Professional Documents
Culture Documents
Wafu..Biblia Na Qur An'.
Wafu..Biblia Na Qur An'.
2. Wahindu huamini kuwa mtu akifa roho hutoka na kwenda kwa maji / bwawa/
na endapo ng’ombe akija kuyanywa ndipo hupata mimba na kuzaa ndama
ambaye huendeleza maisha ya mtu aliye kufa.
Eg: hilo ndiyo limezaa tamko la kusema heri kuzaliwa mbwa Ulaya.
3. Waislam – wao huamini kuwa mtu akifa anasikia lakini hushindwa kujieleza
na pia anapokuwa kaburini, malaika mwenye kirungu huja na kumuuliza
maswali na endapo hatojibu maswali hayo ipasavyo atapigwa virungu
mpaka ardhi ya saba.
Uchambuzi wa mada.
Mwanadamu nini?
Hivyo kuonja mauti kwa nafsi humaanisha kukoma kwa pumzi ya uhai – maana
ni kwa hiyo pumzi ndipo hupatikana nafsi hai.
Maandiko hayo yanaonesha kuwa kamwe mtu aliyekufa hawezi kusikia,kwakuwa kwanza
mawazo yake {hali ya upambanuzi hupotea},pia sehemu nyingine ya maandiko upande wa
Qur an unaonesha juu ya mtazamo kuhusu kifo….