You are on page 1of 1

‫بسم هللا الرحمن الرحيم‬

MAJAWABU YA MAAGIZO ULIYOTOA.

 HALI YA SASA.

 Kwaupande wangu bado naendelea kusoma mazingira na jamii kwa


ujumla iliyotuzunguka walimu,wanafunzi,na watumishi wote wa Al
mubaaraka Islamic school.
 Kwasababu hiyo bado sijaweza kutafsiri hali ya sasa Zaidi ya tafsiri moja
ambayo kwa sasa kwangu ni nzuri.

 CHANGAMOTO.
 Walimu ni kiigizo chwema kwa wanafunzi na pia ni kivutio cha wateja wetu 70%
ya walimu hawapo simat kimavazi
 Uongeaji wa Kiswahili uliokithiri.
 MAONI.
 Walimu wote wa kiume wajitahidi kuvaa kanzu japo kwa wiki mara 4
 Itakua haina maana sana kumrudisha mwanafunzi kwa ajili ya kanzu muda huo mzazi anamuona
mwalimu hana kanzu.

Wabillahi taufiiq.

You might also like