Professional Documents
Culture Documents
Maswali Ya Nguu Za Jadi
Maswali Ya Nguu Za Jadi
EMAIL:toplightpublisherskenya@gmail.com
19. Eleza namna haki za wahusika mbalimbali zimekiukwa katika riwaya ya Nguu za Jadi.(al.20)
21..Fafanua jinsi wahusika mbalimbali wamedhihirisha mapenzi katika riwaya ya Nguu za Jadi.(al.20)
25. “Mwanamke ana nafasi kubwa kiujenga jamii yake". Jadili kwa kurejelea riwaya ya Nguu za
Jadi.(al.20)
26. Kwa kurejelea riwaya ya Nguu za Jadi, onyesha jinsi mwanamke amechangia kuilemaza jamii
yake.(al.20)
28. “Jamii imempa mwanamme nafasi bora kulikomwanamke Thibitisha kwa kurejelea riwaya ya nguu
za jadi.(al20)
29.Fafanua madhara/athari za ulevi katika jamii kwa kurejelea riwaya ya Nguu za Jadi.(al.20)
34..Elimu imekumbwa na changamoto tele.Jadili kwa kutolea mifane kutoka riwaya ya Nguu za
Jadi.(al.20)
35. Fafanua namna wahusika mbalimbali wamewajibika kwa kurejelea iwaya ya Nguu za Jadi.(al.20)
36.“Mataifa mengi Barani Afrika yanakumbwa na tatizo la uongozi mbaya”.Jadili kwa kurejelea riwaya
ya Nguu za Jadi.(al.20)
37.Fafanua madhara ya uongozi mbaya kwa kurejelea riwaya ya Nguu za Jadi.(al.20)
38.Mwandishi wa riwaya ya Nguu za Jadi anadhamiria kujenga jamii mpya. Thibitisha.(al.20)
39. binadamu ni viumbe salitiThibitisha kwa kurejelea riwaya ya Nguu za Jadi.(al.20)
(i)Ubaguzi. (al.8)
(ii)Mapendeleo.(al.4)
52.“Utamaduni mkongwe ni kikwazo katika maendeleo ya mwanamke katika jamii" Jadili kwa kutolea
mifano kutoka riwaya va Nguu z Jadi.(al.10)
55. "Unasaba umechochea jmii kutopiga hatua kimaendeleo". Jadili kurejelea riwaya ya Nguu za
58.Eleza uozo uliopo katika jamii kwa kurejelea riwava ya Nguu za Jadi.(al.20)
59. Fafanua jinsi wahusika wanadhihirisha unafiki katika riwaya ya Nguu za jadi.(al.20)
61..“Haki za Watoto kama vizazi vya kesho zimekiukwa" Thibitisha kwa rejelea riwaya ya Nguu za
Jadi.(al.20)
63. Mwandishi wa riwaya ya Nguu za Jadi amewachora wanaumme kama wakombozi wa jamii.
Fafanua.(al.20)
Rejelea nafasi Chanya ya wahusika wa kiume riwayani
64.. Fafanua mbinu -ishi amabazo wahusika katika riwaya ya Nguu za jadi. Wametumia kukabiliana
na madhula yanayowakumba (al.20)
73. Kisa cha kijana mmoja ambaye aliugua ugonjwa wa Pediculosis orporis(uk.131-132)
i) Jinsi kinakuza maudhui(al.10)
(ii) Jinsi kinakuza wahusika(al.10)
i)Jinsi kinakuza maudhui(al.10)
(ii) Jinsi kinakuza wahusika(al.10)
74.. Eleza jinsi mwandishi wa riwaya va Nguu za Jadi ametumia mbity rejeshi katika kazi yake.(al.10)
75.Fafanua matumizi ya davoloiia katika riwava va Nguu za Jadi.(al.20)
(i).Dayolojia kati ya Mangwasha na mumewe mrima .
(ii).Dayalojia kati ya Mangwasha na rafiki yake,Mbungulu.
(iii) Dayolojia kati ya Mangwasha,Sagilu na Chifu Mshabaha.
(iv)Dayalojia zinazomhusisha Lonare
vi) Dayalojia zinazomhusisha Mtemi Lesulia,(uk.78)
Vi)Dayolojia kati ya mashauri na Ngoswe .
Vii) Dayolojia kati ya mtemi lesulia na mwanawe ngoswe (uk.129)
MANGWASHA
PIA TUNA;
➢ MIONGOZO YA: MAPAMBAZUKO,BEMBEA NA NGUU ZA JADI
➢ MASWLI NA MAJIBU YA:
❖ MASWALI NA MAJIBU YA MAPAMPAZUKO YA MACHWEO
❖ MASWALI NA MAJIBU YA BEMBEA YA MAISHA