You are on page 1of 4

WIZARA YA ELIMU

WILAYA YA KARONGI
TARAFA YA MURAMBI
G.S MUHORORO
MPANGILIO WA
MASOMO/2023-2024

SHULE: G.S MUHORORO SOMO: KISWAHILI

KIDATO : CHA TATU JINA LA MWALIMU:DUSINGIZIMANA JEAN BOSCO

MUHULA WA KWANZA
WIKI TAREHE MADA KUU MADA MALENGO YA MAREJEO UPIMAJI
NDOGO KUJIFUNZA MAONI
1 25-29/9 Lugha na Utalii nchini Msamiati, kuunda Kitabu cha
mazingira nchini muhtasari,majadiliano Mwanafunzi.
Rwanda Kitabu cha
mwongozo
wa Mwalimu.
2 2-6/10 Sarufi : matumizi ya Kitabu cha
wakati ya mazoea Mwanafunzi.
katika hali yakinishi na Kitabu cha
hali kanushi mwongozo
wa Mwalimu.
3 09- Lugha na Sikukuu na Dhana, mwongozo wa Kitabu cha
13/10 matukio ya sherehe usomaji wa kalenda Mwanafunzi
kijamii na nchini Kitabu cha
kitaifa Rwanda mwongozo
wa Mwalimu
4&5 16- Kusoma na kutamka Kitabu cha
27/10 tarehe, siku na majina Mwanafunzi
ya miezi Kitabu cha
mwongozo
Kuzingatia katamshi wa Mwalimu
fasaha ya Kiswahili
6 30/10- Sarufi : matumizi Kitabu cha
3/11 sahihi ya wakati Mwanafunzi
uliopita kuhusu Kitabu cha
vitenzi vyenye silabi mwongozo
moja wa Mwalimu
7&8 06- Sarufi : matumizi Kitabu cha
17/11 sahihi ya wakati ujao Mwanafunzi
katika usimulizi wa Kitabu cha
matukio mwongozo
wa Mwalimu
9&10 20/11- Mazoezi kuhusu Kitabu cha
1/12 matumizi ya herufi Mwanafunzi
kubwa na alama Kitabu cha
nyingine za uandishi. mwongozo
wa Mwalimu
11 4-8/12 Marudio

12 11- Mtihani
15/12
13 18- Usahihisho
22/12 wa mtihani

KIDATO CHA TATU


MUHULA WA PILI /2023-2024
WIKI TAREHE MADA KUU MADA MALENGO YA MAREJEO UPIMAJI
NDOGO KUJIFUNZA MAONI
1 8-12/1 Ukuzaji wa Midahalo na Mawasiliano au Muhtasari
matumizi ya mijadala mazungumzo, wa somo la
lugha kuhusu kuongoza au Kiswahili
kimazungumzo shughuli za kuongozwa katika
maendeleo na mdahalo na
uzalishajimali maana mdahalo.
dhidi ya
umaskini
nchini
2 15-19/1 Sarufi : Vivumishi Muhtasari
Aina za vivumishi wa somo la
Kiswahili
3 22-26/1 Aina za vivumishi Muhtasari
wa somo la
Kiswahili
4 29/1-2/2 Aina za vitenzi Muhtasari
wa somo la
Kiswahili
5 5-9/2 Viunganishi :Aina Muhtasari
za viunganishi wa somo la
Kiswahili
6 12-16/2 Vielezi : Aina za Kitabu cha
vielezi Mwanafunzi
Kitabu cha
mwongozo
wa Mwalimu
7 19/2-23/2 Viwakilishi : Aina
za viwakilishi
8 26/2-1/3 Vihisishi : Aina za
vihisishi
4/3-8/3
9 Ufahamu : Kitabu cha
Vifungu vya Mwanafunzi
habari, msamiati Kitabu cha
mwongozo
wa Mwalimu
10 11-15/3 Marudio
11 18-22/3 Mtihani
12 25- Usahihisho wa
29/3/2024 mtihani

KIDATO CHA TATU


MUHULA WA TATU /2023-2024
WIKI TAREHE MADA KUU MADA NDOGO MALENGO YA MAREJEO UPIMAJI
KUJIFUNZA MAONI
1 15-19/04 Uimarishaji Utungaji wa Maana na aina za Muhtasari wa
wa stadi insha insha somo la
uandishi na Kiswahili
masimulizi
kupita lugha
ya Kiswahili
2 22-26/04 Insha Simulizi na Mjadiliano
insha Andishi mengi juu ya
kuelewa vifungu mada na
vyote kwa ujumla kutoa
muhtasari wa
somo
3 29/4- Muongozo wa Kitabu cha
03/05 kutunga incha na Mwanafunzi
sehemu kuu za Kitabu cha
incha mwongozo
wa Mwalimu
4 06-10/03 Mifano ya incha Kitabu cha
tofauti kuhusu Mwanafunzi
adabu, ubaya, Kitabu cha
uvivu,… mwongozo
wa Mwalimu
5 13-17/05 Matumizi ya Kitabu cha
lugha : matumizi Mwanafunzi
ya majina ya ngeli Kitabu cha
U-ZI pamoja na mwongozo
vivumishi wa Mwalimu
ambatano
6 20-24/05 Sarufi : Usemi wa Kitabu cha
asili na usemi wa Mwanafunzi
taarifa Kitabu cha
Kubadilisha mwongozo
sentensi za usemi wa Mwalimu
wa asili na taarifa
7 27/05- Lugha na Kiswahili katika Ujumbe mfupi wa
31/05 teknolojia teknolojia ya simu ya mkononi,
habari na fesibuku
mawasiliano watsapu,…
8 03-7/06 Umuhimu wa Kitabu cha
mradi wa Mwanafunzi
kompyuta kwa kila Kitabu cha
mtoto mwongozo
wa Mwalimu
9 10-14/06 Sarufi : Kitenzi Kitabu cha
katika hali ya Mwanafunzi
kuamlisha kwa Kitabu cha
kutumia neno mwongozo
tafadhali wa Mwalimu
10 17-21/06 Kutunga sentensi Kitabu cha
kwa kuonyesha Mwanafunzi
hali ya Kitabu cha
kumtafadhalisha mwongozo
mtu afanye au wa Mwalimu
asifanye kitu fulani
11 24/06- Marudio
28/06 kuhusu
mada zote

12 01-5/7 Mtihani na
usahihishaji
wa mitihani

You might also like