Professional Documents
Culture Documents
Zichore aya hizo katika sahani nyeupe kwa kutumia bawa la njiwa mweupe, KISha tia maji ya
angani/kisimani ya sa kumi asubuhi, katika sahani baada ya kuchora, ukikosa yote tumia rose
water,,
KISha somea kombe hilo suratul fat'ha 111, KISha ongea shida zako KISha malizia KWA kusema
WABIHAKKI ALIF LAM MIIM,👆 taja hizo herufi zote hapo juu, KISha useme tena wabi sirri
ALIF LAM MIIM, WABI SIRRI ALIF LAM RAA,malizia herufi zote hizo hapo juu,
Sasa ikiwa ni KWA ajili ya kuondoa uchawi na maradhi ndani ya mwili utatia kivumbani KISha
utakunywa na kujipaka,,
Ikiwa ni kwa ajili ya kufungua rizik na kuondoa vifungo bac utatia muosha fedha pamoja na nyota
ya jaa,na chumvi mawe, utatumia kujiosha mwili kutwa mara mbili,
Pia unaweza chora herufi hizo katika chungu KWA ajili ya kutoa majini ndani ya mwili na
nyumba pia ila zoezi hili nitafunza siku nyengine,
👴🏼👴🏼👴🏼
Wabillahi taufik
Kuota *kufukuzwa na hauna mbio* ishara ya kufungiwa kufungiwa nguvu zako, ima majin wako,
*kuota unakimbizwa kisha unapaa*, ishara ya majini wako hawana nguvu wanakimbia vita,
*Kuota unaanguka toka juu ya chochote*, ishara ya kusambaratika kiuchumi kufutwa kazi
biashara kufa,
*Kuota umeenda kaburin kulima au kujenga au kufanya kitu chochote tafauti na kuzika mti au
kuzika kitu,* ishara ya kuwaomba mait wako,
*kuota unataka kutwaa kitu kilicho ekwa juu*, ishara ya uganga ulio rithishwa,
Tutaendelea
*Kuota unakula wali na maharage au wali na mbona nyekundu*, ishara ya kuwa na utawala wa
bara na baharini unaitajika kuunganisha
*Kuota unasoma QURAN* tafasir inakuja kwa aya uliyo soma inamaanisha nini,
*Kuota unapigana na watu na kuwapiga,* ishara ya kuwa unazo nguvu za kupamban na uwadui
ila hauna kinga mwilini,mwisho utazidiwa tu
*Kuota Uko baharini unaogelea au umetulia unafurahiya*, ishara ya kuwa na majini wa baharini
*Kuota ndoto inayo jirudia rudia,,* hii ni ndoto ambayo hutakiwi kuipuuza hata kidogo na badala
yake FANYA juhudi kujuwa nini Maana yake
Bac chukuwa maji ya mgomba kunywa kutwa mara mbili asubuhi na jioni,
Asalam alaykum warhamatullah wabarakatu naam leo ndugu zangu leo natoa faida kwa
wanawake wenye tatizo la bridi ya Ugonjwa aidha ya kurogwa ukigundua unatatizo hilo
chakufanya tafuta makomamanga saba, moja andika bismillahi na aya ya kwanza katika surat fajir,
la pili andika aya ya pili, la tatu andika aya ya tatu la nne andika aya ya nne latano andika aya ya
tano la sita andika aya ya sita la saba andika aya ya saba kisha twanga hizo komamanga utachuja
kisha kunywa hakika tatizo litaisha biidhin allah
Assalam aleykum , Niko na dadangu anaumwa sana sehemu za Siri haswa hapa mwanzo
wakiharangwe ndani , na ameenda hospital akaambiwa ni infection but wakasema Kwa kuwa ni
mja mzito hawawezi kumpa dawa coz zitasababisha ujauzito kutoka je Kuna dawa ya kienyeji
ambayo mtu kama huyu anaweza kutumia?
Pata mafuta ya habat sauda,pamoja na zaitun, zaitun aipashe moto KISha achanganye na hiyo
habat sauda atumie kujipaka,
KISha apate mizizi ya mjafari achemshe anywe kwa wiki moja,
Kwa wenye shida ya miguu kufa ganzi au kupoza,
Changanya dawa hizo katika sufuria tia maji kisha badika katika moto hali umefinika
sufuria,hakikisha tunguja umezikata kata,
KISha maji yakichemka vyema epuwa KISha jifukize miguu yako na maji hayo,
KISha maji yakiwa yamepoa poa yaani yako wastani hayawezi kukuchubuwa nguzo au kukudhur,
bac tia miguu hiyo hapo ndani,,, mpaka maji yapoe,
Hakikisha miguu ukitia maji yapo moto moto unao choma kiasi yasiwe yamepoa sana,
FANYA kwa wiki moja zoezi hilo na hapo ugonjwa utaondoka hatakama ulikuwa umekinyaga vitu
va kichawi
Twaa kitambaa cheup chora jila la Allah mara 33, katika vitambaa saba, kisha fukiza kitambara
kimoja kila siku,
Chora jina hilo kwa zafarani iliyo tiwa miski nyeupe mafuta, kisha vitambaa hivyo vimwagie
miski mafuta vyote
KUFUNGUA KILA KITU.
Kuna watu katika mambo yao yamefungika Kila jambo wanalofanya matokeo yake kumaliza
muda na kuingia Katika hasara na majonzi.
Ukitaka kufungua mambo yako na kufanya kazi Kwa uwezo wake mwenyezi mungu Kila kitu
kiende sawa.
Soma surat Fatha mara Saba kabla ya Kulala ukiamka soma majina haya mara kumi يا فتاح يا رزاق
Unapokuw unalala lala ukiwa na udhu wako usiongee na mtu mpaka asubuhi ni funguo ya ajabu.
unaweza kuomba kujifugua maradhi,kupata ndoto,ndoa,baraka na nk mujarrabu Sana
Kwa kumtibia mtoto ambae hataki kusoma,
Andika khatam muthalitu kisha juu yake zungushia aya ya suratul Alak,,, AYA YA KWANZA
*IQRA BISMI RABBIKA LLADHII KHALAK* izungushe aya hiyo mara mara 33 kisha baada
ya kuandika mara hizo endelea kuandika mpaka *AALLAMAL IN SAANA MAA LAM YAA
LAM*
mpe kombe muhusika anywe na kujipaka in sha Allah, atarud katika masomo yake na atasoma
KWA bidii,,
(Hii ni nzuri sana KWA wale watoto wavivu wasio taka kusoma shule na madhrasa pia)
KUPINDUA MATOKEO YA TIMU PINZANI. UCHAWI WA MPIRA.
Chukua Mayai yako safi kulingana na idadi ya wachezaji wa timu pinzani walioko kwenye timu.
Pia chukua karafuu maiti na halititi zifunge funge kwenye karatasi ndogo ndogo tu hizo zote
zitachomwa na kila mayai yatakayo wekwa jokoni .
Jinsi ya kuandaa.
Kwenye kila yai andika Shikeri hizi kwa wino mweusi.
Jinsi ya kuifanya kazi. Andaa moto mkali uliokolea yaani tumia mkaa kwenye jiko. Kisha weka
mayai Matatu matatu kwenye jiko najisha nuiya kuifunga timu hivyo isipate ushindi kwenye
mechi yake na timu fulani pia tupia na karatasi lenye zile dawa za karafuu maiti na halititi jikoni
hapo.
Visomo.
Soma surat yasin hadi utakapo maliza kazi
Alam taarah
Tabbat adaa
Hivyo kazi hii muwe watu watatu au wanne. Ili zisomwe zote kwa pamoja pasipo kuacha hadi
mayai yaishe yote
Maji ya mvua ya angani ni mazuri sana kuondoa hasad,
Chora alam nashrah katika sahani nyeupe kisha osha kombe hilo na maji ya angani,. Somea sura
hiyo hiyo mara 33,fat'ha 71,kursiyyu 11,falak 11 ikhlasi 33, nas 11,kisha tia rose water tumia
kujipaka na kunywa kutwa mara mbili
Usisahau nia zako na pia usiongee na mtu ukiwa unafanya hilo zoezi
Mpulize KILA upande wa sikio lake mara saba baada ya kisomo, na mpe kombe anywe kutwa
mara mbili usiku na asubuhi sana kabla hajala,
Hii ni nzuri mpaka KWA watu wazima ambao wakiota wanasahau kumbu kumbu kuwa kidogo pia
ni mujarabu kabisa
*YA-KHAAFUDH*
*YA_MUDHILLU*
Mwenye kutaja majina haya usubuhi baada ya sala ya alfajiri na usiku baada ya sala ya ishai,
ataepukana na uwadui wote anao fanyiwa,. Na wanao mpiga vita hakika vitawarudia wenyewe,
Ila tu huu ni uradi wa kudum unatakiwa udumu nao, na unasomwa tu baada ya sala hivyo hii
inashiria ili uradi huu ufanye kazi lazima uwe mshika sala, wavivu wa kufanya ibada hii haita
wasaidia
Tumia maji vugu vugu kumuosha usitumie maji ya moto, yaani yasiwe moto wala baridi KISha
mpake dawa hiyo
Kifuwa kikavu?
Pia unaweza kumpatia habat sauda oriji sio ile ya mandera, changanya na asali anywe kijiko
kimoja kutwa mara tatu,
Pia anaweza tumia mdalasin ya unga pamoja na asali kutwa mara tatu,
Dawa hii ni mujarabu tena kwa magonjwa mengi ila hakikisha asali ni oriji isiwe skari guru
Mzinje ni dawa gani ama mvinje mwalim juma
Ameuliza mzinje sio mvuje, sasa mzinje ni mlonge
Kwa kenya mzinje ndo mlonge?
Na pia twauita mzungi
Ivi mwalim @Juma Nur👴🏼mlonge(mzinje) apa ni mbegu ndo hutumika ama majan 🙏🏾
Majani
Asalm alykm ndugu naomba mwenye anajua dawa yakutibu maskio yanayo toa uchafu mara
kwamara anielekeze tafadhali
Tafuta mafuta ya kuku wa kienyeji uwe unaweka kwenye masikio hayo kiasi kidogo
Mtie ndamwai
Kuondoa chunusi usoni,
Twaa kitunguu maji kisage,KISha kikande katika unga wa ngano kiasi, kisha changaya na yai
bichi pamoja na mafuta ya ufuta, tia na avakado,
Tumia kujipaka,
Hakika tiba Hii itaondoa kuharibika kwa uso,m'ba,mapele, pimpoz, na mengineyo mengi,
Wabillahi taufik
Tiba ya kijipu
Paka dawa hizi mchanga nyiko,
Ndamwai,
Mafuta ya dhimu,
Kitungu maji,kiponde
kitunguu saumu kiponde
Andika aya HII katika karatasi kwa zafarani iliyo changanywa na miski nyeusi,,
Andika hatam muthalithu KISha izungushie aya HII KISha funga katika mlango wa chumba
alicho kuwa analala muhusika,
َق َو ٰلَ ِكنَّ َأ ْكثَ َرهُ ْم اَل يَ ْعلَ ُمون ْ فَ َر َد ْدنَاهُ ِإلَ ٰى ُأ ِّم ِه ك
ٌّ َي تَقَ َّر َع ْينُهَا َواَل تَحْ زَ نَ َولِتَ ْعلَ َم َأنَّ َو ْع َد هَّللا ِ َح
Basi tukamrudisha kwa mama yake ili macho yake yaburudike, wala asihuzunike. Na ajue ya
kwamba ahadi ya Mwenyezi Mungu ni ya kweli, lakini wengi wao hawajui.
Pia unaweza FANYA zoezi hili bila kuandika chochote,,, amka usiku swali rakaa mbili KISha
soma aya hiyo mara 300 KISha tia nia zako
Kila siku au siku moja tu?
Kwa siku 7
Ina majibu mazuri sana hiyo in sha Allah
Ila samahani me sijaelewa alipotea vipi?: amekufa kimazingara wachaw wamemchukuwa au
kapotea kawaida tu. Inatumikaj apo mwalim jay
Kupotea kwa kawaida,,
Pia unaweza tumia kari kariatu, ila hii hakikisha hauna vidonda vya tumbo
Pumu hiyo
Tafuta ndevu zamahindi nyingi kisha chemsha Kisha anywe kutwa Mara mbili
A, alaykum naombeni dua au talasimu mjarabu yakumrejesha mtu kazini kastopishwa au
kafukuzwa haswaa
Okay msomee surat tiin yote mara sabini huku ukifusha bhukuri kheri pamoja na udi sandal ila
kwanza itaanza na kuswali sunat hajja rakaa 2 kwa manuizi yako kisha utakaa kitako utasoma fat-
ha 7, nash-raha 7 pamoja na ayat kursi 7 kisha soma hio surat tiin 70 kila mara 10 mtaweka
manuizi yenu hapo basi allah atajaalia kwa uwezo wake.... inshaallah
اومن كان ميتا فا حييناه وجعلناله نورا يمشي به في الناس وقدمنا الي ما عملوا من عم‡‡ل فجعلن‡‡اه هب‡‡اء منث‡‡ورا وق‡‡ل ج‡‡اء الح‡‡ق وزه‡‡ق
الباطل إن الباطل كان زهوقا قال موسي ما جئتم به السحر إن هللا سيبطله إن هللا ال يصلح عمل المفسدين إليه يصعد الكلم الطيب والعمل
الصالح يرفعه
Kufungua vifungo Andika kwazadarani Lisha Futa kwamaji yakisima kisichofikiw namwanga
wajua chota maji hayo usiku na Kombe andika usuku namatumizi niusiku kunywa nakujipaka
maji yawe kuanzia lita 3 mwiaho 5
Kuna tofauti gani kati ya KUINGILIWA NA JINI na KUINGILIWA NA UPEPO WA JINI?
JINI NA UPEPO WA JINI VINA TOFAUTI GANI VIKIINGIA MWILINI MWA MTU
Upepo wa jini ina MAANA jini huyu hayupo ndani yake ila ni madhara yake NDIO yapo,
Na kuingiliwa na jini kamili hapa ni jini yupo ndani yako na anakupelka na kukufanya kama
anavyo taka
Asala alykum kuna mtu amenidhamiria kunifanya ubaya please jaman naombeni kinga ili sihiri
atakayo nifanyia isinipate
Ni mama na mwanae wa kike wote ni waganga wa jadi (wachawi) wananisingizia mimi nawaroga
wakati cjui uchawi wowote na wamenitumia ujumbe kuwa wataniroga walimu naomben sana sana
Soma la haula walaa kuwwat mara 100,
Bismillah ladhii la yadhurru maaismu shai in fil ARDHI wala fii samaai wahuwa samiiul aadwim,
33
Hapo umefunga kazi, hata pia ukiwa katika ugeni ambao unajuwa huko kunawachawi au ndiko
kuna wabaya wako bc piga duwa hizo ni mujarabu kabisa,kinacho takiwa ni udhu na kuwa na
yakini
Kwa lila siku au siku moja tu
FANYA iwe nyiradi yako
SWALI:
JE, JINI MOJA LINA UWEZO WA KUWAINGIA NA KUWATAWALA WATU WAWILI KWA
WAKATI MMOJA?
NDIO..
A aleikum tiba ya kukohoa jaman
Asali na habat sauda
Tena hii ni nzury sana ustadh
Anywe kijiko kimoja cha asali na cha habat sauda, achanganye pamoja anywe kutwa mara mbili
Naam hiyo mujarabu kabisa
Mwalimu @Juma Nur👴🏼mtoto kama anasumbuliwa na mba (tangotango) nitumie dawa gani,?
Tale la nazi,.
Yaani kile kijinazi kidogo kinacho anza sasa,. Twaa hicho kisha suguwa katika jiwe na ule urojo
wake mpake mwenye mba
Samahani naomba kuuliza ili nifaam na tupate tiba ninarafiki yangu ana umri wa miaka 22 ila
kunakipindi aliniambiaga kua maeneo ya kiuno upande wa mgongo panahali ya joto kali na baada
ya hapo anakua kama mtu alomwagika jasho ila kahangaika kaambiwa kua ni michezo je
tumsaidiaje mana hata leo axubui kaniuliza yakwamba nimtaftie mtaaram ashuulikiwe je tufanyaje
twaitaji ushilikiano wenu
Mpe dawa ya mumiani
Habar za leo ndugu zangu naomba msaada kwa anaefaham presha iliyopanda naweza kutumia nini
kuishusha juzi nlijiskia vibaya nkaenda kupima nkaikuta iko 180-107. Nkapumzika jana leo pia
nkajuona sko poa nkaenda tena kupima nimekutwa na malaria 3 na presha iko 189 kwa 180
nitumie nini ili iweze kushuka
Tia maji katika jagi kisha maji hayo eka mvuje doge ndani yake, kisha yafanye ndio maji yako ya
kunywa kila unapo taka maji bac kunywa hayo ya dawa
Tumia hii pia nayo nzuri chukua majan ya mpera machanga kisha yachemshe yachemke
kwelikweli kisha acha yapoe yachuje kwenye chombo safi kisha tumia kunywa glass asubuhi
glasi mchana na glass usiku ..fanya hii kwa siku 3 majibu utayapata inshaallah
Asalm alykm warahmatullah wabarakatuh ndogu naomba dawa ya mwanamke mwenye akikaribia
siku zake za hedhi anaumwa ajabu mpaka kulia
Zathari
Au mpatie majani ya nanaa
Anachemsha ama VIP maalim
Anachemsha naam
Sawa mwalimu na je matumizi yake yapoje mwalim
Ipate kwanz kisha nitakupa maelkezo
Shida ya damu kwa kina mam!
FANYA kombe kwa kutumia maji ya zam zam, kama utakosa bac tia maji ya kawaida, ila
kwaanza tafuta zam zam, atakunywa mgonjwa kwa siku 11
Ikiwa mgonjwa ni maumivu na kuumwa wakati wa prd bac kombe lake atachanganya na dawa ya
zathar kwa kuichemsha na maji atachanganya na kombe kunywa,
Ikiwa mgonjwa ni wa kutokwa na damu zisizo za kawaida zimepitiliza bac atatia maji ya
kivumbani atachemsha kivumbani maji yake atachanganya na kombe lake
Mujarab 🙏
Wabillahi taufik
Katika ufanyaji wa kazi yako unatakiwa kuzingatia mda unao faa ili kazi Yako ikupe majibu ya
haraka na iwe ni 100% bila shaka, bac zingatia mda na kifukizo cha huo mda
Inakuwa mtu akiitaji kukishika kivuli chako bac hawezi kipat katu
Silaha ya KWANZA ya kuwashinda maadui zako ni ibada, jikurubishe sana kwa MUNGU
*JINNI MAQABIR,*
Leo tumuangalie jini HUYU anae kaa makaburin dalili zake kwa mgonjwa na sababu zake
kumuingilia mgonjwa,
4) kuzizimka mwili
Hizi ni baadhi za dalili mgonjwa anae kumbwa na jini huyu huwa nazo,,
2) kuanguka makaburin
3) kulala makaburini
8) jini huyu kukombolewa na wachawi, na hii ndio hatari zaidi maana jini huyu atakuja kwa kasi
ya ajabu ana atakuathiri sana kulingana na maagizi mchawi aliyo mpa jini huyo, ima kukuondoa
ulimwenguni, au kukusambaratisha katika shughl zako,
Ikiwa jini huyu kakuingia tu mwenyewe bac kutoka kwake ni rahis unaweza fanya mambo haya,
Kujipaka mafuta ya miski mara kwa mara wakati wa harufu hiyo iwe haikutoki mwilini, mchana
usiku,
Ila jini huyu ikiwa amefanya kukombolewa na wachawi bac hapo panaitajika elimu ya twabibu
kujuwa mbinu zilizo tumika na wachawi ili kuzipindua
(kipambanuzi nyakati mzuri na mbaya na saa zake na zinazolingana nazo kwa wema na ubaya)
(Jumapili)
saa
ambayo ni saa ya kulaumiwa saa mbaya ambayo usifanye lolote kati ya mambo hayo,
safiri ndani yake na andika dua za mahaba mapenzi upendo, kukubalika, na mengineyo,
Usifanye chochote ndani yake, wala msinunue chochote chenye manufaa kwa chochote,
ambayo ndani yake fanya haja zote, kwa kuwa ni nzuri kwa kila kitu, na ni furaha sana,
(Jumatatu)
inafaa kwa kutengeneza dawa za upendo, kufunga ndimi, na kuandaa dawa za mvuto mioyo ya
watu,
Inafaa kwa vitendo viovu kama vile umwagaji wa damu, kutokwa na damu puani, maradhi, kifo
na mengineyo kuadhibu mwizi na mtu dhwalim,
inafaa kwa kuandaa dawa za kukidhiwa haja au kuomba kazi na kuzifunga ndimi, za maadui na
kuvuta wapenzi,
(Jumanne)
Ni saa ya kufanya kazi za mivuto ya biashara na kuleta mteja na kununua na kuuza biashara,
inafaa kwa vitendo vya chuki, ufisadi, mabadiliko, uovu, talaka na mengineyo,
(Jumatano)
Usifanye chochote,
inafaa kwa kusafiri nchi kavu na baharini, basi fanyeni mtakalo ndani yake,
Anda dawa za watoto wanaolia na kuandika dua za kinga, kutokana na macho na kutazamwa na
vijicho,
(Alhamisi)
inafaa kwa kusafiri nchi kavu na baharini, na inafaa kwa kila jema ulitakalo,
(Ijumaa)
Fanya kazi katika kazi zingine zote, kwa maana zitafanikiwa na kukamilika,
(Jumamosi)
(1) Saa ya kwanza ya Zohali Fanya unachotaka kukubalika na kupendwa, kwani Zohali ya
kwanza ni saa hii ya furaha siku hii mwanzoni mwa mwezi kwa wema,
(2) Saa ya pili kwa mushitara,
Andaa dua na dawa za kuingia kwa wafalme na kuomba kazi kwa wakubwa na kutimiziwa haja
zako,
Andaa dua na dawa za kukubalika mbele za wakubwa na jamii, na kuwapatanisha wana ndoa,
Nyota ya jaa
mchekea
Mpendwa pendwa
Mharaka
Mvuto
Mgalula
Muosha fedha
Asali
Udi mawaridi
Mafuta ya ngekewa,
Changanya dawa hiyo kwa pamoja choma katika biashara kabla ufungue milango ya biashara
yako tia nia ZAKO KISha biashara itambe
Yatumie macho ya bundi kuona wachawi na kila kibaya utakacho fanyiwa au mtu akipanga
kukufanyia,
Pata macho ya bundi, saga yawe unga vizuri,, ila bundi huyu hatakiwi awe amekufa,, yaani usipate
aliekufa ndio ukatoa macho,
Saga upata unga unga, changanya na macho ya paka mweusi saga pata unga,
Changanya na damu ya mnyama yyto mweusi, kisha chanja katika paji lako la uso paka dawa
hiyo,
KISha na magotin
Kifuani, mikononi
mgongoni,
Hii ni kinga na nikufungua kuona wachawi na chchte kibaya mtu akitaka kukufanyia umeona tyr,,
Zikatia nia
Jinni Burhani
Ni Jini Aina ya Ruhani
Ni jinni asiepandaga kichwani pia huyu
Ni jinni maaLum kwa RamLi ama peleka khabar kwa kiti wake!
Baadhi ya watu wenye majinni Maimun huwa naye jini huyu maana yeye kazi yake ni
kuchukua taarifa na kumfanya kiti kuwa machale au kuishi kwa tahadhari! Majini hawa ni
adimu kuwa nawo ni Nadra sana! Maana pia hufuatana na Maimun maaLumu sio maimun
wote! Tukumbuke ya kwamba!
Maimun ni Koo La Majini
na hutumia wote huwa majina yao maaLumu ila tu humia koo Lao kujinasibu wapo maimun wa
anga wapo waishio baharini wapo wa kila kila aina ila wote hao kiongozi wao Ama mkuu wao
ni !
Maimun Abanukh na baada ya yeye ana wafuasi wake 7 walio chini yake kama wasaidizi!
ALLAH AALAM🙏
Chukua magadi fanya yawe unga KISha weka sehem yenye maumivu kwa siku mara tatu fanya
Hivyo na ugomjwa utapotea
Ikiwa unafanya mapambano na jini au umemuita jini kaanza kuja KISha gafla karudi na nyuma
bac FANYA hivi🙄
ٍ َض فَا ْنفُ ُذوا ۚ اَل تَ ْنفُ ُذونَ ِإاَّل ِبس ُْلط
ان ِ ْت َواَأْلر
ِ اوا ِ َس ِإ ِن ا ْستَطَ ْعتُ ْم َأ ْن تَ ْنفُ ُذوا ِم ْن َأ ْقط
َ ار ال َّس َم ِ يَا َم ْعش ََر ْال ِجنِّ َواِإْل ْن
Hii ni nzuri sana kuita jini KISha utakabiliana nae kwa unavyo taka wewe,,
ALLAH akiniwezesha nitakuja kuueLezea mti huu wa muembe hatua hadi hatua maana una
mambo makubwa mnoo wachawi hupendeLea sana kufanya mikutano yao chini ya mti wa
muembe pia wanapenda kuficha baadhi ya vitu vyao hapo Muembe ni kituo cha wachawi...✍️
*SIRI ZA KUFANIKIWA*
siri ya mafanikio ni kumshukur Mungu KWA unacho pata shukran kutoka NDANI ya moyo wako,
كهيعص
Chukuwa yai la kuku wa ASILI kisha ziandike herufi hizo katika yai hilo,
Piga kisomo chako cha kutoa majini unacho kijuwa, huku unafusha fusho chafu!(ikiwa hujuwi
kutaarisha fusho chafu nijuze nitakueleza)
Kisha baada ya kisomo hicho twaa yai lieke katika paji la uso huku ukisoma herufi hizo, zisome
kwa idadi nyingi,
Zisome hivii,,
Yaarabbi,mtoe mtu huyu majinni na uchawi kwa haki na kwa sirri ya kaf hee yee ain swad,
ukisoma kwa kiarabu itapendeza,,. Huku fusho lako linafuka karibu na mgonjwa,,.
Wabillah taufik🙏
Watu wingi hushikwa na magonjwa ya kupooza kwasababu ya kuto toa damu chafu
Kazi ya mahaba
Ugomjwa
Au kupepersha mtu
Mfano; unataka kuvutia mtu mpenzi wake, unamuangalia mtakwa nyota yake ni gani! Ukishapata
jawabu unaandaa wakfu wako,,, KISha unaziandika na herufi za nyota yake!
KISha unaenda saw na nyota yake! Ina Maana ikiwa nyota ya mlengwa ni maji bac utaenda zika
baharin, ikiwa ni upepo bac utaifunga mtini,ikiwa ni moto utaichoma,ikiwa ni mchanga utaizika,
Herufi za maji
دحلعرخغ
Za udongo
ضتصنيوب
Upepo
ظثقسكزج
Moto
اهطمفشذ
ا هطمهطلقيا يل
ب جرمهيا يل
طلقطيايل.ج
سكمهيا يل.د
عفريايل.ه
طونيايل.و
علمشيايل.ز
طفيايل.ح
عصطيايل.ط
هردقيل.ي
Naam utakapo zingatia malaika hawa, katika Kazi yako Baada ya kupata nyota ya mgonjwa wako
KISha ukaorodhesha herufi za nyota yake pamoja na KILA malaika anae simamia herufi hiyo, bac
bomu lako linaenda Kuwa mujarab, maana nia utakazo ziandika kuhus mgonjwa wako bac
sinakuwa kabuli,,
Haswaa Kazi za mahaba na kuvuta watu wengi hufeli kuvuta kwasababu ya kuto zingatia
muhusika nyota yake pamoja na herufi na malaika wake,,,.
Kazi ZA mvuto biashara, udalali, ugonjwa, mahaba na mengineyo! Utakapo zingatia nyota ya
mgonjwa herufi zake na malaika wa herufi basi bomu lako lina Kuwa mujarabu!!
Piga rakaa mbili zako usiku, KISha isome alam nashrah 33 na fat'h 71, KISha tia nia zako Allah
akuepushie KILA zito
Yaani mti uwe umemea njiani na mzizi wake ukadakae hiyo njia sasa inapelekea mtu akitaka
kupita lazima adakie huo mzizi, Ukiwa chini ya ardhi au peupe yote sawa,
Baada ya hapo saga mzizi huo vizuri tia maji,, kisha tia na dawa ya nyota ya jaa na muosha fedha,
oga maji hayo KWA siku 11
Kuhamisha mtu,
Kumzindika mtu,
Na kwa njia hiyo utajiondoa hasad na kifungo cha rizik tumia kuoga kutwa mara moja yaani
asubuhi pekee kwa mda wa siku 7
الم
Ziandike 13
كهيعص
Ziandike saba
حم
Ziandike saba,
الر
Ziandike saba
ع
Ziandike sabini,
ن
Ziandike saba
ا
Ziandike sabini
Chemsha kombe hilo kunywa asubuhi na jioni hilo nia mujarabu kabisa katika kutoa vitu vinavyo
tembea mwilin na vinavyo zunguka tumboni,
Usisahau kusomea kombe hilo suratul fat'ha 71 mswalie mtume mara 100 tia nia zako anza
matumizi ya kombe,
Hii ni mujarabu kabisa ndugu sio vitu vya kubahatisha elimu zaku bana bana🙏
Wabillahi taufik
Assalam 3alaykum warahmatullahi wabarakatuh
Ok twaa dawa ya nyota ya jaa kish changanya na muosha fedha kisha chora fat-ha kisha koga
kombe kilo pamoja na dawa hizo KWA siku 11
Katika kufanya kazi ya kufungua kifungo cha walimu wa mwili walio fungwa, pia kufungua tiba
za kiruhani zilizo fungwa,
Chukuwa karatasi nyeupe ichore suratil jinni yote KWA zafarani iliyo changanywa na miski
nyeusi, na rose water kidogo,
Naam kisha uchore wakfu huu hapa chini katika chungu kipya, kisha tia maji ya mvua ya angani
katika chungu, Baada ya hapo isome suratil Rahman yote mara 7,,
KISHA muhusika atatumia kombe hilo kunywa na kujipaka mwili mzima, huku akilala
chini(mkekani) KWA mda wa siku saba, na hapo chini atatandika shuka nyeupe na sehemu anako
laza kichwa basi ataiyeka karatasi yake ya suratil jinni,
Na atajifunika shuka nyeupe pia,
Unaweza msomea kisomo cha YASIN mubiin kabla umfanyie zoezi hilo
Chora alam nashrah katika sahani nyeupe kisha osha kombe hilo na maji ya angani,. Somea sura
hiyo hiyo mara 33,fat'ha 71,kursiyyu 11,falak 11 ikhlasi 33, nas 11,kisha tia rose water tumia
kujipaka na kunywa kutwa mara mbili
Usisahau nia zako na pia usiongee na mtu ukiwa unafanya hilo zoezi
قَالُوا ُسب َْحانَكَ اَل ِع ْل َم لَنَا ِإاَّل َما عَلَّ ْمتَنَا ۖ ِإنَّكَ َأ ْنتَ ْال َعلِي ُم ْال َح ِكي ُم
Wakasema: Subhanaka, Wewe umetakasika! Hatuna ujuzi isipokuwa kwa uliyo tufunza Wewe.
Hakika Wewe ndiye Mjuzi Mwenye hikima.
Mpulize KILA upande wa sikio lake mara saba baada ya kisomo, na mpe kombe anywe kutwa
mara mbili usiku na asubuhi sana kabla hajala,
Hii ni nzuri mpaka KWA watu wazima ambao wakiota wanasahau kumbu kumbu kuwa kidogo pia
ni mujarabu kabisa
*YA-KHAAFUDH*
*YA_MUDHILLU*
Mwenye kutaja majina haya usubuhi baada ya sala ya alfajiri na usiku baada ya sala ya ishai,
ataepukana na uwadui wote anao fanyiwa,. Na wanao mpiga vita hakika vitawarudia wenyewe,
Ila tu huu ni uradi wa kudum unatakiwa udumu nao, na unasomwa tu baada ya sala hivyo hii
inashiria ili uradi huu ufanye kazi lazima uwe mshika sala, wavivu wa kufanya ibada hii haita
wasaidia
Mwalim Jay Nur bado nasubir dawa ya jino lililotoboka ata iyo ya msufi nielekez tu wanawez
utafuta
Mdalasin ya unga pamoja na asali safi,
Chukua asali safi vijiko vitano changany pamoja na mdalasin ya unga vijiko viwili,
KISHA iyache ilale KWA siku moja, KISHA itumie KWA kutia ndani ya jino hilo linalo uma au
pango,, kutwa mara tatu,. KWA muda wa siku 10
Wabillah taufik
Mtu anae umwa n kifua n kukohowa n fluu Ming, naomba dawa please
Ni mtoto mdgo
Habt sauda ya maji changanya na asali,
KUOPOA
بسم هللا الرحمن الرحيم
Kuopa ni kule kumuokoa mtu ambae anataka kuchukuliwa kiuchawi au wachawi wanamnyemelea
kutaka kumchukua mtu huyo kwa namna yoyote taratibu zipo nyingi ila chukua hii
Japo la kwanza fanya kafara ya kutawanyisha wabaya Tafuta nazi 3 utazipara uzur nazi
utazisomea fatha moja ihlaswi 99 f falak 99 utaenda njia panda 3 kila nazi na njia panda yake
utanuia kusambaratisha maadui wa mgonjwa huyo au wewe mwenyewe kisha mgonjwa
utamsomea ayatul qur siyu x313 na aya mbili za mwisho za suratul touba kwani miongini mwa
aya hizi wanasema wanazuoni ayatul qur suy idadi hiyo basi ushindi ni jambo lisiloepukika kwa
uwezo wa Allah aya hizo za mwisho suratul toba wanasema kushindana na adui yoyote soma
x1000 hivyo vizur mgonjwa umuanze hivyo ili kupata ushindi kwa haraka mno baada ya hapo
Chukua majani ya muarubaini,mkungu,mbazi,kivumbasi,mdimu msitu,mdimu mkali,muinga jini.
Kisha tafuta maji ya kisima,mtoo ,bahari maji hayo utayasomea istiqifar x100 swala za mtume
x100 Al hamdu x41 nnashirah x3 kauthar x3 maji hayo changanya pamoja kisha majani yatie
humo uchemshe hadi yachemkeee kisha utachukua kitambaa cheusi kitambaa hiko utafunga
mafundo 11 wakati unafunga mafundo kila fundo soma yasini hadi ayaa hii👇 👇🏿
ِ ِبس ِْم ٱهَّلل ِ ٱلرَّحْ َم ٰـ ِن ٱلر
َّح ِيم
) لِتُ ْن‡ ِذ َر قَوْ ًم‡ا َم‡ا ُأ ْن‡ ِذ َر َآبَ‡‡اُؤ هُ ْم فَهُ ْم5( َّح ِيمِ يز الر ِ يل ْال َع ِزَ ) تَ ْن ِز4( اط ُم ْستَقِ ٍيم ٍ ص َر ِ ) َعلَى3( َ) ِإنَّكَ لَ ِمنَ ْال ُمرْ َسلِين2( ) َو ْالقُرْ َآ ِن ْال َح ِك ِيم1( يس
) َو َج َع ْلنَ‡ا ِم ْن8( َ‡ان فَهُ ْم ُم ْق َمحُ‡ون ِ َ) ِإنَّا َج َع ْلنَ‡ا فِي َأ ْعنَ‡اقِ ِه ْم َأ ْغاَل اًل فَ ِه َي ِإلَى اَأْل ْذق7( َق ْالقَوْ ُل َعلَى َأ ْكثَ ِر ِه ْم فَهُ ْم اَل يُْؤ ِمنُ‡ون
َّ ) لَقَ ْد َح6( َغَافِلُون
)9( َْصرُون ِ بَي ِْن َأ ْي ِدي ِه ْم َس ًّدا َو ِم ْن خَ ْلفِ ِه ْم َس ًّدا فََأ ْغ َش ْينَاهُ ْم فَهُ ْم اَل يُب
Bada ya hapo mgonjwa aende akaoge hayo maji ila avae nguo ambayo inaruhusu maji kupita
wakati wa kuoga baada ya hapo wewe tabibu fungua mafundo 5 huku unasoma suratul nnas na
mafundo 6 kwa suratul falaq huku ukinuia nakusudia kufungua marazi yaliyomfunga fulan bin
fulan ikiwa wewe mwenyewe wajifanyia nuia unajifungua wewe baada ya kufungua hiko
kitambaa unakichoma moto kwa kibiriti huku unanuia kuondoa marazi bada ya hapo mgonjwa
muelekeze kibla umsome qunut huku unatia yale maji yaliyobakia ya dawa
Qunut 👇 👇🏿
إن‡‡ك تَقض‡‡ي وال يُقض‡‡ى، وقِنا ش َّر ما قضيت، وبارك لنا فيما أعطيت ْ ، وعافِنا في َمن عافيت وتولَّنا في َمن تولَّيت، الله َّم اه ِدنا في َمن هدَيت
ُّ َ وال ي، إنه ال يَ ِذلُّ َمن والَيت، َ عليكmpaka mwishoo...
تباركت ربَّنا وتعالَيت، عز َمن عاديت
👇kwa kiswahili
👇🏿
Allah humah dini fiman hadait.
Fainnaka taqdhi wala yuqdha 'alait. Wainnahu layadziluman walait. Walaa ya'izzuman 'adait.
Wasallallahu 'ala Saidina Muhammadinin nabiyil ummiyi waala aalihi wasahbihi wasalam.
Hapo inshallah Allah ataleta wepesi.nyongeza aya mbili za mwisho za suratul touba👇
👇🏿
{لَقَ ْد َجآ َء ُك ْم َرسُو ٌل ِّم ْن َأنفُ ِس ُك ْم ع َِزي ٌز َعلَ ْي ِه َما َعنِتُّ ْم َح ِريصٌ َعلَ ْي ُك ْم بِ ْال ُمْؤ ِمنِينَ َر ُءوفٌ ر َِّحي ٌم* فَِإن ت ََولَّوْ ْا َفقُلْ َح ْسبِ َي هَّللا ُ ال ِإلَـهَ ِإالَّ هُ‡ َ‡و َعلَ ْي‡ ِه
ش ْال َع ِظ ِيم
ِ ْت َوه َُو َربُّ ْال َعر ُ ( }ت ََو َّك ْل129ـ128
Bin dawood zinjibar
LAL TAHHTWIIL
MUHH TWAHHTWIIL
QAHH TWAHHTWIIL
FAHH TWAHHTWIIL
NAHH TWAHHTWIIL
JAHH LATWATWIIL
LAKHAHH TWATWIIL
LAMAQFANJAL
Majina matukufu kweli kweli na makhudami wanao FANYA KILA aina ya kazi za kher,
Unacho takiwa KUFANYA wakati unayasoma uwe wewe peke yako huku ukifusha
sandal,sandarusi,khandar,ubani mweupe,uvumba mweupe,mane mane na makal azrak,
Yasome majina hayo mara 1000 KILA ukifika mia tia buhuri tia nia yako endelea,, kisha ikiwa ni
mvuto wa biashara basi yaandike katika karatasi utundike biasharani kwako,
Naam leo jumamosi haina nguvu KUFANYA Kazi za mvuto wa biashara au KUFANYA jambo la
zuri utakalo
Ulimwengu wa kiroho,....
Huu ni ulimwengu sawa na kuzimu kuzimu pia ni ulimwengu wa kiroho huko mwili haufanyi
kazi, sawa na ukiwa ndotoni unakuwa katika ulimwengu wako wa kiroho mwili haufanyi kazi
huko,
Ulimwengu wa kijinn huku ni sehemu maalum ambako mwanadamu na mwili wake hawezi kukaa
huko ila majini tu,,
Asalam alaykum warahmatullah vipi hali zenu wana group naomba kujuwa dawa ya jino
linalouma yani limetoboka
Walaikum musalam warahmatullah wabarakat,