Professional Documents
Culture Documents
YALIYOMO:
Utangulizi.......................................................................3
SEHEMU YA KWANZA:
FAIDA ZA SURA MBALIMBALI ZA QUR’AN TUKUFU
Faida ya Surat FAATIHA..............................................4
Faida ya Surat IKHLASWI............................................16
Faida ya Surat NNAS..................................................24
Faida ya Surat NASR..................................................29
Faida ya Surat HADIDY..............................................31
Faida ya Surat YASIIN.................................................36
SEHEMU YA PILI:
MASAAA YA KAZI ZA DUA NA TIBA MBALIMBALI
Siku ya Jumapili Shamsi......................................42
Siku ya Jumatatu Qamar....................................45
Siku ya Jumanne Mirihi........................................47
Siku ya Jumatano Atwarid/Utawarid...............49
Siku ya Alkhamis Mushtara..............................51
Siku ya Ijumaa Zuhurat........................................53
Siku ya Jumamosi Zohar.......................................55
SEHEMU YA TATU:
Majina 28 ya BARHATIH
Utukufu wa Majina 28 ya BARHATIH.........................58
Faida ya kuyasoma majina 28 ya BARHATIHI.........61
Utaratibu wa kuyasoma majina 28 ya BARHATIH...63
Matumizi ya majina ya BARHATIH.............................65
Kombe la majina ya BARHATIH.................................72
Ruqya ya majini ya Barhatihi....................................80
Faida za jina moja moja la Barhatih........................82
Page | 2
UTANGULIZI:
Kitabu hiki kimeandikwa na:-
Bashir Hussein Lugamba
Simu: +255 757 455 646
+255782 010 104
+255 672 410 104
+255 628 289 078
E-mail: ustadhbashir31@gmail.com/bashirustadh@gmail.com
Page | 3
SEHEMU YA KWANZA
FAIDA YA SURA MBALIMBALI ZA QU’RAN TUKUFU.
FAIDA YA SURATUL FAATIHA
(SURA YA 1)
Page | 4
1. NI KINGA YA MARADHI YOTE.
Page | 5
Basi utachukua maji katika chombo, kisha utaweka
katika kiganja chako huku ukiwa unaweka nia
yako ya kuhitaji M/Mungu akuleteeni mvua katika
eneo hilo. Kisha utaanza kusoma Surat FAATIHA
kwa kuirudia rudia hali ya kuwa yale maji yanavuja
kutoka katika kiganja chako cha mkono.
Page | 8
Utasoma Suratul Faatiha mara 21 kila baada ya
swalatil Fajri, kisha utasoma mara 22 Suratul Faatih
kila baada ya swalat Dhuhuri, kisha utasoma
Suratul Faatiha mara 33 kila baada ya Swalati
Raasir, kisha utasoma mara 24 kila baada ya
swalati Magharibi, kisha utasoma suratil Faatiha
mara 10 kila baada ya swalati Raishai.
Page | 9
13. KUSAFISHA NYUMBA KUTOKANA NA UCHAWI.
Utasomea katika maji Suratul Faatiha mara saba,
Ayatul Qursiyyu mara saba na Aya tano za
mwanzo za Suratu Jinni mara saba.
Page | 10
15. UKITAKA KUYAONA MAAJABU MBALIMBALI YA
M/MUNGU
Iwapo kama unahitaji kuyaona maajabu
mbalimbali ya M/Mungu na miujiza yake, basi
utasoma Suratul Faatiha kwa idadi ya mara 800
katika kikao kimoja kwa muda wa siku saba zenye
kufuatana, kisha unatia nia ya jambo lako hilo
unalohitaji. Hakika M/Mungu atakuonyesha
maajabu na miujiza yake katika dunia hii.
Page | 12
Katika herufi hizo zilizokosekana katika Suratul
Faatiha, kila herufi moja inasimama kuwakilisha
jina la M/Mungu.
1. F = FAARIDUN
2. J = JABBARUN
3. SHIN = SHUKURUN
4. THE = THAMITUN
5. DHW = DHWAHIRUN
6. KHE = KHABIRUN
7. ZE = ZAKIYYUN
Page | 14
Jumatatu Utasoma Aya ya pili katika Suratul
Faatiha mara 618.
Page | 16
na kitu Fulani, M/Mungu alizaliwa n.k. yote hayo
Mwenyezimungu alikuja kuyakanusha kupitia sura hii.
Page | 17
3. KUSAMEHEWA MADHAMBI YA MIAKA 100.
Mwenye kusoma Surat Ikhilaswi mara 101 katika
kikao kimoja M/Mungu atamsamehe madhambi
yake mtu huyo ya miaka 100.
Page | 20
13. KUTIBU MARADHI YA PRESHA, MOYO NA MARADHI
YA INI.
Utaiandika Suratul Ikhilaswi mara tatu Suratul
Faatiha mara tatu, Surat Falaq mara tatu na
Suratul Nnas mara tatu katika karatasi nyeupe
kwa wino wa dhafarani. Kisha utayaosha
maandishi hayo kwa maji safi. Kisha ndani ya maji
hayo utaweka na maji ya waridi (woter rose)
chupa mbili.
Page | 26
5. KUMVUTA MTU ALIOKO MBALI.
utachukua ubani maka, ubani dhukra kisha
utauchanganya pamoja, kisha utatia nia yako ya
kuhitaji kumvuta mtu uliyemkusudia baada ya
hapo utaupuliza ubani huo.
Page | 27
Kisha utasoma Surat nnasi kwa idadi ya mara 500.
Na kila ukifika mara 100, utakuwa unatia nia yako
hapo mpaka unamaliza kusoma kwa idadi ya
mara 500. Dua hii utaifanya mara tatu kwa siku tatu
tofauti tofauti. INSHAALLAH kitu chako kitarajeshwa
haraka sana.
Page | 28
FAIDA YA SURAS NASRI
(SURA YA 110)
Page | 30
Kisha mafungu hayo ya mizizi utakwenda kufukia
katika pembe nne za eneo unalotaka kulifunga
ima shamba, nyumba ua eneo lako la biashara
dhidi ya wezi au majini au wanga au wachawi.
Page | 31
Surat HADIDY ni sura ya 57 katika kitabu kitukufu cha
Qur’an sura hii ni miongoni mwa sura tukufu sana
katika kutibu maradhi yatokanayo na uchawi na
majini. Pia sura hii kama mtu ataitumia katika kuweza
kinga katika mwili wake basi mtu huyo atakuwa na
kinga ya mwili mithiri ya chuma. Kama sura hii
itatumika kwa ajili ya kuweka kinga ya nyumba au
sehemu ya biashara au shamba lako, basi eneo hilo
haliwezi kuchezewa na jinni, mchawi au mwanga
yoyote na patakuwa na kinga madhubuti sana eneo
hilo, tuangalie baadhi ya faida za sura hii katika tiba.
Page | 34
7. KUONDOA NUKSI NA MABALAA KATIKA MWILI.
Utaziandika hizo aya nne za mwanzo za Surat
Hadidy katika karatasi kwa wino wa dhafarani
iliyochanganywa na marashi ya miski. Kisha
utayaosha maandishi hayo kwa maji ya zamzam
au maji ya mvua ya kutegwa. Kisha maji hayo
utayaweka juani kutwa nzima yapigwe na jua.
Page | 36
Kama bado hujakipata kitabu hicho unaweza
ukawasiliana na mimi kupitia anuani au namba ya
simu iliyopo mwanzoni mwa kitabu hiki.
Page | 38
i.e kila utakapotaka kufunga karatasi moja basi
utaanza tena kusoma surat Yasiin kuanzia aya ya
kwanza mpaka aya ya tisa.
Page | 39
Hakika jambo lako litakuwa kama utafanya zoezi hilo
kwa usahihi bali kukosea sehemu au hatua yoyote
katika hizo nilizozitaja hapo juu.
Page | 40
mvua yatoke mawinguni yaingie moja kwa moja
katika chombo hicho.
SEHEMU YA PILI
SAA ZA KAZI KATIKA KAZI ZA DUA NA TIBA
MBALIMBALI
Saa za kazi katika kazi za dua na tiba mbalimbali ni
saa maalumu zenye kutawaliwa na watumishi wa
siku maalumu. Iwapo kama unahitaji kufanya dua na
unataka dua hiyo ikujibu haraka sana au unataka
kumfanyia mtu tiba Fulani, mfano, kumuondoshea
uchawi katika mwili wake, au kufunga kesi, au
kumuhamisha mtu kutoka sehemu moja kwenda
nyingine au kufarakarisha watu n.k. basi ni vizuri
ukazingatia kufanya jambo hilo ulilokusudia kwa
kufuata saa maalumu ya kufanya tukio hilo.
Page | 41
utawala wake katika siku au saa maalumu
analokuwa analitawala katika siku hiyo.
Page | 43
SHAMSI:
- Saa moja asubuhi - Shamsi
- Saa mbili asubuhi - Zuhurat
- Saa tatu asubuhi - Atwarid /Utwaridi
- Saa nne asubuhi - Qamari
- Saa tano asubuhi - Zohari
- Saa sita mchana - Mustara
- Saa saba mchana - Mirihi
- Saa nane mchana - Shamsi
- Saa tisa mchana - Zuhurat
- Saa kumi jioni - atwarid
- Saa kumi na moja jioni - Qamar
- Saa kumbi na mbili jioni - Zohari
- Saa moja jioni - Mustara
- Saa mbili usiku - Mirihi
- Saa tatu usiku - Shamsi
- Saa nne usiku - Zuhurat
- Saa tano usiku - Atwarid /Utwaridi
- Saa sita usiku - Qamari
- Saa saba usiku - Zohari
- Saa nane - Mustara
- Saa tisa usiku - Mirihi
- Saa kumi usiku - Shamsi
- Saa kumi na moja alfajiri - Zuhurat
- Saa kumi na mbili Alfajiri - Atwaridi
2) QAMAR – Jumatatu
Qamari ni mtawala wa siku ya Jumatatu katika
wiki. Utawala wa Qamari unapoingia katika siku,
hua anashughulika na mambo yafuatayo;
Page | 45
Qamari ambayo ni Jumatatu katika zile siku saba
za wiki.
QAMAR .
Saa moja asubuhi - Qamar
Saa mbili asubuhi - Zohari
Saa tatu asubuhi - Mushtara
Saa nne asubuhi - Mirihi
Saa tano asubuhi - Shamsi
Saa sita mchana - Zuhurat
Saa saba mchana - Atwarid/Utwarid
Saa nane mchana - Qamar
Saa tisa mchana - Zohar
Saa kumi jioni - Mustara
Saa kumi na moja jioni - Mirihi
Saa kumbi na mbili jioni - Shamsi
Saa moja jioni - Zuhurat
Saa mbili usiku - Atwarid
Saa tatu usiku - Qamar
Saa nne usiku - Zohari
Saa tano usiku - Mushtara
Saa sita usiku - Mirihi
Saa saba usiku - Shamsi
Saa nane - Zuhurat
Saa tisa usiku - Atwarid
Saa kumi usiku - Qamari
Saa kumi na moja alfajiri - Zohari
Saa kumi na mbili Alfajiri - Mushtara
Page | 46
Kwa hiyo katika siku ya Jumatatu Mtawala wa
siku hiyo ambaye ni Qamari hutawala masaa
manne katika masaa ishirini na nne, masaa
mawili ya mchana ambayo ni saa moja asubuhi
na saa nane mchana.
3) MIRIHI – Jumanne
Mirihi ni mtawala wa siku ya jumanne katika wiki
utawala wa mirihi unapoingia katika siku, mirihi
huwa anashughulika na mambo yafuatayo;
Page | 47
vi) Kumvuta mtu alioko mbali na mambo
mengine yanayofanana na hayo tuliyoyataja
hapa.
Hivyo unapoingia wakati wa Mirihi au saa ya mirihi
katika siku yoyote ya wiki, basi unaweza kufanya
shughuli za mambo hayo tuliyotaja hapo juu au
shughuli zinazofanana na mambo hayo hakika
jambo lako litakubalika na utapata majibu ya haraka
sana.
MIRIHI
o Saa moja asubuhi - Mirihi
o Saa mbili asubuhi - Shamsi
o Saa tatu asubuhi - zuhurat
o Saa nne asubuhi - Atwarid/Utwarid
o Saa tano asubuhi - Qamari
o Saa sita mchana - Zohari
o Saa saba mchana - Mushtara
o Saa nane mchana - Mirihi
o Saa tisa mchana - shamsi
o Saa kumi jioni - Zuhurat
o Saa kumi na moja jioni - Atwarid
o Saa kumbi na mbili jioni - Qamari
o Saa moja jioni - Zohari
o Saa mbili usiku - Mushtara
Page | 48
o Saa tatu usiku - Mirihi
o Saa nne usiku - Shamsi
o Saa tano usiku - Zuhurat
o Saa sita usiku - Atwarid
o Saa saba usiku - Qamari
o Saa nane - Zohari
o Saa tisa usiku - Mushtara
o Saa kumi usiku - Mihiri
o Saa kumi na moja alfajiri - Shamsi
o Saa kumi na mbili Alfajiri - Zuhurati
Page | 49
ii) Kuulainisha moyo wa mtu kwako.Kumfanya
mtu akupende kwa lazima au ampende mtu
mwingine
MUSHTARA
o Saa moja asubuhi - Mushtara
o Saa mbili asubuhi - Mirihi
o Saa tatu asubuhi - Shamsi
o Saa nne asubuhi - zuhurat
o Saa tano asubuhi - atwarid
o Saa sita mchana - Qamar
o Saa saba mchana - Zohari
o Saa nane mchana - Mushtara
o Saa tisa mchana - Mihiri
o Saa kumi jioni - shamsi
o Saa kumi na moja jioni - Zuhurat
o Saa kumbi na mbili jioni - Atwarid
o Saa moja jioni - Qamar
o Saa mbili usiku - Zohari
o Saa tatu usiku - Mushtara
o Saa nne usiku - Mirihi
o Saa tano usiku - Shamsi
o Saa sita usiku - Zuhurat
o Saa saba usiku - Atwarid
Page | 52
o Saa nane - Qamar
o Saa tisa usiku - Zohar
o Saa kumi usiku - Mushtara
o Saa kumi na moja alfajiri - Mirihi
o Saa kumi na mbili Alfajiri - Shamsi
6) ZUHURAT – Ijumaa.
Zuhurat ni mtawala wa siku ya Ijumaa katika wiki
akisaidiwa na watawala wengine sita ila yeye
ndiye mtawala mkuu katika siku ya Ijumaa.
Page | 53
iv) Kufanya shughuli za kuoa au kuanzisha
mapenzi au mahusiano na Fulani.
ZUHURAT
o Saa moja asubuhi - Zuhurat
o Saa mbili asubuhi - Atwarid
o Saa tatu asubuhi - Qamar
o Saa nne asubuhi - Zohari
o Saa tano asubuhi - Mushtara
o Saa sita mchana - Mirihi
o Saa saba mchana - Shamsi
o Saa nane mchana - Zuhurat
o Saa tisa mchana - Atwarid
o Saa kumi jioni - Qamar
o Saa kumi na moja jioni - Zohari
o Saa kumbi na mbili jioni - Mushtara
o Saa moja jioni - Mirihi
Page | 54
o Saa mbili usiku - Shamsi
o Saa tatu usiku - Zuhurat
o Saa nne usiku - Atwarid
o Saa tano usiku - Qamar
o Saa sita usiku - Zohar
o Saa saba usiku - Mushtara
o Saa nane - Mirihi
o Saa tisa usiku - Shamsi
o Saa kumi usiku - Zuhurat
o Saa kumi na moja alfajiri - Atwarid
o Saa kumi na mbili Alfajiri - Qamar
7) ZOHARI – Jumamosi
Zohari ni Mtawala wa siku ya Jumamosi katika
wiki akisaidiwa na watawala wa siku zingine,
lakini yeye ndiye mtawala mkuu wa siku ya
jumamosi.
Page | 55
ii) Kumfuka mtu au kumuhamisha mtu eneo lako
SEHEMU YA TATU
UTUKUFU WA MAJINA YA BARHATIHI
BARHATIHI NI NINI?
Majina haya kila jina moja lina faida nyingi vile vile
kila jina lina MAKHUDAMU (watumishi) wengi sana
zaidi ya elfu hamsini (50,000) unaweza ukalitumia jina
Page | 58
lolote katika majini hayo ishirini na nane na ukapata
MAKHUDAMU wa kukufanyia jambo lako lolote
unalolitaka.
Page | 59
MAJINA YENYEWE NI HAYA
MAJINA 28 YA BARHATIHI
Page | 60
Majina ya Barhatih ndio mama wa uganga kwa
sababu, kila jambo unaweza lifanya na likatimia na
vile vile sehemu yoyote Barhatihi inakubali Mujarrabu
sana.
Page | 61
8. INABATILISHA UCHAWI.
Page | 62
UTARATIBU WA KUYASOMA MAJINA YA BARAHATIHI.
Kabla ya kuanza kuyasoma majina ya barhatihi
kwanza utachukua udhuu ule wa swala kamili kisha
utaelekea qibra na kuswali Rakaa mbili za Sunatul
Hajja. Hali ya kuwa mwili, nguo na mahali pa
kuswalia pawe pasafi na twahara.
Page | 64
MATUMIZI MBALIMBALI YA MAJINA YA BARHATIHI
3. KUMZINDUA ALIYEZIMIA.
Ikiwa kama kuna mgonjwa amezimia kwa jinni au
kifafa au kurogwa na kila akiamshwa hajibu kitu
chochote, basi unaweza kutumia njia hii na
Page | 66
akazinduka haraka sana, bila mlolongo mrefu na
ukitekeleza amal hii ni tiba tosha ya mgonjwa
wako.
8. KUSAFISHA NYOTA.
Nyota ndio mfumo mzima wa maisha, nyota
inapochafuliwa, basi utaona mambo yako
yanakuendea hovyo. Kila unalolipanga
halifanikiwi au linaishia njiani n.k.
Page | 70
Ukitaka kusafisha nyota yako fanya yafuatayo
utayaandika majina yote ya BARHATIHI katika
karatasi kwa kutumia wino wa dhafarani kisha
utatia karatasi hizo katika maji. Kisha ndani ya
maji hayo utaweka na;
i) Maji ya waridi (water rose)
ii) Habati Nuksi
iii)Dawa inayoitwa Kasera bala
iv) Sukari ya mawe
Page | 73
huwekwa na wachawi na majini ili kukukwamisha
katika mambo yako mbali mbali.
Page | 75
ataondokana na changamoto hiyo ya kutokuwa
na nguvu za kiume haraka sana.
Page | 76
au chombo kilichokisafi. Kisha utayaosha
maandishi hayo kwa maji yaliyosafi.
Page | 78
8. KUBATILISHA UCHAWI MWILINI.
Hii ni njia nyingine inayotumika kubatilisha uchawi
mwilini na kutibu maradhi yatokanayo na uchawi
na majini.
Page | 79
RUQYA YA MAJINA YA BARHATIHI.
Miongoni mwa dua nzito sana na yeye matokeo
mazuri na ya haraka ni hii Ruqya ya majini ya
BARHATIH. Kisomo hichi cha majina ya BARHATIH ni
moto mkali sana dhidi ya majini na uchawi.
Page | 81
Zote utazichanganya pamoja kisha utakuwa
unachoma wakati wote unapofanya dua. Hakika
mgonjwa anaweza kudondoka chini au mashetani
kupanda kichwani na kupiga kelele za uchungu wa
maumivu. Au wanaweza kujidhihilisha hapo na
kukimbia mbali sana.
Page | 82
1. BARHATIH
2. KARIRY
Page | 87
(s.w). Hakika utanyenyekewa na kila kiumbe wa
ALLAH (s.w) katika mgongo huu wa ardhi.
Page | 88
KUPENDWA, KUKUBALIKA NA KUSIKILIZWA
KOKOTE UENDAKO DUNIANI.
Mwenye kuhitaji kupendwa, kukubalika na
kusikilizwa na watu na majini kokote aendako
duniani basi ataliandika jina hili la pili kwa
kiarabu katika karatasi kwa kalamu ya wino
mwekundu. Kisha karatasi hiyo hiyo utaisomea
jina hilo la la KARIRY mara 21, huku ukiwa
unaivukiza karatasi hiyo pindi unaisomea ubani
KANDARI.
Page | 90
KUMFANYA MTU AKUPENDE SANA.
Miongoni mwa faida za kushangaza za jina hili
ni kumtia mtu mapenzi ya kukupenda sana
mithiri ya kichaa. Mtu huyo atakuwa haambiwi
neno lolote baya kuhusu wewe akalisikilza
wala kuliamini kutokana na mapenzi yake
makubwa kwako.
3. TATILIHI
Page | 92
Utaliandika jina hili la TATILIHI kwa kiarabu katika
kitu kigumu (mfano ubao) kwa idadi ya mara
13. kisha utalisomea jina hilo hilo kwa idadi ya
mara 13. Kisha utafukia katika eneo la nyumba
yako kwa manuizi yako unayohitaji kama ni
kumuhamisha mtu au kufukuza vitu vibaya
katika nyumba yako n.k.
Page | 94
4. TWURAN
Page | 98
5. MAZJAR
6. BAZIJAL:
Page | 101
KUPATA KITU CHOCHOTE UKITAKACHO KUTOKA
KWA MWENYEZI MUNGU.
Kama unahitaji jambo lolote kutoka katika
hazina za Mwenyezi Mungu basi utaliandika
jina hili la BAZJAL kwa kiarabu katika karatasi
nyekundu kwa idadi ya mara moja.
Page | 102
nyumba utabatilika kabisa dua hii mujarabu
sana.
7. TARQAB.
Page | 103
wateja eneo hilo, dua hii ni mujarrabu sana
katika mvuto wa wateja katika eneo lako la kazi.
8. BARHASHI.
Utaratibu wake;
Ufikapo usiku wa kuanzia majira ya saa sita
mpaka saa 11 alfajiri, utaswali Rakaa mbili za
sunatil Hajja kisha baada ya salam utataja shida
yako hapo. Kisha utafanya Istighafari mara 100,
utamswalia mtume mara 100, na utasema YAA
LATWIFU mara 129.
Page | 104
Kisha baada ya hapo utaanza kulisoma jina hili
kwa idadi ya mara 1209. Na kila ukifika idadi ya
100, utakuwa unatia nia yako hapo, kisha
unaendelea tena mpaka utakapotimiza idadi
hiyo.
9. GHARMASH.
Page | 105
( Watumishi) zipo nyingi sana ambazo unaweza
ukafanya nao hao Makhudamu.
Masharti yake;
i. Pindi unapofanya A’amali hiyo unatakiwa uwe
(RIADHA) umejitengta na mambo yafuatayo.
Page | 106
10. KHUTWIR.
Page | 108
KINGA DHIDI YA UCHAWI NA KUBATILISHA
UCHAWI KATIKA MWILI.
Utaliandika jina hili mara 21 katika chombo au
karatasi nyeupe kwa wino wa dhafarani kisha
utayaosha maandishi hayo kwa maji safi kisha
maji hayo utayatumia kwa kunnywa kwa
muda wa siku saba mfululizo. INSHAALLAH mwili
wako utakuwa na kinga dhidi ya uchawi wa
aina yoyote utakaologwa au kutupiwa katika
mwili wako. Pia kama ndani ya mwili wako
kuna uchawi basi utakwenda kubatilika na
utakuwa salama kutokana na uchawi huo.
Page | 109
KUTIIWA NA KUPENDWA NA WATU.
Kama unahitaji watu wakutii na kukupenda
popote uendapo, basi utaliandika jina hili
katika chombo au kitu utakuwa unatembea
nacho kitu hicho, basi watu watakupenda
sana na kukutii sana utaandika kwa kutuimia
wino wowote wa kalamu.
Page | 111
11. QALNAHUWD:
Page | 113
KUMZUIA JINI ASIRUDI TENA KATIKA KICHWA
CHA MGONJWA.
Kama unawasiwasi wa jinni aliyetoka katika
mwili wa mgonjwa wako anaweza kurudi tena
katika siku za mbele, basi ukitaka jinni huyo au
majini wa aina yoyote wasirudi tena basi
utaliandika jina hili katika karatasi kwa kalamu
ya kawaida kisha utampa mgonjwa abebe
jina hilo katika kichwa chake kwa siku nzima
(kama anavaa kofia, kilemba au ushungi basi
karatasi hiyo ataiweka kichwani kisha atavaa
ushungi au kilemba au kofia wa siku nzima).
Hakika jinni huyo hatorudi tena katika kichwa
cha mgonjwa milele. Inshallah
Page | 114
HITIMISHO:
Naamini kitabu hiki baada ya kukisoma vizuri na kukielewa,
kitakuwa kimekusaidia sana katika kujifunza elimu ya tiba
kupitia Qur’an tukufu na majina 28 ya Barlhatih.
Ninakusihi ufanyie kazi yale uliyojifunza kwa bidii ili uweze
kupata matokeo makubwa zaidi.
Ndugu msomaji wa kitabu hiki, katika kitabu hiki nimejaribu
kueleza mambo mengi na kufafanua kwa kina zaidi, lakini
na kusihi usikikose kusoma kitabu cha pili cha
“UTUKUFU WA MAJINA 28 YA BARHATIH”
Pindi kitakapotoka Inshaallah,
Pia unaweza kujipatia Nakala za vitabu vilivyopo vya Bashiri
Hussein Lugamba kwa kuwasiliana nae kwa namba
zifuatazo;-
+255 757 455 646
+255 782 010 104
+255 672 410 104
eBooks/softcopy (Nakala laini)
1. Maajabu ya miti shamba katika kutibu maradhi ya Kijiji
na uchawi No. 1
2. Maajabu ya miti shamba katika kutibu maradhi ya kijini
na uchawi no. 2.
3. Maajabu ya Qur’an tukufu katika kutibu maradhi na
kuondosha shida mbalimbali
TEMBELEA MITANDANO YA KIJAMII YA BASHIRI
YOUTUBE: Tiba Facts Oline TV (utapata video nyingi za
kukufundisha mambo mbalimbali yanayohusu tiba
kupitia Qur’an na miti shamba.
FACEBOOK: (a) Tiba Facts
(b) Qur’an and Herbals medicine
INSTAGRAM: Tiba Facts/Ustadh. Bashiri.
Page | 115