You are on page 1of 2

mabwawa ya kufugia na kutoka bwawani panda nyasi (ukoka)

samaki kirahisi; kuzuia mmomonyoko;


iv. pasiwe na miti mingi ix.bwawa liwe na upande
ambayo mizizi yake wenye kina kirefu cha
itapenya hadi kwenye maji (sentimita120) kwa
JAMHURI YA 1.0 UTANGULIZI tuta la bwawa na ajili ya kutoa maji na
MUUNGANO WA Ufugaji wa samaki ni kusababisha uharibifu; upande wenye kina kifupi
TANZANIA miongoni mwa tasnia v. kuwe na urahisi wa (sentimita 100) kwa ajili
inayopewa kipaumbele kufanya ulinzi dhidi ya ya kuingiza maji.
WIZARA YA MIFUGO NA na jamii mbalimbali hapa maadui wa samaki. x.weka chujio ili kuzuia
UVUVI nchini, kwa kuwa inatoa vijidudu na takataka
fursa za kuongeza 3.0 Uchimbaji wa kuingia bwawani.
IDARA YA UKUZAJI kipato, lishe na ajira. bwawa
VIUMBE KWENYE MAJI Ufugaji wa samaki i. pima eneo la bwawa na 4.0 Kujaza maji na
huweza kufanywa simika miti (mambo) kupandikiza vifaranga
sambamba na kilimo, kwenye kila kingo ili i. Bwawa likijaa maji
MBINU BORA ZA
hususani cha bustani na kutengeneza umbo la pandikiza vifaranga kwa
UFUGAJI SAMAKI
ufugaji wa wanyama. mstatili au mraba; kuzingatia idadi
KWENYE MABWAWA YA
Ufugaji wa samaki ii.safisha eneo hilo kwa inayotakiwa kulingana na
KUCHIMBA
huweza kufanyika kwa kufyeka majani, kung`oa ukubwa wa bwawa na
lengo la kujikimu katika mizizi na kuondoa mawe mfumo wa ufugaji ili
ngazi ya familia na ili kudhibiti uwezekano kuhahikikisha samaki
kibiashara. wa maji kunywea. wanapata chakula na
iii.chimba udongo na hewa ya kutosha;
2.0 Hatua muhimu: - kuuweka nje ya kamba ii. Wakati wa kupandikiza,
kuchagua eneo linalofaa zilizofungwa kwenye ruhusu vifaranga viingie
kwa ufugaji samaki, mambo; bwawani vyenyewe bila
samaki aina ya sato inashauriwa eneo liwe vi.tengeneza matuta kwa kumwagwa ili wazoee
na:- kutumia udongo mazingira na kutowapa
i. maji salama, kuaminika uliochimbwa; mshituko.
na ya kutosha; vii.shindilia udongo kwenye Angalizo: nunua
ii. udongo usioruhusu matuta ili kuyaimarisha vifaranga vya samaki
maji kunywea kirahisi yasivujishe maji; kutoka kwenye vituo
kama wa mfinyanzi; viii.matuta yanatakiwa yawe vyenye uwezo wa
iii. mwinuko kiasi ili na mlalo au mteremko kuzalisha vifaranga bora.
kuruhusu maji kuingia kama paa la nyumba na

1
5.0 Kurutubisha maji Baadhi ya njia za i. safisha bwawa kwa E-mail:
i. Tengeneza sehemu ya kudhibiti maadui hawa ni kuondoa tope, ziba barua@mifugouvuvi.go.t
kuweka mbolea (uwigo) pamoja na marekebisho nyufa, rekebisha kuta ili z
ndani ya bwawa kwa ya kuta na kufyeka kuliimarisha;
kutumia vijiti (fito) majani yanayozunguka ii. acha bwawa likauke
zilizoimarishwa kwa kamba; bwawa na kata miti baada ya kuvuna
ii. rutubisha kwa kutumia mirefu iliyo karibu na samaki; Kwa ufafanuzi zaidi
samadi za wanyama kama bwawa. iii. fyeka nyasi wasiliana nasi kupitia:
ng`ombe, mbuzi, kondoo, zinazozunguka bwawa;
sungura, bata, kuku na 8.0 Mambo ya iv. fanya maandalizi ya Idara ya Ukuzaji Viumbe
mboji; kuzingatia kupata vifaranga vyenye Maji,
iii. hakikisha uwigo una i. punguza idadi ya ubora kwa ajili ya S.L.P 2847,
mbolea wakati wote vifaranga vinapozidi; kupandikiza kwa msimu 40487 Dodoma
kulingana na mahitaji ya ii.ongeza mbolea kadri utakaofuata; Simu: +255
maji kwenye bwawa. inavyohitajika; (0)769220212
iii.chunguza afya ya 11.0 Soko la samaki Nukushi: +255
6.0 Ulishaji wa samaki samaki kwa kuangalia Sehemu ya samaki (0)2861908
Kwa kawaida, samaki hula uchangamfu wa samaki, wanaofugwa huliwa na E-mail:
chakula cha asili hususani wakati familia husika na ziada barua@uvuvi.go.tz
kinachozalishwa kwenye wanapolishwa ili kudhibiti huuzwa. Hata hivyo
bwawa lililo rutubishwa. magonjwa mapema; samaki wanaweza
Kwa uzalishaji wenye tija, iv.ongeza maji mara kuuzwa soko la mbali
inashauriwa kuwalisha yanapopungua; kulingana na biashara
chakula cha ziada ilivyoshamiri pamoja na
kilichotengenezwa kwa ajili 9.0 Kuvua samaki wingi wa mavuno;
ya kulisha samaki. Walishe Samaki huweza kuvuliwa
samaki wako kulingana na wakati wowote kulingana Kwa mawasiliano:
mahitaji (aina na umri). na mahitaji ya mfugaji au
Kwa ukuaji mzuri, samaki mteja. Kuna njia nyingi KATIBU MKUU (UVUVI),
walishwe angalau mara za kuvua samaki mfano, WIZARA YA MIFUGO
mbili kwa siku. ndoano, wavu na NA UVUVI,
kupunguza au kukausha S.L.P 2847,
8.0 Maadui wa samaki maji. 40487 DODOMA
Baadhi ya maadui ni Simu: +255 22
pamoja na kenge, nyoka, 10.0 Kazi muhimu 2860470/1
vyura, fisi maji, ndege baada ya kuvua Nukushi: +255 22
pamoja na binadamu. samaki: 2860472
2

You might also like