You are on page 1of 24

MAAZIMIO YA KAZI KIDATO CHA NNE MUHULA WA KWANZA 2022

JUMA

NJIA ZA
KPD
NYENZO ZA
MADA KUU MADA NDOGO SHABAHA MAONI
KUFUNDISHIA KUFUNDISHIA

1 1 Kusikiliza na Utu bora. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Ufahamu wa kusikiliza. Kiswahili
Fasaha – 4
kuzungumza. aweze: Maelezo. Kitabu cha
Kueleza maana ya utu. Ufafanuzi. Mwana-funzi.
Kufafanua mafunzo katika somo. Maswali na majibu. KCM Uk 1
Kujadili kwa ufasaha mada aliyopewa. Masimulizi. Mwongozo wa
Mwalimu.
MWM Uk 1-3

2 Fasihi. Fasihi yetu. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Ufaraguzi.


KCM 1-3
ChimbUko na sifa aweze: Maelezo.
bainifu za fasihi Kueleza chimbUko la fasihi simulizi. Kuandika. MWM
simulizi. Kufafanua sifa za fasihi simulizi. Mifano. Uk 3-4
Kazi mradi.

3 Kusoma na kuandika. Ufahamu. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Usomaji.


KCM
aweze: Maelezo. Uk 3-4
Kusoma kwa sauti na kimya. Maswali na majibu.
Kujibu maswali. Utafiti. MWM
Kubainisha umuhimu wa usalama Uk 3-4
barabarani. Kamusi.

4 Sarufi. Upatanisho wa Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Tajriba.


KCM
kisarufi. aweze: Maswali na majibu. Uk 4-8
Kueleza maana na manufaa ya upatanisho Mifano.
wa kisarufi. Mazoezi. MWM
KUkamilisha sentensi ili kuleta Marudio. UK 5-7
upatanisho wa kisarufi.
Kutunga sentensi zenye upatanisho wa
kisarufi.

5,6 Fasihi. Kusoma kwa kina. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Kusoma. Kitabu teule.
aweze: Kusikiliza.
Kutaja na kugusia yaliyomo katika kitabu Kuandika.
teule cha fasihi. Kujadiliana.
Kueleza mtiririko wa kitabu kwa Uchambuzi.
muhtasari.

1
2 1-2 Fasihi teule. ChimbUko la mashairi Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Maelezo na ufafanuzi.
KCM
ya arudhi. aweze: Majadiliano. Uk 9-10
Kueleza chimbUko la mashairi ya arudhi. Uchunguzi.
Kueleza sifa za mashairi ya arudhi. Kazi ya vikundi. MWM
UK 8

Kitabu teule.
3 Utunzi. Barua ya kirafiki. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Mifano halisi ya barua. KCM
Uk 10
aweze: Maelezo.
Kueleza kanuni za uandishi wa barua ya Kuandika. MWM
kirafiki. UK 8-9
Kuandika barua ya kirafiki kwa usahihi. Vielelezo vya
barua.

4 Kusikilza na Ujirani mwema baina Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Masimulizi.


KCM
kuzungumza. ya nchi. aweze: Maelezo. Uk 9-10.
Kusimulia hadithi. M
Kujibu maswali kwa sauti na ufasaha. MWM
Kueleza maana ya misemo na maneno. UK.
4-5.
Kuzingatia mafunzo katika hadithi.

5 Fasihi. Kusoma kwa kina. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Kusoma. Kitabu teule.
aweze: Kusikiliza.
Kutaja na kugusia yaliyomo katika kitabu Kuandika.
teule cha fasihi. Kujadiliana.
Uchambuzi.

6 Fasihi. ChimbUko na sifa Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Mjadala.


KCM
bainifu za fasihi aweze: Maswali na majibu. Uk 11-12
andishi. Kueleza asili na maendeleo ya fasihi Uvumbuzi.
andishi. MWM
Kufafanua sifa zinazobainisha fasihi Uk 12-13
andishi.
Kujibu maswali ya fasihi andishi.

3 1 Kusoma na kuandika. Ufahamu. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Usomaji.


KCM
aweze: Maelezo. Uk 3-4
Kusoma kwa sauti na kimya. Maswali na majibu.
Kujibu maswali. Utafiti. MWM
Kubainisha umuhimu wa usalama Uk 3-4
barabarani. Kamusi.

2
2 Sarufi. Umoja na wingi. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: Mifano. KCM
Kubainisha maumbo ya maneno katika umoja Uk 15-17
Maelezo.
na wingi. Ufaraguzi. MWM
Kuandika sentensi kwa umoja na wingi. Maswali na majibu. UK. 14-15
Kueleza mabadiliko ya viambishi vya ngeli na
upatanisho ya kisarufi katika umoja na wingi.
Mazoezi.

3 Fasihi teule. ChimbUko la mashairi Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: Dayologia. KCM
Kufafanua wakati na sababu za kuchipua kwa Uk 19-20
huru. Maelezo.
mashairi huru. Utafiti. MWM
Kupambanua pingamizi dhidi ya mashairi Mifano. Uk 15-16
huru.
Kutoa maoni kuhusu mgogoro wa mashairi ya
jadi na huru.
4 Utunzi. Mchezo wa kuigiza. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: Maigizo. KCM
Kuandika mchezo wa kuigiza kuzingatia Uk 20
Vikundi.
kanuni za utunzi. MWM
Utatuzi wa mambo. Uk 16-17
Kutumia alama za kuakifisha ipasavyo.
Kuandika. Makala
magazetini.

5 Ufasaha wa lugha. Muhtasari. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Kusoma. KCM


Uk 18
aweze: Majadiliano.
Kueleza mambo muhimu ya kuzingatia Kuandika. MWM
katika ufupisho. Uk 17-18
Kuandika muhtasari wa taarifa kwa
usahihi.
6 Fasihi. Kusoma kwa kina. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Kusoma. Kitabu teule.
aweze: Kusikiliza.
Kutaja na kugusia yaliyomo katika kitabu Kuandika.
teule cha fasihi. Kujadiliana.
Kueleza mtiririko wa kitabu kwa Uchambuzi.
muhtasari.

4 1 Kusikiliza na Imla. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Mifano. KCM


Uk 21
kuzungumza. aweze: Maelezo na ufafanuzi.
Kusikiliza na kuandika taarifa kwa Ufahamu wa kusikiliza. MWM
usahihi. Imla. UK. 18-19
Kufafanua ujumbe.
Kutumia alama za uakifishaji ipasavyo.
Kuzingatia mafunzo ya ujumbe.
2 Fasihi yetu. Methali. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Utafiti. KCM
Uk 21-22
aweze: Mifano.
Kufafanua matumizi ya methali. Uchunguzi. MWM
Kutumia methali katika mazungumzo. Kazi mradi. Uk 19-20

3
3 Kusoma na kuandika. Ufahamu. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Usomaji.
KCM
aweze: Maelezo. Uk 22-25
Kusoma kwa sauti na kimya. Maswali na majibu.
Kujibu maswali. Utafiti. MWM
Kubainisha umuhimu wa usalama Uk 20-21
barabarani. Kamusi.

4 Sarufi. Nomino. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Tajriba. KCM


Uk 25-27
aweze: Mifano.
Kuainisha nomino na kutoa mifano ya Mashindano. MWM
aina za nomino. Upambanuzi. Uk 21-22
Kutumia nomino katika sentensi.

5 Ufasaha wa lugha. Uakifishaji. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Mifano. KCM


Uk 27-29
aweze: Maelezo.
Kubainisha alama za uakifishaji. Ufafanuzi. MWM
Kuakifisha maandishi. Uk 22-23

6 Fasihi. Kusoma kwa kina. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Kusoma. Kitabu teule.
aweze: Kusikiliza.
Kutaja na kugusia yaliyomo katika kitabu Kuandika.
teule cha fasihi. Kujadiliana.
Kueleza mtiririko wa kitabu kwa Uchambuzi.
muhtasari.

5 1 Fasihi teule. Fani katika mashairi ya Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Kudadisi. KCM
Uk 29-32
arudhi. aweze: Uchunguzi.
Kueleza maana na umuhimu wa fani Mifano na ufafanuzi. MWM
katika mashairi ya arudhi. Uhakiki. Uk. 23-24
Kufafanua muundo, mtindo, wahusika, na
matumizi ya lugha katika mashairi ya
arudhi.
Kuchambua fani katika mashairi ya
arudhi.
2 Utunzi. Insha ya methali. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Masimulizi. KCM
Uk 32
aweze: Uchunguzi.
Kufafanua muundo wa insha ya methali. Mifano. MWM
Kupambanua sifa za insha ya methali. Kuandika. Uk. 24-25
Kuandika insha ya methali.

4
3 Kusikiliza na Haki za wafanya kazi. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Majadiliano. KCM
Uk 33
kuzungumza. aweze: Maswali na majibu.
Kubadilisha mawazo kwa njia ya Uchunguzi na kudadisi. MWM
majadiliano. Utatuzi wa mambo. Uk. 25-27
Kusikiliza kwa makini na kutekelaza. Makundi.
Kueleza haki za wafanyakazi.
4 Fasihi yetu. Misemo. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Mashindano. KCM
Uk 33-34
aweze: Majadiliano.
Kueleza umuhimu wa misemo. Maelezo na ufafanuzi. MWM
Kutoa mifano ya misemo na kutumia Maswali na majibu. Uk. 27-28
katika misemo kimantiki na kisarufi.

5 Kusoma na kuandika. Ufahamu. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Usomaji. KCM


Uk 22-25
aweze: Maelezo. MWM
Kusoma kwa sauti na kimya. Maswali na majibu. Uk 20-21
Kujibu maswali. Utafiti.
Kubainisha umuhimu wa usalama Kamusi,
Picha na
barabarani. michoro.

6 Fasihi. Kusoma kwa kina. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Kusoma. Kitabu teule.
aweze: Kusikiliza.
Kutaja na kugusia yaliyomo katika kitabu Kuandika.
teule cha fasihi. Kujadiliana.
Kueleza mtiririko wa kitabu kwa Uchambuzi.
muhtasari.

6 1 Sarufi. Vitenzi. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Maelezo na ufafanuzi. KCM


Uk 37-40
Mizizi na viambishi. aweze: Maswali na majibu.
Kueleza dhana ya mizizi na viambishi Majadiliano. MWM
katika vitenzi. Tajriba. Uk. 29-31
Kubainisha mzizi wa viambishi awali na
tamati katika vitenzi.

2 Ufasaha wa lugha. Matumizi ya maneno Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Maelezo na ufafanuzi. KCM
Uk 40-43
maalum. aweze: Maswali na majibu.
Kueleza kueleza maana na kubainisha Mifano.
matumizi ya maneno maalum. Mazoezi. MWM
Kutunga sentensi kwa kutumia maneno Uk 31
maalum.
Kusahihisha matumizi mabaya ya maneno
maalum.

5
3 Fasihi teule. Fani katika mashairi Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Udadisi. KCM
Uk 43-6
huru. aweze: Uchunguzi.
Kueleza maana na umuhimu wa fani. Mifano.
Kufafanua fani katika mashairi huru. Maswali na majibu. MWM
Uhakiki. Uk 31-3

4 Utunzi. Insha ya mazungumzo. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Maelezo na ufafanuzi. KCM
Uk 46
aweze: Ufaraguzi na
Kueleza insha ya mazungumzo. mazungumzo. MWM
Kufafanua muundo wa insha ya Maswali na majibu. Uk 33
mazungumzo. Kuandika.

5 Kusikiliza na Mjadala. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Mjadala. KCM


Uk 47
kuzungumza. aweze: Maelezo na ufafanuzi.
Kuchangia na kuendesha mjadala Kazi ya vikundi. MWM
darasani. Uk 33-4
Kujadili hoja muhimu kwa ufasaha na
mantiki.
Kuzingatia mitindo ya kujadili.
6 Fasihi. Kusoma kwa kina. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Kusoma. Kitabu teule.
aweze: Kusikiliza.
Kutaja na kugusia yaliyomo katika kitabu Kuandika.
teule cha fasihi. Kujadiliana.
Kueleza mtiririko wa kitabu kwa Uchambuzi.
muhtasari.

7 1 Fasihi yetu. Mafumbo. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Uvumbuzi wa mafumbo. KCM
Uk 47-9
aweze: Uvumbuzi huria.
Kutoa maana ya mafumbo. Michezo ya lugha.
Kueleza sifa bainifu za mafumbo. Maelezo na ufafanuzi. MWM
Kupambanua dhima ya mafumbo. Mifano. Uk 34-5
Kufumbua mafumbo.
2 Kusoma na kuandika. Ufahamu. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Usomaji. KCM
Uk 49-51
aweze: Maelezo. MWM
Kusoma kwa sauti na kimya. Maswali na majibu. Uk 35-6
Kujibu maswali. Utafiti.
Kubainisha umuhimu wa usalama Kamusi,
Tarakimu, grafu
barabarani. na chati.

6
3 Sarufi. Aina ya vitenzi. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Maelezo. KCM
Uk 51-4
aweze: Mifano.
Kueleza maana ya vitenzi. Mazoezi. MWM
Kubainisha vitenzi katika sentensi. Uk 36-38
Kutunga sentensi kutumia vitenzi vikuu,
visaaidizi, vishirikishi, vipungufu na
vitenzi sambamba.

4 Ufasaha wa lugha. Muhtasari. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Kusoma. KCM


Uk 55-6
aweze: Kufupisha.
Kufupisha taarifa kuambatana na maagizo. Maswali na majibu. MWM
Mahojiano. Uk 38-9

5 Fasihi. Kusoma kwa kina. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Kusoma. Kitabu teule,
aweze: Kusikiliza. Mwongozo.
Kueleza mtiririko wa kitabu kwa Kuandika.
muhtasari. Kujadiliana.
Kundodoa matUkio makuu katika Uchambuzi.
maonyesho.
6
MAJARIBIO

8 1 Kusikiliza na Unene wa kupindUkia. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Mjadala. KCM


Uk 59
kuzungumza. aweze: Maelezo.
Kueleza hoja kwa mantiki na ufasaha. Ufahamu wa kusikiliza. MWM
Kujadili chanzo na kUkabiliana na Maswali na majibu. Uk 41-3
ugonjwa.

2 Fasihi yetu. Lakabu. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Usomaji. KCM


Uk 59-60
aweze: Maelezo.
Kueleza maana ya lakabu. Utafiti. MWM
Kufafanua sifa za lakabu. Majadiliano. Uk 43-44
Kutoa mifano ya lakabu kutoka vitabu vya Vielelezo.
fasihi.
3 Kusoma na kuandika. Ufahamu. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Usomaji. KCM
Uk 42-43
aweze: Utafiti.
Kusoma taarifa kwa ufasaha. Utatuzi wa mambo.
Kujibu maswali kwa usahihi. Uchunguzi kifani. MWM
Kueleza maana ya maneno na misemo. UK. 27-28
Kuzingatia mafunzo. Kamusi.

7
4 Sarufi. Viwakilishi. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Maelezo na ufafanuzi. KCM
Uk 63-66
aweze: Maswali na majibu.
Kueleza maana ya viwakilishi. Majadiliano.
Kuainisha viwakilishi mbalimbali na Mazoezi. MWM
mifano yake. Uk 45-6
Kufafanua matumizi ya viwakilishi.
Kutunga sentensi kwa kutumia
viwakilishi.

5 Ufasaha wa lugha. Muhtasari. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Kusoma. KCM


Uk 66-7
aweze: Kufupisha.
Kufupisha taarifa kuambatana na maagizo. Maswali na majibu. MWM
Mahojiano. Uk 46

6 Fasihi. Kusoma kwa kina. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Kusoma. Kitabu teule,
aweze: Kusikiliza. Mwongozo.
Kueleza mtiririko wa kitabu kwa Kuandika.
muhtasari. Kujadiliana.
Kundodoa matUkio makuu katika Uchambuzi.
maonyesho.

9 1 Kandika. Mashairi ya arudhi. Na Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Maelezo. KCM


Uk 71-2
huru. aweze: Utafiti.
Utunzi Kutunga mashairi ya arudhi na huru kwa Utungaji wa kisanii. Uk 48-9
kuzingatia utunzi wao na maudhui.

2 Kusikiliza na Mawazo. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Maelezo. KCM


Uk 73-4
kuzungumza. aweze: Mdahalo.
Kusoma kwa ufasaha. Maigizo.
Kusikiliza kwa makini. Uchunguzi. MWM
Kujadili hoja kwa ufasaha. Uk 49-50

3 Kusoma. Misimu. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Mifano. KCM


Uk 74-6
aweze: Ufaraguzi. MWM
Fasihi yetu. Kueleza misimu. Utafiti. Uk 50-52
Kueleza sababu ya misimu kuchipUka. Maaelezo na ufanunuzi. Mikusanyo ya
Kufafanua sifa ya misimu. misimu,
Magazeti ya
Kutoa mifano ya misimu. udaku

8
4 Kusoma na kuandika. Ufahamu. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Usomaji. KCM
Uk 77-78
aweze: Utafiti.
Kusoma taarifa kwa ufasaha. Utatuzi wa mambo.
Kujibu maswali kwa usahihi. Uchunguzi kifani. MWM
Kueleza maana ya maneno na misemo. UK. 52-3
Kuzingatia mafunzo. Kamusi.

5 Sarufi. Vivumishi. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Maelezo na ufafanuzi. KCM


Uk 79-81
aweze: Utafiti.
Kuainisha vivumishi. Kutoa mifano. MWM
Kutoa mifano ya vivumishi. Uk 53-4
Kutumia vivumishi katika sentensi.

6 Fasihi. Kusoma kwa kina. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Kusoma. Kitabu teule,
aweze: Kusikiliza. Mwongozo.
Kueleza mtiririko wa kitabu kwa Kuandika.
muhtasari. Kujadiliana.
Kundodoa matUkio makuu katika Uchambuzi.
maonyesho.
10 1 Ufasaha wa lugha. Muhtasari. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Kusoma. KCM
Uk 82-83
aweze: Kufupisha.
Kufupisha taarifa kuambatana na maagizo. Maswali na majibu. MWM
Mahojiano. Uk 54-5

2 Kuandika. Barua rasmi. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Mifano. KCM


Uk 85-6
Utunzi. aweze: Maelezo.
Kuandika barua rasmi kwa kuzingatia Uchunguzi. MWM
muundo na maudhui. Kuandika. Uk 56-8

3 Fasihi yetu. Ngano. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Maelezo na ufafanuzi. KCM
Uk 87-9
aweze: Masimulizi.
Kufafanua muundo wa ngano. Maswali na majibu.
Kueleza maana ya ngano. Makundi. MWM
Kuandika insha ya mawazo. Uhakiki. Uk 60-63
Vielelezo.

9
4 Fasihi. Kusoma kwa kina. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Kusoma. Kitabu teule,
aweze: Kusikiliza. Mwongozo.
Kueleza mtiririko wa kitabu kwa Kuandika.
muhtasari. Kujadiliana.
Kundodoa matUkio makuu katika Uchambuzi.
maonyesho.

5 Kusikiliza na Mjadala. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Ufafanuzi. KCM


Uk 87
kuzngumza. aweze: Majadiliano
Kutetea hoja kikamilifu. Uigizaji.
Kuwasilishahoja kwa kuzingatia kanuni za MWM
kuendesha midahalo. Uk 58-60
Kuzungumza kwa ufasaha na usahihi.
6 Sarufi. Viunganishi. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Maelezo na ufafanuzi. KCM
Uk 92-4
aweze: Tajriba na mifano. MWM
Kubainisha viunganishi vya asili ya Maswali na majibu. Uk 64-6
Kibantu na vya kUkopwa. Mazoezi.
Kufafanua dhima za viunganishi. Majedwali,
Vielelezo.
Kutunga sentensi kwa kutumia
viunganishi.
11 1 Ufasaha wa lugha. Wasifu na tawasifu. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Maelezo na ufafanuzi. KCM
Uk 95-6
aweze: Kutoa mifano.
Kueleza maana na umuhimu wa wasifu na Masimulizi. MWM
tawasifu. Majadiliano. Uk 66-9
Kutoa mifano ya wasifu na tawasifu.
Vielelezo, picha
Kufafanua mafunzo kutokana na wasifu na na michoro.
tawasifu.
2 Fasihi. Kusoma kwa kina. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Kusoma. Kitabu teule,
aweze: Kusikiliza. Mwongozo.
Kueleza mtiririko wa kitabu kwa Kuandika.
muhtasari. Kujadiliana.
Kundodoa matUkio makuu katika Uchambuzi.
maonyesho.
3 Sarufi. Mnyambuliko wa Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Ufafanuzi. KCM
Uk 74-75
vitenzi vya asili ya aweze: Maelezo.
kigeni. Kueleza tofauti kati ya vitenzi vya asili na Mifano. MWM
kigeni. UK. 53-54
Kugeuza vitenzi.
Kutumia vitenzi katika sentensi na kueleza
maana zake.

10
4 Utunzi. Insha za wasifu na Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Uchunguzi. KCM
Uk 98
tawasifu. aweze: Mifano.
Kueleza muundo na hatua za Maswali na majibu. MWM
Kuandika insha za wasifu na tawasifu. Melezo na ufafanuzi. Uk 70
Kuandika.

5 Fasihi yetu. Miviga. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Mifano. KCM


Uk 101-2
aweze: Utafiti.
Kueleza miviga. Maigizo. MWM
Kueleza dhima ya miviga. Maelezo. Uk 71-2
Kueleza sifa za miviga. Ufafanuza.
Kutoa mifano ya miviga.
6 Kusoma na kuandika. Ufahamu. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Usomaji. KCM
Uk 77-78
aweze: Utafiti.
Kusoma taarifa kwa ufasaha. Utatuzi wa mambo.
Kujibu maswali kwa usahihi. Uchunguzi kifani. MWM
Kueleza msamiati uliotumika. UK. 52-3
Kuzingatia mafunzo. Kamusi.

12 1 Sarufi. Vielezi. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Masimulizi. KCM


Uk 104-6
aweze: Kutoa mifano.
Kueleza maana ya vielezi. Mazoezi. MWM
Kuainisha vielezi vya mahali na idadi. Uk 73-4
Kutumia vielezi kutungia sentensi.

2 Fasihi. Kusoma kwa kina. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Kusoma. Kitabu teule,
aweze: Kusikiliza. Mwongozo.
Kueleza mtiririko wa kitabu kwa Kuandika.
muhtasari. Kujadiliana.
Kundodoa matUkio makuu katika Uchambuzi.
maonyesho.
3 Ufasaha wa lugha. Muhtasari. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Kusoma. KCM
Uk 106-7
aweze: Kufupisha.
Kufupisha taarifa kuambatana na maagizo. Maswali na majibu. MWM
Mahojiano. Uk 74

4 Utunzi. Kumbukumbu. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Utatuzi wa mambo. KCM


Uk 110
aweze: Ufaraguzi.
Kueleza mbinu za uandishi wa Mazungumzo. MWM
kumbUkumbu. Kuandika. Uk 75-6
Kuandika insha ya kumbikumbu kwa
usahihi

11
5 Fasihi yetu. Mighani. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Maelezo na ufafanuzi. KCM
Uk 111-4
aweze: Madadiliano na MWM
Kueleza mighani. masimulizi. Uk 79-80
Kutoa sifa za mighani. Vielelezo,
Kusimulia mighani. magazeti,
majarida,
makala maalum.

6 Kusoma na kuandika. Ufahamu. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Usomaji. KCM


Uk 114-6
aweze: Utafiti.
Kusoma taarifa kwa ufasaha. Utatuzi wa mambo.
Kujibu maswali kwa usahihi. Uchunguzi kifani. MWM
Kueleza msamiati uliotumika. Uk 79-80
Kuzingatia mafunzo. Kamusi, visa
magazetini.
13-14
MTIHANI WA MWISHO WA MUHULA WA KWANZA

MAAZIMIO YA KAZI KIDATO CHA NNE MUHULA WA PILI 2020


KIPINDI

NJIA ZA
MADA KUU SHABAHA MAONI
JUMA

MADA NDOGO NYENZO


KUFUNDISHIA

1 1 Sarufi. Vihusishi. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Maelezo. KCM


Uk 116-8
aweze: Ufafanuzi.
Kueleza maana ya vihusishi. Majadiliano. MWM
Kufafanua dhima ya vihusishi. Mazoezi. Uk 80-1
Kubainisha aina z vihusishi.
Kutunga sentensi kwa kutumia
vihusishi kwa usahihi.
2 Fasihi. Kusoma kwa kina. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Kusoma. Kitabu teule,
aweze: Kusikiliza. Mwongozo.
Kundodoa matUkio makuu katika Kuandika.
maonyesho. Kujadiliana.
Kueleza mbinu za lugha ambazo Uchambuzi.
zimetumika.

12
3 Ufasaha wa lugha. Uundaji wa maneno. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Majadiliano. KCM
Uk 118-120
aweze: Mifano.
Kueleza sababu za kuendelea kuunda Majibu na maswali. MWM
maneno kila wakati. Maelezo na ufafanuzi. Uk 81-3
Kutaja mifano ya maneno ambayo
Makala yenye
yamezUka katika nyanja mbalimbali maandishi.
kutokana na maendeleo ya jamii.
4-5 Fasihi teule. Fani katika hadithi Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Usomaji. KCM
Uk 120-3
fupi. aweze: Kujibu maswali.
Kusoma hadithi fupi. Uhakiki. MWM
Kufafanua vipengele vya fani. Udadisi. Uk 83-4
Kuchambua fani katika mkusanyiko wa Maelezo na ufafanuzi.
Kitabu
hadithi fupi. kilichoteuliwa
Kujibu maswali.
6 Utunzi. Uandishi wa Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Tajriba na mifano. KCM
Uk 123-4
matangazo. aweze: Makundi.
Ueleza umuhimu wa matangazo. Kuandika. MWM
Kubainisha aina za matangazo. Uk 84-5
Kuandika matangazo. mandhari
halisi,
mabango,
magazeti.
2 1 Kusikiliza na Hotuba. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Mdahalo. KCM
Uk 125-6
kuzungumza. aweze: Kuhutubu. MWM
Kusikiliza hotuba kwa makini. Kusikiliza. Kazi mradi. Uk 85-6
Kufafanua ujumbe wa hotuba kwa mandhari
ufasaha. halisi,
mabango,
magazeti.

2 Fasihi yetu. Ulumbi. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Maelezo. KCM


Uk 127-8
aweze: Uchunguzi kifani.
Kueleza majUkumu ya walumbi. Utazamaji. MWM
Kutoa mifano ya walumbi. Kutoa mifano. Uk 86-7

3 Kusoma na kuandika. Ufahamu. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Usomaji. KCM


Uk 128-30
aweze: Utafiti.
Kusoma taarifa kwa ufasaha. Ufaraguzi. MWM
Kujibu maswali kwa usahihi. Utatuzi wa mambo. Uk 87-88
Kueleza msamiati uliotumika. Uchunguzi kifani.
Kamusi.
Kuzingatia mafunzo.

13
4 Sarufi. Vihisishi. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Maigizo. KCM
Uk 130-3
aweze: Utfiti.
Kueleza na kuainisha vihisishi. Mifano. MWM
Kutoa mifano ya vihisishi. Masimulizi. Uk 88-9
Kutumia vihisishi katika maandishi na Mazoezi.
mzungumzo.

5 Ufasaha wa lugha. Mwingiliano wa aina Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Maelezo na ufafanuzi. KCM
Uk 130-3
za maneno. aweze: Maswali na majibu.
Kubainisha dhana ya mwingiliano wa Uchunguzi. MWM
maneno. Uk 89-90
Kutambulisha aina za maneno.
Mandhari ya
Kutunga sentensi kudhihirisha wanafunzi.
mwingiliano wa maneno mbalimbali.

6 Fasihi teule. Fani katika riwaya. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Maelezo na ufafanuzi. KCM
Uk 133-4
aweze: Uchambuzi.
Kueleza maana ya fani. Majadiliano. MWM
Kubainisha mambo muhimu katika Maswali na majibu. Uk 90
fani.
Kufafanua umuhimu wa fani..
Kuhakiki riwaya teule kifani.

3 1 Fasihi teule. Maudhui katika Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Majadiliano. KCM
Uk 135-6
riwaya. aweze: Ugunduzi.
Kueleza maudhui na dhamira. Utafiti. MWM
Kupambanua hatua na vigezo vya Uhakiki. Uk 90
kupata maudhui. Maswali na majibu.
Riwaya teule.
Kufafanua maudhui ya riwaya teule.
2 Utunzi. Hotuba. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Maigizo ya hotuba. KCM
Uk 136
aweze: Ufahamu wa kusikiliza.
Kueleza maana ya hotuba. Kujadili muundo na MWM
Kufafanua sifa za hotuba. ujumbe wa hotuba. Uk 90-2
Kuzingatia ujumbe katika hotuba. Kuandika.
Kuandika hotuba.
3 Kusikiliza na Mahojiano – Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Mahojiano. KCM
Uk 137-8
kuzungumza. Jopo la waajiri. aweze: Maigizo.
Kueleza sifa za mahojiano katika jopo Majadiliano. MWM
la waajiri. Uk 92-3
Kuendesha mahojiano.

14
4 Fasihi yetu. Soga. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Maelezo na ufafanuzi. KCM
Uk 138-9
aweze: Ufaraguzi.
Kueleza maana ya soga. Majadiliano. MWM
Kufafanua sifa za soga. Maswali na majibu. Uk 93-4
Kubainisha mafunzo katika soga.
Kutoa mfano wa soga.
5 Fasihi. Tamthilia. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Maelezo, Kitabu teule.
aweze: Mifano,
Kuzitambua mbinu na fani mbalimbali Uchambuzi.
zilizotumika katika tamthilia. Maswali na Majibu,
Uhakiki.

6 Kusoma na kuandika. Ufahamu. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Usomaji. KCM


Uk 140-2
aweze: Utafiti.
Kusoma taarifa kwa ufasaha. Ufaraguzi. MWM
Kujibu maswali kwa usahihi. Utatuzi wa mambo. Uk 94-6
Kueleza msamiati uliotumika. Uchunguzi kifani.
Kamusi.
Kuzingatia mafunzo.

4 1-2 Sarufi. Vijensi vya sentensi Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Kusoma. KCM
Uk 142-6
I. aweze: Maelezo.
Kubainisha vijensi vya sentensi. Maswali na majibu. MWM
Kutunga sentensi ili kudhihirisha Uchunguzi. Uk 96-7
vijensi maalumu. Majadiliano.
Kamusi.
3 Ufasaha wa lugha. Dayologia. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Uigizaji. KCM
Uk 146-8
aweze: Maelezo.
Kusoma na kuigiza dayologia kwa Ufafanuzi. MWM
ufasaha.. Maswali na majibu. U97-8
Kujibu maswali kutokana na dayologia. Kazi mradi.
Kuandika dayologia.
4 Fasihi teule. Maudhui katika Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Maelezo. KCM
Uk 148-150
hadithi fupi. aweze: Utafiti.
Kueleza maana ya maudhui. Ugunduzi. MWM
Kueleza vigezo vya kuzingatia katika Uhakiki. Uk 98-99
uchambuzi wa maudhui.
Kufafanua maudhui ya hadithi.
5-6 Fasihi. Kusoma kwa kina. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Kusoma. Kitabu teule,
aweze: Kusikiliza. Mwongozo.
Kundodoa matUkio makuu katika Kuandika.
maonyesho. Kujadiliana.
Kutambua maudhui yanayoendelezwa Uchambuzi.
katika tamthilia.

15
5 1 Utunzi. Mahojiano. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Maelezo. KCM
Uk 150
aweze: Kuigiza.
Kufafanua muundo wa mahojiano. Kuandika. MWM
Kuandika insha ya mahojiano kwa Maswali na majibu. Uk 99-00.
ufasaha.
2 Kusikiliza na Wavuti. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Uchunguzi. KCM
Uk 151
kungumza. aweze: Majadiliano.
Kutumia mavuti ipasavyo. Maelezo. MWM
Kuzingatia ujumbe katika wavuti. Ufafanuzi. Uk 100-1.

5 3 Kusoma na kuandika. Ufahamu. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Usomaji. KCM


Uk 140-2
Taarifa ya wavuti. aweze: Utafiti.
Kusoma taarifa kwa ufasaha. Ufaraguzi. MWM
Kujibu maswali kwa usahihi. Utatuzi wa mambo. Uk 94-6
Kueleza msamiati uliotumika. Uchunguzi kifani.
Kamusi.
Kuzingatia mafunzo.

4 Fasihi yetu. Malumbano ya Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Uchunguzi kifani. KCM
Uk 151-33
utani. aweze: Maelezo.
Kuchunguza mifano ya malumbano ya Mifano. MWM
utani. Maswali na majibu. Uk 101
Kupambanua aina za utani.
Kueleza matumizi ya lugha katika
malumbano ya utani.
Kufafanua dhima ya malumbano ya
utani.
5,6 Fasihi. Kusoma kwa kina. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Kusoma. Kitabu teule,
aweze: Kusikiliza. Mwongozo.
Kutambua maudhui yanayoendelezwa Kuandika.
katika tamthilia. Kujadiliana.
Uchambuzi.

6 1-2 Sarufi. Vijensi vya sentensi Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Mifano. KCM
Uk 155-9
II aweze: Maelezo.
Kubainisha vijensi mbalimbali vya Maswali na majibu. MWM
sentensi kama shamilisho, vishazi na Uchunguzi. Uk 103-4
virai. Majadiliano.
Mikusanyo ya
Kutunga sentensi ili kudhihirisha maandishi.
vijensi maalumu.

16
3 Ufasaha wa lugha. Muhtasari. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Maswali na majibu. KCM
Uk 160-1
aweze: Uchunguzi kifani.
Kufupisha habari. Maelezo na ufafanuzi. MWM
Kufafanua hoja mbalimbali. Kuandika. Uk 104-5

4 Fasihi teule. Mafunzo tathmini Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Utatuzi wa mambo. KCM
Uk 162-3
katika riwaya. aweze: Uvumbuzi.
Kueleza mafunzo ya tathmini . Maswali na majibu. MWM
Kupambanua vipengele vya mafunzo Maelezo. Uk 105-6
ya tathmini. Uhakiki.
Kufafanua mafunzo ya riwaya ya
tathmini.
6 5,6 Fasihi. Kusoma kwa kina. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Kusoma. Kitabu teule,
aweze: Kusikiliza. Mwongozo.
Kutambua maudhui yanayoendelezwa Kuandika.
katika tamthilia. Kujadiliana.
Uchambuzi.
Uhakiki.
7 1
MAJARIBIO
2 Utunzi. Memo, Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Maelezo. KCM
Uk 164-6
baruaumeme, aweze: Mifano. MWM
ujumbe wa rununu. Kueleza maana ya memo, baruaumeme Uvumbuzi. Uk. 106-7
na ujumbe wa rununu. Utafiti. Mikusanyo ya
Kuandika baruaumeme, memo na Kuandika. baruaumeme,
Ujumbe wa
ujumbe wa rununu. rununu.

3 Kusikiliza na Mjadala. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Maelezo. KCM


Uk 167
kuzungumza. aweze: Ufafanuzi.
Kuendesha mjadala darasani. Mjadala. MWM
Kujadili hoja muhimu kwa mantiki na Mashindano. Uk. 107-9
ufasaha.
Kuzingatia mitindo ya kujadili.
4 Fasihi yetu. Mawaidha katika Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Ufaraguzi. KCM
Uk 167-8
fasihi simulizi. aweze: Utafiti.
Kueleza maana na umuhimu wa Majadiliano. MWM
mawaidha kama kipera cha fasihi Maelezo na ufafanuzi. Uk. 109-111
simulizi.
Vielelezo vya
Kufafanua sifa na dhima za mawaidha. mawaidha.
Kuandika mawaidha kwa usahihi.

17
5 Fasihi teule. Mafunzo ya tathmini Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Majadiliano. KCM
Uk 167-8
katika fasihi aweze: Maelezo na ufafanuzi.
simulizi. Kufafanua mafunzo yanayojitokeza Maswali na majibu. MWM
katika vipera vya fasihi. Uk. 111-2

6 Fasihi. Kusoma kwa kina. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Kusoma. Kitabu teule,
aweze: Kusikiliza. Mwongozo.
Kutambua maudhui yanayoendelezwa Kuandika.
katika tamthilia. Kujadiliana.
Uchambuzi.
Uhakiki.
8 1 Kusoma na kuandika. Ufahamu. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Usomaji. KCM
Uk 169-171
aweze: Uvumbuzi.
Kusoma kwa ufasaha. Maelezo. MWM
Kueleza ujumbe wa kifungu. Majadiliano. Uk 111-3
Kujibu maswali ya ufahamu. Kujibu maswali.
Kamusi.

2-3 Sarufi. Uchanganuzi wa Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Maelezo. KCM


Uk 171-5
sentensi. aweze: Uchunguzi.
Kueleza maana ya uchanganuzi wa Mifano. MWM
sentensi. Ufafanuzi. Uk 113-4
Kufafanua sentensi sahihi ambatano na Kujaza majedwali.
Majedwali.
changamano. Mazoezi.
Kueleza vijenzi vya sentensi baada ya
uchanganuzi.

4-5 Ufasaha wa lugha. Ukanushaji wa Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Tajriba.


KCM
nyakati na hali. aweze: Mifano. Uk 176-880
Kufafanua jinsi ya kukanusha kwa Maswali na majibu.
kutegemea nafsi, nyakati, na hali. Maelezo. MWM
Kubainisha maumbo ya viambishi vya Mazoezi. Uk 124-5
ukanushaji.
Kubadilisha sentensi katika hali
yakinifu au hali kanushi.

6 Fasihi. Mtindo wa Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Majadiliano. Kitabu teule.


mwandishi katika aweze: Mifano.
tamthilia. Kueleza mtindo wa mwandishi katika Maelezo na ufafanuzi.
tamthilia (fulani). Maswali na majibu.

18
9 1 Utunzi. Insha ya masimulizi. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Ufafanuzi. KCM
Uk 182
aweze: Masimulizi.
Kufafanua sifa za insha ya masimulizi. Mifano. MWM
Kusimulia kisa kwa sauti. Kuandika. Uk 126-7
Kuandika insha ya masimulizi.

9 2 Kusikiliza na Ilani na onyo. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Maigizo. KCM


Uk 183-5
kuzungumza. aweze: Mifano.
Kueleza ilani na onyo. Kuandika. MWM
Kujadili ujumbe katika ilani na onyo. Maelezo na ufafanuzi. Uk 127-8

3 Fasihi yetu. Maigizo. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Maigizo. KCM


Uk 185-6
aweze: Maelezo.
Kueleza maana na sifa za maigizo. Mifano. MWM
Kuzingatia ujumbe katika maigizo. Maswali na majibu. Uk 128-9

4 Ufahamu. Tohara. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Kusoma na kukariri. KCM


Uk 187-8
aweze: Kuigiza.
Kusoma na kUkariri kwa ufasaha. Uchunguzi. MWM
Kuhifadhi kiini cha habari katika Maswali na majibu. Uk. 129-130
shairi.
Kamusi.
Kujibu maswali ya shairi.

5 Fasihi teule. Maafunzo na Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Usomaji. KCM


Uk 180-2
tathmini katika aweze: Uhakiki.
hadithi fupi. Kufafanua mafunzo yanayojitokeza Majadiliano. MWM
katika hadithi fupi. Uchambuzi wa Uk 126
Kueleza namna ya kushugulikia maudhui.
Mkusanyo teule
tathmini katika utanzu wa hadithi fupi. wa hadithi fupi.

6 Fasihi. Wahusika. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Majadiliano. Tamthilia –


kitabu teule.
aweze: Maelezo.
Kueleza sifa za wahusika wakuu katika Uchambuzi.
tamthilia. Maswali na majibu.

19
10 1 Sarufi. Mnyambuliko wa Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Uchunguzi. KCM
Uk 188-94
vitenzi I. aweze: Mifano.
Kueleza mnyambuliko wa vitenzi. Ufafanuzi. MWM
Kuainisha kauli mbalimbali za vitenzi. Maswali na majibu. Uk 130-1
Kufafanua maana ya vitenzi katika Mazoezi.
Chati –
kauli mbalimbali. viambishi vya
vitenzi.
2 Ufasaha wa lugha. Muhtasari. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Utatuzi wa mambo.
KCM
Janga la Tsunami. aweze: Uchunguzi kifani. Uk 194-6
Kusoma taarifa kwa makini. Kuigiza.
Kufupisha habari. Maswali na majibu. MWM
Kufafanua hoja. Uk 131-2
Kuzingatia mafunzo katika taarifa. Ramani, picha.
3-4 Fasihi teule. Chimbuko na usuli Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Maelezo. KCM
Uk 196-8
wa tamthilia. aweze: Ufafanuzi.
Kueleza chimbuko na usuli wa Uchunguzi kifani. MWM
tamthilia. Ugunduzi. Uk 132-3
Kueleza mikindo ya tamthilia. Maswali na Majibu.
Kupambanua usuli wa tamthilia.

5-6 Fasihi. Wahusika. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Majadiliano. Tamthilia –


kitabu teule.
aweze: Maelezo.
Kueleza sifa za wahusika wakuu katika Uchambuzi.
tamthilia. Maswali na majibu.
Uhakiki.
Kuandika.

20
11 1 Kusikiliza na Wimbo. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Uimbaji. KCM 201
kuzungumza. aweze: Maelezo. MWM
Kuimba wimbo kwa mahadhi Majidiliano. Uk 133-5
yanayovutia.
Kujadili ujumbe wa wimbo.
Kuainisha wimbo.
Kuzingatia mafunzo katika wimbo.
2-3 Fasihi yetu. Nyimbo. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Uimbaji. KCM
201-5
aweze: Maelezo.
Kupambanua sifa na muundo wa Makundi. MWM
nyimbo. Majidiliano. Uk 135-7
Kuainisha nyimbo.
Kutambua mafunzo ya nyimbo
mbalimbali.
4 Kusoma na kuandika. Ufahamu. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Usomaji. KCM
141-4.
aweze: Ufafanuzi. MWM
Kueleza taarifa. Tajriba. UK. 101-3.
Kueleza chanzo na madhara ya ufisadi. Makundi. Kamusi.
Kujibu maswali. Mjadala.

5-6 Sarufi. Hali ya kuamuru. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi Ufafanuzi. KCM
207-9
aweze: Maelezo.
Kueleza dhana ya kuamrisha. Majadiliano. MWM
Kubainisha vigezo vinavyotawala hali Tajriba. Uk 139-40
ya kuamrisha. Mazoezi.
Kutunga sentensi katika hali ya
kuamrisha.
12,
MTIHANI WA MWIGO WA K.C.S.E.
13

21
MAAZIMIO YA KAZI KIDATO CHA NNE MUHULA WA TATU 2020
KIPINDI
NJIA ZA
UMA

MADA KUU SHABAHA MAONI


MADA NDOGO KUFUNDISHIA NYENZO

1 1 Utunzi. Maagizo ya maelekezo. Kufikia mwisho wa somo, Maelezo. KCM


Uk 214
mwanafunzi aweze: Majadiliano.
Kueleza maana ya maagizo ya Tajriba. MWM
maelekezo. Kuandika. Uk. 142

2 Kusikiliza na Mjadala bungeni. Kufikia mwisho wa somo, Uchunguzi kifani. KCM


Uk 215-7
kuzungumza mwanafunzi aweze: Maigizo.
Fasihi yetu. Kuigiza mjadala bungeni ipasavyo. Mifano. MWM
Kufafanua majukumu ya watu Uk. 142-3
mbalimbali bungeni.
Kutoa maoni kuhusu mjadala
bungeni.
3 Ufasaha wa Muhtasari- Kufikia mwisho wa somo, Usomaji. KCM
Uk 209-11
lugha. Nyimbo za kazi. mwanafunzi aweze: Maswali na
Kusom taarifa kwa ufasaha. majibu. MWM
Kufupisha taarifa na kueleza ujumbe Makundi. Uk 140-1
uliomo. Maelezo.
Kuandika.
4 Fasihi yetu. Maghani. Kufikia mwisho wa somo, Maelezo. KCM
Uk 217-8
mwanafunzi aweze: Ufafanuzi.
Kueleza maana ya maghani. Maswali na MWM
Kueleza sifa za maghani. majibu. Uk 143
Makundi.
Uchunguzi kifani.
5,6 Fasihi teule. Fani katika tamthilia. Kufikia mwisho wa somo, Maelezo. KCM
Uk 211-4
mwanafunzi aweze: Tajriba.
Kueleza vipengele vya fani, yaani Maswali na MWM
mtindo, muundo, matumizi ya lugha majibu. Uk. 141
na usawiri wa wahusika. Maigizo.
Kuchambua fani katika tamthilia Kuandika.
teule.

22
2 1 Kusoma na Ufahamu. Kufikia mwisho wa somo, Usomaji. KCM
218-220
kuandika. mwanafunzi aweze: Utafiti.
Kusoma taarifa kwa ufasaha. Utatuzi wa MWM
Kujibu maswali kwa usahihi. mambo. Uk 144-5
Kueleza msamiati uliotumika. Uchunguzi kifani.
Kamusi.
Kuzingatia mafunzo.

2 Sarufi. Viambishi maalumu. Kufikia mwisho wa somo, Vielelezo. KCM


Uk 220-3
mwanafunzi aweze: Ufafanuzi.
Kufafanua matumizi ya viambishi Mifano. MWM
maalumu. Majadiliano. Uk. 145-6
Kutunga sentens kwa kutumia
viambishi maalumu.
3 Ufasaha wa Muhtasari. Kufikia mwisho wa somo, Maelezo. KCM
Uk 223-5
lugha. mwanafunzi aweze: Tajriba.
Kusoma na kufupisha habari Utatuzi wa MWM
ipasavyo. mambo. Uk. 146

4-5 Fasihi teule. Maudhui katika tamthilia. Kufikia mwisho wa somo, Tajriba. KCM
Uk 225-7
mwanafunzi aweze: Mjadala.
Kueleza maudhui na dhamira. Maswali na MWM
Kubainisha vipengele vinavyobeba majibu. Uk. 146-7
maudhui. Uchambuzi.
Kufafanua maudhui ya tamthilia Kuandika.
teule.
6 Utunzi. Insha ya maelezo. Kufikia mwisho wa somo, Maelezo. KCM
Uk 227-8
mwanafunzi aweze: Majadiliano.
Kufafanua sifa za insha ya maelezo. Tajriba. MWM
Kuandaa vidokezo vya insha. Utafiti. Uk. 147-8
Kuandika insha ya maelezo kwa Mahojiano.
usahihi.
3 1-2 Kusikiliza na Umuhimu wa utafiti. Kufikia mwisho wa somo, Ufaraguzi. KCM
Uk. 229
kuzungumza. mwanafunzi aweze: Mifano.
Kueleza maana na umuhimu wa Uchunguzi. MWM
utafiti. Kuandika. Uk 148-150
Kuzingatia mafunzo kutokana na
mada.
Kueleza maana ya istiali.

23
3 3 Fasihi yetu. Ngomezi. Kufikia mwisho wa somo, Uchunguzi. KCM
Uk. 229-230
mwanafunzi aweze: Ufaraguzi.
Kueleza maana ya ngomezi. Utafiti. MWM
Kufafanua matumizi na manufaa ya Mifano. Uk 150-2
ngomezi katika jamii ya kisasa. Maelezo.
Ufafanuzi.
4-5 Sarufi. Mnyambuliko wa vitenzi Kufikia mwisho wa somo, Uchunguzi. KCM
Uk. 179-81.
kutokana na shina II. mwanafunzi aweze. Mifano. MWM
Kubainisha maumbo ya vitenzi Maelezo. Uk.
Ufafanuzi. 131-2.

6 Kusoma na Ufahamu. Kufikia mwisho wa somo, Usomaji. KCM


230-2
kuandika. mwanafunzi aweze: Utafiti.
Kusoma taarifa kwa ufasaha. Utatuzi wa MWM
Kujibu maswali kwa usahihi. mambo. Uk 152-3
Kueleza msamiati uliotumika. Uchunguzi kifani.
Kamusi.
Kuzingatia mafunzo.

4 1-2 Fasihi teule. Mafunzo tathmini katika Kufikia mwisho wa somo, Uchanganuzi. KCM
237-240
tamthilia. mwanafunzi aweze: Ufafanuzi.
Kueleza namna ya kupata mafunzo Majadiliano. MWM
katika tamthilia. Maswali na Uk 56-7
Kupambanua mafunzo kwenye majibu.
tamthilia teule.
Kueleza yanayolengwa katika
tathmini ya tamthilia.
3-4 Utunzi. Barua kwa mhariri wa gazeti. Kufikia mwisho wa somo, Mifano. KCM
240
mwanafunzi aweze: Majadiliano.
Kueleza muundo na sifa za barua Maelezo. MWM
kwa mhariri wa gazeti. Ufafanuzi. Uk 157-8
Kuandika barua kwa mhariri wa Tajriba.
gazeti. Kuandika.

5-6 Ufasaha wa Muhtasari – mikakati ya Kufikia mwisho wa somo, Mifano. KCM


Uk 235-7
lugha. kuimarisha Kiswahili. mwanafunzi aweze: Masimulizi.
Kufafanua mikakati inayotumika Maelezo. MWM
kuimarisha Kiswahili. Kufupisha. Uk 155-6
Kuandika muhtasari wa habari Kuandika.
kulingana na maagizo.

5-6 MTIHANI MWIGO


7-10 K.C.S.E.

24

You might also like