Professional Documents
Culture Documents
Nishani Ya Amphibia
Nishani Ya Amphibia
Utangulizi
• Amphibia ni nani?
Amphibia ni viumbe wenye uti wa
mgongo na walio na uwezo wa kuishi
Nishani ya Amphibia. majini na nchi kavu
• Kundi hili limetawaliwa sana na vyura
Nishani hii ipo katika kundi la viumbe vya asili, wakubwa(Frogs) na vyura
huwakilishwa kwa rangi nyeupe
wadogo(Toads), pamoja na baadhi ya
viumbe wengine wadogowadogo
9 10
12
Hyla versicolor (Grey Tree Frog) Hyla versicolor (Grey Tree Frog)
• Vyura hawa huishi kwenye sehemu zenye miti, • Vyura hawa hupatikana sehemu nyingi sana za
na mahali penye chanzo cha maji cha kudumu. ulimwengu, hasa bara la Amerika ya kaskazini.
• Katika kipindi cha mvua, hukaa pembezoni mwa • Kwa Tanzania hupatikana sehemu zenye misitu
dimbwi wakati wa jioni na kuanza kupiga kelele, na maji ya kutosha mfano Mbeya na Iringa
maana wao hupendelea giza.
• Vyura hawa hula wadudu.
• Hutaga mayai na kuzaliana sana wakati wa Vuli
na masika.
17 18
21 22
23 24
25 26
27 28
29