You are on page 1of 37

1

 Kumdharau Fedhele kwa kutembea usiku

DAMU NYEUSI NA wakiwa pamoja na mvulana ni kuchukulia wanawake


kama vyombo visivyoweza kujidhibiti.
Heshima na utiifu
HADITHI  Aziza hana heshima kwa mumewe kwani
Anamkashifu, anamuumbua na kumzungumzia kwa
NYINGINE ujeuri, kejeli na hata akiwa ametoa macho. Anasema
ni upuzi kukaa, kuchana nywele na kutembea.
 Msimulizi anamweshimu mkewe kwani licha ya
1. Mke Wangu kejeli na ukaidi wake, anamjibu kwa upole na
 Anwani inaweka msisitizo katika sifa ambazo kumruhusu aseme. Anaona kuwa kumwamrisha
msimulizi angetaka mke wake awe nazo na tabia za mkewe lazima kungemshinda-busara.
mke aliyemuoa. Kazi na athari za kuikosa
 Mkewe ana pingana naye hatimaye anaomba talaka.  Msimulizi anadharau kazi za mikono kwa kusema
Maudhui angeonekana wazimu akichoma mihogo.
Migogoro  Kazi ni muhimu kwa kila binadamu hata awe wa
 Msimulizi hafanyi kazi na anawategemea wazazi. tabaka gani.
Aziza haoni mtu asiyefanya kazi kama mume wake.  Kukosa kazi kunamwathiri msimulizi kwa
 Kuhusu kutumia mswaki na burashi, viatu na kumkosesha mkewe ambaye amchukulii kama
msimulizi kutotaka muuza madafu aingie ndani. mumewe kwa kuwa hafanyi kazi bali anaishi kwa
Ushamba na ujiji jasho la wengine-wazazi na mtumishi mapanya.
 Aziza kutovaa viatu, kutotumia burashi na dawa ya Utabaka
meno na badala yake mswaki na unga.  Kuna matajiri/makabaila (wenye nacho) kama vile
Utamaaduni msimulizi na wazazi wake na maskini/makabwela
 Wazazi wa msimulizi japo ni matajiri wanashikilia (wasionacho) kama vile wazazi wa aziza, mapanya
utamaaduni wa kuwachagulia watoto wachumba au na muuza madafu.
wake.  Matajiri wanaishi kwa jasho la maskini wanaofanya
 Msimulizi hataki kumwoa Salma Fadhil kwa kazi ngumu.
utamaaduni wake wa kuificha sura yake kwa  Watu wa daraja la juu wanaishi mijini na wa daraja
kuiremba marangi ya mAshavu na midomo. la chini shambani.
 Utamaaduni wa mume kufanya kazi aweze kukimu  Watu wa tabaka la juu wameelimika ilhali wale wa
familia. tabaka la chini hawajaelimika kama vile Aziza.
 Utamaaduni wa mavazi/vifaa-viatu, mswaki, unga.  Watu wa tabaka la juu wanafanya kazi za ofisi na wa
 Msimulizi na hata Fedhele wameacha mila na la chini kazi za mikono kama vile ukulima, kuchoma
kugeukia uzungu. Fedhele anavaa kanzu inayomfika mihogo na kuuza, kukwea minazi na kuuza madafu.
mapajani. Ustaarabu
 Uigaji wa utamaaduni wa kigeni huweza kuwaathiri  Watu wa mjini wanachukuliwa wamestaarabika na
wanawake kwa kuwakosesha waume wa kuwaoa wa shambani hawajastaarabika. Kinaya ni kwamba
kama Fedhele. yanayodaiwa ni ustaarabu ni kupuuza utamaaduni
asili na kuiga ule wa kigeni.
 Kuoa watu wenye uhusiano wa damu nao-wazee wa
Ndoa
Seluwa mtoto wa shangazi walitarajia msimulizi
amuoe.  Ndoa ya msimulizi inavunjika kwa kukosa kazi.
Ukandamizaji wa wanawake/taasubi ya kiume  Za wengine wa mijini zinavunjika kwa wanaume
 Msimulizi kusema ‘Huyu ni mwanamke na kutaka kuwadhibiti wake au kuwatoa mambo ya
wanawake ni kama watoto wadogo, hawaachi kilimwengu.
kisebusebu.  Ndoa huathirika ikiwa watu hawana mtazamo na
 Msimulizi anataka kumwoa mwanamke mwelekeo mmoja.
mshamba amstaarabishe kuonyesha anachukulia  Ndoa za matabaka tofauti zaweza kuingia doa na
mwanamke ndiye anahitaji maongozi ya mwanamme kuvunjika. Unaweza kumtoa mtu shambani ilhali
ilhali ni kinyume. huwezi kutoa ushamba ndani yake.
Elimu

©Bw. P.K Mwirigi (mwongozo wa


Damu Nyeusi)
2
 Humkomboa mwanamke kutokana na udhalilishaji Ubahili
wa mwanamume kwa vile inamwongezea  Aziza anaonelea ni ubadhirifu mtu kutoa pesa zake
mwanamke hadhi na hata kufanya mwanamume nyingi anunue kiatu kisha akikanyagishe kinyaa na
amwogope. kinyesi majiani.
 Huwafanya watu kuwa watumwa kama vile Ujinga
kuwafanya wadharau kazi za mikono au kujiajiri  Aziza hana elimu na hajui athari ya kwenda msalani
wenyewe na kutaka tu kuajiriwa ofisini-uboi wawe bila viatu.
wakitumwa. Matumizi ya lugha
 Yaweza kupotosha watu na kuwasahaulisha mila na Nidaha
desturi zao.  Ngnhngnh!-msimulizi akidharau Fedhele.
Ukengeushi  Barabara! Si watu kama vile ninyi?-Aziza kuudhika
 Msimulizi ambaye amesoma kumwoa mwanamke kwa msimulizi kudharau uchomaji na uuzaji mihogo
ambaye hajasoma. kama kazi.
Ujasiri  Lo! Mimi nikachome mihogo niuze?-msimulizi
 Aziza kumkabili mumewe na kumwambia ukweli kushangaa kwa kupendekezewa na mkewe ajiajiri
bila kuogopa angepigwa au kutalikiwa. kazi kama ya uchomaji mihogo.
Udhabiti wa msimamo Taharuki
 Aziza kukataa kutumia burashi, dawa ya meno na  Kwa nini Aziza anamtazama msimulizi bila
viatu. kumzungumzia?
 Kutaka mume anayefanya kazi na anapotambua  Msimulizi alimpa aziza talaka?
sivyo msimulizi alivyo anaamua kumtaliki na  Msimulizi alimwoa seluwa?
kufuata ndoto yake.  Msimulizi alitilia maanani mafundisho ya Aziza na
Nafasi ya mwanamke katika jamii kuanza kufanya kazi?
 Msomi kama vile wa mjini.  Aziza aliolewa na muuza madafu?
 Ananyimwa elimu kama vile wa shambani. Mbinu rejeshi
 Ana uhuru kama vile Fedhele.  Msimulizi kuwaza jinsi alivyomkuta Fedhele Salim
 Anathamini kazi na kuichukulia kama kipimo cha Saateni saa mbili usiku kavaa kanzu mpaka
utu. mapajani, kafuatana na shoga yake na wanamtia
 Ana usemi k.m. Aziza. kijana mwanamume katikati yao.
 Mtamaaduni kama vile Salma na mamake msimulizi  Anatufahamisha kuna siku wakati wa alasiri Seluwa
ambaye anamyependekezea mke. alienda kuwatembelea yeye msimulizi na mkewe.
 Mwacha mila kama vile Fedhele anayevaa kanzu Tashbihi
hadi mapajani.  Uko chini ya wazee wako kama mtoto anayenyonya-
 Hana ubaguzi kama vile Aziza hambagui muuza Aziza kwa msimulizi.
madafu.  Ngozi yake ilivyokacha utadhani msasa-ngozi ya
Ubaguzi aziza kuwa ngumu kwa kazi za mikono za shambani.
 Msimulizi anakataa kuoa wanawake walioelimika Takriri
kwa kuwachukulia hawana maadili na hawafuati  Muuza madafu amevaa kanzu mararu mararu.
utamaaduni. Kinaya ni kwamba amuoa mke aliye  Hebu! Hebu! Aziza akimnyamazisha Seluwa
mtamaaduni. ahakikishe ni sauti ya muuza madafu amesikia.
 Hataki muuza madafu aingie nyumbani kwake kwa  Dafu! Dafu! –Sauti ya muuza madafu kama
kuwa ni duni. alivyoisikia msimulizi.
Ubwana  Najua wewe una fikra namna na namna-Msimulizi
 Aziza hapendi ubwana. akimwambia Aziza.
 Mapanya ni mtumishi na anafanya kazi ya kuosha Balagha
nguo na vyombo.  Mangapi umeng’olewa?-Aziza kuonyesha uduni wa
Busara/hekima mbinu za sasa za kutunzia meno anazotumia
 Msimulizi anamjibu mkewe kwa upole na hivyo msimulizi.
kuzuia mzozo kuwa mbaya zaidi.  Sijui mimi nilikuwa narudi kutoka wapi vile?-wakati
Bidii msimulizi alimuona fedhele usiku. Kinaya ni kuwa
 Muuza madafu ana bidii kwa kujiajiri mwenyewe yeye pia alikuwa anatembea usiku na kachelewa
badala ya kutegemea kuajiriwa. kurudi nyumbani.
©Bw. P.K Mwirigi (mwongozo wa
Damu Nyeusi)
3
 Kitu kilichokufa kina uzima gani wa kukuhami  Kudhani Aziza kwa kutoka shambani, lazima awe
wewe?-Aziza akidharau kiatu. mwepesi, msikivu na mwelekevu.
 Vipi mtu atafute kazi asipate?-Aziza kuonyesha mtu  Kudhani Aziza angempenda kwa utajiri na
hawezi kukosa kazi hata kama ni ya kujiajiri. angeridhika na maisha ya mjini ya kitajiri na starehe.
 Basi wewe ndiye mume wa kunioa mie we?-Aziza  Kukataa salma kwa kuwa mtamaaduni na kuishia
hamchukui msimulizi kuwa mumewe kwa kukosa kuoa Aziza aliye mtamaaduni pia.
kazi.  Kukataa kumwoa seluwa kwa kidomo chake na
Methali kuishia kuoa Aziza anayejibizana naye.
 Kwenye nchi ya vipofu, mwenye jicho moja  Kumkashifu Fedhele kwa kutembea usiku ilhali hata
atakuwa mfalme. yeye alikuwa akitembea usiku.
 Kila mtu na kazi yake.-msimulizi kuonyesha hawezi  Mtu ambaye amesoma na anayetoka katika familia
kufanya kazi za mikono. tajiri kumwoa mwanamke ambaye hajasoma na
Nahau anayetoka katika familia maskini.
 Nimvumbike mwenyewe mpaka aive-amuoe  Kuoa mwanamke wa shambani ambaye hajasoma na
mwanamke amstaarabishe. kutarajia asiwe mtamaaduni.
 Kupatia mguu-Aziza hajawahi kufika mjini. Tabaini
 Tulikwenda sare kwa kupimana-msimuliz na Aziza  Aziza alikuwa daima akinitazama kwa kunichuja
kuwa sawa. tena si mara moja wala si mbili.
 Kuwa na kidomo-hakumpenda salma kwa kusema  Mimi sioni raha kulishwa na mtu ajinabi si baba
maneno ya watu au kujibizana-kinaya ni kuwa yangu wala si mume wangu-Aziza hapendi
aliyemwoa (aziza) anajibizana naye. utegemezi.
 Nikawaweka kando-msimulizi kukataa kuwaoa Tashhisi
wanawake aliochaguliwa eti hawana maadili.  Jawabu lake mtoto yule lilinizungusha kichwa
Taswira darmadaru-majibu ya Aziza kumshangaza
 Fedhele salim kuvaa kanzu mpaka mapajani.- msimulizi.
kuonyesha uigaji wa utamaaduni wa kigeni. Utohozi
 Salma Fadhil kujifunika uso na kujiremba marangi  Shilingi mbili-msimilizi alizompa Aziza akanunue
ya mAshavu na midomo-kuonyesha utamaaduni. madafu.
Kinaya ni kuwa msimulizi anakataa utamaaduni  Burashi-ya kusugulia meno.
ilhali yeye anaufuata kama vile kuchaguliwa mke na  Plastiki iliyotengeneza kifurushi Aziza alikoweka
anaishia kuoa Aziza aliye mtamaaduni. mswaki na unga.
 Alinionyesha viganja vyake nikaona namna ngozi Kejeli
yake ilivyokacha utadhani msasa.  Nitapata mume wangu au gumegume tu?-Aziza
Chuku akimdharau msimulizi kwa kuona hastahili kuwa
 Hana kazi ya kumshughulisha labda kujikuna tu mume wake.
anapowashwa-mke wa msimulizi katu hakuwa na  Pesa mbili nobe zinakushinda kuzivumbua mpaka
kazi yoyote, hakuwa na kazi wala basi. upewe?
 Chukua mwiba unishindilie nyayoni mwangu  Lazima tupokee kibivu maadamu mume wangu
utazame kama hautavunjika kabla ya kunichoma- havumbui kibichi?
Aziza kuonyesha jinsi miguu yake ilivyo madhubuti  Kitu kilichokufa kina uzima gani wa kukuhami
na haihitaji ulinzi wa viatu. wewe?-kiatu
 Alinionyesha viganja vyake nikaona namna ngozi  Kwa nini nichukue manyoya ya nguruwe nitie
yake ilivyokacha utadhani msasa. kinywani mwangu?-akidharau burashi ya kusugulia
Kinaya meno.
 Anwani mke wangu ni kinaya kwa vile mke Tanakali
aliyemtaka siye aliyempata. Alipata mwenye sifa  Aliondoka nyatunyatu akaenda zake ji-ji-Aziza
zile alizozikataa kama vile utamaaduni, uhuru, akienda kuchukua vifaa vyake vya kusugulia meno.
mwenye usemi, n.k. Sitiari
 Kudhani mwanamke ndiye anastahili kuelekezwa  Aziza kuita mswaki manyoya ya nguruwe.
(Niliona ni wakati wangu kumsoma Aziza ili nipate  Kukiita kiatu ngozi ya ngombe aliyekufa.
kumsomesha.) ilhali ndiye anahitaji kuelekezwa.  Pia kusema Kazi ndiyo maisha bora.
 Kusema muuza madafu ni binadamu kamili.
©Bw. P.K Mwirigi (mwongozo wa
Damu Nyeusi)
4
 Jinsi watu wanavyojiingiza katika mapenzi ya
2.Samaki wa Nchi za kupitisha muda kama vile Peter na Christine
hawakuwa na lengo la kuoana.
Joto Uzinifu
 Anwani ni ya kiistiari  Peter na Christine ni wazinifu kwa kufanya mapenzi
 Kumaanisha unyonyaji au kitu unachokitumia ilhali hawajaoana.
kujifaidi.  Tunafahamishwa huko ‘half London’ kuna wazungu
 Kuna samaki halisi wa nchi za joto ambao Peter wengine wanatafuta makahaba (ukahaba).
anafanya bishara ya kuwauza nje ya nchi. Uwajibikaji
 Serikali ya kikoloni kuleta samaki wa aina ya  Peter hana uwajibikaji katika mapenzi kwani
sangara walioangamiza samaki asilia katika maziwa. hamkingi Christine asipate mimba.
 Christine ni samaki kwa kutumiwa na Peter  Hata hivyo Peter anawajibika katika kazi yake kwani
kutosheleza uchu wake. Pia daktari anamtoa mimba halewi akiwa kazini.
ili apate pesa.  Christine hawajibiki kwani hakubali mimba kama
 Zac pia ni Samaki kwani Anamfahamu Peter kupitia tokeo la vitendo vyake vya utovu wa uadilifu na
Zac kuilea bali anaamua kuiavya.
 Wavuvi ni samaki kwa vile Peter anawanunulia  Zac anawajibika kwa vile anamfahamisha Christine
samaki kwa bei ya chini(kuwapunja) kAsha kuwa Peter ana wasichana wengine.
anawauza na kupata faida kubwa.  Deogracius hawajibiki kwa vile hamfahamishi
 Watu weusi ni samaki kwa vile wanapenda pesa na Christine kuhusu Peter ili amwambae.
pesa ni chambo chao.  Miriam na Margaret hawawajibiki kwani Christine
 Jagtit na Sunja kuibia nchi ya Uganda mapato ya alipowaeleza nia ya kutoa mimba hakuna aliyemzuia
ubadilishaji sarafu. au kumshauri dhidi ya kufanya hivyo.
 Sunja kumlaghai Jagtit kwa kumpa noti ya dola 100 Ukoloni
bandia. Mkongwe
 Zac na wengine wanaofanya kazi katika kampuni ya  Serikali ya kikoloni kuleta samaki wa aina ya
Peter ni Samaki kwani wanatumiwa naye katika sangara walioangamiza samaki asilia.
biashara yake na faida kubwa ni yake. Ukoloni mamboleo
 Deogracious pia ni samaki kwani anafanya kazi ya  Peter kupunja wavuvi kwa kuwanunulia samaki kwa
utumishi wa nyumbani kwa Peter. bei ya chini(unyonyaji).
 Nchi ni samaki kwani Peter anaiibia raslimali ya  Peter kuibia nchi raslimali asili ya samaki.
samaki na wahindi kama vile Sunjal na Jagtit  Peter kuamrisha wafanyakazi wake kama mnyapara
wanaiibia pesa kwa kufanya biashara ya dola ya na akipaaza sauti ya juu.
kimagendo.  Huko ‘Sailing Club’ kuna mahali pa wazungu na pa
 Makahaba wanaotafutwa na wazungu huko ‘half Waafrika.
London’ pia ni aina ya samaki kwani chambo chao  Jagtit na Patel kufanya biashara ya magendo ya
ni pesa. kuuza dola na hivyo kuibia nchi mapato ambayo
Maudhui ingepatika kutokana na ubadilishaji halali wa dola.
Mapenzi nje ya ndoa/vyuoni/shuleni na athari zake  Huko Sailing Club ni mahali pa wazungu kwani ada
 Christine ni mwanafunzi wa shahada ya Sosholojia ya juu ya kiingilio iliwafanya watu weusi
katika chuo cha Makerere. Aliye na tamaaa ya kutopamudu.
mpenzi wa kiume. Ukosefu wa ajira
 Tamaa yake inasadifiana na kutokea mzungu Peter  Christine kusema mtu angepata kazi ya kiserikali
anayemfahamu kupitia Zac. kwa kubahatika.
 Mwandishi anataka kuonyesha jinsi wasichana Madhila ya wafanyakazi
vyuoni wanavyojihusisha na mapenzi na watu walio  Kuamrishwa-Peter Kuamrisha wafanyikazi wake
na umri unaozidi wao ili wapate pesa (ushuga dadi). kama mnyapara.
 Anaonyesha ukosefu wa uwajibikaji kwa vile  Kufanyia kazi katika mazingira duni-ofisi kuukuu za
Christine anapopata mimba anaamua kuitungua. kikoloni.
 Anataka kuonyesha jinsi vijana wasivyochukulia  Wavuvi wanaofanya kazi za mikono wana dhila
maisha yao kwa umakini na tahadhari na hivyo la kupunjwa na wanaowanunulia wanaowanunulia
kuishia kuyaharibu. samaki wao kwa mfano Peter.
©Bw. P.K Mwirigi (mwongozo wa
Damu Nyeusi)
5
Athari ya kumtelekeza mungu/dini  Iddi Amin kufanya jaribio la kuangamiza maprofesa
 Christine alikuwa mkristo aliyeokoka lakini aliasi jambo lililosababisha wao kukimbilia uhamishoni.
imani yake. Heshima
 Hata dadake Dorothy alikuwa ameokoka lakini  Zac kuinuka na kumkaribisha Peter kiti alichokuwa
alikuwa mnafiki kwani alikuwa anajitia uongofu au anakalia.
anajificha chini ya kivuli cha dini. Ushauri
 Kujitia uongofu huko kukamchochea Christine  Zac kumshauri Christine kuwa Peter ana wasichana
kuendelea na mapenzi na Peter. wengine lakini hakutilia maanani ushauri wake
 Christine kwa kuacha wokovu alitumbukia katika (mapuuza).
uzinifu na matokeo ni kutunga mimba na kuitungua.  Dorothy kumshauri Christine kuwa aliota wazungu
 Kuavya mimba kunamwathiri kisaikolojia kwa wakimpa sumu lakini hakushaurika.
kuhisi amekosea Mungu na kuishi na woga wa  Margaret na Miriam hawamshauri Christine dhidi ya
madhara ambayo angepata kutokana na uavyaji kuavya mimba na hivyo wanapuuza wajibu wao
mimba huo. mkubwa wa kumhifadhi ndugu.
Utabaka Uavyaji wa mimba na athari zake/ukatili
 Peter ni wa tabaka la juu akiwa Uganda ilhali kwao  Athari za kisaikolojia kuhisi nafsi ikimsuta.
Uingereza ni wa la chini la Cockney.  Kuwa tasa.
 Deogracius, Zac na wengine ni wa tabaka la chini.  Kuwa muuaji.
 Huko Sailing Club ni mahali pa wazungu kwani ada  Kumkosea Mungu.
ya juu ya kiingilio iliwafanya watu weusi  Kufa.
kutopamudu. Matumizi mabaya ya taaluma
 Watu wa tabaka la juu kama Peter wanaishi katika  Daktari kumtoa Christine mimba ili apate pesa
mitaa ya kifahari kama vile wa ‘Tankhill’. badala ya kumpa ushauri mwema.
Tamaa Kasumba
 Peter kununua dola kimagendo ili aokoe pesa  Zac kutamaani kuwa mmarekani mweusi kwa
ambazo angalinunulia dola halali katika benki. kupenda kuzungumza sana kama mmarekani
 Peter kupunja wavuvi ili ajipatie faida kubwa. mweusi-‘Hey man’.
 Peter ana tamaaa ya wanawake. Ana wengine mbali  Kuheshimu wazungu kwa kuchukulia wazungu wote
na Christine. kama wa tabaka la juu ilhali kwao hawaheshimiwi
 Peter ana tamaaa ya anasa kama vile zinaa, likizo kwa kuwa wa tabaka la chini.
Nairobi, ulevi, kula nyama choma na kunywa  Watu wa rangi moja kuaminiana kwa mfano Jagtit
mvinyo na kutafuta makahaba. kumwamini Mhindi mwenzake Sunja Patel ilhali
 Christine ana tamaaa ya mpenzi wa kiume. anaishia kumtapeli.
 Zac na wafanyakazi wengine wana tamaaa ya pesa Umuhimu wa kuwa makini
ndio maana wanamfanyi Peter Kazi licha ya  Peter ni makini kwa kuzikagua dola hadi kupata
kudhalilishwa naye ka kuamrishwa kama mnyapara. kuna noti moja bandia.
 Jagtit na Sunja wana tamaaa ya pesa na ndiyo  Jagtit hakuwa makini akipewa noti za dola na Patel
sababu ya kuuza dola za kimagendo. ndipo akatapeliwa.
 Madaktari wana tamaa ya pesa na wanamtoa Bidii
Christine mimba ili wazipate.  Zac anafanya kazi katika kampuni ya Peter akiwa
 Ami nana tamaa ya uongozi na ndiyo sababu ya angali anasoma.
kutaka kuangamiza maprofesa wanaopinga uongozi  Peter ana bidii katika kazi yake na hatumii muda wa
wake dhalimu. kazi kujistarehesha.
 Christine anasema vijana wengine wana tamaa ya Anasa/starehe
kuwa watu wakubwa anayoiita ndoto za kiwenda  Ulevi k.m. uvutaji sigara, kunywa pombe, uzinzi,
wazimu. Peter kwenda likizo Nairobi kustarehe baada ya
Umaskini biashara kunoga, Christine kujipumbaza kwa
 Zac kulazimika kufanya kazi katika kampuni ya mvinyo, Margaret kulewa n.k.
Peter akisoma. Utovu wa Uaminifu
 Deogracius anafanya kazi duni ya utumishi kwa  Peter ana wasichana wengine mbali na Christine.
Peter.  Christine na dadake Dorothy si waaminifu kwa
Uongozi mbaya Mungu.
©Bw. P.K Mwirigi (mwongozo wa
Damu Nyeusi)
6
Ulevi na athari zake  Uavyaji mamba.
 Kusababisha Christine kuwa mzinifu.  Christine kuacha imani yake na Dorothy kuwa
 Uzinifu kusababisha mimba isiyotakikana. mlokole.
 Unusu kaputi kutofanya kazi Christine akitolewa Ukweli
mimba.  Zac kuonya Christine Peter ana wanawake wengi.
Upyaro Matumizi ya lugha
 Peter kumita Jagtit mwanaharamu anapotaka Tashhisi
kuchukua vipande vya noti bandia.  Nilivaa tabasamu niliyowahifadhia wanaume,
Unafiki tabasamu ya geresha-Christine kwa Peter.
 Deogracius hamwambii kuwa Peter Peter ana  Nilijaribu kumjibu lakini sauti ilinikwama kooni.
wapenzi wengi. Ukatokea mnong’ono.
 Dorothy kuwa na wokovu bandia na anatumia dini  Aibu ilinivaa-Christine akitoka kwa Zac baada ya
kama kivuli (ulokole). kukutana na Peter kwa kushindwa kumjibu Peter au
 Peter kuwaonyesha Zac na Christine urafiki kumbe kusema haja ya moyo wake.
ataka kumtumia Christine.  Nilikuwa nikiwangwa na kichwa changu kutokana
 Miriam ni rafiki mnafiki kwani hamshauri Christine na hedhi.
dhidi ya kuavya mimba.  Springi za kitanda kulalamikia uzito wake wa ziada-
Uhalifu kutoa kelele Peter alipokalia na kuzidisha uzito.
 Jagtit kumuuzia Peter dola kimagendo ilhali  Mvinyo ulikuwa umenipa ujasiri fulani-Christine
lilipaswa kufanywa na benki kuu. kutojishughulisha na Peter.
 Sunja kumpatia Jagtit pesa bandia.  Macho yake kila mara yalinihukumu-ya Deogracius.
 Utoaji wanawake mamba.  Wacha ukimwi uwateketeze-uwaangamize-wakati
Taasubi ya kiume/udunishaji wa wanawake amemsindikiza Peter akielekea Nairobi.
 Peter kutumia wanawake kama vyombo vya  Kutokana na mpito wa wakati, nywele za Peter kuwa
kujiburudisha. zinabadilika rangi pengine kutokana na shinikizo la
 Wazungu kuwatumia makahaba kujistarehesha. biashara ya nchi za nje ya samaki.
Utamaushi/ujidunishaji  Nikaachwa nikiadhibiwa na mikondoo ya macho ya
 Christine anajiingiza katika mapenzi kwa ili watu-baada ya kubusiwa shavuni na Peter.
kujipumbaza au kujidanganya kuwa mtu mwingine  Jua liliendelea kuadhibu kila kiumbe –kuwaka vikali
au kuwa dubwAsha tu- ujidunishaji. Christine akiwa katika matatu.
 Anasema akiwa na na shahada angekuwa kama Taswira
ng’ombe wa kizungu kwa vile hakuna ajira na  Deogracius amepinda mgongo kwa umri na mwenye
ikipatikana mazingira ya kazi ni mabaya na miguu ya matege.
mishahara ni duni.  Kwa Peter, michoro ya kisana ilitundikwa ukutani,
 Vijana hujiingiza katika myenendo isiyofaa kwa makabati ya vioo yaliyosheheni vinywaji vya aina
kupoteza matumaini ya maisha ya kesho. aina na vyombo vya kichina-utajiri.
Uingiliaji wa mambo ya wengine  Chumba cha Zac kina kuta zilizobambuka rangi,
 Watu kumkodolea macho kwa kubusiwa na Peter balbu iliyotoa mwangaza hafifu, picha kubwa ya
shavuni. Bob Marley iliyorarukararuka, vitabu vikuukuu
 Wakasema ‘Hawa Malaya hawana aibu hata viwili vya ‘Penguin Classics’, kitanda chake
chembe’. kimetandikwa blanketi ya rangi ya kahawia.
 Atakuambukiza ukimwi.  Zac kufungua kikabati kidogo cheusi akatoa sahani
 Ona alivyokondeana. mbili nyekundu za plastiki zilizoonyesha kuwa na
Ubwana mafutamafuta, kikombe cha kijani kibichi cha
 Deogracius ni mtumishi wa Peter. plastiki na glasi iliyokuwa na mavumbi.
 Wafanyakazi wa Peter anaowaamrisha kama  Nikatabasamu nikitaka aone meno yangu yenye
mnyapara. weupe wa maziwa.
Ukengeushi  Noti za dola za kijani kibichi.
 Miriam na Christine kunywa pombe.  Wajihi wa Peter ulikuwa wa wekundu usiokoza na
 Miriam kuvuta sigara. wala sio weupe usiotakata. Nywele zake tu ndizo
 Mapenzi nje ya ndoa. zilikuwa nyeupe
 Kutembea kwa wanaume.
©Bw. P.K Mwirigi (mwongozo wa
Damu Nyeusi)
7
 Tankhill, makasri ya mabalozi yalizungushwa  Mimi? Kwa nini?- Christine Zac anapomwambia
kuta za mawe, juu ya kuta hizo kumechomekwa vigae Peter alitaka wamtembelee Tankhill-kujifanya hataki
vya chupa. Kuna mabwawa ya kuogelea na walinzi wa ilhali anataka.
kulipwa-kuonyesha utabaka.  Je, Ni kweli Peter alinitaka?-Christine. kujiuliza
 Peter, akiwa na bombo (kaptula) aliyoipenda kimoyomoyo.
sana, alionekana kama mvulana wa miaka 14.  Kumbe alikuwa mzungu wa tabaka la chini?
 Alikuwa na maungo mviringo ya ujana, mwili Nahau
laini kama wa mwanamke na miguu iliyobonyea na  Tunapiga gumzo-Peter kuingia na kukuta Christine
iliyopuuka. na Zac wakiongea.
 Miriam rafiki yake Christine ni Mtutsi  Kufyata mkia-Christine-Peter alistahili kunyamaza
aliyekuwa na wembamba waliopendelea wazungu na kwa vile alikuwa anaibia nchi samaki.
macho ya vikombe.  Sikutaka kukitia kitumbua cha uhusiano wetu na
Mdokezo Peter mchanga-kuharibu mapenzi yao licha yake
 Mwiba wa kujidunga… chochote kingetokea kuwa na wasichana wengine.
akitolewa mimba na asingemlilia au kumlaumu yeyote.  Kupiga funda kubwa-Christine kujaza kinywaji kwa
 Fikra zilinipaa kuhusu matokeo ya uovu huu; kuwa mara moja baada ya kushindwa kumjibu Peter.
tasa… labda kuwa muuaji… ahh… kumkosea  Nimeavya mimba-nimetoa kijusi tumboni.
Mungu… pengine hata kufa-madhara ya uavyaji  Niligundua ulikuwa Mja mzito-Peter.
mimba.  Mwili haukufa ganzi-haukupoteza hisi baada ya
 Lakini ni…nina jambo nataka kukwambia-Christine sindano ya nusu kaputi-athari ya ulevi.
-Peter anapomwambia hana nafasi ya kumuona  Alimpasulia mbarika-Peter kumpa Jagtit habari
wakati wafanya kazi wanapakia mizigo. mbaya kuwa noti ni bandia.
 Angalia hapa… Peter akimwabia jagtit ahakikishe Kinaya
noti ni bandia.  Christine kujivuta kidogo mbali na Zac ilhali
Methali anamtaka.
 Mwiba wa kujidunga…  Wewe lazima u msichana mwerevu-Peter-ni
 Palikuwa na kimya chenye mshindo-baada ya Zac kinyume.
kuwaacha na Peter-walinyamaziana.  Mimi? Kwa nini? Christine Zac anapomwambia
Taharuki Peter alitaka wamtembelee Tankhill-kujifanya hataki
 Mwisho wa Christine na Peter ulikuwaje? ilhali anataka.
 Baada ya kuavya mimba, afya ya Christine  Zac usiwe mpumbavu. Mimi sitakwenda-anataka
ilikuwaje? kwenda.
 Jagtit alimchukulia hatua gani mhindi mwenzake  Christine kusomea sosholojia ilhali mwenendo wake
Sunja kwa kumpa noti ya dola 100 bandia? ni wa kukengeuka.
Ujinga  Kunyoosha mkono wake alioulegeza kimakusudi
 Jagtit kutapeliwa na Sunja kwa kutokagua dola kwa kumsalimu Peter-kama htaki ilhali anataka.
kumwamini eti kwa vile ni wa asili yake hawezi  Sauti ya mchuuzi aliyepaaza sauti akimsihi
kumlaghai. awanunulie watoto wake peremende na kumwambia,
 ,Christine kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mtu “shangazi wakumbuke watoto na waonee huruma”.-
asiyemfahamu vyema. ukweli ni kuwa ametenda kitendo cha kikatili cha
 Kufanya mapenzi bila kinga. kuavya mimba.
 Kutofahamu tama mbele mauti nyuma.  Christine kuavya mimba ilhali hana mtoto
 Kutoshaurika. mwingine.
 Kuacha Mungu akijua amwachaye hawezi kuwa na Utohozi
maisha mazuri.  Ofisi ya Peter
 Kuavya mimba akijua madhara yake na kuua mtoto  Maprofasa-wahadhiri wa chuo kikuu
ilhali hana hata mmoja.  Balbu-taa
Balagha  Jenereta-kwa Peter-lililojiwAsha umeme ulipopotea
 Mbona tusijipatie kinywaji-Zac.  Wikendi
 Ningemwambiaje Peter akinipigia simu?-Baada ya  Shati-aliyovaa Peter akielekea Nairobi
kuavya mimba.  Glasi

©Bw. P.K Mwirigi (mwongozo wa


Damu Nyeusi)
8
 Sahani mbili nyekundu za plastiki  Kukutana kwa Christine na Peter kupitia Zac
 Springi za kitanda wanayesoma naye Makerere na anayefanya kazi
 Kozi-taaluma katika kampuni ya Peter.
 Noti ya dola 100 yenye thamani ya shilingi  Christine kuwa kwa Peter kunasadifiana na
1,000,000 Jagtit kumtembelea Peter kumuuzia dola. Uzungumzi
Tashbihi nafsia
 Peter kumuuliza Christine anasomea kozi gani kama  Wewe baradhuli, kwa nini hukusema jambo
mjomba mkarimu anavyomuuliza mpwa wake. lolote la maana- Christine akitoka kwa Zac akijisuta kwa
 Ulaini wa ngozi yake (peter) ulikuwa sawa na kutochukua fursa kuanzisha urafiki na Peter.
wangu.  Nikweli Peter alinitaka?-Christine kujiuliza
 Peter aliniongoza katika chumba chake cha kulala kimoyomoyo.
kama kwamba hilo lilikuwa jambo la kawaida.  Kwani Zac alifikiria sikumjua Peter vyema?-
 Peter kuangalia noti bandia kama mwanasayansi anapoambiwa walienda sailing club na msichana
aliyekuwa akifanya uchunguzi maabarani-umakini. mwingine.
 Uhusiano wetu niliuona kama kitendo cha watoto Kuchanganya ndimi
kwenda shuleni-kulazimika/kutokuwa na budi.  ‘Penguin Classics’-vitabu vilivyokuwa juu ya dawati
 Mhindi alimtumbulia macho kama kwamba alikuwa ya Zac.
mzuka-Peter akikagua noti bandia.  ‘Hey man’-kasumba ya Zac kuiga Waafrika weusi.
 Baada ya kujihisi salama niliingiwa na wazo la kuwa  ‘Half London’-wazungu wanakotafuta makahaba.
debe bovu-kumfahamisha Peter hali yake ya hedhi. Takriri
 Nilitembea barabarani kama mtembea usingizini  Najihisi mlevi, mlevi saana-na-Miriam.
hadi katika kituo cha matatu-akitoka kwa Peter  Hapana, hapana haiwezi kuwa bandia-jagtit kwa
ofisini baada ya kumwambia aliavya mimba. peter -kutoamini noti ni bandia.
 Nikiwa na shahada ningekuwa kama ng’ombe wa Kicheko/tashtiti
kizungu-utamaaushi-hata akisoma, hakuna kazi  Christine kucheka akimwambia Peter kuhusu ndoto
,mishahara duni, mazingira mabaya-ofisi kuukuu ya Dorothy.
zilizojengwa wakati wa ukoloni.  Peter kucheka anapoambiwa ndoto ya Dorothy na
 Umati ulipasua kicheko nilichokisikia kama radi. Christine.
Mbinu rejeshi  Umati ulipasua kicheko nilichokisikia kama radi.
 Christine alikuwa ameokoka wakati mmoja Chuku
 Kisa cha Jagtit alichoshuhudia Christine alipompa  Jagtit alipigwa na butwaa asiweze kuhoji kitendo
Peter noto ya dola banda aliyokuwa amepewa na cha Peter-kurarua noto bandia.
mhindi mwenzake Sunja Patel.  Umati ulipasua kicheko nilichokisikia kama radi-
 Christine kueleza jinsi urafiki wao na Peter baada ya kumsikia kijana aliyempaazia Peter Sauti
ulivyoanza kupitia Zac anayefanya kazi katika kuwa angeambukizwa ukimwi na Christine.
kampuni yake.  Kuwepo Entebbe Sailing Club kungemfanya awe
 Zac kueleza Christine jinsi Peter alivyoenda ‘Sailing mweusi zaidi-wengi ni wazungu.
Club’ na msichana mwingine. Kejeli
 Kufahamishwa kuwa siku nyingi za Ijumaa jioni,  Kicheko ni kejeli kwa mtu kwa kutenda kitendo cha
Christine alikuwa anaondoka chuoni na kwenda kijinga.
kumtembelea Peter.  Christine kusema akiwa na shahada angekuwa kama
Jazanda/ Sitiari ng’ombe wa kizungu-elimu isingeboresha maisha
 Anwani Samaki wan chi za Joto ni Jazanda. yake.
 Samaki waliowala wale asili ni ukoloni mamboleo.  Christine anasikia sauti ya kejeli katika kicheko cha
 Ndoto ya Dorothy kuhusu Christine ambapo aliota Peter anapomwambia ndoto kikisema watu weusi ni
siku moja Christine alikuwa akipewa sumu na wajinga na washirikina wakubwa.
wazungu-akiharibiwa maisha.  Kijana anayempaazia Peter sauti akimkejeli
 Huu ulikuwa msalaba wangu-mimba ni wajibu Christine akisema kuwa angemwambukiza akimwi
Christine pekee kwani hawakupanga na Peter kupata na alivyokondeana.
mtoto.
Sadfa 3.Damu Nyeusi
©Bw. P.K Mwirigi (mwongozo wa
Damu Nyeusi)
9
Maudhui  Kwa kubaguliwa, Fikirini anaanza kujithamini na
Kubaguliwa kwa watu weusi katika nchi ya kupenda asili yake.
Marekani  Anaomba muda umalizike arudi nyumbani.
 Kuachwa na mabasi ya abiria yanayoendeshwa  Tunahimizwa kuthamini utu wetu/bara letu.
na wazungu katika kituo wanapokuwa peke yao  Nyumbani ni nyumbani ingawa pangoni.
kwa kufikiriwa ni majambazi.  Mtu asiyependwa na wengine sharti ajipende, ajienzi
 Kukamatwa kwa makosa ambayo watu weupe na ajionee fahari.
hawakamatiwi kama vile kuvuka barabara taa Ulevi
nyekundu zikiwaka.  Fikirini anakumbuka jinsi walilewa waragi na
 Adhabu kali kwa makosa wanayofanya-alitozwa chang’aa katika vitongoji duni vya Mathare.
faini ya dola 200 au miezi sita gerezani kwa Elimu
kosa la kutofunga zipu.
 Fikirini ameenda marekani kusomea shahada ya
 Mkahawani, wanatazamwa kwa dharau na
uzamifu katika somo la kiingereza.
wateja na wahudumu.
Usaliti
 Kufuatwafuatwa na walinzi madukani kwa
 Mama mzungu kumsaliti Fikirini anapomwitia polisi
kushukiwa wataiba.
kwa kusahau kufunga zipu.
 Kuonewa vyuoni na wahadhiri wanaotoa alama
kwa kupendelea watu weupe na kukandamiza  Wamarekani weusi kusaliti Waafrika wenzao kwa
wanafunzi weusi-hawapati shahada hata wao kutenda vitendo vya kuwadunisha kama
wanan’ang’ania kula kalenda au wanakaa muda vile maswali ya kejeli kama Bob kumuuliza Fikirini
mrefu bila kuhitimu. kwa nini hakai huko kwao kwenye uchawi na
 Huko marekani watu weusi ndio wengi washirikina.
magerezani-jela imeundiwa mtu mweusi.c  Hata hawawasalamu watu wa asili yao.
 Kutazamwa kwa kudharauliwa na wahadhiri  Waafrika wamejisaliti kwa vitendo vyao viofu kama
weupe. ujambazi na ndiposa wanabaguliwa na wazungu.
 Kuulizwa maswali ya dharau na wahadhiri  Wazungu wamewasaliti Waafrika kwa kuwabagua.
wazungu na wanafunzi weupe.  Fikirini amesaliti Afrika na Nchi yake kwa kwenda
 Mikahawani kumtazamwa kwa chuki na wateja kusomea Marekani akiwa ameacha Vyuo huko.
na wahudumu. Huruma
 Kutendewa vitendo visivyo vya utu kama vile  Bob anamkataza Fiona Kumkata Fikirini uume.
Fikirini aliposahau kufunga zipu, mama mzungu  Hampigi risasi Fiona anapotaka afanye hivyo.
alimwitia polisi ilhali angemwambia tu afunge  Anamrushia nguo ili asiende uchi.
duka.  Fiona ana huruma-ni katili.
Utovu wa utu wema Ukatili
 Mama mzungu kumwitia Fikirini polisi badala ya tu  Wa Fiona.
kumwambia afunge zipu.  Waafrika kuendelezxa utamaduni wa kukeketa
Nafasi ya mwanamke wanawake ili kupunguza tama ya zinaa.
 Ni Kitega uchumi kama vile Fiona ni kahaba na Matatizo yanayokumba bara la Afrika/mambo yasiyo
anamuuliza Fikirini kama angependa wafanye ya uaminifu yanayohalalisha kubaguliwa kwa mtu
mapenzi. mweusi
 Ni mbaguzi kwa sababu mama mkahawani  Ujambazi/uporaji kama wa Bob na Fiona.
anamwitia polisi kwa kutofunga zipu kwa vile ni  Kushindwa kupambana na umaskini-
mweusi. wanang’ang’ania mkono kufika kinywani.
 Hawana utu kwa vile Fiona anataka apigwe risasi  Vita
hata anataka kumkata uume (mrija).  Tamaaduni mbovu kwa mfano kukeketa wasichana.
Ujinga  Uchafu
 Baada ya kubaguliwa na kudhalilishwa anaamua  Kasumba ya kudharau mtu wa ngozi yake na
kujitoa ukiwa wake kwa kuwa karibu na watu weusi kuwaheshimu wazungu sana kwa kuwachukulia
ndugu zake waathiriwa wenzake. wote ni wa tabaka la juu.
 Fikirini kumwamini Fiona na kumfuata ilhali hamjui  Utovu wa maadili kama vile ujambazi na ukahaba
wala hajamchunguza. unaoendelezwa na Fiona na Bob.
Uzalendo

©Bw. P.K Mwirigi (mwongozo wa


Damu Nyeusi)
10
 Kutojithamini kwa mfano Fikirini ameacha vyuo  Ni upi mji mkuu wa Afrika.
nchini mwao na Bob na Fiona wanaishi katika  Mtu anaugua ukimwi malaria na polio na utapia mlo
mazingira machafu. huko Afrika?
 Kushindwa kupambana na magonjwa.  Mbona hamwachi kupigana nchini kwenu?
 Uchawi/ushirikina.  Nani anataka kuuona uchi wako?
Umaskini  You, wataka kumbaka dadangu kwa nini?
 Watu wa Afrika kupigania mkono kufika kinywani  Nini kinawatoa Afrika kuja kutusumbua hapa
na hivyo hawana wakati wa kufikiria kuhusu rangi. marekani?-Bob-kasumba
 Kuna kitongoji duni cha mathare huko Nairobi na  Fala kabisa twawezaje sisi kuwa ndugu na tumbiri
Kibuye huko kampala. kama nyie-Bob-kasumba.
Kasumba  Mbona hambaki kwenu huko kwenye uchawi na
 Wamarekani weusi kukataa uAfrika. ushirikina wenu?-Bob-kasumba
 Waafrika wakiwa uzunguni hawasalimu Waafrika Balagha zaidi
wenzao.  Mambo ya aibu kama haya unaweza kuwaelezea
 Fikirini kutozwa faini kubwa na jaji mweusi. ndugu zako nyumbani?-kisa cha kutofunga zipu.
 Fikirini kuzungumza kama mmarekani mweusi ‘  Sasa polisi gani angejua kiingereza kuliko
Whets up men?’ mwanafunzi wa uzamifu katika somo la kiingereza
 Waafrika kuwaabudu watu weupe.-Fikirini kusema katika chuo kikuu?
anAshangaa vile kwao wanavyowaabudu watu hao Chuku
wasiowajali.  Huu weusi wenu unaozidi kiza unatokana na
Ukahaba kuangukiwa na lami au kupigwa na mionzi ya jua?
 Fiona ni kahaba na anamuuliza Fikirini ‘Do you  Mtu sharti avae safu ya maguo pamoja na viatu,
want a good time, hapa ukumbini patatufaa. viatu vizito kama vya wanajeshi wan chi kavu.-
Unyag’anyi/utapeli/ujambazi wingi wa baridi.
 Fiona na Bob walimtapeli Fikirini dola 300.  Hakuhisi mzizimo wa theluji iliyokuwa inaanguka
Uongo kama matone ya mvua ya mawe.-anapoambiwa
 Fiona kusema Bob ni nduguye. atoke kwa kina Fiona na Bob. Haja ni kunusuru
 Fiona kudai Fikirini anataka kumbaka. maisha yake.
 Fiona kusema ana gari-‘Gari langu ni lile pale’.  Jibaba la miraba mine-Bob.
 Waingie nyumbani achukue ufunguo.  Jimama lililofungAsha si haba-Fiona.
Unafiki  Kila kitu cheupe katika nchi hii,mtu mweusi apate
 Fiona kumhakikishia Fikirini usalama wake. wapi sauti na satua-kutilia mkazo ubaguzi wa
 Kumwambia ajihisi yuko kwake au kwao. Waafrika.
 Kumwambia ‘You guys are our brothers’ anaposikia  Alikuwa pandikizi la jimama-Fiona
atoka Afrika.  Hata akilewa gongo,waragi au chang’aa kiasi cha
Ndoa bahari ya hindi hawezi sema kisa cha zipu kwa aibu.
 Wamarekani hawajui kutunza ndoa.  Huu weusi wenu unaozidi kiza unatokana na
Heshima kuangukiwa na lami au kuchomwa na mionzi ya
 Fikirini kupita bila kumgusa Fiona akiingia kwake. jua?
Upyaro  Kijasho chembamba kikaanza kumtoka kipajini na
 Bob kusema Waafrika ni wajinga na wenye kwapani-kusisitiza uoga Fikirini anapogusa mlango
ushirikina. kwa Fiona na kukuta umekomelewa.
 Kumwita Fikirini fala.  Akaumimina mkojo kwenye sakafu ya ukumbi
kejeli kutokana na hofu-kwa kuonyeshwa mtutu wa
 Je, kule kwenu watu huvaa nguo au hutembea bunduki na Bob.
rabana? Takriri
 Je mwaishi mitini kama tumbiri?  Mtu sharti avae safu ya maguo pamoja na viatu,
 Mbona hambaki kwenu huko kwenye uchawi na viatu vizito kama vya wanajeshi wan chi kavu.-
ushirikina-Bob. kusisitiza jinsi baridi ilivyo nyingi.
 Huu weusi wenu unaozidi kiza unatokana na  Alijotosa nje tuputupu kama alivyozaliwa-bila nguo
kuangukiwa na lami au kupigwa na mionzi ya jua? akitoka kwa Fiona.

©Bw. P.K Mwirigi (mwongozo wa


Damu Nyeusi)
11
 Tabasamu ilikutana na tabasamu-Fikirini Nyani haoni kudule-kasoro
akichekesha Fiona. Kuchanganya ndimi
 Fikirini kuzoa nguo na kukimbia tuputupu kama mtu  Sarafu kadha za quarter-robo kadha za dola.
aliyepagawa pepo mbaya.  How you doing?-Fiona.
Theluji kufunika kila ncha na kujenga mandhari nyeupe  Someone called to say you are exposing yourself-
nyeupe. polisi.
Tashbihi  Am cool-Fikirini-kasumba.
 Mtu sharti avae safu ya maguo pamoja na viatu,  Come fast this dude wants to rape me-uongo wa
viatu vizito kama vya wanajeshi wan chi kavu. Fiona.
 Mambo mengine yanakuwa kama ndoto au jinamizi-  Do you speak English-polisi.
kisa cha mkahawani.  I say shoot him Bob-ukatili wa Fiona.
 Akitetemeka kama majani ya mgomba kwenye  Get out of here-Bob akimfukuza Fikirini baada ya
dhoruba. kumpora.
 Fikirini kuzoa nguo na kukimbia tuputupu kama mtu Sitiari
aliyepagawa pepo mbaya.  Kisiwa cheusi kwenye bahari ya weupe-Fikirini
 Ananyapia nyapunyapu na kupepesuka pekee ndiye mweusi darasani.
pepesupepesu kama mlevi chakari. Tashhisi
 Ananyapia nyapunyapu na kupepesuka  Rangi mbili zinazokinzana na kufarakana –taswira
pepesupepesu kama mlevi chakari-akielekea chuoni ya Fikirini kuhusu vita vya watu weusi na weupe.
baada ya kuachwa na basi.  Wanawake wenu hawapendi nguo tena
 Fikirni alisihi akilia machozi kama mtoto mdogo- zimewachosha na kuwachusha.
Fiona anaposema ‘I say shoot him Bob’.  Bado baridi inapenyeza na kuteketeza vyanda.
 Theluji kufuniaka kila kitu kama blanketi la unga. Mbinu rejeshi
 Hakuhisi mzizimo wa theluji iliyokuwa inaanguka  Anavyotukumbusha jinsi alivyoepuka jela wakati
kama matone ya mvua ya mawe. alienda mkahawani baada ya kula akaingia msalani
Taswira akasahau kufunga zipu.
 Mtu sharti avae safu ya maguo pamoja na viatu,  Kukumbuka maneno ya Moi.
viatu vizito kama vya wanajeshi wa nchi kavu.  Kukumbuka siku walilewa waragi katika vitongoji
 Mikononi kafunika vitanga na vidole kwa glavu duni-Kibuye-Kampala na Mathare-Nairobi.
nyeusi.  Fikirini akilia anakumbuka kifo cha mamake akiwa
 Theluji kufunika kila ncha na kujenga mandhari katika shule ya upili.
nyeupe nyeupe.  Tunaarifiwa Fikirini mara mbili ametozwa faini na
 Jimama lililofungAsha si haba-Fiona-mnene. polisi.
 Jibaba la miraba mine lililokuwa limevaa miwani ya  Kukumbuka mara ya kwanza alipokwenda darasani
jua-Fiona. jinsi yeye pekee alikuwa mweusi.
 Maguo machafu yametapakaa kiholela sakafuni, Taharuki
vumbi limetapakaa kwenye kochi.-uchafu kwa Fiona  Fikirini alimaliza masomo yake au alikula kalenda?
na Bob.  Nini kinawafanya wamwangalie vibaya akitoka
Utohozi msalani?
 Glavu-za kuzuia baridi.  Ilikuwaje alipofika chuoni bila vifaa hata kadi-
 Dola-alitozwa faini ya dola 200 kwa kutofunga zipu vitambulisho?
na kuporwa dola 300. Nahau
 Faini  Kutia na kutoa kidogo-Kusitasita na kukataa
 Hana makadi yake mbalimbali-baada ya kuporwa. anapoambiwa aingie na Fiona.
Kinaya  Funga duka-zipu.
 Fikirini kushikwa kwa kutofunga zipu ilhali  Akachutama na kumwomba amwonee imani-
wanawake huko hawashikwi licha ya kutembea bila amhurumie-Fiona anapopeleka kisu kwenye kinena
nguo. cha Fikirini akitishia kumkata mrija.
 Polisi kumuuliza kama anafahamu kiingereza ilhali  Ajionee fahari-ajijivunie.
anakifahamu hata kuliko wao kwani anakisomea.  Alipopiga darubini nyuma alimwona mama mzungu
 Kusema jaji mweusi alikuwa na imani kwa kumtoza kama hasidi-alipokumbuka.
faini ya dola 200.
©Bw. P.K Mwirigi (mwongozo wa
Damu Nyeusi)
12
 Kula kalenda-kukaa miaka mingi bila kufuzu.  Semkwa, Asha na Josefina kupuuza ushauri wa Msoi
 Fikirini amekaziwa macho vibaya-kuangaliwa wa kutoenda katika baa ya mavani kwa kuhisi jambo
vibaya kwa kutofunga zipu mkahawani. baya lingetokea.
 Likija basi lingine na ambalo usukani wake Woga
umeshikwa na dereva mweupe mwenye mwoyo  Baada ya kuvamiwa na majambazi katika baa, Asha
mweusi (mwoyo mbaya) yamkini mambo yatakuwa kutoa ukwenzi mkali, ukwenzi ukafuatwa na
yale yale. ukwenzi, na kwenzi zikawa mjumuiko wa zogo na
 Maji yamezidi unga-baada ya kuambiwa na Fiona ghasia.
wawe na good time-ukahaba.  Kuna walioshangaa na kukodoa macho na
Tanakuzi kung’ang’ania kama masanamu.
 Likija basi lingine na ambalo usukani wake  Msoi kukaa akiwa ameangalia mavani.
umeshikwa na dereva mweupe mwenye mwoyo Itikadi/ushirikina/utabiri/uotaji/ubashiri
mweusi yamkini mambo yatakuwa yale yale.  Hisia zinazomfanya kutabiri maovu.
 Anatamani arudi kwao na kufaidi utajiri wa  Msoi anatazamia balaa kubwa litatokea katika baa
umaskini wao ajitenge na umaskini wa utajiri wa ya mavani.
marekani.  Semkwa Asha na Josefina hawaamini ushirikina.
 Faraja ya wazungu ni kuona ndugu zake weusi Ujambazi/uhalifu
wananyanyasika katika mfumo unaomtweza mweusi  Majambazi walijifanya vizuu na kuibia baa la
na kumkweza mweupe makaburini na wateja wake kila kitu.
Methali Anasa
 Nyumbani ni nyumbani ingawa pangoni-uzalendo.  Semkwa, Msoi, Asha na Josefina wanapenda ulevi
 Simba akikosa nyama hula nyasi-Fikirini na burudani.
kutopendelea chakula cha marekani na kulazimika  Watu wanakwenda katika baa ya mavani kustarehea
kukila kwa kukosa aina nyingine. maisha ya dunia.
 Usipopendwa jipende-kuhimiza watu kujithamini. Tahadhari
 Leo ni siku ya nyani kufa na ambapo miti yote  Msoi ni mwenye tahadhari kwani siku ya mavamizi
huteleza-hakuna jambo lake linalofaulu. anakaa akielekea huko makaburini ili kukitokea
Kicheko kama alivyotabiri aweze kujinusuru.
 Fikirini kucheka kauli ya Moi akidhani haina Ukwasi
mashiko.  Msoi na Semkwa wana pesa hata Semkwa ana gari.
Tabaini Mapenzi ujanani
 Si kuta, si majani, si matawi-kuonyesha taswira ya  Msoi na Semkwa wana wapenzi Asha na Josefina na
theluji kufunika kila mahali. wanakwenda kustarehe nao.
Majazi Ulevi
 Fikirini-kujisaili kufikiri zaidi kabla ya kwenda  Baa ya mavani
ng’ambo. Ushawishi /upotoshwaji na marafiki
Mdokezo  Semkwa anamshawishi Msoi waende katika baa ya
 Siku ya kufa, kifo cha aibu na nguo amevuliwa… mavani wakati alikuwa amekataa.
 I say remove your clothes or else… Udhabiti wa msimamo
 Msoi hana udhabiti wa msimamo na ndio sababu ya
4.Glasi Ya Mwisho kushawishiwa na Semkwa kurudi mavani.

Makaburini Matumizi ya lugha


 Hao marafiki kunywa pombe ya mwisho huko. Tashhisi
 Kutopenda kwenda tena katika baa ya  Kisha hisia humwotesha ndoto.
makaburini/mavani baada ya kuvamiwa na  Ncha za malaika yake kusimama kama kijiti.
majambazi.  Leo hisia hiyo kali ilikuwa imeumuka haraka kama
hamuri lililojazwa hamira.
Maudhui
 Hutaki kuiacha(imani) ijapokuwa unajua haina haki
Mapuuza
ya kuketi wala kusimama katika maisha yetu ya
kisasa ya sisi vijana yanayoendeshwa kisayansi.
 Vinywaji vyake ni vya kupoza joto la wiki nzima.
©Bw. P.K Mwirigi (mwongozo wa
Damu Nyeusi)
13
 Harufu za mafuta ghali na ya fahari zilikuwa  Ukiwa hapo unastarehe kama vile uko peponi mbali
zimekazana kuzikalia juu harufu za vyakula, na adha za dunia ambako kwa tafsiri ni motoni-
vinywaji na za maua. sitiari-uzuri.
 Harufu kali ya vundo la maiti ilivamia baa na  Anatutisha kaka, anatutisha sisi kama watoto
kuzifurusha zile harufu nzuri za maua na manukato wadogo, anatutisha kaka-Msoi anapowaambia
ya vyakula. wataona.
 Vitu tawanyika, glasi na sahani anguka na vunjika- Kejeli
kuonyesha zogo na ghasia.  Si baa mshenzi ya pata sote.
 Roho yake mwaguzi inamwambia apaambae  Bwana huyu naye utadhani haishi karne ya ishirini
apakimbie. na moja-Josefina.
 Kinywaji kilipotua juu ya meza jamaa walinyanyua  Anataka kutuvunjia raha zetu kwa ndoto zake za
glasi zao-kilipowekwa. ajabu ajabu-takriri.
 Hata mwezi na nyota zimeshuka kidogo kuja  Kwani unatutabiria nini hasa bwana ndoto?
kuimarisha furaha yetu. Utohozi
 Njiani Mbingu ghafla ilikasirika ikafinga uso wake  bendi hai ye msegeju-inayotumbuiza wateja.
mweusi kisha ikapasua mkonyezo uliotoa ufa  Petroli-kinywaji ni petroli ya muziki.
mwembamba wa moto mwekundu na fedha, ilifanya  kauntani-ambako wahudumu wanaenda kuchukua
hayo mara moja tu tena bila kutiririsha hata tone vinywaji.
moja la chozi-mvua-ishara mbaya kwa Msoi.  glasi-bilauri
 Ama kweli itikadi na ushirikina vimekudhibiti  maisha yetu ya kisasa ya sisi vijana yanayoendeshwa
kwelikweli. kisayansi
 Wanapoenda wikendi ni pa wafu na wafu wakiwa  wikendi
mapumzikoni wamechoshwa na kukerwa na siku  televisheni-waliyofungua Asha na Msoi na kupata
yoyote ile wangefanya kitu kujihami-itikadi za habari-vizuu vilikuwa majambazi.
kishirikina.  kochi-coach
 Imani yako imekutawala-Semkwa kwa Msoi.  swichi-ya gari la Semkwa
Taharuki  baa ya mavani
 Nini kinamfanya Semkwa kutumbua macho? Sadfa
 Baa iliendeleza huduma baada ya kuvamiwa na  Imani ya Msoi wafu wangejitokeza kusadifiana na
majambazi? majambazi kujifanya vizuu na kuvamia baa.
 Marafiki hao walirudi tena huko?  Usiku wa mavamizi walikuwa wametembelea ile
 Majambazi hao walijulikana? baa.
Kuchanganya ndimi  wimbo taribi kuimbwa.
 Exotic resort-Msoi anavyopaita baa ya mavani. Balagha
 u-exotic  Una nini Msoi leo?
 thriller-wimbo wa Michael Jackson.  Radi ngapi zimepiga tokea dunia kuumbwa?
Mbinu rejeshi  Mimweso mingapi imeemeta tokea mbingu
 Msoi alikuwa amenasa hisia fulani ya kitisho na kutandazwa na muumba?
wasiwasi.  Kipi cha ajabu kitakachomfanya mtu awe na hofu?
Tashbihi  Imani yako imekutawala vile vile au siyo?
 Na wewe sharti unigande mimi kama kupe-Msoi  Leo Msoi umebadilisha makao? –tahadhari.
kwa Asha anapomshinikiza ale.
 Umeona ukalie kiti kitakachokupa mandhari ya
 Ukiwa umestarehe kama vile uko peponi. mava?-Asha.
 Umebaki kulala kochini kama mgonjwa wa malaria?  Kwani ndiko yatakakozuka mazingaombwe
 Jozi mbilimbili, minenguo, mikatiko, mibenuko, unayoyatabiri?
miondoko, mitetemeko kama wagonjwa wa malaria,  Hofu hiyo itoke wapi katika usiku huu mwema
mtiririko wa jasho kama maji ya mlizamu wa mto. uliojaa furaha na utukutu wa ujana-Msoi-kinaya-
 Kuna walioshangaa na kukodoa macho na usiku haukuwa mzuri.
kung’ang’ania kama masanamu.  Wewe utakunywa maji kama mtoto mpaka lini?-
 Utabakije juu ya kochi kama mgonjwa wa homa na Asha.
leo ni jumamosi? Ishara

©Bw. P.K Mwirigi (mwongozo wa


Damu Nyeusi)
14
 Mamaya yangetokea Mdokezo
 Mbingu  Yaani umegoma…
 Mawingu mazito meusi  Si mimi wala si wewe tunaoamini kwamba watu
 Radi wafu wapo ndani ya dunia hii…
 Msoi kuzitazama taa na kuziona zilikuwa na mwako  Si mimi wala si wewe tunaoamini kwamba watu
wa huzuni. wafu wapo ndani ya dunia hii… -tabaini
 Umeme-ishara ya mabaya. Nidaha
 Baadaye ukope wa mwezi ulistawisha uzuri wake  Lo, wale vizuu-Msoi akitania.
wa fedha katikati ya vipuli vilivyokuwa  He! Saa mbili na nusu hujajitayarisha-Semkwa.
vikipwitapwita-ishara ya raha kutangulia balaa. Tanakuzi
Takriri  Mavani ni pahala pa wafu sisi sote tulichokuwa
 Duru kwa duru tukikiona ni kwamba mavani ni pahala pa watu hai.
 Utapiga tena na tena Nahau
 Anatutisha kaka, anatutisha sisi kama watoto Nahau
wadogo, anatutisha kaka-Msoi anapowaambia  Anaona kuna kitu kinaliza ndege mbaya-kutabiri
wataona. maovu.
 Ukwenzi ukafuatwa na ukwenzi na kwenzi zikawa  shingo upande, moyo mzito-Msoi akiamka kwenda
mjumuiko wa zogo na ghasia. kujitayarisha-bila kitaka-kujilazimisha,wasiwasi
 Mziki ulikuwa ukitumbuiza chini kwa chini.  Wakati tayari kung’oa nanga-kuanza safari kuelekea
 Msoi na Semkwa walifika baa ya makaburini wakati baa.
mzuri, wakati mambo ndio kwanza yaingie sura-  Msoi na Semkwa walifika baa ya makaburini wakati
yatengenee, yawe mazuri. mzuri, wakati mambo ndio kwanza yaingie sura-
 Msoi na Semkwa walikaa na kutazamana uso kwa yatengenee, yawe mazuri.
uso-Msoi akelekea mavani-tahadhari. Kinaya
 Furaha, furaha, furaha imechanua raha, raha, raha.  Hofu hiyo itoke wapi katika usiku huu mwema
Taswira uliojaa furaha na utukutu wa ujana-Msoi
 Majambazi waliojifanya vizuu-kundi la vizuu akijijasirisha.
limejifunga kwa mtindo wa thriller wa mchael  Mwezi na nyota zimeshuka kidogo kuja kuimarisha
Jackson, linakuja kule baa kwa kujikongoja na furaha yetu leo-usiku haukuisha kwa furaha.
kujitetemesha na kutoa sauti za kiufu, nyuso nyeupe  Na tunywe tujikinge na vizuu na mashetani ya
kama chokaa, mabufuru ya vichwa yanayoning’inia makaburini-pombe haiwezi kuwakinga.
hewani mabango ya nyuso yenye matundu Mbinu rejeshi
yaliyopoteza macho na pua baadhi vimesongwa  Miaka saba iliyopita walikuwa wamekataa kwenda
sanda vingine mwili mtupu. baa ya mavani josefina akawAshawishi
 Chakula kilikuwa ndizi za nazi pandikizi la changu  Televisheni-matangazo ya yaliyotokea katika baa.
wa kukaangwa pembeni na kachumbari ubavuni.  Semkwa kupiga simu na kueleza jinsi
Chuku walivyokamatwa na majambazi na kuibiwa kila kitu,
 Upeo wa raha hausemeki umekunjuliwa wazi kwa pesa, nguo, viatu hata na chupi.
watu hawa wao wenye pesa kuukanyaga mwanzoni Kicheko
bila ya kufika mwisho.  Sekwa kumshika mkono Msoi anapopepesuka na
 Kwa muda mfupi mziki ukawa juu ya kila kitu. kutaka kuanguka.
 mtiririko wa jasho kama maji ya mlizamu wa mto-  Wote wakaangua kicheko kabla ya kunywa.
kwa kusakata ngoma. Koja
 Hakucheza mpaka muziki ukamwingia damuni kama  Wakala, wakanywa, wakamaliza.
mwenyewe asemavyo kila siku.  Jozi mbilimbili, minenguo, mikatiko, mibenuko,
 Hakucheza kwa mizani ya kuchokora ndani mwili miondoko, mitetemeko kama wagonjwa wa malaria,
wake ili upoteze mifupa wakati wa kucheza. mtiririko wa jasho kama maji ya mlizamu wa mto.
 Msoi kutumbua macho mpaka yakaonekana
yanataka kudondoka chini kutoka vibakuli vyao-
anapoona vizuu.
5.Kikaza
 Suruai ya ndani ya aina ya pekee.
 Msoi na Asha kukimbia bila kutazama nyuma na
Maudhui
bila kusita pahala popote.
©Bw. P.K Mwirigi (mwongozo wa
Damu Nyeusi)
15
Uongozi mbaya na athari zake  Bi. Cherehani kuwachochea watu waende katika
 Bwana Mtajika ni kiongozi asiyewajibika- hawezi ikulu wakashone kikaza kingine-kung’oa Bwana
kulinda kikaza kimepasuka. Mtajika na Bi. Mtajika mamlakani.
 Kwa mtajika mambo yalitendeka kindoto-kauli tupu  Wanatekede kuelekea katika ikulu ,Bwana Mtajika
zisizotekelezwa-ahadi za maneno. alitokea mlango wa nyuma naye Bi. mtajika
 Ni kiongozi asiyeshughulikia maslahi ya akabebwa taratibu pamoja na kitanda chake
wanatekede, daima yumo ndotoni (chuku)-mwenye akawekwa nje.
mapuuza. Busara
 Madharau/mapuuza-Pima kusema ‘Mimi hufanya  Wanakijiji kwenda kwa mzee babu kupata majibu ya
kazi yangu kikamilifu (kinaya) lakini sithaminiwi. masuala yanayowatatiza.
Kila mara tumedharauliwa, tumepuuzwa na  Wakati mwingine angewarushia maneno ya hapa na
kutothaminiwa na wengine wetu. pale lakini yenye wingi wa hekima.
 Hawaondoi shida za wananchi baada ya  Anawapa ushauri-si kila panapo mawingu meusi
kuchaguliwa-Hali huzidi kuwa mbaya si njaa, si mvua hunyesha.
magonjwa wala ufukara, uchochole huzidi-Bi.  Uchafuzi wa mazingira-mawingu mengine meusi
Chirenga-Cherehani. hutokana na mmchafuko wa mazingira.
 Wanaacha wake wao uongozi na hawawadhibiti. Ukarimu
 Husahau waliowachagua-wepesi wa binadamu  Kila aingiaye kwa mzee babu hatoki bila kunywa
kusahau wema na badala yake kukumbuka mabaya. angalau kikombe cha maji.
Ubarakala  Wanakijiji wanatoa sehemu ya mavuno yao kwa
 Wadanganyifu-Machupa msemaji wa kijiji mzee babu-umuhimu wa kuwatunza wazee katika
anabadilisha uongo kuwa ukweli na ukweli kuwa jamii.
uongo-kutetea viongozi waovu.-ubarakala.  Babu anatumia vizuri /kutunza/kuhifadhi chakula
Ubinafsi anachotunukiwa na wanakijiji na wakienda kwake
 Machupa kuunga mkono hoja zinazomfaidi na anawakirimu kwa chakula kicho hicho.
nyingine kuzipinga. Nafasi ya mwanamke
 Hata baada ya serikali kupinduliwa, Machupa alijua  Waiga utamaaduni wa kigeni na watovu wa maadili-
namna ya kuishi na hivyo hakuogopa chochote.- wasichana wa siku hizi utawakuta wamevuta kikaza
angebadili msimamo wake. juu kwa makusudi ili macho ya wanaume
Uwajibikaji yalimbuke.
 Wananchi hukosa uwajibikaji katika kuchagua  Hapewi uongozi-nadra sana kiongozi kuwa
kiongozi anayefaa. mwanamke katika jamii ya Wanatekede.
 Viongozi kushonewa kikaza kwa ushirikiano wa  Anayemdhibiti mumewe
umma – Wote ni washiriki katika ushonaji wa  Pumda wa huduma-Bi. Cherehani.
kikaza.  Waingilia uongozi –Bi. Mtajika kujiweka katika
uongozi. Hata katika sherehe rasmi husahau kuwa
 Hawachuji wanaotaka kuwapa uongozi, balala yake yeye ni mkewe Bwana Mtajika .
huwachagua kwa misingi ya ulumbi/umaarufu katika  Wanaowadhibiti waume wao-Bi. Mtajika.
usemaji.  Wanaojigamba- Bi. Mtajika kusema hakuna
 Wanapaswa kuwachagua kwa uwezo wa kiongozi mwingine kumshinda yeye. –majivuno.
vitendo/kutekeleza ahadi.  Jasiri- Bi Cherehani kunena ukweli kuhusu viongozi
 Wengi WA wananchi hawaelewi uzito wa ushirika na kuwachochera wananchi.
wao katika kushona kikaza (kuchagua kiongozi).  Wabinafsi-Bi. Mtajika kuwanyima wengine nafasi
 Uongozi mzuri unawategemea kwa hivyo ya kuongea. ,
wamchunje kiongozi vizuri.
 Wana wajibu wa kuwaambia viongozi ukweli k.m. Utovu wa maadili
Babu, Cherehani na Pima.  Wakati Bi. Cherehani anatabasamu, wengine mate
Mapinduzi /ukombozi/Uzinduzi/uchochezi yanawandondoka-kutamaani mwili wake,
 Bi. Cherehani kufafanulia wanakijiji chanzo cha wakatamani ya ziada-tafsida.
tatizo la ukosefu wa mvua.-ujasiri. Umakini/utaratibu
 Mzee babu kutafuna muwa polepole na kwa ufundi
mkubwa hadi kumaliza kipande chake.
©Bw. P.K Mwirigi (mwongozo wa
Damu Nyeusi)
16
Matumizi ya lugha -kuonyesha ubinafsi wa viongozi au ku kujilimbikia
Taharuki mali wakipuuza waliowachagua.
 Baada ya mtajika na bibiye kuondolewa madarakani  Kobe kuwapa wenzake wanaomfaa chakula -
nani alipewa uongozi? kiongozi kuleta maendeleo katika maeneo
 Aliyechaguliwa aliongoza vizuri? waliyochaguliwa-mapendeleo.
Nidaha  Ndege kuchukua manyoya yao -wananchi kumng’oa
 Lo! Haitanyesha. kiongozi mamlakani.
 Naam,haya ndivyo yalivyo mambo-Pima kuhusu  Siku ya tano- kiongozi kuchaguliwa kwa kipindi cha
jinsi Bw. Mtajika alivyovunja masharti ya kikaza. kwanza cha miaka mitano na muda huo huisha bila
Majazi kuleta maendeleo yoyote.
 Bwana pima-kupima kikaza.  Upepo kuchukua na kubeba mawingu kuelekea kila
 Bi. Cherehani –kushona kikaza. upande mbali na kijiji-mapuuza hata mambo nyeti
 Machupa-kutokuwa na tabia nzuri-uduma kuwili, na kutowajibika kwa kiongozi kukosesha nchi
ubinafsi. maendeleo
 Bw. na Bi. Mtajika-kufahamika sana kwa sababu ya  Jua lililokuwa limeshika kasi kuelekea mapumzikoni
uongozi. kama kwamba linatoroka mvua lilipata nafasi ndogo
Jazanda ya kuwaaga wanakijiji kwa siku hiyo-kutokeza tena
 Kikaza-uongozi, madaraka, serikali. baada ya mawingu kupeperushwa na upepo-shida
 Kikaza hakipaswi kushikwa kwa namna yoyote ile kurejelea tena kwa viongozi kutowajbika.
na mwenziwe kiongozi wa jinsia hiyo nyingine- Mbinu rejeshi
asiingilie uongozi kwani siye alichaguliwa.  Bw pima kukumbusha jinsi miaka miwili iliyokuwa
 Washona kikaza –wananchi wanaowachagua imepita jinsi Bw. Mtajika alivunja masharti ya
vongozi. kumuweka kiongozi madarakani ni jukumu kikaza na wao kumhurumia.
la watu wote. Msemo
 Mvua nzito kunyesha baada ya wanajamii  Walijitahidi lakini hata jitihada hufika kikomo.-
kumwondoa mtajika na bibiye madarakani-nchi kuchoka kumsitiri Mtajika kwa aibu yake.
kupata maendeleo au ufanisi.  Binadamu ni mwepesi wa kusahau wema-
 Uzi na shindano za kushonea kikaza-katiba/sheria hukumbuka tu mabaya-kiongozi kusahau
ambayo kwayo nchi huongozwa. waliomchagua.
 Kukiuka maadili ya kikaza-kiongozi kumwacha  Bi chereani na Bwana Pima kuacha chungu
mkewe kuwa na madaraka makubwa kama kwamba kinatokota bila kuivisha chakula-watu wakiwa na
yeye ndiye kiongozi. hamu kubwa ya kufumbuliwa fumbo.
 Kushona kikaza kingine-kuchagua kiongozi  Wenye vyao na vya wengine-viongozi kujilimbikia
mwingine kwa kura. mali.
 Mawingu bila mvua-uongozi usioleta maendeleo au  Pole kwa wala jasho lao-wanaopata riziki kutokana
usiobadili hali ya wananchi. na kazi za mikono yao.
 Kutonyesha kwa mvua-matatizo ya wananchi k.v.  Mapenzi kikoozi-mapenzi mtajika aliyonayo kwa
njaa, magonjwa, umaskini n.k. mkewe kumfanya ashindwe kumdhibiti.
 Kijiji Tekede-nchi za Afrika-zinazoendelea. Tashbihi
 Kikaza kupasuka-kiongozi kushindwa kutimiza  Yanapozidi (mapenzi) huja kama nguvu za sunami-
majukumu yake au kutowajibika kwa kiongozi. kutodhibitika.
 Hurafa-safari ya kwenda mbinguni ya kobe na ndege  Machupa hutafuna na hupuliza kama panya.-hula
kuwili.
 Kwenda mbinguni-kupata ufanisi au
Nahau
maendeleo/ustawi
 Kumbe alitonesha kidonda-kukumbusha mambo
 Kobe-kiongozi
yaliyokwisha na kusahaulika.
 Ndege-wananchi
 Tunaendelea kufanya kazi hii kwa nyoyo zote-jinsi
 Ndege kumpa kobe mabawa-wananchi kumchagua
wananchi wanavyojitolea kabisa kuchagua viongozi.
kiongozi ili awaondolee matatizo na alete
 Gonga ndipo usitusimulie hadithi-sema wazi.
maendeleo.
 Wamemla mbuzi mzima na mkia utawashinda-
 Kope kujipa jina ‘sisi wote’ na kukalia vyakula
kukamilisha kutegua kitendawili cha mawingu bila
vilivyoletwa na kuwakumbusha ni vya ‘sisi wote’
mvua.
©Bw. P.K Mwirigi (mwongozo wa
Damu Nyeusi)
17
Takriri  Pima akajizoazoa akapata nguvu, ama ni kutokana
 Kikaza kikaza ni cha ushirika na uzito ambao ungepasua moyo wake-
 Mambo yana mambo yake kutovumilika.
 Ndio mtindo na sisi tunafuata mtindo  Lakini tenda lolote baya hata kama ni kuuza nzi basi
 Machupa msemaji wa kijiji anabadilidha uongo litakuwa wimbo-kusisitiza usahaulifu wa mema
kuwa ukweli na ukweli kuwa uongo binadamu anayotendwa na badala yake kukumbuka
Tabaini mabaya.
 Si njaa, si magonjwa, si chochote kinachoniambaa- Koja
madhila ya wananchi  Lolote baya, litaimbwa, litachezwa ukumbini,
 Si salamu, si chochote, hakuna kilichotoka litapandwa, litamea, litapaliliwa, litakua na hata
kinywani-pima akijizuia kuongea ukweli. kuvunwa.
Mdokezo  Bwana pima aligundua namna ukweli unavyoweza
 Mwafahamu katika safari ya angani namna ndege kuumiza, kuchoma, ukandamiza na hata kunyonga.
walivyoshirikiana naye…  Bi mtajika alijulikana. Hushangaza, akakasirisha,
 Siri ilikuwa siri…iliwekwa na watu wawili akaudhi.
ikahifadhika  Chaguo lilikuwa la kila mmoja ,ama kula, kumeza
Kinaya au kubugia-wanaoenda kwa babu
 Mawingu mazito mfululizo kwa siku tano Balagha
hayakuleta mvua  Hamjui ukaidi wa mkia wa mbuzi?
 Siri ilikuwa siri, iliwekwa na watu wawili  Kwani sisi tulimchagua nani?
ikahifadhika-hakuna siri ya watu wawili  Amesema nini? –watu kuchanganyikiwa kwa
 Bi. Cherehani mwenye wingi wa soni kuweza kutoelewa babu aliyosema.
kuongea mbele ya watu na kuwachochea.  Nyote mu washiriki katika ushonaji wa kikaza
 Wanakijiji kuamini waliposhiriki hapakuwa na itakuwaje sisi wawili tuwe na jibu la swali lenu?
dosari yoyote  Bwana kiongozi mbona siku hizi husemi? Haongei
 Kiongozi huyu alitafuta uongozi kwa muda mrefu- ili kusuluhisha hata mambo nyeti-hatoi ufafanuzi
Kibaki wowote hata Bi mtajika anaposema hakuna
Tashhisi kiongozzi mwingine kushinda yeye.
 Upepo kuchukua na kubeba mawingu kuelekea kila  Wangapi walio na ujasiri wa kunena ukweli hasa
upande mbali na kijiji-mapuuza hata mambo nyeti unapohusu uongozi?
na kutowajibika kwa kiongozi kukosesha nchi Methali
maendeleo  Waliishi katika msemo wa nyani haoni kudule-
 Jua lililokuwa limeshika kasi kuelekea mapumzikoni wananchi kasoro la chaguo lao la kiongozi
kama kwamba linatoroka mvua lilipata nafasi ndogo  Mapenzi ni kikohozi-mtajika kushindwa kudhibiti
ya kuwaaga wanakijiji kwa siku hiyo-kutokeza tena mkewe kwa ajili ya mapenzi.
baada ya mawingu kupeperushwa na upepo-shida
kurejelea tena kwa viongozi kutowajbika.
 Jibu lao kuibua maswali zaidi na kuzalisha
6.Maeko
kitendawili kingine  Mambo yanayomuweka mtu mahali
 Ukweli ulijisukuma kwa nguvu ukafungua kinywa  Mapenzi ya dhati ya Hamduni ndiyo yanamuweka
ambacho kwa siku chache alitembea akiwa jamila kwa Hamduni k.v. kumpikia, kumfulia nguo,
amekiziba kwa mkono wa kushoto-pima n.k.
kutovumilia kunyamazia ukweli tena  Hayo ndiyo maeko aliyowekwa huyu mwanamke.
 Hamjui ukaidi wa mkia wa mbuzi? Alijikuta akistahabu maisha ya ndoa yake na Duni
na akichelea kuyakosa.
 Ya kumsukuma Bi. Cherehani kiasi hiki lazima yawe
Unyanyasaji wa wanawake katika ndoa
mazito-ya kumlazimisha kusema lazima yawe ya
muhimu sana.  Kila aina ya matusi-mtukanifu/matusi mabaya
Chuku mabaya
 Kila njia ilielekea kwa mzee babu-kuonyesha jinsi  Makovu mwilini-mgongoni na mkononi
walioelekea kwake walikuwa wengi  Athari za kisaikolojia-jeraha baya zaidi la moyo
wake-moyo ulimuuma na kuatilika
 Mateke na ngumi/kipigo
©Bw. P.K Mwirigi (mwongozo wa
Damu Nyeusi)
18
Mapenzi ya dhati  Kuchukiwa na wanajamii hata wanamtusi- mja wa
Ya Jamila kwa Duni laana, mlevi, mbwa, mlevi, kafiri, firauni-
 Jamila kukataa vishawishi kudharauliwa na kupuuzwa na kutusiwa na
 Kuvumilia ulevi, kupigwa,n.k. wanajamii kwa tabia yake
 Kukataa kushawishiwa-udhabiti wa msimamo  Kushindwa kutimiza majukumu ya ndoa/kulala tu
 kukataa kupigana na mumewe- Ramla  Mtu hupoteza utambuzi wa jema na baya-Duni ni
 Kukataa kumtoroka-Salim mzuri akiwa hajalewa lakini akilewa anageuka na
 Kukataa kutafuta mume mwingine kuwa mbaya -duni anafahamu kwamba usiku
 Kukataa kuvunja ndoa-shangazi uliopita alimtendea karaha mkewe ,
 Kumbembeleza mumewe akiwa mlevi-Hai Du, ukorofi,usimbulizi n.k.
wajii…onaje? Unalia nini Dii, Duni wangu?  Kuchelewesha mke kulala akingoja mume mlevi
Kumpunapuna nywele na kumpigapiga vikofi vya  Mtu kuwa mpyaro-mwenye matusi
kichwa (utu wema) Unafiki/usaliti/uchochezi/ushauri mbaya
 Kumsaidia kuchupisha mguu wake ndani.  Ramla na Salim si rafiki wa kweli wa Jamila kwa
 kumsamehe- Hamdai chochote/hajamfanyia makosa ushauri wanaompa Jamila.
yoyote, ni wengi wenye makosa makubwa kuliko  Salim rafiki wa chanda na pete wa duni anamshauri
Ya Hamduni ka jamila Jamila amuasi duni kisha yeye angeliweza kutoroka
 Duni Kumwandalia chai nzito ya maziwa supu na naye.
pweza, kumkaangia mayai, mandazi na chapatti,  Salim kujifanya anamjua Mungu ilhali anampotosha
kuandika meza.-bidii, mahiri jamila-Billahi shemeji Jamila, amini Mungu
 Kumuinjikia maji ya kuoga usiniamini miye.Mungu haafikiani na maovu.
 Kumfulia nguo  Nakuhurumia na nakupenda shemeji kwa nini
 Ana utu au hisi za kibinadamu anapolevuka- huikimbii jahanamu hii?
anaomboleza, kulia, kuungama na kuomba msamaha Nafasi ya mwanamke
na kutaka aadhibiwe.-anatambua makosa na kutubu.  Duni mbele yamwanamume
 Anamhurumia Jamila kwa kutambua kuwa simanzi  Mpotoshaji/mshauri mbaya
na usingizi wa machovu na ukiwa wake ni kwa  Mshauri mzuri kwa upande mwingine-shangazi
sababu ya kumstahimili Ugumu wa kubadili tabia
 kuelekea bafuni kuoga wakirushiana mapovu na  Anaahidi kutorudia makosa lakini ni nadra kutimia
kucheka na kutaniana miezi miwili mingine kabla ya kusikia Duni akiimba
Umakini taarab-njia usiku wa manane.
 Duni kutenganisha nguo nyeusi na nyeupe, Ukombozi
akaziweka katika mabeseni tofauti.  Watu wanaomwandama Jamila eti wanamhurumia-
Ulevi na athari zake madhali na yeye ana mdomo na mikono anayo,
 Kurudi usiku wa manane na hivyo kusababisha akatate kuadhibiwa kama mwana asiye na kwao
Jamila kutolala vizuri kwa kukesha akimngoja.  Ramla shoga yake –neno kwa neno –watukanane,
 Kuathirika kiafya-kovu mgongoni, donda mkononi ngumi kwa ngumi-wapigane
 Kuathirika kisaikolojia kutokana na maneno ya Ushauri mzuri
watu-kidonda moyoni  Mpapurane kwa nini mwanangu?-shangazi
 Kusumbua watu/majirani kwa kelele na anamshauri wasipigane (kupapurana) lakini badala
kuwakosesha usingizi wakati wamechoka kwa kazi yake wavunje ndoa kama haina urafiki-Madhali
za mchana ndoa ni mkataba ufungao urafiki wa kitambo, basi
 Harufu mbaya-lile vukuto na vundo la kilevi likawa na uvunjwe ikiwa huo urafiki haukupatikana na
la mwanzo kuingia ndani na kuzagaa ukumbini badala yake pana vita.
Busara
 Kumpiga mkewe k.v. kumrushia teke la mbavu kwa
kutopeleka chakula haraka.-ukatili  Jamila anafahamu hakuna ndoa isiyo na walakini-Ni
kweli kwamba usilolijua ni usiku wa giza. Iwapi
 Kulala bila kuvua nguo
hiyo pepo nyingine katika dunia hii?
 Kuwangwa na kichwa baada ya kulevuka siku
 Analinganisha maisha yake na ya wanawake
inayofuata baada ya kulewa usiku.
wengine-ukiona kwako kwachomeka kwa mwenzio
 Kutumia pesa nyingi
kwateketea.
Urembo
©Bw. P.K Mwirigi (mwongozo wa
Damu Nyeusi)
19
 Wengi walimtamani Jamila wamuoe-hata Salim.  Hoteli-alikowahi kufanya kazi duni na kupata
Shukrani uzoevu wa upishi
 Hata hivyo, baada ya yote alijiona anawajibika  Mabeseni-duni alikoweka nguo nyeusi na nyeupe-
kumhimidi mola wake kwamba mume wake umakini
ameshafika salama nyumbani kwake.  Kalenda-mwaka
Matumaini  kozi
 Kamwe moyo wake haukupata kujuta wala kuacha Methali
kutaraji kuna siku mume wake angetanabahika na  Dua la kuku halimpati mwewe-matusi ya
yale yote yakafikia mwisho. wanasebleni hayakumwathiri Duni kiasi cha
Ujipaji moyo kumbadilisha
 Ni wanawake wangapi wa aina yake ambao  Tabia haigangiki-ugumu wa kubadilisha tabia ya
wanafanyiwa anavyofanyiwa na mume wake? Wengi Duni
wao hawapati starehe azipatazo.-busara  Ni kweli kwamba usilolijua ni usiku wa giza-
Nyimbo unaweza kukimbia matatizo ukakabiliwa na mabaya
Wimbo wa kwanza zaidi
 Unaangazia uajabu kwa wakaazi wa Sebleni wa Chuku
Jamila kuendelea kukaa kwa Hamduni  Kwa kila baada ya adabu moja aliyopewa, alizidisha
 Anajua msimamo wa jamila- Ameridhika kwa pendo vituko viwili
lake  Alimpiga mkewe kama ngoma ya kimanga popote
Wimbo wa pili  Ambao roho zawazong’ozoka mbichi kwa kukutaka-
 Amempa kibali awaeleze wanasebleni wana wapenzi makubwa kwake
kinachomfanya aendelee kukaa na Duni ili waache  Kila aina ya tusi la ndani na nje alilijua yeye
kumtafuta au kuingilia mapenzi na ndoa yao. ungedhani kasomea kozi maalum yamhayo
Wimbo wa tatu  Almuradi kila aina ya ukorofi alikuwa nao bwana
 Kiitikio cha Jamila kwa nyimbo za Duni na huyu akishalewa.
anauimba kimoyomoyo-kilichomuweka kwa duni ni  Alimuona kazamisha kichwa chake kwenye mto
mapenzi. uliorowa machozi –duni anavyomuona jamila baada
Tashhisi ya kuamka kabla yake
 Sauti tu ndogo ya paka atafutaye riziki katika  Daima usingizi wake ni wa machovu na ukiwa
madebe ya taka ingeliweza kusafiri mitaa kadhaa  Mapishi ya duni yalimfurahisha jamila na mara zote
kwa mapana na marefu-unyamavu usiku duni alikuwa anajisahau kula kiasi chake, ni lazima
anaporudi avimbiwe tu. –uzuri wa mapishi
 Paka walimuona hana thamani mbele ya yale Msemo
madebe ya taka waliyokuwa wakiyasasambura  Mlevi si mtu-salim-kejeli
 Sauti ilipenya katika kila dirisha na kupanda katika Taswira
kila roshani ya nyumba hizi  Sebleni, nyumba nyingi ni za ghorofa
 Siku zote ghasia na zogo la ukorofi wake zilivuka Nidaha/siyahi
paa la nyumba yao na kuteremka chini-kusikika  Maskini! Jamila machozi yalimtoka-Duni
 Sasa uso wake unabeba simanzi tupu kila wakati kumhurumia/msikitikia kwa madhila anayopitia
hata akiwa usingizini-Duni anavyomuona Jamila  Msalie mtume mwanetu wee!
 Moyo ulimwia vigumu kuusaliti-kutokubali ushauri  Aste, aste baba Duni-kejeli
 Wazo lake lilivuka mipaka na kutowezekana kwa  Lo! Hata naye mlevi anajua thamani ya
jamila-la salim kusamehewa.
 Lile vukuto na vundo la kilevi likawa la mwanzo  Mwisho wa haya utakuwa lini, ya Rabi?
kuingia ndani na kuzagaa ukumbini Balagha
 Teke lilimtupa jamila kwenye kochi  Hadi lini?-ataishi na mumewe mlevi/ataendelea
Utohozi kuvumilia
 Ofisini-wanakofanya kazi wakazi wengi wa  Hadi lini Duni ataendelea kurudi nyumbani chakari
Sebuleni na wimbo wake huu?
 Bendeji-iliyofungwa kwenye mkono wa Jamila  Mwisho wa haya utakuwa lini, ya Rabi?
 Kochi-jamila alikotupwa na teke la Duni  Kwani duni alikuwa mwanamume pekee katika
dunia hii ya Mungu?
©Bw. P.K Mwirigi (mwongozo wa
Damu Nyeusi)
20
 Nawe uendelee kubakia matesoni?  liliokuweka oo kuweka- wimbo wa kwanza na wa
 Siku yenyewe ni ipi hasa?-ambayo mumewe mwisho
angetambua makosa yake na kubadilika?  Meridhika oo meridhika
 Kwa nini akukongeshe mot0to ungali mbichi hapo  Ajibika oo ajibika
ulipo? Kwani kakununua? -shoga  neno kwa neno ngumi kwa ngumi-shoga Ramla-
 Nipigane? wapigane na watukanane
 Kama hii ni jahanamu, iwapi hiyo pepo nyingine  Madhali ndoa ni mkataba ufungao urafiki wa
katika dunia hii?-Jamila kitambo, basi na uvunjwe ikiwa huo urafiki
 Nini teena? Kwani waadhani naataka kusaidiwa?- haukupatikana na badala yake pana vita.-shangazi
haoni lililo jema.  uduni wa duni haukuwa katika maeneo haya ya
 Unasema nini Duni? Nani amekwambia kwamba jikoni.
mimi unanihusudi?-jamila anapomwona Duni Mdokezo
akiathirika sana kwa anayomtendea  Hai Du, wajii…onaje?
 Ni wanawake wangapi wa aina yake ambao  Kwani hata alithubutu kumgusa mkono wake,
wanafanyiwa anavyofanyiwa na mume wake? mara…
Sitiari  Watu wamelala…Haya basi sikusaidii, najua
 Iweje hasa kinda kama jamila …akubali kuendelea unaweza kila kitu.
kusinginwa ndani na dume duni kama hili-mchanga-  Mja wa laana,mbwa miye mi…mi…mi…e
kejeli  Nisamehe mke wangu…mimi mume wako, mimi …
 Kama utaweza kumkimbia shetani huyu, basi mimi mja wa laana.
niko tayari kuenda na wewe popote-chuku
 Kwa nini huikimbii jahanamu hii?  Imekuwa kama ni kosa kuolewa na mimi…
Kejeli  Unipige…Nipige jamila… uniue…Nilipizie halafu
 Iweje hasa kinda kama jamila …akubali kuendelea unisamehe
kusinginwa ndani na dume duni kama hili  Imekuwa kama ni kosa kuolewa na mimi…
 Mlevi si mtu-Salim Uwili
Mbinu rejeshi  Duni alizidisha vituko viwili
 Jamila alikuwa ameolewa miaka miwili iliyokuwa  Walikuwa wameoana kwa miaka miwili
imepita  Mateso aliyopitia ni ya miaka miwili
 Duni alikuwa na uzoevu wa upishi kwa kufanya kazi  Jamila alipoamka na kumkuta mumewe akilia,
kama mpishi wa hoteli.-aliwahi kufanya kazi walikumbatiana na kukaa chumbani kwa muda
hotelini. usiopungua saa mbili
Tashbihi Uzungumzi nafsia
 Alimpiga mkewe kama ngoma ya kimanga popote  Hizi nitazifua jioni-duni baada ya kuroweka nguo za
apatapo-inayopigwa kwa nguvu kwa vigongo rangi nyeupe na zile nyeusi
 Akatae kuadhibiwa kama mwana asiye na kwao  Maskini mwangalie na umwone jamila hivi alivyo…
Kinaya maskini, mtazame sasa namna alivyobadilika wajihi
 Pengine hii ndiyo sababu ya kuzuka wenye huruma wake.
tele nyoyo- si huruma bali ni Taharuki
upotoshaji/uchochezi/ushauri mbaya  Hatima ya Duni ilikuwaje?
 Wimbo wa taarabu wa duni-kuwekewa zogo-yeye  Jamila aliendelea kuvumilia hata baada ya kuona
ndiye anawawekea wanasebleni zogo kwa hakubadilika?
mwenendo wake.  Jamila alimwambia Duni kuhusu fitina ya Salim?
 Kusema jamila ameridhika  Kama alimwambia urafiki wa Salim na Duni
 Mapenzi kumweka jamila ulikuwaje baada ya kusikia alimsaliti?
 Kuahidi angeacha ulevi na ilikuwa vigumu kutimiza Majazi
miezi miwili  Jamila-wema au hisani anamtendea mumewe licha
 Salim kijana mtanashati ni rafiki wa chanda na pete ya makosa anayomfanyia
wa duni aliye mlevi kupindukia.  Duni-kitu hafifu au cha thamani ya chini-
Takriri kujidunisha kwa ulevi na tabia zinazoandamana nao.
 Walifika pahala pa kumshauri asikubali. Kabisa
asikubali
©Bw. P.K Mwirigi (mwongozo wa
Damu Nyeusi)
21
 Sebleni-mahali m pa kupumzika nyumbani-  Sela alisikia wasichana wengine wakizungumzia
kupumzika usiku wakati wanasumbuliwa na Duni barua walizotumiwa na wavulana-shinikizo la
wanarika
7.Kanda la Suf Taasubi ya kiume
 Babake Sela kulaumu mama Sela anapopata mimba.
Maudhui
 Kuwafukuza
 Mimba ile kwa Masazu ilikuwa kanda la sufi-
 Masazu kutumia sera kama chombo cha
anachukulia kuwa hawajibiki.
kujiburudisha
 Uaminifu katika kutimiza ahadi. Umaskini
Uwajibikaji/jukumu la ulezi
 Mzee Butali kusema “Sikutumia hela zangu mimi
 Babake Sela (mzee Butali) anadhani walimu pekee katika elimu hadi nikaitwa pangu pakavu?
ndio wanapaswa kuwajibishwa kwa wanafunzi
 Sela alikaa nyumbani akikitunza kitoto katika
kupoteza mwelekeo lakini hata yeye anawajibika
ufukara wa pale nyumbani.
kwani lazima kuwe na ushirikiano wa wazazi na
 Mama Sela hangeweza kukinunulia kitoto nguo
waalimu.-kuwaachia walimu majukumu yote ya
ilibidi matambara yatumiwe kukivisha.
kutunza watoto wa kike
 Masazu kufanya kazi ya kuvuna mkonge na pesa
 Pia anafikiri mama ndiye aliye na wajibu mkubwa
anazopata zinatosha kulipa kodi na kununulia
wa kumuelekeza mtoto wa kike lakini wazazi wote
chakula.
wawili wana jukumu sawa.
 Makao duni-chumba kimoja tu.
 Mama anajua tatizo lazima liwajibikiwe na wazazi
wawili.  Umaskini wa vijana-Masazu hangemudu utaratibu
wa kimila kwenda kwa wazazi wa Sela –kuasi

utamaaduni.
 Uwajibikaji katika /miongoni mwa vijana-wote
Tabia ya kutojali miongoni mwa wanafunzi
wawili wana jukumu la kuzuia kupata mimba-Chris
 Hawajali umaskini wa wazazi angaa wasome wainue
kumlaumu na kumnyooshea Sela kidole kwa
hali yao.
kumuuliza kwa nini hukujikinga
 Hawajali maisha yao ya baadaye.
 Sela alikuwa na wajibu wa kiutu na moyo wake
uliyeyushwa na huruma alipomuona mja akiteseka.-  Hawajali afya zao.
wema uliponza. Vikwazo kwa wanaotaka kufunga ndoa
 Mwalimu mkuu kuwaandikia wasichana waliopata  Urasimu wa ndoa
mimba barua za mapendekezo ili wapeleke katika  Masazu hangemudu utaratibu wa kwenda kwa
shule za kutwa walizochagua- kuhakikisha wazazi wa Sela.
wanaendelea na masomo Ndoa haramu/ukengeushi
 Mwalimu mkuu Margaret anasema kuna umuhimu  Sela kumfuata Masazu Dafina na kuishi kama mke
wa kuwajibikia vitendo vyetu. na mume.
Usaliti/uaminifu  Wanaume kuishi na wanawake bila kuwa
 Rozina halati ya Kadogo si mwaminifu kwa wameoana(Come we Stay).
kuwapatia Masazu na Sela Kadogo bila idhini ya Uasi wa Vijana
wazazi wa Sela.-wanaoshirikiana na wengine  Masazu na Sela kutoomba kubali wachukue mtoto.
kutenda maovu.  Radhi za wazazi ni fimbo kubwa ukizikosa.
 Masazu kutaka kukana mimba ya Sela si yake. Athari ya mapenzi katika umri mdogo/shuleni/
Elimu Mimba zisizotakikana na athari zake
 Bi Margaret anathamini elimu kwa kuonelea Sela  Mapenzi ya shuleni si mara nyingi hudumu.
arudishwe katika shule ya kutwa  Kusababisha uzinifu.
 Mapenzi shuleni huathiri elimu ya wanafunzi  Mapenzi ni matamu lakini mtu akiyapapia huwa
hususan wasichana machungu kama shubiri.
Ujinga/ulimbukeni na athari zake  Hufanya mtu kuathririka kimasomo.
 mapenzi hupofusha`-kuguswa sana na barua za  Mgogoro baina ya Sela na Masazu.
Chris-kudanganyika kwa urahisi na kukubali  Mgogoro kati ya wazazi wa Sela-Sela na mamake
kufanya mapenzi bila kinga hata bila kupimwa kufukuzwa nyumbani.
kubainisha kama wana magonjwa ya zinaa, kuamini  Mzee Butali kumlaumu mkewe.
kwa urahisi mtu kijana asiyemjua  Sela na Kadogo kufa maji dimbwini.

©Bw. P.K Mwirigi (mwongozo wa


Damu Nyeusi)
22
 Ndoa za mapema na haramu  Masazu kudanganya Sela kuwa ni mgonjwa-kichwa
 Umuhimu wa kujitunza mtu akiwa kijana kinamuwanga.
 Kufukuzwa shuleni.  Kumwarifu Sela kuwa alihisi kichefuchefu-
 Migogoro baina ya wazazi-mama kulaumiwa. wanapotoka katika ofosi ya sista.
 Hofu-maisha yangechukua mkondo gani.  Barua walizoandikiana ziliwasilisha ahadi za kweli
 Uavyaji mimba. na za uongo.
 Kusumbua wazazi wanapoitwa shuleni.  Ukiona cha mwenzio chanyolewa chako tia maji-
 Kupoteza muda wa masomo wakiandikiana au tunaweza kupatwa na yanayopata wengine-mzee
kusoma barua. Butali hakuwahi kufikiria hali kama ile ingetokea
 Kukosa utulivu. nyumbani mwake.
 Majuto-mzo wa majuto ulimwandama. Ujinga
 Kuathirika na kutoweza kutunza makini shuleni-  Ulimbukeni katika mapenzi kusabaisha wasichana
Masazu. wengi kupata mimba wakiwa shuleni.
Mila na desturi  Kufanya mapenzi bila kinga ilhali
 Kuzuia Masazu na Sela kuoana. wangeambukizana magonjwa ya zinaa.
 Wanaamua kuiba mtoto kwa Masazu kushindwa  Kukutana na mtu usiyemjua na kuishia kufanya
kumudu utaratibu wa kawaida wa kwenda kwa mapenzi naye bila kujali maisha yake ya awali.
wazazi wa Sela. Udhabiti wa msimamo
 Kina mama kulaumiwa binti wakipoteza mwelekeo.  Mzee Butali hakulegeza msimamo waondoke
Nafasi ya mwanamke nyumbani licha ya Sela na mamake kulia.
Huruma
 Amepewa jukumu la ulezi-mamake Sela
kualaumiwa.  Huruma kumwingia na aliwarudisha jamaa zake
nyumbani kwa majuto makuu.
 Kumlea mjukuu wake.
Ushauri
 Wanaowajibika-mwalimu mkuu.
 Wazee kumshauri Butali yakimwagika hayazoleki.
 Wenye mapuuza/wasiojali-Sela
 Afanye kama alivyoelekezwa na mwalimu mkuu.
 Vyombo vya kujiburudisha vya wanaume-Sela
Subira
 Watetezi-mama kumtetea Sela.
 Ukosefu wa subira miongoni mwa vijana.
 Kadogo ni kielelezo cha watoto wanaoteseka kwa
 Subira katika mapenzi-ngono kabla ya ndoa.
ajili ya makosa ya wazazi wao.
 Kusubiri watimize taratibu kabla ya ndoa.
 Ni jasiri
 Kusubiri wamalize masomo.
Umuhimu wa mtoto
Matatizo yanayokumba sekta ya elimu
 Kiungo muhimu kati ya uhusiano kati ya mke na
 Mahusiano wa kimapenzi baina ya wavulana na
mume.
wasichana.
 Kutoa mzazi upweke
 Wanafunzi wasichana kupata mimba.
 Kumpa mzazi shughuli
 Kufukuzwa shuleni na kupoteza muda wa masomo.
Mapenzi
 Kuathiri wenzao na kuiga tabia kama hizo.
 Ya Masazu kwa Sela.
 Kutojali miongoni mwa wanafunzi.
 Sela kumfuata baada ya masomo waishi kama mke
na mume.  Ukosefu wa karo.
Ujasiri
 Ya Masazu na Sela kwa binti yao Kadogo-
kumwendea.  Mamake Sela kumtetea anapofukuzwa.
Busara
 Mama Sela kumlea Kadogo kama mwanawe.
 Mamake Sela anajua maji yakimwagika hayazoleki.
 Mzee Butali kumwelimisha Sela japo ni maskini.
Unafiki
 Wanakijiji kumwombea Sela na mamake msamaha
 Chris kuketi akiwa ameshikilia kichwa kana
kutoka kwa mzee Butali.
kwamba kingemdondoka.
 Butali anawapenda mkewe na Sela kwa kuwaonea
Maumizi la lugha
huruma na kuwarejesha nyumbani.
Chuku
 Kumrudisha Sela shuleni.
 Kanda la sufi-mzigo wa mwenzio ni kanda la sufi.
 Mwalimu mkuu kwa wanafunzi wajawazito.
 Kwake usiku ule ulikuwa mwaka.
Ulaghai/udanganyifu
 Mpito wa kikonokono wa wakati.

©Bw. P.K Mwirigi (mwongozo wa


Damu Nyeusi)
23
 Masazu kusoma barua mara ya kwanza, akarudia mkuu anawaambia wazazi wa wasichana waliokuwa
mara ya pili na ya tatu. na mimba.
Tashhisi Kinaya
 Mambo haya mawili yaliendelea kuungana  Shule anayosomea Sela ni ya dini ambako
kuhujumu mkakati wao (wakati kusonga polepole na wanaendeleza shughuli zao kwa utulivu na ustaarabu
hali ya hewa). huku wakizingatia maadili ya hali ya juu ilhali Sela
 Matone ya mvua yaliyokuwa yakipenya baina ya anapata mimba.
majani ya mwembe waliojikingia mvua yalitoa  Shule anayosomea Masazu inaitwa lenga juu ilhali
sehemu yayo ya hujuma-kuwalowesha. analenga mapenzi na kutia wasichana mimba.
 Mabasi yalikuwa yameanza kuingia huku  Sela kupata mimba licha ya babake kuwa mkali.
yakiendelea kutapika wanafunzi-kuwashukisha.  Sela kupata mimba licha yake kuonekana kuwa
wanapoenda katika shule ya kina Sela ya Askofu msichana anayewajibika.
Timotheo kulikokuwa na tamaasha za muziki na Utohozi
drama.  Drama-michezo ya kuigiza
 Saa sita usiku kiza kilikuwa kimeuma kila mahali-  Mabasi ya shule ngeni
usiku wanaoendea Kadogo.  Kliniki- mahali pa wanafunzi kutibiwa shuleni.
 Mara nyingine maji ya kutoka mitini yalianguka kwa  Sista-daktari wa kliniki aliye mtawa wa kikatoliki.
matone mazito na kuhujumu Kadogo.  Ofisini-ya sista daktari
 Akajitahidi kujiopoa lakini utelezi miguuni ukamzidi  Glasi ya maji-aliyopeewa Masazu kumezea vidonge
nguvu. viwili.
 Utelezi ule ukamzoa pamoja na mtoto na kumbwaga  Kiberiti cha gesi-hewa iwakayo moto cha Masazu
majini-kuonyesha jinsi Sela na Kadogo cha kuwashia sigara anachotumia Masazu
walivyoangamia. kumulikia.
Balagha Tashbihi
 Huoni tayari tumesimama hapa kwa muda mrefu?-  Kama chui aliyelivizia windo lake na sasa
Masazu akimwambia Sela. limetokea, akajiandaa-Masazu anapomwona Sela
 Kwa hiyo…?-Sela. katika pitapita zake katika shule ya kina Sela na
 Huyu si mtoto wetu sisi wawili? kujiandaa kumtongoza.
 Je, ni kwa nini sisi huwaletea watoto shuleni?-  Alitunza barua ile kama uhai-Sela iliyokuwa
babake Sela anamwambia mwalimu mkuu. imepuliziwa maashi-chuku pia.
 Mama gani anayemtazama mwana anageuka afriti ?  Kiapo cha Masazu-kuchomeka kidole chake cha
 Sikutumia hela zangu mimi katika elimu hadi shahada ardhini na kumwambia mapenzi yake
nikaitwa pangu pakavu?-kuonyesha umaskini. kwake ni ya dhati ) kikalegeza kiwiliwili chake
 Baba Sela, nani kasema huu ni msiba wangu?- (Sela) mithili ya mbwa anayekabiliana na chatu
mamake Sela. macho kwa macho-kumfanya akubali penzi.
Mdokezo  Ulimwengu ulivurugika, akawa kama tiara
 Kwa hiyo…?-Sela Masazu anapomwambia inayopeperushwa na upepo ikaenda arijojo.-Sela
wamekaa chini ya mwembe kwa muda mrefiu. kuathirika kwa kupata mimba.
 Sijambo. Sijui wewe?...sista akijibu salamu za Sela. Nidaha
 Rozina, Rozina, Rozinaa… amka-Sela akimwita  Pole Chris-akimliwaza kwa maumivu.
Rozina baada ya kuona kuwa Masazu hakufaulu.  Kijusi kilikuwa kimetungika!-Sela alikuwa na
Nahau mimba.
 Sikutumia hela zangu mimi katika elimu hadi  Naam, naam shemeji Masazu-Rozina akimwitika
nikaitwa pangu pakavu?-maskini. Masazu.
 Moyo ulimsisimka-Masazu kumuona Sela na  Ahsante-Masazu akimshukuru Rozina.
kuingiwa na mapenzi/moyo wake kumpenda. Sadfa
 Kingewaborongea mkakati-kama kadogo angeamka  Sela anapotaka kuingia kwa sista kumwarifu kuhusu
kilio chake kingewaharibia mpango wao wa Masazu naye sista alikuwa akitoka.
kumchukua.  Hapakuwa na wanafunzi wengine katika kliniki
 Ingawa sisi hufanya tuwezayo kuwalinda wanetu, ndiposa Masazu akaweza kumtongoza Sela.
tabia zao hutupiga chenga …-hutukwepa-mwalimu

©Bw. P.K Mwirigi (mwongozo wa


Damu Nyeusi)
24
Kupitapita kwa Masazu katika shule ya Askofu  Tunaelezwa jinsi mapenzi kati ya Sela na Masazu
Timotheo kusadifiana na Sela kutokea ambaye moyo yalipoanza wakati wa tamaasha za muziki na drama
wake unampenda. katika shule ya kina Sela.
Tanakali Sadfa
 Alikataa katakata-kurudi katika zahanati Sela  Sela na sista kukutana mlangoni wakati amempeleka
anapohofu angezidiwa. Masazu akatibiwe.
 Kroo! Kroo! Kroo! Za vyura usku wa kuendea Utatu
Kadogo.  Sela na mamake kukaa kwa jamaa yao kwa majuma
 Pata pata pata! Masazu na Sela wakipita kwenye matatu.
maji na matope wakirudi baada ya kumchukua  Sela kukaa nnyumbani kwao kwa muda wa miezi
Kadogo. mitatu akitunza kitoto chake.
 Kadogo alikuwa amelala fofofo alipoendewa.  Majina ya wanafunzi watatu kuitwa na mwalimu
Sitiari mkuu wafike ofisini mwake.
 Barua ile ilikuwa parafujo fulani moyoni mwa Sela- Taharuki
ilimgusa sana kwa kutowahi kupokea barua nyingine  Masazu alifaulu kuwaokoa Sela na Kadogo?
kutoka kwa mvulana.  Alipofaulu kuwaokoa walikuwa wafu au wazima?
 Boma la mzee Butali kugeuka na kuwa jahanamu-  Au wote watatu walikufa maji?
kuwa na zogo na fujo baada ya kutoka shuleni.  Rozina aliwaambiaje wazazi wa Sela baada ya
Methali kuamka na kukuta Kadogo hakuweko?
 Yajapo yapokee-Chris kwa Sela-si tatizo lake-  Masazu aliwafahamisha wazazi wa Sela kuhusu
halimhusu. maafa yaliyotokea?
 Mimba ile kwa Masazu ilikuwa kanda la sufi-mzigo
wa mwenzio ni kanda la sufi.
 Mpango uliokuwapo ulikuwa usiku wa giza-Sela na 8.Shaka ya mambo
wasichana waliokuwa na mimba kutojua hatima yao taharuki
baada ya kuelekezwa wasubiri katika chumba cha  Kutokuwa na uhakika wa jambo au jambo la
mapokezi. kutuhumiwa.
 Uchungu wa mwana, aujuaye ni mzazi-mamake  Kuna shaka ya mambo kama Esther aliendelea na
Sela. masomo kwa kusomea usekretari kwani hana pesa.
 Maji yakimwagika hayazoleki-alielewa baada ya  Kama Kamata alikuwa anampenda yeye au alikuwa
ushawishi wa wazee. na mapenzi na Grace.
Kicheko/tashtiti/kejeli  Ukaribu kati ya Kamata na Grace ulikuwa wa kutia
 Vicheko vya chini kwa chini vilianguliwa na shaka.
wanafunzi.  Esther alitoka kwa mzee Mwinyi na kwenda
Ishara kupanga chumba chake?
Giza- tanzia ambayo ingetokea-Sela na Kadogo kufa  Alihama madaraka na kupanga nyumba yao na
maji kwa kutumbukia kidimbwini. Kamata?
Takriri  Alibadilishiwa zamu na Grace?
 Rozina, Rozina, Rozina! Masazu akimwita halatiye  Miadi muhimu sana aliyonayo Grace ni ya kutiliwa
Kadogo usiku ule wamemwendea Kadogo.na Sela. shaka.
Taswira  Shaka kama Grace na Kamata walikuwa shule moja
 Ilibidi matambara yatumiwe kukivisha kitoto- na iwapo waliishi Buruburu na wazazi wao.
kuonyesha umaskini wa wazazi wa Sela.  Mtu ambaye Grace anaenda kukutana naye ni
 Walifika mahali mti ulikuwa umeanguka na majani Kamata au mtu mwingine?
kukingama njiani.  Yawezekana ndio walipanga abiria aende
 Mara wakafika sehemu ambapo njia ilikuwa pana mkahawani wamshtue kwa tangazo aharakishe
lakini kulikuwa na jiti lililoangushwa katikati. asahau pesa?
 Palikuwa na dimbwi la maji lililotuama pale.  Shaka kama Kamata alimpata abiria aliyeacha bunda
 Akawa tayari keshaelekea pale na kujikuta katia la pesa au ndege ilikuwa imeondoka.
mguu majini, yamemzagaa na kumfika magotini  Kama Grace na Kamata walimpatia mzungu pesa
yanatishia kumsomba. walizopatiwa na Esther.
Mbinu rejeshi
©Bw. P.K Mwirigi (mwongozo wa
Damu Nyeusi)
25
 Kama Grace alikuwa anapewa lifti tu na Kamata au Unafiki
walikuwa na mpango wa kwenda kustarehe pamoja  Grace kusema Kamata atampa lifti na hataki
kama wapenzi. amcheleweshe.
 Kama Kamata anampenda Esther jinsi Esther  Kamata kumwambia Grace atangulie kwenye gari na
anavyompenda kwa kutompitia Esther mahali pa akishampa abiria pesa angeenda waondoke.
kazi na kutopokea simu zake hata kuzikata. Ulaghai/udanganyifu/utapeli
 Kuna shaka Grace anapomwita Kamata mpenzi  Kamata ni tapeli wa mapenzi na pesa.
kama ni utani tu au ni kweli. Kamata anamkonyezea  Kamata kusema apewe pesa ampelekee abiria na
jicho. abiria wapo hapo.
 Shaka kuwa anakataa kumbadilishia zamu ali apate  Grace kumwambia Esther ampe Kamata pesa
muda mwingi wa kuwa na Kamata. ampelekee.
 Shaka Grace anapomwomba Esther aendelee na Subira
zamu yake hadi usiku ana miadi muhimu sana  Anataka Kamata astahimili kidogo, lakini ndio
Nairobi-ni ukweli au ataka wakutane na Kamata? hivyo, wanaume hawana subira .
 Shaka kuwa Grace kutobmbadilishia zamu kama  Vijana hawana subira. Esther anataka waishi pamoja
anapenda kufanya kazi hadi usiku ama anataka na Kamata kama mke na mume kabla ya ndoa.
wawe pamoja na Kamata. Anasa/starehe
 Kuna shaka kwa nini Kamata anakataa waende disko  Esther ana hamu ya kuenda na Kamata disko kama
na Esther badala yake waende katika vilabu kama wafanyavyo vijana wengine.
huko ndiko hata Grace anataka apelekwe na Kamata  Kamata anashughulika na kutafuta pesa na starehe.
hataki wakutane. Madhira ya abiria wa ndege
 Kuna shaka ya Kamata kukata simu ya Esther kama  Kucheleweshwa.
ni kwa kutotaka aijibu wakiwa na Grace asije akajua  Safari kuahirishwa.
ana mpenzi mwingine.  Kutosikia safari zao zikitangazwa na watangazaji
Umaskini kutisha abiria kimakusudi.
 Familia ya Grace kushindwa kumsomesha kozi ya  Kufanya kazi muda mrefu-siku sita kwa wiki
uhazili na kuachiwa jukumu la kujisomesha Tamaa
mwenyewe.  Esther ana tamaa ya pesa asomee usekretari.
Heshima/utu wema  Kamata ana tamaa ya wasichana.
 Mvulana kumwinukia Esther kiti na kumkaribisha  Kamata na Grace wana tamaa ya pesa ndiposa
akae katika matatu akielekea kazini. wanatumia ulaghai kupata pesa zilizoachwa na
 Esther kumshukuru kwa kusema , “Ahsante’. abiria.
Balagha Uhuru
 Ugeni au usasa gani?-heshima ya kuinuka huitwa na  Esther anataka asomee usekretari kazi itakayokuwa
watu wengine usasa. na uhuru zaidi.
 Kwani zamani wavulana hawakuwapa heshima  Amekuja Nairobi kutafuta uhuru lakini mzee
wasichana? Mwinyi anamchunga kama mtoto.-yeye ni amana
 Hicho ndicho kitu kigeni hapa Afrika? yao-kitu cha thamani mtu anachopewa na mwingine
 Kamata anampenda kwa dhati? ili amtunzie-udhibiti wa mwanamke-kuchungwa ili
 Kamata kweli anamjali au naye anshughulika wasiharibike kitabia.
kutafuta pesa? Uaminifu
 Kweli Kamata angeinuka na kumpisha yeye Esther  Kamata si mwaminifu kwani ana mpenzi mwingine
kiti? zaidi ya Esther anayeitwa Grace aliye mkuu wa
 Sasa upo ulakini hapo? Esther kazini katika mkahawa ulio katika uwanja wa
 Kazi gani hii ya kuamka alfajiri siku sita kwa wiki ndege.
na kujisukuma garini macho yamejaa usingizi?  Grace amekosa kumtimizia Esther ahadi ya kumtoa
 Sijui amekuja kazini leo? -kukaribia saa sita na zamu ya kuanzia asubuhi saa kumi na mbili –
Kamata hajafika hajafika. angembadilishia zamu kila mwezi wa pili na
 Anaumwa? angeingia kazini mchana saa nane na kutoka usiku.
Ujinga  Esther ni mwaminifu kwa vile mteja anaposahau
 Esther kuamini Kamata angempa abiria asiyemjua pesa anazishika upesi na kutoka mkahawani
pasa ilhali hajamweleza wasifu wake. kumpelekea lakini hamuoni.
©Bw. P.K Mwirigi (mwongozo wa
Damu Nyeusi)
26
 Ni mwaminifu katika mapenzi kwa vile anampenda  Anachungwa kama mtoto kama alivyochungwa
Kamata anamfikiria na kupanga watakavyoishi nyumbani.
baadaye naye. Takriri
Ukarimu  Lakini pesa! Kila kitu pesa.
 Esther kumshikia Grace zamu yake.  Mtu hawezi kupiga hatua duniani bila pesa.
Ukengeushi Kuzaliwa kunahitaji pesa. Kuolewa pesa. Kuzaliwa
 Vijana kuishi pamoja kama mke bila kuwa kunahitaji pesa.
wameoana. Msemo
Utamaaduni  Wanaume hawana subira
 Wanawake hawaheshimiwi na kuwaheshimu ni Kicheko
usasa.  Esther kumuuliza Grace kama ana mpenzi akicheka.
Matatizo ya wafanyakazi  Grace kucheka anapoulizwa hivyo.
 Kuamka alfajiri siku sita kwa wiki na kujisukuma Mdokezo
garini macho yangali yamejaa usingizi.  Ndiyo nimebahatika lakini…-Esther akiwaza-kupata
 Kutobadilishiwa zamu. usafikiri kumpeleka hadi kazini.
 Hangeuliza kwani angefanya hivyo angefikiriwa Hapana n’na mengi ya kufanya kabla ya kukutana na …
kuwa mtu matata. kabla ya miadi yangu-Grace anapoambiwa na Esther
 Mishahara duni. itakuwa mapema.
Matumizi ya lugha  Esther, sina wakati. Mimi lazima niondo…
Tashhisi Taswira
Mvua ya siku iliyopita ilimbembeleza na kumlaza  Kamata kutokea akiwa amevaa suti ya bluu, shati la
usingizi mtamu. manjano hafifu na tai ya kijivujivu, uso wake
Kuchanganya ndimi uking’ara kwa furaha na pia kwa kupakwa mafuta ya
 Jommo Kenyatta international airport-anakofanya kulainisha ngozi.
kazi Esther. Nidaha
 Mombasa road -barabara gari lililoingia.  Kamata! Hajui anamfikiriaje yeye Esther.
Utohozi Taharuki
 Usekretari-uhazili ambao Esther angesomea baada  Kamata alipokuwa hapokei simu ya Esther kwa
ya kupata pesa za kutosha. kuikata au kuacha ikatike?
 Kupiga taipu  Alikuwa wapi?
 Kompyuta  Kamata alifanikiwa kumpata mteja aliyesahau
 Dola elfu-kiasi cha pesa ambacho Esther alikisia fedha?
abiria aliacha.  Esher aligundua uhusiano uliopo kati ya Kamata na
 Huduma za kiofisi Grace?
 Kaunta –ya mkahawa  Kama aligundua alifanyaje?
 Airport-uwanja wa ndege  Hisia zake ziliathirika kiasi gani?
 Nambari-ya gari  Esther alifanikiwa kutimiza ndoto yake ya kusomea
 Lifti-ambayo Grace anadai anapewa na Kamata usekretari?
 Tiketi
 Disko-ambako Esther ana hamu ya kwenda na 9.Maskini babu yangu
Kamata
 Maskini-kihisishi cha kuonyesha huruma
 Wiki-anafanya kazi siku sita kwa wiki.
 Kuugua-kushikwa na maradhi Fulani uzeeni.
 Dola hamsini-ambazo zilitakikana chuoni kama
 Kusingiziwa kuwa mwizi wa mtoto
rubuni ili Esther aweze kusomea kozi ya uhazili
 Kusingiziwa kuwa mchawi
Mbinu rejeshi
 Kupigwa, kuuawa na kuteketezwa na umma.
 Esthre alitoka kwao miezi mine iliyopita na kwenda
Utamaduni
Nairobi.
 Watantele wanawake kujitandia mitandao na kuvalia
 Babake Esther alikuwa akifanya kazi Nairobi miaka
mavazi marefu yaliyositiri maradufu viwiliwili.
ya sabini.Aliamua kurudi kwao baada ya mzee
Utabaka na athari zake
Jommo Kenyatta kufariki mwaka wa 1978, miaka
mitano kabla ya Esther kuzaliwa.  Sakata ina makabila mawili tu, maskini na matajiri
Tashbihi  Watu wa mjini na watu wa shambani
©Bw. P.K Mwirigi (mwongozo wa
Damu Nyeusi)
27
 Huduma bora za kijamii zinapatikana mijini kama  Babu kushikwa na maradhi fulani ya uzeeni.
vile hospitali bora. Ujasiri
Ubandia wa uhuru  Babake na mamake msimulizi wanavunja miiko ya
 Haukuleta manufaa kwa watu wote kutoolewa na kabila lingine.
Uozo  Wanapinga mila potovu na kuanzisha ujenzi wa
 Ukabila, ufisadi na hongo babu anasema ni jamii mpya isiyo na ubaguzi.
vipengee halisi vya maisha ya binadamu. Utamaduni
Bidii  Mamake kukulia Kisubu na kuimba nao nyimbo za
 Babu kutotaka kuacha mifugo wake aende kitamaaduni.
akatembee mjini. Alitembea kwa kuraiwa sana.  Huko madongo msimulizi aliwaona wanawake
 Idili ya babake katika jeshi la polisi kusababisha waliojitandia mitandio na kuvalia mavazi marefu.
apandishwe cheo hadi mrakibu wa polisi.
Ndoa Matumizi ya lugha
 Kati ya watu wenye asili mbalimbali. Mbinu rejeshi
 Ndoa ya babake na mamake msimulizi kupingwa na  Mamake msimulizi Zuhura kimbaumbau ni Mtantele
pande zote mbili. kutoka Kitolo. Walihamia nchi ya Sakata huko
Heshima kwa wazazi Kabucheka kituo cha biashara miaka ya sitini.
 Babake msimulizi anajali babake kwa kumchukua babake alikuwa na duka la reja reja-kuonyesha
kuja kutibiwa mjini. msimulizi ana usuli mseto babu Maende kuumeni na
Ubaguzi babu Tandeka kuukeni.
 Ndoa kati ya Watantele na Wamindi na makabila  Msimulizi anatukumbusha Jumamosi babu yake
mengine nchini subu ni nadra. aliuawa wakiwa naye.
 Ndoa ya babake na mamake msimulizi kupingwa na  Katu sikutaka kukumbuka… Miaka ishirini imepita
pande zote mbili. tangu yalipotokea yaliyotokea.
 Babu Maende na babu Tandeka, mama-Zuhura  Rekodi za santuri-alikosikia babu mtaa wa
Kimbaumbau. kochokocho ukiimbwa ndipo akataka
 Wazazi hawana ubaguzi-kuna maelewano kati ya wakautembelee.
mababu na bibi na babu kutembeleana Takriri
Umaskini  Sikutaka kutazama nyuma, kupiga darubini nyuma,
 Mtaa wa Madongo, eneo la Kochokocho kuwa na kukumbuka nyuma.
watu wa asili mbalimbali.  Kila siku, kila siku kochokocho-wimbo wa rekodi.
 Hali zao za maisha ni duni.  Nilijiwaza kwamba hayakuwa yalikuwa, yalikuwa
 Taswira ya nyumba hayakuwa-yalitokea au hayakutokea.
 Wanawake kukaanga samaki kandokando ya  Yale yamesimama yamesimama wima yamesimama
barabara na kuwauzia wapita njia. wima kwa rehema za Mungu
 Kina mama kuuza chapatti zilizokaukiana na Nahau
mandazi makavu.  Kujitonesha donda akitazama nyuma-kujikumbusha
Ukatili/uchukuzi wa sheria mikononi msiba uliokwisha na kusahauliwa.
 Msimulizi ana nywele za singasinga.Wakitembea  Shikia shokoa-babake msimulizi alimlazimisha babu
mitaa ya Kochokocho wanavamiwa na Watantele. aingie katika gari la Toyota Corolla ampeleke mjini
 Walipaswa kumpeleka babu Maende kwenye hospitalini
vyombo vya sheria ili ibainike kama alikuwa  Nilipiga unyende-msimulizi kupiga mayowe kwa
amefanya makosa. kuona babuye akishambuliwa na umati.
 Alisingiziwa kuiba mtoto na kumloga-Mtoto  Jamani! Jijini kuna maisha ya kukatisha tamaa sana.-
mtantele umemtoa wapi? Wee! Waacha! Unawezaje babu alipoona umaskini wa madongo-kupotezesha
kumpata mjukuu wa kitantele? Mchawi huyu matumaini.
amemroga mtoto mpaka akamwita babu yake. Tashhisi
Mwizi wa mtoto!  Donda ndugu lililokataa kusikia dawa-kisa cha
 Kumpiga, kumuua na kumteketeza- Mama mmoja mauaji ya babu yake kuosahaulika.
kumnyaka kibao shavuni, Mchomeni moto.  Shinikisho la wenzangu kutaka niandike
Mwekeni tairi! limenisakama kupindukia-kumlazimisha.
Matatizo ya uzeeni
©Bw. P.K Mwirigi (mwongozo wa
Damu Nyeusi)
28
 Nyumba yetu kutawaliwa na vicheko, tabasamu- Balagha
furaha babu anaposema amepata nafuu kiasi.  Kwao wapi?-babu
 Wauzaji kuwa na kazi kubwa kuliwinga wimbi  Kwao mashambani au vijijini?
kubwa la nzi waliotaka kula uhondo-hali ya uchafu  Yaani mtu kwao hakuwezi kuwa jijini?
katika soko huko madongo.  Mtu atasemaje haya ninayosema kuhusu mama
 Mtaa wenye mabanda yaliyoinamiana na kuoneana yangu ni uongo?
imani.  Mama yangu hakuwa mtoto wa Kitantele
 Yale yamesimama yamesimama wima yamesimama aliyelelewa katika mazingira yaliyomzunguka na
wima kwa rehema za Mungu kunga na kaida za Wasubu?
 Ukata uliokuwa umewafunika na kuwafanya wa Mdokezo
kabika moja la wachochole.  Ingawa mimi nilifurahi hadi… -msimulizi kufurahi
 Kuta za mbavu za mbwamabati yaliyojifunika libasi babu alipopelekwa mjini akapelekwe hospitali ya
ya kutu. jiji.
Majazi  Unyende wangu ulipotelea kwenye mzozo
 Kochokocho-mahali kuliko na vituko vingi hasa uliotokota nje…
eneo la Madongoporomoka. Tashbihi
 Madongoporomoka-kwenye nyumba za udongo  Wamindi kuoana na makabila mengine hutokea kwa
ambazo hubomoka hasa wakati wa mvua-makao tukizi kama kupatikana kwa mwanasiasa mwadilifu.
duni-umaskini. (uongozi mbaya)
Mdokezo  Vilango vilivyosimama vizingitini kama vibua vya
 Donda ndugu lililokataa kusikia dawa… mtamaa vinavyosubiri kuanguka.-makao duni
Chuku  Ulimi wake ulikuwa mwepesi kusarifu kisubu kama
 Sakata ina makabila arobaini kama wengine mwenyeji-wa mamake msimulizi.
waaemavyo, yapo makabila mawili tu, maskini na Taswira
matajiri.  Tope jeusi, vichochoro kujaa tope, fodogoo na kila
 Ukata uliokuwa umewafunika na kuwafanya wa aina ya uozo-uchafu mwingi.
kabika moja la wachochole.-hali mbaya ya  Mabanda yaliyoinamiana na kuoneana imani
umaskini.  Kuta za mbavu za mbwa, mabati yaliyojifunika
 Meno yangu karibu kudondoka kwa hasira libasi ya kutu.
nilizokuwa nazo nikijaribu kumtafuna mwanamke  Kina mama kuuza chapatti zilizokaukiana na
aliyemnyaka babu kibao shavuni. mandazi makavu na maembe dodo.
 Mnuko ulioweza kulipua pua-harufu mbaya huko  Vitoto vingi vya maji ya kunde. Viwili vitatu ndivyo
madongo. vilikuwa vyeusi kuliko masizi ya chungu cha nyanya
 Kitanga changu cha mkono kilizama katika bahari wa kabucheka.
ya kitanga chake (babu) kikubwa. Nidaha
 Mabanda-labda yanaweza kuanguka kwa upepo wa  Salaala! Mbona wasirudi kwao wakaishi maisha ya
mtu apigaye mbinja-kuonyesha udhaifu wayo. maana kidogo?
 Kidimbwi cha jasho kikawa kinajisawiri kwenye  Jamani! Jijini kuna maisha ya kukatisha tamaa sana.-
ncha ya mwanzi wa pua yake-babu kuogopa. babu alipoona umaskini wa madongo
 Nilipiga unyende nikalia machozi mpaka Utohozi
yakanikauka.  Rekodi za santuri-alikosikia babu mtaa wa
 Ndoa ya babake na mamake msimulizi ilikuwa ndoa kochokocho ukiimbwa ndipo akataka
moja katika maelfu.-kuonyesha ubaguzi, ukabila. wakautembelee.
Methali Tabaini
 Yaliyopita hupishwa-anaonelea anastahili kusahau  Si siahi, si mayowe, si miluzi almuradi fujo moto
tanzia ya babuye. mmoja.
 Kinolewacho hupata-mama yake kurithi mila za Taharuki
Wasubu.  Kwa nini kina mama wanaofanana na msimulizi
Utohozi wanamtumbulia macho kama waliona kioja?
 Ekari tano-shamba babu yake alilomiliki  Nini kilifanyika baada ya babu kuuuawa?
 Mwekeni tairi-gurudumu ili achomwe.  Wauaji walijulikana?
 Hospitalini-mjini ambako babu alipelekwa akatibiwe  Walichukuliwa hatua gani?
©Bw. P.K Mwirigi (mwongozo wa
Damu Nyeusi)
29
 Hatima ya ndoa ya wazaziye msimulizi ilikuwaje Bidii
baada ya kukataliwa?  Abu anatufahamisha hakuwa mzembe.
 Msimulizi alijulikana alikotoka vipi baada ya babu  Alifanya kila sambuli ya kazi.
yake kuuawa?  Akajijengea chumba cha msonge kilichokandikwa
Kinaya kwa udongo. (taswira)
 Baba ya msimulizi ni mrakibu wa polisi ilhali baba  Akaweza kujipatia chakula na kujinunulia nguo.
yake anauawa kinyama kwa kupigwa na kuchomwa  Arabuni anafanya kazi ya uhamali ambayo
moto. inamtajirisha.
 Babu Maende japo anaugua ilhali hataki kwenda Tamaa
Pilka kutibiwa bali alilazimishwa.  Ya mama Zena mamake Amali
 Kuuawa baada ya kupona ugonjwa uliomleta siku Upuuzaji wa majukumu
moja tu kabla ya kurejea kwake.  Babake Amali mzee Kadiri kutomdhibiti mkewe na
 Kuambiwa ndoa ilipingwa na pande zote mbili kisha kutotoa kauli yake.
kuna maelewano kati ya mababu na bibi na babu Utamaushi
kutembeleana.  Nilitamauka-kukata tamaa baada ya posa yake
kukataliwa.
10.Ndoa ya samani Utamaaduni
 Mila ya mahari kuwa kikwazo cha vijana kufunga
 Ndoa kutojengwa kwa misingi ya mapenzi ya dhati
ndoa kwa sababu ya umaskini.
bali mali-samani.
 Mjomba kuhusishwa katika suala la ndoa.
 Kuangalia mtu badala ya utu.
 Nyimbo za ndoa
 Abu anaghairi kumwoa amali na kurudi Arabuni.
 Utozaji wa bwana arusi pesa aendapo kumchukua
 Wazazi kuingilia ndoa za watoto na kuishia
bibi arusi.
kuzivunja kwa tama zao.
Nafasi ya mwanamke katika jamii
 Umaskini kuwa kikwazo cha mafanikio ya mtu.
 Chanzo cha matatizo ya mwanamke mwenzake au
 Matatizo ya ndoa za matabaka tofauti.-utabaka kuwa kikwazo cha mafanikio yao.
kikwazo katika ndoa.
 Wana usemi/sauti-babake amali kushauriana na
Utabaka
mama zena anapoelezwa na mjomba wa Abu lengo
 Kijijini kulikuwa na watu tajiri na maskini- Kina la ujumbe wao.
Abu ni maskini na kina Amali ni wa tabaka la kati-si
 Mfanya maamuzi badala ya mwanamme au
maskini wala tajiri.
wanaodhibiti waume zao- “Amali hataki kuolewa,
Ujinga
tena sijui kama utaweza mahari.” (waongo)
 Amali kufanyiwa maamuzi na mamake yanayoishia
 Yoyote yaliyoamriwa kwake babake Amali yalikuwa
kumponza.
mamoja.
 Kumfilisi mwamamume anayekusudia kuolewa
 Nyenzo ya kiuchumi
naye.
 Wapotoshaji-kumpotosha amali aitishe mali
 Kutojua tamaa mbele mauti nyuma
 Kiumbe duni kisichoweza kujidhibiti-babake kutaka
Utunzaji
amali aolewe asizalie nyumbani.
 Abu kutotapanya mali aliyoipata.
 Wananyimwa haki ya kujiamlia mambo yao.
Unyenyekevu
 Wabaguzi
 Ukwasi haukumpa takaburi.
Ukarimu  Wabinafsi
 Kuwajengea wazazi nyumba nzuri. (anaheshimu  Wana tamaa, wapenda makuu-mama Zena.
wazazi). Imani kwa Mungu
 Kutoa mahari kabla ya kuoa.  Abu baada ya posa yake kukataliwa na kuamua
kusahau mambo ya kuoa alimwomba Mungu ampe
 Kusaidia baadhi ya jamaa kupata kazi arabuni
mke mwema ambaye angempenda jinsi alivyo.
 Kuwaajiri marafiki
Uadilifu
Ubinafsi
 Mwone mtoto amejihifadhi katulia kwao wala si
 Mamake amali kutohusisha wazazi wa abu katika
kiguu na njia-Amali.
mipango ya arusi.
Ulevi
 Kutofikiria maisha ya bintiye bali ataka ajipatie
 Fahami na jamaa wengine walikuwa wakifaidi
mali.
mairungi-miraa-alipomwambia waende nyumbani.
©Bw. P.K Mwirigi (mwongozo wa
Damu Nyeusi)
30
Umaskini  Sina sinani, nikiulizwa siungami-umaskini
 Sina sinani, nikiulizwa siungami. Chuku
 Abu alisaka kibarua kwa walalaheri na walalahoi.  Bahari ya kitanda-kitanda kikubwa sana.
 Jamaa zake wa karibu walikuwa hohehahe.  Mlangoni nilikaribishwa na harufu ya manukato
 Kijiji kwao walikuwa maskini waliokuwa iliyozidi kiasi cha kukera pua badala ya kunukia.
wakipigiwa mfano.  Nyimbo za kina mama kuhanikiza janibu zote.
 Amali nilikuwa fukara wa kutupwa.  Miteteo mitamu yenye uwezo wa kukilainisha
Matumizi ya lugha chochote hata kiwe kigumu kama almasi.
Utohozi  Nilikuwa fukara wa kutupwa.
 Suti-aliyovaa Abu kujiandaa kwa arusi.  Kijiji kwao walikuwa maskini waliokuwa
 Motokaa-inayombeba Abu siku ya arusi. wakipigiwa mfano.
 Hospitali-abu alikotakiwa kufanyiwa uchunguzi Abu Mbinu rejeshi
kabla ya kusafiri Arabuni.  Jinsi alivyokuwa maskini miaka saba nyuma.
 Kampuni –ya uchukuzi iliyokuwa imemwajiri huko  Alipiga darubini nyuma huko mambo yalikoanzia
Arabuni. kiasi cha kujikuta katika hali hiyo-mtanziko-
 Pasipoti-cheti alichohitaji ili kwenda arabuni. kufikiria kwa kina jinsi alivyopelekwa na mjombake
 Mita mia mbili-nyumba bi arusi alikokuwa kutoka kumposa amali mamake akakataa posa yake.
mahali walipoegesha gari. Taharuki
Nahau  Nini kinasababisha wasiwasi wa msimulizi?
 Baada ya kutajirika akaamua kujaribu bahati yake ya  Baada ya abu kuondoka shamra shamra za ndoa
kuuasi ukapera-kuoa. ziliendelea au zilikoma?
 Sikuwaacha mkono-hakuwapuuza au kuwatenga  Sababu ya abu kuvunja ndoa ilijulikana?
marafiki zake wa zamani-aliwaajiri.  Amali aliolewa au aliendelea kukaa maisha ya
 Nilikata shauri-pale aliamua kusahau mambo ya ukapera hadi kifo chake?
kuoa na kuomba Mungu ampe mke mwema ambaye  Abu alioa mwanamke mwingine au alighairi kabisa
angempenda jinsi alivyo. kuoa?
 Walikuwa wamefurahi ghaya ya kufurahi-binamu, Takriri
mdogo wa Abu na jamaa yake kufurahia arusi  Wimbo-hongera mwanangu eeh hongera a! Mama
kupindukia. uchungu mama uchungu
 Nimezama katika bahari ya luja-mawazo mengi  Kula kwa taabu, kuvaa kwa taabu-umaskini
akiwa garini kuelekea kwa bi harusi.  Kupata vitu hivyo nilikuwa nimejikalifu ziada ya
 Alitimiza mahitaji hayo yote shingo upande-bila kujikalifu-amefipata kwa shida-kifurushi cha majani
hiari/kujilazimisha. chai, sukari na marashi.
 Mamake kung’ang’ania mtoto wake aandaliwe arusi  Mipango ya ndoa kukamilika hadi kufikia siku ya
ya ndovu kumla mwanawe-ya kukata na shoka- siku-siku ya arusi.
kubwa. Taswira
 Sikuwa mwenye navyo-tajiri.  Vitu vingi nyumbani alikuwa amevinunua yeye
 Ilifika mahali fulani nikaamua kupata jiko-kuoa.  Majilisi ya kiarabu
 Nilitamauka-kukataa tamaa baada ya posa yake  Vimeza vidigividogo vya vioo
kukataliwa.  Zulia la kiajemi
 Nilikata shauri kusahau mambo ya ndoa kwa muda-  Zinga la jokovu
niliamua.  Runinga kubwa ya rangi
 Usife moyo mwanangu ndoa hupangwa binguni-  Bahari ya kitanda
usikate tama-mjomba baada ya posa kukataliwa.  Godoro kubwa, mito miwili mikubwa
 Abu alisaka kibarua kwa walalaheri na walalahoi-  Shuka za kitanda na foronya zimepigwa darizi kwa
maskini na matajiri. nyuzi za rangi ya dhahabu-tamaa ya Zena.
 Jamaa zake wa karibu walikuwa hohehahe-maskini.  Akajijengea chumba cha msonge kilichokandikwa
 Nilikuwa nimeshakata kauli-Abu kuamua kwa udongo
kutomwoa amali kwani hampendi ila anapenda mali  Amali haachi ushungi na anavaa mavazi ya
yake. sitara(decent)
Misemo

©Bw. P.K Mwirigi (mwongozo wa


Damu Nyeusi)
31
 Amali kumpelekea orodha ya vitu alivyovitaka kwa  Pili-kujifungua si jambo rahisi na mwanamke
ajili ya arusi. Alipendekeza anunue samani kutoka anapojifungua hupongezwa.
Arabuni, akadai mikufu, pete hata herini, mkoba
mzima wa nguo, majora na vitambaa na doto za
kanga.
11.Tazamana na mauti
 Mtoto kaumbika si haba! Ukiongeza kujipondoa  Athari na furaha kupita kiasi/kutojidhibiti kwa
pamoja na michoro ya hina mikononi na miguuni. furaha kuhusu jambo kwaweza kusababisha hasara-
Tashbihi kufurahia ndoto yake kutimia.
 Uzuri wa amali ulikuwa aula kama hizo pesa-adimu.  Furaha kumfanya Lucy aendeshe gari bila makini
 Miteteo mitamu yenye uwezo wa kukilainisha kisha kupata ajali na kuaga dunia.
chochote hata kiwe kigumu kama almasi.  Falsafa-usikoke moto kabla ndege hujamtia
Kinaya mikononi.
 Mzee kadiri anataka amali amwondokee nyumbani  Alitembea jiji hilo (London) ili kuliambia kwamba
asije akazalia huko ilhali hakatai msimamo wa msichana mbichi na tajiri anakuja ili jiji lijitayarishe
mama ambao ulisbababisha bintiye asiolewe. kumpokea hatimaye. (majivuno)
 Kinaya abu kutoa mali nyingi amwoe amali kisha Bidii
kumtelekeza siku ya ndoa.  Ya kupata anachokitaka
 Kukataa kumwoa ilhali makosa si yake bali Upumbavu
amepotoshwa na mamake.  Crusoe lulaghaiwa na Lucy kwa urahisi na kuamini
 Kusifu urembo na tabia yake na anaishia kutomwoa kuwa anampenda bila kuchunguza.
ilhali amepotoshwa na mamake. Tamaa
Nidaha  Ya kwenda London
 La hasha!-Abu kukataa hakuwa bahili kwa kutimiza  Kuwa tayari kutumia ulaghai kuingia London kama
mahitaji ya mama zena shingo upande bali aliuona vile kujifanya mtalii, mwanafunzi, mkimbizi, n.k.
ni ubadhirifu.  Ya utajiri
 Abu! Changamka nawe. Hii ni siku yako eti!-  Atafanya kazi za siri kwa vile wanaolipwa mshahara
binamuye. hawaruhusiwi kufanya kazi.
 Potelea pote! Liwalo na liwe. Unafiki
Tashhisi  Hampendi crusoe bali anataka kuingia London na
 Amali sidhani kapenda kuolewa nami sikumwoa kadhalika mali yake.
mimi bali ameolewa na mali yangu.  Anataka mali anapomtunza.
 Mlangoni nilikaribishwa na harufu ya manukato  Furaha ya Lucy hata kutokwa na machozi ya mamba
iliyozidi kiasi cha kukera pua badala ya kunukia. si shukrani ya dhati.
 Gari letu liliyabinginya masafa polepole  Ana hamu ya afe haraka- Hamu ya kutaka mzee yule
Mdokezo afe ilizidi maradufu. Angemuua lakini aliogopa
 Wimbo-tuhangaike naye … sheria.
Methali Elimu
 Atafutaye hachoki na akichoka keshapata.  Mtazamo finyu kuhusu elimu
 Ya kesho ajua Mungu.  Haiwafaidi watu sana-haimtajirishi mtu
 Ndoa hupangwa binguni. Upotoshaji kuhusu maisha ya ulaya
Kejeli  Habari –pauni 40 hazitoshi kumtunza msafisha choo
 Nilipata tetesi alikataa posa yake kwa kuwa hakuwa kazi ni kung’ang’ania balaa.
na uwezo wa kujilisha mwenyewe seuze binti yake. Uhaba wa kazi
Majazi  Anajua kwamba hapa pao nchi ya firauni siku hizi
 Mzee kadiri-asiye na msimamo. hangepata hata hiyo kazi ya tonge la ugali sikwambii
muluki.
 Amali-kitega uchumi kama kazi.
Ukengeushi
Balagha
 kuolewa na mzee.
 Mimi si yule waliyenikataa kabla sijenda arabuni?
Ubahili
Kweli kinzani
 mtu bahili na mtunzaji kama yeye atazizalisha pauni
 Abu kutajirishwa na kazi ya uhamali.
arobaini ziwe elfu arobaini. (chuku)
Nyimbo
Matumaini/kutokata tamaa
 Wa kwanza-bwana arusi ana majukumu mengi.
©Bw. P.K Mwirigi (mwongozo wa
Damu Nyeusi)
32
 Miaka mingi kupita bila kwenda uingereza lakini  Huyo mwanamume kutoka uingereza atakayekuja
hajakata tamaa kumwoa yeye yuko wapi?
 Alijiaminisha kuwa kila alichokitaka hukipata  Nani atakayetoka uingereza kuja kumwoa yeye?
 Yeye siku moja ataiona London  Vipi Lucy ataingia uingereza?
 Lini ataiona London, hakukata tamaa japo jibu ni  Kama si peponi huko ni wapi?
gumu  Waliosoma anawaona nao wamepata nini?
 Kufa kwa mzee huyo si kuko karibu tu?-wakati
Matumizi ya lugha amechoshwa na siku kusonga polepole.
Uhuishi  Lini angepata nafasi ya kupenya kwenye chungio na
 Alitembea jiji hilo ili kuliambia kwamba msichana kudondokea uingereza?
mbichi na tajiri anakuja ili jiji lijitayarishe Taswira
kumpokea hatimaye.  London barabara zake pana zinazojaa magari na
 Minyororo ya kufungika kwa hamu ya uingereza watu pomoni wanaokwenda na kurudi kike kwa
ilizidi kuufunga moyo wake-tamaa kuzidi kiume vijana na wazee wote waliovaa kifahari na
 Ndoto ya lucy ya miaka mingi kupevuka na kitajiri maduka mengi yaliyopachanapachana
kujikopoa nje ya akili yake, kuiona imesimama ambayo hujaa bidhaa za kila aina.
mbele yake kwa dhahiri Mdokezo
 Jiko la chini na juu linamwambia mwenzake asogee  Muziki na hasa madisko na sinema…
huko  Pumzi zinanisonga…Crusoe ana ugonjwa
 Huku akiacha tabasamu yake imemganda mzungu  Mtaji mkubwa… unaohitajika mtu awe nao kama
moyoni mwake anaenda kusoma
 Kiu ya kuenda London ilikuja kumkaa mioni(kooni)  Kesho kutwa…waende kwa wakili akaandikishwe
ikamchagiza kama vile kiu ya mtu aliyekuwa utajiri wote wa Crusoe
akisafiri Jangwani kwa miaka mingi bila kugundua  Akajiona…la hapana…kutoamini angerithi mali
maji yote ya Crusoe.
Tashbihi Sitiari
 Kiu ya kuenda London ilikuja kumkaa mioni(kooni)  Tama ya kwenda London kuitwa kiu
ikamchagiza kama vile kiu ya mtu aliyekuwa  Wewe umegeuka sungura aliyezikosa zabibu
akisafiri jangwani kwa miaka mingi bila kugundua  Ni peponi-uingereza
maji  Eti wanaiita jahanamu-wanaoharibia uingereza jina
 Lakini wakishafanya hivyo humpita kama upepo wa Mbinu rejeshi
kibunga na kumwacha yeye mgonjwa wa tamaa  Juzi amemaliza shule ya upili ya juu yaani kidato
 Nguo na mavazi aliyonunuliwa juzijuzi ni kama cha sita lakini hakufaulu vizuri
aliyonunuliwa mwaka mzima  Hakujali kutofaulu vizuri kwa sababu hakuwa na
Utohozi hamu ya masomo. Hataki riziki kama waliosoma
 Sinema/filamu-alikokuwa akiona Wingereza ataka muluki-mali nyingi.
 Pauni arobaini kwa wiki-mshahara wa mkimbizi Nahau
uingereza wa juma.  Kazi yake lucy ni kumkanda na kumsinga mafuta
 Televisheni, friji-miongoni mwa vifaa ambavyo lucy mafuta na mafuta ya mgongo wa chupa -unafiki
amesikia wakimbizi hupewa na serikali Takriri
 Picha zinazotembea-katika filamu  Siku ingia siku toka miezi pita miezi rejea-muda
Kuchanganya ndimi mrefu kupita bila kufanikiwa kwenda Uingereza
 Squares-viwanja vya nafasi huko Chuku
 Love in London-mchezo uliokuwa ukionyeshwa  Lucy kumtunza Crusoe mara mbili kama si tatu ya
katika filamu zamani-asikose urithi maana akaribia kufa
Balagha  Kumwacha yeye mgonjwa wa tamaa
 Kuonyesha ulaghai watu wanaotumia kuingilia  Nguo alizonunuliwa juzijuzi tu ni kama
mataifa ya magharibi. alizonunuliwa mwaka mzima
 Ajifanye mgonjwa mahututi na maradhi yake  Viatu havina idadi
hayatibiki hapa pao?  Hawezi hata kutema mate mzee wa watu
 Ajifanye anakwenda kusoma?
 Tokea lini mtalii mifuko yake iwe mitupu?
©Bw. P.K Mwirigi (mwongozo wa
Damu Nyeusi)
33
 Mtu bahili na mtunzaji kama yeye atazizalisha pauni  Nimebaini nimekosa mwisho wa kosa
arobaini ziwe elfu arobaini.  Katika vita baina ya ubaya na wema, wema daima
Sadfa hushinda
 Lucy kuwa na tamaa ya kwenda Uingereza  Angemlipa maovu aliyomfanyia-fidia kwa kumpa
kusadifiana na Crusoe kutokea na kumsaidia kwenda nyumba ya kifahari
huko-akipanda ngazi kuelekea sinema.  Kujitolea kumwelimisha Mwakitawa mpaka afike
 Akamwahidi angempa zawadi baada ya sinema kwa alikotaka
kumzuia asianguke anaposhikwa na ugonjwa-  Wakili amtafute
(shukrani, ukarimu)  Atie sahihi makubliano-kufuata hatua za kisheria
 Lucy kuahidiwa kuandikishwa mali na anapoenda Ufarikishaji
mjini hakurudi tena. Kupata ajali na kupoteza roho  Kuzuia Mwakitawa wakutane na mamake kudai ni
yake na maiti kuhifadhiwa katika chumba cha adui na amepanga kumteka nyara adai pesa
kuhifadhia maiti. 2,000,000 amwachilie
Misemo  Asipomlipa atamuua
 Watasema mchana na usiku watalala-hawawezi  Achezee nyumbani
kumwathiri  Akampa silaha-kisu na manati
 Mafuta ya mgongo wa chupa –kujifanya anampenda Adhabu/kisasi kwa maovu
 Mapenzi ya kurambishwa asali moja kwa moja  Mwatela kufutwa kazi kwa ulevi
kutoka sega la asali.  Mtoto wake kufa
 Kupaka rangi mbaya uingereza-kuienezea sifa  Mkewe kuchomeka
mbaya  Kulipa fidia
Tafsida
 Kuugua
 Angemlaza-angemuua Crusoe
 kufa
 Hawezi kumchangamsha kwa namna yoyote Ulevi na athari zake
 Ndiyo ni mwanamume asiye na nguvu ya aina  Kupiga mkewe na kusababisha nyumba yake kukosa
yoyote lakini ana utajiri amani
Kinaya
 Kumbaka yaya wake au kutokuwa mwaminifu
 Crusoe kumshukuru Lucy akidai hajapata kumwona katika ndoa/kwa mkewe
mwanamke mwenye imani kama yeye
 Kufutwa kazi
 Ana bahati kuliko wazee wote wenye umri kama Dhuluma dhidi ya wanawake
wake kukutana na msichana mwenye huruma kama
 Kananda kubakwa
yeye
 Kulaghaiwa
 Kutamaani Crusoe afe haraka kumbe ndiye
 Kutoroshwa nchi yake
anatangulia na ndoto yake kushindikana
Taharuki  Kunyang’anywa mtoto
 Baada ya Lucy kufa nani alirithi mali ya Crusoe?  Kuoza bila hiari kwa mtu asiyempenda
 Alizikwa wapi?  Kuuzwa utumwani
Migogoro
 Siri kwmba hakumpenda Crusoe ilijulikana au
alikwenda nayo kaburini ?  Kupiga mkewe wakati wa ugomvi
 Basi mwite mwakitawa sasa hivi na umwambie
ukweli kwamba alikuwa anaua mama yake mzazi
12.Mwana wa darubini Ubwana na utwana
 Kananda kuomba asaidiwe na darubini kwa  Bwana na bibi Mwatela walimwajiri Kananda kama
kutoweza kukaribia nyumba ya Mwatela amuone yaya
Mwakitawa Umaskini na athari zake
 Kujiridhisha nafsi yake kwa kumwangalia mtoto  Wazazi wa Kananda walikuwa miongoni mwa akina
wake pangu pakavu waliokuwwa umma mkubwa nchini
 Kananda kumwita mwanawe mwana wa darubini  Wazazi wa Kananda kushindwa kumpeleka shuleni
Maudhui  Kusababisha kananda aendelee kufanya kazi kwa
Utambuaji wa makosa na toba Mwatela na kumsababishia madhila
 Mwatela kumwandikia Kananda barua ya  Kushindwa kusaidia Kananda kudai haki kupitia
kumwomba msamaha vyombo vya sheria
©Bw. P.K Mwirigi (mwongozo wa
Damu Nyeusi)
34
Imani kwa Mungu Udanganyifu na athari zake
 Kananda kuendelea kumwomba Mungu siku moja  Nusura Mwakitawa amuue mama yake kwa
amwonee huruma amkutanishe na mwanawe kumdanganya ni adui
 Aliamini siku moja Mungu angemkutanisha na  Mwatela kuishi kwa wasiwasi akihofia angejulikana
mwanawe  Ugonjwa wa shinikizo la damu kwa kuwaza sana
Mapenzi ya dhati namna ya kuficha ukweli
 Kananda kwa mwanawe  Kulazimika kulipa fidia Kananda kwa yote
 Kujitahidi kumtafuta aliyomtendea
 Ami yake mbao kusaidia kananda kupata darubini  Mwatela kumkosa mtoto wake wa pekee kwa
 Mwatela kuendelea kumpenda mkewe hata baada ya kutotaka kuishi tena na babake kwa ulaghai
kuchomeka na kuharibika sura aliomfanyia
 Upendo wa maria kwa mumewe kwa kuvumilia  Mtoto kudanganywa mama yake alikufa alipozaliwa
ulevi na uzinifu wake  Mwatela kupeleka ujumbe kwa wazazi wa Kananda
 Kukaa naye hata baada ya kufukuzwa kazi na kuishi kwamba mwanao alitoweka na hakuna aliyejua
kwa shida alikotorokea
 Kumsamehe kwa kuzaa nje ya ndoa  Hakumwoa kananda kama alivyomwahidi
Ujasiri  Amwambie mama Sami mimba ni ya rafiki yake wa
 Kupigania haki ya kumuona mwanawe huko nyumbani kwao.
Subira na ustahimilivu Tanzia
 Kuchukua muda mrefu wa kumwangalia mwanawe  Moto kuua watu watano-watoto wawili na watu
Uoga wazima watatu
 Kumwogopa Mwatela na kuamua kumwangalia  Maria kuchomeka vibaya
mtoto kwa darubini 
Nafasi ya mwanamke katika jamii Matumizi ya Lugha
 Maria ni mkombozi Mbinu rejeshi
 Ni punda wa huduma  Kananda alizaliwa wakati wa enzi ya ukoloni nchini
 Ni jasiri Kenya
 Hakati tama  Uhuru ukitangazwa alikuwa na umri wa miaka kumi
 Ni chombo cha mwanamume cha kujiburudisha na mine
 Amenyimwa elimu  Wazazi wa kananda walikuwa maskini na
 Ana sauti/usemi hawakuweza kumsomesha alikaa nyumbani
 Mvumilivu  Jioni ulevi ulimtuma Mwatela kumtia doa Kananda
 msamehevu  Usiku Kananda alipata maumivu ya kujifungua
Ukarimu uliotokea mkaza wa moto
 Mbao kujitolea kuuza kuku na mbuzi ili kupata pesa Utumwa
za kumnunulia Kananda darubini-kujali maslahi ya  Dereva kuishi na Kananda kwa miezi kadha kabla ya
wengine kumuuza kama mtumwa kwa mtu mwingine
Bidii Nahau
 Mwatela kuanza biashara na kutajirika  Alipanga njama ya kinyama-kumnyang’anya
Ukweli kananda mtoto na kupanga na dereva wa malori
 Maria kumwambia Mwakitawa ukweli kuhusu makubwa ya Kongo amchukue amfanye mkewe
mamake  Kumtia moyo-kumletea habari za kumpa matumaini
Ujirani mwema ya kumpata mtoto wake kuwa mwatela alihamia
 Jiraniye Mwatela kumshauri kupiga ripoti polisi Mombasa na mwanao
kuhusu mama mwenye darubini  Yu hali mahututi-aliporudi kutoka hospitalini
Mabadiliko  Nitakutoa roho-angemuua angemwambia mke wake
 Mwatela kufutwa kazi  Kumtia doa Kananda-kumbaka mkewe
 Kuacha ulevi na kuanza biashara ya uvuvi na kuuza alipotembelea wazazi wake
samaki  Kichapo cha mbwa-kikali
 Kutajirika  Jaribio la mama Sami kujiokoa liligonga mwamba-
 Mkewe kuwa mwalimu lilishindwa
 Walifurahi ghaya
©Bw. P.K Mwirigi (mwongozo wa
Damu Nyeusi)
35
 Hasira za mkizi-zinazomletea mtu hasara Tabaini
 Wazazi wake walikuwa miongoni mwa akina pangu  Wazazi wa kananda wakisaidiwa na mbao waliuza
pakavu waliokuwwa umma mkubwa nchini-maskini vitu vidogovidogo si mbuzi si kuku ili wapate pesa
hangeweza kusomeshwa kwa sababu ya uchochole za kununulia darubini
wao alikaa nyumbani Taharuki
 Bwana mwatela alipenda kuchapa mtindi-kunywa  Mwakitawa alipotoweka kwa siku nne alikuwa
pombe wapi?
 Wazazi wa kananda walifurahi ghaya -sana hadi  Mama angepona baada ya kuchomeka vibaya?
upeo wa furaha  Mwatela kweli angemuoa?
Kuchanganya ndimi  Wangefaulu kupata darubini?
 Kampuni ya simba breweries-anakofanya kazi  Kananda angefaulu kumtoa mwanawe mikononi
Mwatela mwa Mwatela?
 Oh my god! Mwakitawa! Mwakitawa! Njoo haraka Nidaha
baba yu taabani!  Mariaa! Kwani hungeweza kusubiri nitoke
 Benjamin, please don’t die hospitalini nimwambie mimi mwenyewe?
Utohozi  Oh my god! Mwakitawa! Mwakitawa! Njoo haraka
 Kampuni baba yu taabani!
Misemo  Benjamin, please don’t die
 Kweli mungu hamtupi mja wake Methali
 Hulka ya mtu haifichiki kwa muda mrefu.  Mungu si athumani
 Kumbe ile asali chungu ilizaa karaha-mimba Taharuki
 Kananda alilala maskini akaamka tajiri  Mwisho wa Mwatela ulikuwaje?
 Kumbe maisha ni fumbo-barua kwa kananda  Je alipata mtoto mwingine au alikufa bila mtoto?
Tashhisi  Mwatela na maria walihamia wapi baada ya
 Jioni ya siku hiyo ulevi wa mwatela ulimtuma kumkabidhi kananda nyumba?
kumtia doa kananda
 Ulevi huu ulimpeleka bwana Mwatela katika ngazi
nyingine-kumchokoza kananda kwa kumtaka
mapenzi
13.Mizizi na matawi
 Sitiari-mtoto asiye na wazazi wawili hupata shida
 Kimya chake kikawa kinamchoma ndani kwa ndani
kama vile miti hupata ikikosa mizizi na matawi
Chuku
 Watu huweza kupoteza mizizi na matawi yao lakini
 Alilia usiku na mchana
bado akabaki mtu
Balagha
 Mama Sudi alikuwa ni mizizi na baba Sudi alikuwa
 Uniulie nini na ndoa yetu na wewe inamhusu pia
ni matawi
yeye?
Maudhui
 Nilikuwa namuua mama yangu?
Nafasi ya mwanamke
 Mamangu yupi?
 Mlezi mzuri-mama Sudi kumpa malezi mazuri
 Nimuue kwa nini?
 Mpatanishi
 Ungemwambia ukweli upi isipokuwa ule Athari ya maisha yasiyo ya uadilifu ujanani
niliomwambia?
 Mimba nje ya ndoa
Uzungumzi nafsia
 Kutupa mtoto
 Mbona Benjamini Mwatela aliniambia mama yake
 Kuteseka kwa kumkosa mtoto-umaskini kwa kukosa
Mwakitawa alifariki?
msaidizi
Sadfa
 Athari za kisaikolojia
 Usiku mmoja wa manane kananda kupatwa na
Upatanishi
maumivu ya kujifungua na usiku uo huo moto
kuzuka katika nyumba ya jirani ukaenezwa na upepo  Sudi mwanangu naomba usahau yote yaliyopita
na nyumba ya mwatela na kuangamiza mtoto na umpokee Bi. Kudura uwe naye kwa hali na mali
kumchoma mama vibaya. kuliko hata vile ulivyokaa na mimi-hana ubinafsi
(mkweli)
 Mwatela kupelekwa hospitalini alikokuwa amelazwa
Anasa/starehe na athari zake
kananda
 Sudi ana wapenzi kadha-Waridi na Ridhaa
 Mwakitawa kutoweka kwa siku nne
©Bw. P.K Mwirigi (mwongozo wa
Damu Nyeusi)
36
 Mamake halisi Bi. kudura alimtupa ili aendelee na Nahau/misemo
anasa  Yaliyopita huwa yamepita nasi huwa hatuna uwezo
Udanganyifu wa kuyarejesha.
 Sudi kuitwa jina lisilo na uhusiano na la babake wala  Dunia kuna mambo na katika hayo mambo kuna
ukoo wake majambo-maajabu
 Kumdanganya babake ni Sudi bin Abdalla  Mamake alikwisha mtengenezea kiamsha kinywa-
 Vile walioana kwa mapenzi makubwa chakula au kinywaji cha asubuhi
 Vile alifariki  Hunipeleka mbali ya siku zile za asali na maziwa.
 Uongo wa mamake ulibainika-njia ya mwongo ni  Ndio Kudura huja tukaondoka-tunazaliwa na kufa
fupi  Mahali pa kuweka ubavu-Sudi mamake awe akimpa
Ukarimu mtumishi mahali pa kulala
 Kumwokota na kumlea  Atauliza tu ajue moja-mbivu au mbichi-ukweli na
 Kutokana na ukarimu wa sudi wa kumwajiri Bi. uongo wa mambo
Kudura anakuja kumpata mamake halisi.  Kukata tamaa-kupoteza matumaini ya
Heshima kumjua/kumwona babake
 Sudi hakutaka kumtuma kudura kwa kumwona  Suti aliyovaa ilimtoa akatoka
amemzidi umri  Mapenzi yangu kwake yakazidi mno tangu
Umuhimu wa mtoto alipoingia ndani-yaani aliponioa
 Ukitaka kujua hasara za kukosa mtoto tazama faida  Ndipo nami nikampenda kufa na kupona
za mwenye mtoto  Tukapendana kwa moyo mmoja
Utambuaji wa makosa na kutubu  Kuna kupata na vile vile kukosa
 Anamuomba Mungu amsamehe  Ajue asili na fasili yake-alitaka kumjua babake
Elimu  Kupiga deki
 Sudi kusomea shahada ya juu ya udaktari wa sheria Mdokezo
nchini moja ulaya  Ndiyo…maana hata mwenyewe hakuwa na uhakika
Heshima/mapenzi kwa wazazi na uhakika wa jina Lake.
 Kumwajiria mtumishi  Basi akawa akiitwa Sudi … Sudi Abdalla
Methali
Matumizi ya lugha  Kipendwacho hakidumu
Balagha  Damu iliyo daima nzito kuliko maji
 Nani?-hakuna aliyekosa kujua kuhusu mapenzi yao  Nguvu za maji ni mawe mlimwengu ni mwanawe
 Bila shaka ungemuita asingekataa kuitika na kwa  Kuvyaa kupoma-mamake kukumbuka kauli ya
nini akatae? wahenga
 Mara ngapi Sudi amekuwa akimuuliza mama yake  Mungu akuwekavyo ndivyo ukaavyo-majaaliwa
habari za baba yake?
 Mungu akikupa kilema hukupa na mwendo
 Mwanangu tangu lini kipwendacho kikadumu? Tashbihi
 Inakuwaje mtu akiambiwa yeye ni kiumbe wa  Sudi alikuwa anamuona babake sawa na mhusika wa
kuokotwa? hadithini-kwa mawazo tu
 Husimamaje?  Kila siku n’na jambo n’nataka n’kuulize lakini ulimi
 Huendaje katika dunia ya masuto na nazaa matusi mzito kama nanga
aibu na fedheha?  Nilimlea mwenyewe naye akakua kama mgomba
 Atafayaje Sudi?  Wote wakalizana kama waliofiwa
 Furaha yangu itoke wapi tena?  Kwa sudi maneno hayo yalikuwa msumeno butu
 Kwa nini mama yake amfiche? unaokeketa kwa maumivu makali-yakimchoma sana
 Kwa nini asimwambie ukweli?  Mama mtu hujaribu kumtuliza na sudi hutulia japo si
 Au apige moyo konde afichue siri?-ajikaze kufanya kama maji ya mtungi-hatulii kabisa
jambo gumu-kusema ukweli Takriri
 Hapa alipo mayai yamemuisha mtoto angetoka  Maneno yake daima yalikuwa hayo hayo
wapi?  Abdalla baba yako-Abdalla bin Sudi
 Angemuambia tu mwenyewe akajua maana kama Mbinu rejeshi
uharamu utakuwa wa mtoto, kosa la nani?  Mamake hakufanikiwa kupata mtoto
©Bw. P.K Mwirigi (mwongozo wa
Damu Nyeusi)
37
 Mungu akampa mtoto mzuri wa kiume kwenye pipa  Easter get together-karamu ya siku kuu ya pasaka
la taka  Karamu ilifanyika katika hoteli ya royal palm
 Akashukuru mungu Anasa/starehe
 Akamlea vizuri  Ukumbi ulivuma kwa mtu na muziki, seuze
 Akakua kama mgomba, mnazi unachelewa machupa ya soda bia mvinyo na vinywaji vingine
 Akamsomesha kemkem?
 Mtumishi kusimulia kuhusu mtoto aliyemzaa nje ya  Watu wawili wawili mwanamume na mwanamke
ndoa Utohozi
 Alikitumbukiza katika pipa la taka  Bosi-Bi. Kudura anavyomwita mama Sudi.
 Sudi kukumbuka karamu ya siku kuu ya pasaka jinsi  Tibirinzi-Tea Breeze-anasa-wacheza ngoma watoto
walivyokuwa na Waridi kutoka Afrika Kusini- kustarehe kwa bembea treni farasi n.k.
Gaboron  Walevi madensi madisco
Chuku Tanakuzi
 Sudi alikuwa amewaniwa na kila mwanamke  Sudi na Radhia Tea Breeze Wakatazamana na
 Dunia yote ikawa yao na kila mtu ametosheka kufurahi palipofurahisha wakahuzunika
 Tokea kifaranga hadi kuku kila mtu alijua kuhusu palipohuzunisha
mapenzi ya mamake na babake  Mlikuwa mseto wa furaha na huzuni
 Baba yako alinipenda bila ya kikomo Koja
 Tangu hapo nikawa mkiwa tena wa maisha  Yeye atakuwa akikusaidia kazi zako zote za
Tashhisi nyumba-kupika, kufagia, kupiga deki (kupangusa na
 Msiba mkubwa ukainiangukia-kifo cha mmewe kusafisha sakafu, kufua na kila kitu.
bandia Tanakali
 Mkonyezo ulikoleza hamu katika noyo za vijana  Kauli yake haikutoka ng’o-mamake Sudi kwa
hata wasipate kukumbuka kilichowaleta ughaibuni kusikia kuhusu mtoto wa mtumishi anashindwa
 vyote hivyo vikaonekana kushiriki kikamilifu katika kusema
dhifa ile  Sadfa
 Sudi alipiga gari lake moto na taratibu likatambaa Sudi kumpa Kudura ajira bila kujua na kutokea kuwa
na kuanza kuyabungunya masafa kuelekea ndiye mamake
lilikokusudiwa Tabaini
 Tea breeze-walevi walikuwa wakizungumza na  Si sudi, si bimkubwa na wala si Kudura
chupa zao za pombe Taharuki
 Mara Sudi akalipiga mkwaju-alielekea na gari  Sudi alisemaje baada ya kufahamu mamake halisi?
likatimka kuelekea benki  Alimkubali mamake aliyemtupa?
 Ndipo kudura ilipomsaka na kumshika mkono na  Alimkubalia mamake mlezi aondoke?
kisha kumuongoza hadi ilipo damu yake. Takriri
 Dunia ina rai zake  Basi watu walicheza mpaka wakacheza tena
 Kwa yule mtumishi wao yalimchoma kwa woga na wakafurahi na wapenzi wao hata wakasahau
wasiwasi matatizo yao
 Bado nguvu ya shetani ikimtonesha kwa
kumwambia mambo yangekuwa mazuri kama
angekuwa na yai lake mwenyewe
 Siku hazikusimama-zilikutwa zikachwa na maisha
yakapungua na kuyoyoma
 Alimkuta radhia ambaye alikuwa kachoka
kugombana na wakati-kumngojea
Taswira
 Sudi alikuwa kijana mwembamba, mrefu kwa kimo
chake, mtanashati
 Suti aliyovaa ilimtoa akatoka
Kuchanganya ndimi
 wasichana kumuita handsome

©Bw. P.K Mwirigi (mwongozo wa


Damu Nyeusi)

You might also like