Professional Documents
Culture Documents
Notisi Za Mada Ya Kwanza
Notisi Za Mada Ya Kwanza
Muhtasari wa Mada
Mada hii inatalii kwa muhtasari uga wa mbinu za ufundishaji na ujifunzaji wa lugha ya pili.
Inaelezwa bayana kuwa katika karne ya 20, tafiti katika eneo hili zilijikita katika kutafuta mbinu
moja iliyo muafaka kuliko nyngine zote na hivyo kuweza kutumiwa katika mazingira yote.
Aidha, mwelekeo huu unaonekana kubadilika katika zama hizi za karne ya 21. Leo tafiti katika
eneo hili hazijikiti katika kutafuta mbinu moja muafaka. Imebainika kuwa mazingira ya
ufundishaji yanatofautiana na hivyo mwalimu sana anapewa nafasi ya kutumia mbinu anayoiona
uafaka kulingana na mahitaji yaliyopo darasani kwake na katika mazingira yake. Kwa muhtasari,
tunaelezwa juu ya mbinu mbalimbali zilizojitokeza huku baadhi zikiwa maarufu na kukubaliwa
zaidi huku nyingine zikishindwa kuwa na ukubalifu katika eneo pana. Mwisho, mada hii
inajikita katika kufafanua sababu za watafiti kuachana na jitihada za kutafuta mbinu moja
muafaka ya ufundishaji na ujifunzaji wa lugha.
Malengo ya Ujifunzaji
Kufikia mwishoni mwa mada hii, wanafunzi wataweza:
Kueleza mambo ya msingi yanayoshughulikiwa katika uga wa mbinu za ufundishaji wa
lugha;
Kulinganisha tafiti kuhusu mbinu za ufundishaji na ujifunzaji wa lugha za kipindi cha
kabla ya karne ya 21 na zile za kipindi cha karne 21;
Kujadili sababu za kujikita kutafuta mbinu moja muafaka ya ufundishaji na ujifunzaji;
Kujadili sababu za kuachana na mwelekeo wa kutafuta kuwa na mbinu moja muafaka.
lugha ziliegemea katika kutafuta mbinu moja muafaka ya ufundishaji na ujifunzaji wa lugha. Hii
ilisababisha mbinu iliyotangulia kutenguliwa na mbinu iliyofuatia. Hivyo kwa kila mbinu
iliyokuwepo ilikuwa na chukulizi kuwa yenyewe ni mbinu bora zaidi na iliyoegemezwa katika
nadharia kuhusu lugha na zile kuhusu ujifunzaji zinazotazamwa kuwa bora zaidi. Hivyo basi,
1
katika karne hii ya 20, kulikuwa na mabadiliko na uvumbuzi wa mara kwa mara. Hii ilichangia
yaliyojitokeza katika mbinu za ufundishaji. Hii ni sawa na kusema kuwa badala ya mkabala
kuongoza ujitokezaji wa mbinu za ufundishaji wa lugha, mbinu ndizo zilizoongoza kuibuka kwa
ufundishaji wa lugha ya pili au kigeni. Kwa zaidi ya miaka mia moja, midahalo na mijadala
katika taaluma ya ufundishaji imejikita katika masuala kama vile nafasi ya sarufi katika mtaala
katika uundaji wa kozi, nafasi ya msamiati katika ujifunzaji wa lugha, ufundishaji wa stadi za
stadi nne za lugha, nafasi ya zana za ufundishaji na teknolojia. Licha jitihada kubwa kufanyika
kuhusiana na haya yote, bado jitihada zinazendelea ili kuboresha zaidi (Richard & Rodgers,
Hivyo basi, mabadiliko katika mbinu za ufundishaji wa lugha katika kipindi chote cha historia
yameakisi utambuzi wa mabadiliko katika aina ya ustadi unaohitajiwa na wanafunzi, kama vile
hatua kuelekea katika ustadi wa mazungumzo badala ya usomaji wa ufahamu kama malengo ya
ujifunzaji wa lugha. Aidha, yameakisi pia mabadiliko ya nadharia kuhusu namna lugha ilivyo na
Ufundishaji wa maada (neno hili ni tofauti na mada) yeyote ya somo mara nyingi huegemezwa
ujifunzaji zinazopatikana kutoka katika tafiti na nadharia zilipo katika saikolojia ya elimu.
2
Matokeo yanayopatikana hapa ndiyo ambayo kwa ujumla hurejelewa kama mbinu ya
ufundishaji au mkabala. Kwa pamoja hurejelewa kama seti kuu za kanuni za ufundishaji na
ujifunzaji zikiwa kwa pamoja na utendaji mbalimbali wa darasani unaotokana na kanuni hizo.
Hali ipo hivihivi hata katika ufundishaji wa lugha. Uga wa ufundishaji umekuwa hai sana katika
ufundishaji wa lugha toka miaka ya 1900. Mbinu na mikabala mipya imeshamiri sana katika
kipindi chote cha karne ya 20. Baadhi yake ilifanikiwa kupata kiwango cha juu cha umaarufu na
kukubalika katika vipindi fulani vya wakati na baadaye kutenguliwa na mbinu nyingine
zilizojiegemeza katika mawazo au nadharia mpya. Mifano ya mbinu hizi ni pamoja na Mbinu ya
Moja kwa Moja, Mbinu ya Sauti-Lugha, na Mkabala wa Kihali (Richard & Rodgers, 2001).
Baadhi ya mbinu kama vile Mbinu ya Ufundishaji Lugha Kimawasiliano ilikubalika duniani
pote. Ilifikia hata hadhi ya kuwa ndiyo mbinu inayoaminika kukubalika. Wakati huohuo, kuna
mbinu zilizjitokeza kama mdadala mbinu zilizokuwa zikikubalika zaidi, mbinu hizi zilipta kiasi
fulani cha uungwaji mkono katika uga wa ufundisha wa lugha. Pamoja na hayo, mbinu hizi
hazikufanikiwa kuwa na matumizi kwa kiwango kikubwa. Miongoni mwa mbinu hizi ni pamoja
na mbinu zilizojitokeza katika miaka ya 1970 kama vile Mbinu ya Ukimya, Ujifunzaji - Nasaha,
Tumeona kuwa karne yote ya 20, wataalamu waliweka jitihada kubwa kutafuta mbinu moja ya
ufundishaji itakayokuwa muafaka kuliko mbinu nyingine zote. Kufikia katikati ya miaka ya
1980, wataalamu walianza kubaini kuwa utafutaji wa mbinu moja tu hauna mashiko na ni
Brown anatabahisha kwa nini leo hii upataji wa mbinu moja muafaka ya ufundishaji sio malengo
3
Mbinu zinanekana kuwa ni zenye maelekezo sana huku zikiwa na chukulizi zilizozidi
Kwa ujumla, mbinu zinaonekana kuwa na upekee hususani mapema mwanzoni mwa
Mara ya kwanza ilifikiriwa kuwa mbinu za ufundishaji wa lugha zinaweza kupimwa kwa
na wale wenye nguvu. Hivyo zimekuja kutazamwa kama nyenzo za ubeberu wa kiisimu.
David Nanun (1991) kama anavyorejelewa na Brown (2002) anaeleza kwa nini hakuna tena haja
zote, anasema: “Sasa imedhihirika kwamba hakujawahi kuwa na huenda hakutakuja kutokea
kuwa na mbinu moja ya ufundishaji kwa wote.” Nunan (khj) anaendelea kutanabahisha kuwa
katika miaka ya hivi karibuni mkazo umekuwa katika utengenezaji wa kazi za darasani ambazo
Hivyo basi, inapaswa kufahamika vema kuwa sisi kama walimu tuliopata mwanga, tunaweza
mbalimbali tutakayokutana nayo darasani kwetu. Hii ni kutokana na ukweli kwamba katika
kipindi hiki mkazo umeondolewa kutoka katika mbinu za ufundishaji kuwekwa katika ujifunzaji.