Professional Documents
Culture Documents
MaaNa Ya Al
MaaNa Ya Al
{Yeye Ndiye Mwenyezi Mungu Ambaye Hakuna Aabudiwaye Kwa Haki Isipokuwa Yeye Tu} (Al-Hashr:22)
Hli Ndilo Neno La Tawhiid Ya Kweli Kabisa, Ambayo Ndio Faradhi Kubwa Zaidi Aliyo Faradhisha Allah Kwa
Waja Wake, Nayo Katika Dini Ni Kama Kichwa Kwa Mwili.
Ya Kwanza: Kukanusha Uungu WA Hakika Kwa Asiye Kuwa Allah Mwenye Nguvu Na Utukufu.
Ya Pili: Kuthibitisha Uungu WA Hakika Kwa Allah Mwenye Nguvu Na Utukufu Peke Yake.