Professional Documents
Culture Documents
Shina La Ukoo Na Urithi - Docx 1
Shina La Ukoo Na Urithi - Docx 1
na Harani) na
akazaliwa Ishmael
Yakobo akamuoa Lea na Rahel (rahel akawa tasa na ni mrembo) na siyo Lea
Esau akaoa mkaanani akaleta uchungu ndani ya nafsi ya wazazi wake
(Mungu aliweka agano na Abraham kwamba wasije wakaoa wakaanani)
Lea akapewa uwezo wa kuzaa hata kama ana sura mbaya.(akamzaa Reuben, simeoni,
lawi na Yuda) kila aliyezaliwa isipokuwa Yuda , lea anasema ili Yakobo mumewe
ampende (yaani kamsahau Mungu) na Yuda ndipo aliposema nitamsifu Bwana
Rahel anaruhusu Yakobo azae na kijakazi wake Bilha ili apate uzao
Kwa kumlilia Mungu Rahel akapata mimba akamzaa Yusufu.
Lea naye anaruhusu kijakazi wake zilpa aanze kuzaa na mumewe yakobo
(wanashindana kuzaa sasa) , wivu, tamaa, upendo unakosekana ndani ya hizi
familia
Katika hili reubeni akalala na kijakazi wa aliyewahi kuzaa na baba yake yakobo
(yakobo akamlaani) akapoteza pia nafasi yake ya uzaliwa wa kwanza.
Yuda anazini na mkwewe tamari akijua ni kahaba wa mitaani na anazaliwa zera na
pelesi
(wanagombana tumboni)
Mkono wa Mungu unakuwa mzito juu ya Eri na onani kwa maana wametenda
maovu mbele za Bwana
LABDA NIKUACHE HAPA KWA YUDA , SASA TUANGALIE MAMBO
YALIYOMO NDANI YA KIZAZI HIKI:
A.
Utasa
B.
C.
D.
wivu na tama
E.
Uchungu
F.
Hasira
G.
Laana
kutoa sadaka
ibada na kusali(misa