You are on page 1of 1

[ ] Kwanza usiku nlikuwa Natoma biblia na kuitafakari ,,nikapitiwa na usingizi na

kulala bila kuomba mpk saa hv saa sab natobo hvi,,ni.eota nipo hospitalini na kuna
watoto kadhaa waliokuwa wakizaliwa ila sioni mama zao ila naona watoto wachanga
waliotoka tumboni mwa mama zao Wikipitia mikononi mwangu na walikuwa wakipita huku
wakiwa bado na umblical cord bado kwenye kitovu mm sina kisu na wengine wakiwemo
manes wapo kwenye dirisha wananiangalia mm na kunielekeza mimi ili niwakate vitovu
wale watoto vzr kuna ambao badhadhi niliwakata haraka nikawatenga ,kuna ambao
sikufanikiwa ,,kuna ambao niliwakata vibaya hawakukatila vizuri,mana sikuwa na
ujuzi na mm nilikuwa naogopa na nawalalamikia wenzangu(namlalamikia baba )wakat
mwingine kisu kiliniteleza mkononi sabb ya ujuzi ,wale watoto wakaisha akaja sasa
nesi akawa anakuja kukagua uhai wa watoto wale wote kama kuna ambao wamekufa au
la ,,mana nilikuwa nikiwakata wanatengwa wanawekwa sehem moja Alf mwishon ndo
wanakuja kukaguliwa Kati ya hao kama kuna ambae kafa ili wamtoe ,,Ndoto ikaishia
hapo nesi a anakagua na mwingne kama wote ni Hai au la

You might also like