You are on page 1of 12

RATIBA YA KAZI YA KISWAHILI DARASA LA 5 MUHULA WA KWANZA

NAME

TSC NO.

SCHOOL
RATIBA YA KAZI YA KAZI YA KISWAHILI DARASA LA 5 MUHULA WA KWANZA

WIKI KIPINDI MADA SHABAHA SHUGHULI ZA MWALIMU ASILIA / MAONI


/ MWANAFUNZI NYENZO
1 1 KUSIKILIZA Kufikia mwisho wa funzo, - Warudie somo la maamkizi Kiswahili kwa
NA KUONGEA mwanafunzi aweze: kutumia - Watoe maelezo juu ya darasa la 5 uk
- Msamiati wa msamiati wa adabu na mchoro vitabuni mwao. 1
adabu na heshima ipasavyo katika - Watabue msamiati wa
heshima mazungumzo. heshima katika kisa. Mchoro
vitabuni
2 KUSOMA Kufikia mwisho wa funzo, - Wasimulie hadithi kuhusu Kiswahili kwa
- Ufahamu mwanafunzi aweze: Kusoma wanyama ya kusisimua. darasa la 5 uk
‘Kiboko na na kujibu maswali kutokana - Waelekeze Kusoma. 2
Jogoo. na ufahamu. - Waeleze maana ya msamiati
mpya. Picha /
- Wafanye zoezi. mchoro
3 SARUFI Kufikia mwisho wa funzo, - Wataje vifaa Kiswahili kwa
- Tashbihi mwanafunzi aweze: kutumia - Wataje tashbihi darasa la 5 uk
tashbihi katika sentensi. zinazoambatana na vifaa. 3
- Watunge sentensi wakitumia
tashbihi. Vifaa halisi
- Wasome mifano. kama nyundo,
picha, mchoro
4 KUANDIKA Kufikia mwisho wa funzo, - Kujadili juu ya faida za miti. Kiswahili kwa
- Insha ‘Faida za mwanafunzi aweze: kujieleza - Wakumbushe jinsi ya darasa la 5 uk
miti’ vizuri anapoandika insha kuandika insha na uakifisho 4
yake. mzuri
- Waandike insha.
5
2 1 KUSIKILIZA Kufikia mwisho wa funzo, - Wasome kwa matamshi bora. Kiswahili kwa
NA KUONGEA wanafunzi waweze: kutamka - Watunge sentensi darasa la 5 uk
- Maneno vizuri maneno yanayotatiza v. - Wajaze pengo 5
yanayotatiza - Kusahihisha – kufanya
marudio. Vifaa halisi,
chati yenye
maneno haya.
2 KUSOMA Kufikia mwisho wa funzo, - Wasome kifungu Kiswahili kwa
- Usafi mwanafunzi aweze: - Watunge sentensi kwa darasa la 5 uk
- Kutumia msamiati. kutumia msamiati mpya. 6-7
- Kujibu maswali kutokana na - Wajibu maswali.
habari atakayosoma. Vifaa halisi

3 SARUFI Kufikia mwisho wa funzo, - Watunge sentensi wakitumia Kiswahili kwa


- Kukanusha kwa mwanafunzi aweze: nafsi zote pamoja na nyakati darasa la 5 uk
nafsi – wakati kukanusha sentensi za wakati - Wakanushe sentensi hizi. 7-8
uliopo ‘na’ na ‘na’ na ‘li’ akitumia nafsi - Wafanye zoezi.
uliopita ‘li’ zote.
4 KUANDIKA Kufikia mwisho wa funzo, - Warudie somo la vitate Kiswahili kwa
- Imla mwanafunzi aweze: - Wasome kifungu darasa la 5 uk
kuandika kwa maendelezo - Wasomee wanakili. 8-9
sawa.
Vifaa halisi
5
3 1 KUSIKILIZA Kufikia mwisho wa funzo, - Wataje vitu vipatikanavyo Kiswahili kwa
NA KUONGEA mwanafunzi aweze: kutaja, nyumbani. darasa la 5 uk
- Msamiati wa kueleza na kuandika sentensi - Wataje vipatikanavyo 10
nyumbani - sahihi akitumia msamiati wa sebuleni
sebuleni nyumbani. - Wajadili michoro vitabuni Michoro ya
- Watunge sentensi wakiutumia sebule
msamiati waliousoma.
2 KUSOMA Kufikia mwisho wa funzo, - Waongoze katika Kiswahili kwa
- Ng’ombe na mwanafunzi aweze: Kusoma mazungumzo juu ya picha. darasa la 5 uk
Fisi hadithi na kujibu maswali ya - Wajadili msamiati mpya 10-11
ufahamu. - Wafanye zoezi.
Picha/michoro
ya wanyama.
3 SARUFI Kufikia mwisho wa funzo, - Watolee maelezo juu ya Kiswahili kwa
mwanafunzi aweze: kutunga matumizi ya -pi- darasa la 5 uk
- Kiulizi –pi- sentensi akitumia kiuli -pi- - Waulize maswali ukitumia 11-12
kwa usahihi. vifaa Vifaa halisi
- Wafanye zoezi.
4 KUANDIKA Kufikia mwisho wa funzo, - Wajadili picha. Kiswahili kwa
- Insha ya picha mwanafunzi aweze: kuandika - Wataje wanayoyaona katika darasa la 5 uk
mtungo kutokana na picha picha. 12
aliyopewa. - Waandike mtungo
Mchoro
5

4 1 KUSIKILIZA Kufikia mwisho wa funzo, - Wataje mavazi mbalimbali. Kiswahili kwa


NA KUONGEA mwanafunzi aweze: - Waeleze haya mavazi darasa la 5 uk
- Msamiati wa kutambua, kutaja na kutung huvaliwa wapi na wakati gain. 13
mavazi sentensi sahihi akitumia wa - Wafanye zoezi.
mavazi. Vifaa halisi
2 KUSOMA Kufikia mwisho wa funzo, - Kusoma shairi Kiswahili kwa
-Shairi mwanafunzi aweze: Kusoma - Kutunga sentensi kutumia darasa la 5 uk
shairi na kujibu maswali kwa maneno mapya. 14
usahihi. - Wajibu maswali.
3 SARUFI Kufikia mwisho wa funzo, - Kutunga sentensi kwa Vifaa halisi
- Matumizi ya - mwanafunzi aweze: kutumia kutumia kivumishi -ote-.
ote- kivumishi -ote- sawasawa - Wasome juu ya matumizi ya -
pamoja na majina. ote-.
- Watunge sentensi
- Wajibu maswali.
4 KUANDIKA Kufikia mwisho wa funzo, - Wataje vitu vipatikanavyo Kiswahili kwa
- Insha ‘Darasa mwanafunzi aweze: kuandika darasani. darasa la 5 uk
lako’ mtungo kuhusu darasa lake - Wataje vidokezi vya mtungo 16
akizingatia msamiati wa huo.
darasa lake akizingatia - Waandike mtungo. Vifaa halisi
msamiati wa darasani.
5

5 1 KUSIKILIZA Kufikia mwisho wa funzo, - Waambie wategeana na Kiswahili kwa


NA KUONGEA mwanafunzi aweze: kutega kutegua vitendawili. darasa la 5 uk
- Vitendawili na kutegua vitendawili kwa - Wapitie mifano vitabuni 17
usahihi. - Wafanye zoezi.
2 KUSOMA Kufikia mwisho wa funzo, - Wasome Kiswahili kwa
- Ufahamu mwanafunzi aweze: Kusoma - Watunge sentensi kwa darasa la 5 uk
Mazungumzo kifungu na kujibu maswali. kutumia msamiati mpya. 18-19
- Wafanye zoezi.
3 SARUFI Kufikia mwisho wa funzo, - Wajadili alama za kuakifisha. Kiswahili kwa
- Kuakifisha mwanafunzi aweze: kutumia - Wafanye zoezi. darasa la 5 uk
kituo, kikomo, kiulizi, alama 19
ya mshangao herufi kubwa
katika uandishi wake Chati
ipasavyo.
4 KUANDIKA Kufikia mwisho wa funzo, - Wataje wanachokiona katika Kiswahili kwa
- Insha mwanafunzi aweze: kuandika mchoro. darasa la 5 uk
‘Umuhimu wa insha akizingatia alama za - Waandike insha kwa kuwapa 20
ng’ombe’ kuakifisha na hati bora juu ya vidokezo.
umuhimu wa ng’ombe. Mchoro wa
ng’ombe
5

6 1 KUSIKILIZA Kufikia mwisho wa funzo, - Watazame michoro na Kiswahili kwa


NA KUONGEA mwanafunzi aweze: kueleza kueleza yanayotendeka. darasa la 5 uk
- Misemo maana ya misemo na kutunga - Wasome misemo na maana 21
sentensi sahihi akitumia yake.
baadhi ya misemo. - Washirikishe katika kutunga Chati
sentensi
- Waeleze maana ya misemo
iliyo vitabuni.
- Wafanye zoezi.
2 KUSOMA Kufikia mwisho wa funzo, - Waongoze kujadili mchoro Kiswahili kwa
- Ufahamu mwanafunzi aweze: Kusoma - Wasome darasa la 5 uk
hadithi na kujibu maswali - Waeleze maana ya maneno 22
kwa usahihi. mapya.
- Wajibu maswali. Michoro
vitabuni.
3 SARUFI Kufikia mwisho wa funzo, - Mwalimu awape mifano ya Kiswahili kwa
- Kukanusha kwa mwanafunzi aweze: sentensi kujikubusha darasa la 5 uk
nafsi wakati ujao kukanusha sentensi akitumia ukanusho. 23
‘ta’ na wakati nafsi zote pamoja na wakati - Wataje nafsi zote/nyakati.
timilifu ‘me’. ujao ‘ta’ na timilifu ‘me’ - Watunge na kukanusha
sentensi kwa kuzingatia
nyakati TA na ME.
4 KUANDIKA Kufikia mwisho wa funzo, - Wataje vitu katika mazingira Kiswahili kwa
- Shule yangu mwanafunzi aweze: kuandika ya shule. darasa la 5 uk
mtungo mfupi juu ya shule. - Awaulize maswali kuhusu 24
maneno mbalimbali na faida
zake.
- Awaelekeze kuandika.
5

7 1-5 MTIHANI WA KATIKATI WA MUHULA


8 1 KUSIKILIZA Kufikia mwisho wa funzo, - Wataje wanachoona katika Kiswahili kwa
NA KUONGEA mwanafunzi aweze: mchoro darasa la 5 uk
- Msamiati wa kutambua na kutumia - Waongoze kujadili matumizi 25
hospitali. msamiati wa hospitali ya vifaa mbalimbali.
ipasavyo. - Wachore vifaa katika Vifaa halisi
madaftari zao.
- Wafanye zoezi.
2 UFAHAMU Kufikia mwisho wa funzo, - Wataje mambo machache Kiswahili kwa
- Jebet mwanafunzi aweze: kuhusu michoro. darasa la 5 uk
- Kueleza maana ya maneno - Wasome hadithi kimya kimya 26
mapya yaliyotumiwa katika - Wafanye mazoezi
ufahamu. - Kusahihisha / kufanya Michoro ilio
- Kusoma na kujibu maswali marudio. vitabuni
ya ufahamu ipasavyo.
3 SARUFI Kufikia mwisho wa funzo, - Kutunga sentensi Kiswahili kwa
- Matumizi ya mwanafunzi aweze: Kutunga - Kukanusha darasa la 5 uk
‘me’ na sentensi sahihi katika hali ya - Wasome mifano vitabuni. 27
ukanusho wake kukubali na kukanusha - Wafanye zoezi.
akitumia wakati wa ‘me’
4 KUANDIKA Kufikia mwisho wa funzo, - Washirikishe kutaja njia za Kiswahili kwa
- Insha ‘Barua ya mwanafunzi aweze: kuandika mawasiliano. darasa la 5 uk
kirafiki’ barua ya kirafiki - Wataje sehemu muhimu za 28
inavyostahili. barua ya kirafiki na kueleza
kwa kifupi.
- Wasome mfano vitabuni.
- Waandike.
5

9 1 KUSIKILIZA Kufikia mwisho wa funzo, - Wataje mimea waijuayo Kiswahili kwa


NA KUONGEA mwanafunzi aweze: - Wasome shairi darasa la 5 uk
- Shairi ‘Mimea’ - Kutaja msamiati wa mimea - Wandondoe majina ya mimea 29
na mazao yake. - Wafanye zoezi
- Kutumia majina ya mimea
katika michoro.
2 KUSOMA Kufikia mwisho wa funzo, - Jadili na wanafunzi juu ya Kiswahili kwa
- Ufahamu mwanafunzi aweze: vifaa hivyo darasa la 5 uk
‘Maji’ - Kueleza maana ya maneno - Wasome kifungu 30
mapya yaliyotumiwa katika - Kueleza maneno mapya
ufahamu. - Kufanya zoezi.
- Kusoma na kujibu maswali
ya ufahamu ipasavyo.
3 SARUFI Kufikia mwisho wa funzo, - Washirikishe kutunga Kiswahili kwa
- Viwakilishi mwanafunzi aweze: sentensi zao wakizingatia nafsi darasa la 5 uk
nafsi ‘NI’ ‘U’ na kukanusha viwakilishi vya zote. 31
UKANUSHO nafsi NI, U, A kwa usahihi - Wasome sentensi zilizomo
katika umoja na wingi. vitabuni mwao.
- Wafanye zoezi.
4 KUANDIKA Kufikia mwisho wa funzo, - Wasome sentensi vitabuni. Kiswahili kwa
- Sehemu za mwanafunzi aweze: kutaja - Waongee juu ya sehemu za darasa la 5 uk
mwili sehemu mbalimbali za mwili. mwili. 32
- Wafanye zoezi.
- Mchoro wa
sehemu za
mwili
5

10 1 KUSIKILIZA Kufikia mwisho wa funzo, - Waongoze kutoa hoja za Kiswahili kwa


NA KUONGEA mwanafunzi aweze: Mjadala. darasa la 5 uk
- Majadiliano - Kuzungumza kwa ujasiri - Kinara aanzishe Mjadala 33
‘Mwalimu ni mbele ya wenzake. - Waunge na wapinge
bora kuliko - Kuzungumza kwa ufasaha. - Jadili hoja muhimu za kila
Daktari. kikundi makosa yaliyojitokeza
na kutangaza mshindi.
2 KUSOMA Kufikia mwisho wa funzo, - Wajadili juu ya uhalifu na Kiswahili kwa
- Majuto ni mwanafunzi aweze: adhabu zinazotolewa kwa darasa la 5 uk
mjukuu - Kusoma kwa matamshi bora wanaohusika, manoro. 34-35
- Kujibu maswali kutokana na - Wasome ufahamu na kujibu
ufahamu. maswali. - Mchoro
kitabuni.
3 SARUFI Kufikia mwisho wa funzo, - Waelekeze kuandika udogo Kiswahili kwa
- Ki- kiambishi mwanafunzi aweze: kutunga wa majina. darasa la 4 uk
cha udogo. sentensi sahihi kwa kutumia – - Wasome mifano vitabuni. 35
ki- ya udogo. - Wafanye zoezi.
Vifaa halisi
4 KUANDIKA Kufikia mwisho wa funzo, - Waongoze kukumbuka Kiswahili kwa
- Kujaza mraba mwanafunzi aweze: kujaza majina na matumizi yavyo. darasa la 5 uk
mraba akitumia msamiati - Wahusishe katika kuchora na 36
sahihi wa hospitalini. kujaza mraba.
5

11 1 KUSIKILIZA Kufikia mwisho wa funzo, - Wajadili ukoo Kiswahili kwa


NA KUONGEA mwanafunzi aweze: Kutaja - Wasome yaliyo vitabuni darasa la 5 uk
- Msamiati wa na kueleza msamiati zaidi wa mwao kuhusu majina ya ukoo. 37
ukoo ukoo. - Watunge sentensi.
- Wajibu maswali. Chati
2 UFAHAMU Kufikia mwisho wa funzo, - Wasome kifunge Kiswahili kwa
- Namuwenge na mwanafunzi aweze: Kusoma - Wajibu maswali ya darasa la 5 uk
hingi la kuchoma na kujibu maswali ya kifungu. 38
kifungu.
3 SARUFI Kufikia mwisho wa funzo, - Wataje majina katika ngeli Kiswahili kwa
- Kivumishi mwanafunzi aweze: kutunga tofauti tofauti na darasa la 5 uk
‘Enye’ na kukamilisha sentensi kwa kuambatanisha majina na 39
kutumia kivumishi –enye- -enye- katika umoja na wingi.
pamoja na majina ya ngeli - Watunge sentensi kwa umoja
alizofunzwa. – wingi.
- Wasome mifano.
- Wafanye zoezi.
4 KUANDIKA Kufikia mwisho wa funzo, - Wajikumbushe akisani Kiswahili kwa
- Akisami mwanafunzi aweze: walizojifunza kwa kuwauliza darasa la 5 uk
kuandika akisami kwa maswali. 40-41
maneno na kuzionyesha kwa - Wachore akisami hizo.
michoro. - Waelekeze kufanya zoezi.
5

12 1 KUSIKILIZA Kufikia mwisho wa funzo, - Wajikumbushe Kusoma saa. Kiswahili kwa


NA KUONGEA mwanafunzi aweze: kutaja na - Wasome sentensi. darasa la 5 uk
- Tarakimu za kuandika tarakimu za nukta -Watunge sentensi wakifuata 43
wakati ‘ Nukta na sekunde kwa maneno na mifano vitabuni. - Vifaa halisi
na Sekunde’. nambari. - Wajibu maswali. saa yenye
akrabu ya
sekunde
2 KUSOMA Kufikia mwisho wa funzo, - Wataje miji ambayo Kiswahili kwa
- Watoto mwanafunzi aweze: kujibu wamewahikutembelea. darasa la 5 uk
wanaorandaranda maswali ya ufahamu na - Wazungumzie watoto wa 43
mijini. kueleza maana ya maneno mitaani
mapya. - Wasome ufahamu Picha
- Wajibu maswali.
3 SARUFI Kufikia mwisho wa funzo, - Washirikishe kwa kutumia Kiswahili kwa
- Matumizi ya mwanafunzi aweze: kutumia vifaa halisi kueleza matumizi darasa la 5 uk
-OTE- kivumishi ‘ote’ kisahihi na ya ‘ote’ 44-45
majina kutoka ngeli ambazo - Wasome mifano
amefunzwa. - Watunge sentensi wakitumia Vifaa halisi
‘ote’
- Wajibu maswali.
4 KUANDIKA Kufikia mwisho wa funzo, - Wataje tarakimu kwa maneno Kiswahili kwa
- Tarakakimu mwanafunzi aweze: kuandika kisha waandike kwa nambari darasa la 5 uk
tarakimu kwa maneno na - Wasome tarakimu 42-46
nambari. - Wafanye zoezi. Kadi zenye
majina ya
tarakimu
5

13 MTIHANI WA MWISHO WA MUHULA WA KWANZA


14 KUSAHIHISHA NA KUFUNGA SHULE

You might also like