimu mkuu. Wazee kumshauri Butali yakimwagika hayazoleki. Wenye mapuuza/wasiojali-Sela Afanye kama alivyoelekezwa na mwalimu mkuu. Vyombo vya kujiburudisha vya wanaume-Sela Subira Watetezi-mama kumtetea Sela. Ukosefu wa subira miongoni mwa vijana. Kadogo ni kielelezo cha watoto wanaoteseka kwa Subira katika mapenzi-ngono kabla ya ndoa. ajili ya makosa ya wazazi wao. Kusubiri watimize taratibu kabla ya ndoa. Ni jasiri Kusubiri wamalize masomo. Umuhimu wa mtoto Matatizo yanayokumba sekta ya elimu Kiungo muhimu kati ya uhusiano kati ya mke na Mahusiano wa kimapenzi baina ya wavulana na mume. wasichana. Kutoa mzazi upweke Wanafunzi wasichana kupata mimba. Kumpa mzazi shughuli Kufukuzwa shuleni na kupoteza muda wa masomo. Mapenzi Kuathiri wenzao na kuiga tabia kama hizo. Ya Masazu kwa Sela. Kutojali miongoni mwa wanafunzi. Sela kumfuata baada ya masomo waishi kama mke na mume. Ukosefu wa karo. Ujasiri Ya Masazu na Sela kwa binti yao Kadogo- kumwendea. Mamake Sela kumtetea anapofukuzwa. Busara Mama Sela kumlea Kadogo kama mwanawe. Mamake Sela anajua maji yakimwagika hayazoleki. Mzee Butali kumwelimisha Sela japo ni maskini. Unafiki Wanakijiji kumwombea Sela na mamake msamaha Chris kuketi akiwa ameshikilia kichwa kana kutoka kwa mzee Butali. kwamba kingemdondoka. Butali anawapenda mkewe na Sela kwa kuwaonea Maumizi la lugha huruma na kuwarejesha nyumbani. Chuku Kumrudisha Sela shuleni. Kanda la sufi-mzigo wa mwenzio ni kanda la sufi. Mwalimu mkuu kwa wanafunzi wajawazito. Kwake usiku ule ulikuwa mwaka. Ulaghai/udanganyifu Mpito wa kikonokono wa wakati.
Damu Nyeusi) 23 Masazu kusoma barua mara ya kwanza, akarudia mkuu anawaambia wazazi wa wasichana waliokuwa mara ya pili na ya tatu. na mimba. Tashhisi Kinaya Mambo haya mawili yaliendelea kuungana Shule anayosomea Sela ni ya dini ambako kuhujumu mkakati wao (wakati kusonga polepole na wanaendeleza shughuli zao kwa utulivu na ustaarabu hali ya hewa). huku wakizingatia maadili ya hali ya juu ilhali Sela Matone ya mvua yaliyokuwa yakipenya baina ya anapata mimba. majani ya mwembe waliojikingia mvua yalitoa Shule anayosomea Masazu inaitwa lenga juu ilhali sehemu yayo ya hujuma-kuwalowesha. analenga mapenzi na kutia wasichana mimba. Mabasi yalikuwa yameanza kuingia huku Sela kupata mimba licha ya babake kuwa mkali. yakiendelea kutapika wanafunzi-kuwashukisha. Sela kupata mimba licha yake kuonekana kuwa wanapoenda katika shule ya kina Sela ya Askofu msichana anayewajibika. Timotheo kulikokuwa na tamaasha za muziki na Utohozi drama. Drama-michezo ya kuigiza Saa sita usiku kiza kilikuwa kimeuma kila mahali- Mabasi ya shule ngeni usiku wanaoendea Kadogo. Kliniki- mahali pa wanafunzi kutibiwa shuleni. Mara nyingine maji ya kutoka mitini yalianguka kwa Sista-daktari wa kliniki aliye mtawa wa kikatoliki. matone mazito na kuhujumu Kadogo. Ofisini-ya sista daktari Akajitahidi kujiopoa lakini utelezi miguuni ukamzidi Glasi ya maji-aliyopeewa Masazu kumezea vidonge nguvu. viwili. Utelezi ule ukamzoa pamoja na mtoto na kumbwaga Kiberiti cha gesi-hewa iwakayo moto cha Masazu majini-kuonyesha jinsi Sela na Kadogo cha kuwashia sigara anachotumia Masazu walivyoangamia. kumulikia. Balagha Tashbihi Huoni tayari tumesimama hapa kwa muda mrefu?- Kama chui aliyelivizia windo lake na sasa Masazu akimwambia Sela. limetokea, akajiandaa-Masazu anapomwona Sela Kwa hiyo…?-Sela. katika pitapita zake katika shule ya kina Sela na Huyu si mtoto wetu sisi wawili? kujiandaa kumtongoza. Je, ni kwa nini sisi huwaletea watoto shuleni?- Alitunza barua ile kama uhai-Sela iliyokuwa babake Sela anamwambia mwalimu mkuu. imepuliziwa maashi-chuku pia. Mama gani anayemtazama mwana anageuka afriti ? Kiapo cha Masazu-kuchomeka kidole chake cha Sikutumia hela zangu mimi katika elimu hadi shahada ardhini na kumwambia mapenzi yake nikaitwa pangu pakavu?-kuonyesha umaskini. kwake ni ya dhati ) kikalegeza kiwiliwili chake Baba Sela, nani kasema huu ni msiba wangu?- (Sela) mithili ya mbwa anayekabiliana na chatu mamake Sela. macho kwa macho-kumfanya akubali penzi. Mdokezo Ulimwengu ulivurugika, akawa kama tiara Kwa hiyo…?-Sela Masazu anapomwambia inayopeperushwa na upepo ikaenda arijojo.-Sela wamekaa chini ya mwembe kwa muda mrefiu. kuathirika kwa kupata mimba. Sijambo. Sijui wewe?...sista akijibu salamu za Sela. Nidaha Rozina, Rozina, Rozinaa… amka-Sela akimwita Pole Chris-akimliwaza kwa maumivu. Rozina baada ya kuona kuwa Masazu hakufaulu. Kijusi kilikuwa kimetungika!-Sela alikuwa na Nahau mimba. Sikutumia hela zangu mimi katika elimu hadi Naam, naam shemeji Masazu-Rozina akimwitika nikaitwa pangu pakavu?-maskini. Masazu. Moyo ulimsisimka-Masazu kumuona Sela na Ahsante-Masazu akimshukuru Rozina. kuingiwa na mapenzi/moyo wake kumpenda. Sadfa Kingewaborongea mkakati-kama kadogo angeamka Sela anapotaka kuingia kwa sista kumwarifu kuhusu kilio chake kingewaharibia mpango wao wa Masazu naye sista alikuwa akitoka. kumchukua. Hapakuwa na wanafunzi wengine katika kliniki Ingawa sisi hufanya tuwezayo kuwalinda wanetu, ndiposa Masazu akaweza kumtongoza Sela. tabia zao hutupiga chenga …-hutukwepa-mwalimu