You are on page 1of 10

SUPERFOODS

MUONGOZO
MAALUMU
WA
VYAKULA HAI

Kisukari, Shinikizo La Damu, Unene, Magonjwa ya Moyo


STOP KULA VYAKULA VINAVYOSABABISHA
MAGONJWA

Wagonjwa wa kisukari wa aina ya 1 na aina ya 2

i. Acha kutumia virutubisho vya lishe i.e supplements

ii. Acha tumia maziwa, jibini, maziwa, siagi na samli


na mtindi

iii. Acha kutumia vyakula vilivyokobolewa, sukari ya


viwandani, chumvi na mafuta ya viwandani

iv. Acha kutumia nyama aina zote za kopo

v. Acha kutumia soda, au juice, energy. pombe

vi. Acha kutumia chai, kahawa hasa wakati au kabla ya


Lunch

vii. Acha kutumia vyakula vya makopo, vya box

viii. Acha kutumia chumvi au kinachofanana nacho

ix. Acha kula chakula ambacho hukupika mwenyewe

x. Usile chakula baada ya saa 2 usiku

xi. Acha kula vyakula kila wakati


HATUA YA 1
Kama unatumia dawa za Kisukari & dawa za Pressure,
zote ziache kutumia ndani ya masaa 48

Baada ya hapo, pima kiwango cha Sukari masaa 2


baada ya kula na pima pia kiwango cha Pressure

kama Kiwango cha Sukari, kitakuwa chini au sawa na


13.8 na kiwango cha pressure kitakuwa chini au sawa
na 160/100, unaweza kuacha kabisa kula madawa
endelea na lishe
BREAKFAST TIME

1. Kunywa glasi 1 ya seleli juice fresh, isiyochanganywa na maji, au


kunywa glasi 1 ya maji vuguvugu yaliyochanganywa na limao au
kunywa kijiko 1 kikubwa cha mafuta ya Extra Vigin Olive Oil

2. Baada ya hapo hiyo asubuhi hadi kabla ya saa 6 mchana kula


matunda mchanganyiko aina 3 hadi 4 (matunda yote yanaruhusiwa),
katakata kwenye sahani kiasi cha uzito wako____kgs x 10 = _____
gramu au zaidi, kula hadi ushibe.

Mfano, uzito wako ni kilo 70 kgs, utakula matunda kiasi cha 70 x


10 = 700 gramu kabla ya saa 6 mchana

NB: Matunda yoyote unaweza tumia, mfano maembe, ndizi, zabibu,


parachichi, noni (mulberry), machungwa, tikiti, papai,
pormegranate, strawberry, blueberries, raspberries, matango,
mananasi, stafeli, n.k kula matunda kama chakula, sio kama sehemu
ya chakula
LUNCH TIME
Lunch kutakuwa na sahani mbili (2)

Sahani ya 1: itakuwa na mchanganyiko wa mboga mboga mbichi


za aina 3 hadi 4 mfano, spinach, kabichi, carrot, tomato, radish na
cucumber n.k, ujazo wa sahani ni uzito wako ____kgs x 5 =
_____gram, kachumbari au salad hizi kula nyingi hadi ushibe kabla
ya kula chakula chako

Sahani ya 2: sahani hii itakuwa na vyakula unavyovipenda,


mfano ugali, wali, viazi kwa kiasi kidogo, mboga za majani ziwe
nyingi sana.
DINNER TIME
Dinner kutakuwa na sahani mbili (2) au moja (1)

Sahani ya 1: itakuwa na mchanganyiko wa mboga mboga bichi


za aina 3 hadi 4 mf. carrot, tomato, radish na cucumber n.k, ujazo
wa sahani ni uzito wako ____kgs x 5 = _____gram, kachumbari au
salad hizi kula nyingi hadi ushibe

Sahani ya 2: sahani hii itakuwa na vyakula unavyovipenda,


mfano ugali, wali, viazi kwa kiasi kidogo mboga za majani ziwe
nyingi sana.
SNACKS AU VINYWAJI
Aina zote za Nuts mfano karanga, korosho n.k unaweza kutumia lakini
Uloweke katika maji masaa 2 hadi 3 kabla ya kula
kiasi ni kg ___gram
Sproud kg ___ gram kwa siku
SUNSHINE TIME
JUA (SUNSHINE)
Hakikisha unaota jua angalau dakika 40 kila siku
WARNING - ONYO
1. Hakikisha unapima sukari angalau mara 4 kwa siku kwa sababu lishe
hii ina nguvu kubwa ya kushusha sukari, kwahiyo inaweza
kukupunguzia utegemezi wa dawa ya insulin kwa 50% hadi 65%

2. Unashauriwa sana kuzingatia ukiwa unatumia lishe hii usimamishe


kabisa dawa au insulin unayo tumia kwa sababu inaweza kushusha
sukari Zaidi, wasiliana na dakitari wako

3. Kwa hiyo inapendekezwa ukiwa unatumia hii lishe ufuatilie sana


vipimo kabla ya kula na baada ya kula.
SHERIA ZA KUFUATA
1. Hakikisha unatumia kiasi kilichopendekezwa kutoka na umri,
uzitoa na urefu
2. Wakati unakula, kula polepole, tumia angalau dakika 30, muhimu
sana
3. Fuata ratiba ya kula, yaani kula katika muda uleule, usibadilishe
badishe muda wa kula
4. Lazima ku stop kila aina ya virutubisho ya lishe ambazo ulikuwa
unatumia awali, inaweza kuleta muingiliano
5. Hakikisha unaota jua kila siku angalau dakika 40 kwa siku ili
kujenga mfumo wa kinga
6. Lazima usimamishe kunywa maziwa pamoja na bidha za maziwa
ikiwa jibini, maziwa, siagi, na samli
7. Usile vyakula vilivyosafishwa ikiwa ni pamoja na sukari
iliyosafishwa, chumvi na mafuta yaliyosafishwa
8. Usimie vyakula vya kila aina ya wanyama wakiwemo samaki na
kuku
9. Pende kufanya mazoezi angalau nusu saa kwa siku
10.Kila asubuhi kitu cha kwanza tafuna majani 10 ya Tulsi (basili) na
kipande kidogo cha tangawizi, tafuna taratibu mdomoni kama
dakika 5
11.Asubuhi hakikisha unapata maji ya dafu au nazi baada ya hiyo
Tulsi
12.Tambua kila siku sukari ya damu inategemea kwanza unakula
nini, pili unakulaje yaani unakula haraka haraka au polepole, kila
siku kula polepole, tafuna polepole na tatu kiasi gani cha chakula
unakula, ukiwa unakula matunda tumia hata dakika 20

You might also like